OHOO! ZAYLISSA AFUNGUKA MAZITO YA DULA MAKABILA, CHANZO CHA NDOA YAO KUVUNJIKA - "KWELI ALINIPIGA"

  Рет қаралды 307,264

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

OHOO! ZAYLISSA AFUNGUKA MAZITO YA DULA MAKABILA, CHANZO CHA NDOA YAO KUVUNJIKA - "KWELI ALINIPIGA"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 388
@safiasaleh669
@safiasaleh669 8 ай бұрын
Ndio mana wifi kamuongele zai vizuri kumbe dula kicheche Mungu akusimamie Zai ..
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious Жыл бұрын
Dah! DUNIA Imeisha Sasa! Ndoa Inafanyika Instagram Na Inakuja Kuvunjikia KZbin😢 Mbona Dunia Imeenda Kasi Sana?
@allanothuman2941
@allanothuman2941 Жыл бұрын
KWASS AKUN UPEND WA DHATI N MAPENZ TUH ND MAANA AWAFIK MBALI KWASBB YA MPENZ N SIO UPEND WA KWEL
@sadilahindian3401
@sadilahindian3401 Жыл бұрын
Umeongea points
@neemamponezya5075
@neemamponezya5075 Жыл бұрын
😂😭
@olicej7837
@olicej7837 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mshambaused3840
@mshambaused3840 8 ай бұрын
Hatarii
@cdeleo9336
@cdeleo9336 Жыл бұрын
Walikurupuka kuoana wakati hawajuani vizuri. Wewe dada acha mambo ya kuolewa focus na life yako
@rosefrancis2043
@rosefrancis2043 Жыл бұрын
Hilo nalo neno una wahi kuingia kwenye ndoa wakati mtu humjui vizur
@lizzybrownlizzy6094
@lizzybrownlizzy6094 Жыл бұрын
Mwanamke uyo mwache aolewe tu
@svt3
@svt3 Жыл бұрын
waliingia kwenye ndoa sababu ya kukomesha ma ex wao ila sio kwa upendo wa dhati, hao hawajui hata ndoa ni nini wanafikiria sherehe ndio ndoa
@nasralikungwa5267
@nasralikungwa5267 Жыл бұрын
Ivi wamefika mwaka kwl awa
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 Жыл бұрын
Vimilia vitu vyote ila kupigwa, ulevi ulipitiliza, na Uzinzi uliopitiliza, vurungu za kama mwehu. KAMWE USIVUMILIE. Fanya part dada hongera.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 Жыл бұрын
Ndo maana hamuolewi, mnaishia kuwa single mothers
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 Жыл бұрын
@@callicevallice7383 Kwani kuolewa ni tunzo, au ajira. Upigwe kila usiku ukae tu Eti kisa umeolewa. Kwa tarifa yako single fathers nao wapo ni wengi tu, cha muhimu furaha, na amani.
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Жыл бұрын
Ndoa hata miez 3 jamn mhhhh eeee m/mungu naomba unijalie subra uko niendako Maana mtoto WA mama mkwe ndio anataka kwenda uko😅....Ila mashamsham ndio mambo haya muyapendayo
@shejamy06
@shejamy06 Жыл бұрын
Ukipata nafas ya kuwa singleeee shukuru Mungu na utumie nafas vzr ndoa hizi🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@blessingjacob7928
@blessingjacob7928 Жыл бұрын
Kabisa ndugu yangu
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Mi siwezi kaa single 😁
@joykenya
@joykenya Жыл бұрын
Kabisa dear
@shejamy06
@shejamy06 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 🤣🤣🤣🤣
@sylvierlumbasio4226
@sylvierlumbasio4226 Жыл бұрын
Sana yani mwagilia moyo ukija Olewa kaa kama bonzo kuondoka tena fullstop😅
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Ndoa inaraha ikiwa wawili wataelewana 🎊 Mapenzi ndio Maisha ❤
@AminaAmine-v4m
@AminaAmine-v4m Жыл бұрын
Haswa❤❤
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@AminaAmine-v4m hao wakati Waraha hawatuhisishi wakati wa shida ndio wanatujuza Ili tuokope ndoa mi napenda saana Maisha ya ndoa 👍 Mungu awape waume wema wenye hawajapata amiin 🤲
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 Kwan wakat wa Raha ukuwaona mtandaoni
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 Жыл бұрын
Sema na hii redio mnapenda sana kukuza mambo
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Ndio maana ni vizuri kuwa na utafika kwa muda ili I mjue mtu kabla haujamuoa.
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
Hawatabiriki,unaweza kuwa marafiki ila mkiishi pa1 ndo mtajuana
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 8 ай бұрын
Dah inahuzunisha sana kumbe dulla kayataka mwenyewe saiv anajiliza😢
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 Жыл бұрын
Akuna talaka tatu kwa pamoja waende kwa mashee wakulize wanaweza ludiana❤❤😊
@tatukhamis6501
@tatukhamis6501 Жыл бұрын
Hizo ni talaka 3
@sadahgullam8228
@sadahgullam8228 Жыл бұрын
@@tatukhamis6501 ndo sheria ya dini hakuna talaka tatu kwa pamoja sheria talaka inatolewa moja mwanamke anakaa eda ikipita miezi mitatu hajarejewa ndo anaachika watu hawasomi dini wanafuata mkumbo
@RandB_Channel
@RandB_Channel Жыл бұрын
Mnaumiza sana tatizo mnapendana Leo kesho mnafunga ndoa. Na mnakuwa hamujajuwana ndoa za bongo nivichekesho. Muache kujishebeduwa oooo nimefunga ndoa oooo sitaachika sijuwi mawifi kujishebeduwa mara mafumbu kuwanawake walio pita . Lakini mko mnachezeya ndoa. Huruma Leo ndoa kesho kuachika . Ma x ba Zailisa wanafurahi
@fatmaahmed972
@fatmaahmed972 Жыл бұрын
Kabisa mtu anajuana leo kesho anataka mfunge ndoa yan wabongo wana mambo wa ajabu sana
@RandB_Channel
@RandB_Channel Жыл бұрын
@@fatmaahmed972 yani baache tu kuwa wanapoteza pesa zakufanya hizo ndoawano wapeleke wasaidiye wasio jiweza . Du sijawayi ona ndoa ya mwezi mmoja natala ju 😳😳😳
@mamylnkuzi8482
@mamylnkuzi8482 Жыл бұрын
Dada angalia UHAI WAKO tengenexa furaha yakoo mwenyewe. MUNGU AKUSAIDIE
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 Жыл бұрын
Ndoa sio project Dada,. Jiamini usirudi nyuma.
@sarahlimbu9305
@sarahlimbu9305 Жыл бұрын
😂
@KaumbyaTibenda
@KaumbyaTibenda 8 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭pole sana Zai Mungu mkubwa ona amekufungulia njia nyingine jamani
@MohamedHuseein-s5i
@MohamedHuseein-s5i 8 ай бұрын
This lady she is right
@issakamangila4143
@issakamangila4143 Жыл бұрын
Dulla ni mkorofi atari ajui mapenzi aja maliza bd ujana
@jumatajiri585
@jumatajiri585 Жыл бұрын
Ndoa hamziwezi mnakimbilia nini
@uwimana6533
@uwimana6533 8 ай бұрын
Dullah chizi mkubwa 😂😂😂
@luciaadventures3290
@luciaadventures3290 Жыл бұрын
Daaah pole dear...
@yasintadavid1296
@yasintadavid1296 Жыл бұрын
Duuh 😢😢
@KulwaMbeko
@KulwaMbeko Жыл бұрын
Huyu si ameolewa juz😮😮😮😮😮
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Жыл бұрын
😂😂😂😂mpaka walipoachana walikuwa nà siku 54
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr Жыл бұрын
Sheria ya dini inasema talaka 3 huwa inahesabika moja tu mkae chini musome dini on line hadi lini Astaghafirullah😢😢😢
@SafiaOmar
@SafiaOmar Жыл бұрын
Kuna kauli mbili tofauti. Wapo maulamaa wanao hesabu Moja. Na wapo wanao hesabu kuwa ni talaka 3
@jamillahngala9087
@jamillahngala9087 Жыл бұрын
Watu awafuatilii sheria na steps za talaka heri wapeane tu talaka wallah inauma mm nikiona mtu ameshapewa talaka hua Nahisi vibaya.. Alafu kitu Ingine social media zinaharibu ndoa za watu na marafiki pia ila pole kwake Zay
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Жыл бұрын
Eeee m/mungu nijalie subra uko niendako Maana mtoto WA mama mkwe anatak kufanya nusu ya dini ndoa ndoa ndoa
@shejamy06
@shejamy06 Жыл бұрын
Ndoa za bongo movie kibokoo😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@SamiraKionga
@SamiraKionga Жыл бұрын
Kwani bado kuna watu wanashikiana cm kweye cm za wenzenuuu Eeeh hayaaa endeleeni Mnachokitafuta mtakipata
@hafswahamisi9685
@hafswahamisi9685 Жыл бұрын
😂😂😂😂 wewe n mimi kabisaa kila mtu na simu yakeee
@ashaali2853
@ashaali2853 Жыл бұрын
Mwanaume akikupa talaka tatu hio inaesabiwa moja sio tatu
@NusrathRamadhani-wq8yj
@NusrathRamadhani-wq8yj Жыл бұрын
Wapo mumy
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
HAO MASHAM MASHAM NDO MAMBO WANAYOYAPENDA HAYO,,,KUVUNJIKA VUNJIKA KWA NDOA ZA WATU,,,,UYO DIDA AKUMBUKE AACHE KUSHADADIA NDOA ZA WATU.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 Жыл бұрын
Yeye mwenyewe si amejaza failed marriages kwenye CV 😂😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Wambea wakubwa
@sadilahindian3401
@sadilahindian3401 Жыл бұрын
Wapo kzn mkumbuke
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
Kuna kutangaza na ushushu,,,kwani redio nyingne hazijui hiyo taarifa?,KUACHANA KUPO,,,INSHU KUSHADADIA YASIOKUHUSU,,
@queenhenagu3496
@queenhenagu3496 Жыл бұрын
@@hassanbakari4525 jaman wamefanya kile watuu hupendaa kusikiaa yaan umbeaa kama huu ww ungeacha sikilizaa sasa si umevutiwa na kichwaa cha habar ukajaa angaliaa ama umejipata bahat mbaya 🤣🤣🤣🤣🤣
@mercypeledawson1622
@mercypeledawson1622 Жыл бұрын
Huyu zay akae ajiangalie... maana hata mahusiano alokua nayo alipigwa hv hv 😢
@rerisamba
@rerisamba Жыл бұрын
Pengine walimroga
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Жыл бұрын
Huyu mjeuri wakupindukia na Kisha chini kunamuwasha hatali kaachwa Mara kwa Mara navile ajui kupika 😂😂😂
@najmahamso8364
@najmahamso8364 Жыл бұрын
​@@mrsmumewangu4907🤭🤭🤔🤔
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 Жыл бұрын
Umeckia mwenyewe anasema mumewe anadai anamdomo
@GiftAbduly
@GiftAbduly Жыл бұрын
​@@mrsmumewangu4907mhmmmm
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
😢😢😢😢duuu nlijua utani
@abcmnbb2610
@abcmnbb2610 Жыл бұрын
Pole sana lisa sim yamwanaume Usirudi kucukuwa sim yamumeo Ifanya kama kituo capolisi
@abdulab6202
@abdulab6202 Жыл бұрын
Sawa ulivyo fanya umesali rakaa 2 hongera sana
@trueexplorer894
@trueexplorer894 Жыл бұрын
Mara zote huwa nasema Juma hii sio taaluma yake kwa maswali ya kijinga anayoulizaga, dida kauliza kama Lisa ataridhia kurudiana na Dula akasema "no comment" then Juma anauliza kama anajuta kukutana na dula, come on!!!
@shafiikiloko747
@shafiikiloko747 Жыл бұрын
Majina ya kina dula ni mtihan kwakwel
@zuu9996
@zuu9996 Жыл бұрын
Sana wallah
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Na kina zai
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 Жыл бұрын
Kweli kaka majina ayo atali alafu waongo sana kina dula
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
😂
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
@@walizanasiri4963 sana
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Жыл бұрын
Dullah jikaze Kaka ujui Mungu kakuepusha na nn huyo dada mzuri Ila matendo yk machafu Malaya tu kila mume akimuoa anamuacha ndani ya mwezi tu kazoea huyo mdangaji wa chamazi
@abuthuraiyyahsalum8335
@abuthuraiyyahsalum8335 Жыл бұрын
Inaumiza sna zaylisha alikuwa serous na ndoa yake
@NasraOmary-hy6ep
@NasraOmary-hy6ep Жыл бұрын
Uyu dad inaonekana n kibur wanaume wangap aw kila mwanaume anampiga anajivunui uzur wake
@khalifaalmugheiry9232
@khalifaalmugheiry9232 Жыл бұрын
Hii inapaswa kukemewa na mashekhe, na kutowa elimu hususan kwa kipindi kikubwa kama hichi wanasema kuwa talaka 3 sawa na talaka moja, hii haijakaa sawa Masham Sham mnapotosha Jamii, lipaswe kukemewa kwa mamlaka husika za dini na misikitini pamoja na kupewq onyo kwa kila wenye vipindi kupotosha vitu vya serious specially vya dini .. dini sio amapiano mkaichezea kama jambo hamlijuwi hupaswi kuliongelea.
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Жыл бұрын
Mbona kama umepaniki kk😅
@khalifaalmugheiry9232
@khalifaalmugheiry9232 Жыл бұрын
@@jaymandy8136 kwaiyo tunyamaze kwenye upotishaji au sio ?? Ukiwa hujielewi utanyamaza kimya kwa anaejuwa dini yake inakataza nini kukemea lazima kukaa kimya ufala kama mafala
@mkongwekhamis4331
@mkongwekhamis4331 Жыл бұрын
Jamani wifi Siwa upo wapiiiii?! 😂😂 Uje kuyajenga ya nduguyo....... Uje kuyasuluhisha hukuu😅😅😅!!!...
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Mkiona hamuwezi kutulia kwa ndoa ni bora tuu mtulie muangalie wezenu
@khadijaamur6032
@khadijaamur6032 Жыл бұрын
Na walee watoto
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@khadijaamur6032 watoto wapi hao?
@lelaiddy6856
@lelaiddy6856 Жыл бұрын
Kabisaa..maana wanaharibu hela za watu eti wanawachangiaaa kufanikisha shughuli
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@lelaiddy6856 yaan wanavyokazana na michango
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Kama navofanya mie ndomana yakitokea haya mambo naona raaaha! Na hakuna kurudiana ndo shasema
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Жыл бұрын
Hivi mpaka leo bado kuna Wanaume wanapiga wanawake?
@aishajuma18
@aishajuma18 Жыл бұрын
Na huyu nae sijui Anamatatizo gani kila siku anapigwa Tu na anaume zake
@gagalinodenatrick1652
@gagalinodenatrick1652 8 ай бұрын
Cku ukioa ndio utajua
@asalkhan9168
@asalkhan9168 Жыл бұрын
mastaa wa bongo wanashida sana kwenye mahusiano na ndoa
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 Жыл бұрын
Sio masataaa tu ata mitaani saiv nipasua kichwa
@halimaomar2986
@halimaomar2986 Жыл бұрын
Masha Allah mke bado ana mpenda mumewe.. Allah ajalie warudiane...
@aishaibrahim5607
@aishaibrahim5607 Жыл бұрын
Bdowanapenda sema makabila kakurupuka na nais anajuta
@SemeniBaby-rj2he
@SemeniBaby-rj2he Жыл бұрын
Uyo mwanamke ameongea ukweli ata me nilikua namfumania mume wangu na akawa ananipiga yy iyo ipo na mm nimepitia kuna wanaume wengine hawakubali makosa yao
@janechaula2870
@janechaula2870 9 ай бұрын
Point ndivyo walivyo
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 Жыл бұрын
mmeishi kwa shida n raha miezi miwili!!!!!!!!! cumon
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
Atuchezea sanaaa.... shida na Raha yamiezii Miwiliii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah!
@hafswahamisi9685
@hafswahamisi9685 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hanifa9153
@hanifa9153 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@musakaphu4581
@musakaphu4581 Жыл бұрын
Kwa ndoa ya namna hii lazima siku zihesabiwe kama za jela ndomana wameishi kwa shida na raha 😂
@naumikabila5880
@naumikabila5880 Жыл бұрын
Sio miwili mmoja na nusu
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 Жыл бұрын
Uyu dada inaonyesha anampenda bado mumewe ila dulla ndo mtihani
@roqayaro9439
@roqayaro9439 Жыл бұрын
KAMA KWELI AMEPEWA TALAKA 3 HAWAWEZI KULUDIANA ITABIDI ZAYLISSSA AOLEWE NA MWANAUME MWINGINE AKIACHIKA NDO AMUOE DULLAH
@adilaadila1128
@adilaadila1128 Жыл бұрын
Hakuna talaka 3 kwa pamoja apo inahesabika ni Talaka Moja km wapendana warudiane
@ashaissa2435
@ashaissa2435 Жыл бұрын
Ilkn dida ndoa yake alikua mkali kuuliziwa za wenzie midomo juuuu kushadadia 5:35 5:36
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Жыл бұрын
Jamani
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 Жыл бұрын
Hiyo no Comment ndo naweza kurudi maana asingeweza kumrudia angesa simtaki simpend 👌
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
😮😮😮😮😮mbona Beyonce wa mbagala😂😂😂😂 Ila jamani hizi ndoa za mastaa ,tumechokaaaa😂😂😂
@datty.wozaah865
@datty.wozaah865 Жыл бұрын
Nakwambia 😅😅😅😅😅
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Жыл бұрын
Dah pole sana mambo ya kushikiana simu sio yenyewe sasa kupigana tena angemuuwa mwenzio kha bora niwe mjane ndoa hizi drama
@williamuaza7541
@williamuaza7541 Жыл бұрын
Ushikwe uchi simu usishikiwe uongo huo vyote tunashika
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Ndoa sikuhizi mh😢
@ummuadam2423
@ummuadam2423 Жыл бұрын
Hajui ndoa dula bdo hajamaliza ujana,talaka 3 kwampigo haitolewi hvo mshamba tu, hyo no comment bdo anapenda kipigo hyo
@esthercharles5119
@esthercharles5119 Жыл бұрын
Wanawake wa siku hz sijui mnatoaga wap wanaume wadundaji khaaa!!😢😢 mtakuja kufa
@vero57
@vero57 Жыл бұрын
Mwanamke wake wa USA ATAKU anachekelea tuu huko saizi khaa!!!
