Wameuwa watu wengi sana laana ya mungu iwe juu yao
@raymrashАй бұрын
Hamas je!?
@hassanmsangi4149Ай бұрын
@@raymrash israel wameshauwa watu 35000 hujui
@allahisone6386Ай бұрын
🤔
@bokimmwamba2322Ай бұрын
Wana Ibrahim hao ukilaani inatarudi kwako ni ahadi ya Mungu kwao ya milele Mwanzo 12:3 nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
@godfreydavid6847Ай бұрын
Sawa, Hamas je@@hassanmsangi4149
@brianbaltazar6198Ай бұрын
Dj smaa upo vizuri sana kwenye Geopolitics
@allykwayaАй бұрын
Huyu Dj Sma anachambua kwa maono na Fact sana. Kila nikifuatilia naona vitu vingi sana alivyosema mwanzo
@ramagwamaАй бұрын
Kabsaa
@allahisone6386Ай бұрын
@@ramagwama🎉
@thomassalvatory8303Ай бұрын
zaidi na zaidi ni kama lebanon israel walitoa southern lebanon under security reason Hezbollah wanaviolate hakuna mtu anayewa warn Hezbollah israel amesema vita inakuja lebanon na watachukua tena southern lebanon lakini makosa ni ya walebanoni sio wengine coz wanaona kunawatu wanaleta shida haiwaambii
@allykwayaАй бұрын
@@thomassalvatory8303 big knowdge.
@gasparmpoma3860Ай бұрын
Big Up Dj SMA all time favorite Analyst
@jasminmdimi6059Ай бұрын
Big up Dj Sma nimekuelewa vizuri sana. Pale amani haitopatikana milele.
@abdallahnamuha3357Ай бұрын
Big up sns,,,, brother Sky kwa kuongezea nguvu ya geopolitics analysis, pia dj sma nakukubali kwasababu unaniongezea kitu
@mussafaki5865Ай бұрын
Hiii kitu hakiwezekana ,maana hata hao watoto wanaozaliwa hatakaubalina na waliofanyiwa na wayahudi.
@AwateeАй бұрын
Daima hawatakubali na ndio kutakua zaidi ya hamas
@abdullahmanalex2306Ай бұрын
Hata niwe Mimi siwezi kukuabali
@user-qq6mv6vh3eАй бұрын
Pamoja@@abdullahmanalex2306
@jamesraphaelmdima472928 күн бұрын
Islael anaenda kushinda hii vita,ila Islael na Palestina wote wamefanya makosa, Palestina pia lengo lao halikuwa jema kwa maana waliua laia,wakafanya ubakaji,wakachinja watu na kuchoma wengine wakiwa hai. Mungu ni upendo,sasa wao wanamuwakilisha Mungu yupi anaekubaliana na hayo?
@Awatee28 күн бұрын
@@jamesraphaelmdima4729 ulikuwepo wakati wakibakwa 😳nyie mumeona tukio la tarehe 7 la hamas wazayun walianza kuwaua wapalestina muda mrefu hakuna alie sema leo hamas wamejitolea kuwasaidia wengine wasio weza kujitetea kila mtu mdomo mrefu kama kuua watoto wanawake ndio ushindi basi wacha tuone nusra ya ALLAH itafika tuu hajaghafilika na madhwalim hata kama makafiri mutakasirika lkn ushindi utakuja na Masjid Aqswa itakua mikononi mwa waislam ALLAH hana ahadi za uongo
Watu kitu wa fahamu ni kwamba vita ya Isael na Gaza hitoisha hata siku moja kwa sababu hata kwenye vitabu vitakatifu vimo kwamba hata wakufe wote mtoto atakae kuwa ataendelea na vita mpaka siku ya kiama,kweli ukitaka kusikia news za kweli tembelea SnS kupata ufafanuzi wa kweli bila uongo hongela SNS maana tuna pata vigongo vya kweli hata content zenu hakuna uongo ni ukweli hongela sana ❤❤❤❤
@nduwimanahafsa4611Ай бұрын
Maashallah inshallah Allah aweke wepesii inshallah ❤
@CKMO19 күн бұрын
Hio tutauwita blood city 😢na mungu awalani wasiweze kufanikisha malengo yao Amin
Namie najiuliza iv hamas wataludisha wale watu waliwauwa uku wakirecord kikatili et
@mohamedaley563225 күн бұрын
@@JoalAlma-ci1hi na ww usharogwa na propaganda za mayahud
@zuricakes6817Ай бұрын
Gaza 2035....really looking good!
@CharafimalisalimoAli-qw3hkАй бұрын
JAMANI . MUSISAHAU MANENO YA MU IRANI. ANASEMAA ANAE MUAMINI MMARECANI NI MWENDAWAZIM PPEKEAKE. HIYO GATI INAYOJENGWA NA HIYO GAZA NI MITEGOYAO TAYARI WASHAITEGA.
@fatmasalim8293Ай бұрын
Wajisumbuwa inshallah kwa uwezo wa allah watadidimia mayahudi wote yarab amen 🙏 😢😢😢😢😢😢
@annasolomon9855Ай бұрын
Wangeshadidimia kitambo na Palestine ingesalimika .. hukokudidimia lini😅😅?
@user-fx7ig1uy6tАй бұрын
@@annasolomon9855...we nae Sisi Imani yetu imeshaeleza yote hayo ...muone vile fistula we
@crayonmaze997029 күн бұрын
@@annasolomon9855unacheka na wakati wakristo wenzako wanauliwa kila siku huko Gaza, au unafkiri ni waislam tu ndo wanauliwa?😃
@annasolomon985529 күн бұрын
@@crayonmaze9970 Mimi sijui Hilo isipokuwa wafilisist ( Palestine) wote ni walewale tu.. acha waoneshwe adabu
@crayonmaze997029 күн бұрын
@@annasolomon9855 kweli acha waoneshwe adabu maana Wapalestine ndo walimuwa hata Yesu, Acha na wa wauliwe au sio?😃
@hailinhelen467529 күн бұрын
Hasbi allah waneema lwakil
@Mr_smart.code_10Ай бұрын
Kipindi nipo Advance nilikuwa Napenda Sana history 2.. kipindi hiko form six 2014 JITEUTE.. yaani JITEGEMEE JKT HIGH SCHOOL.. Mwalimu wa History alikuwa Mwalimu Mlemeta.. mungu amlaze mahali pema peponi Mzee alikuwa na madini Sana plus Mwalimu mwingine alikuwa anaitwa Mavunde nae alikuwa hatari the way alivyokuwa anatufundishaga historia ya cold war.. na kuanziahwa kwa taifa la Israel na haya yanayotokea ndio vitu vinavyo nifanya nipende kufuatilia Geopolitics.. Asante Sana brother skyy na Team yako kwa kuendelea kutupa habari na darasa pia mungu awatie nguvu na maarifa kila kukicha..
@munyumunyama836529 күн бұрын
Kijna wa afande kumaliga😂
@Mr_smart.code_1029 күн бұрын
@@munyumunyama8365 hatari Sana 😂😂 braza
@Mr_smart.code_1029 күн бұрын
@@munyumunyama8365 hatari Sana ndugu yangu ila kama nakukumbuka vile..
@rahmasalum1317Ай бұрын
Majambaz tu hao Allah awalaani
@worldhappiness1181Ай бұрын
Mmh, ati wajiongoze wenyewe!! 😢 daah!
@nsabimanaabedi541Ай бұрын
DJ SM tupe simulizi ya fuiz
@user-pd5hl9di2qАй бұрын
Anaota Netanyahu
@AdamKondo-so3cn21 күн бұрын
Mnapotosha sema vita wameazisha Gaza sasa vita imebadilika.
@19ddrАй бұрын
Kmmmk netanyahu. Hutoweza
@hafidhyakoub8369Ай бұрын
Inge jengwa irag Libya na Syria
@annasolomon9855Ай бұрын
Huko mbali Sana wao wanaitaka Gaza 😂
@hafidhyakoub8369Ай бұрын
@@annasolomon9855 lk wao c ndio walio zipiga
@MAHAN-099Ай бұрын
Tunachosahau ni kwamba siku zote mungu ana mipango yake na binaadamu wana mipango yao, Na kama mungu hajapitisha binadamu hawezi kufanikiwa na hawa viongozi wengi huona wakishapanga mipango yao ndio wameshapanga hakuna wakupangua wanasahau kama kuna mungu na mungu siku zote haongozi watu kwenye dhulma kamwe na dhulma haidumu kwaio hawatofanikiwa kwa hilo. Free Palestine 🇵🇸🇵🇸
@thomassalvatory8303Ай бұрын
elewa Mungu si mjomba yako useme kuwa anakuangalia ww tu Mungu ni wa wote waovu na watenda mema na anawajalia wote kadiri atakavyo apangiwii so haimanishi coz ww unaona Hamas anaonenwa Mungu atawaacha waisrael akaee upande wa Hamas kinachotokea ni mambo ya kibinadamu si mambo ya kiMungu so anaacha mambo yakibinadamu yaendelee mbele na atamjalia aliyefanikiwa iko hivyo na itabaki hivyo na cha kujifunza kwenye maisha yako pambana usisubirie Mungu akuletee coz hataleta
@atutweve4160Ай бұрын
MUNGU AWAPE AMANI JAMANI 🙏🏿🙏🏿Sio poa kuuana na wote hapa tuwasafiri, anyway iam no body 🥹
@asmaalghafri449Ай бұрын
Wamehangaika miaka mingi hawajafanikiwa na hawatafanikiwa lini mwizi alishinda na akawa na raha warudi huko Europe na ndio maana Europe imewashinda imewatafutia mji kuishi walichaguliwa uganda wakaikataa wakaona haina uchumi kama Palestine ina mali nyingi
@FatmaMohamed-jw2lc29 күн бұрын
Walichaguliwa Uganda kweli? Kma kweli hawa mbwa watakuja Zanzibar
@user-rm4co7pj1dАй бұрын
Hata wajenge vp hawatoweza kufuta damu ya watu waliowaua bila makosa wala kuwasahaulisha maumivu ya watoto waliopotelewa na wazazi wao
Mtu akichora hivyo manayake Gaza itakuwa Mali Yao ila hawatoweza
@jamillahaidha8184Ай бұрын
Na iwe hivyo
@allahisone6386Ай бұрын
AMEN
@jumamussantuicheАй бұрын
Yani kama tanzania kuondoa wa tanzania wakenya wajenge iwe yao kweli.kwani kwani kwao wamejinga.ila mtanzamo mdolgo ujuwi mipango ya vita ya milele
@pastorzakariatv1786Ай бұрын
Kumbe Hamas alijichanganya kuivamia islael ili ampe sababu
@issalyanali4119Ай бұрын
Sawa ila Putin akionesha muonekano wa miji aliyochukua mnasema dictator anawaonea waukraini,,,,sio Africa tunasema Putin asirudishe mji hata Mmoja Ili NATO wajifunze kitu,,,,Gaza watu wameondolea maeneo Yao ,,Dunia IPO kimya ,,,Putin akirudisha maeneo yake ambayo alipewa Ukraine kwa masharti watu wanapiga ukunga
@Mpakauseme23 күн бұрын
Mmelala sana usingizi wabongo hao wazungu wote Lao ni moja , wanacheza na akili za wapumbavu ninyi mmejikita katika udini na wale wanapigana kwasababu ya uchumi nakutaka kutawala maeno kwamaslai mapana
@GeorgeChitemo-kt8swАй бұрын
Itajengwa kweli maana NI Biblia ili tabili hekalu kujengwa NI lazma pia
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Bibilia yako imetabiri mmarekani atajenga mitambo kwenye nchi ya gaza tutawaona. Nakuhakikishia hawatoboi
@annasolomon9855Ай бұрын
@@mwawekomiuda9779😂😂😂😂
@GeorgeChitemo-kt8swАй бұрын
@@mwawekomiuda9779 watatoboa maana NI mpango WA unabii Kaka
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
@@GeorgeChitemo-kt8sw Endelea kufikiri hivyo
@BenjaminMetanyauАй бұрын
Dk45 kipindi cha kwanza huyu mpinzani mwepesi sana🤔🤝
@user-km1dm8et9xАй бұрын
Netanyau ni noma
@kwaleboy6064Ай бұрын
Noma gani mtu anapigwa hadi na nyuki.kitu anafanya ni kuuwa raiya na kubomoa majengo
@user-km1dm8et9xАй бұрын
@@kwaleboy6064 kama kuua raia ni rahisi nenda na wew kauwe yani ile ndo kiburi yakua na nguvu
@user-km1dm8et9xАй бұрын
@@kwaleboy6064 ulitaka aue nyani au ni kuua binadamu wanaoabudu kivuri cha aisha
@kwaleboy6064Ай бұрын
@@user-km1dm8et9x naelewa wewe ni nani .wewe ni pagani anae abudu sanamu kanisani ukiona ni yesu
@omytifa6403Ай бұрын
@@kwaleboy6064achana nae my
@user-mf2ll7nz5gАй бұрын
Ushenzi
@user-zm8nq6xv8oАй бұрын
Yaani hiyo mipango yote ndo wauwe watu hovyo ? Ama kweli waisrail akili zao mungu mwenyewe ndie anae juwa
@thomassalvatory8303Ай бұрын
tunakufa coz of Adam ++ Eve so wanakufa coz of Hamas +++ Islamist so tusiilamu israel tulaumu matendo ya waliosababisha haya
@thomassalvatory8303Ай бұрын
and if so tulipaswa tumlaumu Mungu kwanini tunakufa kama hatuwezi basi tulaumu aliyesabisha haya ya kufa and is Adam +++ Eve
@hidayahidaya-vd3zeАй бұрын
Habari waislamu soote tunataka hamasi ishike palesteina maana kwanza isrili itatiya akili
@iddiramadhani511129 күн бұрын
Netanyau ni Muongo sana, hata tel aviv haipo hivyo.
@jerrychiswa2494Ай бұрын
Sky umeishiwa
@peteremmanuelymatwimatwiem3258Ай бұрын
Matoko yako
@kassimabussa6583Ай бұрын
Mjinga kweli wewe ndio umeishiwa ujuwi ulisemalo acha kufatilia ujalazimishwa
@user-sn9nm1wu9jАй бұрын
huo ni wizi wa akili
@rahmasalum1317Ай бұрын
Mayahud
@alzawahirabdallah2299Ай бұрын
Hiya labda wakiichukuwa gaza ikiwa yao mali yao
@gilbertkalanda935429 күн бұрын
Netanyau kichaankashindwa kuijenga hivyo Israel , aje ajenge Gaza
@GeorgeChitemo-kt8swАй бұрын
Kama hujui unabii WA biblia hutaelewa hapa
@raymrashАй бұрын
Du kaka tupe elimu 😢
@Maua-pg5glАй бұрын
hekalu kashajenga saidina ommary utataka hekalu gn wakt omary aliujenga msikti al aqsa
@GeorgeChitemo-kt8swАй бұрын
@@raymrash iko hivi kwanini hekalu kujengwa NI kwakuwa wayahudi watataka kubudu Ibada zao pale na pia mpingakristo atakuja pale akijifanya Yesu .na pia Yesu hawezi kurudi Kama hekalu halitajengwa pale ule msikiti WA Alaaksa utavunjwa nakwambia utaona mwenyewe Kwa macho yako .na ndio maana ukiangalia pale kwenye mchoro kuna jengo la hekalu pale kwahyo kinachotafutwa NI hekalu kujengwa wayahudi warudishe Ibada zao . kwahiyo hekalu likikamilika ndio vita vya 3 na atakaye kuja kuamua hivyo vita ni yesu peke yake .japo ataanza kutokea mpinga kristoo Kwanza na umoja ea mataifa ndio atatokea huyo mpinga kristo atakuja akijifanya msuruishaji ni mtu atakae kuwa na ushawishi WA ajabu Sana watu watamkubali sana
@hemedjackson2261Ай бұрын
😂😂😂😂 hawa wayahudi akili zao cjui ziko chooni ktk lindi.
@muhammadmbaraka4515Ай бұрын
😂😂😂Kwa Kwel
@MiriamAbdallahАй бұрын
Matahira hawajielewi
@BenjaminMetanyauАй бұрын
@@MiriamAbdallahunajisikiaje ukiwa mwerevu arafu ukapigwa na mjinga🤣🤣🤣
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Yaani zinaelea pamoja na kinyesi
@GeorgeChitemo-kt8swАй бұрын
Jamaa katoa unabii kabisa Yani dah
@paulntalima6998Ай бұрын
N yeah wachache tunaelewa n wakati wa matengenezo kabsa
@GeorgeChitemo-kt8swАй бұрын
@@paulntalima6998 ni kweli watu wapo kwenye siasa hawajui kinaendelea pale na kinachotokea miaka hii mpaka 2030 kina Jambo litaweza kutokea
@azizayassin3623Ай бұрын
Wao wnapanga yao na mungubanapanga yake anatoka mchana aende akajenge alikotoka Europe 🇪🇺
@godfreydavid6847Ай бұрын
Akili huna mzee!! Hata kitabu chako Cha kukopi na kupesti kinakili mayahudi walikuwepo kabla ya mohamedi kuja
@Brandina-ub9uoАй бұрын
Hamas waliyataka wenyewe
@Bahati47Ай бұрын
Huna akili ndiomana unasema hivyo
@assateke7199Ай бұрын
Na wakiambiwa wanafanya uharibifu duniani... Wao usema sisi ni wajengaji~Quran
@zanzibarsmzenjiАй бұрын
Israel ni wizi tu na wauwaji
@emanuelgavile350329 күн бұрын
Nyie wehu islael ni nchi teulee
@alimuhamed183029 күн бұрын
Hayo wanajikosha tu kuzima harakati koz wayahudi niwatu washenz sana hawafai pesa moja
@mohamseyf624329 күн бұрын
Netamwehu uuwe watu ujenge mji.
@user-nk4oq4ek9yАй бұрын
Wasitunie hao mayaudi bro gaza ni plo sio Israel wafanye adabu zao plz
@ibba8082Ай бұрын
Yeye Mwenyewe NETANYAHU anategemea Misahada,Kweli Atafanikiwa kufanya hivyo😂
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
What nani kakwambia Hivi Hujui marecani niya myahudi namarahisi wa woote wamarecani niwayahudi Pia Hii Dunia kwasasa anaongoza myahudi ambaye ndyo marecani 😮
@annasolomon9855Ай бұрын
Asilimia 96 ya Wamarekani ni Wayahudi 😅😅 msaada upi Sasa wakati wao ndio wanaingoza technolojia , hujui kitu wew
@ibba8082Ай бұрын
@@annasolomon9855 Bora Uzima,Atakayekuwepo Atasimulia !.ila Rekebisha Hizo Hasilimia Zako Sio 96 ni Wayahudi.NB:Mwaka wa 2021 Walikuwa 7.5 Milioni Sawa na Asilimia 2.5.Matusi Hayajengi !!!
@ibba8082Ай бұрын
@@user-nb6yh2bn9y Kwa Uhakika Upi Ulio nao Wewe Eti Marekani ni yawayahudi Na Maraïs wote Ni Wayahudi Dahh,Vipi OBAMA,TRUMP ni Wayahudi ?
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
Uko Dunia yangapi wewe muulize Hata Huyo DJ asma uliza ulimwengu mzima utakwambia
@fadhilmandaliabdalla6736Ай бұрын
Haiwez kua habari mzuri kwa wapelestina, inawezekanaje mtu akubomolee nyumba yako ya kawaida then akujengee ghorofa ya kisasa bure,!!! Hii inaingia akilini hii ni changa la macho, kuna mkakati bado chini ya kapeti.
@user-fx7ig1uy6tАй бұрын
Plus wawauwe pia
@kimzymamy6594Ай бұрын
Wache ujinga wtoto wanao wangamiza ndio hamas😢
@omytifa6403Ай бұрын
Watazaliwa wengne ata ikipita miaka mia watarud
@AwateeАй бұрын
@@omytifa6403una uhakika gani itafika iyo miaka iyo 😳
@pastorzakariatv1786Ай бұрын
Nyie mna vichwa vya panzi netanya katika hotuba yake alisema operesheni ya gaza itachukua mwaka mzima sasa mnasemaje hamjui operesheni itaisha rini.
@aishaally6602Ай бұрын
Dhulma tu ila wajue hii dunia tunapita tu hata wajenge vp dunia tutaiwacha
@user-nk4oq4ek9yАй бұрын
Wasitutanie
@marvelmovier545Ай бұрын
Ungoo ni ushetani
@mohamedaley5632Ай бұрын
Hizo ni ndoto za 6 mchana... wanatudanganya kweupeee .. yaan huo wakat ukifika wa Gaza kuwa hivyo bas mfalme wao atakua yahya sinwar na nitapaka ashakua chakula ya funza vitabaki historia mbaya vitendo vyke vya kinyama
@thehomeoffootballskills4358Ай бұрын
Enyi mlio amini msiwafanye mayahudi na manaswala kuwa marafiki zenu kwani wao kwa wao ni marafiki
@jumakassim8718Ай бұрын
Swadakta
@prochesernest5439Ай бұрын
Nani kakwambia tunataka urafiki na nyie wenye dini ya majini?
@mohammedmfamau43Ай бұрын
Israel washaidraft ya kuwa gaza wataijenga kisasa zaidi .sw lkn hoja ni vipi wapalestina watafaidika na hazina ya mali ktk ardhi yao na matunda ya future yao? Coz mipango ya israel km ulivyoeleza inamaanisha wapalestina watakuwa km wafalme waliofungiwa ndani ya palace kila kitu wanapata but is nothing.niseme tu israel na hao UAE baba mmoja mama mmoja
@alisalimo286128 күн бұрын
mtu anaye mbagua na kumulia familia yake halafu niwe na imani na ww
@ARNOLDKARISA-fs3ht29 күн бұрын
the truth nikwamba israel hawatawahi onyesha completely namna gani wanaumizwa hiyo ni stragit ya kivita na propaganda tu
@hassangaddafi2347Ай бұрын
Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇷🇺🇷🇺
@delgalshan6318Ай бұрын
Hyu mpuuzi
@user-pt4jf7lg3zАй бұрын
Hamasi ndio watoto wanaowauwa Hao wote ni wa Palestini..ni Sawa watanzania wapigwe halafu wakiamua kujibu wanakuwa sio watanzania.
@XIZAAM18829 күн бұрын
Washafeli kwenye vita hadi sasa hawajafanikiwa hamas wako kwenye mahandaki watafanikiwa vp? hiyo ni ndoto yao ardhi ni ya warabu na inaitwa Palestine hakuna taifa linaloitwa Israel!
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
HABARI MZURI KIVIPI WANAJESHI WA ISRAEL FREE KUINGIA KAMA NCHI YAO SIO HABARI MZURI HIYO😮
@husseinhemedi9314Ай бұрын
Wayahudi ni majiz xan
@redtk2971Ай бұрын
GAZA IKIWA IVO TU IYO 2035 WANA GARAGAZWA TENA😂
@salimfaraj5509Ай бұрын
Je mrusi atakubali? Maana mrusi akikubali gas and oil itoke Gaza inamaana gas yake itakosa soko.
@kafwimbimilambo8556Ай бұрын
Good news watu wenye kufa saana
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Good news hzi utakutana nazo tangu siku unanyofolewa Roho yako na kaburini na mpaka siku ya hesabu utakutana na jamaa zako.
@AliNassor-qt6fmАй бұрын
Vitabu vimeandika hivi vita vitasababisha vita ya mwisho ya dunia , al Aqsa mosque lazima ikombolewe
@muhammadmbaraka4515Ай бұрын
Netanyahu mbona kama muongo muongo
@Nuru-zr2yvАй бұрын
Nchi yke yenyewe haiko km hiyo ramani 😂😂
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
Marekan huyo ndio mipango yao
@muhammadmbaraka4515Ай бұрын
@@Nuru-zr2yv hhhhhahaa
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Wameshazoea kuiba mali za watu kwa kumwaga damu za watu.@@MohamedAhmada-ie7ke
@salummohamedi5562Ай бұрын
nyuma ya pazia wanamuandalia mazingira masihi dajjal/mpinga kristo
@khamisidowany6262Ай бұрын
Userkm israel aina nguvu.marekan asimpe sapot na nchi nyingne kama ujeruman uone
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
Nisikilize mjomba Hiyo marecani ndyo Israel yenyewe marais woote wamarecani niwayahudi Hata Obama Baba ake mkenya Mama myahudi
@annasolomon9855Ай бұрын
Unaota ndoto za mchana huku ukiwa umekaa kwenye kochi, Marekani ndio haohao Wayahudi kama humjui mjomba 😂😂.. yaani Marekani ukisikia wamegundua chombo Fulani au wamefanya jambo Fulani la kiteknolojia ndio Wayahudi hao na ni wabunifu wa Hali ya juu Sana na pia ndio wamiliki wakubwa wa technology ndio maana wanakibur maana wajua vitu vingi Hadi mabenk makubwa ni Yao.. hata asilimia 95 ya Wamerekani ni Wayahudi kwa taarifa Yako.. , huyu joe Biden anavyowazuga hatutoi silaha Tena kuisaidia Israel anawazuga tu hamna kitu.. Tena mmrekani Moyo wake wote upo hapo Israel asikudanganye mtu😅
@TheBossOdhisАй бұрын
Long live Israel
@lailafakhihajiАй бұрын
Kwa bajeti hiyo wanayosaidiwa na marekani?? Pesa yao ya kula kila mwaka inatokana na kodi za wananchi atafika???akili yake yote ipo kone Land la palestina panga lako na mungu ameshakupangia analotaka yy
@abdulhakimjuma9112Ай бұрын
Subutu propaganda tu hizo kwani hamasi nimaadui kwa wapalestina wenyewe
@EzeakutelevisionАй бұрын
Wameshindwa kujenga Israeli hivyo
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
Mbona marecani Haija jengwa Kama Dubai lakini ndyo wafarme Hapa Duniani 😏
@raymrashАй бұрын
Umeshafika Tel Aviv!?
@annasolomon9855Ай бұрын
Israel hawajashindwa Bali asilimia 97 ya nchi hio ni ya makumbusho ya utalii .. na hio ndio inayosababisha kutokubomoa majengo mengi kwa ajili ya kuwaingizia fedha ndefu Sana... Jeresalemu na sehemu zingine Kila mwaka wanaingiza matrilion ya fedha kwa ajili ya nchi nyingi Duniani kuingia pale, kuona YESU alipozaliwa, Yesu alipobatizwa, , Yesu alipofikisha miaka 30 na kuanza kazi rasmi, Yesu alipopita na mahekalu alipokuwa akifundisha , na mengine Mengi..
@missp1814Ай бұрын
Wapalestina wapambanie nchi yao,waisrael sio watu wakiubali tu,itakuwa ndo anguko lao,israel wanaweza watilia sumu au kitu chochote ambacho wakawa idadi yao isiongezeke ili wapotee kwenye dunia hii vizazi vya badae wakasoma kulikuwaga na wapalestine sababu israel ndo inasapply huduma zote muhimu kwa wapalestina...M.mungu awasaidie hamas wapambanie nchi yao mipango ya israel ishindwe
@hajjinyanyaАй бұрын
Ikiwa hivyo ndivyo wakimalizana huko waje huku nyumbani waturipuwe kidogo😂! Maana ni mabadiliko ya Miaka 9-10 hadi kufikia 2035! Anyways Free Palestine 🇵🇸
@issazalala4907Ай бұрын
Ewe bwana mungu embu mchukue uyo nyau Ili Dunia itulie familia zitulie 😢
@AwateeАй бұрын
ALLAH hajaghafilika na madhwalim anawapa muda tuu
@hemedjackson2261Ай бұрын
Bundala unachezea simu hatumsikii Dj sma annapoongea unapiga na makofi kabsa
@SimuliziNaSautiАй бұрын
Kumradhi, kulikuwa na disturbance kidogo wakati wa mazungumzo
@hemedjackson2261Ай бұрын
@@SimuliziNaSauti Tuko pamoja👏👏
@hemedjackson2261Ай бұрын
Ila kiukweli nafuatilia sana Sns kuliko awali Bundala , Dj sma na Aly Masubi napenda sana kazi yenu.
@jaymandy8136Ай бұрын
Chochote kile watakachokifanya Israel hakita futa mauaji ya halaiki ya watu wasiokua na hatia wanayoyafanya hapo Gaza
@annasolomon9855Ай бұрын
Hamasi walivowaua Israel wasiokuwa na hatia .. Kuna methali inasema akuanzae mmalize! 😅😅😅
@user-tq4lx9si1nАй бұрын
Mimi nahona urumasana gaza yawatu ilikuwanzuli watoto wanaenda shule wanafulai leoii gaza kama makaz ya mmbwa kokokwe inasktisha watoto wanakulanyas
@annasolomon9855Ай бұрын
Ugaidi ni mbaya na ndo faida ya kukurupukia kufanya jambo 😂
@abdulhamis9825Ай бұрын
Sasa Wajenge Gaza Ni Kwao..? Alaf Dunia Ipo Kimya Tu Hvi Leo Hawa Ambao Walipewa Hifadhi Tu Wanapewa Mamlaka Ya Kujenga Katika Nchi Ya Watu Wao Ni Nani
@raymrashАй бұрын
Bado Palestine sio huru...kwa hiyo si ajabu ijengwe😂😂😂
@abdulhamis9825Ай бұрын
@@raymrash Palestine Sio Huru Ila Israel Ni Huru..?
@hemedjackson2261Ай бұрын
Ss akishawauwa wapalestina awauwe na Iran yote ndio atengeze huo mji man kinyume ya hapo hayo makombora huo ujenz hautokamilika
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Mbona umesahau awesome houth yote, Lebanon pia wale wana uchungu wa kumegwa Ardhi yao. Hv hujui kuna kundi kubwa Yemen kutoka sehem u mbali2 wamejitolea tayari.
@geoufo2858Ай бұрын
Uwongo na ni propaganda tuu za wa islael
@barrynzeyimana6270Ай бұрын
Nihatari kweli. Propaganda imezidi. Yani mtu anaekupiga mabomu 24 masaa anakuambia kua baada ya kukupiga atakujengea hivyo. Wakati hata Israel hawana miji hiyo
@user-uo8xw9kr4bАй бұрын
Ndio lengo lao wapate ardhi ili wawajee watu wao km walivyofanya ktk eneo lile la mwanzo walilolichukua wamejenga magorofa lakni wanakaa wayahud ndio chanzo hamas kuvamia ila wat hawafatilii wanakua na mihemko tu.
@mnanasuly2585Ай бұрын
Israel ni mbwa kabisa
@alihamisi8440Ай бұрын
Netanyanhu, Biden na wengine hususa viongozi wa kiarabu wanaowaunga mkono ,wanatakikana wajue kwmba hawawezi kuwaangamiza HAMAS kamwe,na haya si maoni wala maneno yngu,bali mtume Muhammad s.a.w na yeye hadanganyi,ila IZRAEL mwisho wake upo karibu tu.