Mashallah nakkubali bro.All the way from Kenya.niwakwanza npen likes Zang
@tinaminja550011 ай бұрын
Mbona wakawaida sana
@Dama-w8f10 ай бұрын
Cawinna nakuomba sana unifolo nibox yangi plz sitaki nikosene na ww
@asiapaul947711 ай бұрын
Wayao kwa kuoa hatari😮
@يوسفالحربي-ض9د11 ай бұрын
Mashaallah kawin
@WAMYuser-my5yg8tn9bw10 ай бұрын
UNYAMA BROTHER
@SamiaKiliga11 ай бұрын
Kusin t wanapenda sana mapenzi
@awetumtengera114711 ай бұрын
Wayao wanaijua sana Dini hasa uislamu. Kuhusu mapenzi hakuna kabila lisilokuwa kicheche.
@salamsabdullah-st9pt11 ай бұрын
Dada mbengu hongera
@aeshazhran683911 ай бұрын
Mashaallah
@salamsabdullah-st9pt11 ай бұрын
Pole Sana cawwina
@Ezatzashindikene11 ай бұрын
Masha Allah
@PrincessHellen-pg1oy11 ай бұрын
Mashaalah ❤
@salamsabdullah-st9pt11 ай бұрын
Wow bro
@ireneanod991511 ай бұрын
Tunakukumbka sana mshikaj wetu
@Morejay74411 ай бұрын
Kaka piga kazi ishi maisha yako maneno yapo na yataendelea kuwepo simama upilo acha waseme mwisho wa yote ni kifo kk chamsingi fanya yako kk
@Morejay74411 ай бұрын
Nakukubali Leo kesho kk 💥✅🕺
@TaarabChannel11 ай бұрын
Mpitie na kwangu kwa shorts Kali na videos
@MoTalentTz11 ай бұрын
Bakari cawina
@N.S.GGROUP111 ай бұрын
Anaitwa Cawina Kicheche
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج10 ай бұрын
😂😂😂 kwel umesoma liwti,,,iyo samaki mmoja akioza wote wameoza n ya mwalimu kubini😅😅😅
@elijohofficial104911 ай бұрын
huyu dada vipi mbn maswali yale kichwa juu mikono chini😂
@sikudhanimohammad769211 ай бұрын
Mtangazaji hujamuuliza ana elimu gani?Amezaliwa mwaka gani?
@williamloserian599911 ай бұрын
amemuuliza mwanzo kabisa
@salamsabdullah-st9pt11 ай бұрын
Baba nadee
@JamilaMussa-ke3xd11 ай бұрын
Sio wote bwana, mm simpend mwanaume gani anajichubua
@nancyg866411 ай бұрын
Iyo sifa ya wayao ni kwel kabisa 🤣🤣🤣🤣
@valenakomba921811 ай бұрын
Mi naona huyo mtangazaji amekupenda .
@immabahatiimmabahati237311 ай бұрын
Shoga hilo😂😂😂😂😂
@nancyg866411 ай бұрын
Mwanaume wa mwanza anaitwa msukuma🤣🤣ngosha
@fatmaalfahdi199710 ай бұрын
Huyo kijana muongo. Mbona ikitongoza mashagala kutoka burundi munaongea kirundi pia mimi ulikua ukiniongelesha ku fb. 😂😂😂nakirundi. Huo murundi kbs
@saadalshre134510 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭
@ZaynabRamadhan-mk1bn11 ай бұрын
Eti kipenzi cha warembo 😂😂😂
@adelphinebayubahe908810 ай бұрын
Uyu ni musema wongo tena mwizi
@mohdmohd842811 ай бұрын
Mbavu anachora hina😂
@barthbrazak11 ай бұрын
🇨🇩🇨🇩 cool tz
@hassanbakari452511 ай бұрын
WAREMBO GANI??na mi dem akiwa anashoboka shoboka ovyo na hao wapaka poda,,huwa tunamalizana kwa afya yetu....(TUTASUMBUANA)
@fatmaalfahdi199710 ай бұрын
Sas huo tz ama murundi ???
@vocalizertz686811 ай бұрын
Anaitwa kawina au Karina?
@salamafair116911 ай бұрын
Kawinna
@YusufuMefali-ys9qo11 ай бұрын
Mwanume wa dar ni wanaume kama wewe walamba lips walaini laini kama mlenda Wala chips zege, Ila mwanaume wa mikoani ni mwanaume wa shoka, mwanaume ambaye chakula chake ni ugali wa dona
@QueenRashid-i5d11 ай бұрын
Kwanza kabilailo wanauwivu san na wanapenda san
@vuguzelachanel610711 ай бұрын
Muanaume wa dar😮
@OripaStevenmosha11 ай бұрын
Mmmmmhhh
@XhxhccVfhhxh11 ай бұрын
Kweli anajikoroga sio rahagi yake uyoo anaonekana tu 😂😂😂
@nancyg866411 ай бұрын
Mbona hana dark knuckles..ndo rangi yake
@OmarMohamed-zf8dp11 ай бұрын
Wacjausenge huo
@robbyman621311 ай бұрын
Unauliza maswali hafu hujui kufikia hitimisho
@valenakomba921811 ай бұрын
Kuna waxuri zaidi yake bwanaa.
@AMINASAIDI-mx7rs11 ай бұрын
😂
@azizams572111 ай бұрын
Kaka ww ucjali piga kazi wacha waseme
@yasinhussen-288111 ай бұрын
kama demu iv
@nancyg866411 ай бұрын
Apo ukute umemtamani, maana uwezi mfananisha mwanaume mwenzio na demu.
@Hazfir.Official11 ай бұрын
Uliona wapi demu anazalisha huyo ni babake nadeem kama ujui
@IreneMwenda-nl2hu11 ай бұрын
Ww dada unaongea sana mpak unakera duuuuu
@LailaLaila-kg2qd11 ай бұрын
Alisemaga mngoni wakunyumba
@keyjewrevocatus824911 ай бұрын
Una maswali ambayo hayana msingi kabisa jitahidi kuuliza maswali ya maana unaonekana huna maswali ni ilimradi ni mtangazaj bhaaas
@ahmadimbazi584311 ай бұрын
Ulitaka aulize nini Lazim watu wamjue ndio background information baada ya hapo ndio mamb mngn yanaendelea