MREJESHO |MKE WANGU KANIOMBA TALAKA NA KUNIFUKUZA HOSPITAL |UNANIACHA NAOZEA NDANI HUNA HATA MIA

  Рет қаралды 5,563

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

Күн бұрын

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Пікірлер: 94
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
chat.whatsapp.com/DeDPWulcpXR2FPuRxrUuEc JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 4 күн бұрын
Na mume nae pia sio mzima kiafya na yeye pia. Mungu awasaidie
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 4 күн бұрын
Shida. Na mawazo. Hua akil zinakua sio sawa 😢Allah atawasaidia inshallah dada atapata. Uzima afya
@AminaLibisa
@AminaLibisa 4 күн бұрын
Anaumwa yule mdada sio amri yake kua mkari Mungu amsaidie apone inshaAllah 🙏🙏
@zainabwage4658
@zainabwage4658 4 күн бұрын
Kwer awe na subra mume
@AminaLibisa
@AminaLibisa 4 күн бұрын
Kabisa
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 4 күн бұрын
Mara nyingi wenye ugojwa huyu dada wanakua na hasira. Sana
@AminaLibisa
@AminaLibisa 4 күн бұрын
Ni ugonjwa hatari sana Mungu atunusuru yarabi na walio pewa huu mtihani Mungu awaponye inshaAllah 🙏
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 күн бұрын
Aamiin ​@@AminaLibisa
@mussamussa4521
@mussamussa4521 4 күн бұрын
Msifikie hatua hiyo yakutaka kuachana jamani watoto wanataka kulelewa na wazee wawili baba na mama
@sakinabudi
@sakinabudi 3 күн бұрын
Ka zahir huwa unampa faraja sana huyu baba jamani ,,,,,japo ana msongo mkubwa wa mawazo ila umemfanya mpaka amecheka ,,,,hongera mtangazaji chukua 🎉🎉🎉 yako,, kuna watu wanahitaji faraja japo wapo kwenye mitihani ya ugumu wa maisha na maradhi ni huzuni kwakweri
@omanoman2044
@omanoman2044 4 күн бұрын
Huyu mzee yuko saw kweli et maziw hayapo kwan sii unanunuw duuh
@husnachunga5720
@husnachunga5720 4 күн бұрын
Pole sana hayo yote ni sababu ya ugonjwa usimchukie tunaomba umvumilie na umpe maneno mazuri ya upendo na faraja kuuguza ni ibada na tunaendelea kuwaombea dua
@MimahMimah-b7k
@MimahMimah-b7k 3 күн бұрын
Mi napenda mnavyopendana wallah ee mungu nipe na mm anipendeeeeeee
@annamussa185
@annamussa185 4 күн бұрын
Zai Manara njoo uwasaidie ndugu wa mume please 😢
@AlHamra-ej3mo
@AlHamra-ej3mo 3 күн бұрын
Kauli yako hii siyo rafiki kwahiyo Albino wote nindg wa Manara ungekuwa ww unatatizo la ualbino ukaambiwa hivyo utajiskiaje kejeli siyo nzuri kabla hujafa hujaumbika
@annamussa185
@annamussa185 3 күн бұрын
@@AlHamra-ej3mo wewe una fikra mgando achana na fikra mgando
@annamussa185
@annamussa185 3 күн бұрын
@@AlHamra-ej3mo andika yako ilokuwa nzuri
@SalmaAlly-dg3xn
@SalmaAlly-dg3xn 54 минут бұрын
Allah awafanyie weps inshallah 🤲
@ummySheikh72
@ummySheikh72 4 күн бұрын
Mskiini ! Mazoea yana taabu tabia zikilingana tena nikubwa adhabu watu nyinyi kuachana.
@annamussa185
@annamussa185 4 күн бұрын
Hajuwi mke wake ni waaina gani😅Cha mwisho namsaidia ni mtami😂😂❤
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 4 күн бұрын
Asante sana ,Zahir afadhari saiv watu tutakuwa na moyo wakuanza changa tena,jaman maximum family,tuzidi support hii familia saiv matumaini yapo Bakari kajitahidi I think anaitaji guidance na msukumo kidg.Lakin big up.
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Thanks
@deboranicoraus4866
@deboranicoraus4866 4 күн бұрын
Vimajibu tuu unavyo zahiri 😅😅😅😂​@@maximumtvonline
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 күн бұрын
Yote umasikini 😭😭yarabi tupesubra kwa halizetu hizi tulixo nazo. 🤲
@abdulmustafa2148
@abdulmustafa2148 4 күн бұрын
Hapo sasa @hanifa
@mariamkimtai693
@mariamkimtai693 4 күн бұрын
Ameen 🙏
@AminaAmine-v4m
@AminaAmine-v4m 4 күн бұрын
Amiina hanifa
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 күн бұрын
Aamiin
@abdulmustafa2148
@abdulmustafa2148 4 күн бұрын
@@AminaAmine-v4m kazi ipo
@fay9687
@fay9687 4 күн бұрын
Sifa nyingine mvumilivu huyo mama saana
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 4 күн бұрын
Huyu baba anatia huruma😢
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 4 күн бұрын
Sana.
@julianapeason6254
@julianapeason6254 3 күн бұрын
imebidi mimi nicheke pia
@FatumaSaid-t4r
@FatumaSaid-t4r 4 күн бұрын
Maisha maisha maisha.ukilidhika na unchopata aah siku zinaenda.comedy kidogo😂 ,basi aah siku sinaenda
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Yeah utani upo siku zote
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 4 күн бұрын
Licha ya maisha wanayoish lkn wanapendana sana Allah amjaalie huyo mama apone alee watt wake
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 күн бұрын
Kaka zahili wakumbushe kufqnya ibada. Nduguzetu hao
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Sawa
@mariamkimtai693
@mariamkimtai693 3 күн бұрын
Maskini 😢😢😢
@NasiHama
@NasiHama 22 сағат бұрын
Mungu Amponye mkeo
@mzeke-r9h
@mzeke-r9h 4 күн бұрын
Hiz habari zipelekeni tbc na vyombo vikuu vya taifa ili watu wejue na wanaotaka kujitolea wajue hayo mambo yatakwishwa daaa inauma sana kiukweli,huo ndio utawala wa manyani (watumwa)pesa bora kulliko afya ya walipa kodi.....kila la kheri.
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Hakuna kitu watafanya
@luckydubebello1131
@luckydubebello1131 4 күн бұрын
Pole bro 😢ila wasiachane aki
@florarwegerera8025
@florarwegerera8025 4 күн бұрын
Jamani! Mungu awasaidie huyo mama anakuwa mkali na mwenye hasira sababu ya maumivu anayoyapata, Mimi nimepitia hiyo hali najuwa, Mungu awaonekanie
@MaryamKhawar-h3j
@MaryamKhawar-h3j 4 күн бұрын
Hapa alikua ananyonya maziwa yamama yke yalikua hayatoki
@KurthumKhamis
@KurthumKhamis 4 күн бұрын
Jmn mmefikia uku tena 😢😢
@ramlajeffah9831
@ramlajeffah9831 4 күн бұрын
Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatu kaka zahir mbona kina happy hautuonyeshi wanavyoendelea na nyumba yao inavyoendelea kaka
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
@@ramlajeffah9831 hela ya ujenzi haujatuma ndo shida tutaendeleaje sasa
@Husnasalim-f2g
@Husnasalim-f2g 2 күн бұрын
Mbon kawaonesh juz kati 2 kila sik awaoneshe wao kwan hakun wat wakuwatangaz😢
@NasiHama
@NasiHama 22 сағат бұрын
😂😂😂😂 jamani Pamoja na maumivu ya mokewake ila sasa hivi nuru baba anaanza kuchangamka
@aminasaid6555
@aminasaid6555 4 күн бұрын
Anywe juice ya majani ya mtaferi,tunda la mstaferi,mafuta ya Habat soda na pia ale sana mboga mboga na aachane na wali ngano na vyakula vya kukaanga
@firdaus7428
@firdaus7428 4 күн бұрын
Bakari mpole sana
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 4 күн бұрын
Sanaa
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 4 күн бұрын
Pia ni wadogo voo
@firdaus7428
@firdaus7428 3 күн бұрын
@@yasminjuma9146 ni kweli wadogo Allah awafanyie wepesi
@marrychristian7415
@marrychristian7415 4 күн бұрын
Ajachelewa kuzaa jamani ila bbayako kawah Sana kuzaa Kama mtotowake wakwanza ana 41 inamana alizaa namiaka 13???
@KhadijaMohamedy
@KhadijaMohamedy 4 күн бұрын
Huruma yarab Allah turehem waja wako
@mrsab303
@mrsab303 4 күн бұрын
InshaAllah Allah make easy for them InshaAllah ❤❤❤❤❤
@wastarangayonga8562
@wastarangayonga8562 4 күн бұрын
Mashallah nitamtafuta uyu kaka
@firdaus7428
@firdaus7428 3 күн бұрын
@@wastarangayonga8562 mie pia natamani nikamtembelee nitawasiliana na Zaher
@MiryamuTwalibu
@MiryamuTwalibu 4 күн бұрын
Habari zahri mwambiye uyo jamaa anyowe izo defu
@fay9687
@fay9687 4 күн бұрын
Mama mvumilivu hali mbaya na anafanya kazi za nyumba
@SakinaMsigwa
@SakinaMsigwa 3 күн бұрын
Jamani huyo mama anaumwa sana tumuombee siyo hali ya kawaida kumuomba doctor dawa iliafe kwahiyo tumsamehe siyo eye ball ni home hiyo
@أمطارقالبحرية
@أمطارقالبحرية 3 күн бұрын
Mtu akishuka damu anakuwa mkali sana na mbali ya maradhi mazito aliyonayo anastahiki avumiliwe sana Na ana stress sana
@ASALABOY
@ASALABOY 3 күн бұрын
Dah hii media mungu aalinde sana Sabu inajali sana wanadam na ifanikiwe Zaidi n Zaidi 🙏🙏
@AminaLibisa
@AminaLibisa 4 күн бұрын
Kaka zahri 😂😂😂 maswali mengine bannah
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Ukiachana na msaada nnaoutoa mm ni mwandishi wa habari so natafuta habari nyingine kwa mteja wangu ww ukiona maswali mengi unastop tu kutazama sisi wengine tunafanya maswwli yawe mengi ili nasi tulipwe na youtube sawa
@AminaLibisa
@AminaLibisa 4 күн бұрын
Sijasema Kwa ubaya kaka zahri ila yanafurahisha usiwe na hasira ndio maana nimecheka🙏
@AminaLibisa
@AminaLibisa 4 күн бұрын
Wala sikukusudia ubaya kaka yangu
@deboranicoraus4866
@deboranicoraus4866 4 күн бұрын
​@@AminaLibisaunajisumbua kujielezea huyu zahir anaonag kashamaliz maish bora fabby huyu vidharau kibao tukistop kutazama utatizama we na familia yko ss jmn😅😅
@AminaLibisa
@AminaLibisa 3 күн бұрын
@@deboranicoraus4866 yaani ni shida Kwa kweli ila huwezi kujua kila mtu na madhaifu yake maana so poa povu kama lote🤔🤔
@hasnatrean5013
@hasnatrean5013 4 күн бұрын
Kaka zaili vp uyo mama sasaiv aliv kwend hospital
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Ndo hvo anaendelea vzr
@mariyamgharib940
@mariyamgharib940 4 күн бұрын
Zahir mwambie ale stafeli sana au afanye juice ni nzuri dawa kubwa ya cancer iyo na maumivu yanapunguwa please afanye ivo au uki google utaona
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Sawa
@aymamally9505
@aymamally9505 4 күн бұрын
kweli kabisa stafeli iwe tunda lke
@SaraSara-i1l
@SaraSara-i1l 4 күн бұрын
Maswali magumu
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Kwahyo!!?
@AnnaMgala-n6g
@AnnaMgala-n6g 3 күн бұрын
​@@maximumtvonlineila mtangazaji we atali adi maneno unamwambia ya kusema kwa mkeo hahah
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 4 күн бұрын
Yaani nimecheka, Zahir eti mwambie mkeo nakupenda 😂 nimependa maongezi yao leo, hata huyu mume pia ni mtu mzuri ana utani utani .ni familia yenye upendo, ni hivyo tuu mapato madogo. ila wanapendana.mungu atamuondolea mtihani mkewe. 28.09.24.
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
💕💕
@VionaMuthoni289
@VionaMuthoni289 4 күн бұрын
Nini inafanya aombe talaka au ni hizi michango anafikiria atazidi kupewa sasa anaona akipewa talaka atazidi kuchangiwa??hawa hawako serious na hawajajua cancer ni nini,wanafikiria cancer itapona kesho kama mavua
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Alivyoona mume wake hana kitu ni masikini akasema anaoza tu ndani mwanaume hana kitu bora ampe talaka aende kwao akafie tu huko
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 4 күн бұрын
@@VionaMuthoni289 Sikiliza interview vzr usiongee tu
@MaryamKhawar-h3j
@MaryamKhawar-h3j 4 күн бұрын
Zahir huyo baba anamawazo na anamsadia mke wake na hela anamlipia na mtoto wake pia anamnunulia maziwa maskin msiwe
@maximumtvonline
@maximumtvonline 4 күн бұрын
Yes
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 59 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 34 МЛН
KITASA AMNYWEA CHAI MKE MWENZIE / ASEMA TALAKA NGINJA NGINJA
22:20
"Usiyeshindwa" By Abiudi Onesmo Was Magical | Reaction Video
9:34
The REALMS with Affiuk Anniedum
Рет қаралды 4,5 М.
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН