Mwaka huu Atakiona cha mtema kuni GSM Anapaga matokeo mwaka huu Atakiona cha mtema kuni
@YohanaJumanne-v3v2 ай бұрын
Simba❤❤❤ nguvu moja Uongozi wa Simba moto wauwasheee kwa Gsm uvurugwe hakuna mpira wa hivo sasa Modewji nae akizamini team 7 inakuwaje??? Hiyo si sawaaa Simba nendeni Fifa kulalamikaaa huyo Gsm mpira wetu anaurudisha nyuma si sawa
@bernardmboma14612 ай бұрын
Chawa wa GSM uzuri wa GSM sio baili ukimsifia mkwanja njenje kwahiyo ndugu piga domo
@MuuYascohy-oc7os2 ай бұрын
Nyie kweli kuma sana sasa apo Friji Bovu kampasua nn GSM ?? unaweka vichwa vya habar vya kisenge tu apo machoko nyie
@kazinaimwishehe-ec3xu2 ай бұрын
Vita ya urus na magharibi wengi kwa mmoja chawa tu uyo😂😂😂😂😂😂
@kolosii43512 ай бұрын
Mwambie Mo nae akaifufue Ndanda Fc. Watu wabaya wanataka vilabu vingine pia vife kama kina ndanda??
@rashidmaulid73122 ай бұрын
Sometimes unapohoji watu wanuse mdomo maana wengine wanabaki na kilevi
@omarymwenebatu2 ай бұрын
Nizaidi ya wazamwamwa kinachowasumbua ni baasha TFF Walishakula mpunga nahilo linajionyesha mana upinzani uliokuwepo kabla ya kula mikatabayao na upinzani uliopo kwasasa baada ya kula mikataba.
@bernardmboma14612 ай бұрын
Hauna lolote ndo maana juve alishushwa daraja kuna kanuni acha ujinga unatafuta ulaji Kwa GSM
@husseinmpuruti13722 ай бұрын
Acha njaa we frej bovu huon vilab vinapanga matokeo kwa Yanga hebu jiulize tim inapo kutana na simba wanavyo cheza na wakicheza na Yanga mbona wameinunua ihef na ndio tim ilikataa uzamin wa Gsm mbona hawakununua tim zingine?
@bernardmboma14612 ай бұрын
Shida bogo hakuna wachambuzi wa mpira mara nyingi wanaangalia pesa tu sio kama ulaya wachambuzi Wana pesa ndo maana wanasimamia haki. Huyu jamaa kasema Jana hata gari kwahiyo akipewa tu hata laki kweke ni hela kubwa sana kwake. Kwahiyo wachambuzi wetu wanatafuta ulaji.
@bakanga14102 ай бұрын
Achana na kuwekeza hakuna anayekataa..nikuulize ww gsm atawezaje kuwa fair wkt huo huo kulinda brand yake..? biashara huwa trick ww umesomea biashara au unabwabwaja tu..na sisi tumeiga wp kwenye nchi zilizoendelea kimpira?
@kassidpandu8662 ай бұрын
Mbona hajadhamini champion ship na kwa Nini iwe 🚨 kuuTuu
@fredrickipembe81882 ай бұрын
Filiji mpumbavu sana eti sina gari kauze makalio yako
@NeemaAntony-b8q2 ай бұрын
Taira kabisa
@jumachum86472 ай бұрын
nilikuwa nakuamini kumbe nimpumbavu tuu
@sadih53332 ай бұрын
Sasa wewe fridge tobo, tatizo halisi alielezwi GSM ndio baba ndio mama Yanga ,lazima tatizo litakuwepo ukikubali kufadhiliwa wewe ni mbwa tu subiri miluzi ya anaye kulisha.
@malkavoice25702 ай бұрын
Unaongea mavi gani sasa?!
@PaulMuasya-z8c2 ай бұрын
Kanuni ya fifa lazima ifuatwe wewe wacha porojo. Hii ligi ya tz itashuka chini ya uangalizi wa Karia. Na kama hujui Yanga ndio timu iliingia makundi na alama kidogo sana katika timu zote. Wataka kuwa mchambuzi uchwara.
@TheresiaMlipuka2 ай бұрын
We matako Usha vuta chako una bwabwanya
@MahafuziHassani2 ай бұрын
Keep your mouth broo
@pinomjata6782 ай бұрын
Mtu kama huyu ndio anaitwa mchambuzi, very poor analysis kweli ni friji bovu. Vigezo gani vilitumika kumkatalia GSM asidhamini ligi before? Na kama alikataliwa kudhamini ligi before kwanini ameruhusiwa kudhamini timu 7 this time around? Ni ligi gani duniani ina udhamini wa namna hii? Who are the decision makers kwenye suala hili? Ni TFF au stakeholders? Ligi inatimu 16 halafu mtu mmoja amedhamini 7 halafu wewe unasema ni sawa kwasababu ya anauza biashara yake, vipi kuhusu ushindani na kukua kwa ligi yetu?