Familia moja Likoni yatafuta haki baada ya mwanao kufariki nchini Saudia

  Рет қаралды 10,147

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Жыл бұрын

Familia moja kutoka eneo bunge la Likoni kaunti ya mombasa inaiomba serikali kuingilia kati ili kupata haki ya mwana wao aliyefariki nchini Saudi Arabia. Mwanakombo Bahmad anadaiwa kufariki Februari ila familia inadai kufahamishwa mwezi Agosti kuhusu mauti hayo wanayodai yamechangiwa na madhila aliyokuwa akipitia kutoka kwa mwajiri wake.

Пікірлер: 57
@reginawambui7158
@reginawambui7158 Жыл бұрын
Very painful 😭we hope Ruto government will help and rescue our Kenyans who are detained there in Saudi Arabia
@andallaathman3856
@andallaathman3856 Жыл бұрын
Mnasema hivyo na wao hivi Leo Tele wanaenda wengi Sana wanaenda bado hawasikii
@reginawambui7158
@reginawambui7158 Жыл бұрын
@@andallaathman3856 akuna la kusema mungu tu awaonekanie
@dottynight
@dottynight Жыл бұрын
How? please explain how? Policy matters need technocrats. Anyway if it happens, we will be happy. It's gonna be a long wait though ......
@mrconfidencecypherofficial
@mrconfidencecypherofficial Жыл бұрын
Kweli kabisa sister alivo sema maagent wa Kenya siwatu wazuri aki
@lucyanyango1573
@lucyanyango1573 Жыл бұрын
Mi sitawai mwambie mtu yeyote aje Saudi Arabia, hope soon I'll be back home, eeh Mungu tulinde , r i.p mwanakombo
@philisterongaya8653
@philisterongaya8653 Жыл бұрын
Hi, Lucy Uko ukuu, let him rest in peace.
@lucyanyango1573
@lucyanyango1573 Жыл бұрын
@@philisterongaya8653 yeah Niko Kila corner
@jeffchurum1431
@jeffchurum1431 Жыл бұрын
Kwani hii inchi Saudi arabia wanafikiria wao ndiyo nani kwa hii dunia, no regards to humanity at all killing our girls venye wanataka. Kenya government mnatufail sana. UN and AU should intervine and protect rights and security for young people looking for jobs in Arabs countries
@doricas2049
@doricas2049 Жыл бұрын
Tuko na mwinge Joan alipewa sumu na waiguru wake rafiki yangu saai ako na 3week lakini haram pia mwanakombo amekaa sana uku woiye
@lucyanyango1573
@lucyanyango1573 Жыл бұрын
La kushangaza waarabu wanaogopa kuuwa panya lakini binadamu awaogopi kuwauwa😭😭
@rugendorunene545
@rugendorunene545 Жыл бұрын
Jeff shida Serikali haiwezi kuzuia wakenya kwenda ugaibuni kutenda kazi... Remember, every Kenyan has a right to a Passport and a right to travel where they Wish!
@bebbybebby655
@bebbybebby655 Жыл бұрын
Hawawezi funga maana wengi wao ndio wenye hizo agencies na hizo training institutions.
@pp1153
@pp1153 Жыл бұрын
Pole somu mungu akueke mahal pema pepon
@dianakalthum4557
@dianakalthum4557 Жыл бұрын
Government yetu iban officially watu Kuja huku kazi waseme " go at your own risk" and publish everywhere so that mtu aende akijua hako protected akifa au apate tabu akumbane kivyake
@steveirungu3132
@steveirungu3132 Жыл бұрын
My favourite country to visit ie India and lastly New Zealand and mostly to go to Norway but Middle East to me it's a hell NO period so help me God in Jesus Christ name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine
@maryamali-gu3ex
@maryamali-gu3ex Жыл бұрын
the embassy should do something about protecting the human rights huko.Wamekaa tu huko doing God knows What!!😣😣😣
@emillyolunga4103
@emillyolunga4103 Жыл бұрын
Embassy of Kenya Saudi Arabia!!!! Anaitwa Juma 😩
@larinlarin4856
@larinlarin4856 Жыл бұрын
God protect us
@linntallam1411
@linntallam1411 Жыл бұрын
Amen Amen dear
@saidmohamed7178
@saidmohamed7178 Жыл бұрын
Wengi sana wanakuja kiasi ya wiki mnbil wanakimbia then wanadanganya makwao
@mwanamwinyikutunga7884
@mwanamwinyikutunga7884 Жыл бұрын
Inailah wainailah rajiunah
@fhhfd8449
@fhhfd8449 Жыл бұрын
Woiye poleni,
@steveirungu3132
@steveirungu3132 Жыл бұрын
Kenya to me it's a hell NO period so help me God in Jesus Christ name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine
@adelaidekhavugwi609
@adelaidekhavugwi609 Жыл бұрын
Acheni kwenda Saudia
@rosekadzokadzo1401
@rosekadzokadzo1401 Жыл бұрын
Poleni familia
@mercyk6665
@mercyk6665 Жыл бұрын
MUNGU wangu saidia family ya mwanakombo ,watie nguvu alna uwape faraja kwa yaliyowafka RIP mwanakombo,the government should ban ladies especially domestic workers to go saudi Arabia ,mm pia nko huku MUNGU tu ndo tegemeo letu,mtu waumwa haupelekwu hospital,na unafanya kazi yan huku mateso ya kila aina MUNGU wanusuru wenzangu wanaopitia hali ngumu huku saudia
@mrconfidencecypherofficial
@mrconfidencecypherofficial Жыл бұрын
Na inafaa wachukuliwe Sheria ndio wataacha huu upuzi
@mwanamisimtsumi2588
@mwanamisimtsumi2588 Жыл бұрын
Waaah so sad
@lucymwai7645
@lucymwai7645 Жыл бұрын
Mimi sisemi kitu coz sio haja ya kuenda Saudi Arabia, Abadthali shinda kuliko uletewe Maiti. They b4 hakukua na vitu kama hizi na bado tuko hatukukufa na shinda.
@karrennadolo1778
@karrennadolo1778 Жыл бұрын
Agents wate wauliwe juu ukimpingia anasema akuji nakukublock nikiulizwa naweza sema hao ndio wanachangia watu kufia huku
@lenovomobil6033
@lenovomobil6033 Жыл бұрын
True ata hiyo pesa yote wanaitishanga hawa warabu Dio wanafanya ionekane ni slavery cz wanapewa pesa mingi sana
@Brimot
@Brimot Жыл бұрын
Why the government keep quiet in this issues
@alonsobrazzel3011
@alonsobrazzel3011 Жыл бұрын
🇰🇪👈❔❓👉🇸🇦Kwa nini ninyi Wakenya Musiende SOUD ARABIA EMBASSY ya KENYA - NAIROBI mkae hapo NOT inje mpaka SERIKALI ya SOUD ARABIA Izungumzie iwaambie ni nini kinachoendelea huko SAUD ARABIA??? Eh?:Kwanini???👈❎
@doricecyprian7246
@doricecyprian7246 Жыл бұрын
Serikali isimamishe 🙄
@billmajale9395
@billmajale9395 Жыл бұрын
Sad
@khamissalim8708
@khamissalim8708 Жыл бұрын
Inn ilay waina ilay rajiun
@janeikua8440
@janeikua8440 Жыл бұрын
Why did those people called ambassadors paid ???? second why do you count yourself as human beings of which you know that you don't work.. don't reap where you didn't
@irinemudasia8387
@irinemudasia8387 Жыл бұрын
Must stop, really painfully
@safinaamutabi2843
@safinaamutabi2843 Жыл бұрын
Waaaa now days girls are just dying like that very many wako kwa prison n wengine wako tuu kwa hostels
@hidayasaidi7872
@hidayasaidi7872 Жыл бұрын
😭Polen
@isaacirungumwangi6794
@isaacirungumwangi6794 Жыл бұрын
Hii nchi na walabu wenyewe wauliwe///kwa huyu mwalabu ni nini
@munirashughuli618
@munirashughuli618 Жыл бұрын
Innalillah wainna ilirajiuon
@kevinmahare2522
@kevinmahare2522 Жыл бұрын
Why are people complaining na biashara zipo
@totodavis1949
@totodavis1949 Жыл бұрын
Waarabu history yao ni kutumia wa Africa hao wafaidike wanakuja Africa business
@strongmummy580
@strongmummy580 Жыл бұрын
I thought they love their religion, kumbe we are 🙄
@abdiwahabibrahim1561
@abdiwahabibrahim1561 Жыл бұрын
Jana nimeona ndege inajaa wasichana wanapenda huko
@phreemanb
@phreemanb Жыл бұрын
daah!!! hawakomi tu yaani,balaa kweli
@mwazikitoko3937
@mwazikitoko3937 Жыл бұрын
Walikua wamejaa kwa ndege wakicheka wanapiga simu tuko kwa ndege, baadae wakifika ni kilio wanatupasha.
@phreemanb
@phreemanb Жыл бұрын
🤣 kwenda furaha kurudi kilio,Mungu awaa saidie sanaa dada zetu..
@faith.m2
@faith.m2 Жыл бұрын
We have free will. Why are you still allowing your children to go to this countries? Will the government tell you not to do what is obvious?
@oguta_254
@oguta_254 Жыл бұрын
It's so useless when the president ll be sending ambassadors to foreign countries expecially in gulf countries to represent the interest of Kenyans only to realise ambassadors go there for lavish lifestyle and prostitution. If the government failed to give these young men and women jobs to sustain their lives and families why ist hard again for the country's embassy to fail it's duties at a point where our cstas are loosing their lives lazily.
@hajarfeisal5906
@hajarfeisal5906 Жыл бұрын
Pia yeye mumu uwe ajenti huyo
@danielkaruga7770
@danielkaruga7770 Жыл бұрын
Kenyans please stop going Saudia
@saidmohamed7178
@saidmohamed7178 Жыл бұрын
Wasichana wanakimbia Kwa matajiri alafu wanauwana wao Kwa wao haswa sana wanakuwa na wapenzi wa ki Nigeria then wanaendeana kinyume so wanigeria wanauwa then wanwatupa Kwa mapipa yataka so sio matajiri ndio wanauwa tuu
Mwanaume ashambuliwa na wahalifu Mtopanga, Mombasa
10:06
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 51 М.
Mwanamke apatikana amefariki nje ya nyumba yake Bamburi, Mombasa
4:27
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 69 М.
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 15 МЛН
SOKO LA MARIKITI NI KIVUTIO CHA WATALII MOMBASA
3:05
VOA Swahili
Рет қаралды 1,6 М.
Mkasa wa Ferry Mombasa
15:06
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1 МЛН
Usalama umeendelea kuyumbishwa na vijana mjini Mombasa
10:39
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 24 М.
Mwanafunzi mmoja wa chuo cha TUM Mombasa ameripotiwa kupotea
6:41
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 44 М.
Je, polisi walionaswa wakiwaua waandamanaji watahukumiwa?
2:56
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 13 М.
Joy of Quintuplets: Embakasi mother gives birth to five children
3:31
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 2,6 М.
Wafanyabiashara wa miraa katika soko la Kongowea wateta
3:12
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 5 М.
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН