FUSE PODCAST (Episode 1) Hii disconnect ndio inayoleta Stress na Depression!

  Рет қаралды 2,418

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 41
@aysherkabby5937
@aysherkabby5937 10 күн бұрын
Kweli kabisa, kila mwenye kusubiri yupo pamoja nae, Allah atupe subra na Imani……Insh’Allah!!!!
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 10 күн бұрын
Mimi nimeipokea kwa ukubwa sana ❤❤ Mungu azidi kutuletea watu kama wewe wanaotukumbusha ni yeye tuu mwanza mpaka mwisho alikuweko na atakuweko
@abdinoorkamau9745
@abdinoorkamau9745 10 күн бұрын
Masha.Allah may Allah akupe umri mrefu insha.Allah..❤🙏
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 10 күн бұрын
Nzuri sana hii
@zuwenarajab695
@zuwenarajab695 10 күн бұрын
"Sallallahu alayhi wa sallam” Allah akuafu na ugua pole sana brother! Allah akujaalie maisha yenye kher na barka tele. Asante sana, hasa hapo kwa watoto ndio ngoma nzito. Yaaani wanabomoa fikra za watoto sana. Allah atuongezee vizazi vyetu na uzao wa vizazi vyetu kwani hali inatisha san.
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 10 күн бұрын
Maashaallah topic nzuri sana
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 7 күн бұрын
Pamoja kaka
@aysherkabby5937
@aysherkabby5937 10 күн бұрын
Ya’Allah!!! Insh’Allah tupe mwisho mwema, tuondolee majaribu, tupunguzie maradhi, na utulinde….. Aamin Yaarab!! InshAllah 🤲🏼
@tigris_192
@tigris_192 10 күн бұрын
Amina
@djsma255
@djsma255 10 күн бұрын
Amin
@cdeegwau551
@cdeegwau551 9 күн бұрын
Ameen Ameen..!
@magezahassan1224
@magezahassan1224 10 күн бұрын
Hbd Big bro more life ishi saana
@djsma255
@djsma255 10 күн бұрын
Amin assnte
@abdullmakame144
@abdullmakame144 10 күн бұрын
Big Up. DJ SMAA
@ringicnation3722
@ringicnation3722 10 күн бұрын
Good advice
@denislramadhani7857
@denislramadhani7857 10 күн бұрын
Asnt sana sma kwa maneno haya media nyingi zimekuwa zimejikiti sana kwenye mambo yao bila kukumbuka kuwa yupo alie juu ya yoote .. Mungu na awabariki nyote
@fadhilngalanda7520
@fadhilngalanda7520 10 күн бұрын
tunatanguliza duah zetu kwa Mola wetu aliyetukuka akujaalie kila lenye kheri kwenye maisha yako happy birthday to you @Dj sma
@djsma255
@djsma255 10 күн бұрын
Amin kwa sote
@claudepaluku1842
@claudepaluku1842 10 күн бұрын
happy birthday to you DJ Snake 🎉🎉🎉🥪🥪
@abeidbarros1686
@abeidbarros1686 6 күн бұрын
Happy birthday icon🎉
@aysherkabby5937
@aysherkabby5937 10 күн бұрын
Happy Birthday DJ Smaa!!! Long life,Healthy and Happiness…. Insh’Allah!!! 🎂🎁🎉🎂
@djsma255
@djsma255 10 күн бұрын
Asante
@Safi0701
@Safi0701 10 күн бұрын
Happy birthday, dear 🎉🎉🎉🎉🎉
@kingsolomoni-xp3dv
@kingsolomoni-xp3dv 9 күн бұрын
Leo ni yakwako na kesho ni yakwako
@KilomboiNguma
@KilomboiNguma 9 күн бұрын
Asante San dj sma fuse podcast
@lodricophd728
@lodricophd728 10 күн бұрын
Dj smah 🥹🥹🙏🏻
@assateke7199
@assateke7199 10 күн бұрын
Age with grace brother in faith 🙏... May Allah grant anything good he bestowed for you here and hereafter. Happy birthday 🎂
@djsma255
@djsma255 10 күн бұрын
Amin kwa sote
@ismailvuai3035
@ismailvuai3035 7 күн бұрын
habari ndugu nataka kukukapa ushauri mdogo pale ambapo unasimulia simulizi unapotaja maneno ya mwenyezimungu ikiwa QURAAN Au HADITHI jaribu kuondosha music ambao upo nyuma wakati wa kusimulia kwa sabab hicho si kitu kizuri kwa maadili ya uislamu wetu kazi njema
@djsma255
@djsma255 6 күн бұрын
🙏
@WILLY_SKY1
@WILLY_SKY1 10 күн бұрын
Happy birthday Dj Sma
@kingsolomoni-xp3dv
@kingsolomoni-xp3dv 9 күн бұрын
Mungu anataka watu watafute kwaeababu ipo
@Karimchembela
@Karimchembela 6 күн бұрын
Hujitambui wewe hiyo ahad tangu kwa Adam na Hawa lazima utafute kwa tabu na mwanamk atazaa kwa uchungu
@kalizabongo255
@kalizabongo255 10 күн бұрын
Hakika, maisha ni kupambana kila siku kwa juhudi na nidhamu, huku tukiamini kwamba riziki ya halali tayari imeandikwa na Mungu. Kazi yetu ni kutafuta kwa bidii, kwa uaminifu, na kwa subira, tukijua kwamba Mwenyezi Mungu haachi juhudi za mja wake zikipotea bure. Funguo ya mafanikio ni kuendelea kupambana bila kukata tamaa.
@sa3dasa3da87
@sa3dasa3da87 10 күн бұрын
Mfano mzuri wa allah atakachopanga hakuna wa kupangua,ni hivi juzi wale waliovamiwa mume akatummbukizwa kwenye shimo afie huko na mke kwenye shimo lingine afie huko na mtt wakaondoka nae wasijue cha kumfanya,hivi ninavyoandika sahii wote wameokolewa wapo pamoja hakuna aliekufa
@HUMAID_FITNESS
@HUMAID_FITNESS 5 күн бұрын
Nahisi kuchanganyikiwa 😅 Dj kuhutubia na sio kurusha watu majoka
@harrsmgaya8141
@harrsmgaya8141 10 күн бұрын
@DJsmaa Naomba uluhusu na wageni wenye mtazamo na mindset kama yako !! Ina tu faa sana ..ombi please .#mdau wa SNS📌
@djsma255
@djsma255 10 күн бұрын
Hamna shida, nikisha anda setup nitkuwa napokea wachangiaji
@allahisone6386
@allahisone6386 6 күн бұрын
​@@djsma255❤❤
@kingsolomoni-xp3dv
@kingsolomoni-xp3dv 9 күн бұрын
😂😂😂 riziki anatoa MUNGU ila usilale sasa kama anatoa, alafu nimetoka kutafuta utoaji wake hapo unausikaje UTOAJI WA MUNGU UPO KIIMANI NA UPATIKANAJI UPO KIMATENDO kwaiyo ukitenda ndio umepata haiusishi riziki hapo
@kingsolomoni-xp3dv
@kingsolomoni-xp3dv 9 күн бұрын
Andiko ulilo lisoma kwenye mathayo hujawai kuligeuza upande wa pili usinge wasomea watu wako hilo neno linauwa Kweli ww unaweza mwambia mwanao asiisumbukie kesho yake mfano akatolea ndege hivi ni kweli ndege hulishwa mm naona ndege huangaika kutafuta chakula Chao
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
Anhedonia Doesn't Have To Steal Your Future!
26:58
Dr. Scott Eilers
Рет қаралды 693 М.
LIVING WITH DEPRESSION (Major Depressive Disorder)
22:04
Alana Arbucci
Рет қаралды 738 М.