FBI wathibitisha tukio la kupigwa risasi TRUMP ni Jaribio la Mauaji

  Рет қаралды 22,729

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 107
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 Ай бұрын
Sio muislamu ndio mana hajawa gaidi😂😂😂!
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 Ай бұрын
Walai 😂😂😂😂
@IsmailJafary-ir8cv
@IsmailJafary-ir8cv Ай бұрын
Unaona ee yaan angekua muislam bas sasa ona wanavojikanyaga 😂😂
@muddyzanga7476
@muddyzanga7476 Ай бұрын
kweli kabisa mzee
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Ай бұрын
Eeewaaah 😂
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n 29 күн бұрын
@@hemedjackson2261 kumbe wenye mnajijua
@user-ty9yg8fg9g
@user-ty9yg8fg9g Ай бұрын
Neno ugaidi limehalalishwa na marekani na magharibi kwa waisilamu ili kuwaangamiza na kuwapandikizia chuki duniani Hapo angekuwa huyo kijana ni muisilamu ungeona wangejitokeza wamagharibi wote kulaani lakini kwakuwa ni waupande fulani imeisha hiyo
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Ай бұрын
Kweli tupu
@valentinesyekeye6846
@valentinesyekeye6846 Ай бұрын
Bora wewe unalijua hilo. Kwanza AU tunaitaka ikachunguze hilo tukio. Hii sio democracy tunayoambiwa kila siku
@NdovuDentalClinic_
@NdovuDentalClinic_ Ай бұрын
Wanajua Trump akiingia vita imeisha sasa wanataka kuanza njama chafu😢
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x Ай бұрын
Yah wanachotaka dunia imwagedam
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 Ай бұрын
Kwani vita isipoisha inawasaida nini akina Biden.
@princematumbo
@princematumbo Ай бұрын
​@@humphreymwihambi4330wewe Wa wapi?! Biden ni chama cha ibilis wanataka damu nyingi sana iwezekanvyo
@Ryannkae
@Ryannkae Ай бұрын
@@user-hj4bc5uh2xndio kwani ujuwi aliwayi sema duniani akutakuwa vita tena na kila mtu atarundi ku nchi yake. Maana vita vimekusha na hapo kula mtu anarundi kwao
@user-tj9pm2cd5x
@user-tj9pm2cd5x Ай бұрын
​@@princematumbo Mbaguzi wa rangi
@Khaly-v7c
@Khaly-v7c Ай бұрын
Ukiwa kafiri hata ufanye ubaya gani bado hujawa gaidi Dunia hiii.
@emmanuelmanga25
@emmanuelmanga25 Ай бұрын
Bwana mdogo ashajulikana tayari, ana miaka 20 anaitwa Thomas Matthew Crook
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x Ай бұрын
Duh kumbesio mwarabu maana ndiotumekalilishwa africa
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f Ай бұрын
sio gaidi uyo ameokoka
@BarakababaRama
@BarakababaRama Ай бұрын
Apo sasa sijui watasemaje maana hakua mwarabu wala muislamu
@amournassorsaid7694
@amournassorsaid7694 Ай бұрын
Kisa sio muislam hamlipi jina la ugaidi
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Gaid ni mwislam tu kwa tafsiri za Nchi nyingi
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f Ай бұрын
hapana uyo sio gaidi ameokoka
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj Ай бұрын
​@@ndukulusudikucho_nyie ndio magaidi wakubwa Shakahola na Mayahudi
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 Ай бұрын
@@user-sn4iq6cu1f kaokoa kvp anaenda kufirwa
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x Ай бұрын
Utaskia anaasili yakiarabu aumuslim
@jakayajuma9867
@jakayajuma9867 Ай бұрын
Ni kawaida sana kwa marekan kama serekar aimtaki uyo kiongoz
@BarakababaRama
@BarakababaRama Ай бұрын
Sijui watasemaje maana hakua mwarabu wala muislamu
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Ай бұрын
Ndio tunasubiri turned kwasababu kila siku wakisingisia waislam
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Ай бұрын
Yani huyu mtoaji taalifa ukimuangalia tu kwaumakini utagundua kua naelewa mchezo unaendelea nyuma ya panzia
@user-hy7op6tr8p
@user-hy7op6tr8p Ай бұрын
Angekuwa muislam vyombo vyote vya habar ingekuwa hapatoshi
@amournassorsaid7694
@amournassorsaid7694 Ай бұрын
Yupo wapi yule Douglas Murray anaesema waislam tu ndio wauwaji
@ludanchuwa5054
@ludanchuwa5054 Ай бұрын
Hatuta wachukia kwarangi zao ila kwatabiya zao
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 Ай бұрын
Wanajua akiingia madalakani Tazuia mambo mengi
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa Ай бұрын
Eti marekani kuna usalama watu waache kusifia ujinga huyu ni gaidi hata km ni kafiri mwenzao.
@godsonraphael6669
@godsonraphael6669 Ай бұрын
Mnasema Biden ndiye muuaji inawezekana maana mtu mtu mwenyewe mikono yake yenyewe inatetemeka ndio maana kamkosa
@AdamKondo-b7e
@AdamKondo-b7e 29 күн бұрын
Nini hicho
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Ай бұрын
Mpaka wao duh atr sana
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Ай бұрын
Marakani kununuwa bunduki ni bei ya nyanya.watakuja kusema mshambuliaji n gaidi wakislam 😂
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Ай бұрын
Sasa hapo kinacho kushangaza ni kipi kigeni, mmemtrendisha Lisu as if yeye ndio mwamasiasa pekee duniani kushambuliwa na risasi hasa mareakni walikemea sana wanafiki hao, na weae usiejua eti dah mpaka wao, sasa ngoja nikujuze ni hivi hakuna raisi aliewahi kupendwa kama marekani kama Abraham Lincolin wa marekani lakini aliuwawa kwasababu wa kupenda kuwatetea sana watu wa hali ya chini huyu alikuwa raisi wa 16 na aliuwawa april 1865, na raisi wa pili alikuwa ni wiliam mchild nae aliuwawa mwaka 6/9/1901, na raisi wa tatu alikuwa ni James Abraham nae aliuwawa 2/7/1881, na raisi wa nne kuuwawa ni John Kenedy tar 12/11/1963 huyu ni sababu tu alipinga upepari ndani ya marekani na raisi mwengine hakufa ila nae alijaribiwa kama Trump ni Ronald Regan akifuatiwa na Donald Tramp sasa hivi, ila hawa puuzi wanajisahaulisha na kuona kama Afrka ni washenzi kwa kuuwana wenyewe kwa wenyewe vitu ambavyo wao ndio husababisha kwa sababu zao, sasa kama kwao wamehalalisha kuwauwa viongozi wao wakiwa madarkani ndio demkrasia basi sawa.😒
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si Ай бұрын
Jamaa ana shabaha alitaka kusambaza ubongo
@FahmiNassor
@FahmiNassor Ай бұрын
Bado watauwana sana wenyewe kwa wenyewe
@EliyaMloy-lf7vp
@EliyaMloy-lf7vp 29 күн бұрын
kwan huku africa hamuuani sana kila siku watu wanachukuliwa misukule na akina maimuna sio kuua huko
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 Ай бұрын
MWAMBA AKIINGIA VITA YA UKRAIN,ISRAEL. HAITAKUWEPO.TENA.
