EXCLUSIVE: MAMA ANAEFUGA MENDE NA KUWAPIKA KISHA KUWALA "MMOJA NAUZA Tsh.1000, WATAMU SANA"

  Рет қаралды 15,372

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 92
@edmundbuberwa153
@edmundbuberwa153 2 жыл бұрын
Mama, hongera kwa kazi. Ninaomba tuwasiliane nipate elimu hiyo. Asante
@demicratia4071
@demicratia4071 2 жыл бұрын
Hata kama ni chuo cha MENDE UNIVERSITY KULA MWENYEWE
@josephlorri431
@josephlorri431 2 жыл бұрын
Weka mawasiliano, tuanze kufuga mende,tule mende kwa afya zetu.
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 жыл бұрын
Mungu amekushukia kwa mende😌😌hii dunia imefikia kikomo
@mahmoudmohad1278
@mahmoudmohad1278 2 жыл бұрын
Mende ni mende awe wakufugwa au wa chooni hmm! Siwezi kula
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 2 жыл бұрын
Tanzania itasapoti huu ujinga na maradhi karibuni yatakuja Allah awahifadh wenye imani wasikaribie kula uchafu huu n
@petriciajohn1245
@petriciajohn1245 2 жыл бұрын
Hahaaa mama mende anasisitiza uwii
@agapepalangyo4316
@agapepalangyo4316 2 жыл бұрын
Solo lake liko wapi? Yap wanaonunua mbegu baadaye watauza wapi?
@isamony58
@isamony58 2 жыл бұрын
kwani wanyama wakufuga hawapo jamani
@beatricefredilick1646
@beatricefredilick1646 2 жыл бұрын
Mmm mwisho mtatuletea.magonjwa.ya ajabu no.kweli
@Farismabeauty
@Farismabeauty Жыл бұрын
Wanaokula senene na kumbikumbi.........ata mende mnaweza kula bhana
@Zahrazahra-ue7bp
@Zahrazahra-ue7bp 2 жыл бұрын
Wewe mama nitakutafuta inshaallah
@carolineotieno8154
@carolineotieno8154 2 жыл бұрын
Jamani soko la mende inapatikana wapi ndio nianze niko 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@pendoyese4452
@pendoyese4452 2 жыл бұрын
Uwiiiii jamani anawala duu
@chamimdesa148
@chamimdesa148 2 жыл бұрын
Hivi nyie watz mbana wajinga hivyo? Hapo ni kwasababu mtanzania ndo anafuga ndo maana mnatoa maneno ya karaha, mbona mmeletewa mikuku ya maabara isiyopandwa na jogoo na mnafakamia? Acheni ushamba bwana.
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 2 жыл бұрын
Umesema kuku sio mende na ww unasapoti inamana baada miaka kazaa watu wakianza kugonjwa mtasema wazungu wamewaletea maradhi kumbe mimende mnaokula mnaiga wachina sasa wakati mungu katubariki Tanzania kuna kila aina ya wanyama wakula eti mnakula mende si ujinga huo yakitokea maradhi utarudi kwenye comment yng kuikumbuka.
@reginaedward4883
@reginaedward4883 2 жыл бұрын
Is she normal ?l can't eat cocroch, naweza fuga ni uze but siwezi kula.
@iladaharuna2533
@iladaharuna2533 2 жыл бұрын
Mbegu umempata.wapi?
@piusphilip307
@piusphilip307 2 жыл бұрын
Daah kweli Aisee hata appearance ya bi mkubwa inaonekana ilivyokuwa na nuru
@ebenezernnko8251
@ebenezernnko8251 2 жыл бұрын
kazi iendelee
@sumayafissoo2192
@sumayafissoo2192 2 жыл бұрын
Suphanallah siwezi kula
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz 7 ай бұрын
No simu ya mama
@mutetikadere1402
@mutetikadere1402 2 жыл бұрын
Cijawi jua ikiwa mendes wanaliwa
@johntibeyemera3865
@johntibeyemera3865 Жыл бұрын
Namba yako mama
@Zahrazahra-ue7bp
@Zahrazahra-ue7bp 2 жыл бұрын
Yupo morogoro seem gani
@mutetikadere1402
@mutetikadere1402 2 жыл бұрын
Maajabu sana
@evancekimath7405
@evancekimath7405 Жыл бұрын
Inatia hamasa daah.....!!
