Namshukuru na kumtukuza Mungu wa Mbinguni, nimepata period kwa muda wa siku 17 mfufulizo, nikaenda hospital na kupewa dawa lakini bado haikukata, lakini baada ya kujiungamanisha na maombi haya Mungu ameniponya na period imekata kabisa. Asante Mungu
@JoramJaphet2 ай бұрын
Amen
@PatriciaLeonard-rs1kj2 ай бұрын
Amina
@VailethKegoye2 ай бұрын
ameni
@helenongara16792 ай бұрын
Hallelujah! Sifa na utukufu kwa Mungu!
@gracenjeri232518 күн бұрын
Amen
@AgripinaKivike2 ай бұрын
Ila wasabato Kama tutaelewa ptr mbaga anavofundisha tutapendeza saana mabakibaki ya ufarisayo yapo Roho mtakatifu tutawale na utuongoze ameni. Haleluya
@daudnyore46962 ай бұрын
Wengi hawataki Kubadilisha Mtazamo wa kiakili
@neisaprinceАй бұрын
Mungu endelea kutumika kwenye maisha yangu hatima yangu Iko kwako🙏🙏
@Mapenzi2635Ай бұрын
Nimerudi tena kusikiliza neema Mungu aliyo mpatia Mch .Mmbaga. Nimerudi hapa kwa mara ya Tatu. Ila leo ,nimemsikia Mungu akiniambia soma Waefeso sura ya Tatu. Baada ya kusoma Roho Mtakatifu amenisemesha, 'Ombea Kanisa lipokee ujumbe huu hasa fungu la kumi'. Hii siri niya kufunuliwa Kanisani (Waefeso <a href="#" class="seekto" data-time="190">3:10</a>). Asante sana Mungu kwa mafunuo haya. Zidi kumtumia Mch .Mmbaga na team yake . Bariki kila atakaye msikiliza aelewe ,apate neema ya mahitaji yake yake yote. Kisha Injili itakwenda kwa haraka nawe utarejea kutuchukua Kwenye makao ya amani . Kwa Jina la Yesu nimeomba .Imekuwa .
@Mapenzi26352 ай бұрын
Baba yetu wa MBINGUNI, nakutukuza daima kwa kumtumia Mch. Mmbaga. Leo naombea hufahamu wako ujidhihirishe kwa kila atakaye msikiliza Mch. Mmbaga, asikie sauti yako ikimdhibitishia kuwa neno lako ni Kweli na lakuaminika. Kwa Jina la Yesu, AMEN.
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
Amen
@godlovemapunda774Ай бұрын
Ee Mungu wangu naomba ktk maombi haya ndoa yangu uitete shetan anataka kuvunja amina
@wiza2309Ай бұрын
Amen Mchungaji. Mungu anisamehe kwakweli na kunifungua. Mimi ni mdhambi nahitaji kuokolewa na damu ya Yesu.
@MakaleCostancia10 күн бұрын
Pr Mbaga, huyu jehova tunayemwabudu naomba akupe maisha mareeefu sana Ww n sababu ya mimi kuwa na maisha hya niliyonayo kupitia maombi yako nilipata kazi tna siy kazi tu, kazi nzuri na hpo ni baada ya miaka mitano nkitafuta Asante nko nyamongo Tarime ulikuja net event Nakukumbuka sana sina namna ya kuwasiliana na wewe MUNGU WA MBINGUNI AKUTUNZE Ombi langu leo Kama MUNGU alivyonitendea awatendee na wengine
@DeborahMganga-p9y28 күн бұрын
Pastor Mbaga Mungu wetu wa mbinguni aliye juu kuliko vitu vyote aendelee kukubariki katika siku zote za maisha yako.
@mtumishiraymond20012 ай бұрын
Jina la bwana wetu Yesu kristo liimidiwe nimepokea neno 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@JacklineMoti2 ай бұрын
Amen 🙏🙏 naskia kufarijika sana mafundisho yenye uelewa Bwana akuongoze siku sote mtumishi WA Mungu 🙏🙏🙌
@GloriaKayumbaKabange7 күн бұрын
Nous rendons grâce à Dieu pour votre vie, pasteur que Dieu vous bénisse
@kalengalukozi92422 ай бұрын
Hubarikiwe sana mtumishi wa Mungu David kwa mafundisho siku ya leo nimepata chakula chenye uzima Amen
@Joycependopendo-dv2tb2 ай бұрын
Amen bwana asifiwe namshkuru niko salama nabarikiwa na mafundisho haya mzuri
@AwAw-i3d2 ай бұрын
Bariwa sana, kwakweli nilidhofika sana kulingana n changamoto kazini, nikaamua naacha kazi leo asubui nikiwanaski hili somo nikapata nguvu mpia naendelea n kz, Mungu amenipa nguvu mpia sifa n heshima zimrudie amen 🙏🙏
@PheadaKasigwa2 ай бұрын
Ahsante mtumishi wa Mungu aliye hai umeugusa moyo wangu na kufunu wazi mapungufu yangu ukweli nikuwa naona kama Mungu yuko mbali nami lakini kuanzia leo yeye ni Aba kwangu.