@biggievandar254
@biggievandar254 Жыл бұрын
Wasafi mwapenda sana umbea mbna msimwongelee zuchu na diamond
@irakoze3762
@irakoze3762 Жыл бұрын
Wafukuzwe kazi 😂
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 Жыл бұрын
Nawashangaaa kwakweli
@salmarajabu4890
@salmarajabu4890 Жыл бұрын
Nilikua nakulaum xana zay wangu kumbe cvyoo unampnda mme wak
@bintyk5149
@bintyk5149 Жыл бұрын
Hatariiii ndo mastar😢
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Жыл бұрын
AKA kio cha jamii
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 Жыл бұрын
Yaan mtihan kweli kweli jmn duuh!!!
@sihamnjagi
@sihamnjagi Жыл бұрын
Lakini watu wanatoa wapi energy ya kushika simu za waume zao
@bahatielias6443
@bahatielias6443 Жыл бұрын
Ukweli simu zetu mngekuwaga mnaziacha tu ,simu za wanaume zinamambo mengi mno,
@najmahamso8364
@najmahamso8364 Жыл бұрын
Mi si shiki kila siku ila kama kuna maaswi yatafanyika uwa niko na wasiwasi na nikishika tu anagomba msamaha mana uwa yuajua nimegundua lengo lake mpaka sasa ushukuru kwa kua namgundua alafu hafanyi aliyo ya panga na mwenzake 😂😂😂
@neemanyimbi2355
@neemanyimbi2355 Жыл бұрын
Simu bila kushika angejuaje wewe kaa ivoivo usishike uletewe magonjwa simu nashika vixuri
@bahatielias6443
@bahatielias6443 Жыл бұрын
@@neemanyimbi2355 lakin neema, mwanaume akiamua kuchepuka atachepuka na Wala ukishika Sim Bado hutajua kitu, kiufupi sisi tunajijua jinsi tulivo, lakin wew Kama mke ukaamua kuchepuka ndani ya miezi miwili tayali ushakamatika.🤣🤣🤣
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Nyinyi musiongelee dini hamuijui talaka tatu kama moja kawambia nani
@MonaAlmona-c1n
@MonaAlmona-c1n Жыл бұрын
Talaka inaisabika moja tu hakuna talaka tatu kwa mpigo apo inaisabika talaka moja tu
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
@@MonaAlmona-c1n mhmm subutuu
@ZainabAbdu-o1t
@ZainabAbdu-o1t Жыл бұрын
Mmmh uyu mwanamke ajielewi mnakumbuka kipindi kile alivyo jibugi Leo anasema vyingine bado ataenyeka na wanaumewote wadaa na wazaziwake nawo washamuchoka ndomaana akiachwa wanampokea sababu wanajuwa mwanawo nitaila wa mapenz ana lolote yani kila siku wewetu mtoto wanaume wote wanamakosa we ndo mzuli kuna jambo so bule jaman angalieni mbele 😂😂😂😂😂😂 anaishi kwa bwana uyo akutoka uku anaingia kule yani weektu ndoa angalien namimi ni mwanamke bali siwezi kuwa kama uyu dada tena ni wajina wangu ajielewi bado ❤
@naomimwahosi8177
@naomimwahosi8177 Жыл бұрын
Kwa kweli huwezi nyamaza ukiumizwa.
@maimunashaban4932
@maimunashaban4932 Жыл бұрын
Yaan ndan ya miez2 mpk vikao tyr mlikuwa mmeanza kukaa duuh! Kwel ata mneendelea bado mngegombana tu
@zaynabmwanjovu1002
@zaynabmwanjovu1002 Жыл бұрын
🤣🤣🤣jaman
@wendyabduly3732
@wendyabduly3732 Жыл бұрын
Hiv hiki kipindi huonyeshwa lin wasaf na sangap?
