EXCLUSIVE : ZAYLISSA AMCHANA MAKAVU LIVE HAJI MANARA / TUNAGOMBANA SABABU HUNIKUMBATII USIKU

  Рет қаралды 18,971

Manara TV

Manara TV

Күн бұрын

Пікірлер: 70
@ZulfahMuhammad
@ZulfahMuhammad 8 ай бұрын
Zaynabu ni mstaraabu sana na anaonekana ana mapenzi na mume wake mengi sana Mola amdumishe kwenye ndowa yake ❤❤ daaimah
@hawababy120
@hawababy120 8 ай бұрын
Allah Ailinde ndoa yenu.zai umependeza san❤
@dayana5513story
@dayana5513story 8 ай бұрын
Akuna mausiano ambayo yako parfect,Mungu akawatangulie katika ndoa yenu❤❤❤❤❤
@MariamCleinance
@MariamCleinance 6 ай бұрын
Hongera manara naomba uniwezeshe mtaji hata milioni nifuungue biashara mwenzio
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 7 ай бұрын
Bismillah maa Shaa Allah Mrs Manara wow🥰 Akili Yako kubwa Sanaa hongera my
@MOHAMMEDABDALLAH-w4k
@MOHAMMEDABDALLAH-w4k 2 ай бұрын
Hongereni sana
@majabiali973
@majabiali973 8 ай бұрын
Mashallah manara tunza ndoà yako kaka tulia. Angalia maisha na watoto
@LuluMalima-j1w
@LuluMalima-j1w 8 ай бұрын
Congrats guys your marriage is still going strong, Manara i see you boo, making wife a star. She should appreciate you and you her.
@trice_yanga
@trice_yanga 8 ай бұрын
sema Mungu awape amani na upendo kwenye ndoa yenu🥰
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 6 ай бұрын
Mumeipiga poa sana hii interview yenu ..nmeipenda for real
@bahatisaid5406
@bahatisaid5406 8 ай бұрын
Jamani Allah awabark sn jazakallahu kher inshaalah
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 8 ай бұрын
Allah awafanyie wepesi.....mdumu milele
@meshackkyando
@meshackkyando 8 ай бұрын
Manara unajuaa sana
@oyay2821
@oyay2821 8 ай бұрын
Safi sana hii interview
@kevinalpha4716
@kevinalpha4716 8 ай бұрын
Niwape hongera japo kwangu mm binafsi siwezi maana najua kuna jocks sana
@aminaabdulrahman5184
@aminaabdulrahman5184 8 ай бұрын
Mashaalah
@mrsab303
@mrsab303 8 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567 8 ай бұрын
Safi sana ❤❤
@LucyMwari-bk9pt
@LucyMwari-bk9pt 8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@clemintineuwamahoro9652
@clemintineuwamahoro9652 8 ай бұрын
Kweli utu namalezi nde sawa
@bahatisaid5406
@bahatisaid5406 8 ай бұрын
Haji nay mko vzr mashaallah
@NeemaMwangobola
@NeemaMwangobola 6 ай бұрын
Mjifunze ustarabu kwenye kujibu comments matusi ya nini..tatizo roho zenu mbaya sana mnao tukana..kawakosea nini manara na mke wake...Mimi nawajibia...amna anae fikia akili ya manara na nyota yake...Wala penzi la mke wake Kwa jinsi anavyo jibu Kwa heshima ya kutoka ndani ya moyo..nakupenda sana zailsa mpaka unamaliza bando langu Kwa kukupenda..achana na vijikobwe hao..watakua awajui..Kaa nao mbali...tunakuombea mama mkumbatie bugati wako.
@MariyimJumanin
@MariyimJumanin Күн бұрын
Kabisa matusi ya nin jaman
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 8 ай бұрын
Mu mnziiiiiiiiu
@NajmaMaawiya
@NajmaMaawiya 8 ай бұрын
❤❤❤
@SaidSaid-ef8md
@SaidSaid-ef8md 8 ай бұрын
Hahahaha Bugati kumbatia babaaa😂😂 me mwenzio nishajirekebisha😂😂😂
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 8 ай бұрын
Safi sana😂😂😂
@DoriceStanslaus
@DoriceStanslaus 3 ай бұрын
unajua kupika?
@barnabasmalima4823
@barnabasmalima4823 8 ай бұрын
Yataka moyo kumuoji mkeo ila ni vyema kwa maisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@selemaniidemu4206
@selemaniidemu4206 8 ай бұрын
Swadaktaaa nawatakia maisha mema
@Filmz639
@Filmz639 8 ай бұрын
Nimegunduwa zaylisa anaakili nyingi na nidhamu. Ni mke mwema kwa Haji manara
@abdulkadirgafla3889
@abdulkadirgafla3889 8 ай бұрын
Mbona usingempeleka kwa zamaradi tv akamhoji ingependeza zaidi
@MohammedSaleh-t5h
@MohammedSaleh-t5h 8 ай бұрын
Ndoo kutafuta hela ndomana wapo hapo
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 8 ай бұрын
Mbona isiwe Kwa manara TV! Anajenga TV show yake!!
@Naju645
@Naju645 8 ай бұрын
Allah awadumishe
@barnabasmalima4823
@barnabasmalima4823 8 ай бұрын
ugomvi hasa ule wa kipuuzi puuzi unatokana mara nyingi na upendo mkubwa unakuwepo kati yenu na mara nyingi upendo huo una demand kubwa unataka kudekezwadekezwa hivyo braza haji mdekeze shemeji yetu na ni haki yake
@aminaabdulrahman5184
@aminaabdulrahman5184 8 ай бұрын
Haji unataka kumuongozea nyashi zay
@Gloria-vh5bz
@Gloria-vh5bz 8 ай бұрын
Hii inaitwa kujitekenya ili ucheke😂😂
@tamimakhalfanikhani8403
@tamimakhalfanikhani8403 5 ай бұрын
Aah alikuwa anatukana sana mshenzi huyu😅
@MariamSaidi-k7z
@MariamSaidi-k7z 2 ай бұрын
Mh
@paullunyonga5862
@paullunyonga5862 7 ай бұрын
Daah bugati weee
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t 7 ай бұрын
Bora ungempa mtu mwengine amuhoji. Mie naona mmepanga masuali na majibu hainogi
@IbrahimNtirenganya
@IbrahimNtirenganya 5 ай бұрын
Uislam ni Bora kuliko vyote mnazania ni vyema kuuenzi nyinyi ni wa Islam lakini muonekano wenu sio wa kistarabu rejeeni kunako Uislam mwanamke stara
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb 8 ай бұрын
Hii content inachekesha 😂
@DativaMbowe
@DativaMbowe 2 ай бұрын
Sio kuchekesha tuu inatwa kujitekenya mwenyewe unacheka mweny😂😂😂😂
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 8 ай бұрын
Kweli unapendwaa au ndoizo kiki ? Haya tuyaone
@naomijohn6041
@naomijohn6041 3 ай бұрын
Roho mbaya mbona ww hatukuhoji au we ndio unahis unapendwa dunia nzima
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 8 ай бұрын
Upumbavu tu,km hakukumbatiii si ujiongeze
@AshaSalum-v6e
@AshaSalum-v6e 8 ай бұрын
Unamuuliza kufumaniana.kwani nyie mulivyokuwa munakulana,so kufumaniana.na mlikuwa hamna ndoa
@Pina-ed3bn
@Pina-ed3bn 8 ай бұрын
Manara umempata mke ametulia akili
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 8 ай бұрын
Hii ni therapy Kwa ndoa Yao!!
@salmaomar7979
@salmaomar7979 8 ай бұрын
Ungefunika hicho kifua chako ungependeza zaidi dada
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 8 ай бұрын
Msukule na mdori wake😂😂😂😂
@nassorkimbaru5888
@nassorkimbaru5888 8 ай бұрын
Anamkumbuka ngoja mkiachana ndio atamjuwa anae muwaza au anayemkumbuka Lakini yule aliyemtoa sild amkumbuki naye kweli mmmh
@Sumaiya-jg9ff
@Sumaiya-jg9ff 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@CastoryBanzi
@CastoryBanzi 8 ай бұрын
Ni interview nzuri kwa couple hii nzuri naya mfano. 😂😂😂😂
@AshaSalum-v6e
@AshaSalum-v6e 8 ай бұрын
Una mke wewe.na wewe zai una mume hapo?? Mnazini tu.mlikaa uhawara ndo mubariiki ndoa.ya wapi hayo ktk uislam
@naomijohn6041
@naomijohn6041 3 ай бұрын
Kwaiyo unavyojua ww uislam unasemaje?? Huna unalolijua kweny dini kaa kimya dada
@jamilabattashy9801
@jamilabattashy9801 8 ай бұрын
Na wewe hasa wa kukimbiwa
@AshaSalum-v6e
@AshaSalum-v6e 8 ай бұрын
Na wee Haji ni kafiri mkubwa.wee umevaa nguo.mke umemueka Uchi.
@yakfizahran4536
@yakfizahran4536 8 ай бұрын
Pipa na mfuniko
@ElishaMaziku
@ElishaMaziku 8 күн бұрын
Hawana kazi ya kufanya wajinga2 hao
@kassimukipingu7917
@kassimukipingu7917 6 ай бұрын
Ujinga mwingi unamhoji ili iweje sasa😊
@brandinamwakasendeka4756
@brandinamwakasendeka4756 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mulumederwasifa4801
@mulumederwasifa4801 8 ай бұрын
Nawapenda saaaaaana Mungu awalindiye ndoa yenyu kabisa
@MagrethElias-ow1by
@MagrethElias-ow1by 8 ай бұрын
Ukwwli haji toka uha simba nilikuchukia lakini nime penda ulivo muhiji mkeo
@AshaSalum-v6e
@AshaSalum-v6e 8 ай бұрын
Adabu Huna.unakaa Uchi.changudoa wee.mke wa mtu hakai kuma nje.
@SharonJoe-tx5en
@SharonJoe-tx5en 8 ай бұрын
Haters😂😂😂😂
@Tupena-ov7xq
@Tupena-ov7xq 7 ай бұрын
Lazima una matatizo wewe si kwa chuki hiyo, mtafute mwanasaikolojia akusaidie, dalili za kichaa nakiona kwako, tena huyo Dr awe na kichaa kama wewe
@nataemsuya
@nataemsuya Күн бұрын
Mbona tena kutukana?!
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.