KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 94
@maximumtvonline4 күн бұрын
chat.whatsapp.com/DeDPWulcpXR2FPuRxrUuEc JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP
@yasminjuma91464 күн бұрын
Na mume nae pia sio mzima kiafya na yeye pia. Mungu awasaidie
@reynaaalrawahi41374 күн бұрын
Shida. Na mawazo. Hua akil zinakua sio sawa 😢Allah atawasaidia inshallah dada atapata. Uzima afya
@AminaLibisa4 күн бұрын
Anaumwa yule mdada sio amri yake kua mkari Mungu amsaidie apone inshaAllah 🙏🙏
@zainabwage46584 күн бұрын
Kwer awe na subra mume
@AminaLibisa4 күн бұрын
Kabisa
@reynaaalrawahi41374 күн бұрын
Mara nyingi wenye ugojwa huyu dada wanakua na hasira. Sana
@AminaLibisa4 күн бұрын
Ni ugonjwa hatari sana Mungu atunusuru yarabi na walio pewa huu mtihani Mungu awaponye inshaAllah 🙏
@shanimbaruku20714 күн бұрын
Aamiin @@AminaLibisa
@mussamussa45214 күн бұрын
Msifikie hatua hiyo yakutaka kuachana jamani watoto wanataka kulelewa na wazee wawili baba na mama
@sakinabudi3 күн бұрын
Ka zahir huwa unampa faraja sana huyu baba jamani ,,,,,japo ana msongo mkubwa wa mawazo ila umemfanya mpaka amecheka ,,,,hongera mtangazaji chukua 🎉🎉🎉 yako,, kuna watu wanahitaji faraja japo wapo kwenye mitihani ya ugumu wa maisha na maradhi ni huzuni kwakweri
Pole sana hayo yote ni sababu ya ugonjwa usimchukie tunaomba umvumilie na umpe maneno mazuri ya upendo na faraja kuuguza ni ibada na tunaendelea kuwaombea dua
@MimahMimah-b7k3 күн бұрын
Mi napenda mnavyopendana wallah ee mungu nipe na mm anipendeeeeeee
@annamussa1854 күн бұрын
Zai Manara njoo uwasaidie ndugu wa mume please 😢
@AlHamra-ej3mo3 күн бұрын
Kauli yako hii siyo rafiki kwahiyo Albino wote nindg wa Manara ungekuwa ww unatatizo la ualbino ukaambiwa hivyo utajiskiaje kejeli siyo nzuri kabla hujafa hujaumbika
@annamussa1853 күн бұрын
@@AlHamra-ej3mo wewe una fikra mgando achana na fikra mgando
@annamussa1853 күн бұрын
@@AlHamra-ej3mo andika yako ilokuwa nzuri
@SalmaAlly-dg3xn54 минут бұрын
Allah awafanyie weps inshallah 🤲
@ummySheikh724 күн бұрын
Mskiini ! Mazoea yana taabu tabia zikilingana tena nikubwa adhabu watu nyinyi kuachana.
@annamussa1854 күн бұрын
Hajuwi mke wake ni waaina gani😅Cha mwisho namsaidia ni mtami😂😂❤
@jovinathasavoie80184 күн бұрын
Asante sana ,Zahir afadhari saiv watu tutakuwa na moyo wakuanza changa tena,jaman maximum family,tuzidi support hii familia saiv matumaini yapo Bakari kajitahidi I think anaitaji guidance na msukumo kidg.Lakin big up.
@maximumtvonline4 күн бұрын
Thanks
@deboranicoraus48664 күн бұрын
Vimajibu tuu unavyo zahiri 😅😅😅😂@@maximumtvonline
@HanifaOman-oo4pl4 күн бұрын
Yote umasikini 😭😭yarabi tupesubra kwa halizetu hizi tulixo nazo. 🤲
@abdulmustafa21484 күн бұрын
Hapo sasa @hanifa
@mariamkimtai6934 күн бұрын
Ameen 🙏
@AminaAmine-v4m4 күн бұрын
Amiina hanifa
@shanimbaruku20714 күн бұрын
Aamiin
@abdulmustafa21484 күн бұрын
@@AminaAmine-v4m kazi ipo
@fay96874 күн бұрын
Sifa nyingine mvumilivu huyo mama saana
@fathiyahmuzney73674 күн бұрын
Huyu baba anatia huruma😢
@reynaaalrawahi41374 күн бұрын
Sana.
@julianapeason62543 күн бұрын
imebidi mimi nicheke pia
@FatumaSaid-t4r4 күн бұрын
Maisha maisha maisha.ukilidhika na unchopata aah siku zinaenda.comedy kidogo😂 ,basi aah siku sinaenda
@maximumtvonline4 күн бұрын
Yeah utani upo siku zote
@fathiyahmuzney73674 күн бұрын
Licha ya maisha wanayoish lkn wanapendana sana Allah amjaalie huyo mama apone alee watt wake
Hiz habari zipelekeni tbc na vyombo vikuu vya taifa ili watu wejue na wanaotaka kujitolea wajue hayo mambo yatakwishwa daaa inauma sana kiukweli,huo ndio utawala wa manyani (watumwa)pesa bora kulliko afya ya walipa kodi.....kila la kheri.
@maximumtvonline4 күн бұрын
Hakuna kitu watafanya
@luckydubebello11314 күн бұрын
Pole bro 😢ila wasiachane aki
@florarwegerera80254 күн бұрын
Jamani! Mungu awasaidie huyo mama anakuwa mkali na mwenye hasira sababu ya maumivu anayoyapata, Mimi nimepitia hiyo hali najuwa, Mungu awaonekanie
Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatu kaka zahir mbona kina happy hautuonyeshi wanavyoendelea na nyumba yao inavyoendelea kaka
@maximumtvonline4 күн бұрын
@@ramlajeffah9831 hela ya ujenzi haujatuma ndo shida tutaendeleaje sasa
@Husnasalim-f2g2 күн бұрын
Mbon kawaonesh juz kati 2 kila sik awaoneshe wao kwan hakun wat wakuwatangaz😢
@NasiHama22 сағат бұрын
😂😂😂😂 jamani Pamoja na maumivu ya mokewake ila sasa hivi nuru baba anaanza kuchangamka
@aminasaid65554 күн бұрын
Anywe juice ya majani ya mtaferi,tunda la mstaferi,mafuta ya Habat soda na pia ale sana mboga mboga na aachane na wali ngano na vyakula vya kukaanga
@firdaus74284 күн бұрын
Bakari mpole sana
@fathiyahmuzney73674 күн бұрын
Sanaa
@yasminjuma91464 күн бұрын
Pia ni wadogo voo
@firdaus74283 күн бұрын
@@yasminjuma9146 ni kweli wadogo Allah awafanyie wepesi
@marrychristian74154 күн бұрын
Ajachelewa kuzaa jamani ila bbayako kawah Sana kuzaa Kama mtotowake wakwanza ana 41 inamana alizaa namiaka 13???
@KhadijaMohamedy4 күн бұрын
Huruma yarab Allah turehem waja wako
@mrsab3034 күн бұрын
InshaAllah Allah make easy for them InshaAllah ❤❤❤❤❤
@wastarangayonga85624 күн бұрын
Mashallah nitamtafuta uyu kaka
@firdaus74283 күн бұрын
@@wastarangayonga8562 mie pia natamani nikamtembelee nitawasiliana na Zaher
@MiryamuTwalibu4 күн бұрын
Habari zahri mwambiye uyo jamaa anyowe izo defu
@fay96874 күн бұрын
Mama mvumilivu hali mbaya na anafanya kazi za nyumba
@SakinaMsigwa3 күн бұрын
Jamani huyo mama anaumwa sana tumuombee siyo hali ya kawaida kumuomba doctor dawa iliafe kwahiyo tumsamehe siyo eye ball ni home hiyo
@أمطارقالبحرية3 күн бұрын
Mtu akishuka damu anakuwa mkali sana na mbali ya maradhi mazito aliyonayo anastahiki avumiliwe sana Na ana stress sana
@ASALABOY3 күн бұрын
Dah hii media mungu aalinde sana Sabu inajali sana wanadam na ifanikiwe Zaidi n Zaidi 🙏🙏
@AminaLibisa4 күн бұрын
Kaka zahri 😂😂😂 maswali mengine bannah
@maximumtvonline4 күн бұрын
Ukiachana na msaada nnaoutoa mm ni mwandishi wa habari so natafuta habari nyingine kwa mteja wangu ww ukiona maswali mengi unastop tu kutazama sisi wengine tunafanya maswwli yawe mengi ili nasi tulipwe na youtube sawa
@AminaLibisa4 күн бұрын
Sijasema Kwa ubaya kaka zahri ila yanafurahisha usiwe na hasira ndio maana nimecheka🙏
@AminaLibisa4 күн бұрын
Wala sikukusudia ubaya kaka yangu
@deboranicoraus48664 күн бұрын
@@AminaLibisaunajisumbua kujielezea huyu zahir anaonag kashamaliz maish bora fabby huyu vidharau kibao tukistop kutazama utatizama we na familia yko ss jmn😅😅
@AminaLibisa3 күн бұрын
@@deboranicoraus4866 yaani ni shida Kwa kweli ila huwezi kujua kila mtu na madhaifu yake maana so poa povu kama lote🤔🤔
@hasnatrean50134 күн бұрын
Kaka zaili vp uyo mama sasaiv aliv kwend hospital
@maximumtvonline4 күн бұрын
Ndo hvo anaendelea vzr
@mariyamgharib9404 күн бұрын
Zahir mwambie ale stafeli sana au afanye juice ni nzuri dawa kubwa ya cancer iyo na maumivu yanapunguwa please afanye ivo au uki google utaona
@maximumtvonline4 күн бұрын
Sawa
@aymamally95054 күн бұрын
kweli kabisa stafeli iwe tunda lke
@SaraSara-i1l4 күн бұрын
Maswali magumu
@maximumtvonline4 күн бұрын
Kwahyo!!?
@AnnaMgala-n6g3 күн бұрын
@@maximumtvonlineila mtangazaji we atali adi maneno unamwambia ya kusema kwa mkeo hahah
@mariamfritsi49434 күн бұрын
Yaani nimecheka, Zahir eti mwambie mkeo nakupenda 😂 nimependa maongezi yao leo, hata huyu mume pia ni mtu mzuri ana utani utani .ni familia yenye upendo, ni hivyo tuu mapato madogo. ila wanapendana.mungu atamuondolea mtihani mkewe. 28.09.24.
@maximumtvonline4 күн бұрын
💕💕
@VionaMuthoni2894 күн бұрын
Nini inafanya aombe talaka au ni hizi michango anafikiria atazidi kupewa sasa anaona akipewa talaka atazidi kuchangiwa??hawa hawako serious na hawajajua cancer ni nini,wanafikiria cancer itapona kesho kama mavua
@maximumtvonline4 күн бұрын
Alivyoona mume wake hana kitu ni masikini akasema anaoza tu ndani mwanaume hana kitu bora ampe talaka aende kwao akafie tu huko
@fathiyahmuzney73674 күн бұрын
@@VionaMuthoni289 Sikiliza interview vzr usiongee tu
@MaryamKhawar-h3j4 күн бұрын
Zahir huyo baba anamawazo na anamsadia mke wake na hela anamlipia na mtoto wake pia anamnunulia maziwa maskin msiwe