Yan wasichana mjifunze,sio kukimbilia ndoa na vi marioooooo 😅😅😅😅 jitafuteni kwanza,goooo girl🎉
@BinastlyshКүн бұрын
Interview nzuri sana kaka hujaweka uchawa kama wa MWIJAKU Umewakilisha MEDIA YAKO VYEMA SANA
@HamisiNgua3 күн бұрын
Nakubali B levo bro ukitoka ugaibuni njoo kenya bro kwa churchill
@dn.n49832 күн бұрын
Big up hongera mbarikiwe unajitahidi sana
@janethmutoka3 күн бұрын
😝😝😝baba levoo…YES BROOO ONE TIME😂😂😂😂ila mtoto wa rukuga jmn
@cosmascastory91933 күн бұрын
Daaaaah sema Baba Levo inazingua sana ety ni kepesi 😂😂😂😂😂😂
@salomewandya72573 күн бұрын
🤣🤣🤣Acha tu
@AngelAfric20 сағат бұрын
😂😂😂
@umelamedia19 сағат бұрын
I like it Baba Levo umetisha sana 🔥
@josephgatunzi1670Күн бұрын
Good job brother Msarimie Ceccy❤
@blacksingapore2 күн бұрын
Kuhusu kupata bwana wa kizungu na anamlipia bills hapo katupiga, sisi wana New Yorkers tunajua mfumo wa maisha😂😂
@shubiananКүн бұрын
Anadanganya watanzania alipiwe bill everything then anataka freedom 😅na huyo mxungu wa kulipa bill zote sina uhakika
@shabansued2 күн бұрын
Camera bado kaka ..we need HD
@Wish_Tv3 сағат бұрын
Ila Baba levo Ni mnafiki wa kukupa ukweli ety mbaba Mzungu 😂😂😂
@SaidTsuma-je8dv3 күн бұрын
baba levo uko ft sana bro,,
@annamwakibinga5272 күн бұрын
Hee kumbe ujanja tuu elimu hamna Baba Levo
@souvenirweber71692 күн бұрын
Baba levo yuko vizuri haropoki ropoki hovyo kama mwijaku wala kuvaa viatu vya ndani nje yaani navaa kisanii mwijaku alikuwa kishamba sana na ulimbukeni mwingi na vyeti vyake kichwani. Mwijaku badirika unatuchosha
@Melissashiner2 күн бұрын
😂😂 love you much ceccy
@MsNajma-j7e3 күн бұрын
Nionganisheni name na uyo said ware natamani kuja oko marekani ninahuwishi jmn bro baba love
@AminaJuma-r4y17 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Zenny892 күн бұрын
Dada kaishi marekani mwaka mmoja kingereza kingiiii..Watu tupo huku mwaka wa 20 na ni maraia tunapiga kiswahili kama tupo buza🤣
@minaeli59892 күн бұрын
Ukipiga wee kiswahili inatosha mnakuwaga na wivu nyie visibi kisa mko muda mrefu mnatakaga kunyenuekewa mwache cesi wetu kaa na kiswahili chako
@susancharles16602 күн бұрын
Kweli kabisa haswa unapokutana na mm bongo mwenzako
@@minaeli5989 sasa Mimi wivu utanisaidia nini🤣..Huyo Cesi wenu mnaetegemea hapo kawadanganya..mwenzenu kazamia..akikamatwa na Polisi tu anarudishwa bongo na mfuko wa Rambo Ndo nimuonee wivu🤣🤣..dada kakojoe ukalale tuu Sababu hujui unachoongea. Nakama namuonea wivu Kama unavyosema.. ningewapigia simu wahamia na kumreport Mbona rahisi sana🤣🤣
@ashaali71542 күн бұрын
Huyu hata alipokuwa bongo alikuwa hivyohivyo anajifanya mzungu kiingereza kibovu kiswahili kibovu daah mtihani mkubwa huu.
@aairraahseif56483 күн бұрын
Baba Levo acha hizo Sio wenye vipara wote niwazee 😄 wapo vijana wanavi para lkn nima handsome kinoma
@ashaali71542 күн бұрын
Huyu kivuruge nae alimrubuni Lukamba akaacha mke kwa vishindo sasa kamuacha solemba acha wanaume yawakute sasa anafanya umalaya Marekani kamuacha anasota Bongo hovyoooo.
@robertphilip385Күн бұрын
Wivu utakuua
@AnnamichaelVictor2 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 Hennessy na coca
@annamussa185Күн бұрын
Basi tufupishe mambo,Nguzo ni lukamba😂
@dorothymalambughi212Күн бұрын
😂😂😂😂😂 umepajuaje hapa kama sio kutafuta mabwana 😂😂😂😂😂
@pichunakichuna21112 күн бұрын
Weee mwaka moja kizungu ya mapua 😂😂😂😂
@minaeli59892 күн бұрын
Kwahiyo asiseme kizunguuu sweet wabongo mnamaneno
@BenMamadou-w9e3 күн бұрын
Maliza yupo na kartasi zakuishi hapa USA 🇺🇸 ao wamemrangua kwa wanaume
@Platformshow2573 күн бұрын
mtu wakujimimina😂😂😂😂😂 14:22
@Ibrahim-ne3in2 күн бұрын
Hiyo n miguu au spoko😂😂😂
@godsonrwegasira4414Күн бұрын
Eitima ne ekitwe manina!!