@zaitunisinamenye1799
@zaitunisinamenye1799 2 жыл бұрын
Tutaona mengi wallah
@GULF444
@GULF444 2 жыл бұрын
Apo sipo mm.ata unipe bure shikamoo mama mende
@hejopantumsifusimon21
@hejopantumsifusimon21 2 жыл бұрын
mh m naua mende.nikimuon namuua stak at kumuona mende mimi
@wilsonemanuel9915
@wilsonemanuel9915 2 жыл бұрын
Endelea mama Usisikilize ya watu Mama mm nataka kufunga Utanipa soko
@johntibeyemera3865
@johntibeyemera3865 Жыл бұрын
Nahitaji mbegu ya mende napataje niko Kigoma
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 жыл бұрын
Mmmmmh kwako siwezi kula nisije hara🤣🤣🤣
@Manoatzofficial
@Manoatzofficial 7 ай бұрын
Kwaajili ya ela cyo nile
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Ila wanavitamen. Mana hata paka 🐱 akiwa anakula mende ananenepa vizuri paka 🐈
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 жыл бұрын
MMMMH WACHINA KUMBE TUPO NAO !!!!
@hamadmhchande5633
@hamadmhchande5633 2 жыл бұрын
Ila sisi makabila tuna midomo? Watu wanakula panya kusini huko na sijawahi kuona post hapa you tube. Ila mende tu au wapiga camera wote humu ni wakusini?
@chamimdesa148
@chamimdesa148 2 жыл бұрын
Siyo panya tu mm nipo hap Masasi watu wanakula CHURA, sembuse Mendes? Kula mama nitakupa order nitumie
@MisosimitamuC
@MisosimitamuC 2 жыл бұрын
Mama katisha.
@skynerabdulkadir6098
@skynerabdulkadir6098 2 жыл бұрын
🤮🤮🤮🤮 unikome wee mama mende!!
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣tena akome na uchafu wake cjui likabila gn nyoooooo
@skynerabdulkadir6098
@skynerabdulkadir6098 2 жыл бұрын
@@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه yaani dah!mijitu mingine sijui ipo vp...hata kama sio kwa fursa hiyo.
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 жыл бұрын
Nikienda kwake hta maji sinywi
@mbwembwetvsaficomedy8246
@mbwembwetvsaficomedy8246 Жыл бұрын
Mchawi
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 2 жыл бұрын
Mende anazaa watoto wangapi
@abdufatuma9420
@abdufatuma9420 2 жыл бұрын
Mmh ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni. Kuishi kwingi ni kuona mengi.. "kuweni muyaone" hayaa ya TZ ndio hayo ya Mende, ya kenya (wajackoyah) atatufugisha nyoka.!!!!! Tuendeleeni kuishii!!!!🤔
@doricesosthenes1714
@doricesosthenes1714 2 жыл бұрын
Mende ni mende 2
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 2 жыл бұрын
Hawa ndo wanaleta magonjwa duniani...magonjwa ya mlipuko kila siku like why mende...wanyama wakuwala wapo wengi sana jmn Like WTF
@brendasimba7751
@brendasimba7751 2 жыл бұрын
Maana yake apo kwanza ncheke
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 2 жыл бұрын
Kweli unayosema wakianza kuanguka kma wachina waseme maradhi wameletewa.
@petriciajohn1245
@petriciajohn1245 2 жыл бұрын
Mama mende uyo mmh
@lovenessmushendwa1230
@lovenessmushendwa1230 2 жыл бұрын
Hahaha mama mende
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 2 жыл бұрын
Serekali iangalie hii maana hawa watatuletea maradhi makubwa kma wachina yaani wanyama wote mungu aliotubarikia Tanzania tule mende sasa .alafu watu wakianza kugonjwa museme mmeletewa maradhi na wazungu kumbe maradhi tunayatafuta wenyewe ikiwezeka hawa ni wakufungwa kabisa maana hya masoko yatakuwa mengi baadae dwa wenyewe hospital tabu siku wagonjwa wakiumwa watailamu serekali .
