FAIDA ZA AJABU ZA KUFUNGA

  Рет қаралды 25,154

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

2 жыл бұрын

Пікірлер: 81
@angel-y
@angel-y 2 жыл бұрын
Mama mzazi alikuwa na shida ya miguu kuuma sana kwa miaka mingi. Ikawa kutembea, kusimama na kukunja miguu ni shida. Pia kulala ilikuwa taabu. Akatembelea hospitali nyingi na kufanyiwa vipimo vingi ambavyo matokeo yalikuwa mengi na tofauti. Mwisho tukaamua kufunga na kufanya maombi pamoja na yeye (wore tulikuwa sehemu tofauti) kwa ratiba ya pamoja. Baada ya muda mfupi mama alipona mpaka sasa hivi. Yeye Ana umri wa zaidi ya 70yrs lakini hivi sasa Ana mazoea ya kufunga siku 3 kavu bila shida yoyote na anafanya mazoezi Kila siku. Mwili wake umerudi ujana kiasi kwamba watu waliomuona akiwa mgonjwa na sasa hivi hawamtambui.
@shukranjulius5910
@shukranjulius5910 2 жыл бұрын
Amina Bwana azidi kuwabariki nyote hakika Mungu husikia na kujibu
@wilsonyohana1480
@wilsonyohana1480 2 жыл бұрын
Amen
@mariamwambene6785
@mariamwambene6785 2 жыл бұрын
yhģgýtwGggggggggyyyuùuuttttguyýýþþþ⅚ßďvf🦍🐵🐩🐒🦍🦊🦧🐶🐕🦮🍏🍉🍇🥦🥑🥒🥥🍅🍎🍐🍊🥑🥑🥑🥑🍓🍒🍑🍌🏟🏟🏞🌋🏟🌋🧭🧱🥦🎋🗺🏖🍑🍒
@lucasgeorge9212
@lucasgeorge9212 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@jeskadoto5002
@jeskadoto5002 2 жыл бұрын
Pasta asant kwa somo zur maana at a Mimi nmeonafaida sake sanatu barkiwa pasta
@phylislumumba4815
@phylislumumba4815 2 жыл бұрын
Asante sana pastor, nilianza kula mara mbili kwa siku, asubuhi na mapema jioni. Uzito umepungua, uchungu magotini ukaisha, kiungulia kikaisha kabisa, nafurahi
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 2 жыл бұрын
Hongera sn
@maureenkemei9254
@maureenkemei9254 2 жыл бұрын
Kiroho 1.Saidia kuwa mnyenyekevu, mpole, 2.kusikia sauti ya Mungu 3.inasaidia kutanguliza wengine 4.kuweza kujua nini cha kufanya kabla ya kufanya maamuzi fulani kama ndoa. Kiafya I. Ongeza hormone ya kukua. 2.inazuia uwezekano wa kupata type 2 diabetes. (kisugari) 3.inasaidia mwili kujikinga na tumors zinazoleta cancer. 4.inaongeza uwezo wa ufahamu na kupunguza obesity(uzito uliopitiliza) . 5.inasaidia mcharuko wa mwili. 6.inasaidia kupunguza pressure. 7.inaondoa seli zilizokufa.
@robartmwangomalecharnel7860
@robartmwangomalecharnel7860 2 жыл бұрын
Mmmmh fafanua ,,,vzr alafu sisi watanzania ebu weka vzr kwa kiswahili ili tuelewa
@mariahmweni7110
@mariahmweni7110 2 жыл бұрын
Mtu kama unameza dawa vipi nifunge msaa mangapi
@damah8431
@damah8431 2 жыл бұрын
pastor kwa hili leo nakubaliana na wewe! mimi ni binti nafanya kazi ya nyumba hapa warabuni qatar, miezi 2iliyopita nipata kazi kwenye nyumba moja hapa ambapo nafanya kazi, kwa hii nyumba mambo na mlo ni tofauti kabisa na nyumba zingine apo awali! mlo ni mara moja kwa siku, na mimi naona kama ni mbaya kwa sababu kwetu nyumbani ni mlotatu kwa siku,💪 mjungaji nakwambia juzi nikipima weights nimejipata nimepunguza uzito from 64kg to 54kg in 2months 😏😏 najisikia vibaya kwa vile mimi naona kama ni kukonda na konda, lakini vile nimesikia hii clip yako nitendelea na huu mfumo kwa ajili ya afya yangu asante.
@susanotambo9544
@susanotambo9544 Жыл бұрын
Asante kwa Neno
@vickylupemba6055
@vickylupemba6055 2 жыл бұрын
Asante pastor Mmbaga, unatufundisha kwa ufasaha sana, bila shaka hiyo ni neema ya Mungu. Zidi kupokea baraka toka juu mbinguni🙏🏾
@lucasgeorge9212
@lucasgeorge9212 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@silvesterryaga7365
@silvesterryaga7365 2 жыл бұрын
Hakika! Leo nimetambua umuhimu wa kufunga. Nitaiweka katika matumizi yangu. Mungu akubariki kwa somo zuri Pastor.
@barack2692
@barack2692 8 ай бұрын
Na mimi nitaenda kufunga mlimani mchungaji
@msafirimfyagichi5942
@msafirimfyagichi5942 2 жыл бұрын
Amen
@anisajumanne7673
@anisajumanne7673 2 жыл бұрын
Barikiwa sana kwa mafundisho yako.
@scolasimiyu171
@scolasimiyu171 2 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa MUNGU kwa kunisaidia
@estershayo4794
@estershayo4794 2 жыл бұрын
Asante kwa elimu Pastor. Mungu akubariki
@joycemunisi5431
@joycemunisi5431 2 жыл бұрын
Kweli kufunga ni dawa ya kimwili na kiroho.Barikiwa mtoa mada
@rosemnzava4696
@rosemnzava4696 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor, maana mafundisho yako mawili kuhusu kufunga nimeyasikiliza kwa makini, na nimeanza kuyafanyia kazi. Nimefunga mara mbili kwa wiki tatu na matokeo ni kuwa, nilikuwa navimba miguu, sasa naona miguu nimeanza kusinyaa. Nitaendelea mpaka kieleweke. Bwana Mungu azidi kukubariki pamoja na uzao wako.
@lucasgeorge9212
@lucasgeorge9212 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@jacintasyombua7512
@jacintasyombua7512 2 жыл бұрын
Amen Amen 🙏....barikiwa sana pastor
@lucasgeorge9212
@lucasgeorge9212 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@rodahadhiambo3637
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Amen ,God bless you and may the name of God be glorified.
@saumhamisi7320
@saumhamisi7320 2 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki zaidi
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 2 жыл бұрын
Thanks a lot pastor David God bless you 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖😍🥰💗
@lucasgeorge9212
@lucasgeorge9212 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@faraja7833
@faraja7833 2 жыл бұрын
Amen sana
@isaiahstadius2383
@isaiahstadius2383 2 жыл бұрын
Mungu anisaidie sana nami niweze kufunga, maana napenda sana kula😥.
@rosepeter8996
@rosepeter8996 2 жыл бұрын
AMINA🙏
@elizabethgodfreytondo3052
@elizabethgodfreytondo3052 2 жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki kwa kutupa elimu khs kufunga,siyo siri umenibariki
@lilianlima8609
@lilianlima8609 2 жыл бұрын
Amen, BWANA akubariki
@alexmboya5850
@alexmboya5850 2 жыл бұрын
Mungu akubariki
@lilianlima8609
@lilianlima8609 2 жыл бұрын
Amen🙏🙏 kwetu sote
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana baba nimepata kitu endelea kutuelimisha.
@VicentiGordianigabriel-vj6iv
@VicentiGordianigabriel-vj6iv 4 ай бұрын
Asante sana
@mossesjoseph2202
@mossesjoseph2202 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi.
@NizaLuka-gi8hf
@NizaLuka-gi8hf 5 ай бұрын
❤❤❤
@kitulohenry2393
@kitulohenry2393 2 жыл бұрын
Asantee pastor
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 2 жыл бұрын
Pastor mbaga nikianzisha ratiba ya kupata mlo wangu asubuhi, halafu kwa Yale masaa ya mchana badala ya kupata lunch niwe natumia kunywa maji tuu mpaka mida ya dinner, vp ntakuwa nipo sahihi katika mfungo?
@alicesidi9601
@alicesidi9601 2 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@lucasgeorge9212
@lucasgeorge9212 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@anaaanick4187
@anaaanick4187 2 жыл бұрын
Asant BABA 🙏🙏🙏
@shegashega2421
@shegashega2421 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumshi
@zablonbakari1200
@zablonbakari1200 2 жыл бұрын
Nikweli kufunga kula na kunywa kunafaida kiafya,Mimi si mnene ila nilikua na kitumbo kama nanyemelewa na kitambi ivi ila sikuelewa ilikua ni nini,Nilianza kufunga lakini sio kwa jambo hilo ni kwa jambo tofauti, baada ya muda kama mwezi na nusu ivi icho kitumbo kikapungua sasa nikapata faida ya ziada kwa mfungo wa jambo tofauti,Nina mshukuru MUNGU kwa kuningoza kufunga.
@josephjohn8530
@josephjohn8530 2 жыл бұрын
Koo kitambi koliishA
@zablonbakari1200
@zablonbakari1200 2 жыл бұрын
@@josephjohn8530 kimeisha kabisa
@caroopiyo7405
@caroopiyo7405 2 жыл бұрын
I'm so blessed 🙏🙏🙏
@lucasgeorge9212
@lucasgeorge9212 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@amosiasheri554
@amosiasheri554 2 жыл бұрын
Amina pastor
@user-fu7ep9tr1b
@user-fu7ep9tr1b 5 ай бұрын
Pastor niombee Mimi Emanuel John Anthony natafuta Mchumba
@user-fy5fu6wl8l
@user-fy5fu6wl8l 8 ай бұрын
Nitaanza kufunga nayaweza mambo yote kwa yeye anitiaye nguvu
@jumskibona3261
@jumskibona3261 2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 жыл бұрын
Kweli uwarabuni
@elizabethsarange5064
@elizabethsarange5064 2 жыл бұрын
Amen be blessed
@rogerskaluta1608
@rogerskaluta1608 Жыл бұрын
Happy Sabbath pastor
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 жыл бұрын
Asante sana Mutumishi
@shegashega2421
@shegashega2421 2 жыл бұрын
Mimi nikiona mwili wangu siuelewi huwa narejea kufunga tu kisha nakuwa vizuri sana
@jonacemanyama4858
@jonacemanyama4858 2 жыл бұрын
Amina pr ninatatizo la kwikwi kwa muda wa miaka 6 sasa nisaidie mtumishsi wa BABA nifanyeje.
@joyjilien5432
@joyjilien5432 2 жыл бұрын
Jaribu kwanza kunywa maji kwenye shoka Yaani yanakuwa yanatiririka kupitia shoka Sio mpini Shoka yenyewe yaani kile chuma
@jonacemanyama4858
@jonacemanyama4858 2 жыл бұрын
@@joyjilien5432 sawa joy shoka jipya au hata kukuu
@Mjita
@Mjita 2 жыл бұрын
Fatilia somo linavyoshauri uone matokeo, ila pia ungekuwa Mwanza ningekuelekeza kwa Mzee wangu akupe dawa iliyomtibu yeye kwikwi na wengine wengi
@joyjilien5432
@joyjilien5432 2 жыл бұрын
@@jonacemanyama4858 shoka yoyote ile lkn iwe imeshatumika
@mutalemwapastoly4158
@mutalemwapastoly4158 2 жыл бұрын
Amina
@marykerubo5592
@marykerubo5592 2 жыл бұрын
Najua mungu yupo na sitachoka kufunga mpaka mtoto wangu akae na atembe
@fatumanassoro155
@fatumanassoro155 Жыл бұрын
❤ naomba namba yko dkt
@sananethobias2060
@sananethobias2060 2 жыл бұрын
Inasaidia kukua kiroho
@violethswai8061
@violethswai8061 2 жыл бұрын
@geraldmwangira.4978
@geraldmwangira.4978 2 жыл бұрын
Kufuga kwa kwel kuna faida!! Me binafsi sasa nmechukua muda wgu na fuga bt me hua nafunga ivi nikila kama sa tatu ucku ndo sili tena mpk sakumi na mbili jioni cku nyigine, na pia nmeona faida kwa mwili wgu. Ila naomba kuuliza kufunga mfungo huu ni saw au laah??
@plankalkimly4811
@plankalkimly4811 2 жыл бұрын
Fatilia somo la aina za mfungo utaelewa
@esthermsely3537
@esthermsely3537 2 жыл бұрын
Amen
@saumhamisi7320
@saumhamisi7320 2 жыл бұрын
Amina pastor
@puritychogoro
@puritychogoro 2 жыл бұрын
Amen
@damaslukando8592
@damaslukando8592 2 жыл бұрын
Amen
@lucasgeorge9212
@lucasgeorge9212 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/f2m0eKt7naqUj80
@esterlugalie
@esterlugalie Жыл бұрын
Mungu akubariki sana paster uzid kutupatia mafundisho haya
@samuelwanjau9448
@samuelwanjau9448 Жыл бұрын
Amen
AINA TATU ZA MFUNGO
6:24
Victory tv
Рет қаралды 8 М.
AINA 7 ZA KUFUNGA
26:12
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 55 М.
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 30 МЛН
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 42 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
UNAKWAMA WAPI? PR. DAVID MMBAGA
48:24
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 27 М.
UCHUMI HAUKO KWENYE VITU, UCHUMI UKO KWENYE NYAKATI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
11:06
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 64 М.
KUTEMBEA KATIKA ROHO YA HEKIMA.[PART 1]
51:42
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 13 М.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAU
56:10
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 32 М.
AINA YA MAOMBI AMBAYO MUNGU ANAJIBU Mwl Mpoki Jafari
21:44
mpoki jafari
Рет қаралды 20 М.
KUFUNGA KUNAKUANDAA KUJIBIWA NA MUNGU // 12 DAYS
18:41
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 6 М.
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA NA WAKATI WA MFUNGO WAKO
9:25
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 20 М.
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 30 МЛН