@CalliamKayechikwindi4 сағат бұрын
Yep bill itakuwa kubwa
@SmilingFuchsiaFlower-jl7dg3 күн бұрын
Bab p ukirudi uniletee zawad ya ya sim,at mbovu😂 4:04 7midia
@jtheophil54992 күн бұрын
Hata kama karatasi anazo hakunaga uraia wa mwaka USA.Kwanza hapa USA kujihita raia wakati sio ni kosa la jinai kubwa.Kabla ya kuongea uwe unatuliza kichwa.Anyway all the best.
@Brunn-mh2bq2 күн бұрын
FACT. She is lying
@universenurity7763 күн бұрын
Tunasubiri interview ya Roma Mtakoliki
@JustinMwakalukila3 күн бұрын
Baba levo mtu wa maana kabisaa😂😂
@Brunn-mh2bq2 күн бұрын
" Umeniforo"😊
@lovirinaa2 күн бұрын
😂😂
@GodfreyLudovick16 сағат бұрын
Hapo kidimbwi siyo USA
@aminatanzanya7475Күн бұрын
😂😂😂 Baba levo eti ungepigwa Marekan mbwa wewee
@SelemaniAmiry3 күн бұрын
B fund majumbs❤❤❤
@silasila31113 күн бұрын
Baba p ilo pesi niletee😂😂
@salomewandya72573 күн бұрын
😅😅😅😅
@HASSANBAKARI-q9c2 күн бұрын
Ukiwekewa maiki uongoee unalopoka tu,,,umeona ugumu wa kushika maiki we tumbo
@ChristinaOnditi-el3xo2 күн бұрын
Kila la kheri cecy
@BenMamadou-w9e3 күн бұрын
Kazi za USA hadi uwe na kartasi kisha yakuchunga waze unaisomea kwanza sio kazi ya kila mtu duh 🙄
@ChoroTesla3 күн бұрын
Wenzetu wanaheshimu professionals
@ashaali71542 күн бұрын
Huyu ni mshamba tu anatukana aliowakuta kujifanya yeye bora sana eti modelling my foot. Pumbavu.
@gracewairimu800Күн бұрын
Yani babalevo mshenzi Sana eti kashazagamuliwa😂
@soudytv74713 күн бұрын
Ni kepesi😂😂
@MumbuaMuindi5 сағат бұрын
😂😂😅oweeeee interview gani hii ata dem hapewi time akajieleza 😬sema mwanaume wa mahaibu 🤭oooh God !!!dem yuko na points na lakini mwanume eish !!!fala mangaaa
@EliaMwambene-t8h2 күн бұрын
Umempiga mwijaku na ki2 kizito sijawai kuona B.❤❤❤❤ levo
@ZuberiMamboleo3 күн бұрын
Nikepesi 😂
@OnlyRuky3 күн бұрын
Quality ya video mbayaa umeshindwa hata kutumia good mobile 🤳
@TefleKoja-p9c2 күн бұрын
Bibi yake p didi akusubiri😂😂😂
@dinakipingo19052 күн бұрын
😂😂😂😂baba levo
@iambaizoКүн бұрын
Acha kudharau " Elderly care" kwa watu wengine ni part time job na inawatoa especially kipnd hichi inflation kwa marakeni ipo juu na kuvunga eti " modelling" mara fashion ndo kazi unafanya mara hufanyi kazi za kulea wazee wakati modeling is fancy way of saying your a "whore" yaani uishi NY kwa modeling bila support ya mtu utaishia kuuza nudes OF .
@samchris19143 күн бұрын
😂😂😂 mazitooo
@Baira2402 күн бұрын
Camera gani hii ya tecno au😂😢😢
@googleus49032 күн бұрын
Kwani Manhattan sio New York😁😃😃🥲
@MumbuaMuindi5 сағат бұрын
My goodness eti umepata boyfriend uliza vitu za maana eish uko na ufala wa hali ya juu una irritate very much
@Robinson245603 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 be levo ba fundi majumba anapunga upepo wa USA sio mchezo
@zahra52672 күн бұрын
Cessy hebu jufundishe kutofautisha wapi unapronounce R wapi L...
@Yummycuisine269_2303 күн бұрын
Et ALhem 😂😂😂
@JaneBulubaКүн бұрын
Kwanini Huyu baba Anapenda kuita watu Mbwa!!! ?😢😢
@msowamhokole7714Күн бұрын
Kwa kigoma mbwa ni kawaida
@fatmaallyabdul1732Күн бұрын
Kwa kuwa nae ni mb.a😂
@Lulualshagri2 күн бұрын
Pombe kali ukichanganya na coke unatengeneza sumu wazungu wenyewe hawachanganyi pombe kali na coke ni hatari sana
@shubiananКүн бұрын
Kwa hiyo wasafi wamemtuma na huyu marekani 🇺🇸 kama mwijaku 😅😅😅😅😅
@mancholotrasco8350Күн бұрын
Tizama logo ya mic acha unafiki na wewe
@carlyboytz2 күн бұрын
🤓🤓🤓😂😂 muelekeze
@cmsa1rКүн бұрын
😂
@SelemaniAmiry3 күн бұрын
Ni kepesi 😅😅
@BisekosonКүн бұрын
Kama anatuibia vile!?? $250/night!??? Mhhhh haya bana pengine wengine kwa vile hawaelewi. Hivi kwanini wabongo wanadharau kazi ya kulea wazee as if ni kazi mbaya. Shwain sana wewe, ile ni kazi kama kazi nyingine, na kuna watu wamefanikiwa kupitia hizo kazi. Acha dharau panzi ww. Hicho ndio kinachotuponza watanzania wengine kudharau kazi, ndio maana watu wanaamua kukaa na vyeti vyao wakiogopa kufanya kazi za chini sababu jamii itawadharau. Kwa wale msiofaham hiyo kazi ya kutunza wazee, huwezi kufika na kuanza tu, unasomea, unafanya mtihani ukifaulu ndio unatuhusiwa kufanya sio kufika na kufanya tu. Wewe dada cha dharau. We endelea kufugwa na mzee wako, na hauna makaratasi mbuzi wewe.
@eleven-in5qw3 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jtheophil54992 күн бұрын
Hata hiyo modeling kwa wengine ni changamoto pia.Kutembea kama sanamu mchezo .?tujifunze kuheshimu kazi za watu wengine.
@agapemunyi2095Күн бұрын
Et mbio kwenye maji
@Gloria-vh5bz3 күн бұрын
Tumiguu na tupaja hata km modeling hapana kwakweli😂
@lilyrose79833 күн бұрын
Wanakera sana kazi kukaa uchi tu vipaja kama vya ndege 😏
@janetharris75092 күн бұрын
KAKOKOTWAAA NA JIBABAA 😅😅😅😅😅 DUBAI ILIKUWA UVUVI KISHA VUA SAMAKI USA 🇺🇸 WELDONE
@JeannetteManirambona-o6m3 күн бұрын
😂😂😂baba jmn
@johanjoha52622 күн бұрын
Ninyoko
@BenMamadou-w9e3 күн бұрын
New Jersey inabanana na New York so Harlem and Manhattan ni New York aashe ushamba mimi naishi Queens Jamaica 🇯🇲 ni New York City na New York iko na miji mingi mbona Queens aijui wala Bronx
@ChoroTesla3 күн бұрын
Huyo Manzi yuko kiwanja sidhan km ana miaka zaid ya mitatu so kawaida tu manake sio mwenyeji sana ila hajakosea yuko sawa tusipende kukosoana kwa bit vidogo tu kumbuka alikua anafanya modeling dubai
@jafarinauma67983 күн бұрын
Kwanza kwa nini tupende kukosoana kwa vitu vidogo vidogo kwani yeye kaenda kujifunza miji kule yeye kaenda kwenye fighting zake wewe ndio mshamba ulioenda kuijua miji
@kazigembeleke59582 күн бұрын
Little Italy, China Town na Bowery
@xyz-v6d2 күн бұрын
Acha ushamba hapa tu dar mtu anakaa mbagala hapajui kigamboni au masaki sembuse ney York.Au ulitaja nafasi ya kusema nawe upo huko
@aminatanzanya7475Күн бұрын
@@xyz-v6dkabisa mliman city mtu kazaliw bongo na hapajui
@ashaali71542 күн бұрын
Eti lilax lilax ndio nini hicho.
@josephlorri431Күн бұрын
Hahaha..relax relax
@TefleKoja-p9c2 күн бұрын
Nanda kwa bibi yake pi didi
@Zainab_salat2 күн бұрын
Ninasikia anauza k ni kweli au
@husseinshabani95222 күн бұрын
Kama Unamuonea Wivu...Nenda na Wewe
@josephlorri431Күн бұрын
Kauze na yako.. tuache roho mbaya
@Zainab_salatКүн бұрын
Mbona wanaume mnapanic🤣🤣🤣🤣🤣
@josephlorri431Күн бұрын
@@Zainab_salat wanawake kweli hampendani.. sisi ndo wateja wa k..
@seifsaidseifsaid1210Күн бұрын
Kamekaukiana km kuti kavu
@hawaalawi27221 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@noswingofficial96243 күн бұрын
Mchokozi
@mussandikumana35613 күн бұрын
B. Levo tatizo zako na Mwijako ukirudi bongo ziishe sumeona watu uku nginsi wanaeshi bila nongo eti umemwambiya Lukuga amfukuze Mwijako neno Kama ilo na unatumika watu sio poa Diamond anaona kila kitu Mwijako anafanya wala abimsumbuwi
@nashnene63263 күн бұрын
Mwijako alijipa uMungu na kusema blevo hawezi kwenda Marekani, tutaanzia alipoishia
@MatonyaDaniel-u8w3 күн бұрын
😂😂 cecy eti kapesi
@ashaali71542 күн бұрын
Kiswahili kibovu. Ati brother au bwana. Danganya wajinga wewe