FULL VIDEO: Upendo Nkone kuhusu kutaka kuolewa na mume wa angela Chibalonza na mengine

  Рет қаралды 33,421

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Күн бұрын

Пікірлер: 78
@generosennko8343
@generosennko8343 3 ай бұрын
Most powerful and beautiful voice. Asante upendo. You are beautuful. Pia nawapenda Waha. ni ndugu zangu
@margaretagiso1997
@margaretagiso1997 3 жыл бұрын
Nyimbo zako zimenifanya kuendelea kumtumainia Mungu,it liftens my soul every moment,aki barikiwa sana mummy
@xkingx8041
@xkingx8041 7 жыл бұрын
Upendo, nakupenda Bure, yaani! !ubarikiwe saana
@anithalobina4986
@anithalobina4986 6 жыл бұрын
una roho ya utii ndani yako. Mungu akubariki sana
@kacheali4777
@kacheali4777 7 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo zako kwa kweli zanibarik n kunifunza mambo mengi maishan jinsi ya kuhusiano mzur n mungu. mungu azid kukupa nguvu uzid kueneza injili .
@ednaprosper60
@ednaprosper60 7 жыл бұрын
Barikiwa Sana dada wenimcheshi sana
@rosemaina8524
@rosemaina8524 4 жыл бұрын
You have a sense of humour n sound young at heart. Like
@BerthaPereya
@BerthaPereya Жыл бұрын
I love you and your songs
@roseogundo9323
@roseogundo9323 2 жыл бұрын
Nakupenda bure my Dada...kicheko hiyo ...mwaaà
@femaleflower4100
@femaleflower4100 2 жыл бұрын
Amujambo mungu akubaliki sanakabisa mungu akuongeze yemafuta akuzindisiye 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 namimna pendayipo zakozote amina amina ubalikiw sanakabisa
@kendashibadu1062
@kendashibadu1062 6 жыл бұрын
Mama upendo uko sawa nyimbo zako zinajenga.
@rebecabryson1481
@rebecabryson1481 7 жыл бұрын
nakupenda sana nyimbo zako zinanipeleka uweponi sana
@danielkyalo1512
@danielkyalo1512 7 жыл бұрын
UAR a strong pillar mummy nakupenda mwanzo mavazi yako,mmmmmmwah barikiwa sana
@mwajumahamisi6738
@mwajumahamisi6738 7 жыл бұрын
wow! I love the story of your calling. Bwana akutie nguvu akushike mkono usiiache njia.... I love your story
@agnesslyatuu993
@agnesslyatuu993 7 жыл бұрын
Daa dada Upendo nimekupenda saaàaana ubarikiwe.
@injenasuppliers3958
@injenasuppliers3958 7 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@puritymoki2238
@puritymoki2238 4 жыл бұрын
May God continue increasing the grace in you, to fulfill your purpose
@rhinaregina5806
@rhinaregina5806 7 жыл бұрын
mommy I love all your songs, you bless me a lot
@joyblessedtv
@joyblessedtv 7 жыл бұрын
nakupenda na ninabarikiwa na kazi zako Mungu akubariki uende mbali hadi Mbinguni
@babyelizabeth5743
@babyelizabeth5743 7 жыл бұрын
she so fine but I like your music may God bless you
@solangeirakoze3243
@solangeirakoze3243 7 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@winnyroda7558
@winnyroda7558 Жыл бұрын
Nakupenda bule mama
@gracedadu6635
@gracedadu6635 7 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Upendo Nkone
@pristinenjeri2860
@pristinenjeri2860 7 жыл бұрын
Wow i am blessed,love her songs so much..... and she is sooooooo funny
@mwajumahamisi6738
@mwajumahamisi6738 7 жыл бұрын
nilikujuaga kwa wimbo wa Mungu baba ninakupenda and still my favourites
@solangeirakoze3243
@solangeirakoze3243 7 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo zako mungu akuwezeshe
@medtreat5069
@medtreat5069 7 жыл бұрын
mama wa Mimi ubarikiwe na Mungu
@sandrakibisu9149
@sandrakibisu9149 7 жыл бұрын
upendo nimependezwa jinsi unajibu maswali una ucheshi sana mungu akubariki mnaosema apunguze kulialia kwa nyimbo shut up coz ujui mbona mungu alikusudia aimbe hivyo nyamaza coz hamjui na iko sababu upendo hongera endelea jinsi roho wa mungu anakuongoza wasikubabaishe wao endelea mtumishi wa mungu
@mwajumahamisi6738
@mwajumahamisi6738 7 жыл бұрын
Sandra Kibisu well said Sandra.... hao wanataka aimbe kimwili... wanadhan anajiliza kumbe the Spirit in her ndo anafanya kazi... yaan wanadam n shida
@ElinaErasto17
@ElinaErasto17 7 жыл бұрын
Aww kirundi ❤️❤️❤️❤️💕💕💕😘😘😍😍my Burundian mama
@princeemmamunda4286
@princeemmamunda4286 7 жыл бұрын
nu tole inamba yanje yiwhatsapp undondele ndaguhe inamba yage ni Chambu wachu uwo
@agripinatemi732
@agripinatemi732 6 жыл бұрын
Nabarikiwaga sana na nyimbo zako..
@silvyakerubo9680
@silvyakerubo9680 3 жыл бұрын
May God blessing you my mum
@davidmachaki542
@davidmachaki542 6 жыл бұрын
umesema ukweli dada, Mungu akubariki
@raybenard5517
@raybenard5517 7 жыл бұрын
yaani mtangazaji ajajutia kukuinterview dada angu. Mungu azidi kukubariki milele na milele
@liramindisland24
@liramindisland24 7 жыл бұрын
hukoseagi Dada naamini hata hii album itakuwa matata kabsa
@faithfussi8174
@faithfussi8174 7 жыл бұрын
ubarikiwe sana
@flomrembowakenya5524
@flomrembowakenya5524 7 жыл бұрын
254 we love u
@jackliineurio8099
@jackliineurio8099 7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂ur very charming haswa apo eti mnanuniana karibu mwezi😂😂😂😂😂😂😂
@winnyroda7558
@winnyroda7558 Жыл бұрын
Mkologo mbaya na Mungu hapendi ujue
@yustakipenyakipenya9117
@yustakipenyakipenya9117 5 жыл бұрын
wimbo unanikumbusha mbali uliniliza sana nikiwa shulen
@jacobrichards5305
@jacobrichards5305 6 жыл бұрын
Hahaha ubarikiwe mama!
@hildamgomapayo6626
@hildamgomapayo6626 7 жыл бұрын
Nakukubali. Ila ndoa nzuri jamani unazidi kuwa KIJANA
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Ukiipenda na ukutane na anayejali
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv 7 жыл бұрын
nimefurahi dada Upendo
@abigailipambe6999
@abigailipambe6999 Жыл бұрын
Ndo maana huu to wimbo una nguvu Sana ndio ulionifanya nianze kukufuatilia nikiwa darasa la sita ubarikiwe Sana🙏
@evelynediomed7724
@evelynediomed7724 7 жыл бұрын
nakuunga mkono dada barikiwa saaan, Nakupenda saaan
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Hatupendi kabisaa mkologo kwa Sababu unatuinua Wengi mno
@erickmathayo8934
@erickmathayo8934 7 жыл бұрын
Hua nabarikiwa sana na Nkone
@tulizojonson8255
@tulizojonson8255 7 жыл бұрын
mi nakupenda sana wifi yangu lkn punguza kulialia ktk nyimbo zako mungu alishajibu maombi yako ulijisemea mwenyewe
@mwajumahamisi6738
@mwajumahamisi6738 7 жыл бұрын
Tulizo Jonson Roho wa jbada akiwa ndan yako huwezi kuzuia kilio... kwan before alikuwa analilia nn na Leo kwann aache? maana yake alikuwa analia cz ana matatizo? let her be
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Muha w Iwachu Safiiii saanannaa
@mahutombelwa5550
@mahutombelwa5550 7 жыл бұрын
ila dada nkone ni mcheshi sana
@henrydragonballz5183
@henrydragonballz5183 7 жыл бұрын
Mahuto Mbelwa aw12
@zainachengula1191
@zainachengula1191 7 жыл бұрын
Hongera sana.. Naomba namba yako my mom!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Ila hapo umenigusa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Kawimbo Ka Kiha tunafurahi mno mno Kabisaa
@mwajumahamisi6738
@mwajumahamisi6738 7 жыл бұрын
I feel like saying something as far as I listen.... you are honest, kama vile biblia inavyosema tuseme kweli kila mtu na jirani yake.. halafu unavyoongea sasa! penda you more.. wise woman .... better umeacha mama maana hata Mungu asingefurahia kama ungeendelea kubadilisha rangi yako....
@starlily07
@starlily07 7 жыл бұрын
😂😂😂 Upendo bwana 😂😂 mi nakupenda tu unavyoongea yaani full kuchekaaaa....eti jamani hapa ni kapoda tuu 😂😂 ekayee,,, we hupendi zako kupika, michuzi lwaaa 😂😂
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Ni miaka hii wanaruhusu zamani ukijichubua Fpct unatengwa
@melissahwanja4516
@melissahwanja4516 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂nakupenda bure mama
@failaprince9250
@failaprince9250 Жыл бұрын
Usiashe juin yawashabiki uhashejuu yamungu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Bora usipende saana shirika,unaweza vamia kusiko
@mwajumahamisi6738
@mwajumahamisi6738 7 жыл бұрын
kweli kabisa, liko shambulio kubwa sana kwa wale wanaotoka katika familia za wachungaji n vile shetani anataka kuharibu ushuhuda... umenena vema... me nakupendaga sana
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 7 жыл бұрын
Huo wimbo wa Mungu Baba naupenda sana❤ lakini hapo kwa kilo dadangu uongee na Mungu akutetee maana siyo nzuri kwa afya yako, na pia hata Mungu awezi kukutumia vizuri na uzito huo maana hauna wepesi. Kilo 70 bora kiasi kama wapenda unene, zaidi ya hapo ni tabu kisha tujekusema Mungu amependa.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mmmm Mungu anaangalia uzito??????
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Wee pole saana uko mbali saana
@mercymutabe1306
@mercymutabe1306 4 жыл бұрын
Amen
@liberatasimon
@liberatasimon 7 жыл бұрын
hahahaa Upendo uko charming had raha
@anomaseta8793
@anomaseta8793 7 жыл бұрын
muweke na bahati bukuku full interview
@chrstinakarani6261
@chrstinakarani6261 7 жыл бұрын
Barikiwa sana mama kwa uduma yako
@femaleflower4100
@femaleflower4100 2 жыл бұрын
Nimesahahu kusema maalinina ihiniko kananda
@ElinaErasto17
@ElinaErasto17 7 жыл бұрын
Erasto that's my dad name
@gamelahg4613
@gamelahg4613 6 жыл бұрын
Upendo ukomurundi? Aomutanzania?aomukenya??
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
NI MTANZANIA WA MPAKANI
@akanishabani5789
@akanishabani5789 6 жыл бұрын
Shetani anakutamani na wewe unamfuata!
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 26 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
I tricked MrBeast into giving me his channel
00:58
Jesser
Рет қаралды 23 МЛН
MPOKI WAZIRI / WAKUVANGA MGONJWA
20:47
CHEKESHA TV
Рет қаралды 8 М.
Upendo Nkone akiri kutumia mkorogo, aeleza sababu
12:02
EastAfricaTV
Рет қаралды 86 М.
KUNGWI DUME: MAANDALIZI YA MWANAUME
26:13
Ibrah Thedon
Рет қаралды 15 М.
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 26 МЛН