@zenjigreen5491
@zenjigreen5491 2 жыл бұрын
Kila mtu na mtazamo wake. Hayaingii akilini hata kidogo
@katemachanda7035
@katemachanda7035 2 жыл бұрын
Anapatikanaje huyu mama??? Mawasiliano n.k
@UNDUIRE2023
@UNDUIRE2023 Жыл бұрын
Duniani kuna mambo
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 2 жыл бұрын
Kadiri ninavyoishi nazidi kuona mengi😂😂😂😂ule msemo wa kua uyaone ndo nayaona sasa haya mama kazi iendelee
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 2 жыл бұрын
Sa iv unao mende wangapi
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 2 жыл бұрын
Mama mende,tahadhali tuheshimiane
@chamimdesa148
@chamimdesa148 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 2 жыл бұрын
Heshima inashuka😂😂😂
@mudymudy779
@mudymudy779 2 жыл бұрын
Uyu chizi
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Na inaonesha ukitoka kijasho cha kwapa hapakaliki mana hao mende wana kikupuu cha ajabu
@sadmahossein9030
@sadmahossein9030 2 жыл бұрын
Mama huo mwanzo ila soko likinoga mpka Wa chooni watauzwa masokoni waafrika htuna dogo.
@prankandcomedytv8705
@prankandcomedytv8705 2 жыл бұрын
Hila huyu Mama nimupambanaji kabisa.Mende kanenepa pia safi.apa anatumia pesa na usihisi nimchezo.
@missmwemba6094
@missmwemba6094 2 жыл бұрын
Mimi nataka mbegu nifuge mama mende yakaa Hao watamu kweli
@ostakiambilinyi1270
@ostakiambilinyi1270 2 жыл бұрын
Haya tunaotumia vipodozi kumbe tunapaka mende
@demicratia4071
@demicratia4071 2 жыл бұрын
Aise WACHINA NDIO WAMETULETEA BALAA HII hata maackrel nadhani nyoka
@wilsonemanuel9915
@wilsonemanuel9915 2 жыл бұрын
Kama utanipa soko nitumke Namba Nianza kufunga
@sumayafissoo2192
@sumayafissoo2192 2 жыл бұрын
Uchafu wtz mende tena
@carolineotieno8154
@carolineotieno8154 2 жыл бұрын
Kama mende ina tumika kutengeneza vipodozi basi mm na vipodozi kwisha yani niacha kabisa
@demicratia4071
@demicratia4071 2 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Mawasiliano mimi nataka kufuga.
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 2 жыл бұрын
Huyu ni mchawi tu, Mende ni frusa gani hapa duniani? Huo uchafu una hela gani? Kwanza ungekuwa ndugu yangu, Nisingekuja kukanyaga kwako! Mwanamke mchafu sana!
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 2 жыл бұрын
Uchawi ni mwisho wa utashi wako wa kufikiri. Mende ni dili wewe!!!! Watu wanakula nyoka sembuse mende? KALAGA BAO😂
@leilajohn4600
@leilajohn4600 2 жыл бұрын
@@georgematahimba5242 apo kwenye kalakabao 😂😂😂😂😂
@romanabasilswai1583
@romanabasilswai1583 2 жыл бұрын
Mm nafuga kunguni Ila solo sijapata msaada waungwana
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 2 жыл бұрын
@@leilajohn4600 😂😂😂
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 2 жыл бұрын
@@leilajohn4600 hebu tulieni jaman mnatuvunja mbavu
@onanimtemela37
@onanimtemela37 2 жыл бұрын
Anajuaje huyu n dume au jike kwa anaowauzia maana nao wanataka wafuge.
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 2 жыл бұрын
Mbona wamenishawishi baada ya kukaangwa😋😋👌🤦🤦🤮🤮
@petriciajohn1245
@petriciajohn1245 2 жыл бұрын
Kiranga komo ...looh uchafu tu
@bakarithegeoinformatician7406
@bakarithegeoinformatician7406 2 жыл бұрын
Haram na pesa yake ni haram tu
@mariamudotto5124
@mariamudotto5124 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@fanicelopez8301
@fanicelopez8301 2 жыл бұрын
🤮🤮🤮🤮🤮
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
🙄🙄🤣😂💦
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 13 МЛН
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 114 МЛН
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
Ufugaji Wa Sungura | Ripoti Horizon | HorizonTV Kenya
17:50
HorizonTV Kenya
Рет қаралды 4,1 М.
MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MAKUZI YA MTOTO WA MIEZI 6 HADI MWAKA 1
14:25
JIFUNZE UFUGAJI WA MENDE.
7:23
MwanaKijiji
Рет қаралды 1,4 М.
"WADUDU TAFUTENI HELA" MAKONDA AKUTANA NA WADUDU AWAPA MBINU
5:36
Millard Ayo
Рет қаралды 142 М.
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН