Gigy me nampenda anaongeaga ukweli halafu ukimuuliza maswali ya kijinga anakujibu hivyo hivyo kijinga ...kama unamuelewa vizuri GiGy huwezi kumlaumu kwa lolote
@leticiachunga91185 жыл бұрын
Ana akili sana ila kutokana na maisha yaliyo mzunguka na majukumu ndio maana maisha yake yapo hivyo
@anko_luufocus74545 жыл бұрын
leticia chunga yes ni kweli kabisa..me namuelewaga sana h
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
Kweli
@polisikisarawe35105 жыл бұрын
Old school
@aishaborafya64785 жыл бұрын
nakupenda sana gg Wang hunaga shobo wewe
@aikajuma68555 жыл бұрын
nakupenda gigy yaan wewe hudanganyi kabisa yaan maisha yako ni real hufek kabjsa
@yustamakwawa67985 жыл бұрын
uko vizuri mdada
@chimwanajayne27005 жыл бұрын
Kama unampenda gigy Cardi Gonga like hapa😍
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Interview kama hii ndio Naipenda ya Gigy Money, tupo na msema kweli 😍😍😍
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Saumu Hassan umeonaee
@saumuhassan63655 жыл бұрын
@@mwanajumaomahundumla6504 Napenda sana interview za *GigyMoney* azichoshi
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Saumu Hassan sana yaani kwanza hata sauti yake ipo sawa sio wale wa kubana bana gygi yuko halisia kabisa hata mimi nampenda sana
@salmaaman28135 жыл бұрын
Nzuri
@mohamedally3425 жыл бұрын
Dada wewe unafanyaga kazi zanyumbani kwako kweli?
@saulosarmiento86325 жыл бұрын
Nampenda Gigi cause anajitaidi kuwa mkweli hata kama co asilimia 100% lakini anajitaidi #i love u Gigi keep it up girl. "Mtoto mdogo kweli asahau kabisa" I like that it's totally thruth.
@dicksonmbiu21795 жыл бұрын
Nafikiri Millard Ayo umeniwahi mana nilitaka kukuambia show hii irudi,mn katika interviews zenye utulivu this is no 1#interview session
@danielmadenyeka42485 жыл бұрын
B blessed dogo Ayo. Napenda sn intev zako.
@millardayoTZA5 жыл бұрын
asante sana Dickson
@millardayoTZA5 жыл бұрын
Amen nawe pia Daniel, shukrani mtu wa nguvu
@lindajeremia96805 жыл бұрын
Mh gig mii nakukubali coz ww nimwamke unayejikubali
@rawrpromostudio83723 жыл бұрын
kaka kwamajina naitwa rawr naishi mara ila nilkuw natafuta namb yako ya cm kam utojali wawez nisaidy au kunitft kwa mawasiliano zaid 0628818740 rawr
@sativaclan42215 жыл бұрын
Siku zotee hua ndomaana sipendag kuaribu brand ya mtu bila kujua magumu aliyo yapitia kuipata hiyo brand aliyo nayo!!!... hongera sana Gift.. ww ni lulu ya sisi wa wanyakyusa!!! Munguu akujaliee
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
saTiva clan 🙏🏿
@kaobamaabel55615 жыл бұрын
Tupo wengi wa masoko tukuyu mm hapa mwakalindile jr.
@olivermsilu1805 жыл бұрын
Nimekupenda bure
@gracegracegrace18275 жыл бұрын
Kwenye hii interview nimejifunza kutokuwa mwepesi Wa hukumu na mtu yuko hivyo alivyo kutokana na aliyoyapitia !! Thanks Millard for this interview maana kufunguka kwa GigY hivi ni vile NA wewe hauna makuu
@sakinaomar3015 жыл бұрын
Gigy kumbe umazaliwa nyumbani ndio maana tunafanana akili nakupenda bure my love wangu
@mwanaamisa81935 жыл бұрын
Napenda saan gigy money.. Hanaga swaga za kujishau.. Safi saaaaaan my friend gigy money
@zainabumtubwi2635 жыл бұрын
Gigi money anamuekea mtu wepesi mtu anaipeleka interview vizuri.pole kwa shida zote maisha .unajielewa mungu atakusaidia
@mwalysmodel82324 жыл бұрын
BEST INTERVIEW IN 2018.....nan bado anaiangalia hii interview mwaka 2020
@victordenis24115 жыл бұрын
Daaah ! Hii interview iko poa sana, kweli usimdharau usije mjua,Gigy unajibu vizuri kabisa mtu akiangalia awezi kuamini coz tulishamzoe Gigy wa mapicha picha mwenye majibu ya shit shit !! Ongera sana Gigy Pia Dat's why nakukubali millard Ayo na penda sana kazi zako coz zinanifanya nijue kipi nifanye kipi nisikifanye ili nije kuwa mtangazaji na mwandishi mzuri kama wewe ikiwezekana zaidi yako wewe Much Bless to you Brother MILLARD AYO.
