Sahihi sana ulichosema Mheshimiwa Katibu Mkuu UWT MUNGU akutane na haja ya moyo wako
@leoncealex734310 ай бұрын
Uzuri huyu dada anasikiliza na nimsikilizaji mzuri. Nimpe tano zake 👊
@sabinashabani116510 ай бұрын
Kabinti kazuri sana na kanajielewa hongera sana kwa wazazi
@ritapiusnicolaus706810 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mh J 🙏🙏Hongera sana bint utafika mbali kaza but One Day Yes🙏❤️
@JoelPonela10 ай бұрын
Nimependa, hu JOKET kasema usitamani kuwa kama mimi, tamani kuwa kama MUNGU alivyo kujaria kua, apo fikiria kwa umakini sana kwakila mtu,
@innocentmbunda73610 ай бұрын
Hongera sana unajiamini na unastahili kila unalohitaji katika maisha yako.. unafaa kuwa lawyer na politician
@RozinaHamisi10 ай бұрын
Ma shaa Allah kiongozi wa kesho kwetu songea mungu ajibu dua zako na akuwezeshe kupambania ndoto yako bibiana
@AyubuNgubi10 ай бұрын
Na nimzuri pia 😂😂😂😂❤❤❤❤❤
@beatricekaaya138110 ай бұрын
Beauty with Brain❤
@auntdorah914110 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki mhshmw Jokate... Wewe ni mfano mzuri wa kuigwa na vijana wa kike na hata wa kiume pia...nakukubali unavyojiamini na kwa ujasiri wako...karibu kila mzazi anaejielewa anatamani ungekua mtoto wake...na karibu kila binti anaejitambua...anatamani kuwa kama wewe... Mimi nakuona mbali zaidi mhshmw waziri wetu...
@halimahalima148810 ай бұрын
MashaaAllah 🥰
@BeatriceMacha-pf9ey10 ай бұрын
Hongera sana
@ErickBeda-nh8ng10 ай бұрын
Shadyah cute apa ongera sasa dada joket mungu akuzdishie pia❤️❤️
@JescaMwagama-oc9yt10 ай бұрын
Shule niliyosoma nilimaliza mwaka 2010
@omanoman976610 ай бұрын
@@JescaMwagama-oc9ytkha kumbe we WA juzi to
@calistgwaydamuy881310 ай бұрын
Smart one,, very nice
@zephaniapaul959210 ай бұрын
💪💪good point sister
@SiwemaSelemani-iq9oh10 ай бұрын
Mungu akupiganie san
@sophianyange365510 ай бұрын
Ongera sana dogo mungu hakulinde
@charlestheopister22110 ай бұрын
Shule yng nilosoma❤
@EvelynMonica-ib3op10 ай бұрын
Hongera binti yangu 🎉
@nipherjoseph856110 ай бұрын
Wa kwanza Leo hongera dada mdogo
@MatronaThomas-wz5si10 ай бұрын
Ana vision sana mtoto
@navioma488210 ай бұрын
Hongera mdogowangu
@user-bl1rg2kk7r9 ай бұрын
Jaman naombeni namba ya iyo shule
@user-bl1rg2kk7r9 ай бұрын
Naomb namba ya sim
@experiuskamugisha672210 ай бұрын
Nashukuru Kwa ushauri uliompa binti
@rosehaule676510 ай бұрын
Nyumbani kwetu kusongeaa❤
@nancyg866410 ай бұрын
Bombinyumbi😆😆😆🖐🤣
@juliethndomba63910 ай бұрын
Mlongo za magono
@user-xy8kl9wd2i10 ай бұрын
Hiyo video mgeipost kukumbushia wengine hatujsiona
@barikilangoy473710 ай бұрын
Tunausa hyo video kwa shilling 20000 ni tamu sana
@nancyg866410 ай бұрын
@@barikilangoy4737 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiiii
@lusticabernad998210 ай бұрын
@@barikilangoy4737 hahhaahahhaa
@LucyKapinga-fg4dk10 ай бұрын
@@nancyg8664hahahhahahha
@amanisaid986310 ай бұрын
Hua mm nakukubar xana ww ni mfanoo Muheshimiwa Mungu akusimamie
@AminielMbise-cl3fq10 ай бұрын
Wasaidieni ambao hawajafanikiwa kusoma. Mbona Mbuge Musukuma amefanikiwa na hajasoma sana. Wasaidieni wananchi wa hali ya chini. Kwani kufanikiwa ni nini kama siyi kuwa na chakula , matumizi, nyumba na Amani
@user-om7lv9cj3n10 ай бұрын
Mbona hata na sautiiiiiiii ya mheshimiwa imebadilikaa jamani
@AzharluqmanHema10 ай бұрын
😅😅😅 connection utaipata joket she a hero'
@AminielMbise-cl3fq10 ай бұрын
Je kama mtu hajafanikiwa kusoma yeye hana haki ya kufanikiwa?
@allthingdranabeauty10 ай бұрын
Ndio niceee tu unavyopambana wapo watu awajasoma na wamefanikiwa Ila elimu ni muhimu pia
@MichaelMaro-hj7yo10 ай бұрын
MUNGU ametupa wewe mwenetu sisi wazazi Tuko nawe we n hazina ya TAIFA MUNGU AWE NAWE KAZA BUTI KIONGOZI WETU
@BINTIwaKITANGA10 ай бұрын
Sasaa mbona hujamuamkia😂😂
@rehemakanyere418810 ай бұрын
Ametekewa hakutegemea
@francolocco10 ай бұрын
Aliongea kilugha au nimeckia vibaya
@mariaagnes44710 ай бұрын
Hicho ni kilugha😂😂😂
@AMINASAIDI-mx7rs10 ай бұрын
Jamanieee mwenye no ya joket mulaba naona nitumiwe no yake .