Рет қаралды 35,456
VITASA NIGHT FIGHT: Tazama pambano zima shughuli ya raundi nane ya kuwania mkanda wa UBO uzito wa Super Middle ikimalizika kwa Mtanzania, Twaha Rubaha Kassim #TwahaKiduku kuibuka mshindi kwa pointi akimchapa kwa pointi bondia kutoka DR Congo, Alex Kabangu.
Ulikuwa ni Usiku wa Mfalme kwenye Ufalme kwenye Ukumbi wa Tanzanite Hall mkoani Morogoro Machi 26, 2022
#VitasaNight #Vitasa #UsikuWaVitasa #TwahaKidukuVsAlexKabangu #TwahaKiduku #TwahaKiduku #MfalmeKwenyeUfalmeWake #NgumiNguruka #VitasaMorogoro #Morogoro