@5starsmoviecenter7145 жыл бұрын
Gigy #BUSINESSLADY WACHANA NA WANAO JIITA BOSS LADY SIJUI TZ SWEETHEART SISI HAPA 254 WE CALL YOU BUSINESS LADY HUWA UNAJITUMA DADA. BIGUP AND NEVER LOOK BACK. KENYA TUNAKUTAMBUA
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
Kennedy Njogu sanaaa
@5starsmoviecenter7145 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty cool
@5starsmoviecenter7145 жыл бұрын
@Elida Waya iron lady
@zulfatothman10515 жыл бұрын
Nakupenda bureeeh umesemagi uwongo
@nunuuali53165 жыл бұрын
I lv Giggy so much!!
@amosbinmahona99475 жыл бұрын
Bora wewe umenana ukweli wengine huwa ni full kutudanganya
@marybalongo2215 жыл бұрын
hahaha Amos nawe upo hadi hapa
@amosbinmahona99475 жыл бұрын
Sana tu marybalongo
@schipholathen92155 жыл бұрын
Lkn kwenye miaka katudanganya duuh 21
@innocentnkya59165 жыл бұрын
Schiphol Athen kumbuka amesema mamake Ana 41 kwaiyo inawezekana ni 21 yeye mama alimzaa akiwa na miaka 20
@zaribosslady36815 жыл бұрын
Amos bin mahona ni kweli kbs
@niceladeus16975 жыл бұрын
gigy kumbee unajibugii kutokanaa na MTU
@maireshmamu43285 жыл бұрын
Nicela Deus umeonaeee? Ukiuliza kichiz na yy anakijibu kichiz
@gressasa37385 жыл бұрын
Nicela Deus umeon ee
@loveness67325 жыл бұрын
Dah! Millard tuwekee part 2... maana huyu dogo ana madini sana. Mungu amuongoze tu 👏🏾👏🏾
@vicentjames56915 жыл бұрын
Leo ndo nagundua nmemaliza. Lasaba na gigymoney.... # Be blessed gigy, fight tukutane top ⏫
@maggiezammy11925 жыл бұрын
Salute gig 21yrs 😘😘😍😍
@ashakigumi22635 жыл бұрын
Gigy bn et karatasi 😂inaitwa living certificate
@mfalmegideon39875 жыл бұрын
Hii interview ni Darasa Tosha kwa Vijana Wengi Wanakimbilia Maisha na kukataa Shule👏🏾 Gigy amesema kweli Yote ...
@godymakundi5 жыл бұрын
Sure
@kicmarthawa66592 жыл бұрын
Kabisa
@aishadunia49535 жыл бұрын
Let me just be honest .. This is my favorite interview about Gigy Money .. I really love you 😍
@allym63263 жыл бұрын
Nakupenda sana gigy money
@magehkihwele82745 жыл бұрын
Nakupenda saaana gigy mihela😘😘😘
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Millard mimi naona kama vile interview haijaisha maana gigi bado anaendelea
@millardayoTZA5 жыл бұрын
Yes bado haijaisha, PART II tayari nimeshaiweka unaweza kuitazama
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Millard Ayo Asante sana kwa kujali🙏
@elizabethmyula9825 жыл бұрын
pole cna gigy ni changamoto za maisha ck zt ww n mkwl
@damariszuckschwert94895 жыл бұрын
Now I understand you gigy..
