Kaaa kimya huna lolote zaidi ya ufisadi na kuwakandamiza watu wa chini
@hassanissah11773 ай бұрын
Nenda shule acha kupiga kelele ,aya alisha ongea kikwete ubungo wakati azindua mwendo kasi mzee alikuwa ana vission kubwa na matunda yake ndo haya
@MarckAbubakary3 ай бұрын
Acha kutuna viongozi waliopambania nchi ww hata Kijiji hujawai kukiongoza tumia hekima
@majaliwabwitonde69002 ай бұрын
@@hassanissah1177 ujinga wako usiwapeleke wengine shuleni. Nenda mwenyewe shule
@hassanissah11772 ай бұрын
@@majaliwabwitonde6900 wee msulukuma nn mana ndo wanamtukana sana huyu mzee
@patricknyiti53033 ай бұрын
Nyie na timu Msoga ndio mlipinga kila mradi ,Rufiji kwa sababu ya ufisadi wenu wa gesi Lindi na Mtwara ..!! Mwacheni JPM .Ndani ya miaka mitano amefanya kazi kubwa kuliko uliyofanya miaka 10
@Abuu-gs1yi3 ай бұрын
Hakuna binadamu aliyekamilika maana hata enzi za Jk ajira zilikuwa uhakika vp kipnd cha Jpm
@gosbertbuberwa61983 ай бұрын
Kabisaaa! Jembe Magufuli Litabaki Kuwa Mioyoni Mwa Watanzania! Mpaka Sasa Tunamkumbuka!
@personpeter22213 ай бұрын
@@Abuu-gs1yikuma ww umetumwa kjib kla sms??
@josephgomalo413 ай бұрын
ukichanganya na miaka 10 aliyokuwa waziri wa mambo ya nje.. ni miaka ishirini with nothing to show for... mademu tuu! na ndio maana tunaye mediocre anayeitwa Daktari Kilaza Samia (demu wake aliyetokana na mashangingi wa CCM!) .. Udaktari bila shule..??
@gosbertbuberwa61983 ай бұрын
@@personpeter2221 Nahisi Analiwa Na Jamaa Maana Anamtetea Kinomaaa!
@MathiasMongo-jk9so3 ай бұрын
Dr JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI we steel remember you forever
@sir_ENOCKMACHA3 ай бұрын
Not steel but still
@mathewtwimanye923 ай бұрын
Hana jipya zaidi ya Kujitekenya Mwenyewe na kucheka mwenyewe
@BituroPaschalKazeri3 ай бұрын
Chuki zinakufanya uwe kipofu
@mwawekomiuda97793 ай бұрын
@@BituroPaschalKazeri sio kweli
@benjaminjoseph17473 ай бұрын
Mzeee wa porojo. Meneno mengi matendo hakuna. Not without magufuli had we been where we are now.
@Jurbeg3 ай бұрын
true 👍👍👍😎😎😎
@Hussein-gx4qu3 ай бұрын
@@BituroPaschalKazerisio chuki huyu jamaa alitakiwa mpaka Sasa awe jela ameifilisi Sana nchi kwenye utawala wake
@Adonkamotci3 ай бұрын
Ache una fiki uyo Mzee kao ngoza watu wame ona uyo sio kiongozi uyo Ni mwana siAsa kibaraka mkubwa wa mabeberu R l p Doctor jonih pombe magufuri 💞💞 mzalendo wa kweli 💞
@Abuu-gs1yi3 ай бұрын
Ni mtazamo wako
@Adonkamotci3 ай бұрын
@@Abuu-gs1yi sawa sku pingi Una macho Rakini Uwoni Nayote lyo kwa kuwa Umekosa Utu
@eliaspeter40173 ай бұрын
Lakini huyu huyu Mh Rais J K Kikwete ndiye aliye tuambia kuwa Magufuli anatosha, hakika alitosha, Mzee alifanya yake
@aloycerocky3 ай бұрын
Unasemaje ulimwachia Magu wakati mwenyewe umesema ham kuwa. na pesa acha Magu aitwe jembe daima
@beaugosseadam68313 ай бұрын
JPM alitofuatisha Siasa na Vitendo. Anazeeka na Porojo+Unafiki mtupu
