MJUE MR BLUE AKIWA MTAANI KWAKE AKITOA STORY USIZOZIJUA KUHUSU NYIMBO ZAKE

  Рет қаралды 214,053

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 269
@salimmohamed3668
@salimmohamed3668 Жыл бұрын
Mr Blue is a Legend kama kuna msanii alitesa Nje ya Tanzania basi si mwingine Ni MrBlue Nairobi,mombasa na sehem za pwani ya Kenya. ana mashabiki kibao sana Ndani ya Kenya na Uganda. Just like the Late Natedogg mrBlue can blend in with any artist he is working with. Respect to mrblue respect to micharazo crew a legend so true i knew the kid since 2003 2 decades in the game money cars and all the fame no scandals no shame Blue alitesa mazee !!!!!!!
@user-yp6pi7bj2n
@user-yp6pi7bj2n 2 ай бұрын
Blue utabakia ... Kua mkongwe daima alfu very humble ❤❤🎉🎉
@lameckjeremiah5597
@lameckjeremiah5597 Жыл бұрын
Kinachonifurahisha kwa brue akiwa anaojiwa huwa anaongea vitu halisia, uongo kwake haupo ila ukweli juu yamaisha na ustaa wake anaviweka bayana. Ongela sana kwa hilo brue
@blackblue9729
@blackblue9729 Жыл бұрын
Mapozi ndio my favorite song of all time kutoka kwa Mr Blue 🔥🔥🔥
@francismheta5286
@francismheta5286 Жыл бұрын
The same to me....... in those days Niko 2nd year UDSM dogo anaperform hiyo ngoma pale MABIBO hostel...... Dah it was so excited...... big up sana Mr Blue
@mwanaishasaleh8327
@mwanaishasaleh8327 Жыл бұрын
Aaaah mapozi mpaka 7th heaven daah naipenda Hadi leoooloo
@blackblue9729
@blackblue9729 Жыл бұрын
@@mwanaishasaleh8327 noma saana hile goma
@athumanimtamatale
@athumanimtamatale Жыл бұрын
Mwambie blue asihuzunike kukosa tuzo,sababu yeye mwenyewe ndio tuzo kwetu sisi watz
@nelsonbilali3888
@nelsonbilali3888 Жыл бұрын
Bizzy yu deserve the respect. Kenya 🇰🇪 loves yu
@EinsteinFromEastern-vh6lo
@EinsteinFromEastern-vh6lo Жыл бұрын
Ngoma yangu pendwa kipindi nakua ni blue blue aisee,fact,byser ni mmoja mwenye alibadilisha mitazamo kua mifamo kwani aliaminisha mziki auna size na kufanya vijana wengi kuamini kumbe ata sisi wadogo tunaweza kufanya na kutambulika katika huu mziki.
@user-st9xd9we3p
@user-st9xd9we3p Жыл бұрын
Huyu ndo msanii wangu bora wa muda wote ani
@simondotto8299
@simondotto8299 Жыл бұрын
Huyu Ni Legend Amekua na mziki " Amekua na mziki ameanza na bongo flavor, ulipofika katikati kiba akiwa anrun mziki alikuwepo na sasa bado yupo kwa kifupi ana aina ya mziki wake ambao atalala nao.
@bigjoe4957
@bigjoe4957 11 ай бұрын
Pop
@melvinsweed4763
@melvinsweed4763 Жыл бұрын
The City look nice, congratulation to Mr Blue,I like his songs.
