No video

VITASA: Pambano zima Mfaume Mfaume alivyomtwanga Chikondi Makawa - Usiku wa Mabingwa 26/12/2020

  Рет қаралды 228,970

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

MFAUME MFAUME vs CHIKONDI MAKAWA: Burudani zote za usiku wa vitasa zilikuwa zikisubiri kuhitimishwa kwa pambano kati ya Mtanzania, Mfaume Mfaume dhidi ya Chikondi Makawa wa Malawi.
Raundi kumi zikatosha kuamua mbabe kati yao na Mfaume Mfaume akatetea taji lake la ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati kw aushindi wa pointi.
Mambo yalikuwaje?
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 375
@abdulykiliga4791
@abdulykiliga4791 3 жыл бұрын
Kwa Bongo iiii, km ngumi uyu Mfaume yuko vizuri sana, sema t upepo ira Mfaume bongo namba 2 moja Mwakinyoo
@fadhili2293
@fadhili2293 3 жыл бұрын
Mfaume namuelewa Sana Ila huu ushindi ata yeye akirudia kuangalia ili pambano atakubali kuwa chikonde Ali score zaidi
@stanleyhalfanihblybgcsp.9572
@stanleyhalfanihblybgcsp.9572 2 жыл бұрын
Mfaume mfaume kapigwa hii game, kwa style hii Tanzania hatutoboi
@kibwamoko8767
@kibwamoko8767 3 жыл бұрын
Mfaume Mfaume asijidanganye, umepigwa kwa point. Ila mcheza kwao hutunzwa. Afadhali majaj wangetoa hata draw basi. Lakin tuache kwakuwa kulikuwa kuna Mkanda ule ndio mana wamekupa ushindi, ila mfaume umepigwa. Hata wachambuzi ukiwasikiliza kwa makini wanaelewa hilo.
@mrjoetv4966
@mrjoetv4966 3 жыл бұрын
Mfaume alipigwa Sana sanaaaaa
@hassanbachu630
@hassanbachu630 3 жыл бұрын
Ufaume usiwasikilize machoko umeshinda vizuri
@enockkifaru4121
@enockkifaru4121 3 жыл бұрын
Asee kila mtu anahaki ya kukoment ila binafsi naona mfaume alistaili kubaki na mkanda.. Yaani ni Kama sare tu.. Sioni Kama mgeni alistaili kumpokonya mfaume mkanda.. Hongera mfaume.. Umestaili
@matatasaid733
@matatasaid733 3 жыл бұрын
Sawa sasa haikuwa sare majaji wa 3 wamempa mfaume majaj elfu moja wa mtaan wamemp chikonde jaj we umempa.sare horeng mfaume hiz stor za luongelewa mtandaon. Tulizoea kuwasikia wahjun wa nje (morison) leo muun wangu MFAUME
@enockkifaru4121
@enockkifaru4121 3 жыл бұрын
@@matatasaid733 namkubali Sana mfaume vile anavokwepa punch Za mpinzani.. Ila mechi Ya juz ilibalance.. Na mfaume kastahili uwo mkanda
@pastorstevenmdoe5143
@pastorstevenmdoe5143 3 жыл бұрын
Sasa hivi mambo mengi hapa nchini yanenda kijecha jecha aiseeh! Mtu aliyepigwa ndio mshindi yaani kusema kweli hili ni janga
@dariokisitu9134
@dariokisitu9134 3 жыл бұрын
Tena kubwa
@mirajibendera8795
@mirajibendera8795 3 жыл бұрын
Nakupongeza champ. Umecheza kutokana na mpinzani wako alivyokuwa akicheza. Wanatakiwa watambue yakuwa ngumi za kuangalia kwenye kideo ni tofauti na kuingia ulingoni. U r always winner.
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 3 жыл бұрын
Usimubaribu kapigwa Mfaume sana sana
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
Miraj umeongea point✌
@emmanuelmathayo9275
@emmanuelmathayo9275 3 жыл бұрын
Japokuwa uzalendo kwanza....! Ila hii game kapoteza ila kabebwa!
@mwatelaedward1638
@mwatelaedward1638 3 жыл бұрын
Kweli mm sina timu hapo lakini ukweli huyo mrundi alistahili ushindi
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
Kampe ushindi
@tatuomary6745
@tatuomary6745 3 жыл бұрын
Kabsa
@mwinyibakari5164
@mwinyibakari5164 3 жыл бұрын
Akuna kitu
@charlesnurumwasha7834
@charlesnurumwasha7834 3 жыл бұрын
@@mwinyibakari5164 mfaume kapigwa sana
@rizickmbilinyi8260
@rizickmbilinyi8260 3 жыл бұрын
Mie nampenda sana mfaume but jana umembwela umepigwa openly
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 3 жыл бұрын
Tunahitaji mabondia wetu wakapigane nje sana wapate exposures tusifikirie sana ushindi ila exposure nayo ni ushindi mwingine unajenga kitu.
@bekamaujuz
@bekamaujuz 3 жыл бұрын
Aisee wasiende watakufa uko kwa mbereko izi
@ireneindah5236
@ireneindah5236 3 жыл бұрын
Mh mimi ckupingi ila jee wakidundwa huko watarudije Makwao
@matatasaid733
@matatasaid733 3 жыл бұрын
Wakienda uko kichapo alafu utasikia wakija nyumban wanatak kuvbiana wenyewe x2 mkali anatakiw abweke popote
@jingwunmaster7907
@jingwunmaster7907 3 жыл бұрын
Acheni mambo yaujanjaujanja mfaume mechi imekushinda mapema mpinzani alijua malengo yako lakini hukubadilisha chochote badilika mjomba mechi umepoteza jipange acha kucheza kwamazoea hayo nimatokeo mabaya
@jumaiddy9859
@jumaiddy9859 3 жыл бұрын
Bongo nyoko kwakweli hii yaleo mfaume kabebwa nishabikiake lakini kwaleo hapana
@elizayanga9756
@elizayanga9756 3 жыл бұрын
Ndo mana mkiendaga uko nje mnapigwa mpk mnazindukia i.c.u.... kwa mpng huu mabondia wa nje watakataa kuja kucheza apa kwetu mnapenda sana kulea ujinga na ipo cku mtambeba mtu mshangae kinanuka mnapigwa mpk majaj wote
@constantinochalle856
@constantinochalle856 3 жыл бұрын
Wa tz tunagogwa Sana ila tunabebwa Sana!!hatutafika popote zaidi ya kelele za tandale tu!
@desmunduwandameno8610
@desmunduwandameno8610 3 жыл бұрын
Leo ndo nimejuwa kuwa watanzania tunapenda sana nichezo lakini hatuijuwi michezo yenyewe. Ndo maana kila mmoja anasema lake huwo mpambani hakuna aliye shinda. Waliye sema Mfaume kashinda ni waongo na waliyesema kuwa Mfaume kapigwa ni waongo
@begaca
@begaca 3 жыл бұрын
Jamaa Alikutana na Mfaume Ni Fundi Ndo Maana Kashindwa kufanya Chochote....
@coolruler6820
@coolruler6820 3 жыл бұрын
Mfaume bondia mzuri,,ila kwa mwakinyo bado hajafika levo ya kumtaka ulingoni, cjaona ufundi ameonyesha unaomfanya amtake mwakinyo. Mamshauri ajongee taratibu na itafika wakati muafaka atamvaa Mwakinyo ila si kwa kiwango icho kaonyesha hapo. Nampongeza kwa ushindi japo haulingani na maneno yake nje ya ulingo
@paulinasenavuri8890
@paulinasenavuri8890 3 жыл бұрын
Mfaume kagongeka chikondi💪
@jafarchambuso5953
@jafarchambuso5953 3 жыл бұрын
Sisi wabongo bna napendaga kwenye ukweli tunaongea kwahizi comments naamin mfaume kapigwa , Halafu wanalilia kupigana na mwakinyo kwa stahili Hiyo mwacheni mwakinyo apigane na wazungu na tunaona wakipigwa hawainuki.!!!!! 👍au👎
@charlesabednego9424
@charlesabednego9424 3 жыл бұрын
Tony rashid, Dula Mbabe, na seleman kidunda wamefanya kwel
@midoy8769
@midoy8769 3 жыл бұрын
Mfaume hana kitu kapigwa sana
@fabylyimo300
@fabylyimo300 3 жыл бұрын
😂😂😂😂duu
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
Faby Lyimo hatar
@abubakaribyabato4384
@abubakaribyabato4384 3 жыл бұрын
Alafu ana maneno mengi
@abubakaribyabato4384
@abubakaribyabato4384 3 жыл бұрын
Anasema mwakinyo hana kitu
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
Nendeni nyie tuwaone
@abuuduhatarcnsalim8804
@abuuduhatarcnsalim8804 3 жыл бұрын
Mfaume amna kituy kapigwa Asa mwambieni asijikanyage kwa mwakinyo
@iddyally3342
@iddyally3342 3 жыл бұрын
Kabisaaaa atakufa
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
Iddy Ally ndo walewale!
@elizayanga9756
@elizayanga9756 3 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa ashukuru Mungu mwakinyo apigan na vitu vya kijinga alafu nimejikuta namuonea huruma mpinzan ila dah!!amejikaza ata ajapinga matokeo
@sirizawa3360
@sirizawa3360 3 жыл бұрын
@Abuu duh Chikondi makawa kapingwa kwahaki na ndomana hajalalamika mfaume alikua ana piga snap ningumu kuona kama ww si bondia kitu chapili popote duniani hakuna bondia Alie maliza round zote akapewa ushindi ugenini
@Ram_1893
@Ram_1893 2 жыл бұрын
@@sirizawa3360 Acha upotoshaji wewe 😀😀😀
@yuzzoandrew8982
@yuzzoandrew8982 3 жыл бұрын
Makinyooo atakua bro yule ni balaaaaa
@ashurasukuzi1831
@ashurasukuzi1831 3 жыл бұрын
Namkubali sana Mfaume mfaume
@abdulkaoneka7368
@abdulkaoneka7368 3 жыл бұрын
Mfaume fala kwl wew ndio wamtak mwakinyo kwa ngumi gn, wallah round 4 utoboi kwa mwakinyo
@betrandymligo1889
@betrandymligo1889 3 жыл бұрын
Kwakweli wa tanzania hatuta kuja kufanikiwa kwastaili hii yani mtu kapigwa halafu mnamtangaza mshindi duuuuuuu??????
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
Nendeni nyie mnadhani ni kazi ya kukata viuno ile
@mandaidejunior8378
@mandaidejunior8378 3 жыл бұрын
Kabebwaah
@hassanmichael7068
@hassanmichael7068 3 жыл бұрын
Mfaume kapigwa ngumi nyingi sana za kichwani ngumi za point sasa nashindwa kuelewa anapewa vipi ushindi?
@japhetpetro9598
@japhetpetro9598 3 жыл бұрын
Bongo Tunabebana Sana, Mfalme Kapigwa , Ndio Maana Tunachelewa Sana! .ufala Huu
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
kapigane ww
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 😹😹😹safiiii jibu zuri jomba
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
Fatma Baraka ungempatia na la kwako ingependeza pia, kwani lingekuwa zuri zaidi 😀
@eventelias3566
@eventelias3566 3 жыл бұрын
kweli
@saidiabdul1635
@saidiabdul1635 3 жыл бұрын
Me ni shabik wa mfaume ila pambano ili mmh..Tumepigwa majaj sjawaelewa wamegeuza poent za jamaa kapewa mfaume jamaa ndyo mshindi
@desmunduwandameno8610
@desmunduwandameno8610 3 жыл бұрын
Hapana mfaume hajashinda wala hajapigwa hilo pambano lilitakiwa kuwa sale
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 3 жыл бұрын
Huyo mmalawi kascore ngumi vizur sana...na ukifuata kwa ngumi za point mmalawi kashinda kabisaaaaaaa
@christianrukurugu4341
@christianrukurugu4341 3 жыл бұрын
Aibu sana, Mfaume kapingwa Vibaya, alafu mnamtangaza kashinda
@elibarickelineema8989
@elibarickelineema8989 3 жыл бұрын
Wamembeba,kumbe hata kwenye ngumi wanabebwa duh! Ni hatari watoke nao wakapigane nje ya nchi
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 3 жыл бұрын
Mfaume kapigwa, sijaona hayo mapafu ya mpwa
@faridymohamedy2567
@faridymohamedy2567 3 жыл бұрын
Sio mpwa ni mbwa
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
Ni mbwa, sio mpwa😹
@erastomwinuka8099
@erastomwinuka8099 3 жыл бұрын
Game hii hakuna alieshinda hata mgeni hajashinda iila mfaume unyumbani pia kumbuka hata yeye angekua ugenini kacheza Kama alivyo mgeni bado asinge shinda ugenini kushinda uhakikishe mpinzani wako hamalizi raund
@elaysonzacharia6607
@elaysonzacharia6607 3 жыл бұрын
Mmmh! Ni wa kwetu lkn haki imetendeka hapo? Kwa uelewa wangu mdogo mbona Chikond ameskoo nyingi Sana kuliko Mfaume?
@allychaye2925
@allychaye2925 3 жыл бұрын
Watanzania tunakwama wapi mshindi chikundi mnampa mfaume kweri jamani mungu anawaona
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 3 жыл бұрын
Wachambuzi mandazi mnamlaumu nfaulme hamsifii umakini wa mpinzani Huyo mpinzani ni mpiganaji mzuri mzoefu na ana nguvu kuliko mabondia wote wanaoletwa Tanzania ila nimempeda sana nfaime kwa Tanzania inawezakua namba moja au wa pili kati ya show show na nfalme wa tatu mwakinyo ngumi zinaonekana
@saidhuma9171
@saidhuma9171 3 жыл бұрын
Mfaume acha kumtaka mwakinyo atakuua laund ya 4 hufiki,, hii game umebebwa2, hakuna kitu hapo niutopolo2
@issamganga7078
@issamganga7078 3 жыл бұрын
Mfaume kafanya sana mazoezi kwa mechi hii kwaiyo kachoka naona 50% kwa wote
@rogerhunda8616
@rogerhunda8616 3 жыл бұрын
Mchezo ulikuwa mzuri sana kulikuwa hakuna kushikana shikana
@mosesmwaisela2455
@mosesmwaisela2455 3 жыл бұрын
Ivii hamma sheria ya kuwafungia majaji. Wanapuyanga sana. Kwa aibu hii ni bola mngempa dloo.
@soduxrashol2480
@soduxrashol2480 3 жыл бұрын
Aibu Naona mim sikuwez hata kumaliza round zote
@eventelias3566
@eventelias3566 3 жыл бұрын
Mfaume ulijisahau sana kuweka guard sababu mpinzani wako alikuwa amefunga mda wote lkn kazi umeifanya #respect
@TALLUBOY
@TALLUBOY 3 жыл бұрын
UYU TAILA KIPIGWA SANA JANA wakujiita MFAUME MFAUME
@hassansaid9154
@hassansaid9154 3 жыл бұрын
Ongera mfaume umesko vzr tu
@elibarickelineema8989
@elibarickelineema8989 3 жыл бұрын
Mfaume Leo kachezea
@salumbatez2640
@salumbatez2640 3 жыл бұрын
mfaume kagongwa
@yusufngalema7442
@yusufngalema7442 3 жыл бұрын
Mfaume kapigika...Tuache kubebwa hovyo kisa tunacheza nyumbani..figisu hizi hazitujengi coz kulewa huu ujinga tutaaibika mbele huko...mfaume ngumi nyingi anajichosha tu sio professional km huyo wenzie anapiga panapostahili.
@gwakisageofrey6359
@gwakisageofrey6359 3 жыл бұрын
Majaji wemetutia Aibu pambano la mfaume Bora lisingeonyeshwa yani pambano liliandaliwa na mshindi aliandaliwa hata bila kupambana angepewa mkanda.
@salmaayub61
@salmaayub61 3 жыл бұрын
KWELI CHIKONDI KASHINDA MFAUME KAPIGWA .
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 3 жыл бұрын
1. Huwa hawashangiliii Kabla ya kutangazwa mshindi 2. Suala la mabondia wengine kuingia kwenye Ring si sawa nenda katika chumba chake cha kubadilishia nguo kamsalimie please acheni timu yake hapo katika ring.
@innocentmussa9724
@innocentmussa9724 3 жыл бұрын
Kapigwaaaaah mfaume
@livinusmugisha5469
@livinusmugisha5469 2 жыл бұрын
Huyu ndo anataka kupigana na Mwakinyo
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 жыл бұрын
UYU MTANGAZAJI NDIYE TULIYE MTAFUTA KWNY MCHEZO HUU HVYO UYU NDO ANAFAA KUTANGAZA MCHEZO WA BOXING BONGO
@reubenreuben2902
@reubenreuben2902 3 жыл бұрын
Kadundwa.nusu.angekunya.mavi.ila.mbeleko.bana
@selemaniswalehe2987
@selemaniswalehe2987 3 жыл бұрын
CA c c gyvfished gym j FL j
@selemaniswalehe2987
@selemaniswalehe2987 3 жыл бұрын
Mt go c jsj jyf
@sarahrajabu9812
@sarahrajabu9812 3 жыл бұрын
Mfaume mfaume kapigwa sana vip mnatangaza ameshinda
@charlesnurumwasha7834
@charlesnurumwasha7834 3 жыл бұрын
Hata waoohojiwa shaka tu sio kweli
@ibexdomnineer5664
@ibexdomnineer5664 3 жыл бұрын
All the way from South Africa ,Dah jana umetuangusha bro wanao w mabibo , Sema sokesi next time najua tutakuja kivyengine fundi " mapafu ya mbwa" Ilaa support kwa mwakinyo muhimu bro ili boxing y Tz izidikupewa attention ulimwenguni.
@yusuphamani72
@yusuphamani72 3 жыл бұрын
MTU anaweza akapigwa akafa na bado akaambiwa marehemu ameshinda
@novatusabond9253
@novatusabond9253 3 жыл бұрын
Mfaume kapigwa sana
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
Kapigwa na nan
@abdallahhussein6249
@abdallahhussein6249 3 жыл бұрын
Majaji wameamua kuadhimia maamuzi yao...lakin uhalisia mfaume kapigwa
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 3 жыл бұрын
Umeona
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
Nenda wewe
@expert5898
@expert5898 3 жыл бұрын
@@fatmabaraka3191 Kweli ndio huo kijana
@charlesnurumwasha7834
@charlesnurumwasha7834 3 жыл бұрын
@@fatmabaraka3191 kapigwa mfaume acha unazi
@jumannemwaka210
@jumannemwaka210 2 жыл бұрын
Mfaume umepigwa, ipo wazi
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 жыл бұрын
Hapo ndio msanii anapromotiwa afu mnadai wcb wananyonya sio madee?
@amirikiponda3993
@amirikiponda3993 Жыл бұрын
Hapo mfaume alipigwa sana
@ibrahimkalebi9604
@ibrahimkalebi9604 3 жыл бұрын
Mfaume mfaume umezingua sana mm kashabiki nakuponggeza kwa ushindi wa point inaonekana umefanya mazoezi mazuri ila hukua mapambano sana
@franklutindi4167
@franklutindi4167 3 жыл бұрын
Watu wanapambana kuinua box majaji wanashusha box ss watanzania natunapenda tushinde kila pambano lakin inapotokea tunapigwa bas maamuz yawe saii kiukweli jana tumepigwa hata asiyejua box awez mpa ushindi mfaume mmetia aibu kika mtanzania anajua tumepigwa
@husseinabdallah7458
@husseinabdallah7458 3 жыл бұрын
Champion ✌
@zulfikakalumba1977
@zulfikakalumba1977 3 жыл бұрын
Hii game Mfaume amepoteza, majaji miyeyusho tu wamembeba.
@issazuber6823
@issazuber6823 3 жыл бұрын
Kweri kapigwa mfaume
@riadikhalifa9306
@riadikhalifa9306 3 жыл бұрын
Tunatia huruma
@michaelpaul4902
@michaelpaul4902 3 жыл бұрын
Aibu kubwa sana hao majaji waache kuwaharibia mabondia CV tendeni haki mfaume kashindwa chikonda kaporwa ushindi wake waziwazi
@charlesnurumwasha7834
@charlesnurumwasha7834 3 жыл бұрын
Angalia furaha ya kulazimisha ndio utajua matokeo
@freshshabani1752
@freshshabani1752 2 жыл бұрын
Safi kijana mfaumu wa mfaume
@fulgenceoswald3866
@fulgenceoswald3866 3 жыл бұрын
BONDIA WA KIGENI ILI APEWE USHINDI NI MPAKA AUE😅😅😅
@alvinsafi2733
@alvinsafi2733 3 жыл бұрын
Hahah
@fredmabaya6528
@fredmabaya6528 3 жыл бұрын
Mfaume ww co bondia kabisa umebebwa Tanzania one ni Hasan mwakinyo
@nassoribrahim6400
@nassoribrahim6400 3 жыл бұрын
Bondia wetu mfaume na corner yake wamekosa plan B mimi nilivyoona mchezo kashinda mmalawi no doubt amejilinda vema na amepiga ngumi on target tumeona kwa kweli mmalawi amekuwa bora kimbinu amecheza vzr dhidi ya mtanzania.
@mbachoclassic7818
@mbachoclassic7818 3 жыл бұрын
Kwann hata nyie watangazaji hamko wakweli kwann mfaume akipigwa hamsemi
@tazaaatv9757
@tazaaatv9757 3 жыл бұрын
kapigwa
@stanslauselias9002
@stanslauselias9002 3 жыл бұрын
Bodia wa ukweli ni mwakinyo tu wengine utopolo tu
@shabanisaid7888
@shabanisaid7888 3 жыл бұрын
Kabisa kaka
@NJK_shiru
@NJK_shiru 3 жыл бұрын
Mbna anamkimbia kiduku
@jacobmrema467
@jacobmrema467 3 жыл бұрын
Daaah Tanzania kwa mfumo huu hatufiki,,,mfaume kapigwa afu awe mshindi Tena duuu Ina Mana hatuoni hapa jaaman
@arriyamistamp4945
@arriyamistamp4945 3 жыл бұрын
Nan alie ikubali song
@ibnuhajartvonline2448
@ibnuhajartvonline2448 3 жыл бұрын
HALAFU. ETI. ANAMTAKA MWAKINYO
@iddyally3342
@iddyally3342 3 жыл бұрын
Aambiwa eti
@andrewmkwalakwala2176
@andrewmkwalakwala2176 3 жыл бұрын
Msitufanye mafala mfaume kapigwa sana tatizo watanzania wababaishaji sana so kwenye siasa mpaka kwenye michezo tendeni haki
@frankyohana5617
@frankyohana5617 3 жыл бұрын
Mfaume safi sana uncle , chikondi alikuwa hataki kuchez mda wote anajilinda tuu
@manyamamlaji4713
@manyamamlaji4713 3 жыл бұрын
MIMI NAONA MFAUME KASHINDA ,KWANI MPINZANI YEYE KAZI YAKE KUWEKA GADI TU,TOKEA ROUND 1 ,HUYU CHIKONDE AN AFATWA YEYE TU , HIVYO MIMI NAONA KASHINDA KWA ASILIMIA MFAUME 52 asilimia vs CHIKONDE 48 asilimia ,hongera kwake MFAUME ila abadilike kidogo aongeze mbinu na kasi ya kumkwepa mpinzani
@fadhilally1937
@fadhilally1937 3 жыл бұрын
Ujui ngumi ww
@mohamedmzeeassuufiyy1334
@mohamedmzeeassuufiyy1334 3 жыл бұрын
Tanzania bado kabisa
@masanjanhega3017
@masanjanhega3017 3 жыл бұрын
Hii ngoma ilipaswa kuwa droo aisee
@badymedia9648
@badymedia9648 3 жыл бұрын
me too bro , thought bso
@bintui.mrissa.6361
@bintui.mrissa.6361 3 жыл бұрын
Fact
@mudriqhamidu6031
@mudriqhamidu6031 3 жыл бұрын
Haina drow ndugu yetu, alipigika sema imetumika t ule usemi mcheza kwao hutunzwa ndicho kilichofanyika
@zananabalozi670
@zananabalozi670 3 жыл бұрын
Jaman siku mfaume mfaume akiona Hassan Mwakinyo amesain ujue ndio siku ngumi zitakapofungiwa mana tutaona mafuvu yako ya kichwa yakiruka ulingoni hakika uwezo wako ni mdogo sana tena sana.
@talikikateja1132
@talikikateja1132 3 жыл бұрын
Haki ni sawa kwakila mtu hili pambano lilitakiwa litoke droo.
@ireneindah5236
@ireneindah5236 3 жыл бұрын
Bora ww umesema aisse
@mankambise222
@mankambise222 3 жыл бұрын
Wabongo mnapenda tu kuongea ila Mfaume alipigana sana ni basi tu
@user-qd2sz4ch5z
@user-qd2sz4ch5z Жыл бұрын
Huyu na pialali hamn bondia hapa tena afadhali pialali maana hana mdomo wala majigambo ya hovyo.... Af ndo unamtaka mwakinyo kweli Sirius 😢
@mbachoclassic7818
@mbachoclassic7818 3 жыл бұрын
Mpinzani akishambulia mbona hamuongei ukweli kwamba mpinzani kashambulia mnaangusha mchezi
@omarimwigula3248
@omarimwigula3248 3 жыл бұрын
Jamaa anapiga ngumi nyingi za point daah mfaume kapewa vip ushindi?
@gtunewaves2867
@gtunewaves2867 3 ай бұрын
AAH mfaume kapigwa ngumi nyngi mno tena za wazi ni uzalendo tu
@yohanaleopold9929
@yohanaleopold9929 3 жыл бұрын
Kapigwa alafu mwampa ushindi tanzania tutabebana mpaka lini tunatia aibu sis wote tumeona mfaume kapigwa
@malekangunza8609
@malekangunza8609 3 жыл бұрын
Kapigwa Mfaume
@zephanialukumay3036
@zephanialukumay3036 3 жыл бұрын
Mdogo wangu mfaume kapigwa kwa points, ila sasa mcheza kwao hutunzwa!!!
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
hakika
@hemedikijiwe5428
@hemedikijiwe5428 3 жыл бұрын
Umegongwa buroo
@jafari2nabwakaka755
@jafari2nabwakaka755 3 жыл бұрын
Mfaume mfaume ameniboa sna jana
@omarinasoro9712
@omarinasoro9712 3 жыл бұрын
Mfaumo wakatiwakoushapita tulia azamu midia tu uleshavu maanauwezowakoumeisha
@salumukimanzchana987
@salumukimanzchana987 3 жыл бұрын
Umepewa tu ushindi ila umepigwa ukweli huo
@shivjigullam8255
@shivjigullam8255 3 жыл бұрын
Nyinyi ajui ngumi mfaume mkali ww nwakinyo wajawuda kwa mfaumeee
@abdulrazakihamisi6201
@abdulrazakihamisi6201 3 жыл бұрын
Aibuuu iii jamny alaf eti anamtaka mwakinyo
@brightivan1672
@brightivan1672 3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@stevenmaxmilan272
@stevenmaxmilan272 3 жыл бұрын
Uyu kwamwakinyo bado san
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
Aibu ya nini
@emanuelkitalima7805
@emanuelkitalima7805 3 жыл бұрын
Kwa usenge huo alafu unamtaka mwakinyoo atakuua ni jatari Yule broo alafu unajisifu kumbe hamna kitu hapooo
@ruderesangara6650
@ruderesangara6650 3 жыл бұрын
Mfaume mechi hii umepoteza, majaji wameongopa hapa mmalawi kashinda hill pambano
@themuni5733
@themuni5733 3 жыл бұрын
Dah tunahitje na sisi mabondia wetu waend nje washind nao kama wao wanaume
VITASA | Twaha Kiduku alivyomtwanga Dullah Mbabe - 20/08/2021
23:03
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 98 МЛН
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 5 МЛН
Glow Stick Secret Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 18 МЛН
Now it’s my turn ! 😂🥹 @danilisboom  #tiktok #elsarca
00:20
Elsa Arca
Рет қаралды 12 МЛН
NYANGE YOUSSOUF
2:17
GAME IN
Рет қаралды 11 М.
PAMBANO KAMILI: IBRAH CLASS  v  SIMON NGOMA
53:50
Azam TV
Рет қаралды 225 М.
AUNG LA  Vs ERDOGAN 😞🥹
12:04
NiZnOO
Рет қаралды 30 М.
USIKU WA VITASA: KIDUKU VS SIRIMONGKHON
47:34
Azam TV
Рет қаралды 594 М.
PAMBANO KAMILI: HASSAN MWAKINYO vs TSHIBANGU KAYEMBE
1:34:11
Azam TV
Рет қаралды 267 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 98 МЛН