@ContentSmartphone-rq6po3 ай бұрын
Ulimuachia!! Kwani mradi ulianza mwaka gani acha porojo
@samwelkavwanga44913 ай бұрын
Ujui chochote Kaa kimya
@ContentSmartphone-rq6po3 ай бұрын
@@samwelkavwanga4491 inja ww unamtetea msenge mwenzio kumamae zenu nyie ndo mmefanya nchi imeganda mkunduwako ww na msogawako
@ubunifulifestyle34923 ай бұрын
Mbona mnahangaika kuzuia hisia za watu, kaeni kimya watu watoe yamoyoni mwao hamuwezi zuia hisia za watu, wote tulikuepo na tunaujua utawala wake na wa magu kaeni kimya kama mmetumwa wapiga dili nyinyi@@samwelkavwanga4491
@ShinjeMackenzie3 ай бұрын
@@samwelkavwanga4491 ww ndiye hujuwi kaa kimya ww
@shinipapaya8463 ай бұрын
@@samwelkavwanga4491MMA yako anajuta kukuzaa kwenye juwa kali la saa 7 ona sasa hasara yake 🤣🤣🤣
@IsaacLameck-nz8yr3 ай бұрын
Wewe uliishia wapi ? Wewe ulimwachia magari ya mwendo Kasi tu sio SGR na akazitoa UDA zako zote
@wekezauchumi74403 ай бұрын
Kwan uwanja wa ndege ulijenga wew,daraja la nyerere ulijenga wew, mwendokasi ulijenga wew, mloganzila je?
@Masa__9663 ай бұрын
Anko Magu alijenga bila madeni na bila kuongeza kodi, kwaijo hacheni uongo…!
@BituroPaschalKazeri3 ай бұрын
DU
@king3-q1s3 ай бұрын
@@BituroPaschalKazeri usishangae sana maana wajinga huwa hawaishi
@shinipapaya8463 ай бұрын
@@king3-q1swewe ndio mjinga wa kutupwa 🤣🤣
@jumampeli2813 ай бұрын
You Una uhakika
@stanslauslupelele57263 ай бұрын
Kwani kusema ukweli hamwezi hakuna wakumfananisha na jpm
@MATIKO96403 ай бұрын
Physics yangu haitaenda bure naitumia vyema, naendelea kuichimba, MUNGU anipe umri mrefu kuna kitu nitaki'launch dunia niishangaze, keep this massage, MUNGU akinipa umri mrefu na afya njema basi nitakuwa raisi wa Tanzania
@geraldgogadi70543 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nimecheeeeeeeeeeka
@hamisijuma32763 ай бұрын
Hakuna lolote hapo, RIP JPM, Nyerere aliacha Dodoma, bwawa la umeme, Mv Victoria, Ndege nk yeye alifanya nn hapo Ukweli JPM angekuwapo Hadi Leo Tanzania ingekuwa ulaya ndogo, Hakuna anayebisha ktk hili.Alikuwa na maono makubwa Kama Nyerere Kizuri chajiuza.......... hakuweka bango lkn bado angalia hai, "mtanikumbuka kwa mazuri....."
@wekezauchumi74403 ай бұрын
Uwanja wa ndege ulijenga wew,hayo majengo ya pacha ulijenga wew, mwendokasi ulijenga wew, uwanja wa ndege ulijenga wew mloganzila je daraja la nyerere ulijenga wew
@hamisijuma32762 ай бұрын
@@wekezauchumi7440 Je unajua Uwanja wa Ndege Jpm alikuta Gofu ,???? ATC imekufa??? Daraja limesimama. Follow up vyote hivyo utapata ukweli. Ondoa ishabiki
@veraisaria3 ай бұрын
Chuma jpm chuma cha pua yule nanyi mtakufa tu acheni unafki hapo mnataka kumpa sifa huyo mzee na kuhakikisha legacy ya jpm haipo mtakufa midomo wazi nyie😮😮
@Abuu-gs1yi3 ай бұрын
Mungu ndiye mwenye kuhukumu ww nani
@gosbertbuberwa61983 ай бұрын
Mzimu Wa Magufuli Unawaandama!
@Jurbeg3 ай бұрын
Hakika 🙏🙏🙏
@kasimkassam95653 ай бұрын
sasa huyu kikwete sindio alikuwa raisi wa mangu sasa anasema uwongo vipi jamani
@Jurbeg3 ай бұрын
@@kasimkassam9565 Hata magu alikuwa raisi wakikwete au Hujui Hilo 😏
@khamisshabani6913 ай бұрын
we babu acha uongo kaziimekushinda magu jembe
@mangobase3 ай бұрын
Mzee wa porojo anaongea kama vile sisi hatukuwepo pia tulikua hatuoni.... Nchi Enzi yake ilikua ya upigaji tu...
@Masa__9663 ай бұрын
Anko Magu hawezi kuwa namawazo yakukushauri uende ukakope…!
@musa-v3f3 ай бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
Kumbukaa kikwetee ndio Rais mwenye miradi mingi kuliko raisi yoyote yule njoo kwa hojaa tubishane
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
@@ms123ru mmmmmh ?? unaota ukiwa unatembea wewe
@NAFTALIMUNDANGA3 ай бұрын
Lakini Mh. zile hela za ESCROW zingetusaidia sana kwenye huu mradi wa SGR. Maana zile alizochukuwa Rugemalilila 30% ndo zinazungumziwa lakin 70% hazijulikani zilienda wapi. Lakin wewe ndo ulikuwa Rais. Tunaziomba mkuu samahani lakini.
@sylvestercameo62633 ай бұрын
70%hazijulikani zilienda wapi? Kwenye viroba hadi Bwagamoyo!
@ms123ru3 ай бұрын
Azikuwa mali za umma
@sylvestercameo62633 ай бұрын
@@ms123ru insane comment!
@samasob82333 ай бұрын
@@ms123ru kwa hiyo akaruhusiwa kuchukua kisicho chake?
@raphaelkessy73603 ай бұрын
Ujenzi miundo mbinu na Taifa kwa ujumla mwachi JPM We ongelea mpira
@wekezauchumi74403 ай бұрын
Mwendokasi ulijenga wew mloganzila je daraja la nyerere ulijenga wew mwendokasi ulijenga wew uwanja wa ndege ulijenga wew
@josephgomalo413 ай бұрын
@patricknyiti5303 ukichanganya na miaka 10 aliyokuwa waziri wa mambo ya nje.. ni miaka ishirini .. with nothing to show for... mademu tuu! na ndio maana tunaye mediocre anayeitwa Daktari Kilaza Samia (demu wake aliyetokana na mashangingi wa CCM!) .. PhD bila shule..?? Udaktari na uraisi wa kuvulia chupi vigogo wa CCM?
@material_liv46743 ай бұрын
😂😂😂😅
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
@@material_liv4674😂😂😂😂😂😂
@HamisiddyKyengya3 ай бұрын
magufuli alikuwa kiongozi c mwanasiasa
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
nikweli kabsa 👏👏👏❤❤
@handenitakuru66963 ай бұрын
Hiki kijamaa nikibnafsi saaana cjawahi ona kapeleka barabara ya lami nyumbani kwake badala yakupeleka vijijini mwenzie magufuli miaka 5 kaiheshimisha mwanza
@mwajumagomera76093 ай бұрын
Si mwanza tu tabora,mpka dodoma kiukweli hana baya yaani mikoa ya huku imejaliw kwa kipindi cha magu,mungu amrehemu😢.
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
@@mwajumagomera7609❤❤❤❤👏👏
@ms123ru3 ай бұрын
Sasa hapo mbinafsi nani??
