Gigy ni mzuri sana jamani. Very pretty. Hata binti yake ni mzuri sana.
@macdee_tv76228 ай бұрын
Gigy you are a strong woman..kenya we love you
@kekiplus1andonly8 ай бұрын
MashaAllah 🙏🙏🙏I didn't wanna talk to anybody but you "THE QUEEN"👑👑👑👑MashaAllah God bless. Mtu hapewi hii title bure,there must be something in you that she knows/sees. Keep shining momma, And keep growing gigi.
@eppiemodest8 ай бұрын
Huyu mange kimambi Mungu amwone.kwa kweli. Anadhalilisha sana watu. Iko siku atajutia kwa nini amewaaibisha hivyo.😢😢
@pcmchealthcare93398 ай бұрын
Shida sio mange shida iko kwa watz wachache wapuuzi tu na njaa zao wako na uroho wa pesa na wamepoteza utu pia ndo wanamtumia yy afanyeje sasa naye anataka kuishi😢 na haon taabu
@nangatukatalks8 ай бұрын
Nashangaa sana kwanini serikali imekaa kimya kuna sheria za kimataifa na hata marekani anapoishi uyo mange hawakubaliani na vitendo hivi vya mtu kupost picha za utupu za mtu mwingine bila Ridhaa yake hili kosa kubwa sana. Huyu mange kimambi anatakiwa kushitakiwa na wote waliofanyiwa vitendo hivi wawe mashaidi. Tumeona watu kama kina r Kelly wanaenda jela uyo mange ni nani kwanza naiomba balozi ya Tanzania marekani waonyeshe kuwa wnafanya kazi kwa kumpa haki yake hii ni kesi ya deformation na pia kesi ya kusambaza picha za utupu za mtu bila ridhaa yake. Wanasheria wa kimataifa mpo wapi ?????? Serikali ipo wapiiii???? Wananchi wenu wanafanyiwa mambo haya kivipi ??????
@sonnyr18998 ай бұрын
Point kabisa.
@zaydelabay97768 ай бұрын
Kesi kama ulirekodiwa, ili ukijirekod mwenyewe watu wanapita nayo😅😅
@themontanas18528 ай бұрын
Wacha kusapoti vitu vichafu alifanya poa
@allthingdranabeauty8 ай бұрын
Sababu yupo mbali na tz serikari wapole kweli nchi za wenzetu wanawake wanashimiwa ufanye ivyo kesi kubwa na wanamlipa Mange anajua sana
@subrynerysegerow13238 ай бұрын
Ni kazi ndogo ya mara moja yan sema serikali inajifanya kipofu kwasababu huyo mange hapo marekan sio mbinguni ni mara moja tu anakamatwa na kwa anayofanya mange ipo siku nakwambia ipo siku atakanyaga sipo atarudishwa kama jambazi
@SalvinJastin5 ай бұрын
Nampenda huyu dada sana i wish one day nimuone 🥰
@JOHNJOHN-pu7wb8 ай бұрын
Tunasubiriaga tu youtube. Hatunaga haraka 😊
@zaynabmwanjovu82778 ай бұрын
😂😂😂
@hatibuabdulla10394 ай бұрын
😂😂
@queenlinda2558 ай бұрын
I love this interview 🔥🔥🔥
@1tripple98 ай бұрын
"mdogo wangu..."🤣🤣 my favourite part of the story
@kihanda25548 ай бұрын
Nachukia sana Maswali ya Kiswahili mtu anajibu Kingereza Kibovu.
@Itsyourgirl_glory8 ай бұрын
Hata mimi niliangalia nikashindwa kumaliza, nilijaribu kuvaa viatu vya Gigy nyieee ni vizito. Nikasema hatakama Mange anamchukia Gigy kiasi ganiiii binti yake je? Mayra je? Aje aone utupu wa mama yake jamani💔💔hii mbona ni udhalilishaji sanaaa jamani? Vitu mtandaoni havifutiki😢😢 dah!
