EXCLUSIVE; ALIENDA KWENYE MKESHA WA MWAMPOSA AKACHUKUA MAFUTA NA MAJI / NILIMKUTA NDANI AMEKUFA

  Рет қаралды 15,197

KUSAGA TV

KUSAGA TV

20 күн бұрын

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZbin : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Пікірлер: 112
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 17 күн бұрын
Mtu mwenye dini ya kweli na kamshika mungu sawasawa, hawezi kumsogelea mwamposa! Giza na nuru hazikai pamoja!
@maswamills3161
@maswamills3161 14 күн бұрын
@@danieljoseph1610yakikukuta utapatafuta,hayajakukuta.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 18 күн бұрын
Mwamposa Mungu anamuona .Kuwadanganya watu siyo unabii 😢😢
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 18 күн бұрын
Kwan amekufa kwa Mwamposa au mwamposa anasema usile !? Why unahukumu mtumishi wa Mungu epuka laana zisitokuwa na ulazima
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 18 күн бұрын
​@@martinamahenge4476mtumish gan ww chz nn
@maswamills3161
@maswamills3161 17 күн бұрын
Ekufa kwa matatizo yake siyo kwa sababu ya MWAMPOSA.Hata hivyo hujielewi
@maswamills3161
@maswamills3161 17 күн бұрын
​@@martinamahenge4476wanaropoka tu.
@nuhhumwakanyamale4771
@nuhhumwakanyamale4771 17 күн бұрын
​@@martinamahenge4476Wewe mtumishi wa tembo au?
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 18 күн бұрын
Nyie hamjui tu MwAmposa ni wakala wa kuzimu anawatoa kafara yeye amazon di kujaza watu
@maswamills3161
@maswamills3161 17 күн бұрын
Kwani yeye ndiye amemuua?/?????acha hizo.
@happinessmushi8962
@happinessmushi8962 14 күн бұрын
Sasa kufa kwake na mwamposa vnauhusiano gan???
@user-ug9yq3eb2f
@user-ug9yq3eb2f 18 күн бұрын
Tukumbuke tu yakuwa yesu alisema omba utakalo kwa imani naye atakupa that means unaweza kabisa kujiombea mwenyewe kwa imani yako mwenyewe ukafanikiwa. achaneni na hawa mabii wauwongo jamani ,yani wakristo tumekuwa kama mbuzi wa mnadani ,kila soko jipya umtaka kwenda kama umechoka kutulia kwenye zehubu lako tulia nyumbani sali kwa imani yako mwenyewe .
@user-jl3ck5mf8p
@user-jl3ck5mf8p 18 күн бұрын
Siku ilikuwa imefka achane kuchafua majna ya watuu
@nanaritho6850
@nanaritho6850 18 күн бұрын
Ninachoona huyo vidonda vilikiwa vimepasuka!
@esterhezron6143
@esterhezron6143 14 күн бұрын
Kabisa
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 18 күн бұрын
Mtakufa sanaaa jaman tumuamini Yesu peke yake anaweza yote achaneni na hawa manabii niwauwaji hawa
@daslamonline4665
@daslamonline4665 18 күн бұрын
Huyo muuwaji mwenyewe ana muubiri yesu
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 18 күн бұрын
Hata Yesu alikuja na watu hawakumuamini so Yesu anapitia kwa watumishi wake
@corrolesscps
@corrolesscps 17 күн бұрын
Ni kawaida ya binadam kila kitu kwao ni kusema, Luka 11:14 hata YESU Kristo walimsema, baada ya kumtoa mtu pepo mchafu na yule pepo alipomtoka na kuanza kuongea wakashangaa na wengine wakaanza kusema Anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa beelzebuli, Yule mkuu wa pepo wachafu wote,
@maswamills3161
@maswamills3161 17 күн бұрын
Vidonda vya tumbo na tibii haviui????acha uongo .Mbona watu wanakufa wakiwa hospitalini?!!!!!! MWAMPOSA anakosa Gani hapo.Tubu.
@user-nm8ym6iq7n
@user-nm8ym6iq7n 18 күн бұрын
Mafuta hayo unakunywa ??? daaah watu wangu mtaangamia kwa kukosa maarifa
@suziemichael4338
@suziemichael4338 18 күн бұрын
Huyo mama achunguzwe vizuri . Mkavuu anatoa maelezo vizuri kabisa
@alinependo-bk4jj
@alinependo-bk4jj 13 күн бұрын
Kamuuwa tu kaka wawatu kwenye interview ya kwanza alisema ana watoto 3 nahuo marehem now anasema hana mtoto nawe dah
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 18 күн бұрын
Kifo kipo acheni ujinga
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 18 күн бұрын
Mhiiii hyu mama jamani mbona mtu mzima sana yaani nisawa na mama ake mkubwa😮😮😮😮😮
@BernadetteKiwelu-kg6fv
@BernadetteKiwelu-kg6fv 17 күн бұрын
Mama pole sana sana mungu akutie nguvu mungu ampumzishe kwa amani
@gilliansiara3324
@gilliansiara3324 18 күн бұрын
Hapo mwamposa anahusikaje, siku imefika,hakuna awezae kuizuia,si Lutheran/mwamposa tupo sokoni ukifika bei unaondoka,ukiacha dawa ujinga wako,alikua snatafuta kupona,likikufika ndio utajua
@user-xn2fb6mu6m
@user-xn2fb6mu6m 15 күн бұрын
Good point
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 18 күн бұрын
Mwenyezi Mungu ampokee mja wake. Pole bi mkubwa kwa msiba.
@pendodaniel5766
@pendodaniel5766 18 күн бұрын
Aiseee ni nooma ni mke?nilijua mama ake mzaz
@HappynessJose
@HappynessJose 18 күн бұрын
Kama anamadonda ya tumbo ni vimbaya sana kushinda ajala pia inachangia pole kwa family
@purityneema-gh6jc
@purityneema-gh6jc 14 күн бұрын
Mungu atusamehe atujakamilika mungu aipumzishe roho yake kwa amani
@JohanMwambage
@JohanMwambage 13 күн бұрын
Kama mnasema mwamposa sio kweli kama nikufa ningekufa mm nimeenda kwa mwamposa sana tu nina miaka nakwenda naenda popote penye uduma ya kiroho uyo siku yake imefika bc tu usisingizie mwamposa
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 9 күн бұрын
Sio imefika kaifikisha yeye na ndg zake sasawanajua anavidonda halafu eti wanaandaa uji anauwacha bila kumpa kweli mnapendana au Giza sema watu wa kaskazini bize kusaka noti na wengine mnasahau kula mimi toka nijue nina vidonda kula lazima yaani msosi kwanza hata km sijaingia class yaani nakula madent ndio watasoma na maombi napiga yaani watumishi nawafuatilia ,watumishi hawajasema tusile jamani pigeni msosi yaani menu mpaka tumbo liite mmaaa
@samweli7985
@samweli7985 18 күн бұрын
Kufa kupo tu, kwasababu ninjia ya kila aliye hai kurudi kwa Mungu wake
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 18 күн бұрын
Pole Dada Mungu awatie nguvu 😂😂😂
@LamekiMichael-pz7rv
@LamekiMichael-pz7rv 17 күн бұрын
Nilijua tu mawazo ya wtz washahamishia kwenye imani ya alikokwenda kukesha mbona wapo wanaofia baa wengine gesti wengine kwenye mabasi wakisafiri hua mnawazaje hao nao wametolewa kafala na wenye hivyo vitu? kila mtu na siku yake hata asingeenda dar asingevuka sikuhiyo.
@starlily07
@starlily07 18 күн бұрын
Kila mkutano wa mwamposa lazima watu wafe, dadeeki ,. lazima atoe kafara, watu wakae kwenye makanisa yao jamani, mtakufa hadi mkome
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 17 күн бұрын
Hujui unachoongea ww Kaa kimya ujitambui
@winfridahubert4072
@winfridahubert4072 15 күн бұрын
Watch ur mouth mwamposa hajawahi kumwambia MTU aache dawa siku yake ilifika tu acheni kujibebea laana
@happinessmushi8962
@happinessmushi8962 14 күн бұрын
Kama huna chakucoment siukae kimya jmn,achen kumuhuhukumu mwamposa kahusikaje hapo kwenye vdonda vya 2mbo
@AishaTarimo-hj2nj
@AishaTarimo-hj2nj 17 күн бұрын
We mama muongo si ulisema kipindi ulipo hojiwa mwanzo ulisema unawatto wa 3 umezaa nae alafu unaongea ukiwa mkavu
@aloycesamba998
@aloycesamba998 18 күн бұрын
Jamani Kama mtu anaogonjwa unaomsumbua aende hospitalini maana Kama Ni maombi nenda huku ukiendelea kutimia dawa za hospital
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 18 күн бұрын
Hujasikia alikuwa na dawa pia za hospitalinii,mafuta hayo ya kuzimu ndo yanawanyonga.
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 18 күн бұрын
​@@odilomwemeziernest646hakuna mafuta yanayonyonga mtu achen zenu jmn Kila mtu atakufa tu
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 18 күн бұрын
@@PaulinaSemindu-ob3de wewe huna unalolijua ukae kmya juu ya hayo mafuta.Mimi ninajua nilikuwa wapi na niko wapi maana hao matapeli tuliwapa sisi mafuta kabla hatujaokoka,ila namshukru Yesu kwa kifo cha msalaba.
@daslamonline4665
@daslamonline4665 18 күн бұрын
Huna Imani wewe yesu anaponya magonjwa yote usjichanganye hospital na yesu
@maswamills3161
@maswamills3161 17 күн бұрын
Kwani wanaokwenda hospitali hawafi ????!!!!! Kwani alikuwahanywi dawa!!!!.
@lazaroletion2420
@lazaroletion2420 18 күн бұрын
Tuende hosiptalini wakati tunatumia maji, mafuta ama chunvi ya imani
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 13 күн бұрын
YESU KRISTO ndiye mponyaji wa kweli
@JumaMbaga-sd5yi
@JumaMbaga-sd5yi 16 күн бұрын
Jamani huyu ndugu yetu alikua na tb na alikua na dozi ikaishA ila tb haikuish
@user-xn2fb6mu6m
@user-xn2fb6mu6m 15 күн бұрын
HIVI HUYU NI MTU WAKWANZA KUFA MBONA KAMA MNAFANYA KITU KIWE KIKUBWA WAKATI NIKAWAIDA
@janetchinga695
@janetchinga695 18 күн бұрын
Inaonyesha alikuwa mugonnjwa uyo kaka RIP kaka wawatu kutapika damu dalili ya TB imesha mumaliza
@Mchuzwambwa
@Mchuzwambwa 10 күн бұрын
Pumzika kwa amani hiyo nimipango yamungutu wala sio mafuta yamwamposa
@MumyGifty-rs7yx
@MumyGifty-rs7yx 11 күн бұрын
Pole sana mama
@user-zm7kk1tr5l
@user-zm7kk1tr5l 12 күн бұрын
Jamani wacheni kumharibia mwaposa kama kufa nigekufa mimi maana mimi mfuta ya mwaposa nakunywa kila siku siku yake irikuwa imefika tu mwaposa mwachini jamani
@KhadijaSaidi-y5k
@KhadijaSaidi-y5k 12 күн бұрын
Kwani mim xijaelewa huyo baba aliekufa mwamposa ndokamuuwa au ni mungu tu ndokapenda amchukue kwanialiewambia kuwa mtuakienda kwamwamposa hafi Ninani jmn me najuwa kifo tumeumbiwa sot jmn akipenda yey lazimatuf hakuna awezae kuziwia kifo kinacho tupasa tumuombe mung atupe mwixho mwema
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 17 күн бұрын
Ww mtangazaji acha kuchafua mtumishi wa mungu kufa na mwaposa kunausiana na nn acha ujinga na kumuusisha hata mtangaze namna gan mwaposa baba yao walikutuma wambie wajipange Upya
@maswamills3161
@maswamills3161 14 күн бұрын
@@GilgariMinistryTanzania yep!!!!👏👏👏👏Tena ajitathimini yeye na MTUMISHI WA MUNGU MWAMPOSA.
@shakilaburhan9552
@shakilaburhan9552 17 күн бұрын
Kala cream mama
@marymary8313
@marymary8313 12 күн бұрын
Mwamposa ni mtumisi wa mungu, kama unaenda kwa Mwamposa tena unaendelea kufanya maofu utaesa kufa kama uchawi na kuua, mimi sijawai fika kwa Mwamposa ila natumia youtube na tuko mbali lakini tunapokea ,waja kuongea Mwamposa vibaya, wachawi wafe wametusumbua
@MichaelLambo-oh4bw
@MichaelLambo-oh4bw 17 күн бұрын
Barikiwa mama
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 9 күн бұрын
Huyu kafa kwa njaa bwana au maradhi ya TB,au vidonda tumbo jamani tule tutalaumu watu bureee,hata mimi nina vidonda vya tumbo kanuni tunza muda wa kula sasa mtu unakuta anakunywa soda afya,pepsi andazi unaongeza chemical mara bia sasa tumbo halipati msosi jamani maombi na kula sasa mchungaji unataka awakumbushe kula nyie mnaouguza pia muwajali wagonjwa kuwapikia msosi wale washibe walazimisheni sio mnawaacha bila kula
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 18 күн бұрын
Eti mafuta ya upako majinga nyie acheni upuuz mtakufa nyie majinga ya akili mafuta mafuta haya kamuua sasa asee mtuwawatu
@alinependo-bk4jj
@alinependo-bk4jj 13 күн бұрын
Unaonekana huo mama kamfanyia kitu ukisikiliza kwenye interview ya kwanza alisema anawa wtoto 3 namalehem hapa anaulizwa kama ana mtoto nae anasema hapana Mungu atakuumbuwa
@janetdundul3858
@janetdundul3858 11 күн бұрын
Yesu alitukanwa na kutemewa mate lakini,,,,,,kunasiku walimpigia magoti
@Amut-s6v
@Amut-s6v 9 күн бұрын
Comment nyingi kuna mtu ka Comment hapo ni ndugu yao alikua na TB
@PaulPassword-yq7gp
@PaulPassword-yq7gp 10 күн бұрын
Wapi wewe tulia na utamtafuta huyo huyo anayesema vibaya akusaidie
@emmanuelmasatu
@emmanuelmasatu 16 күн бұрын
Jamani hebu tuelezeeni vizuri. Mwaposa amehusika vipi na kifo cha huyu mgonjwa.
@EnaraMfwango
@EnaraMfwango 13 күн бұрын
Mbn makasilik jaman Kwan mwamposa ndy mung mpak azuie kif Cha mtu kufa kup tu msitumie Kam Ako ndy katiket kakumchafua mtu lakn Kwa mwamposa ndy atuach😂😂😂.
@MayleenDonaldharris
@MayleenDonaldharris 14 күн бұрын
Pole mama angu
@DivaMsukuma
@DivaMsukuma 13 күн бұрын
Acha kumchafua mwamposa uyo njaa imemwua
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 18 күн бұрын
Hii😢
@lissaMetta
@lissaMetta 16 күн бұрын
😂acheni zambi uyo mwamposa anahusikaje,mtu afe na ahadi yake eti mwamposa anahusika
@vero57
@vero57 18 күн бұрын
Mwamposa haja sema uki umwa usinywe dawa!!!Acheni kuchafua jina la mwamposa
@AishaTarimo-hj2nj
@AishaTarimo-hj2nj 17 күн бұрын
Mm namashaka na huyu Mama mbona naona kama kuna kitu kimefanyika
@SamiriHassan-dp9kn
@SamiriHassan-dp9kn 18 күн бұрын
Rip
@user-bt2it1vw3t
@user-bt2it1vw3t 18 күн бұрын
Huyu mama mbona kama mkubwa
@user-vy2bc6xg3i
@user-vy2bc6xg3i 18 күн бұрын
No tu my dear mkubwa Allah
@neemamtangi4818
@neemamtangi4818 18 күн бұрын
Me atanilifikilia ni mama ake duuh
@maswamills3161
@maswamills3161 17 күн бұрын
Ulitaka aoe mtoto!!
@user-xm5xg1tt6d
@user-xm5xg1tt6d 16 күн бұрын
Ulitlaka awe mdogo
@HilderNdunguru-cx2ig
@HilderNdunguru-cx2ig 18 күн бұрын
Wewe mtangazaj unatafuta tu mtumishi wa Mungu umuhusishe na hii ishu aisee maan uliza yako ni ya mashaka
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 18 күн бұрын
Anataka na yy sadaka alizopata mwamposa
@zulfafengu3783
@zulfafengu3783 18 күн бұрын
Katumwa uyo amualipia
@JanetNjobvu-xf4vq
@JanetNjobvu-xf4vq 15 күн бұрын
Yani huyo dada mfiwa kweri mbona aonekani kama kafiwa macho makavu
@lilyabel2320
@lilyabel2320 16 күн бұрын
Huyo alikuwa anaumwa TB hamkujua tu
@AshaMwamba
@AshaMwamba 17 күн бұрын
Alikuwa anaishi mashangaIziiiaa
@user-qe3fs1xc3b
@user-qe3fs1xc3b 18 күн бұрын
Yaani nnavyoona huyu muandishi anamuhoji Kwa udadisi huyu dada Bila Shaka wanamdhania huyu dada kamuekea kitu labda kwenye chakula ama kafanya lolote Khusisha kifo cha huyu kaka. Kuna watu hawana imani na vifo vya ghafla kufa ghafla wanajua mt kauliwa ama vyovyote. Kufa C lazima umwe au update ajali au unyongwe mauti hayana ivo unaweza kua mzima sasa iv ndani ya sekunde 1 to ukaondoka duniani.
@user-bt2it1vw3t
@user-bt2it1vw3t 18 күн бұрын
Umri huo bi mkubwa mtoto labda wa miujiza ya mwamposa
@user-jl3ck5mf8p
@user-jl3ck5mf8p 18 күн бұрын
Yaani me nilijua mama wa marehemu ndo anahojiwa kumbe mkee 😂😂😂dunia imeisha jmn😂😂
@claudiangowi9628
@claudiangowi9628 18 күн бұрын
Sasa unacheka nini kama kahaba
@AishaHussein-m6x
@AishaHussein-m6x 17 күн бұрын
Nop mama mkubwa yupo Moshi mm mdg ake
@samweli7985
@samweli7985 18 күн бұрын
Alikuwa anaumwa mda mrefu, sema tu hakujiongeza kwenda hosipitali, na siyo kafara wala, ila mawazo na imani zenu tu
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 16 күн бұрын
mwamposa wakala wa giza jiadharini naye
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 18 күн бұрын
Vumbi hilo la machimboni
@lukasielibariki3181
@lukasielibariki3181 18 күн бұрын
Hihi chaneli ni ya kumchafua mwamposa
@claudiangowi9628
@claudiangowi9628 18 күн бұрын
Halafu wameandika kichwa cha habari ili kuinua hisia za watu mwamposa anahusikaje hapo😢
@zulfafengu3783
@zulfafengu3783 18 күн бұрын
Kweli kabisa mbona machaneli yote atuon tunaona cheli III
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 18 күн бұрын
Mhiii hyu kweli m bibiii yaani kafiwa lakini bado kapata Nguvu ya kujikwatwa jamanii anavyo jieleza utasema ni jirani hata choziii allooh 😂😂😂😂😂😂😂
@josephmadukashambalawokovu642
@josephmadukashambalawokovu642 13 күн бұрын
Wajinga ndo waliwao
@zulfafengu3783
@zulfafengu3783 18 күн бұрын
Acha kupanga watu we muache aposo wetu mbona uwendi kuoji osipitali Kila siku watu wanakufa unaunacho kipata umona mazuli anayo yafany mmulushi
@beatricemwakasyuka699
@beatricemwakasyuka699 18 күн бұрын
Acha kumchafua mwamposa
@maswamills3161
@maswamills3161 17 күн бұрын
Tena akome.
@user-lb4sy6xd9m
@user-lb4sy6xd9m 16 күн бұрын
Usihukumu usije ujekuhumiwa mwenyew Kila Mt angalie dhambi yake mwaposa Kila siku mwamposa mwCheni mtumishi wa mungu Kam mda umefika umefika ty tujihadhalin na kutubu dhambi zetuuu
@TedyEmanuel
@TedyEmanuel 17 күн бұрын
Mwacheni baba yetu wa upako,,,ck yake ilikua imefika tu, nyie mnaomsema mtumishi wa mungu mungu anawaona nyie na ushetani wenu
@marymary8313
@marymary8313 12 күн бұрын
Yoyote anaongea Mwamposa vibaya ni mchawi but hamutamuweza msipobadirika mtakufa
@zulfafengu3783
@zulfafengu3783 18 күн бұрын
Acha kudaganya watu kufa kupo yeye sio mtoa roho adi imefika km mmempa ela kiss Mwamposa imekula kweli sis waumini wa Mwamposa bado tupo nae San sis tunavyo juu kufa kupo wawaojin osptal mbona wanakufa
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 201 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 54 МЛН