Mama, hongera kwa kazi. Ninaomba tuwasiliane nipate elimu hiyo. Asante
@demicratia40712 жыл бұрын
Hata kama ni chuo cha MENDE UNIVERSITY KULA MWENYEWE
@josephlorri4312 жыл бұрын
Weka mawasiliano, tuanze kufuga mende,tule mende kwa afya zetu.
@firdausqutty20672 жыл бұрын
Mungu amekushukia kwa mende😌😌hii dunia imefikia kikomo
@mahmoudmohad12782 жыл бұрын
Mende ni mende awe wakufugwa au wa chooni hmm! Siwezi kula
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Tanzania itasapoti huu ujinga na maradhi karibuni yatakuja Allah awahifadh wenye imani wasikaribie kula uchafu huu n
@petriciajohn12452 жыл бұрын
Hahaaa mama mende anasisitiza uwii
@agapepalangyo43162 жыл бұрын
Solo lake liko wapi? Yap wanaonunua mbegu baadaye watauza wapi?
@isamony582 жыл бұрын
kwani wanyama wakufuga hawapo jamani
@beatricefredilick16462 жыл бұрын
Mmm mwisho mtatuletea.magonjwa.ya ajabu no.kweli
@Farismabeauty Жыл бұрын
Wanaokula senene na kumbikumbi.........ata mende mnaweza kula bhana
@Zahrazahra-ue7bp2 жыл бұрын
Wewe mama nitakutafuta inshaallah
@carolineotieno81542 жыл бұрын
Jamani soko la mende inapatikana wapi ndio nianze niko 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@pendoyese44522 жыл бұрын
Uwiiiii jamani anawala duu
@chamimdesa1482 жыл бұрын
Hivi nyie watz mbana wajinga hivyo? Hapo ni kwasababu mtanzania ndo anafuga ndo maana mnatoa maneno ya karaha, mbona mmeletewa mikuku ya maabara isiyopandwa na jogoo na mnafakamia? Acheni ushamba bwana.
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Umesema kuku sio mende na ww unasapoti inamana baada miaka kazaa watu wakianza kugonjwa mtasema wazungu wamewaletea maradhi kumbe mimende mnaokula mnaiga wachina sasa wakati mungu katubariki Tanzania kuna kila aina ya wanyama wakula eti mnakula mende si ujinga huo yakitokea maradhi utarudi kwenye comment yng kuikumbuka.
@reginaedward48832 жыл бұрын
Is she normal ?l can't eat cocroch, naweza fuga ni uze but siwezi kula.
@iladaharuna25332 жыл бұрын
Mbegu umempata.wapi?
@piusphilip3072 жыл бұрын
Daah kweli Aisee hata appearance ya bi mkubwa inaonekana ilivyokuwa na nuru
@ebenezernnko82512 жыл бұрын
kazi iendelee
@sumayafissoo21922 жыл бұрын
Suphanallah siwezi kula
@DpN-rk8xz7 ай бұрын
No simu ya mama
@mutetikadere14022 жыл бұрын
Cijawi jua ikiwa mendes wanaliwa
@johntibeyemera3865 Жыл бұрын
Namba yako mama
@Zahrazahra-ue7bp2 жыл бұрын
Yupo morogoro seem gani
@mutetikadere14022 жыл бұрын
Maajabu sana
@evancekimath7405 Жыл бұрын
Inatia hamasa daah.....!!
@zaitunisinamenye17992 жыл бұрын
Tutaona mengi wallah
@GULF4442 жыл бұрын
Apo sipo mm.ata unipe bure shikamoo mama mende
@hejopantumsifusimon212 жыл бұрын
mh m naua mende.nikimuon namuua stak at kumuona mende mimi
@wilsonemanuel99152 жыл бұрын
Endelea mama Usisikilize ya watu Mama mm nataka kufunga Utanipa soko
@johntibeyemera3865 Жыл бұрын
Nahitaji mbegu ya mende napataje niko Kigoma
@mdzainb37222 жыл бұрын
Mmmmmh kwako siwezi kula nisije hara🤣🤣🤣
@Manoatzofficial7 ай бұрын
Kwaajili ya ela cyo nile
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Ila wanavitamen. Mana hata paka 🐱 akiwa anakula mende ananenepa vizuri paka 🐈
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
MMMMH WACHINA KUMBE TUPO NAO !!!!
@hamadmhchande56332 жыл бұрын
Ila sisi makabila tuna midomo? Watu wanakula panya kusini huko na sijawahi kuona post hapa you tube. Ila mende tu au wapiga camera wote humu ni wakusini?
@chamimdesa1482 жыл бұрын
Siyo panya tu mm nipo hap Masasi watu wanakula CHURA, sembuse Mendes? Kula mama nitakupa order nitumie
@MisosimitamuC2 жыл бұрын
Mama katisha.
@skynerabdulkadir60982 жыл бұрын
🤮🤮🤮🤮 unikome wee mama mende!!
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣tena akome na uchafu wake cjui likabila gn nyoooooo
@skynerabdulkadir60982 жыл бұрын
@@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه yaani dah!mijitu mingine sijui ipo vp...hata kama sio kwa fursa hiyo.
@firdausqutty20672 жыл бұрын
Nikienda kwake hta maji sinywi
@mbwembwetvsaficomedy8246 Жыл бұрын
Mchawi
@barikilangoy47372 жыл бұрын
Mende anazaa watoto wangapi
@abdufatuma94202 жыл бұрын
Mmh ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni. Kuishi kwingi ni kuona mengi.. "kuweni muyaone" hayaa ya TZ ndio hayo ya Mende, ya kenya (wajackoyah) atatufugisha nyoka.!!!!! Tuendeleeni kuishii!!!!🤔
@doricesosthenes17142 жыл бұрын
Mende ni mende 2
@liciouscharles33702 жыл бұрын
Hawa ndo wanaleta magonjwa duniani...magonjwa ya mlipuko kila siku like why mende...wanyama wakuwala wapo wengi sana jmn Like WTF
Serekali iangalie hii maana hawa watatuletea maradhi makubwa kma wachina yaani wanyama wote mungu aliotubarikia Tanzania tule mende sasa .alafu watu wakianza kugonjwa museme mmeletewa maradhi na wazungu kumbe maradhi tunayatafuta wenyewe ikiwezeka hawa ni wakufungwa kabisa maana hya masoko yatakuwa mengi baadae dwa wenyewe hospital tabu siku wagonjwa wakiumwa watailamu serekali .
@zenjigreen54912 жыл бұрын
Kila mtu na mtazamo wake. Hayaingii akilini hata kidogo
@katemachanda70352 жыл бұрын
Anapatikanaje huyu mama??? Mawasiliano n.k
@UNDUIRE2023 Жыл бұрын
Duniani kuna mambo
@nelsonjonathan76602 жыл бұрын
Kadiri ninavyoishi nazidi kuona mengi😂😂😂😂ule msemo wa kua uyaone ndo nayaona sasa haya mama kazi iendelee
@barikilangoy47372 жыл бұрын
Sa iv unao mende wangapi
@emmanuelmasanja60402 жыл бұрын
Mama mende,tahadhali tuheshimiane
@chamimdesa1482 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@nelsonjonathan76602 жыл бұрын
Heshima inashuka😂😂😂
@mudymudy7792 жыл бұрын
Uyu chizi
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Na inaonesha ukitoka kijasho cha kwapa hapakaliki mana hao mende wana kikupuu cha ajabu
@sadmahossein90302 жыл бұрын
Mama huo mwanzo ila soko likinoga mpka Wa chooni watauzwa masokoni waafrika htuna dogo.
@prankandcomedytv87052 жыл бұрын
Hila huyu Mama nimupambanaji kabisa.Mende kanenepa pia safi.apa anatumia pesa na usihisi nimchezo.
@missmwemba60942 жыл бұрын
Mimi nataka mbegu nifuge mama mende yakaa Hao watamu kweli
@ostakiambilinyi12702 жыл бұрын
Haya tunaotumia vipodozi kumbe tunapaka mende
@demicratia40712 жыл бұрын
Aise WACHINA NDIO WAMETULETEA BALAA HII hata maackrel nadhani nyoka
@wilsonemanuel99152 жыл бұрын
Kama utanipa soko nitumke Namba Nianza kufunga
@sumayafissoo21922 жыл бұрын
Uchafu wtz mende tena
@carolineotieno81542 жыл бұрын
Kama mende ina tumika kutengeneza vipodozi basi mm na vipodozi kwisha yani niacha kabisa
@demicratia40712 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
Mawasiliano mimi nataka kufuga.
@danieljoseph16102 жыл бұрын
Huyu ni mchawi tu, Mende ni frusa gani hapa duniani? Huo uchafu una hela gani? Kwanza ungekuwa ndugu yangu, Nisingekuja kukanyaga kwako! Mwanamke mchafu sana!
@georgematahimba52422 жыл бұрын
Uchawi ni mwisho wa utashi wako wa kufikiri. Mende ni dili wewe!!!! Watu wanakula nyoka sembuse mende? KALAGA BAO😂
@leilajohn46002 жыл бұрын
@@georgematahimba5242 apo kwenye kalakabao 😂😂😂😂😂
@romanabasilswai15832 жыл бұрын
Mm nafuga kunguni Ila solo sijapata msaada waungwana
@nelsonjonathan76602 жыл бұрын
@@leilajohn4600 😂😂😂
@nelsonjonathan76602 жыл бұрын
@@leilajohn4600 hebu tulieni jaman mnatuvunja mbavu
@onanimtemela372 жыл бұрын
Anajuaje huyu n dume au jike kwa anaowauzia maana nao wanataka wafuge.