@suphytz07505 жыл бұрын
Kumbe gigy ni bright tumia uwezo uyo ingiza pesa wasikutumie
@lilianjeremiah28805 жыл бұрын
Nampenda sana gigy kwanz anajikubali cn ilo 2
@ibraton40715 жыл бұрын
gigy manotiiii.......hyu sasa ndio msanii wala haongopii kabsaaaa....napenda alisemaga atawaua ma X wake wooote
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
Ibra Ton 😂😂ma x
@ashakigumi22635 жыл бұрын
Ila mm nakupenda tuuuuu mdogo ang
@realnewz22615 жыл бұрын
Giggy we ni mkweli mweshim sana mamaako na usijali kashipha za walimwengu wasio jitambua we ni mama wa mtoto angalia maisha yako oky we ni mwanamke wa nguvu na ni jasili sana love u more 🔯🔯🔯🔯🔯
@ibrahimmsuya39625 жыл бұрын
real newz gyt
@zuhuramabrouk51845 жыл бұрын
Nimekuelewa sana mdogo wangu takushauri , plz go back to class ur dreams are valid dear get a private tuition then register for the exams in a public schools...kwetu Kenya tuna Elimu ya watu wazima ila unafanya mtihani wa kitaifa sawa na wanafunzi wa kidato cha nne sehemu tofauti , usife moyo wewe ni mwana sheria mkubwa mbeleni jaribu kutafakari plzzzz ikihitaji usaidizi wa masomo sema +254
@worldlyricssongs61415 жыл бұрын
Woooooow kuojiwa na Millard 😍😍😍😘I love you gigy n Millard
@ayshahusseinmohamed59845 жыл бұрын
I love you dear really.. unanikumbusha ujana wangu kweri nilikuwa kama wewe lakini shule sikuacha vitu vingene twafanana. sasa unaweza kuwa mwanangu.. nahisi unahakili binti tumia pesa uipatauyo nenda shule ya sheria kesho uteteee wanawake kamautaweza. kumbuka msema kweri hufa haraka najuwa mama yangu alilipa... pls do it ... najuwa itakuwa mwanasheri mzuri fanya ndoto zako lakini usijizalilishe tena mwanangu jina unalo sasa jitahidi vaa kiafrika pia changanya utaona .
@neemalkiswaga61265 жыл бұрын
Ukweli ni mzuri kwani tunajifunza vingi thanks @ Gigi money thanks @Millard Ayo kwa kazi kubwa Mungu azidi kukuongoza
@aminasubira65915 жыл бұрын
Jaman Nakupenda we dda Wallah ila kumbe unamiaka21😊😊😊#NeverLoseHopeBaby #KiKiNiGigy💪💪💪
@alikiba97235 жыл бұрын
Millard Ayo is Back 🙏🏻🙏🏻 +1
@millardayoTZA5 жыл бұрын
Yeees mtu wa nguvu, karibu sana na asante kwa support
@barwancb57235 жыл бұрын
Sound quality is perfect. Interview is best. Story is good.
@rosejohn68185 жыл бұрын
Sjawah pitwa na interviews za gigy.....she iz rly......i just love her
@grolykombe52185 жыл бұрын
Nakupenda bure gigy Kama unamkubal gigy gonga like
@maggyenick53105 жыл бұрын
Ma lovely gigy
@fadhiliibrahim97025 жыл бұрын
Gigy kama kweli unataka kuwa lawyer u can do it u are still very young just go back to school
@purity37765 жыл бұрын
Her honesty is refreshing,people like her can give you a rush in life
@vj83135 жыл бұрын
Gigy mbona leo unahojiwa unaheshima zote umetulia tofauti na online interview zingine unajibugi ovyo ovy not serious but leo na Millard umetulia mdada.
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
Vicky Decent. Sababu mtu anaye muhoji ni mstarabu na mpole
@emmanuelmorris50835 жыл бұрын
Police 😂hapana chezea
@nicefit_ness5 жыл бұрын
Namkubali saaaana gigy moneyyyyyyyy
@sesiliajoseph2115 жыл бұрын
Aliosikia miaka ya gig kama katuburuza like hapa twende sawa... Japo vyet hatuna
@omarighadafi75983 жыл бұрын
Ameongopa ktk miaka mm namjua siku nyingi na nimepata bahati ya kuishi nyumba moja mbagala
@sifamugwaneza11785 жыл бұрын
Nawapend san nyie watu 2 #gigy mpz nakupend san my intaviu yako imenipa mafunz makubwa ujue yaan maisha nisafar kbs, Asante san kaka ake #millardAyo kwa story nzuri kam hiz..
@zalubiakambona69875 жыл бұрын
Kumbe mmwera mwenzangu ndio maana mjanja wamwera akuna aliezubaa big up
@hellenabeid26015 жыл бұрын
siblings children it hurt for real but only GOD knows our tmr..We just winning always
@dominicnzai82565 жыл бұрын
Milard mwenyewe,...I say apo Nimekuelewa mzee Baba,...Gigy Ni habari nyengine mi nampendaga pamoja na ukichaa wake....keep it real Gigy...ipo siku utachange na utapata deals nono tuu#MilardAyo#GigyMoney•••√
@batulajama41715 жыл бұрын
Nice News
@marywillium98304 жыл бұрын
Daaaah hongera nimemaliza na we mam
@emademaad55205 жыл бұрын
interview za gigy kua nazipenda san love gigy
@GericMediaLive5 жыл бұрын
karibu tena Millard maana show hizi nilikuwa nimezimiss naona umekuja na new studio look kitu cha shure microphones kama UK
@millardayoTZA5 жыл бұрын
Yes mtu wa nguvu, sasa hivi show imerudi hivyo kila wakati usikose kupita hapa mtu wa nguvu Geric.
@geraldjoseph81555 жыл бұрын
@@millardayoTZA asante sana najifunza mengi na harakati zangu nazidi kupambana hasa nikiona picha ya hapo stuido kwako siwezi kulala kabisa hadi malengo yangu yatimie kuisimamisha GERIC MEDIA LIVE kwenye ramani ndio maana unaona hata vifaa navijua ni kwa sababu ndo michakato yangu...Tuombeane tu afya na nguvu @millardAyo
@prinareality54425 жыл бұрын
Gigy umekua kiakili sana hamna mtu anayependa kuteseka sana katika maisha tujifunze kumwelewa kila mtu Muhimu upendo tu.
PART II tayari nimeiweka Subrynery unaweza kuitazama sasa hivi
@abdulazizsharif29845 жыл бұрын
Gigiiiii kumbe unamajina mingi Kama kurasa za Bible ... hongera BTW uko 2poa msalimie Member... mwambie video yake nimefuta
@princessposhie86715 жыл бұрын
❤
@jullymshashu8565 жыл бұрын
kwenye ukweli tu ndo nachokupendea gigy mapene
@ireneqeen27845 жыл бұрын
nakupenda sana hua unaongea kweli love u gigy❤❤❤
@sakinamarjebi42905 жыл бұрын
pole sana mdogo wng gigy story yko imenigusa sana endelea kupambana utatoka tu kwauwezo wa mungu wasamee wte walokukosea mpenz
@ashadimpls4955 жыл бұрын
Nakupenda bure gigy lkn hilo wigi ume chemsha.
@simplycyar44575 жыл бұрын
Asha dimpls limpendeza bhana😂😂😂
@ashadimpls4955 жыл бұрын
@@simplycyar4457 A wapi amekaa km mwendawazimu 😂😂
@luckydavid74755 жыл бұрын
Asha dimpls 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁 ni nini lkn ....
@challomwalise99925 жыл бұрын
Asha dimpls acha majungu,,
@ashadimpls4955 жыл бұрын
@@challomwalise9992 km kitu sikizuri unasema2 😅😅😅
@familylove54175 жыл бұрын
Wallah na nampendaa uyuu dada
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
msema kweli anaeleweka kuliko irene hajijui
@hadijatawaqal16575 жыл бұрын
eeh!!! Millard kwani ndo imeisha me mbna bado natamani kumcklza gigy
@millardayoTZA5 жыл бұрын
tayari PART II nimeshaiweka mtu wangu, unaweza kuitazama
@mariampeter80965 жыл бұрын
Hadija Tawaqal l
@asiazuberi97225 жыл бұрын
Mama mayra 😍😍😍
@azizraj74785 жыл бұрын
Best interview of giggy
@agnesmwakyusa30365 жыл бұрын
Duuuuu leo umenifanya nishindwe kufanya kazi. du kumbe ndugu yangu kalibu mbeya
@esthermfaume5135 жыл бұрын
Nampenda sana huyu dada jmn..Gigy yupo wazi sana na maisha yake
@stellahmajala76975 жыл бұрын
@gigymoney nakupenda Sana bz huwa unaongea wazi huna jambo la kuficha pia unatufundisha mengi cc wengine big up Sana
@ashakigumi22635 жыл бұрын
Love u gigy💕💕
@bbaccabb94455 жыл бұрын
Dah,BIG UP Gigi Kumbe una Akihito sana nimekukubali
@nikkimilian57405 жыл бұрын
Gigy nakupenda tuu
@KiooNetwork5 жыл бұрын
Hii ndio good view nnayoipenda zaid kwenye AyoTv
@danielmadenyeka42485 жыл бұрын
Ayo upo juu sn dogo.
@janethchambo81165 жыл бұрын
Love u gigy mkwel
@zainabumohamedmohammed29795 жыл бұрын
Gigy Napenda unavyo ongeag Ukweli
@zennahwangare39525 жыл бұрын
😂😂😂😂Kma gigy kazaliwa chooni ndo manake hana haya ndo anakaa uchi bila kujali😂😂😂🙈manake chooni kila m2 anavua nguo😂😂ila gigy nampenda sana
@melaniasteven14805 жыл бұрын
zennah wangare 😁😁😁😁 unamatusi ww
@zennahwangare39525 жыл бұрын
+melania steven 😳😳toba nimetukana wapi hapo😂😂😂gigy nampenda sana
@melaniasteven14805 жыл бұрын
Sawa my dear
@abdalahtwahil52025 жыл бұрын
kapata jina jamn kipenz chetu wakuitwa Business lady ❤ gigy
@ladybilionaire3795 жыл бұрын
Aaah nakupenda saana Gigy unasema kweli mno
@agapesoka945 жыл бұрын
Nakupenda saaana namba MUNGU akufanyie njia natamani ubarikiwe saaana MUNGU ana mpango mizuri na wewe
@munahally24735 жыл бұрын
me nakupendaga tu ...my only funny gal........
@esterkasinde45185 жыл бұрын
Ugonile gigy
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
Napendaga kumsikiliza Gigy yan utacheka stress zote zinapungua 💕
@bintybinahsiraj94995 жыл бұрын
Gigy kwa kuongea ukweli hapo nakupa 👍
@KiooNetwork5 жыл бұрын
Safi sana Millard umerud na hii show yangu pendwaaaa
@millardayoTZA5 жыл бұрын
asante sana kwa kutazama mtu wa nguvu, kila wiki zitakuwepo Interview za kutosha
@KiooNetwork5 жыл бұрын
Nipo karibu na ww alldays, coz ww ni kama Maj lazma nikunywe maana u're my role model....
@zuuhxtarcode24124 жыл бұрын
I love u gigy a. K. A Mama mayrah....i like ur interview
@asiazuberi97225 жыл бұрын
Millard weka part2 napenda sana interview za gigy
@mohameddamka9225 жыл бұрын
Tumekutana tena! A.alaykum?
@millardayoTZA5 жыл бұрын
part II tayari nimeiweka Mrembo wangu Asia
@asiazuberi97225 жыл бұрын
@@millardayoTZA thanks😁😍👍
@nasrahcute42785 жыл бұрын
Nakupenda xn gigy jmni mungubakuongoze kw kila jambo my dea love youuu
@agnessinja89675 жыл бұрын
Gigy nakupenda Hadi naumwa
@hurremkuchie97215 жыл бұрын
Oya gigy umeongea point kinomanoma aiseee big up san
@gabrielmugabo92235 жыл бұрын
Huyu Dada huwa nampenda kwa kuwa husema kweli
@yusuphsimon46565 жыл бұрын
kumbe haka kamwanamke kadogo sana. 2010 drs la 7!!!!!😂😂😂😂😂😂😂😂
@nimrodmareges31315 жыл бұрын
Mwenyewe ndani ya Nyumba
@swaumumbwana11065 жыл бұрын
nakupendaje mdada
@pamellauwimana69665 жыл бұрын
wow jamani gigy nimekuwa naku miss
@yasinishekallahakusaidi87664 жыл бұрын
Mimi namkubali Sana huyu gigy na umber lulu Ila ukorofi wao washenzi hao usiombe
@peacekiingi56725 жыл бұрын
I love you Gigy.
@purryselestine40005 жыл бұрын
Gig ni mdogo ila mambo yake makubwa 😂😂😂😂😂😂😂
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
ninacho mkubali ni jinsi anavyokuwa flexible, huongea kutokana na anae muhoji, keep it up utapata tarajio lako
@popigagia71835 жыл бұрын
duh gigi anamaliza 4m4 mm nipo secnd yr 😂😂😂😂😂😂halfu ukiniuliza unann mpaka sasa cna chchte nalala tu om 😂😂😂😂😂😂halfu nimempita miaka 6 kwel kutangulia co kufika
@allthingdranabeauty5 жыл бұрын
popi gagia jitume ,jipende,usikate tamaa miaka ni namba tu fanya mazoezi
@carrenkapia78415 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁rafk angu umecheka ikabd na mm nicheke make we have the same issue!
@popigagia71835 жыл бұрын
Carren Kapia hakuna namna tujipe moyo na sisi tutafika
@carrenkapia78415 жыл бұрын
@@popigagia7183 Mungu atunusuru tu! Tutafika tu kwa uwezo wake!