@maryamtanzania97438 ай бұрын
Zama nakushauri uwe unawambia unawahoji wasiongee kiingereza kwanza kibovu kwa kweli siwezi sikiliza mpaka mwisho
@fatmahamad-ng8vp3 ай бұрын
gift nakupenda sana❤
@mauasumali-cm7gs8 ай бұрын
Giggy n mrembo sana wallah❤ lov her
@hassanbakari45258 ай бұрын
MKIHOJIWA NA WATU SIRIAS MNAFUNGUKA YOTE😊
@blessingsmary8 ай бұрын
Gigy kiswahili iko sawa kizungu wachia waiengereza akii
@eshialabonita77368 ай бұрын
Practice makes perfect
@agwalubifaridah70798 ай бұрын
@@eshialabonita7736but gigi's own is mmmmmmmh
@Joanitajohn-h8w3 ай бұрын
Tupe full interview ya hii apa
@WhyMe-ro6nd8 ай бұрын
Nampenda Gigi Ila ana hitaji kuacha kuongea broken English yake it sooo annoying asf !
@Thebaddest2558 ай бұрын
It’s 😂yaani and so cringe
@MultiMbongo8 ай бұрын
Sijui ni nani aliewaambia wabongo kuongea kikoloni ndio inaonekana mjanja,Sasa hii interview ni ya kiingereza au kiswahili? Kamanapenda sana kizungu basi mfanye interview yote kizungu inatia sana kinyaaa
@pcmchealthcare93398 ай бұрын
Hahha akisema master J kuwa tunazingua na vingereza vyetu mnamuona bro vip acha wivu
@WhyMe-ro6nd8 ай бұрын
@@Thebaddest255 umeona ehh 😅
@WhyMe-ro6nd8 ай бұрын
@@MultiMbongo 👏
@bonamarlene4 ай бұрын
This girl she's very strong
@judamsaki5609Ай бұрын
beautful gigy
@AlamaAlama-gi6yl8 ай бұрын
Gigy uko vizuri mashaa Allah ❤
@silviasaleh46678 ай бұрын
Best makeup Gigi
@masalakulwa76018 ай бұрын
sure
@sophiaalnuru458 ай бұрын
kapendeza sana❤
@marrymchaki90258 ай бұрын
Pole Sana gigy Mimi nakpenda Sana aijalishi❤
@vanessalaizer43638 ай бұрын
Nimeskia mnasema kingereza kibovu umu ndani! Mbona naanza kuogopa kusikiliza kabla hata sijasikiliza?😊😊😊
@AzizNgitu-wk3ey8 ай бұрын
Kwani wewe ndo mwalimu wake???
@HONGERAMLIGO-h3w8 ай бұрын
muong wew mpak kufika apa baas umeshasikiliza
@maryvitalism8 ай бұрын
I love you Gigy money ❤❤❤
@aminahomary25328 ай бұрын
Nakupenda da zama mungu akubariki na familia yako❤
@allyfwady1234 ай бұрын
Giggy nakukubali Sana,napenda kujiamini kwako,haya Yana mwisho ucjali
@EmileLugendo8 ай бұрын
Hii exclusive ni kali na wote mmependeza
@SamirSaid-ip8nn8 ай бұрын
Jazamard muongee kiswahili jamaniii😅😅😅😅
@zaynabmwanjovu82778 ай бұрын
Huyo Gigy,Zama huwa hapend
@bettyokito7748 ай бұрын
I love you Gigy❤❤❤❤ from 🇿🇲🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲✌️🇨🇩
@MwajumaHussein-o3b8 ай бұрын
Gg nakupenda sana mwanangu,yanaumiza ila yatapita mama mm nakukubali sana
@sofiasophia90188 ай бұрын
Wabongo bana simuongee kiswahili 2 kizungu chenyewe mnangata 2 midomo ila 🎉🎉🎉nawapenda zama namamaira
@vanessalaizer43638 ай бұрын
Sawa tumekuskia! Nawewe jitahidi urudi shule ukajifunze kuandika, sasa sijui utarudia from standard one mana mhh zama namamaira
@sofiasophia90188 ай бұрын
@@vanessalaizer4363 nimeipenda hiyo nawapenda sana siku nikijaaliwa kuja jiji la daresalam nitawatafuta inshaAlla niwaona niwasalimie
@NiceWatson-y7e8 ай бұрын
Gigy anajua kiingereza perfect kabisa acha roho mbayaq
@BethiGody5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣ww vp sasa unajua icho kiswahili au english
@vinny.morales3 ай бұрын
Rudi shule ukajifunze kuandika kwanza.