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
@@mwajumagomera7609 🙏🙏🙏🙏😘
@handenitakuru66963 ай бұрын
@@ms123ru Kikwete ndio mbinafsi we angalia ukanda wake wapwani alivo uacha kimaendeleo upo zoofulihali alicho fanikiwa mikupeleka nibarabara yalami nyumbani kwaketu mpuuzi sana
@mashimbazephania35113 ай бұрын
Wakati jpm anaanza mlisema anafanya yale ambayo hayako kwenye Irani je mlikiwa wapi kuanza hata jpm aliyasema sana walikuwa wapi kuyafanya haya? Mama makinda alisikika hata kuhamia Dodoma kuna viongozi walikuwa wamepinga, jpm oyeeeee
@AllyMaya-yj3xd3 ай бұрын
.Jifunze kusikiliza upate ujuzi kuongea unaongea tu unalolifahamu wewe.Kama hujui jambo kwani lazima ubishe walishajaribu kuanza Waziri akiwa samweli sitta hela ikawa hakuna wakati huo nchi ilikiwa na madeni makubwa.Ila JK alitaka kujaribu kuanza
@Jurbeg3 ай бұрын
Oyeeeeeee 🎉🎉🎉🎉
@robertzamani56123 ай бұрын
@@AllyMaya-yj3xd Kwani wakati Magufuli anaanza ujenzi nchi haikuwa na madeni??
@emanuelmkama13253 ай бұрын
@@robertzamani5612Awm tano yaan miaka 1960-2021 almost 61 yrs wamekopa 60 trln but 3 yrs snc 2021 up to date 31trln deni ILO iko sawa hii?
@DudddyWhyCant3 ай бұрын
Ni kweli kabisa huyu jamaa muongo sana, miradi ya Jpm imegeuka kuwa yake, hata aibu hana, hivi anatufanya Watanzania wajinga?
@wta_Tanzania3 ай бұрын
Eeee Mungu ikikupendeza mchukue na remote ya msoga ili TV yetu tuiwashe wenyewe
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@hydarymwenda33523 ай бұрын
Mbona zembwela ametaka kuuliza kuhusu mikopo amekatishwa Mara mbili. Something is wrong
@Afrikalove7363 ай бұрын
Maguli utabaki miyoyoni mwetu maishani yetu hadi vizazi vitakiri wewe ni Jembe,hawa wengine ni porojo tu.
@hamzaswaibu94703 ай бұрын
Sema atabaki moyoni mwako husiunganishe watu wote
@ShinjeMackenzie3 ай бұрын
Hicho kiredio cha kishetani kiongo sana mwamba jpm tu acheni uongo
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😂😂😂😂
@godfreyjulius51323 ай бұрын
Mungu ikikupendeza naomba chukua na huyu mnafiki.
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@wekezauchumi74403 ай бұрын
Anza wew kwanza mpumbavu
@galluskanenge48982 ай бұрын
😂😂😂😂daah!
@hafsalucky10882 ай бұрын
🤣🤣🤣
@JOSEPHPETERMACHOTA3 ай бұрын
Reli yake alikiri ilikua ya kawaida so ya umeme ache uongo huyo babu Magufuli jembe
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@HassanMussa-vk3tj3 ай бұрын
Anajifagilia tu uyo mlabata akufaa kuwa kiongozi
@Abuu-gs1yi3 ай бұрын
Pole ila huo ni mtazamo wako
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
kweli kabsa khafai 😂😂😂
@Kakozi-pj6ib3 ай бұрын
Unaongea nini wewe mzee tuna jua kila kitu " kwanza 2015 haukutaka JPM awe raïs " leo et fyoto fyoto ulimuachia mradi wa treni ya umeme "" Mungu ana kuona "
@ulimbombonaulindi50882 ай бұрын
Tunakushukuru pia, maana binadamu tunatofautiana. Mmoja maneno mengi vitendo vichache, na mwingine maneno machache vitendo vingi. Hayati alikuwa na UTHUBUTU.
@mwenem81303 ай бұрын
MZEE ACHA UONGO!!! RIP JPM Chuma toka Chato
@DudddyWhyCant3 ай бұрын
Acha kudanganya Watanzania, hii treni ni ya Magufuli na Samia, tena funga mdomo
@peterkichochi75103 ай бұрын
Mzee anaongea kama anakunwa msuzi wa babu Saya 😂😂😂
@samuelbucheyemhana77652 ай бұрын
Jaman ulisha ona mtu mwenye vyeti feki? Anavyo angalia😁😁😁 Ndio anavyo angalia huyu mtu anapoelezea kuhusu kumuachia leli JPM
@fikiripazi96303 ай бұрын
hahah muheshimiwa anaongelea mambo mazuri ya nchi jamaa kochomekea mpira wa miguu. hii nchi ina waandishi wa hovyo sana
@georgeigogo92593 ай бұрын
Kumbe tupo pamoja
@hassanissah11773 ай бұрын
Nilichogundua wengi wanatoa komenti chafu humu ni wasukuma huyo mwenda zake ndo amewafanya muwe mtaani mnazulula bila ajira na babazenu wameondolewa makazini kama watumishi hewa
@ibracadabraramadhan9493Ай бұрын
Uwezo wako wakufikiri mdogo sana!!!
@edwinismail94013 ай бұрын
acheni utapeli... eti alimuachia
@bullekisimikwe38523 ай бұрын
Mzee anatupigia hadithi za abunuasi tu kanakwamba hatukuwepo wakati huo mradi wa reli unaanza. Dunia ya sasa watu wengi wamesoma na wana taarifa nyingi kuliko unavydhani mzee
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@hamisijuma32763 ай бұрын
Kama kweli Mungu yupo atajibu kilio Cha Watanzania, watu walilia sijapatakuona sidhani Kama itatokea tena ndani ya miaka50 ijayo
@MbossoMbosso-rw4ox3 ай бұрын
Ww mzeee una lolote mbona ujibu maswali muhmu unaluka lukaaa kama uwez kaaa kmyaaaaaaaaaaaaa
@jakayajuma98673 ай бұрын
Linapenda kujipakulia minyama
@chazimunishi33393 ай бұрын
aje awadanganye vi2kuu vake mpuuzi 2
@thomaskitemi32833 ай бұрын
Mh ungekaa kimya baba
@euniestherwilliam15133 ай бұрын
JPM CONTINUE TO REST IN PEACE. WANYONGE WENGI WANAKUKUMBUKA. MENGI ULIYAFANYA HATA KAMA HAUPO KIMWILI KIROHO POKEA MAUA YAKO
@kamanzicrouch38813 ай бұрын
Jamani kwa kua magu hayupo ajiteteye basi kila mtuu mazuri yake anajipakulia mema ya watu
@slowclimbertothetop45722 ай бұрын
Hongera mh JK wewe ni tanki la fikra
@MsanangoMwalabu-rx1oo3 ай бұрын
Dah huyu jamaaa amesababisha tuishi kama wapangaji anajuakupamba kama mtakatifu
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😂😂😂
@Martin-w2l9p3 ай бұрын
Jpm pekee, wengine porojo
@majaliwabwitonde69003 ай бұрын
Wewe ulifanyaje
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Madizizi3 ай бұрын
Kuma kweli huyu
@josephlorri4313 ай бұрын
Punguza ukali wa maneno..
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@shinipapaya8463 ай бұрын
Kumbe anaona wazungu kwake kama MUNGU 🤣🤣🤣
@edwinismail94013 ай бұрын
sasa si mshamba wa wazungu
@JamesMisalabaPalu3 ай бұрын
Nchi hii ni tajiri kama akipatikana kiongozi mzalendo wa kweli wala hatutakopa
Hakuna ulazima wa kukopa. Nchi hii ni tajiri sana ,rubi,spino,dhahabu,almasi na madini mengine mengi huwa mnayafanyia nini? hiyo mikopo mna mambo yenu mnayoyajua
@TuhabarishaneTv3 ай бұрын
Kwa nchi hasa hizi za kwetu tuna utajiri mkubwa wa Mali na sio wa pesa. Ili kuuendeleza utajiri huo wa ardh, madini, milima, sehemu za majini. Uwekezaji wake unahitaji wataalamu na pesa na ndio serikali inakopa ili kuuendeleza. So shauri serikali ifanye nin maana wanaona.
@aloycesilwela34853 ай бұрын
@@TuhabarishaneTv sidhani kama ni hivyo,kwa nini kama wanataka pesa wasiuze madini,kwanza sasa hivi wenzetu walioendelea hawatunzi pesa wanatunza dhahabu au almasi kwa sababu hizo ndio pesa zenyewe
@josephmuchiri31803 ай бұрын
King Magufuri rip
@josephamos66363 ай бұрын
Mzee anapenda kujiweka kuwa kila kitu alianzisha yeye lakini hakuna kitu
@alphoncewilliam43253 ай бұрын
😂😂
@theophilmakumbuli3 ай бұрын
Ulimuachia na here acha uongo,umemuachia ufisad angekua zaifu kama wewe asinge fanta hats moja
@MeenaHassan-fd9vv3 ай бұрын
Mbona hukusema wakati jpm hajafa😂😂😂😂
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@AngelaAndrew-rf1ho3 ай бұрын
Mlisema amefanya vitu ambavyo haviko kwenye ilani sasa kumbe ulianzisha hiyo wewe akaendeleza. Hongera Mwenzetu wa umbwe sec
@nicholasmkama28773 ай бұрын
Mabaya yake ni mengi kuliko mazuri yake .JPM HAKUNA WA KUMFANANISHA.JPM HAKUKUBALI KUKOPA,UONGO HAPO.
@loner_wolf3 ай бұрын
Aendeleze ? Inamaana ulikuwa umekwishaanzisha wewe au wakabla yako . 😮😮😮
@MsAggie53 ай бұрын
Machawa katika ubora wao. Hata kuangalia huu uongo kichefu chefu.
@Gamba1773 ай бұрын
Mshashiba kipolo kelele nyingi kuleni halafu mkanye
@MichaelPius-k4d2 ай бұрын
Unavyo ongea naona kabisa unakaribia kufa 2030 ukitoboa nipo nimekaa pale fisadi mkubwa wewe😢😢😢😢😢😢😢
@nanguniMtaita-hz4zt3 ай бұрын
Tutahakikishaje kwamba, mzee wa Msoga alimwachia Mwenda zake hiyo reli ya SGR aimalizie, kama sio kujimwambafai. Mh Kikwete pumzika kwa utulivu acha hadithi za aina hiyo.
@LeodegardRutakyamirwa-hg9hu3 ай бұрын
WATANGANYIKA KIPINDI WAKIJITAMBUA ULIMWENGU UMESHAKWISHA SIKILIZA CHAMBUA UNALAZIMISHA
@misanamohamedi84383 ай бұрын
Acha uongo,magu ndo jembe nyie wengine ni wanasiasa tu.maana mwanasiasa hua na maneno matamuu na kujichekesha
@jafarinauma67983 ай бұрын
Nakuelewa mh JK nilipata ajira kwenye utawala wako kwa kweli ilikuwa uhakika sana wengi tulipata ajila Mwenyezi Mungu akulinde akupe miaka mingi duniani inshaallah... Ulifanya sana kwa upande wako lakini hukuwa mchoyo kwenye kutujali
@Aziz-p6s3 ай бұрын
Huyu dingi sijawahi muelewa
@kyaro59453 ай бұрын
Ww uliza naswaki ya msingi achana na uswahili aisee uliza mikopo na je anahusika na bandari ya bagamoyo?
@malugukushaha67643 ай бұрын
Sisi watanzania tunaemjua ni JPM pekee ndiye aliepambana kuleta hayo maendeleo na siyo nyinyi. Lala salama baba JPM 😢
@PatriciaKitundu3 ай бұрын
Duuh! Misifa yaan haiwezekan mtu afe afu ujisifu et nilimwachia hakupo hakupo
@awazioga18233 ай бұрын
Acha uhongo we mzee
@jemketakene65582 ай бұрын
Huyu anataka attention tu, kwani mradi wa SGR alianzisha yeye? aseme tu alimwachia daraja la kigamboni basi
@CharlesMisungwi-f8t3 ай бұрын
Dr Magufuli ametuachia Tanzaniampya hatakimataifa namajiranizetu wanalijuahilo tena kwa mufa mfupitu wa.miakamitanotu VIP angemalizamuhulawake ? Muda huo mufupialifanya hata yaliyoshindika miaka karibu 50 so We are talking either alot for nothing or from out of nothing..
@athumanimapande83943 ай бұрын
Alafu kakosa aibu mambo mengine ni kujidhalilisha bora akae kimya tatu..
@davidmalogo71003 ай бұрын
Ukitaka kuona huyu msoga hapendwi we soma komenti utaona watanzania walivokuwa wanampenda jpm yani basitu mungu akipendezwa angechukua na huyu mana huenda mioyo ya watanganyika ikapona kidogo
@PatriciaKitundu3 ай бұрын
Duuh! Huyu ashastaafu mbona si apumzike tu busara ndogo sana kucheka Cheka mi hapana
@MeenaHassan-fd9vv2 ай бұрын
Alikuwa kibaraka wa wazungu mtiiiifuuu wamemuua jpm kwa manufaaa ya wazungu
@sethstiven33933 ай бұрын
Mazuri yako yanazidiwa na mabaya yako, wauza nadaiwa ya kulevya ulitajiwa wauzaji wote pamoja na mwanao ukaendelea kucheka vijana wakahalibika kwa cheko zako
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
😢😢😢🙏🙏nikweli kabsa
@jumakapilima72953 ай бұрын
SGR = JPM
@daudimichael73383 ай бұрын
Duh, alimwachia Magufuli nini?😂😂😂
@raphaelkessy73603 ай бұрын
JPM alikuwa Raisi wa ukweli
@wirangamochemba70633 ай бұрын
Kidole cha kushoto pete na cha kulia pete vp ndo free Mason au
@Patrick-w1jАй бұрын
Unavyosema aendeleze kwani ulikua umeuanza??
@Mima-cl2im2 ай бұрын
Kikwete, ulimuachia Hayati Magufuli nchi iliyotafunwa na Kubaki mifupa mitupu. Acha kudanganya watanzania. Magufuli alikuwa ni Rais hakuna wa kumufananisha. Angekuwepo Tanzania ingekuwa mbali sana.
@sebastiansalamba3133 ай бұрын
Kumtoa magufuli,katika mioyo ya watanzania ni ngumu sana sana mwacheni mwamba mwacheni apumzike tu.
@willymdeka60343 ай бұрын
Unatia aibu tu
@Abuu-gs1yi3 ай бұрын
Sio kweli ila mtazamo wako tu,,,labda kama ulikimbia umande ila kama ulisoma enzi za Jk.....
@GodfreyOsward3 ай бұрын
Siri ya ubinadamu, mtu akifikia umri Kikwete upendwa sana, huyu ni binadamu ana tofauti na sisi. Kama tunashindwa mengine basi tuheshimu umri wake.
@shinipapaya8463 ай бұрын
@@GodfreyOswardsi umuheshimu ww tu kwanini utusemee na sisi? 🤣🤣
@eliaspeter40173 ай бұрын
Mzee wetu, Mh rais Jakaya Mrisho Kikwete, hakika kazi uliifanya kwa namna Mungu alivyokuongoza, umefanya mengi mno, uluma maafisa 12 wakajifunze namna Malaysia walivyo piga hatua kubwa kiuchumi, ukawa na vipaumbele kadhaa wa namna ya kujenga taifa, lakini Pia ukatuambia sisi wananchi kuwa Dr John Joseph Magufuli anatosha hakika alitosha, Mungu ailaze roho yake pema peponi. Mzee wetu uishi maisha marefu.
@DudddyWhyCant3 ай бұрын
Treni ya Jpm imeanza kufanya kazi umeanza kuongea uongo, hata aibu huna.