Kocha fadlo ujinga alio ufanya wa kumtoa ateba na kumuweka mashaka ile syo kwa nn hakumuweka mkwala,mshaulin sana fadlo
@ezzepuritykamwene21212 күн бұрын
Mpe hongera kwanza ndugu,, kocha katisha sna, ujue inategemea na walichokionyesha mazoezini
@NuruEria2 күн бұрын
@@ezzepuritykamwene2121 nikweli lakini alisababsha beki ya upinzan kuwa huru maana ateba aliwafanya kukosa uhuru mdawote kumlinda kwa sababu ya uzoefu wa michuano hii ila mashaka bado
@ToivoJase3 күн бұрын
Mungu amjaalie CAMARA,asije rogwa na MANULA,maana Tz hapa ni shida
@Ajijji123 күн бұрын
😅
@ramadhaniharuna54413 күн бұрын
Alogwe na nani bhana, Katika mpira kuumia ni vitu vya kawaida tu.
@allymwashambwa59202 күн бұрын
@ramadhaniharuna5441😂😂 Ila Kama Kuna ukweli hivii
@GraphixDesgner11 сағат бұрын
Hawezi kufanya hivyo SS tinataka ushindi hayo ya kuiogana weka pembeni bana
@NuruEria2 күн бұрын
Fadlo alikosea kumuingiza mashaka na kumtoa ateba Basi angemuweka mukwala
@issaomari52973 күн бұрын
Kiukwel ingekuwa timu ndogo kwa uwanja ule wenye mashabiki wamepagawa vile unakula zakutosha...ila simba wamejitahid kuzuia sana
@Nuru87003 күн бұрын
Simba wamezoea mashabiki si mara ya kwanza kukutana na mashabiki
@carolinemasonga6429Күн бұрын
Kiukweli huwa sipati hofu lakini kwa mashabiki wale na ushangiliaji wao ule 🤣🤣🤣🤣nilipata hofu , ila Mungu ni mkubwa hatimaye Simba kaonyesha ukubwa wake. Tumewavuruga na droo, tunawasubiri Lupaso kwa Mkapa!🤣🤣🤣
@Economically-Growth-Musicians2 күн бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians hili lijamaa aiseee😂😂😂😂😂😂 anyway Congratulations Guys 🎉🎉🎉🎉
@JamesStephan-h1j2 күн бұрын
Mungu aibarik simba yetu
@gabrielnybala21652 күн бұрын
Jaman nawakumbusha yusuph kagoma kacheza kwa wale ambao hawajamwona nawakumbusha tu kacheza nendeni tff,caf,cas,na fifa mkalalamike lakini yusuph kagoma sio wa milioni 30 sawa wanywa supu
@user-mg8fb4ih8x2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@GraphixDesgner11 сағат бұрын
Acha hizo hohooo
@shmaiderkiborey51443 күн бұрын
Simba imeimarika Sana kwa kweli
@Luhanya.s.Kamalamo2 күн бұрын
Big up
@hancymatter2 күн бұрын
Simba nguvu moja
@johnmathews97912 күн бұрын
Mashabiki wa alhilaly wanajua!Kwanza wamefull house na pili hawakupoa mwanzo mwisho ni amsha amsha,wanajua kusapoti timu yao!