@AzaAzamhmod8 ай бұрын
Yan watz njaa ztawaua... Yan kila kitu app Zaman c mlikua mnatuonyesha KZbin. KWAN hampati pesa KZbin??
@vumi83718 ай бұрын
😂😂😂
@mwajabumbajo65608 ай бұрын
She is very smart!!!
@irakozeshakiru11318 ай бұрын
Gigy ❤❤❤❤❤❤❤❤
@Rayan.Mohd.4718 ай бұрын
Poleee sana Gigi 😢
@rosemery30178 ай бұрын
Nimeshindwa kukoment chochote 😢😢😢😢
@irenenyaulingo13198 ай бұрын
Gigy you're super hero i love u moree
@felistafelista70885 ай бұрын
I love you gigy i wish you well that was just small thing usijali alio ipost ile issue itamtatiza badae i hate him 😢😢😢😢😢 nakupenda gigy
@WinfridaCharles-dp7nc8 ай бұрын
Yaani watu hamumpendi gigy mnadis Lakin mko hapa hapa msiende kwa mnaowapenda
@pcmchealthcare93398 ай бұрын
Asie mpenda tena kaz kwake sio shida zetu maana ako na vituko vyake ndo tunampendaga 😅 siye
@OnlyRuky8 ай бұрын
Comments 😂😂😂😂😂jmaaaaani kwani hamjui she's not okay and needs help 😢😢😢
@Shunaam-d7z8 ай бұрын
Tusiwewaongo sometimeinatokea unaweza uka date na mtu lkn usijue lengolake nachoshauri wanawake tusiwe tunajiachiakulewa hovyo
@ismailmasoud60018 ай бұрын
Binaadam utazunguka weeee, utajirusha weeee, utaringa weeee, lkn ikishafika wakati wa kujua FAMILIA ndio maisha ya binaadam ndipo unapoona kwamba ulikua mpumbavu Kwa kutingia PESA zako, UZURI wako, UMAARUFU wako,....ndio inakuwa too late, !...kwenye maisha ya binaadam FAMILIA ndio jambo la msingi kuliko yote..!
@rosemaryjohn38608 ай бұрын
Wow Gigy I come to love her
@Shunaam-d7z8 ай бұрын
Wanaume sometime muwemnajitambua unaporecord utupuwamtu juakabisa ile k atamamako anayo dadazakopia wanazo so msikafikiritu unamzalilisha gigi mwehu no unazalilisha wanawakewote dunian
@HadjiMbugi-hw2hf8 ай бұрын
usitufananishie mama zetu na ushafu huo yaani mtu anafirwa duuh haoni hata aibu
@Dian-m3z8 ай бұрын
We mama Ako anakwambia vyote alivofanyiwa😂😂😂😂 we muheshimu mwanamke yoyote huwezi jua😂😂@@HadjiMbugi-hw2hf
@SekelaJakson-ls7dd8 ай бұрын
Ongea kiswahil sho if if if😅😅😅😅
@sumayyahally8 ай бұрын
Nilimic interview za dada zamarad😊😊
@maryboniphace4698 ай бұрын
Nakupenda sana gigy
@uyetomato95145 ай бұрын
gigy you are the best no mara waaa
@NanaaHaji-qr1rk8 ай бұрын
Part 2 jmn
@maimunaulotu20758 ай бұрын
Umependeza ggy❤
@badifundi60898 ай бұрын
Chuma kwa chuma alinyonya bomba la dawasco la gigy mara gigy sura akaikunja akapigwa mkende mmoja hatari..lkn Instagram ana edit mpaka kiuno kuzungusha
@vickyitenyo.7 ай бұрын
Gigy ongea tu Swahili.
@eppiemodest8 ай бұрын
Hakuna sheria za Kimataifa wa mshughulikie Mange Kimambi. Aletwe huku Tanzania kwanza afikishwe mahakamani pamoja na wale wanaompelekea video hizo wafungwe jela kwa miaka mingi.
