Dawa ni moja tu wanaume kujitenga na wanawake kwa kila kitu..kwani ukikaa nyumbani na unaudumiwa ipasavyo kuna shida gani?. Bahati mbaya sana akuna mwanamke anaye jitambu akuna kabisa. Amjui nacho taka wala mnapo elekea akuna.
@uwezawamungumkuu.amaniafrikaАй бұрын
Acha stori za shetani wewe. Ndoa ya kudumu itoke wapi wakati wanawake mnatafuta maisha msiyo yajua na amjui nacho kitaka katika maisha yenu. Tafuteni kazi ya kufanya ninyi.