@NemesMasawe2 күн бұрын
Kabisaaa
@kayutiOfficial2 күн бұрын
Yes
@jintongwa37873 күн бұрын
Nakukubali sana gb64 washauri viongozi wasiidharau mechi one love
@KhamisAlawi-n1k2 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ubaya ubwela
@MchungajiNzelani3 күн бұрын
Ile timu ingecheza na timu nyingine wangepigwa 3 bila
@SalmaShabani-k7t3 күн бұрын
Uwanja wa taifa awatok
@ThobiasNestory2 күн бұрын
Uko sawa GB64
@NemesMasawe2 күн бұрын
Ilaaa gb nakuelewaa sanaa
@KhamisAmourSeif3 күн бұрын
Kk unatisha
@Tee-KingКүн бұрын
Watu wanajisahaurisha et simba karuhusu goal 1 zid ya al hilal yanga kaisahau 😂😂😂
@OmaryJuma-o6dКүн бұрын
Atari kak
@GodfreyYuza11 сағат бұрын
Uchaei ni ajira wew
@JaphethShallo3 күн бұрын
Simba sc nguvu Moja ❤
@SurprisedFullMoon-gg9vu3 күн бұрын
Hahahahah"nakubali saaaana
@IsackMahenga3 күн бұрын
Sawa gb 64
@athumanipigo92952 күн бұрын
Simba hatuna shughuli ndogo
@Johnhonesty-z4w2 күн бұрын
kwa simba hii lazima tufike makundi
@SatalaJoseph2 күн бұрын
Mh che Mason shondoh tamka vizur
@OmaryJuma-o6dКүн бұрын
Naturalisation kak
@ZephaErnest2 күн бұрын
Nasikia manula kapigwa
@PaschalNtalimbo2 күн бұрын
🎉🎉🎉pa 1 gb64
@Revokatus-s5n2 күн бұрын
Jaman ni jambo la kusubiri tuuuui
@SalmaAbdalah-dv6et3 күн бұрын
Umenena kaka ht mtangazazi kasema Leo timu kubwa zimeonesha ukubwa
@StellahNgomasiКүн бұрын
💪💪💪🦁🦁🦁🔥🔥🔥⚽⚽⚽🏆🏆🏆🤲🤲🤲
@Niika8703 күн бұрын
❤❤
@yusuphshabani72852 күн бұрын
😂😂..huyu jamaa anafaa kua muhasishaji
@Merrymerry-l4n3 күн бұрын
❤❤❤❤
@user-kn9ks7bv7y2 күн бұрын
Makolo wanateseka
@PeterJustin-ke5mk3 күн бұрын
Nikweli kabisa ubaya ubwela
@namfukamaismailna82033 күн бұрын
Simba migobore tu, lupaso wanang'oka 😅
@MecksonPeresi2 күн бұрын
Ubaya ubwela ndio huu
@RajabuNdauka-h6u3 күн бұрын
Hii Simbaaaaaa tamu
@chrispinrafael38312 күн бұрын
Tulishakuja wewe fara wewe mwenyewe ulisema ni mashindano ya walioferi Leo unasifia kenge maji
@OmaryJuma-o6dКүн бұрын
Ubaya ubwela
@ELIZABETHBURTON-i3q2 күн бұрын
Sasa wale utawafanisha na wale vilema wenu vitalo o yenu mbwa wewe
@EsterHassan-g1v3 күн бұрын
Mambo
@ezzepuritykamwene21212 күн бұрын
Sio che peke ake ,abulazak mmesahau show zake, zimbwe?
@mussakilo49162 күн бұрын
Wewe huo uchambuz wako wa kitoto unafananisheje shirikisho na klab bingwa yanga wana amua muda gani wakufunge
@GraphixDesgner11 сағат бұрын
Wee eee err acha hizo hoooohooo
@DenisMusa-g5z3 күн бұрын
Kongole kwa ubaya ubwela
@SetiMBANGU3 күн бұрын
Tunawasubili lupaso
@BellaTuyi-hd7tw2 күн бұрын
Mechi ya Simba ndo imeomekana kwel ndo time ya clab bingwa. So wale wanao piga madomo kama mbwa koko😂😂😂😂 ✍️ Mabetu &Co
@francismwaipopo50463 күн бұрын
Timu iliofungwa na Biashara United inawatoa kamasi madunduka 😂😂😂
@IlhamKhalid-mt3jp3 күн бұрын
Jina la timu ila siyo hii ya leo kenge wew
@josephatikirutu97393 күн бұрын
Hii ni timu tofauti kabisa.
@tekashisixtynin9threewithd7273 күн бұрын
@@josephatikirutu9739kwa iyo simba iliyokula 5G,2G,1G jumla 8G ilikuwa dunduka na hii ni Makolo au😂😂😂 0-0
@Nuru87003 күн бұрын
Imefungwa na biashara kwenye uwanja gni jiulize.kwanza usikurupuke
@ELIZABETHBURTON-i3q2 күн бұрын
Mkundu wako tulishapiga nyingi tu.zaidi ya hizo nane nyuma kufirwa na kagoma hamumpati tena mbwa nyie mliomba sana simba ifungwe mmefer
@JemesKasase3 күн бұрын
Yani dk 90 hata on tageti hamna hafu mnajisifu
@francismwaipopo50463 күн бұрын
Walikutana vilema wote ndoo maana ya kombe la loser
@SurprisedFullMoon-gg9vu3 күн бұрын
Vilema sio wale walio cheza janaa?
@neemamwijage3 күн бұрын
Mchezo ulivyoisha wamekuwa vilema😂😂nyinyi si mlikuwa mnasema tunafungwa sasa kiko wp