@ZawadSalum-un6le8 ай бұрын
Nakupenda gift
@AllyMihayo8 ай бұрын
❤❤
@DivineNiyogu8 ай бұрын
Kizungu miiiiiiingi khaaa 😢
@cyahmkanile85878 ай бұрын
My gigy❤
@josephineluzango14638 ай бұрын
Gigi akiwa na make up ni mzuri nyie kama black American flani❤
@zaynabmwanjovu82778 ай бұрын
Umepigajeeee hapo
@maryamsaid13078 ай бұрын
Kabsa
@princessofficial25588 ай бұрын
My g❤❤❤🇨🇩🖐️
@NatalieNzeyimana-fg8mg8 ай бұрын
Muendelezo basi da zama😢
@khayraa73748 ай бұрын
I understand mange kimambi job bt that lady has noooo idea how much Shes damaging peoples relationships/ image all fr sake of gossip 💔…. No women should be in this situation its absolutely sad
@PriscaJublathe3 ай бұрын
Interview za gigy sizioendi haongei lugha moja yaan inakera jaman kuchanganya lugha
@magrethmodest-yp6fg8 ай бұрын
Kwan nilazima kuongea English jmn😅😅😅 Hadi aibu
@LilianJaphety8 ай бұрын
Mbona gigy anaongea englsh nzur sana.....like american english
@dainecwilson78275 ай бұрын
Yan gigy na kizungu jamn😂
@eve38948 ай бұрын
JUST KEEP KISWAHILI PLEASE
@lubungaetienealmasi10598 ай бұрын
Gigy akiitaji anaweza kumstaki yule jamaa kwakupitia ambassadeur y’a TZ inchi marecani ivyo anavizipiticho Mbona kesi ndogo sana anitafute mm ndamsaidia apate haki yake
@Norby008 ай бұрын
To be honest we live in a very complicated society everyone
@Mundi-oz7os8 ай бұрын
Nimeacha kusikiza maana viingereza vyenu ni upumbavu ukizingatia wasikizaji wenu ni waswahili. By the way all the best
@RachelMlata8 ай бұрын
😢woow
@abletasharnetwork8 ай бұрын
Wow 💚
@samsonnzisabira7688 ай бұрын
Hivi mkulima ambaye hajasoma ameelewa nini kwenye mazungumzo hayo.Ni bora mh.Mtangazaji ufungue idhaa ya kiingeleza ili ueleweke zaidi.
@NuruChaula8 ай бұрын
Mbn fupi part 2 ikwap
@Mundi-oz7os8 ай бұрын
Kiingereza gigy
@EmanuelJumanne-j6x5 ай бұрын
Apunguze kingereza
@MariamAbduly-g6v8 ай бұрын
Kingereza king alafu 😏😏😏😏😏
@naomicharles54448 ай бұрын
Kumbe na una watu wanao kueshim maskin
@uyetomato95145 ай бұрын
gigy ni kichwa
@ashaali71542 ай бұрын
Kwani Zamaradi huna mtu wa kumfedhehesha ila Gigy tu? Eti yuko famous kwa kipi ? Ufuska au wenda wazimu au uvutaji bangi?
@AzaAzamhmod8 ай бұрын
KWELI DADA WA TAIFA KAWANYOOSHA. NMEKAA PALE KILA HOST LZMA ATAKUA NA APP LKN YA MANGE INANOGAAA ZAID. NYIE HAMNA JIPYAA. MTU HATA TISSUE HAMNA😂😂
@wennceslausmushi23568 ай бұрын
Wee nae huyo mange app kaipata juzi tulisha angalia cook with wema sepetu kitambo mbona
@salomewandya72578 ай бұрын
Wabongo bwana hampendi lugha yenu ya kiswahili
@kwisa48998 ай бұрын
kila mtu mtoto wake anaakili 😂😂😂
@NiceWatson-y7e8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 lazima
@agnesjohn93828 ай бұрын
😂😂😂 ila kweli
@asiminasimin6538 ай бұрын
Ila Gigy mrembo jamani
@hamidawamba8 ай бұрын
Ungeongea kiswahil yan broken imekuwa strong na hautulii kuskiliz maswal ya interview yan una papara
@najmasalim-rg6ow8 ай бұрын
😂😂 miniko pharmacy akija mteja ambae hajui kingereza hua namwambia I'm speaking kiswahili hili language only
@gracekayumba-z9l8 ай бұрын
Gig unapiga ngeli
@NanaaHaji-qr1rk8 ай бұрын
Maskin anaumia nyie😢
@SekelaJakson-ls7dd8 ай бұрын
Ila nyie mnaokazanag mnampenda Sana zama mnampendeaga nn😅😅mnampa tu kichwaa
@dayanafelly14888 ай бұрын
Gigy siuongee kiswahili tu.. yaan unamixmix tu kingereza na kiswahil halafu english yako ni very broken hadi unakera🙄
@PreciousWilbroad8 ай бұрын
😂😂😂
@ArafaAmirAmir-ci7ld8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Thebaddest2558 ай бұрын
😂😂yaani it’s so cringe
@rahmaoman4708 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂na skuzote wasiojua ndo wanakuwaga na kiherehere
@fatmakhanii16768 ай бұрын
Ovyoo mashauzi mengi kwani kiswahili hamkijui ulimbukeni tu 😏😏😏😏yani unahojiwa kiswahili unaleta ujinga
@zalinaseif44308 ай бұрын
Gigi ulikua mjinga coz baada ya video ile uliingia ista laivu nakuaanza kuongea ujinga so machozi yako hayana maana. Coz ule niuzalilishaji ungeweza hata kumfungulia kesi
@Bigbossman-e1h8 ай бұрын
Kwanini mtu urecord unapo fanya ngono na mtu ambae si mume wako yani mtu tu umeanza nae mahusiano siku mbili na kipande unakubali vipi akurecord that's being very idiotic
@EndeshiMollel-k6c8 ай бұрын
Uyo gigy ata ajielewi wa ovyooo
@Thebaddest2558 ай бұрын
I agree with you 😂yaani I never understand her I don’t knw why ppl are hyping her
@salmasudi89018 ай бұрын
Hata Mie sijawahi kumuelewa 🚮🚮🚮🚮
@ZawadMussa-sd1od8 ай бұрын
Kingereza kingi mi sijasoma
@hildasawe6668 ай бұрын
two sided tabia za gemini hizo..
@wemaMichael-fr4th8 ай бұрын
chizi ni chizi tu kingereza chenyewe kibovu alafu wala aoni masikin kujikuta mzungu kichaa
@allthingdranabeauty8 ай бұрын
Hapa kwa mbali kam tonto dike kutoka Nigeria
@Thebaddest2558 ай бұрын
Yaani she is going out the topic 😂jamani kinge hichi
@wemaMichael-fr4th8 ай бұрын
kumuoji chizi ni kipaji maana hajui hata maana ya hicho kipindi
@MwanaishaMandeАй бұрын
Punguza kiingereza
@YustinaHaule-l1l8 ай бұрын
😅😅😅😅Gigy money una vituko wewe, leo umeamua kuongea kiswaEnglish😅😅😅😅😂😂😂😂😂ongea lugha yako ya Taifa wewe. Ulishaaibika duniani adi ahera. Ustaa utawaponza nyie
@wemaMichael-fr4th8 ай бұрын
Ungejiua kiukweli ningefurahi sana maana we bint unatia aibu sanaa
@kidatokassim76168 ай бұрын
😂kwani ni mwanao alafu Ivi wewe kwani haujawai tiwa ama ni vile za gigi zilivuja tu ndio unajifanya mtakatifu...ata ukute gigy kakushinda kupeana kizigo ww hujui na kama unajua record tuone 😂😂
@hadijaally57878 ай бұрын
Watu wanjifnyg watakatifu
@jamilaathumani54818 ай бұрын
Wewe utatamani vipi mwenzio ajiue Kwan alipenda video zake zivuje? Ni kwabahati mbaya tu,,,ila mange Kwa alichomfanyia mange Yani kamfanya Gigi awe anasumu kama yake na itamtafuna gigi muda wote Yan,,tokea mange alivyofanyiwa baba. Ake ushenzi ule tena mbele ya watoto wake ikamualibu kisakolojia ndomana yote hayo yanakuwa
@SashaOscar8 ай бұрын
Duuh 😂😂😂😂😂😂😂 basi ongeeni tu kizungu mwanzo mwisho,iki kizungu kitatufanya tufike mbinguni tumechoka 😢😢😢😢😢😢
Tokaaaa bhana we si unajichetuaga 😂😂alafu si uongee kiswahili tu it’s so cringe na English yako alafu unapapatika yaani I don’t why they made u famous for 😂watanzania ndo mnapenda watu wanaojichetua