@mootelahamongus633
@mootelahamongus633 Ай бұрын
Ndiyo tunaambiwaga nchi ya demokrasia hiyo.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
2lia ww
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 Ай бұрын
Wahuni wanataka kumuua trump wao wenyewe
@gosbertireneus5558
@gosbertireneus5558 Ай бұрын
hawa huwa wanapiga risasi marais wao,sembuse mgombea urais...J kennedy,Lincoln ni mifano hai
@AllanJelad
@AllanJelad Ай бұрын
Hiii hatari sanaa USA and UK ni adimu sana kuona matukio kama haya alafu wao hua inawauma wakiona hizi mambo
@emmanuelmanga25
@emmanuelmanga25 Ай бұрын
Fuatilia USA kisha utueleze ni marais wangapi waliouawa kwa risasi
@nassoromfumya7319
@nassoromfumya7319 Ай бұрын
Acha kudanganya, unadanganywa na vyombo vya habari vya magharibi, kwao ni nyingi sema haziripotiwi
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Ай бұрын
Unasema ni adimu? Ni nchi ipi inayoongoza kwa mauaji ya risasi duniani kama sio Marekani?
@SaidiMkome-qq7hy
@SaidiMkome-qq7hy Ай бұрын
Wee Bado mdogo itakuwa marekani paka rais ambae yupo madarakani ashakufa Kwa risasi ndugu
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Ай бұрын
Naishi Pittsburgh, Pa
@SalehSonda-bz3hl
@SalehSonda-bz3hl Ай бұрын
Someni siasa y'a amerka utagundua ni jambo la kawaida
@user-hm9ir7yz4z
@user-hm9ir7yz4z Ай бұрын
Jamaa alirenga kichwani dah!😮
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw Ай бұрын
Hii ingeniuma saana aiisee ... Natamani mwamba aingie mamlakani
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 Ай бұрын
Sio pw mwanangu
@SaidiMkome-qq7hy
@SaidiMkome-qq7hy Ай бұрын
Ndiyo watyu ambao tunaona wameendelea ao maisha Aya Dunia ipo ovyo sana
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw Ай бұрын
Watu huuwawa kila siku ata kama nchi inauhuru kiasi gani kumbuka anerika kumiliki bunduki jambo la kawaida saana
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 Ай бұрын
SNS mpo vizuri sana mlishatabiri hili..
@user-ps5co3pc3f
@user-ps5co3pc3f Ай бұрын
Jamaa alilenga kichwa dadeex,,Trump nenda katubu aisee ulikua unakufa apo🙆
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 Ай бұрын
Umeona balaa
@user-ps5co3pc3f
@user-ps5co3pc3f Ай бұрын
@@AFRICA_D669 sio poa yaan risas imepita sentimeta chache kutoka kichwan yaan ilikuwa inaharibu ubongo wake na kufa.Yaani amshukuru mungu Kwa hilo
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 Ай бұрын
@@user-ps5co3pc3f yaani nakumbuka kifo cha john F Kennedy ingekua kama huyo sasa
@kiatu
@kiatu 29 күн бұрын
Dogo kajifunzia pabaya 😂
@johnmike6059
@johnmike6059 Ай бұрын
Manafiki wakubwa awa fbi ndo wahusika wakubwa
@zawadimpayo3839
@zawadimpayo3839 Ай бұрын
Trump wanajua ameshapita urasi kwahiyo wapinzani wanakiwewe
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb Ай бұрын
Rafiki WA putin sana uyo ana macasinos mengi urusi
@bushbabytz
@bushbabytz Ай бұрын
ASANTE MUNGU KWA KUMUOKOA RAIS TRUMP, UMEIOKOA AMERIKA NA UMEIOKOA DUNIA NZIMA...
@kiatu
@kiatu 29 күн бұрын
Hii ulichelewa ku post alipokuwa rais au? 😂😂
@bushbabytz
@bushbabytz 29 күн бұрын
@@kiatu TRUMP ANAKUWA TENA RAIS WANGU TAKA USITAKE
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 Ай бұрын
Acha watwangane waokwawao mana sisi waafraca washatuchakaza sanaa hawa jamaa shenz kabisa
@user-xy6ed7ve6r
@user-xy6ed7ve6r Ай бұрын
Tabia za Dunia, hili jambo lingetokea kwenye Nchi za Afrika, tungeziba masikio. Wanaosema Demokrasia wao wenyewe hawaifuati
@babuumaeda7671
@babuumaeda7671 Ай бұрын
Makafir wao kwa wao ni marafik hakuna GAID apo ila yupo muuwaji 😢😢😢😢😢 END WORLD loading,,,,,,,
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Ай бұрын
Mkituiita sisi makafiri na Biblia inawaita wampingao Kristo no makafiri so Ngoma Droo. Kafiri Kwa kafiri😂
@babuumaeda7671
@babuumaeda7671 Ай бұрын
@@sarahgaula2220 Kafir sio tusi sarah ila ni mpingaj tu kwa unaloliamini wewe na dini yako
@godsonraphael6669
@godsonraphael6669 Ай бұрын
Mifumo haimtaki inamtema
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Ай бұрын
Watu WA Biden wasituziguwe tuta owana trump akikufa kweli
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 Ай бұрын
Trump mungu akulinde tupo pamoja nawe
@Marjeby
@Marjeby Ай бұрын
Nakuona ulivyo pamoja na Tramp😂😂😂😂😂 Africa mmelaniwa na nani sijui asisas
@Broxnick
@Broxnick Ай бұрын
😂😂😂😂 mwenetu anamuombey trump Amani 😂
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 Ай бұрын
@@Marjeby sijui kwann ila mwamba namkubali sana Obama bush na Biden ndo sjawai kuwaelewa ila Trump namkubali kinyama
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 Ай бұрын
@@Broxnick namwelewa sana yule mwamba
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f Ай бұрын
​@@fasterwalker1464unamuelewa sana yule mwamba nadhan atakua anakukunja ndio ivyo et
@issazalala4907
@issazalala4907 Ай бұрын
Hiyo ndio siasa Ina mapcha pcha nyuma ya panzia
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Ай бұрын
Kwa hiyoo huo sio ugaidi😅? Ila hawa majamaaa wanajua bropaganda
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Hameponaje uyo mpnga kristo minikajua hamekufa kengeuyo
@katemachanda7035
@katemachanda7035 29 күн бұрын
Kwa taarifa Yako waliokuwepo madarakani Serikali ya Marekani ya Sasa ndio wapinga Kristo.
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 Ай бұрын
Tatz wamgwaya Trump kwa sababu ya Ukraine
@yussufkhasim9021
@yussufkhasim9021 Ай бұрын
Hawa watu wao ndiyo wamemtu ila kwavile hajakamilisha kazi wamemuua. So, know no evidence
@FlorenceGervas
@FlorenceGervas Ай бұрын
Trump pumzikatu
@sashawambura
@sashawambura Ай бұрын
Not staged!!!??
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Uyo mpnga haki za binadamu hafetu malafik wake ma dikteta wakna putini wafewote
@nizarrama225
@nizarrama225 Ай бұрын
umekula kande uende ukanye sasa
@dralexmakalla3871
@dralexmakalla3871 Ай бұрын
Kama huji world's politics kaa kimya. Trump ndiye mwamba anayepinga ushetani wa wazungu na katika utawala wake hajapigana vita na dunia ilikua na amani
@allykassim1120
@allykassim1120 Ай бұрын
utakuwa ni shoga
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 8 МЛН
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 28 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 15 МЛН
Zelensky adai majeshi yake yanashikilia maeneo 74 ndani ya Kursk, Urusi
2:54
SIRI YA MANABII KUMILIKI UTAJIRI IMEFICHUKA
8:19
Wasafi Media
Рет қаралды 17 М.
UDADAVUZI mtitiriko wa TRUMP kupigwa risasi! Kulikuwa na SNIPER wa pili
35:47
Mehdi Hasan at the Muslim Leadership Dinner
12:23
Muslim Council of Britain
Рет қаралды 95 М.
ИНТЕРЕСНАЯ ПОКРАСКА АВТО
0:17
Films
Рет қаралды 4,7 МЛН
Мустанг мощь?🤔 #shortsvideo #shortvideo #shorts #short #automobile #offroad
0:55
NickMas - Переводы и озвучка!
Рет қаралды 980 М.