Yapo mambo katika maisha yetu itabidi kufunga ndipo yatokee!! Ni wakati gani itakulazimu Kufunga?
Пікірлер: 146
@violetjoseph86494 жыл бұрын
Aiseee nimeota Pr ukiniambia nifunge na kuomba nashangaa kuona somo hilihil hapa nmejfunza kitu nafikiri Mungu anasema nam kwa njia ya ajabu na ya pekee🙏barikiwa Pr
@BeatriceSosipeterWagara4 жыл бұрын
Nimeona Mungu akifungua milango ya kiuchumi baada ya kusikiliza na kufuatilia Mahubiri TV. Kipindi hiki cha Corona kazi ningumu kupara, ila nimeshangaa sijawahi kuishiwa pesa. Mara nyingi ktk maisha yangu, huwa siwezi kukaa na mshahara mpaka mwisho wa mwezi, nikaanza kusikiliza mahubiri yaliyo rushwa humu kuhusu UCHUMI, nikaomba Mungu aondoe chuma ulete ktk financial yangu, ilichukuwa mda, ila kuanzia 2020 kipindi cha Corona, nimeuona mkono wa Mungu. Mungu awabariki Mahubiri TV.
@namsifumaduhumwita2495 Жыл бұрын
Mungu ana makusudi sana nisikie somo hili. Basi Mungu anisikie.Asante Pr David
@fatumachagudadui73694 жыл бұрын
Hakika nimeamini mwanangu ana vidonda vya tumbo alipimwa nikaambiwa hivyo ninaimani nikienda hospital Leo hakika nikimpima kwa imani niloamini kupitia somo hili atakuwa salama ahsante Mungu sifa kwa yesu
@odettemaman Жыл бұрын
Naomba musaanda wa maombi kwaajili ya magogwa ya tumbo zima.
@adamkisapi93814 ай бұрын
🎉
@mn94844 жыл бұрын
Kila siku najifunza. Kumbe ninapofunga niwaombee watu wengine zaidi. Mungu anatupenda sana, tumuendee kwa ujasiri. Tuwe na Imani. Naamini nimepona kwa jina la Yesu.
@sophyjones71904 жыл бұрын
Mungu akubariki sana PR kwa mahubiri mzuri yanayonibariki
@angel-y4 жыл бұрын
Amen, nimebarikiwa sana na hili somo. Nimeelewa kufunga sahihi na mambo ya kufunga na sala. Mungu akubariki Pastor.
@maxlove26684 жыл бұрын
Amen,I have known the way for fasting,be blessed pastor Mmbaga
@warningvoiceoflastdays58234 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu,injili hiyede bele,Kenya tu nakupata loud and clear.
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Amen!! Mungu awabariki sana pia
@mariamuatukuzwe75044 жыл бұрын
Barikiwa saana mtumishi hapa nimefunguka ki akili na kiroho kuhusu kufunga
@violetauma1001 Жыл бұрын
Asante kwa neno la mungu barikiwa sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa
@fatumachagudadui73694 жыл бұрын
Amina hakika maombi yangu yatajimbiwa family yangu itakuwa sawa Mungu nitie nguvu
@janejoseph90094 жыл бұрын
Amina kwa mafundisho pastor
@HealthyLifeBasics4 жыл бұрын
WAOOH NAPENDA HIZI SHUHUDA HAKIKA NEEMA YA MUNGU YATOSHA, JINA LA BWANA LIBARIKIWE
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Amen
@linetymmboga7271 Жыл бұрын
Wow mafudisho muzuri mungu akupariki sana Amen
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amina asante ubarikiwe zaidi nimejifunza sana mchungaji acha Roho Wa BWANA aniongoze katika kufunga inayostahili mbele za Mungu
@sophynyabosh4386 Жыл бұрын
Amina b blessed pastor
@sirgwemalach93232 жыл бұрын
What a sermon! God grant you more power to preach to His people
@sdawalokole94894 жыл бұрын
Amen,ubarikiwe
@dinahisaboke96714 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mchungaji. I have learned alot
@jeremiahoumaonditi82854 жыл бұрын
Nimebarikiwa na somo be blessed mchungaji
@queenjohn46924 жыл бұрын
Mungu naomba uniponye naomba kwa Imani kwa jina LA Yesu Amina
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Queen John Mungu akuponye
@esternaftari45534 жыл бұрын
Amina mtumishi ninakuelew sana ubarikiwe
@maryaoko5027 Жыл бұрын
Amen and Amen
@lightnessshayo17833 жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu M MUNGU akuinue kwa viwango vingne
@everinekabakilwa98754 жыл бұрын
Nimebarikiwa na Ile somo ya utofahuti wa mwanamke na mwanamme Amen hinanifariji Sana mtumishi wa Bwana wetu yusu Kristo ubarikiwe Zaidi Amen
@wewehehe64054 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@rhinakiza4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Kwa neno zuri 👏
@alfapinieli21604 жыл бұрын
Amina kwa mafundisho
@harrisonmutembei62805 ай бұрын
Amen
@mbukesimuli46464 жыл бұрын
Barikiwa sana pastor
@ndalomasalu26612 жыл бұрын
Hakika mwenyezi Mungu akubari unaendelea kutufafanulia neno la Mungu
@saramss72622 жыл бұрын
Daaaa Barikiwaa sanaaa mtumishi WA BWANA
@watwegopnina64804 жыл бұрын
Ameeen Mchungaji wangu, Mungu tuokoe.
@josephndunguru31633 жыл бұрын
Barikiwa Sana
@joshuaemmanuel594 жыл бұрын
Nimebarikiwa na mahubiri haya na nimeelewa namna ya kufunga Pastor. MUNGU akubariki sana.
@RoseRose-vf5km4 жыл бұрын
Àmen Àmen Àmen nime jifunza barikiwa sana
@christinasenga44124 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@ruthmwangi37852 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa na mafunzo yako
@aronmsyangi92024 жыл бұрын
God bless your ministry
@janethmichael38852 жыл бұрын
Mungu akutunze mchungaji, maana nilikuwa siku y a kwanza ya maombi ya toba , lakin baada ya mafundisho haya, nmeskia ndani yangu kuanza maombi y a shukrani.
@user-hd8zy3eg2v4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor
@janethhenrick17784 жыл бұрын
Amen pastor ubarikiwe na BWANA naamin kupitia somo hili nimejifunza mengi na nnaamini maombi yangu yatajibu 🙏
@nikizaviolette27233 ай бұрын
Asanthe sana
@neemajulius87904 жыл бұрын
Santee sana kwa Mahuri mazur ya kutufundisha
@justinedaudiachieng416 Жыл бұрын
Pr. Mungu akubariki Sana kwa mafundisho yako mazuri yanatujenga kiroho
@HealthyLifeBasics4 жыл бұрын
NZURI SANA HII
@angelkimaro53883 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako mch mbaga,nasikiliza toka moshi
@gombanirombalejames8958 Жыл бұрын
MUNGU akupe mwisho mzuri
@gwiterrichard73524 жыл бұрын
asante pastor
@tinclassic4213 жыл бұрын
Mungu akubaliki
@barakajoseph18164 жыл бұрын
Nnabarikiwa sanaa
@gombanirombalejames8958 Жыл бұрын
Kwakweli Mungu alijifanyiya zabihu
@isaschtv85774 жыл бұрын
Nimekuekewa PR Mungu akubariki
@user-kn3lh1co6u2 жыл бұрын
Mimi nmejifunza kitu hapo ubarikiwe mtu wa mungu naamin nkiyafuata haya ntafunguka
@rosemutinda30764 жыл бұрын
Kweli Mungu wetu ni wamaajabu sana. Mchungaji Barikiwa sana na huduma yako izindi kuinuliwa ili iokoe wengi kwa jina la Yesu kristo
@habaritv63644 жыл бұрын
Rose Mutinda Amen
@BeatriceSosipeterWagara4 жыл бұрын
Asante kwa somo hili zuri,
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Amen
@angeloelia82242 жыл бұрын
Aminaaaaa 🙏🙏🙏🙏
@judithcherono25954 жыл бұрын
ii Clip nimerudia almost 3times ili nipate Kwelewa ,nimekupata Poa pastor God bless you long live upate kuokoa mioyo ilifunjika nikiwemo Ndani❤❤
Yaani mtumishi ubarikiwe sana unafundisha vizuri Sana hadi unachoma ngome za wafugaji majini,, waganga na wachawi,,, hadi wanagonga dislike apo juu 😂😂😂😂😂😂
@habaritv63644 жыл бұрын
eliab amayi Nilikuwa najiuliza anaeweka dislike ana maaana gani????
@atinaminzani13724 жыл бұрын
AFYA Tv Hata mimi nilikuwa najiuliza ila kipitia ujumbe wa Eliab nimeelewa, tufunge na kuwaombea
@sophiadenis27304 жыл бұрын
Mungu azid kukupa mafunuo tuzid kukua kiroho zaidi
@jacksonongera91692 жыл бұрын
AMEN
@davidginono6254 жыл бұрын
Asante maana umenigusa mchungaji maana nilikua nimepotoka .
@shimwekagwiza37314 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kumtumia pr Mmbaga, mpe umri mrefu ili tuzidi kupona
@habaritv63644 жыл бұрын
Shimwe Kagwiza Amen
@Gratefulheart31884 жыл бұрын
Na tumepona wengi yani namshukuru Mungu maombi yangu yanajibiwa mpaka natetemekaa kwa kuogopa
@habaritv63644 жыл бұрын
mary nyaki Tuambie tafadhali zaidi
@Gratefulheart31884 жыл бұрын
@@habaritv6364 Nina ushuhuda mrefu sana wa mahubiri tv tokea nimeanza kuyasikiliza yamenibadilishaa mtazamo na miujiza mingi ndani yake
@shimwekagwiza37314 жыл бұрын
@@Gratefulheart3188 Amina Mungu ni mwema sana
@susannganganganga47293 жыл бұрын
Kwa kweli, pastor huwa unanibariki sana kwa mahubiri yako,Mungu aendelee kukutumia ili utufikishie habari njema ya Yesu
@jacquesmwangu15412 жыл бұрын
napenda hubiri hii
@user-gu2ji9ps1s4 жыл бұрын
Hakika umenifungua macho
@fatumachagudadui73694 жыл бұрын
Hakika Mungu naomba anisaidie maombi yangu ayaskie na kuyajibu siihitaji mambo ya 2019_ yaingie had 2020
@Michaelytheadmin2 жыл бұрын
Amen
@eddasamwely8203 жыл бұрын
Nimebarikiwa kutoka Dar es Salaam
@zachariamwihechi78844 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa maana video za siku hizi ni ckear hazi kwami kwami kama zamani, lakini pia napataje hicho kitabu cha maombi yaliyojibiwa
@habaritv63644 жыл бұрын
ZACHARIA MWIHECHI Piga +255 759 612 430
@maxmillianmturi13704 жыл бұрын
Lord bless your ministry
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Thanks so much bro
@janetkahada52064 жыл бұрын
Amen amen, nashukuru kwa mafunzo mazuri. Ubarikiwa. Sehemu ya pili?
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Inakuja
@lilianpaul32474 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@lilianpaul32474 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@adklose4 жыл бұрын
Habari! Niliishi Iringa miaka 2007-2009, nilipata malaria Malawi 2009 nafikiri ilisababishwa kansa ya bongo nilipata 2017. Sasa madaktari wanafikiri ilirudi tena - naomba mniombeeni! Mungu ni mwema!
@shimwekagwiza37314 жыл бұрын
Mungu akuponye maana ndiye tabibu mkuu
@adklose4 жыл бұрын
Asante, kaka.
@melissateddybearcossan95064 жыл бұрын
Mungu akuponye
@zephania35404 жыл бұрын
God bless You
@ibel4lf4 жыл бұрын
Mungu akupiganie
@nginamugwe80934 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭bona ukatukatisha maombi jameni
@janejoseph90094 жыл бұрын
kuna aina nyingi ya wahubiri mimi kwangu ww ni no 1 no 2 wakasege nafatilia sana mafundisho yenu sana
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Mungu atukuzwe
@florabenard85424 жыл бұрын
Amina mtumishi tunabarikiwa na mahuhiri yako, naomba msaada pia wa kukutana na wew ili unifanyie maombi binafsi naamin kupitia wew MUNGU atatenda,nna iman hata Sasa MUNGU anafanya Kaz kwa ajili yangu,maombi ya mtu mwenye iman yanamtoa mtu gzan so ntakuonaje?
@donaldmwahalende48414 жыл бұрын
Ebu Mimi nikushaur chukua email address inayopta kwenye screen au namba upge
@donaldmwahalende48414 жыл бұрын
Alafu uombe mwenyewe kwa imani
@maryammalimu91504 жыл бұрын
Amina
@sisterdivvana87702 жыл бұрын
Maombi ya kufunga yanasaidia sana jamani
@PrincessSally7773 жыл бұрын
Amen! It's always a blessing listening to your sermon. Kindly how can I get the three books, Mambo yaliyojibiwa,Jinsi ya kusikia sauti ya Mungu na kitabu juu ya maombi?.Niko Nairobi
@epicnamekingsmanmwnorge62002 жыл бұрын
Amen pasta Mungu akubariki pamoja nasi EBU naomba namba kwaajili ya mahusiyano ya maombi tafazali
@joharijohn70053 жыл бұрын
🤣🤣 mchungaji tafadhari naomba mawasiliano
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
+255 755 932 283
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
@thomasbishar78074 жыл бұрын
Kwaakika wewe nimwarimu Wangu nabarikiwa sana
@gracekisunge83582 жыл бұрын
Mchungaji naitaji kufunga ila nanyonyesha nawezaje ??
@anetivicent61764 жыл бұрын
Bwana akutie nguvu,,,,maana unatutia nguvu pia,,,naomba msaada kitabu hiki kipya namna ya kuisikia sauti ya Mungu,,,tafadhali,,,nakipataje??
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Piga +255759612430
@davidginono6253 жыл бұрын
Lakini .....mbona inasema kuomba sio kusali kwenye biblia ya kingereza..yani "proseuchē"in greek means prayer .maybe iam a bit confused sometimes it means the same thing or..?
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Sometimes the same thing
@rhodakemunto2104 жыл бұрын
Amen but naomba unikumbushe Yale mahubiri ya kuwa kijana apata pesa atoa kanisa but wazazi hawapi plz?
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/e4KkfqFmZpWbfNk
@rhodakemunto2104 жыл бұрын
But not that one can u gave yr nos nikutumie uione niko na nusu plz
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
+255 755 932 283
@melissateddybearcossan95064 жыл бұрын
Hii ni sabato kweli?
@habaritv63644 жыл бұрын
Cossan Wambura Kwanini?
@damianlugendo91614 жыл бұрын
Jina la Mungu litukuzwe
@felysytersonduso80644 жыл бұрын
Amina Mungu atukuzwe
@pastorsdcgom66344 жыл бұрын
Kuna maswali ambayo hayeeleweki, kwani nimesikia kiini cha Muchungaji huu anamasilahi ya kupiga marufuku waombaji, 1 Mwanzo amesema kama yeye Gahungu, pia Kwa kulala haombi,, Nimaajabu anayo yafanya anashituka mwenyewe. Ila habari y'a pili kuhusu Somo la historia hii yaki mutu Kifafa, Yesu anasema kitaondolewa, kwanjia y'a mafungo, sasa hili, swali Muchungaj huo kwanini haliwezi kumupa, final ? Asante jibu.
@pastorsdcgom66344 жыл бұрын
Kwani yeye Hafungi na halali tongo macho akiomba, sasa kwanini akubari tena kufunga ?
@damianlugendo91614 жыл бұрын
@@pastorsdcgom6634 kwan hayupo sawa au
@annasteven3763 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi upo vizuri kwa mafundindo ya kiroho nafunguliwa
@henryoppi25064 жыл бұрын
Nahitaji hicho kitabu cha mambo yaliyojibiwa
@habaritv63644 жыл бұрын
Henry Oppi uko wapi?
@johnsonfrodianus62374 жыл бұрын
Nahitaji kitabu nipo Shinyanga
@saimonmgeta52394 жыл бұрын
Na mimi naomba niko Dar es salaam 0763727909
@saimonmgeta52394 жыл бұрын
Nahitaji hicho kitabu
@habaritv63644 жыл бұрын
Piga +255 759 612 430
@davidmgabo37834 жыл бұрын
Baba shikamoo nimetafuta namba yako kwa muda sasa naomba unitumie kwa namba hii0759437236 nashida baba nipo sirari /tarime nahitaji msaanda wa kiroho
@habaritv63644 жыл бұрын
david mgabo +255 755 932 283
@violetjoseph86494 жыл бұрын
Aiseee nimeota Pr ukiniambia nifunge na kuomba nashangaa kuona somo hilihil hapa nmejfunza kitu nafikiri Mungu anasema nam kwa njia ya ajabu na ya pekee🙏barikiwa Pr