Subhana allah mzee kaka yangu kitu gani kilicho kusibu unajibu maswali uku ukicheza tena una furaha wala una ofu nafsi yako wala haijutii mm sina mengi tuna mwachia allah
@henrylugongo6324 жыл бұрын
Jamani tusimuhukumu wote Sisi ni wadhambi na tukumbuke kuwa MOLA wetu ni mwingi wa kusamehe.sasa tusihukumu tusije hukumiwa
@linahgitige49114 жыл бұрын
Nilichogundua walimwengu hampendi jema kwa wenzenu mlitaka afungwe na hayo madeni hi ndo kipaji alicjojaliwa na Mungu ulitaka afanye kazi gani???? Au huko misikitini mkienda swali mnalipwa??? Baba kapigeee kazi 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏all the best bro
@mohamedabdallaali19564 жыл бұрын
Mungu amjaalie yy na sisi khatma njema
@mahersaid2584 жыл бұрын
Ameen 🙏
@babuherry8064 жыл бұрын
Assalam alaykum warahmatulaah wabarakatuh kwenye maisha usijione wew ni bora kuliko Mwezako mungu ndoo anatoa hukumu Allah amjalie mwisho mwema Yaa Raby takabali Dua
@uwezogroupcomedy11354 жыл бұрын
Aaaaamin
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Aamiiin
@ummfasam76564 жыл бұрын
Innalilahi waina ileh rajiun. Allah amuongozee na sisi wengine asitujaalie kurudi nyuma.
@ukhtyzainab72544 жыл бұрын
Aamiin
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Aamiiin
@faizabbas46204 жыл бұрын
Allah akuongoze yusuf..🤲🤲
@abdibakari6414 жыл бұрын
Ameen
@aulidriver31024 жыл бұрын
Kweli Allah amejaalia pope kuwa na vitu vya kuchukiza na miyihani ming mno na akaalia moto kuwa na vivutio vyingi sana vya matamanio ya kutenda dhambi sio rahisi mwanadamu kuepuka bali Allah anawependa wenye kusubiri Allahumma jaalna mina swabiriin (Allah akurudishe kuwa na imani dhabiti ) ameen
@mudasina9004 жыл бұрын
Allah tunakuomba mwisho mwema Amiin
@saadiashariff9204 жыл бұрын
Ameen thumma Ameen
@ndabadugitsefuraha78354 жыл бұрын
Jamani achana Eni na nmnze yusuph kila mtu na yake kumbukeni wamamazenu watawakimbieni siku ya kiama kwahio kila mtu na yake washsmuongoza anajuwa mpaka kwenda Maka aliskia ivi karudi muacheeeeeeni jamani liyenu naye u mnze wawatu muacheni nyie kusali tu kila mtu na yake pengine yeye nibora kuliko nyie ambayo yamejificha jamani tusali acheni kuwangalia vidio za mnze yusuph fateni mambo yenu basiii kila mtu alie kwa allah ampe mwisho mwema mwema eeeeeeeh aminaaa rabiiii
@msafirisaididid29782 жыл бұрын
Amen
@thierryt76894 жыл бұрын
Subhanallah
@rayisadesigns26464 жыл бұрын
Kwa Mwanamme mwenye akili sawa sawa ktk maisha hapa duniani kosea kila kitu lakini sio mke wa kuoa (usipokuwa makini ni rahisi sana mke kuamua hatma yako ktk maisha), Kwa yote tunayoyafanya siku zote lazima tutambue "...Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea"!! ...nimesema haya kwa uchungu na masikitiko makubwa, jamii inahitaji watu wa kuijenga na wala sio kuibomoa kimaadili, kwani haya yanayotokea yanasikitisha, Ee Mola tujaalie mwisho mwema, Aamen!!
@ahmedibrahim-bg2uz4 жыл бұрын
SubhanAllah tumuombeye huyu ndungu yetu arengeye njia Haki ya Allah Kadir.
@khasimgange42133 жыл бұрын
Huyu si mtu anamchezea mungu
@khasimgange42133 жыл бұрын
Huyu aregee wapi ndio kashatoka
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Aamiiin
@mudylipawaga53623 жыл бұрын
Allah tujaalie mwxh mwema inshaallah
@mamaahmad86154 жыл бұрын
Ww unacheza na mwenyez mungu umetubu mwenyewe leo unarudi kwenye ibilisi nilikuwa shabiki yako lakini kwa hili ufeli mzee yusufu umerudi kwenye laana ulikataa hata nyimbo zako zisipigwe pole mzee yusufu mwenyez mungu akupe mwisho mwema
@malavidoaluminium86814 жыл бұрын
Wew shetan ulkuj kupotosh waislam umechemk hun tofaut n makafir wew n ibilis xax usiambiw ukwel km unatok kwenye maadil wew shetan hun aibu allah akuazibu kw kumtukana n kumzalilish mtume
@ramadhanijamali51554 жыл бұрын
Duuh mzee yusufu pole.sana ndugu yangu kwakumdipu allah ila usijali atakupigia inshaallah
@ismailyusuph7404 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR.....Yaani mwenyewe anaongea huku anajitingishatingisha Kwa madaha na dharau’ sawa ila Tambua MOYO Ndio adui mkubwa wa binaadam ‘ Omba ALLAH akupe maisha ili utubu tena ‘ Lkn ikitokea Roho ikaacha mwili ujue utaangukia pabaya sana..!
@khasimgange42133 жыл бұрын
Si kazoea tangu zamani huyu si muislamu mlevi mkubwa
@tausimleela82754 жыл бұрын
Allah atuhifadhi sote...kukosa Haya mpaka mbele za watu...luqman alahisalam alisema kiumbe mbaya zaidi ni yule anae Fanya maasi mbele za watu bila kujali
@faju4real8004 жыл бұрын
Waimba tarab mipasho mpka kwa Mola wao subhanallah
@RioIpo4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 dah nimecheka kidogo
@saadiashariff9204 жыл бұрын
Allah atustiri, Ameen thumma Ameen. mimi binfsi naogopa mtihani kama huu, audhubillah
@adijarashidi14264 жыл бұрын
Allah atuongoze
@wangonamuhange82184 жыл бұрын
Kuna mtu kamfila mwanafunzi wake msitini nahuyo
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Aamiiin
@sikandarsuleimanTV4 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun, Mzee Yussuf hajamkomoa MTU Bali kajikomoa yeye mwenyewe
@khasimgange42133 жыл бұрын
Kabisa ndugu yangu atajuta mweyewe
@fatwimabintathmanbinthawa81554 жыл бұрын
Innalillah wa innaillayhi Raj'iuun ata kunywa pombe kanywa Ya Allah tupe mwisho mwema YARABII🤲😥😥
@solomtz70494 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🤔🤔ndio kalewa huyo
@faju4real8004 жыл бұрын
Shuhul zao bila kinywaji unadhan itaenda na kinywaji ndo shetan mkubwa mama wa maasia
@icepackgiffted77804 жыл бұрын
Ameuza moyo wake kwa devil hamuoni anapewa nyota ya kuforci yakupendwa huoni ampe pewa ma bodyguard analindwa na lucifer nani upo na mm ? Nasema nani upo na mimi!
@maxozone37624 жыл бұрын
Mungu ndiye Hakim ,muachieni mwenyezi mungu
@mariamsfamily4824 жыл бұрын
Ukweli mungu ndie hakimu
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Kabisa
@mrfix65964 жыл бұрын
Nina wasiwasi ALLAH asijemuweka mjini zaidi anavyojiona yupo mjini.
@fatwimabintathmanbinthawa81554 жыл бұрын
Bado anamtazama jibu atalipata inshaa'Allah
@abdallahsimba4 жыл бұрын
MISSED THE SHEITWAN MAALUN NDIO SIFA YAKE,USALI NA KUOMBA ILI USIPATE MTIHANI WA ALLAH SIUNAJUA ALLAH HAMPENDI BINAADAM kibri
Jamani tumuachie allah, hayup mwanadamu aliepew kazi y kuhukumu n allah peke ake.
@zenajshsjsks77364 жыл бұрын
Usione sifa wwe unabeba majukumu ovoo atahupendezi ovoo jituzima tarabu itakupeleka.wapi wwe pole Sana
@mamymdogomamy36704 жыл бұрын
Sasa nani alie muhukumu wakati mwenyewe yuko tayari na dhaba za mwenzi mungu kwani kuna mtu alimsemea??
@allyjumanne31444 жыл бұрын
Hata we mpuuz2
@rayhanaffan73644 жыл бұрын
Watu hawahukumu hukumu za dhambi zote mtume kazisema acheni kuon watu wanahukumu
@icepackgiffted77804 жыл бұрын
Ameuza moyo wake kwa devil hamuoni anapewa nyota ya kuforci yakupendwa huoni ampe pewa ma bodyguard analindwa na lucifer nani upo na mm ? Nasema nani upo na mimi!
