Jaman tufanye kazi kwa bidii afu tuombe mungu atujaalie mana daaaah si mchezo pia vijana tusikate tamaa! Pia tusikubal kukatshwa tamaa!
@mpelajohn26813 жыл бұрын
Mimi mshabiki wako mkubwa sana nakukubali sana Diamond nakuombea sana kwa mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na mafanikio zaidi ya hapo❤️❤️
@dieudonnebigirimana80833 жыл бұрын
Neematullah,ALLAH akuongezee zaidi huna roho yakukunja #diamond #wcb 4life #NLM #IYO 🎶 Generale dangote, Simba bin raden.... ALLAH akubariki ALLAHUMMA amin🙏
@patimabilali78203 жыл бұрын
Hamna kitu apo ayo n mapambo ya dunia kajipangaje n akhera
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Amina
@dieudonnebigirimana80833 жыл бұрын
@@patimabilali7820 tunajua niyampito! rakini kufurahi sio dhambi.Allah kaumba dunia na viliomo kwajili yetu binadamu.M/mungu akikuruzuku ukafurahi sio dhambi
@sophiaabubakary5273 жыл бұрын
Kutimiza ndoto kuna raha yake jaman. Hongera bro
@mikythechef3 жыл бұрын
This life is not about pride .. yesterday he didn't have and no one cared,today he has and that's why he has to tell us everything is possible
@salmamganga65843 жыл бұрын
Nimekupenda
@ashakasikile26983 жыл бұрын
🙏 Amen
@mikythechef3 жыл бұрын
@@salmamganga6584 nashukuru
@takid.master3 жыл бұрын
Jealousy kills!! he's not showing you plzzzzzzzzzzz!!! you've just felt it important to follow n watch everything about him! He's got it all!If i were you,i would have just ask myself how he did it to be where he is today but not talk jealously!! Let's learn to appreciate others when they make it not call everything pride.
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Did said salim bakressa do that or he has no money?
@seifchembela43463 жыл бұрын
Maskin tupunguze husda ndomana atufanikiwi ebwana mondi fulai ndugu ata ningekuwa mm ningefulai
@andulilemwakihabha20483 жыл бұрын
Kabisa
@avitydamian19943 жыл бұрын
Nikwel kabsa
@takid.master3 жыл бұрын
Waelezeeeeee
@phiylismoraa75493 жыл бұрын
Huyu jamaaa mnyama kwa kweli 🦁🦁🦁🦁🦁💯
@TEN10TV.3 жыл бұрын
Kuna watu roho zinawauma hapo ... Big up mond
@issabinmaryam74503 жыл бұрын
Na wao wajiunge free nation tu..majuto mjukuu
@zakiasirya40773 жыл бұрын
Wenye roho za kitu Bado waseme ni ushamba...washamba ni wao ..Simba Fanya kwa Raha zako
@michaelvicem63233 жыл бұрын
Ushamba tupu yan bado bado wasanii wetu awakui umaalufu wake tu unatosha ASA magali kama ndo nin anapambana na hamo ndo ushamba
@humphreynduye75733 жыл бұрын
Anapiga misele jaman ,,,, Magari si yake
@svt33 жыл бұрын
@@humphreynduye7573 ni za baba yako? Au zako? Fanya kazi kwa nguvu na wewe utapata na kuna watu wa roho chafu kama wewe hawata amini ni vyako
@issabinmaryam74503 жыл бұрын
Ulimbukeni kuna watu wana miwe wametulia
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Ni ushamba kweli
@tariqhassan13853 жыл бұрын
Vijana wenzangu tumuombe sana mungu, kama kusoma tusome kwa bidii na tufanye kazi kwa bidii na tusiwachukie waliofanikiwa
@takid.master3 жыл бұрын
Wenye wivu Sasa wajinyongeee!!SIMBA SIYO PAKAAAA!!!BIDII YAKE HIYO!! Always proud of this African 🦁🦁 PLATINUMZ you're the best wapende wasipendeee
@chrismwanakwetu36773 жыл бұрын
Kwa Mara ya kwanza naiona gari kari naomben japo like zangu
@amrimwingwa9943 жыл бұрын
Uyo mpuuuzi mwenye boda anajipitisha kando ya hiyo gari wacha aichubue halafu ajue maaana ya RR
@andulilemwakihabha20483 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@otiliamkenga20663 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@mgoiink47393 жыл бұрын
😂😂😂😂
@abdulyabubakar62473 жыл бұрын
Tutamyooosha wewe heee asichubue gari ya boss wetu
@jannethcharles96583 жыл бұрын
🤣🤣unaonekan una asila🤣🤣
@samsunggalax82583 жыл бұрын
Mashallah mwenyezi mungu akuzidishiye zaidi na zaidi ameen🥰
@alexlingwendu67803 жыл бұрын
Hizi ndo Kiki ambazo mburukutu hawatoweza iga kirahisi rahisi labda tu wakaazime kwa mondi .Much Respect kwa Mtoto wa Tandale
@sebastianeverlund85263 жыл бұрын
Daimondi I would like to advise you that you should bay a two big motorcycle to your bodyguard so they can protect you side by side sometime when you are driving your car. 👌🏾🙏❤️🥰
@mgasa_tz55273 жыл бұрын
Platinum umetisha Brother.! Daah! Sijui hawa akina H-Mama sura zao watazificha wapi 🤣🤣🤣
@willsontv74243 жыл бұрын
Kama umesikia harmonize chupi tuu tipia like hpa
@TheRock-wo6mx3 жыл бұрын
Hapo sasa simba watakoma huu mwaka niwetu bado private jet tuwazime kabisa WCB for life more love from Doha Qatar 💖💖🇶🇦🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@mejamiela16053 жыл бұрын
Aisee sasa sisi maskin dunian shida na mbingu tunsikosa Mungu akulinde sima
@bashiruhassan73103 жыл бұрын
Half kuna watu wanadai ni feki kwan haya magari wachina wameshea kuunda au😆😃
@antoinebakevya89113 жыл бұрын
Nakubaliiii, kiwasheeeeeeee
@jimyjastini99953 жыл бұрын
Diamond kwenye uborawake 💎💎💎💎❤❤❤💪💪💪🙏🙏🙏🇹🇿🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@kabrahu_no_16653 жыл бұрын
Mash,Allah mungu akuzidishie vyahalali amn
@user-wj2ss1qk8k3 жыл бұрын
Mashaallh mungu akuzindishie amiin
@geraldluiso67923 жыл бұрын
Excellent 100%✓
@lennoxshimanyula8453 жыл бұрын
Simba wa ukweli🥲🤑🤗....hongera platinumz
@lexq-sm6lq3 жыл бұрын
Nimesikia harmonize mfupi tu😂😂😂😂 Ila watu
@abdallaabedi23543 жыл бұрын
Hahahah
@mbigokabwere52513 жыл бұрын
Nakubali boss wetu diamond sasa wanafiki waongee sasa kina Hbaba na mwijaku
@mussamwamoto82313 жыл бұрын
SIO SIFA ILA NI KUONYESHA VIJANA UKITAKA KUTAFUTA UTAPATA MUHIMU NI MALENGO,TUTAFUTE PESA NA SI MAJUNGU
@azizawadh59733 жыл бұрын
We umepata
@elishasolomon97422 жыл бұрын
Vzr una akili sana
@vero573 жыл бұрын
Jamani fanyeni kazi kwa bidiii, hongera sana 🎊 mondi
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Diamond naomba unipe mie like gari ya zamani
@saniakisinga36453 жыл бұрын
Escarade ndani ina taa kwa ajili ya kupunguza mawazo hatari ...
@faridhamad3678 Жыл бұрын
Et taa ya kupunguza Mawazo😂😂😂😂
@hanifamasudi97323 жыл бұрын
Hata kazi jameni wengine wanatembea kwenye gari we wakimbizana nagari kwa miguu mondi anazarau sana jameni
@samoragoodwin73093 жыл бұрын
Ungetenga muda wakushukuru mungu kuliko kuwaonyesha binadamu ungekuwa nazo tu wala hakuna shida ila ongera uko vizuri kijana umepewa na muumba wako
@alesnema95963 жыл бұрын
Nimependa iyo Kwa kweli luu
@abelymembe23343 жыл бұрын
Jamani huyu mtoto haweze kani
@zeinababdi47573 жыл бұрын
These cars with those Africa roads🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@filbao81133 жыл бұрын
SUVs
@innobugobola16943 жыл бұрын
Hyo ndo matumiz ya Pesa !! Ukizpata fanya kwel 🙏🏼,sio kukalia maneno ya h.baba na mwijaku 😜😜😜!!
@TibaTito3 ай бұрын
Baraza litengeneze bendera yao wampatie mond kokote anakoenda aweke kwa gar yake! Kaufanya mziki uende mbali sanaaaaa! He is talented man
@zakiasirya40773 жыл бұрын
Minshar hasidin idha hasad
@kotboylikoti67373 жыл бұрын
Hiyo ndo kz kijana
@gynae84073 жыл бұрын
Bingo mnatisha kwa kazi nzuri
@robertkisasa13463 жыл бұрын
Tufanye sana kaz wanetu wasifany kazi ya kukimbiza roll royce ya boss isichubuliwe na bodaboda
@hekimaisaya82553 жыл бұрын
Chuma zinatembea bila plate namba anii 🙌🙌 pesa nomaa
@carrenjaber35193 жыл бұрын
This show off is on another level nkt
@bigbossmanbossman69463 жыл бұрын
Wow! The guy has money
@salumulongwa94613 жыл бұрын
Nomasana chibu🦁🦁👍
@ndakiwilson63473 жыл бұрын
Big up?
@ndakiwilson63473 жыл бұрын
Big up?
@yusuphsege74953 жыл бұрын
Ni sawa tu kuwa na magari, ya kifahari majumba ya kifahari. Ila hizo zote ni mapambo ya hapa hapa Duniana. Hishu kubwa na fahari kubwa nikumuogopa Mwenyezi Mungu na kuijenga nafsi ili akutengenezee Janatu Firdaus.
@fababindawood83633 жыл бұрын
Hakuna ki2 kizur katika maisha yako ukawa na ndoto kubwa sana na ukakakamilisha ndoto yako kwakweli vijana tufanye kanye kaz kila k2 kinawezekana hongera sana Diamond wabongo tupunguze chuki diamond amewazid xana tena xana
@jumaibrahim97733 жыл бұрын
Mnyama mnyama kweli achana na wapika majugu
@venturejackson63573 жыл бұрын
Lazima wanyooke shenz type 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@phillipmatola69643 жыл бұрын
Barabara zenyewe ziko wapi za kuendeshea hayo magari
@emmanueldaud83713 жыл бұрын
Pamoja simba never give up
@vero573 жыл бұрын
Enjoy mondi, pesa yako mweyewe, why not, hongera sana, 🚘💎🎊💪👍👏👏👏👏
@kaburaakbar48383 жыл бұрын
Simbaaa baba lao
@smukelomkhize97753 жыл бұрын
Kikukuu Baba lao
@teddy76203 жыл бұрын
Respect to this guy
@shomikhamis19313 жыл бұрын
Da! mwamba anajeuri Kwa kweli
@ombeniruvubika53923 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Kumbe na ww umeona
@ramadhanmzigo99973 жыл бұрын
Wanyooshe simbaa iyo iyo
@georgewilson25443 жыл бұрын
Diamond platnumz kwakweli sasa yupo mjini Ameni swahili nation
@jeniferlaswai88733 жыл бұрын
Unazid kunipa nguvu ya kufanya Kaz usiku na mchana. Majungu pemben sasa
@ashuuyusuf39783 жыл бұрын
Big up mond...mwiteni mwijaku jamen 😁
@mishiabdullahsalma78723 жыл бұрын
Simbaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥
@bhaleeali84593 жыл бұрын
sasa PLATNUMZ anaenda wap na foleni ya DSM 😁😁😁
@subirajohn7283 жыл бұрын
Furaha ndugu yangu hata ningekuwa Mimi ningefanya zaidi ya hivi wabaya wangu wote waungue
@delahflora24793 жыл бұрын
Ushamba tu 😤😏
@nancykwendo10413 жыл бұрын
Naomba tu mchango wa wheelbarrow ya kubeba maji , kichwa kime Choka kubeba na Nina toa mbali maji yenyewe
@lucasmsangalawe42543 жыл бұрын
This is SIMBAAA brother
@tayt40863 жыл бұрын
Kwel simba gar ata nmba hazina na unatembea road
@kevindominion46663 жыл бұрын
The cars seems to have no number plates 🙄🙄🙄
@dan_platnumz87903 жыл бұрын
Mkali wao, Simba 🦁
@jamesmasero56423 жыл бұрын
Mwijaku sema Sasa Domo kubwa H.MANYAU SEMA NA WEWE FARA ACHA SIMBA AITWE SIMBA
@zachariakonyanza22593 жыл бұрын
Arisistoteeeeeeee mamnyenyoooo 1k likes
@nancymohamedy76723 жыл бұрын
Alafu daimond akili yake ninavyo ifahamu mimi kwa upeo wangu Akijua unakelekwa Basi jua ndio atakukela zaidi hahaaaa sio mtu mzuri uyu namkubali sana MATUKIO YAKE
@henryhassan5973 жыл бұрын
Brother big up
@saydimtepende17043 жыл бұрын
MOD 🤝🤝🤝🇹🇿🔥🔥
@christengeneza79753 жыл бұрын
Aisee bongo raha sana BET imekufa wala waandishi hawakumbuki kuhoji kilichotokea uko wamepumbazwa na magari sasa zimekua mbio za mwenge aisee mondi ana akili sana jambo la maana la kuwafundisha wasanii wenzie anagalau kutamka chochote hakuna badala yake katoa magari msafala na show off kwa watanzania na wasanii makapuku, but hongera ila nothing else zaidi ya ulimbukeni
@bonnysure87063 жыл бұрын
Kabisa
@valeriachipeta7743 жыл бұрын
Pole
@timelessdaddy.25423 жыл бұрын
Watanyooka tu
@joycechacha78503 жыл бұрын
😂
@erickstevenericksteven63713 жыл бұрын
Mwamba bishoo kinyama namkubali saaana
@stiviemshuza4463 жыл бұрын
Yani uje nakigar chako ugonge hiyo RR tunakiuza kwanza ili tupate hela yakufungulia jalada
@zuberiismail29723 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@stiviemshuza4463 жыл бұрын
@@zuberiismail2972 hhahahhaaaa
@ameedamilja79923 жыл бұрын
Ushamba Mwingine Ni hatari sana. Mambo ya kukulia Mbagala hata mtu azeeke au awe na pesa still Ushamba hautoki.
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Magari ya watu hayo ya kukodi kwenye shoruumu! Hakuna mtu anaeweza kutembea na gari mwezi hata mmoja bila usajiri! Na hio sio tanzania tu, ni duniani kote, Hizo gari diamondi huwa anazikodi shoruumu na kuomba kibali cha muda polisi ili azugie! Nadhani wengi mnatembea sana tu na mnaelewa, Hizo gari kama ni za kwake ni mwaka sasa! Mwambie aonyeshe pleti namba!
@wcbvotefance3 жыл бұрын
Nice life
@theafricannetworker82293 жыл бұрын
Siku moja nitaendesha Cadillac
@ambakisyemwanjemba57873 жыл бұрын
Safi Sana dogo akina mwinjaku walikuwa hawaamini na walikuwa Wana diss mpaka plate namba pumbavu zao mtu anamiliki mark X anamdiss mond
@ramamtoo9393 жыл бұрын
kweli wabongo washamba jaman daa
@bigbossmanbossman69463 жыл бұрын
Convoy imeshinda ya mama samia kwa umbali sana
@saidsuleiman76903 жыл бұрын
Nasibu unaidhulumu nafsi yako unajifaharisha kwa pesa dhambi mziki mrejee muumba wako kuna kurejea kwa Allah ipo siku
@johnmagambo92313 жыл бұрын
Mkundu wako,ww ulierejea kwa mungu unanini acha roho ya wivu mwishowe utakua mchawi
@MwanaashaRSaid3 жыл бұрын
Hongera but sikuona haja yakufanya hivyo my bro mana hayo mambo wenzio wanafanya sana ulaya ila hawatembez barabaran hii hali inakuja kuku cost kwenye vitu vya maana mfano tunzo kuna baadhi tu ya watanzania waliacha kupiga au kukuchagua wakiamin ukishinda utaleta shida kubwa mtaani ,,,ni mpambanaj but badil huu mfumo my brother🔥
@msukumaone Жыл бұрын
Mbona hayo magari mnayosema ni ya kifahari hayana vibao vya namba? au mkimalizia show mnayarudisha dukani? Sheria zetu Zina semaje kuhusu kuendesha gari barabarani bila ya kuwa na "registration number "
@mgallason...56863 жыл бұрын
Hili ni tatizo kubwa sana, sasa sijui ni ulimbukeni, Ushamba au jeuri?
@florakabadoelkana67643 жыл бұрын
Tunyoshe akiri zitukaye sawa
@chicharitoronaldo59503 жыл бұрын
Tambaa Simbaa wasikupangie maishaa
@Wamikogo3 жыл бұрын
Jaman s2kizzy yuko mbele
@waytvtz25493 жыл бұрын
RR Mimi sijuii kwann sipend Kama Escalade
@valeriachipeta7743 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 good ni haki yako jivunie watakuheshim tu
@ezapesambili21303 жыл бұрын
Simbaaaaaa ungurumaaa
@sultanadam55293 жыл бұрын
Matakoma watanzania Mondi ndio anawaweza
@bethreesmartsolution77293 жыл бұрын
All those cars the landcruiser will be there 20 yrs later
@noelmgulusi67073 жыл бұрын
Team lazima iwe na Msafara na Ndege yao, #AirWasafi