MASANJA JINSI YAKUWA MASIKINI/KUNYWA MBAKA UJINYEE/HONGA/FANYA CRABU!!

  Рет қаралды 41,393

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

Күн бұрын

MASANJA JINSI YAKUWA MASIKINI/KUNYWA MBAKA UJINYEE/HONGA/FANYA CRABU!!

Пікірлер: 135
@pesamaofficial9242
@pesamaofficial9242 5 жыл бұрын
Dah Asiemuelewa Ana akili kabisaa tena Mi Kabla tu ajamaliza Mi nishamuelewa, anamaanisha nini Mungu akubaliki Kaka Masanja Tena sana,Akubaliki kwa hili Somo,kama na ww umemuelewa nipe Like,yako
@officialrich_b279
@officialrich_b279 5 жыл бұрын
Kama umemuelewa masanja tujuane kwa like......!
@alphoncebenezeth1035
@alphoncebenezeth1035 4 жыл бұрын
Safi Sana I LIKE MY LIFE
@albertymdemu2679
@albertymdemu2679 4 жыл бұрын
Nimemuelewa sana tu
@happykahuluda2078
@happykahuluda2078 5 жыл бұрын
Hahahah watakaoshindwa kwenda kinyume cha dondoo hizi , wamekwisha😂😂😂😂😂
@peterbayo4677
@peterbayo4677 4 жыл бұрын
Kipaji cha hali ya juu. Hongera sana Emanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji...
@samwaryoba9953
@samwaryoba9953 4 жыл бұрын
My best comedian all the time
@husinmatoto2290
@husinmatoto2290 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana Mtumish
@lucasnyahi3281
@lucasnyahi3281 4 жыл бұрын
Asante Yesu,Akubariki sitafata kanuni hii nataka kuzidi kuwa tajiri.naamini utajiri wa kwanza kwangu ni kumpokea Bwana Yesu.Ubarikiwe machanja.
@pastorvincent9851
@pastorvincent9851 5 жыл бұрын
Wewe ni mbunifu kupita kawaida. Ubarikiwe sana. Nakupenda nadhani napitiliza.
@ousmanjuma3396
@ousmanjuma3396 4 жыл бұрын
Hizi zina inspire sana ungekifanya kama kipindi
@jamesyonas6306
@jamesyonas6306 4 жыл бұрын
Vice versa is true
@diiksondiki6084
@diiksondiki6084 4 жыл бұрын
😀😀😀😀 mungu anakuona masanja ila mm nimekuelewa sana 🙏💪
@evaristmrope
@evaristmrope 5 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaa daaah nimechekaa saana
@anthonyjoseph4979
@anthonyjoseph4979 5 жыл бұрын
Nakuelewa Sana Bro Keep It
@winfridmsindo984
@winfridmsindo984 4 жыл бұрын
Ulimdesi sana masanja
@abdoulsalamally6652
@abdoulsalamally6652 4 жыл бұрын
Bright people got a lesson from this video, keep up the good work
@issadini7824
@issadini7824 3 жыл бұрын
Safi kabisa umasikin kwa gharama.
@user-hf7be2wi6c
@user-hf7be2wi6c 5 жыл бұрын
Aiseee 😂😂😂😂👌💪 yaani mimi umenifuza kitu apo mwakani nishajenga mjengo frani amazing sana 🏘👌💪😂😂😂😂👌 ila haka ni kaujinga ka kujenga
@mwambinguphilip55
@mwambinguphilip55 4 жыл бұрын
Ushauri mzuri sana
@lindajohn2156
@lindajohn2156 5 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@morisindabila1846
@morisindabila1846 4 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Nakuelewa Sana
@anifaally1179
@anifaally1179 4 жыл бұрын
Mm. Nimekwelewa masanja somo zuri sana
@benedictkiteji5089
@benedictkiteji5089 4 жыл бұрын
Umetisha sana
@msafirimbeya3329
@msafirimbeya3329 4 жыл бұрын
kaka hongera sana kwa kuelimisha jamii nimekuelewa sanaaaaaaa
@isayandege145
@isayandege145 4 жыл бұрын
Hilo somo limeshiba sana,
@alexkyando7155
@alexkyando7155 5 жыл бұрын
Vice Verser is absolutely true
@enockchaulema7726
@enockchaulema7726 3 жыл бұрын
daah nimecheka sana
@alfamtewa4245
@alfamtewa4245 5 жыл бұрын
Umetishaaaaaaa
@immanuelikuwa9897
@immanuelikuwa9897 4 жыл бұрын
mafundisho ya mchungaji mgaya aka Masanja nomaaa!
@yasinikateula6605
@yasinikateula6605 4 жыл бұрын
You have inspired me
@mauwakiza2120
@mauwakiza2120 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@kingyehoshafatitvbornerys2496
@kingyehoshafatitvbornerys2496 4 жыл бұрын
Nimekusoma ....Mimi huwa nafanya Hivyo lakin nashangaa Kila nikizitumia hizo pesa kesho yake napata nyingine...
@umawatv6426
@umawatv6426 4 жыл бұрын
#Masanja Mkandamizaji# Hebu andika Kitabu kiitwacho: "JINSI YA KUWA MASKINI" ili kuhamasisha Maendeleo ya Mtu binafsi.
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana masanja
@majaliwagibson7295
@majaliwagibson7295 4 жыл бұрын
Duuuuuuuhh Nimekupata
@alfredngongi7509
@alfredngongi7509 5 жыл бұрын
nimekuelwa Masanja unacho maanisha, 😁😁ubarikiwe
@harithwhite589
@harithwhite589 4 жыл бұрын
Hapa ndo pana ule usemi usemao "asiyejua maana haambiwi maana"
@griphamakore6325
@griphamakore6325 5 жыл бұрын
Daaaah masanja umenifurahisha
@ivockmdenye4067
@ivockmdenye4067 5 жыл бұрын
Nakubaliiiiiiiii somoo kaliiii
@paschalzacharia6708
@paschalzacharia6708 5 жыл бұрын
Nimekuelewa
@emanuelmuna2296
@emanuelmuna2296 5 жыл бұрын
hahaa masnja bhana!! hili somo matata sana!!!
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 4 жыл бұрын
Kaka umenikumbusha mbaali saana.Mwaka 2007Nilikutana na mzee Mooja alikua anaombaomba msaada.Alipita baa nilipokua Napata mchemsho.Mzee alipokua anaingia watu wakawa wanamnyooshea vidole wakisema huyu mzee alikuaga Tajiri saana.Nikajiongeza nikamfuata nikampa 2000/=Nikamuuliza Mzee imekuaje ulikua tajiri na sasa ni ombaomba.Daaa Alianza kwa kwa kuniambia Mwanangu ukitaka kua lofa masikini kama Mimi Nitafute maana ni stori ndeefu.tukakutana kesho yake hapo hapo .Bar Mambo alionieleza daaa ni kama hayo ulionena masanja.Japo Yeye alizidisha zaidi. Coz Hata mke alifukuza na watoto aliwakataaa.Kukesha kwenye baaa na Kuwatuza wasanii ilikua ndo zake.Kuwanunulia viwanja madem ndo ilikua mtego wa kupatia mademu.Hakika dk za mwisho alianza na kulia coz hafahamu hata huyo mkewe alienda waaapi?
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 4 жыл бұрын
Somo zuri
@elibarikielikana1824
@elibarikielikana1824 4 жыл бұрын
Nimepkupata pastor.....
@briannyiti8234
@briannyiti8234 4 жыл бұрын
😂😂😂 utafikiri mazuri
@PRAYAGAIN
@PRAYAGAIN 5 жыл бұрын
Wow
@hildapatrick5945
@hildapatrick5945 5 жыл бұрын
Yan we masanja umewaza nn mpaka ukaamua kufundisha hlo somo,
@saidmabrouknassor4229
@saidmabrouknassor4229 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 nimekuelewa sana kakaaaaa
@emmanuelherman7186
@emmanuelherman7186 5 жыл бұрын
We jamaa una akili nyingi xn! Unazipata wap
@maticsleokas1785
@maticsleokas1785 5 жыл бұрын
Hahahhahahaha hii style yako ya komedi....
@imanikabuje3380
@imanikabuje3380 5 жыл бұрын
Bro daaa! Nimekuelewa somo la nidhamu ya pesa barikiwa na mungu by pot Emmanuel kabuje
@immasmartboytz2300
@immasmartboytz2300 5 жыл бұрын
😀😀👏👏😂😂nimekusoma
@farajagordon4847
@farajagordon4847 5 жыл бұрын
Nimekuelewa brother
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 9 ай бұрын
Serikali yetu inatufanya masikini kama ulifanya na serikali miaka zaidi ya 30. Retured unapewa 20,000/= kwa mwezi Kikwete akatuonea huruma akatuongeza mpaka 100,000/= awamu ya 5 hawakuwa na shida na sisi wazee. Awamu ya 6 ndiyo basi tena hana hata kutuona. Ni hiyo hiyo lakini wakati wao kwenye sitting allows ni zaidi ya laki tatu. Kwa hayo unayosema ni comedi tu mbona huwambii serikali wanavyo waliowafikisha hapo walipo. Ndiyo Makonda anasema kanyamazeni kwa sababu tumemaliza wakati mbona Inchi nyingine wazee retired ndiyo matajiri wanakula pensions zao kilaini sana
@kennedyjohn6788
@kennedyjohn6788 4 жыл бұрын
Napia ungemwambia asisahau kulaiki mwanawane
@elibarikielikana1824
@elibarikielikana1824 4 жыл бұрын
Mwenye akili kaelewa pakubwa sana apo so bible akili Hapa ndo Kichwa kisichokuwa na akili ni Mzigo kwa Miguu..
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 5 жыл бұрын
Kila lock imeachia kama umesikia hvyo like hapa
@mc_elishadai
@mc_elishadai 5 жыл бұрын
Chief executive officer of Poor 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@robertmkwila5561
@robertmkwila5561 4 жыл бұрын
CEOP 😀😀😀😀😀
@alfredjoakim1107
@alfredjoakim1107 3 жыл бұрын
Yani nimekuelewa sana masanja nn unaamanisha yani niatali
@gauedwin1960
@gauedwin1960 5 жыл бұрын
Niaje msee..wacha niende na kinyume ya hii mwanawane
@mankonlentv7776
@mankonlentv7776 5 жыл бұрын
mgaya nimejifuz kitu 😂😂😂 usipotumia akili utakua maskin wakutupwa kazkaz ndo msing gomg laik kam umemuelew mgaya
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 4 жыл бұрын
Semo hili lifanye kinyume ndio utafanikiwa sana
@anthonyjoseph4979
@anthonyjoseph4979 5 жыл бұрын
UTAKUA MASIKINI SUGU!!!!!!Hahahahahahahahaha.
@Petermalenya12
@Petermalenya12 5 жыл бұрын
Hiii sauti ya chwiiiiiiiiiiiiiiiiiii,! Hahahahah
@mwambinguphilip55
@mwambinguphilip55 4 жыл бұрын
Nangojea part ya wadada hahaha
@giftmkumbwa1331
@giftmkumbwa1331 5 жыл бұрын
hahahah ndio sifa ya msanii, ubunifu%
@athumanally8700
@athumanally8700 4 жыл бұрын
Nimee kuelewa wajina
@alexnowa9258
@alexnowa9258 5 жыл бұрын
Sawa bro
@hamisikareem648
@hamisikareem648 4 жыл бұрын
Hatar sana
@agustinommasi1119
@agustinommasi1119 4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃😃weeeeeeeeeee
@isejemedia6760
@isejemedia6760 4 жыл бұрын
We mkali nakuku bali kaka
@qemuelnade448
@qemuelnade448 4 жыл бұрын
ukitafsir kinyume nakufuata utakuw tajiri.
@sele2507
@sele2507 4 жыл бұрын
Toa details
@josephmichael7071
@josephmichael7071 5 жыл бұрын
Nimekueleea San mkuu kwa somo lko
@kenethmagoma8323
@kenethmagoma8323 5 жыл бұрын
Joseph Michael nimekuerewa mwalimu
@denicmsigwa5199
@denicmsigwa5199 4 жыл бұрын
We kweli matehenya duh
@stewardmbena3737
@stewardmbena3737 4 жыл бұрын
Mtumishi kwann baadhi ya vipindi vyako unavyo anza na kumaliza huwa hufanyi maombiii????/?
@ezekiellrenard9778
@ezekiellrenard9778 4 жыл бұрын
Sikiliza kinachofundishwa
@bonipahcemsigwa6375
@bonipahcemsigwa6375 4 жыл бұрын
Steward Mbena Maombi ya nini hapo? Kila kitu kina mahali pake.
@mussahassan8751
@mussahassan8751 5 жыл бұрын
hahaha mtumish me nataka unifundishe jinsi ya kuwa tajir
@simbasanajose6110
@simbasanajose6110 5 жыл бұрын
hahahahahaha uko sawa
@abediguitar2214
@abediguitar2214 4 жыл бұрын
Good exaggeration bro
@yusuphmlekwa4645
@yusuphmlekwa4645 5 жыл бұрын
Sasa ntapataje hiyo pesaa ili ntumbue hivyo?
@denicmsigwa5199
@denicmsigwa5199 4 жыл бұрын
Fundisha namna ya kupata hela kaka mambo gani hayo wewe mpangwa
@abelmusyani4583
@abelmusyani4583 4 жыл бұрын
Jiongeze ww
@bonipahcemsigwa6375
@bonipahcemsigwa6375 4 жыл бұрын
denic msigwa usiopoelewa somo hilo hata akikufundisha jinsi ya kuwa tajiri hutaambua kitu pia. Jiongeze mwenyewe ndg.
@denicmsigwa5199
@denicmsigwa5199 4 жыл бұрын
@@bonipahcemsigwa6375 Haya kaka mkubwa
@noelmunuo4660
@noelmunuo4660 5 жыл бұрын
Hahahaha how can dada become a poor,
@nikkimbishiunju2402
@nikkimbishiunju2402 4 жыл бұрын
Mzee ni How to BECOME not to BECAME....
@jebace
@jebace 4 жыл бұрын
usimsahihishe ameshakuwa maskini wa kiingereza how to become poor in english
@cmotheboss2587
@cmotheboss2587 4 жыл бұрын
Ww umefanya hvyo?
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Amka saa 5 anza kuangalia movies, kisha anza kibashinia siasa, nunua mi bundles, Kata utumbo . Wee. Si nunui tena mi bundles za ma mb.
@ev.mhugohantish288
@ev.mhugohantish288 4 жыл бұрын
Dah!!! hahahaha
@timotheopoiti378
@timotheopoiti378 4 жыл бұрын
ASante kwasomo zuli
@issarajabu1386
@issarajabu1386 4 жыл бұрын
%100
@rogersmasofa6549
@rogersmasofa6549 5 жыл бұрын
unazingua mchungaji
@muhambwetvonline
@muhambwetvonline 4 жыл бұрын
Wasio kunywa pombe na bado hatuna hela tujuane hapa
@davidulenje1264
@davidulenje1264 5 жыл бұрын
AISEE MM BADO CJAELEWA UMEFUNDISHA KIWANGO CHA UMASKINI WA DIGRII NAOMBA URUDIE NIFANYEJE KUPATA PHD YA UFUKARA
@victormushi6641
@victormushi6641 4 жыл бұрын
HOW TO BE
@leonardmdegela4258
@leonardmdegela4258 4 жыл бұрын
Ten nyingi mii naacha buku msapulo wa nyadundwee jelo helaa yikwila
@dogosafi178
@dogosafi178 5 жыл бұрын
How to be a pua person 💀😂😂
@ramadhanibrahim7619
@ramadhanibrahim7619 4 жыл бұрын
Kwa wenye akili watakuelewa umeongea point sn
@philomenasjohn9083
@philomenasjohn9083 4 жыл бұрын
Mb zangu hazijaenda bure
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Part 2 ipo wapi
@samsonezekiel970
@samsonezekiel970 5 жыл бұрын
Watu wanatoboa pua badala ya kutoboa kimaisha
@jacklinejimmy8965
@jacklinejimmy8965 4 жыл бұрын
Brother una akili nying maana tunatabia ya kwenda kinyumenyume
@pastorgodsonjohn8562
@pastorgodsonjohn8562 4 жыл бұрын
Unaua MTU bila kujijua kabisa mbavu zangu
@gooddeeds162
@gooddeeds162 4 жыл бұрын
Ni How to beCOME , Na Siyo how to beCAME .😊
@tazamaelimbise8467
@tazamaelimbise8467 4 жыл бұрын
Hahahahahahahahaahah
@samgeorge823
@samgeorge823 4 жыл бұрын
Ha ha ha ha
@djcoco_designer5739
@djcoco_designer5739 4 жыл бұрын
Uwe una zungumzia kufa nikiwa
@jacquelinosmond221
@jacquelinosmond221 4 жыл бұрын
Djcoco_ Designer haaaa,wee wa nchi gani?yaani unashindwa kugeuza,lol
HELA ZIKO HUKU RAFIKI ZANGU/MASANJA AWEKA WAZI HATUA ZOTE
27:16
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 254 М.
MASANJA ACHAMBUA KISOMI VITA YA MAREKANI NA IRAN!!
12:58
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 35 М.
Now it’s my turn ! 😂🥹 @danilisboom  #tiktok #elsarca
00:20
Elsa Arca
Рет қаралды 12 МЛН
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 44 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 6 МЛН
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 64 М.
HUU NDIO WOSIA WA MBARIKIWA KWA WATOTO WAKE.
14:15
Devotha Sanga
Рет қаралды 10 М.
MASANJA MKANDAMIZAJI ATAPELIWA NA WEZI WA MITANDAO.... Wampa ujumbe wa kwenda kanisani KWAKE
11:04
Uelewe ulimwengu wa Roho Ufanikiwe katika Maisha III
33:23
Reality of Christ Church
Рет қаралды 17 М.
Bruce Lee "Be water, my friend"
1:56
Ed Pat
Рет қаралды 229 М.
JAMAA APATA MKE KUFANYA KAZI KWA MASANJA/BATA LA KUPANDA MPUNGA
10:44
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 47 М.