@ibrahimmawazo71654 жыл бұрын
ALLAH KNOWS HUGE THINGS THAN US, ALLAH GUIDE US IN A STRAIGHT PASS.....
@mohamedzein41944 жыл бұрын
Mzee unacheza na Mungu haya subiri sasa kichapo chake
@africa74794 жыл бұрын
Umepewa mtihani na Allah, umefeli pole sana, pia hata hela yako ya hija inawezekana ilikua ya haramu ndo maana hukuyatoa moyoni, pia Allah anasema "mnafikiri tutawaacha burbuer tusiwajarbu eti kwasbabu mmesema mmeamini" .....,umefel sna tena unaonekana na jeuri
@jamilasalum52364 жыл бұрын
Mzee yusuph umemkosea Allah ,na bora zaid ungenyamaza tu sio kusema maneno hayo
@UzalendoNaUtu4 жыл бұрын
We hutendi dhambi?
@davidlekasi56684 жыл бұрын
We unamkosea Allah au ndo unafiki tu?
@khasimgange42133 жыл бұрын
Mlevi
@salehejongo27994 жыл бұрын
Hoyeeeee mzeeee Yusuph.
@mrishongwikwi64484 жыл бұрын
Innallillah wainnaillah rajiun, mushriku ameshindwa ya Mwenyezi Mungu, Allah wewe ndiye unayejua hatma ya dini yako dhidi ya sisi viumbe dhwaifu, yarrabi tuoneshe njia iliyonyooka sisi viumbe wako.
@wangonamuhange82184 жыл бұрын
Mungu hana dini unakosea mzee kwa maana mungu muislam au
@mrishongwikwi64484 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ndiye aliyeumba vitu vyote duniani vinavyoonekana na visivyoonekana.
@mwajumasalum23504 жыл бұрын
Aamiin
@bizuwena6234 жыл бұрын
NI MSIBA INASIKITISHA,INAHUZUNISHA,INALIZA PIA. TUNAJISIFU KTK MAASI
@khaylatmwinyi86754 жыл бұрын
Inna lillah wainaillah rajiun
@saidamohd12324 жыл бұрын
Inahuzunisha Sana mzee wewe kumbuka ni mja wa Allwa na Allwa hdhihakiwi juwa anakuona na hizo pumzi ambazo zinakufanya upumuwe ni za kwake akiamuwa kukupokonya utakwenda kumwambia Nini? Umeacha maasi Mungu hwenda amekusamehe unarejea kwenye maasi Rudi kwa Allwa
@omaribaga76184 жыл бұрын
Huu ni msiba
@kalssambaboo97054 жыл бұрын
Mwenye kufanya madhambi huku yuwacheka ataingia moton huku yuwalia acha ajisifu
@mukrimvuaa80364 жыл бұрын
Innalillah wainnalillah msiba mzito kwely umetubu khalaf unarud kwenye mambo mabaya
@StAr-yu3vz4 жыл бұрын
Mzee Yusufu ogopa watu wote wanagumzia
@pandungozi10724 жыл бұрын
Allaah Akuongoe wewe na sisi but ni Muswibaa mkubwaaa😭😭😭😭🙏
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Aamiiin
@salummzee97394 жыл бұрын
Mola akufiche hali yk muislamu
@mariamsfamily4824 жыл бұрын
Subhanalla wah pole Allah akuondole
@mamymdogomamy36704 жыл бұрын
Innahillahih wainnalillah rajhun wallah huu ni msiba yarrab mungu atusitiri na shetani
@khasimgange42133 жыл бұрын
Amiin
@amisashmohamed87604 жыл бұрын
Allah Atupe mwisho mwema
@abdibakari6414 жыл бұрын
Allahumma ameen
@mwamvitakituka29944 жыл бұрын
Allah utuswamehe sote na utuongoze katika njia ya haqi. Sote tu waja wako na tuna madhambi yetu. Utuswamehe sisi na wenzetu.
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Aamiiin
@aminarashidi47573 жыл бұрын
Inaonekana Kama amepata moja Moto moja baridi. Inna lillahi wainna ilaiyhi raaajiun.
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Subhanallah!!! Subhanallah!!! Subhanallah!!!
@jumasaid98734 жыл бұрын
Yaan mjinga Yusuf anajib maswal kwa confidence zte hatar sn...MwenyeziMungu tunakuomba utuepushe na Shetan kwan sisi bila ww amna kitu.
@wangonamuhange82184 жыл бұрын
Wivu was mafanikio uo
@khasimgange42133 жыл бұрын
Amiin
@ummuyusra83164 жыл бұрын
Kalewaa duuu
@salmamatola42554 жыл бұрын
Tusimlaumu kwasababu sisi wote tuna dhambi hakuna alie msafi,inabidi tumuombee kwa Mwenyezi Mungu ampe Mwisho mwema,Je mlitaka akaibe ama ageuke ombaomba mumseme zaidi????au mlitaka atafute mume amuoe ili ampe kula???Naskia alikua akiishi maisha ya dhiki sana alikua ana madeni anadaiwa mpaka mali zinataka nadiwa,Kipaji cha kuimba kampa Mwenyezi Mungu mwacheni akitumie kuliko kwenda kuolewa na mwanaume mwenzake???siwezi kumlaumu kwakua siijui kesho yangu... TUSIHUKUMU,kazi ya KUHUKUMU TUMUACHIE MUUMBA
@samxx4112 жыл бұрын
Salma na Mzee Yussuf akili zenu zinafanana
@ismailmbogo34084 жыл бұрын
ALLAH akuongoze mzee
@ashoramwanja31314 жыл бұрын
Inalillahi wainailah rajiun
@wangonamuhange82184 жыл бұрын
Tatizo unakaa kwenu hauna majukumu ndo maana hujui maisha nn
@fatmamshangama98244 жыл бұрын
Duuuh lannatullaaah mjinga ww mungu azidi kukupiga na maisha
@mosesvpajitv66444 жыл бұрын
Ivi nyie mnao moments mzee yusuph mshawai kutubu
@laythatsuleiman71844 жыл бұрын
Yeye katubu na kaasi Tena Yeye ndo aloenda jiliza vooo kwa mungu. Sasa anamtania mungu Hilo ndo tunalolijadili
@sabraali99414 жыл бұрын
Duh kumbe uliamua kumdanganya Allah subiri fimbo ya mungu itakavyo kushikisha adabu😭😭😭😭😭
@thureyalea82584 жыл бұрын
Fimbo ikija inatupiga yote saizi kuna mtetemeko
@faju4real8004 жыл бұрын
Bt unaambiwa isab nafs yko kbla haijaisabiwa
@faju4real8004 жыл бұрын
Na ziokoen nafs na watoto wenu na moto
@khasimgange42133 жыл бұрын
Asante fatma kwanza nafurahi kwa majibu mazuri, mimi mwenyewe naitwa kassim halafu binti yangu anitwa fatma ajabu
@madinahemed36504 жыл бұрын
SubhanaLlah. Tupe nusra yako y arabbi
@swalehamir77484 жыл бұрын
Subhanallah hapo alipo amelewa
@quibibiabdalaabdala88644 жыл бұрын
Innalillahi
@mohammedissa6248 Жыл бұрын
Subuhanallh Allh atukinge na mabalaaa
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
Bouncer kafariki/kauliwa kwa ajili yako, subhanallah
@abdulwahidmsellem19984 жыл бұрын
Mwenye kufanya madhambi huku ana jisifu ataingia motoni huku analia
@mosalim8714 жыл бұрын
😁😁😁 SubhanaAllah!mungu ampe hatma njema
@innocentndikumana89283 жыл бұрын
allah tunakuomba utupe mwisho mzuri
@mariammuscat43004 жыл бұрын
Aallah atupe mwusho mwema yarab
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Aamiiin
@ashrafhashimu72614 жыл бұрын
Mzee Yusuf chezea ndevu sio Allah
@khasimgange42133 жыл бұрын
Huyu sio kazoea kuona uchi na uchafu
@khasimgange42133 жыл бұрын
Watu hujusifu kwa swala, au mtu anasema watoto wanajuwa Quran. Hata mali muislamu huruhusiwi kujisifia nayo halafu huyu mjinga moja mzee Yusuf anatusifia TAARABU. Analaana huyu
@hakunamatata70373 жыл бұрын
Njaa mbaya sana
@makenakendi2824 жыл бұрын
Yusuf kakangu ALLAH unamuaasi sababu ya dunya tutafika
@khasimgange42133 жыл бұрын
Anajimenguwa laanatulah
@chamog56194 жыл бұрын
Tazama sura yake mbaa imekuwa uwoubaa wako wa ndani wote umetoka ndani umekuja nnje subhaanallah
@ahmedibrahim-bg2uz4 жыл бұрын
Hii ushatani ya wachafu record na tv diamond hamutoshi Allah mfalme wa kipeke.
@jumamatao36284 жыл бұрын
Mzee rudi nyumbani Zanzibar acha kuimba mziki kazi zipo nyingi tu za kujipatia rizki
@salehabdallah41144 жыл бұрын
Laana inakunyemelea usimdhihaki mungu utajuta
@sampachino51844 жыл бұрын
Na kwa m/mungu pia ukaseme ivo ivo mwehu wewe mzee yussuf
@khasimgange42133 жыл бұрын
Nakweli mwehu
@mariammatitu63923 жыл бұрын
Mungu tustiri
@leilamehbub9484 жыл бұрын
subhanAllah kesho kaburini itakuwa pekee yako Deni waombe waisilamu wakuchangie wacha kurudi kwa maasi akusikitia Sana malaika wa mauti akikukujia utafanya vipi machafu hata ku danca kwa hao wanawake machafu Sana utajibu mbele ya Allah
@blacksonismael92134 жыл бұрын
Full bordgud nakukubali mzzee ila pigania kiji hio ndo kz yako ila swalaaa
@mohammedomar13714 жыл бұрын
Ana mkataba na Allah asema atastaafu akiwa na nyele nyeupe subhana nallah mola atuongowe sote na atupe subra
@linahsemindu95754 жыл бұрын
angekuwa mkristo wala,msingeona tunamlaum hatuingilii maisha,y mtu wala,kumuhukum hvyo🙌
@ashuramhando52854 жыл бұрын
Lana tullah we Yusuph utaiona hija yako itakavyokutengeneza unafinya vimacho aibu Wallah Mimi namuogopa Sana Allah ulishamkosea Allah kuingia kwenye riba
@salimharrasy70474 жыл бұрын
Haifai kumlani ila aombewe dua arudi kwa Allah. Ni hatari sana anavyofanya. Inasikitisha sana.
@faju4real8004 жыл бұрын
Kwann asilaaniwe shetan ndugu yng na shetan wwte ni laanautullah
@faju4real8004 жыл бұрын
Allah atujaalie mwsho mwema
@salimharrasy70474 жыл бұрын
@@faju4real800 Ukimlaani utamuangamiza huyu. Ila tujitahidi na dua avute toba ya kweli kabla ya mauti yake. Allah stampokea akirudi katika Ibada. Sisi tuendelee kumlaani Iblis alomuingiza huyu katika janga hili la haram.
@faju4real8004 жыл бұрын
@@salimharrasy7047 kwel kaka Dua pekee ndo ztazomuongoa ila inauma sana kumuona mtu anajua zuri na baya nakulieneza kwa wwumin kisha yey kuja kulifanya dah
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Dah!!
@yunusjuma43404 жыл бұрын
Acha kibri Kaka Bora jizalilize usitoe maneno ya kejeli Kila binaadamu anakosea lamuhimu kuomba mwisho mzuri Bora useme utaacha na kurudi kwenye haki kuliko kusema hapa mziki kwenda mbele mungu atakuongoza kaka
@sihamfarouk92814 жыл бұрын
Allah hana haja nawewe amekupa nafasi upate moto wa hali ya juu
@khasimgange42133 жыл бұрын
Sawa sawa Farouk mungu akupe afya Farouk niko kenya
@abdulraufmohammedsalum68064 жыл бұрын
Km umemuon zimwi gonga like
@dab88594 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@muryd69994 жыл бұрын
Anauza sura ,😂😂😂
@abdulraufmohammedsalum68064 жыл бұрын
@@muryd6999 😆😆
@abdillahkhalfan81864 жыл бұрын
Hatari
@khadijasalum23024 жыл бұрын
Unajisifu subhanallah Allah atupe nusra lkhaatima waje wake
@bisunmwamini69934 жыл бұрын
Mungu yupo tunaimani naye na atatenda jambo kwa uyu kiumbe,tumuachie yeye yajayo yatatufundisha!!
@fatumaluvuno75184 жыл бұрын
Nini wewe pambana na hali yako
@bisunmwamini69934 жыл бұрын
@@fatumaluvuno7518 nani ss apambane na hali yake mbona husomeki?mana nyie makafiri mnapenda sana kudandia yasiowahusu!
@fatumaluvuno75184 жыл бұрын
@@bisunmwamini6993 kafiri wa kwanza wewe apo usichokitaka usikiaangalie
@gadyetheboss87384 жыл бұрын
Yaan unamuita muislam mwenzio kafiri wew mtoto unalaana
@Habib_Swaleh4 жыл бұрын
@@gadyetheboss8738 unakemea naww unaingia huko huko laana na ukafiri ni hapo hapo!
Alafu mungu ndie anajuwa binadamu usimukumu mwanadamu mwezio
@mohamedsunkari53124 жыл бұрын
mmmm in lilah wainailah rajiuni
@hudamtangi62964 жыл бұрын
Mungu muoneshe ukubwa wako kumbe huyo zaaifo
@boontujimmaa94624 жыл бұрын
Allah akujalie mzee yussuf
@Julaybib2383 жыл бұрын
Huyo ni sheitwani tena anamzidi sheitwani yani anafanya mchezo na dini wakati watu wameipatia tabu dini ye anaichezea inalillahi wainairahi rajiuni
@khasimgange42133 жыл бұрын
Kweli
@khasimgange42133 жыл бұрын
Huyu sio mtu atafute mabouncer tu walahi, huwezi kuiabisha dini ya Allah utaaibika wewe
@tatumatata24284 жыл бұрын
Binaadam tusiingirie kazi ya Mungu ukiona mwenzio anamtihani wowote muombee
@sleymohamed38254 жыл бұрын
naam swadakta
@frankmwiti71964 жыл бұрын
Nashangaa watu wenye wanapiga kelele eti kawadanganya kwani kipaji mwenye hutoa si Mungu?
@aliamirbakar55804 жыл бұрын
INNA LILAHI WAINNA ILEHI RAJIUUN msiba mkubwa
@harmonymattondo40424 жыл бұрын
I dont blame him. God(Allah or somethng)should make sure he provide for his own
@dawoodtekakie40124 жыл бұрын
What a escalet dummy idea
@mzeewa69994 жыл бұрын
Subhana Allah . Hivi ingekutoka roho hapo jukwaani ingewaje ulishajiuliza? Allah hashindwi kakusitiri bado unaongea ujinga madeni haya na Allah akakunyima hizo hela usilipe inakuwaje? Umekosana na mola wako umeshindwa kufanya subra? Huogopi wewe wanadamu sisi ni viumbe thaifu hapo sasa tunamuachia Allah utakutana nae na hayo madeni yawe mara 3 na Allah ajalie ufeli uwe chini zaidi ya hapo Amen
@ramadhaninjoroge95693 жыл бұрын
Laanatullahi aleyhi
@ahmadjuma38164 жыл бұрын
Wewe unalindwa na hao wanaadamu wenzako lkn kumbuka kuwa hapo hapo Kuna malaika wawili wanaonda matendo yako pia usisahau kuwa Kuna malaika wa umauti anamuangalia mwanaadamu Mara tano kwa siku sasa wewe jidai ninaproject Kama hamsini , Mara sitaki kustaafu nikiwa mzee mola akuongoe hii ni dunia tuu haina ndani yake isipokuwa pumbazo la muda mchache ,kumbuka Allah ameshasema ,Ama yule atakayepewa kitabu chake kwa mkono wa kushoto atasema kina nini kitabu hichi, ni bora nisingejuwa hisabu yangu cku ya leo , haukunifaa ufalme wangu Wala Mali zangu kwaiyo wewe hadaika na hii duniya na huo ushetwani wa Mali Ila kumbuka Kuna kufufuliwa baada ya kufa na Kuna kuhesabiwa tumuombe mungu atupe mwisho mwema na turudi kwake akiwa ameturidhia
@zenakazinyingi67004 жыл бұрын
Unalana kwa mungu we ndio mana mazinge amekuombea dua ufe
@youngbob97614 жыл бұрын
subhaAllah...weee mzee imani unayo Ila iblisi amekutawala Sana ...umewadhalilisha wazanzibari wenzio dah mtihani kweli kweli
@ukhtyrayyan78844 жыл бұрын
Huyu simzazibar ila alikaa naakasoma.zanzibar.maalakauloa zanzibar ila.jitu labars hilo