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Жыл бұрын
LEGEND🔥🔥🔥🎤🎤🔥🎼🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ushindisaravayi3804
@ushindisaravayi3804 11 ай бұрын
From Congo 🇨🇩 nakukubali sana bro blue daaaaaa wewe upewe hechima yako bro Tanzania ina faa kuku hechimu brother
@LeeMchanaji
@LeeMchanaji Жыл бұрын
Njooni Kenya pia sisi tutoe maoni kuusu Mr Blue❤❤❤. One love
@omarikinyozi4506
@omarikinyozi4506 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@khalfanndenge5269
@khalfanndenge5269 2 ай бұрын
Napenda pia uhalisia wake,jamaa mashallah kajitenga na uongo,amejiweka MTU wa kawaida,anamix na Wasee kama kawa,that's impress me very much
@micmac7035
@micmac7035 Жыл бұрын
Tabasam by Mr blue is my always favourite bongo flavour Nilianza kusikiliza hii track when I was 10 and now I’m old enough but still it sounds good on my ears Respect blue maana umesha maliza kila kituwengine kukae tu tu enjoy the best melody 🎵
@mweroruwa6339
@mweroruwa6339 Жыл бұрын
Nakumbuka hiyo ngoma mapozi akipeform Club Brilliant Mariakani 254
@chinokillerdee
@chinokillerdee Жыл бұрын
Kazii nilikuwa safii kishaa bado ni safii apa Chino killer musiq
@user-rj4yk5zb5v
@user-rj4yk5zb5v Жыл бұрын
Can't forget 'Taabasam', listening while climbing mount Kilimanjaro in 2008 Dec if am not mistaken, it was a hit, congrats Mr Blue, honestly you are your own brand👊🏿
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Жыл бұрын
MrBlue ni mdogo kiumri lakini mapigo yake kama mtu mzimaaaa
@Ram_1893
@Ram_1893 Жыл бұрын
Moja ya wasaniii nimewapenda tangu wanaanza muziki Hashima kubwa kwake 👊🇹🇿
@jeandedieukubwimana4882
@jeandedieukubwimana4882 Жыл бұрын
Blue akae akijua kama nampenda Sana, namupa maua yake, hatakama hanatuzo, heshima yake apewe. EA He's a Best rapper. From 🇧🇮🇧🇮
@emmamga5495
@emmamga5495 Жыл бұрын
Pumbavu mr blue toka lini akawa mrundi?
@jeandedieukubwimana4882
@jeandedieukubwimana4882 Жыл бұрын
@@emmamga5495 una uelewa mdogo sana. Think before yakuongea. From 🇧🇮🇧🇮
@Being_Hussein
@Being_Hussein Жыл бұрын
​@@jeandedieukubwimana4882ndivyo walivyo wabongo hawana akili hua ni masifa tu walipewa😂😂😂
@paulnyika5817
@paulnyika5817 Жыл бұрын
​@@Being_HusseinWacha chuki kaka
@seketawaissa1129
@seketawaissa1129 Жыл бұрын
​@@emmamga5495acha ubabylon kijana shwain
@ibrahimnjohole1684
@ibrahimnjohole1684 Жыл бұрын
Mr blue ni mtu mkalimu sana anaonekana.
@fatumachilo1941
@fatumachilo1941 Жыл бұрын
Enzi izo Mr blue akitoka kimziki n nyimbo y mapause tulikuw tukidanganyana😅 et kwao n tajir wanamtambo wa kutengeneza biscuits 😅😅😅😅😅n uongo gani mwengne uliskia kumuhusu gonga like tujuwane😂😂😂😂😂
@sarahbilly6150
@sarahbilly6150 Жыл бұрын
Anaenda na gari shule ambalo walimu hawana wakamfukiza shule😂😂😂😂 nyieee
@Jamess_-500
@Jamess_-500 Жыл бұрын
Kwao wana miliki gari la hammer 😂😂 daah
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Kumbe na wewe ulikuwepo kipindi cha penati ikipigwa unabana pumbu
@LutegoChangarawe-lf9yz
@LutegoChangarawe-lf9yz Жыл бұрын
Mchizi mox na karapina wamepeleka posa Kwa mama baisa
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 Жыл бұрын
Ahaahaaaa 🙌 umenikumbusha mbali sana 😄 ngoja ninyamaze kwasbb kabaisa ni mwana sana..💯
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Napenda mapozi haijawahi kuchuja inaendelea kuishi☑️🔥😘
@lucasmsogoti3435
@lucasmsogoti3435 Жыл бұрын
Babylon byser daah kama kuna wasanii inchi hii wanatakiwa wapewe heshimu kubwa sana kulingana na mabalaa yao waliyofanya basi mr blue ni mmoja wapo kati yao
@saidimkome3818
@saidimkome3818 Жыл бұрын
Akuna Kama blue bongo hii nikipaji ambacho akijawai tokea🙌
@yahayashuta9608
@yahayashuta9608 Жыл бұрын
Mr blue 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 naamkubali sana baisa sana
@TheMastertz
@TheMastertz 2 ай бұрын
Nampenda mno Byser!!🎉Amazing Legend!!! Mungu ambariki zaidi!!
