Zaynabu ni mstaraabu sana na anaonekana ana mapenzi na mume wake mengi sana Mola amdumishe kwenye ndowa yake ❤❤ daaimah
@hawababy1208 ай бұрын
Allah Ailinde ndoa yenu.zai umependeza san❤
@dayana5513story8 ай бұрын
Akuna mausiano ambayo yako parfect,Mungu akawatangulie katika ndoa yenu❤❤❤❤❤
@MariamCleinance6 ай бұрын
Hongera manara naomba uniwezeshe mtaji hata milioni nifuungue biashara mwenzio
@kassimmanaramalika85927 ай бұрын
Bismillah maa Shaa Allah Mrs Manara wow🥰 Akili Yako kubwa Sanaa hongera my
@MOHAMMEDABDALLAH-w4k2 ай бұрын
Hongereni sana
@majabiali9738 ай бұрын
Mashallah manara tunza ndoà yako kaka tulia. Angalia maisha na watoto
@LuluMalima-j1w8 ай бұрын
Congrats guys your marriage is still going strong, Manara i see you boo, making wife a star. She should appreciate you and you her.
@trice_yanga8 ай бұрын
sema Mungu awape amani na upendo kwenye ndoa yenu🥰
@ninjaisma79836 ай бұрын
Mumeipiga poa sana hii interview yenu ..nmeipenda for real
@bahatisaid54068 ай бұрын
Jamani Allah awabark sn jazakallahu kher inshaalah
@rehemarwanda60398 ай бұрын
Allah awafanyie wepesi.....mdumu milele
@meshackkyando8 ай бұрын
Manara unajuaa sana
@oyay28218 ай бұрын
Safi sana hii interview
@kevinalpha47168 ай бұрын
Niwape hongera japo kwangu mm binafsi siwezi maana najua kuna jocks sana
@aminaabdulrahman51848 ай бұрын
Mashaalah
@mrsab3038 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤❤
@aminaomary55678 ай бұрын
Safi sana ❤❤
@LucyMwari-bk9pt8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@clemintineuwamahoro96528 ай бұрын
Kweli utu namalezi nde sawa
@bahatisaid54068 ай бұрын
Haji nay mko vzr mashaallah
@NeemaMwangobola6 ай бұрын
Mjifunze ustarabu kwenye kujibu comments matusi ya nini..tatizo roho zenu mbaya sana mnao tukana..kawakosea nini manara na mke wake...Mimi nawajibia...amna anae fikia akili ya manara na nyota yake...Wala penzi la mke wake Kwa jinsi anavyo jibu Kwa heshima ya kutoka ndani ya moyo..nakupenda sana zailsa mpaka unamaliza bando langu Kwa kukupenda..achana na vijikobwe hao..watakua awajui..Kaa nao mbali...tunakuombea mama mkumbatie bugati wako.
@MariyimJumaninКүн бұрын
Kabisa matusi ya nin jaman
@vumiliamgendi1488 ай бұрын
Mu mnziiiiiiiiu
@NajmaMaawiya8 ай бұрын
❤❤❤
@SaidSaid-ef8md8 ай бұрын
Hahahaha Bugati kumbatia babaaa😂😂 me mwenzio nishajirekebisha😂😂😂
@femidayahaya48828 ай бұрын
Safi sana😂😂😂
@DoriceStanslaus3 ай бұрын
unajua kupika?
@barnabasmalima48238 ай бұрын
Yataka moyo kumuoji mkeo ila ni vyema kwa maisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@selemaniidemu42068 ай бұрын
Swadaktaaa nawatakia maisha mema
@Filmz6398 ай бұрын
Nimegunduwa zaylisa anaakili nyingi na nidhamu. Ni mke mwema kwa Haji manara
@abdulkadirgafla38898 ай бұрын
Mbona usingempeleka kwa zamaradi tv akamhoji ingependeza zaidi
@MohammedSaleh-t5h8 ай бұрын
Ndoo kutafuta hela ndomana wapo hapo
@BarbaraPatience-qt9cc8 ай бұрын
Mbona isiwe Kwa manara TV! Anajenga TV show yake!!
@Naju6458 ай бұрын
Allah awadumishe
@barnabasmalima48238 ай бұрын
ugomvi hasa ule wa kipuuzi puuzi unatokana mara nyingi na upendo mkubwa unakuwepo kati yenu na mara nyingi upendo huo una demand kubwa unataka kudekezwadekezwa hivyo braza haji mdekeze shemeji yetu na ni haki yake
@aminaabdulrahman51848 ай бұрын
Haji unataka kumuongozea nyashi zay
@Gloria-vh5bz8 ай бұрын
Hii inaitwa kujitekenya ili ucheke😂😂
@tamimakhalfanikhani84035 ай бұрын
Aah alikuwa anatukana sana mshenzi huyu😅
@MariamSaidi-k7z2 ай бұрын
Mh
@paullunyonga58627 ай бұрын
Daah bugati weee
@FarhatSeif-p3t7 ай бұрын
Bora ungempa mtu mwengine amuhoji. Mie naona mmepanga masuali na majibu hainogi
@IbrahimNtirenganya5 ай бұрын
Uislam ni Bora kuliko vyote mnazania ni vyema kuuenzi nyinyi ni wa Islam lakini muonekano wenu sio wa kistarabu rejeeni kunako Uislam mwanamke stara