@kamalissabig4631
@kamalissabig4631 Жыл бұрын
Acha umbea mtu akupige Bila sababu kwan Dullah n Chizi hakuna mwanaume atae kupiga bila sababu tena Kwa makosa yake
@mgesijoseph7912
@mgesijoseph7912 9 ай бұрын
Kuna ndoa zisizo na mafarakano kweli😢😢kugombana ndio sehemu ya kujuanna na kupendana zaidi na kukwepana ili maisha yaende
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 8 ай бұрын
Jamani mie nafurahigi sana nikiwasikiaga hawa watu wawili maneno yao juma na dida.nachekaga mpaka mwisho.wamezidi umbea
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Dulla anaonekana ana Gubu😂😂😂
@DulaKhamis
@DulaKhamis Жыл бұрын
Namtaka huyo na Mm nimfuse 😂
@NicoleNicholaus
@NicoleNicholaus Жыл бұрын
Hahahah bado anampenda huyo😅😅 anashindwa kujibu short namtaka au simtaki oooh anapenda kupigwa jmn
@janethedward4631
@janethedward4631 Жыл бұрын
WANAUME ....KUNA WANAWAKE WAKUOA NA KUNA WANAWAKE WAKUVUCHUPI NAKUPITA IVI. TATIZO LENU WANAUME NYIE MNAPENDA WANAWAKE WAZURI AMCHUNGUZI MTU NDO MANA NDOA ZINAVUNJIKABJUMA PILI ADI JUMATATU TUJITAIDI KUCHUNGUZANA KABLA YA NDOA
@makindimbo1851
@makindimbo1851 Жыл бұрын
huyo demu alikuwa anataka umaarufu kwa mwamba ila kiukwel huyo demu sio wa kuolewa bado kijana xna ana muwasho ndoa inataka akili iliyokomaa...
@janetdundul3858
@janetdundul3858 Жыл бұрын
Kunamuda muwe munatupenda hata wakina sisi dahaaaaa mukuje uku uswanzi 😊
@kekovasudi7388
@kekovasudi7388 Жыл бұрын
Haha na nyie muwe mnakubali kuolewa hata na sisi tusio maarufu
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 Жыл бұрын
Yani dah
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Жыл бұрын
Dida wee mbona hijakaxiwa kirudi kwa kumbilamoto
@leonleon6323
@leonleon6323 Жыл бұрын
Mbona wanaweek tu😂
@matildakyambile5239
@matildakyambile5239 8 ай бұрын
Amna kitu hapo cjui nani mkweli
@neamusic2601
@neamusic2601 Жыл бұрын
Katoa talaka 3 jamani asee kweli ana hasira sana...nahx hawakujuanavizuri.
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Juma roho inakuuma ulivoona hajibu kama watarudiana or not! Mi mwenyewe sijapenda! Warudiane ili kiwe nini??? Hakuna kurudi mtu hapo😡😡😡
@maramegamahega1991
@maramegamahega1991 Жыл бұрын
😅😅😅😅 lazima nicheke mana mimi yalinikuta 😅😅😅 niliwahi pigwa na panga 😢😢😢
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 Жыл бұрын
Pole dear
@WemaOmary-of6to
@WemaOmary-of6to 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 sijui nacheka nini naboupo unadubda kama kitenesi sisi wanawake tunapepo yetu
@noelmusa3502
@noelmusa3502 Жыл бұрын
Ila wasafi nawakubali aiseeee kwa umbea we bibie eeeeeeeeh uko vzr😂😂😂😂😂😂
@vumiliarichard9347
@vumiliarichard9347 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂dida mungu anakuona
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 Жыл бұрын
Dida wewe ulikua mkali ulipokua ukiulizwa kuhusu kuachwa lkn saa eee washadadia ya wenzako
@Teddy-fq5oc
@Teddy-fq5oc Жыл бұрын
Umeona eeee
@BigZhumbe
@BigZhumbe Жыл бұрын
Kwani watu wa Cuba wanasemaje 😂😂😂
@InnocentMwingwa-wz1js
@InnocentMwingwa-wz1js 8 ай бұрын
Mmesikia xhuma ich cha dullaa
@zulphaiddy1191
@zulphaiddy1191 Жыл бұрын
Ngoja tuanzie hapo kwe kuswal rakaa mbili, Wakat huo ulikua huna Rasta kichwani na rangi kweny kucha na makucha marefu ama?
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 Жыл бұрын
Kwanza uyo dida mwenyewe anasemaje tuanze hapo kwanza
@Mina.15
@Mina.15 Жыл бұрын
Asma pia aliachwa after 3 months 😂😂😂
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 Жыл бұрын
Pole sana
@shyllahnekesa216
@shyllahnekesa216 Жыл бұрын
Lkn Zay ni malaya tuu
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Wazazi mchangulieni mwanenu mwenza mwema, na mtu akishakupiga na ukamruhusu jua hyo ndo Tabia yake, mwanaume timamu hapigani
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 9 ай бұрын
Mwache aende
@saukhah6365
@saukhah6365 Жыл бұрын
Juma uwache udanganyifu talaka 3 hapo hakuna ndoa na hawezi kumrudia ten juma heeeh walimwengu tumeisha kwa kwel
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Pamoja na kwamba ni dada wa mjini, lakini anaongea vizuri.
@saidimandia2967
@saidimandia2967 Жыл бұрын
At least anajua kuongea kweny Media
@JumaShimende
@JumaShimende 8 ай бұрын
Kumbe dula penz lilikushinda mwenyewe hukua na iwaminifu.naukiona mwanamke anakufatilia ujuwe anakujali.sasa ukifatiliwa wewe unatoa kichapo dula veep!!?
@fredykephacy5166
@fredykephacy5166 8 ай бұрын
Huyu dada anaakili anajibu kwa Hekma sana
@yayhajoakim3046
@yayhajoakim3046 8 ай бұрын
Jamani dula alikosea sana
@esterstaphord5184
@esterstaphord5184 Жыл бұрын
Boy akisema atabadilika .. na mkaoanaa ... dada umeyakanyaga 😂
@ibraheemqassim3018
@ibraheemqassim3018 Жыл бұрын
Sasa mtu kaachwa talaka 3 arud kwa mumewe yup anatakiwa asubir mpka aolewe tena na mtu mwengine alaf aachwe ndio 😅
@shejamy06
@shejamy06 Жыл бұрын
Huyu anampenda nyokoo… watu wanamisigi vichapoooo Eeeeh naona mm ndo ntabak singoooo😅😅😅😅😅
@isamony58
@isamony58 Жыл бұрын
kiki hizoooo anataka kuachiy ngoma
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Жыл бұрын
Ukute kwer 🤔🤔
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Wewe Dida hujui hata maana ya kifamilia. Familia sio baba na mama hata yeye na mumewe ni familia pia.
@fahadmussa8879
@fahadmussa8879 Жыл бұрын
Wanawake wembamba hawaliziki namwanaume mmoja
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 10 ай бұрын
Haiwezekani kurudiana Mpaka aolewe akiachika ndiyo amuoe tena
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 Жыл бұрын
Daah kupingwa hapo jamani nami siwezi vumulia
@luttahofficial9463
@luttahofficial9463 Жыл бұрын
Maaaaaaaaaaaaviiiiiiiiiii yake
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 18 МЛН
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 29 МЛН
«Кім тапқыр?» бағдарламасы
00:16
Balapan TV
Рет қаралды 244 М.
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,7 МЛН
MANARA AFUNGUKA MAHUSIANO YAKE NA ZAYLISSA "TUNAPENDANA SANA"
11:01
NAKUPENDA MWALIMU NIKUVALISHE PETE  STEVE MWEUSI
14:04
Mweusi Family
Рет қаралды 6 МЛН
GIGY MONEY NA DIVA WARUSHIANA MANENO MAKALI STUDIO, UGOMVI MKUBWA...
7:29
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 18 МЛН