Mama mzazi alikuwa na shida ya miguu kuuma sana kwa miaka mingi. Ikawa kutembea, kusimama na kukunja miguu ni shida. Pia kulala ilikuwa taabu. Akatembelea hospitali nyingi na kufanyiwa vipimo vingi ambavyo matokeo yalikuwa mengi na tofauti. Mwisho tukaamua kufunga na kufanya maombi pamoja na yeye (wore tulikuwa sehemu tofauti) kwa ratiba ya pamoja. Baada ya muda mfupi mama alipona mpaka sasa hivi. Yeye Ana umri wa zaidi ya 70yrs lakini hivi sasa Ana mazoea ya kufunga siku 3 kavu bila shida yoyote na anafanya mazoezi Kila siku. Mwili wake umerudi ujana kiasi kwamba watu waliomuona akiwa mgonjwa na sasa hivi hawamtambui.
@shukranjulius59102 жыл бұрын
Amina Bwana azidi kuwabariki nyote hakika Mungu husikia na kujibu
Pasta asant kwa somo zur maana at a Mimi nmeonafaida sake sanatu barkiwa pasta
@phylislumumba48152 жыл бұрын
Asante sana pastor, nilianza kula mara mbili kwa siku, asubuhi na mapema jioni. Uzito umepungua, uchungu magotini ukaisha, kiungulia kikaisha kabisa, nafurahi
@davidmisiwa46222 жыл бұрын
Hongera sn
@maureenkemei92542 жыл бұрын
Kiroho 1.Saidia kuwa mnyenyekevu, mpole, 2.kusikia sauti ya Mungu 3.inasaidia kutanguliza wengine 4.kuweza kujua nini cha kufanya kabla ya kufanya maamuzi fulani kama ndoa. Kiafya I. Ongeza hormone ya kukua. 2.inazuia uwezekano wa kupata type 2 diabetes. (kisugari) 3.inasaidia mwili kujikinga na tumors zinazoleta cancer. 4.inaongeza uwezo wa ufahamu na kupunguza obesity(uzito uliopitiliza) . 5.inasaidia mcharuko wa mwili. 6.inasaidia kupunguza pressure. 7.inaondoa seli zilizokufa.
@robartmwangomalecharnel78602 жыл бұрын
Mmmmh fafanua ,,,vzr alafu sisi watanzania ebu weka vzr kwa kiswahili ili tuelewa
@mariahmweni71102 жыл бұрын
Mtu kama unameza dawa vipi nifunge msaa mangapi
@damah84312 жыл бұрын
pastor kwa hili leo nakubaliana na wewe! mimi ni binti nafanya kazi ya nyumba hapa warabuni qatar, miezi 2iliyopita nipata kazi kwenye nyumba moja hapa ambapo nafanya kazi, kwa hii nyumba mambo na mlo ni tofauti kabisa na nyumba zingine apo awali! mlo ni mara moja kwa siku, na mimi naona kama ni mbaya kwa sababu kwetu nyumbani ni mlotatu kwa siku,💪 mjungaji nakwambia juzi nikipima weights nimejipata nimepunguza uzito from 64kg to 54kg in 2months 😏😏 najisikia vibaya kwa vile mimi naona kama ni kukonda na konda, lakini vile nimesikia hii clip yako nitendelea na huu mfumo kwa ajili ya afya yangu asante.
@susanotambo9544 Жыл бұрын
Asante kwa Neno
@vickylupemba60552 жыл бұрын
Asante pastor Mmbaga, unatufundisha kwa ufasaha sana, bila shaka hiyo ni neema ya Mungu. Zidi kupokea baraka toka juu mbinguni🙏🏾
@lucasgeorge92122 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@silvesterryaga73652 жыл бұрын
Hakika! Leo nimetambua umuhimu wa kufunga. Nitaiweka katika matumizi yangu. Mungu akubariki kwa somo zuri Pastor.
@barack26928 ай бұрын
Na mimi nitaenda kufunga mlimani mchungaji
@msafirimfyagichi59422 жыл бұрын
Amen
@anisajumanne76732 жыл бұрын
Barikiwa sana kwa mafundisho yako.
@scolasimiyu1712 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa MUNGU kwa kunisaidia
@estershayo47942 жыл бұрын
Asante kwa elimu Pastor. Mungu akubariki
@joycemunisi54312 жыл бұрын
Kweli kufunga ni dawa ya kimwili na kiroho.Barikiwa mtoa mada
@rosemnzava46962 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor, maana mafundisho yako mawili kuhusu kufunga nimeyasikiliza kwa makini, na nimeanza kuyafanyia kazi. Nimefunga mara mbili kwa wiki tatu na matokeo ni kuwa, nilikuwa navimba miguu, sasa naona miguu nimeanza kusinyaa. Nitaendelea mpaka kieleweke. Bwana Mungu azidi kukubariki pamoja na uzao wako.
@lucasgeorge92122 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@jacintasyombua75122 жыл бұрын
Amen Amen 🙏....barikiwa sana pastor
@lucasgeorge92122 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Amen ,God bless you and may the name of God be glorified.
@saumhamisi73202 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki zaidi
@shaniachanceline27512 жыл бұрын
Thanks a lot pastor David God bless you 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖😍🥰💗
@lucasgeorge92122 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@faraja78332 жыл бұрын
Amen sana
@isaiahstadius23832 жыл бұрын
Mungu anisaidie sana nami niweze kufunga, maana napenda sana kula😥.
@rosepeter89962 жыл бұрын
AMINA🙏
@elizabethgodfreytondo30522 жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki kwa kutupa elimu khs kufunga,siyo siri umenibariki
@lilianlima86092 жыл бұрын
Amen, BWANA akubariki
@alexmboya58502 жыл бұрын
Mungu akubariki
@lilianlima86092 жыл бұрын
Amen🙏🙏 kwetu sote
@obedimunguachiza84342 жыл бұрын
Ubarikiwe sana baba nimepata kitu endelea kutuelimisha.
@VicentiGordianigabriel-vj6iv4 ай бұрын
Asante sana
@mossesjoseph22022 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi.
@NizaLuka-gi8hf5 ай бұрын
❤❤❤
@kitulohenry23932 жыл бұрын
Asantee pastor
@emmanuelmasoko10132 жыл бұрын
Pastor mbaga nikianzisha ratiba ya kupata mlo wangu asubuhi, halafu kwa Yale masaa ya mchana badala ya kupata lunch niwe natumia kunywa maji tuu mpaka mida ya dinner, vp ntakuwa nipo sahihi katika mfungo?
@alicesidi96012 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@lucasgeorge92122 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@anaaanick41872 жыл бұрын
Asant BABA 🙏🙏🙏
@shegashega24212 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumshi
@zablonbakari12002 жыл бұрын
Nikweli kufunga kula na kunywa kunafaida kiafya,Mimi si mnene ila nilikua na kitumbo kama nanyemelewa na kitambi ivi ila sikuelewa ilikua ni nini,Nilianza kufunga lakini sio kwa jambo hilo ni kwa jambo tofauti, baada ya muda kama mwezi na nusu ivi icho kitumbo kikapungua sasa nikapata faida ya ziada kwa mfungo wa jambo tofauti,Nina mshukuru MUNGU kwa kuningoza kufunga.
@josephjohn85302 жыл бұрын
Koo kitambi koliishA
@zablonbakari12002 жыл бұрын
@@josephjohn8530 kimeisha kabisa
@caroopiyo74052 жыл бұрын
I'm so blessed 🙏🙏🙏
@lucasgeorge92122 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@amosiasheri5542 жыл бұрын
Amina pastor
@user-fu7ep9tr1b5 ай бұрын
Pastor niombee Mimi Emanuel John Anthony natafuta Mchumba
@user-fy5fu6wl8l8 ай бұрын
Nitaanza kufunga nayaweza mambo yote kwa yeye anitiaye nguvu
@jumskibona32612 жыл бұрын
Ubarikiwe
@vailetheanyambilile97492 жыл бұрын
Kweli uwarabuni
@elizabethsarange50642 жыл бұрын
Amen be blessed
@rogerskaluta1608 Жыл бұрын
Happy Sabbath pastor
@vailetheanyambilile97492 жыл бұрын
Asante sana Mutumishi
@shegashega24212 жыл бұрын
Mimi nikiona mwili wangu siuelewi huwa narejea kufunga tu kisha nakuwa vizuri sana
@jonacemanyama48582 жыл бұрын
Amina pr ninatatizo la kwikwi kwa muda wa miaka 6 sasa nisaidie mtumishsi wa BABA nifanyeje.
@joyjilien54322 жыл бұрын
Jaribu kwanza kunywa maji kwenye shoka Yaani yanakuwa yanatiririka kupitia shoka Sio mpini Shoka yenyewe yaani kile chuma
@jonacemanyama48582 жыл бұрын
@@joyjilien5432 sawa joy shoka jipya au hata kukuu
@Mjita2 жыл бұрын
Fatilia somo linavyoshauri uone matokeo, ila pia ungekuwa Mwanza ningekuelekeza kwa Mzee wangu akupe dawa iliyomtibu yeye kwikwi na wengine wengi
@joyjilien54322 жыл бұрын
@@jonacemanyama4858 shoka yoyote ile lkn iwe imeshatumika
@mutalemwapastoly41582 жыл бұрын
Amina
@marykerubo55922 жыл бұрын
Najua mungu yupo na sitachoka kufunga mpaka mtoto wangu akae na atembe
@fatumanassoro155 Жыл бұрын
❤ naomba namba yko dkt
@sananethobias20602 жыл бұрын
Inasaidia kukua kiroho
@violethswai80612 жыл бұрын
@geraldmwangira.49782 жыл бұрын
Kufuga kwa kwel kuna faida!! Me binafsi sasa nmechukua muda wgu na fuga bt me hua nafunga ivi nikila kama sa tatu ucku ndo sili tena mpk sakumi na mbili jioni cku nyigine, na pia nmeona faida kwa mwili wgu. Ila naomba kuuliza kufunga mfungo huu ni saw au laah??
@plankalkimly48112 жыл бұрын
Fatilia somo la aina za mfungo utaelewa
@esthermsely35372 жыл бұрын
Amen
@saumhamisi73202 жыл бұрын
Amina pastor
@puritychogoro2 жыл бұрын
Amen
@damaslukando85922 жыл бұрын
Amen
@lucasgeorge92122 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@esterlugalie Жыл бұрын
Mungu akubariki sana paster uzid kutupatia mafundisho haya