@williammanyasi9196Ай бұрын
Guy pr mungu amubariki pop
@hellen.b4ga2cj7mАй бұрын
Bwana Yesu asifiwe....Nafurahia Mafundisho yako sana Mchungaji Mbaga hakika yamenibadilisha mtizamo wanguu Kiroho🙏🙏🙏
@RoseMwema-ix8hb2 ай бұрын
Amen,am much transformed, God bless you pastor mmbaga
@berthadaudi-n2mАй бұрын
Kwa kweli MUNGU ananipenda yaani ulichofundisha na kuomba ni kama nimekueleza Pasta, Asante Mungu kwa kunijibu ninaamini umenifungua leo
@KajuraMkamaАй бұрын
Asante Mungu kwa kuruhusu kusikiliza mafundisho haya ambayo napata kuwekwa huru kupitia kristo mwana wa Adamu katika jina la Yesu kristo Amina.
@jonacemanyama48582 ай бұрын
Natamani kukusikiliza Tena na tena Mungu aliehai akulinde Pr.DAVID AZAEL MMBAGA,pamoja na familia Yako.AMINA.
@Issasaku-n6f15 күн бұрын
Asantee Mungu kwa neema yako nimekuwa huru
@judithdaniel50892 ай бұрын
Amina, Ahsante sana pastor Mungu akubariki unapoendelea kufanya KAZI yake kwa bidiii
@edsonmashama67822 ай бұрын
Ninabarikiwa sana na mafundisho yako! Mungu amenitendea mengi na makuu tangu nimemjua hyu Mungu! Ni dhahili na hakika Baba yetu hayuko mbali nasi
@JamesMushi_jr25 күн бұрын
Yeremia 23:23
@JacksonSwai-g2y5 күн бұрын
Unanibariki sana Pastor Mmbaga
@agnesmushi57092 ай бұрын
Mungu wewe ni Aba , nisaidie leo 🙏
@Marianamsafiri-sm2vxАй бұрын
Amen mchungaji.Mungu naomba unisamehe dhambi zangu, pia uniondowe katika kila vifungo vya ukoo na vya familiya,uniponye na adui zangu uniondelee kila mikosi na mabalaa Amen 🙏
@williamkasubi24362 ай бұрын
Atukuzwe Yesu Kristo, Baada tu ya maombi haya nimepokea muujiza wangu.
@WolfpricenceeАй бұрын
Amina
@gracej8762 ай бұрын
Eeh Mungu wangu endelea kunifundisha mimi mwana wako ni mengi bado tunajifunza haswa mambo ya kiroho, naja mbele zako fungua moyo wangu na uingie ndani yangu na ukaishi hapo kwakuwa nimekuchagua wewe kuwa Bwana na mwokozi wangu. Angaza maisha yangu eeh Mungu wangu mimi mwanao nipo tayari kuongozwa nawe. Maisha yangu nayakabidhi mikononi mwako ukaniongoze siku zote za maisha yangu. Nawaombea na watu wako ulimwenguni kote yeyote akuitaye kwa jina lako basi ukawatendee sawa sawa na mapenzi yako Amen🙏
@vinniebaraka1322 ай бұрын
Barikiwa sana pastor David, hii channel imenifunza mengi na kunifanya niwe na ujasiri wa kumtafuta mungu
@bridgetmbawala10292 ай бұрын
Somo hili limeniinua kiimani. Namshukuru Mungu. Mungu akubariķi mchuñgaji.
@bridgetmbawala10292 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Yesu.
@GetrudeMachimu2 ай бұрын
Eeh Mungu katika maombi haya naomba kugunguliw nguvu za giza zote katika maisha yangu na mchumba wangu agunguliwe kwa jina la Yesu familia yangu na mdogo wangu binamu yangu watoke gerezani naamin Baba umetenda Amina😢
@DanfordMvelaАй бұрын
Bwana akuinue zaidi pr
@lutenenhatagambaga50502 ай бұрын
Prom mbaga ubarikiwe sana tunabarikiwa mm na familia yangu; ulikuja Kilolo ckupata mda wa kukupa ushuhuda ila naamini tutakutana siku nyingne nikwambie Mungu alichotutendea.
@PhinaMoses-kd6fs2 ай бұрын
Ahsante MUNGU napona kupitia mtumishi wako sifa ni kwako baba
@AlexAlipoАй бұрын
Amen,nabarikiwa sana mtumishi wa mungu kwa kweli mungu amekupa karama ya ualimu na sio uchugaji tu ,
@WastonMkane24 күн бұрын
Ingawaje sijajua somo lilitolewa lini, lakini MCHUNGAJI ww ndiye uliyenirudisha kwa bwana. MUNGU ashukuliwe sana
@WastonMkane24 күн бұрын
Aamen
@AtimGrace-yk8sn2 ай бұрын
Amen aki nabarikiwa sana na ingili hii nikiwa Nairobi mutumishi wa mungu na mungu azidi kukutumia
@FridaMwaihojo2 ай бұрын
Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
@SamuelMwambene-b5sАй бұрын
Asante sana pasta kwakunifundisha siri hii ya maombi naomba mungu akubariki sana sana mpendwa wangu.
@KaviraMulumbi2 ай бұрын
Amen amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@tuyizereJoel-n3qАй бұрын
Nashukuru MUNGU kwakukupa uwezo uwezowamahubiri.
@irineDancan18 күн бұрын
Amen and amen mimi nikohapa saudi karibu nikufena na sikukufa
@dianapeter9311Ай бұрын
Naomba Mungu amponye baba yangu,, pr naomba uniombee
@EverlyneSinganga2 ай бұрын
Amen....kpitia kwa mafundisho yako naendelea kukua kiroho na pia kumwona mungu kama kaka na rafiki wangu wa karibu.....yale mungu amenitendea na mahali amenitoa acha sifa na utukufu ziendelee kumrudia yeye maana anasitaili
@Theodora-k3h2 ай бұрын
Pastor Asante kwa maombi Mana nimefunguliwa na mungu kutoka kwenye nguvu za Giza Mana ulipoomba Mara ya Kwanza nilihisi Giza limetanda usoni nakama nahisi kuanguka Ila Mara ya pili na ya tatu nikajihisa nipo sawa kabisa namshukuru mungu kwa uponyaji🙏
@rosemutinda30762 ай бұрын
Amen my lovely Big Brother Jesus Christ my Saviour kwa kunifungua 🙏🙏🙏
@EvaMgongolwa2 ай бұрын
Ahsante kwa Neno ubarikiwe mtumishi,
@PatriciaMwamba-h6yАй бұрын
Tunashukuru sana Bwana kwa somo ii
@jeunerosemango81092 ай бұрын
Amina. Asante kwa maombi. Mungu nyumbaji na wa rehema ametenda maajabu.
@VanessaJohnson-lw5mzАй бұрын
Amen Pastor.nimefunguliwa
@AshaMazuri-m4g2 ай бұрын
Amina nimebarikiwa sana mchungaji naomba uniombe nizidikuwa na ujasili
@esthersikilio65715 күн бұрын
NIMEBARIKIWA SANAAA
@EvaKsrsitiАй бұрын
Asantee mtumishi kwa somo❤
@SweetbetVenturaАй бұрын
Amen Amen 🙌
@BeatriceKingeli2 ай бұрын
God bless you pastor mafundi zo yakoyameninua sana
Thanks pastor for sharing napenfa mahubiri yako Sana. Teach us about tithe. Nikichukuwa tithe kwa kusaidia watoto yatima au kwa kujenga kanisa nitakuwa nimekosea?
@rechaelnjeri3352 ай бұрын
Sanaaaa hufai saka ni ya mungu pekeee
@ajelicakobiazaaieaqk3278Ай бұрын
Nina mskru mungu Kwa kupitia mafundizo yameninua kiroho Sana mungu akubariki pastar undelete kubariki wengine
@elizabethmakaranga2182 ай бұрын
Mch Mbaga barikiwa sanaaa
@fatumachagudadui31382 ай бұрын
Amina Mungu atusaidie
@ngolorose2 ай бұрын
Amina pastor tume barkiwa
@magdalenawerema16582 ай бұрын
God bless you Pastor Mbaga
@eunicenyandiko13892 ай бұрын
Amen hallelujah ❤❤
@gladysmwende7500Ай бұрын
Amen and Amen
@vinniebaraka1322 ай бұрын
Sifa na utukufu kwake mwenyezi Mungu
@asiri-romy-simba36712 ай бұрын
Zidi kubarikiwa Pastor
@golasrichard4400Ай бұрын
Yesu tusaidie katika saa hizi za jioni
@DayanaMoshiro-gd8prАй бұрын
Hakika nimeiyona nguvu ya mungu pr ulivyo momba nimeona mwanga mkali kama moto na ulivyomaliza maombi nikaswet hakika bungu kaniweka kaniponya🙏🙏🙏
@pendomarc9286Ай бұрын
Amen 🙏
@EuniceOlumbe2 ай бұрын
Pr. Niombe nguvu za Giza inanisumbua na watoto wangu kuna mtoto wangu aliingia Kwa Devo na inamsumbua sana
@NgegeGilinde2 ай бұрын
Mungu nisaidie niodokane nazabi napepo watama
@dativapeter67002 ай бұрын
Mchungaji naomba uniombee nipokee uponyaji ili niwe ushuhuda kw wengine,n Mungu wa mbinguni ukabari
@mtumishiraymond20012 ай бұрын
Amina 🙌🏿
@LenaAuko-tj1io2 ай бұрын
Amina Sana from saidi
@phiniassoli3903Ай бұрын
Somo Zuri ubarikiwe pr
@stevenkaunda11242 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe. Jamani huyu mchungaji amewahi kufundisha somo la kutafsiri vitu lipo humu ndani you tube ila sijui lonaitwaje. Yaani majina ya vitu na maana yake naomba msaada jamani
@AnnaMathias-sy2iu2 ай бұрын
Kutafsiri ndoto au
@carenjepkemboi6333Ай бұрын
Amen 🎉🎉🎉❤❤❤❤
@elizabethgodfreytondo30522 ай бұрын
Amen!
@alicemwaka37622 ай бұрын
Emeeeen
@PauloMole-lv4tf2 ай бұрын
Ameen
@abbasmkambara58152 ай бұрын
Mbaga Baba laooo 💪
@Trizah-254-e2 ай бұрын
AMEN
@khadijajulius26112 ай бұрын
ameena
@mophinenyaboke86782 ай бұрын
Nitataka kuamini kwa zia hivi pastor niombee
@linzah7563Ай бұрын
Nimebarikiwa sana kulijikuta na wasi wasi sana lakini baada ya hili somo nimejikuta grafla nina amani na furaha sana
@abiahmagembe17012 күн бұрын
Ni Mibaraka Tele atufundishayo huyu.mjolli wa Kristo aendelee kulindwa,kujaliwa Afya njema na familia yake pasiwepo na changamoto yoyote aendelee kutukumbusha jinsi ya kuyaishi maisha ya BWANA.
@DianaLameck-tj7rvАй бұрын
Mungu azidi kukutumia pastor,mimi naomba naomba namba yako pastor Mbaga nahitaji kuja oficini kwako.
@DeboraMuyenjwaАй бұрын
Pasta nasumbuliwa sana na peresha,naomba unikumbuke kwenye maombi
@princessmbusiroАй бұрын
mchungaji nauliza hilo ombi uliloelekeza hapo je naweza kuomba na watu 2 ndugu au rafki lakin tuko mbali hata kimkoa lakin tunaombea kitu kimoja na tukapata majibu au mpaka niwe peke yangu barikiwa
@davidmisiwa46222 ай бұрын
MUNGU AIBARIKI HUDUMA HII
@AsaMtuli2 ай бұрын
Balikiwa mchungaji
@thejungletv493Ай бұрын
Kuna sehemu sijaelewa kusudi la kuchinja mnyama agano la kale ilikua kuwakilisha damu ya Yesu ambayo ingemwagika na dhambi ya Kaini ilikua kukiuka huu mfumo wa ibada akapeleka mazao ya kondeni Sasa hapa kwenye unga au divai hapa ilitolewaje kuwakilisha damu ili msamaha utoke mwenye maelezo please??
@IliminaKiwangaАй бұрын
Natamni haya mahubir niwe nasikikiza mda wote tu sijui na download vip yajaetu kwenye sim yangu na ki share kwawatu wengi zaidi
@aleroalero2772 ай бұрын
Wakati mchngaji unaomba imekuja picha kama mwamke amevali mavazi ya kiganga amelala chali, naamini Mungu ametenda jambo
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
Ushindi umepatikana
@Ungwamissi2 ай бұрын
Amen❤️🩹
@AgripinaKivike2 ай бұрын
Mch Mbaga kanisa letu Lina idara na ni nzuri tu je kwa Nini maombi na maombezi hata ikiitwa vingine isiwe idara kamili hi ikiwa idara na ikaimarishwa tutawavuta wote kwa christo