@swahiliflava9151
@swahiliflava9151 Жыл бұрын
Wasafi mnajua sana, this segment is super beautiful 🔥 Namkubali bysar sana
@rizoibrahimovich605
@rizoibrahimovich605 Жыл бұрын
Mapozi ngoma ya kwanza kabsa kipindi hko da 2004 kitambo sana
@AlphablondieAlpha-dx1ql
@AlphablondieAlpha-dx1ql Жыл бұрын
I remember mapozi song🇰🇪🇺🇲
@ismaelsaed1158
@ismaelsaed1158 Жыл бұрын
Byesr love from burundi
@oscaroscar2555
@oscaroscar2555 Жыл бұрын
Ilikua ni bonge la idea aliyoiona alikiba kuweka ile chorus ya Maua sama mau yako Mr blue🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 Жыл бұрын
Ndo leo najua kuwa sauti ilikuwa ni ya maua sama daaaaah,na kule kwa profesor jay zali la mentali kajala aliingiza sauti ❤❤
@jacobmenganyi7830
@jacobmenganyi7830 Жыл бұрын
Blue he. Deserve hawajampendelea that man is the real goat
@chulirajabu5481
@chulirajabu5481 Жыл бұрын
Nimegundua Dully ni father of bongo flavour Stars
@saidiabilali1846
@saidiabilali1846 Жыл бұрын
Baisa wali kaka etu bana. Adadacha boy kitambo Sana kaliakoo
@mbarakkhalid117
@mbarakkhalid117 Жыл бұрын
Mr blue hatari sana mwenye kumkataa ana bifu tu salute bro
@nanamuhammed-de6zf
@nanamuhammed-de6zf Жыл бұрын
❤❤❤mh enzi zangu izo my foreve Star ✌️✌️✌️
@TALLUBOY
@TALLUBOY Жыл бұрын
JAMAN 26 NAMBA MUNAJUA MAANA YAKE AU MUNAZITUMIA TU MUMIWAI KUUWA WATU WAGUM ZAIDI MSIKILIZENI #KABINYAU Achen hizo namba namba jaman
@DouglasMassop
@DouglasMassop Жыл бұрын
Ngoma yangu pendwa ya Mr Blue ni Tuko pamoja alishutia video south africa. Kile chuma noma sana
@benjaminkijumbe7668
@benjaminkijumbe7668 Жыл бұрын
Mr Blue tunamtambua sana huku mombasa kenya.. much love brother and keep up the good job
@HalimaNamri
@HalimaNamri 3 ай бұрын
Namkubalii Sanaa kz zakoo basaaaa
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 Жыл бұрын
Dah mr Blue love you
@KaidaCut254-vp9kc
@KaidaCut254-vp9kc Жыл бұрын
Toka enzi za ukubwani blue hajawahi niangusha kwa mademu. Yani video queens noma sana
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
Big up blue,pambana mpaka mwisho
@cclaudeshilling957
@cclaudeshilling957 Жыл бұрын
Eshima inaitajika kwa blue kwenye game kitambo
@ediekisangi4172
@ediekisangi4172 Жыл бұрын
namkubali blue , toka kenya
@khalfanndenge5269
@khalfanndenge5269 2 ай бұрын
Mr Blue namukubali Sana. Kwanza nakumbuka Alikiba alikuwa introduced kwa music industry na Mr Blue Enzi hizo za akina Abby skills. Pia nakumbuka hata diamond akionekana kwa mara ya Kwanza kwa wimbo wa Alikiba,so huyu jamaa ni Music Guru
@AssumaniNahishakiye-vq9ft
@AssumaniNahishakiye-vq9ft Жыл бұрын
King 👑👑 Blu ❤je t'aime beaucoup Mr Blu from France 🇨🇱🇨🇱🇨🇱🇧🇱 Bocha ochu mtoo wa kigogo nawakirisha from France apa Mayotte la France 🇨🇱🇧🇱❤❤❤❤
@shamte9musicofficial126
@shamte9musicofficial126 Жыл бұрын
Nampenda Sana maua sama i wish one dai niimbe nae
@user-gv7xw9eu2s
@user-gv7xw9eu2s Жыл бұрын
😮ww mwenywe nitunzo tosha blue
@marcomushi-nd8ku
@marcomushi-nd8ku Жыл бұрын
Ngoma zote za Blue hit song
@simondotto8299
@simondotto8299 Жыл бұрын
2021 au 2001 mtangazaji umeteleza hapo
@mzeemselem1657
@mzeemselem1657 Жыл бұрын
Mtangazaji amepoa sana hii session angemuachia mo town sanya
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf Жыл бұрын
Yupo sawa unyama mwingi
@husseinbakary1969
@husseinbakary1969 Жыл бұрын
Huyu mtangazaji yuko poa sana kuliko hata huyo unaemsema wewe
@MansurMtungo-ud7dz
@MansurMtungo-ud7dz Жыл бұрын
Blue we Given Respect coz musician best
@omarikinyozi4506
@omarikinyozi4506 Жыл бұрын
Yangu namwambia blue kaza kamba twakupenda Sana mombasa kenya
@gboymrgreen6618
@gboymrgreen6618 Жыл бұрын
Blue 🇿🇦🇿🇦kip up my brother
@mirroyjunior8348
@mirroyjunior8348 Жыл бұрын
Unyama sana baisa 👑🔥
@halimama6314
@halimama6314 Жыл бұрын
❤❤❤ ok good yes 👍👍👌👌👌😘🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤗😍😍
@user-iq8hn5hs7x
@user-iq8hn5hs7x Жыл бұрын
Dah! Nimekumbuka zamani
@javanwatson6675
@javanwatson6675 Жыл бұрын
10:18 media kubwa yenye kuitwa wasafi.. inaandika Choraus badala ya chorus..
@elvis5571
@elvis5571 Жыл бұрын
Mr blue noma sana naqbali❤
@Babuu200
@Babuu200 Жыл бұрын
Oii Nimesikia Vitumbua Mia tano #500 !! Duuuuh 😂😂😂
@aishaissa2512
@aishaissa2512 Жыл бұрын
Mr blue 💙💙🎉🎉
@edwinejumanne6323
@edwinejumanne6323 Жыл бұрын
Sijapenda msanii mkubwa ivoo una mtembeza kitaa .....alafu nigependa uyu blue aeshimie f***
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Mboga saba the best xababu Ina mafundi wawili walioimba kiitikio King Kiba Na Dada langu Maua sama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@blackerblacker-kl7tm
@blackerblacker-kl7tm Жыл бұрын
Mr blue noma🎉🎉🎉
@bigmzazee2961
@bigmzazee2961 Жыл бұрын
Kinohoods 26stores nyumban kwetu kuzuri bhanaa
@user-ut9th1bq7i
@user-ut9th1bq7i 11 ай бұрын
I like the way you speak your ...voice is waaaah
@diamesbreezy
@diamesbreezy Жыл бұрын
One of my big Tanzania legends ✊🏾🐐
@user-we4df8jp5i
@user-we4df8jp5i 5 ай бұрын
mboga saba bonge la Goma mzee💥💥💥
@rangiwizzy3813
@rangiwizzy3813 Жыл бұрын
Huyo dada kwenye duka la nguo kamaliza kuhusu BLUE Hajawahi kuharibu
@zeroconscious1916
@zeroconscious1916 Жыл бұрын
Dada kaelezea kwa ufasaha sana, ni dhahiri anamfuatilia. Achana na yule bodaboda wa mboga saba tu
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
Nazipenda nyimbo hizo mpk Sasa ndiyo zangu namkubali sana TID
@mwanaishasaleh8327
@mwanaishasaleh8327 Жыл бұрын
Ahhhj weeeeee Mr blue huyu
@user-jr4dy7dj2c
@user-jr4dy7dj2c Жыл бұрын
Ni namba 1 ktk wasanii wangu
@jacksonhaggai6771
@jacksonhaggai6771 Жыл бұрын
Mtangazaji Ange Muachia mo town
@del-mohaa7527
@del-mohaa7527 Жыл бұрын
Byser niko na cuzo yangu kafanana nae copy ila sisi wakenya
@yohananyabu5556
@yohananyabu5556 Жыл бұрын
LEGEND 👑🔥
@crownhancy3251
@crownhancy3251 Жыл бұрын
Legend af Hajikuti wala nini 🔥
@damaschacha4157
@damaschacha4157 Жыл бұрын
Da jamaa Yan ad namtan uy ndio mtanzania kwel maskin ad rah ajion ajisikii ajikut yupo kawaid ad lah wengine apo ingekua shida nimependa San Kak big u
@jacksonmacha.8613
@jacksonmacha.8613 Жыл бұрын
tabasamuuuuu...ngoma la duniaaa
@iddikimia4951
@iddikimia4951 Жыл бұрын
Mbizi Babylon Bayser Blue Heri Samir
@furahamandai6628
@furahamandai6628 Жыл бұрын
Hatariii sana blue yani nakumbuka mbali badeko beach bagamoyo tunazindua
@kudramzee5769
@kudramzee5769 Жыл бұрын
Bayser 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-si1sr2lj8z
@user-si1sr2lj8z Жыл бұрын
Kiswahili yako ni safi,sikama hao wa Tanzania wengine
@shamte9musicofficial126
@shamte9musicofficial126 Жыл бұрын
Mr blue ni msanii alietu inspire wasanii wengi kupenda music
@EnockBusungu-ky6rz
@EnockBusungu-ky6rz Жыл бұрын
Pesa mboga saba blueblue and kiss kiss ndio ngoma zangu kali toka kwa mr blue
@zachayodeus1314
@zachayodeus1314 3 күн бұрын
Wasanii wa Zamani hawajui kujipromote bysa n mkubwa kisanaa the way anajiwek anazingua
@bigletterletter3113
@bigletterletter3113 11 ай бұрын
Recordo nos tempos Mr Blue 🎉🎉❤❤❤
@Being_Hussein
@Being_Hussein Жыл бұрын
Ila mtangazaji hiyo c kazi yake hii kazi apewe sanya ana vibe la kutosha anajua kwenda na camera
@SaidihusseinAthumani-dy9kw
@SaidihusseinAthumani-dy9kw Жыл бұрын
una bayaaa mwanangu mwenyewe heshima imekaa sehemu yake
@safaricharo9667
@safaricharo9667 Жыл бұрын
Niskize me ft pig black..Kiwasaaii.noma sana.254 tupo wote
@LeeMchanaji
@LeeMchanaji Жыл бұрын
Blue ninamkubali Mia kwa Mia. Mnyama Yule..... More Life to you champion🎉🎉🎉🎉🎉
@KhamisMabud-nz7km
@KhamisMabud-nz7km Жыл бұрын
yuko sawa mbro kabaisa
@abdallahmwanga5792
@abdallahmwanga5792 11 ай бұрын
Kiss kiss na mapozi,iz mai choice aisee,baisa mdogo wangu,huna baya...
@murtalla2826
@murtalla2826 Жыл бұрын
Mbogaa)7 ni kichupa kikali sana
@victormauggo
@victormauggo Жыл бұрын
babylon ..hataree nakubali sana mdogo wangu kwenye game kitambo ..kino moja
@RamadhaniAndambike-oq5on
@RamadhaniAndambike-oq5on 9 ай бұрын
Sasa bzeee adi alipokua uyo mwamba amepasahau atakumbuka ngoma zakijanja kwer uyo mwana awezi kukumbua😂😂
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 Жыл бұрын
🎉 chukua maua bro
@EllyThegreat-bg2nt
@EllyThegreat-bg2nt Жыл бұрын
Real life 🔥👊
@user-gr3xo6dz5x
@user-gr3xo6dz5x Жыл бұрын
Kama umeona jengo la vunja bei kama mm like ziwe nyingi
@frolencefwalo9195
@frolencefwalo9195 Жыл бұрын
P1 sana bluu nakubar sana bro Mwenye nakukubar tusha kutana njombe hunaga dhalau kwanza
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 38 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 13 МЛН
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 11 М.
Mr Blue mjanja sana
8:55
5gear official
Рет қаралды 483 М.
BILLIONEA ALIYEFIRISIKA NA KUWA MUUZA GENGE ASIMULIA MAZITO
51:17
Крика помощи 😢
0:51
Ишутин богат душой
Рет қаралды 3 МЛН
а ты любишь париться?
0:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 1,8 МЛН