Gen Z waingia tena barabarani, Nairobi panatisha, Wabeba Majeneza, Mombasa magari yachomwa moto

  Рет қаралды 22,326

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

13 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 97
@trizereve3386
@trizereve3386 11 күн бұрын
Mtangazaji yani ukitangaza hizi habari nategasikio kweli kweli asante
@Elybwayz
@Elybwayz 11 күн бұрын
Usipomuelewa uyu sky we ndio bas tena yuko sawa
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 11 күн бұрын
Na mimi pia
@everrineanyango7410
@everrineanyango7410 11 күн бұрын
Ruto mungu hajafurahishwa na uongozi wako toka tu 😂
@user-rc2ye4ri6t
@user-rc2ye4ri6t 11 күн бұрын
Ruto must go
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 11 күн бұрын
Hao tena wana lao tuu, hata ruto akiondoka ajae akikosea padg tu basi wanaingia tena barabarani 😢
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 11 күн бұрын
Kweli naomba watu wasave hii comment yko.
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 11 күн бұрын
Sabab ya ukosef wa ajira wakipat mtu akiwafadhil kidog.shida inaanzia hapo.
@felixefeza6783
@felixefeza6783 9 күн бұрын
Hapa Kenya hata tume ya kupigana na ufisadi pia wao ni mafisadi hata ruto ni fisadi
@user-yp9el7xp8g
@user-yp9el7xp8g 11 күн бұрын
Thursday and Sunday maandamano lazima RUTO AJIUZULU
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 11 күн бұрын
Mmmh kwer wakenya wamevurugwa ..mungu wasaidie ndugu zetu wakenya wapate aman..mana aman ndo Kila kitu..
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 11 күн бұрын
Ruto bora uondoke tu madarakani plz
@ROSEROBERTROBART
@ROSEROBERTROBART 11 күн бұрын
😢haezi ana roho ngumu kaa chuma
@bree254
@bree254 11 күн бұрын
😂😂😂😂Love my country 👏👏👏👏
@shukurumsebaloli
@shukurumsebaloli 11 күн бұрын
Sasaivi naona awo nimagaidi tu wanataka waanzishe vita wanaitaji kuangamiza watu wakenya wanatakiwa kuwa makini
@abdulmustafa5113
@abdulmustafa5113 11 күн бұрын
𝐖𝐞𝐰𝐞 𝐤𝐞𝐧𝐠𝐞 𝐡𝐮𝐤𝐮 𝐬𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐜𝐜𝐦 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐳𝐚 𝐧𝐲𝐚𝐩𝐮
@hallykanze6693
@hallykanze6693 11 күн бұрын
Ruto must GO 🇰🇪🇰🇪
@ZainabLol-wx7xf
@ZainabLol-wx7xf 11 күн бұрын
😂😂😂😂😂Gen Z Wa 🇰🇪 Nawapenda sana❤
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 11 күн бұрын
Thanks SNS
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 11 күн бұрын
Ruto must Go
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 11 күн бұрын
Huko Kenya kimenuka.
@chapuztv3040
@chapuztv3040 11 күн бұрын
Hapo sawa alishidwa kuisaidia Congo akasapoti M23 😂😂😂😂 ba mtoe alikua anaongea kingeleza wakati Congo wanakupfa wanalia Ruto muster goooo
@ZainabLol-wx7xf
@ZainabLol-wx7xf 11 күн бұрын
Wa Tanzania Vile Hatujui English hapa ndio sehemu Pekee ya kuelewa yanayiendela kenya😢😂
@user-rf9mx7cu5r
@user-rf9mx7cu5r 11 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@MashaMbwana
@MashaMbwana 11 күн бұрын
😅😅😅😅
@roseliku531
@roseliku531 11 күн бұрын
😂😂😂😂
@NasibuAbduli
@NasibuAbduli 11 күн бұрын
Niatari😢😢😢😢
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 11 күн бұрын
Zakayo must go
@bree254
@bree254 11 күн бұрын
Mwambie atupe till tulipe China wenyewe
@Benlaurence99
@Benlaurence99 10 күн бұрын
Dah..! Mlipe loan wenyewe et!😂
@gosbertireneus5558
@gosbertireneus5558 11 күн бұрын
vilio vya wananchi havipaswi kupuuzwa kwa sababu madhara yake huwa ni mabaya sana,miundombinu kuharibiwa,watu kuumizwa na wengine kuuawa.
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 11 күн бұрын
Ruto must go nawunga mukono alafu mkimaliza twendezetu kwa chakwela Malawi
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 11 күн бұрын
Ala Kenya bhana ,kwahyo wanataka nchi eendeshwe na Hawa vijana wa hovyoo
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g 8 күн бұрын
Kuchoma na kuharibu nchi yenu huo ni upuuz andamaneni kwa amani sasa mtakatwa kodi mbaka Mali mlizoharibu za serekali zijengwe upya
@DewGroupTech
@DewGroupTech 11 күн бұрын
TUNAOMBA TAARIFA ZA MABADILIKO YA MANUNUZI YA LUKU
@bdmacrame254
@bdmacrame254 11 күн бұрын
Ruto must go 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sharonvugutsa969
@sharonvugutsa969 11 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@Qqambaa
@Qqambaa 10 күн бұрын
Mi ni mkenya na naona itakuwa fazari kama tutamwachia 2 alafu tupatane 2027 maanake pia kw ule mswada kuna v2 wakadha amezingatia tukubali 2 na nchi isongee mbele
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 11 күн бұрын
Kama unaamini Hawa vijana ni WA HOVYO LIKE HAPA
@jumashedafa
@jumashedafa 11 күн бұрын
Ni wa hovyo kwa kuwa huon ugumu wanaopitia
@Sh_Taqee
@Sh_Taqee 11 күн бұрын
Utakuwa ni mtu mjinga Sana wewe kupindukia.... Watu wanaopigana Maisha yao ktk nchi yao ili wapate Maisha nafuu wao na vizazi vyao unawaita wa hovyo?! Wakitoa Kura zao sio wa hovyo ... Ila wakifuatilia malengo ya utoaji Kura zao kwa mtu ili yatimizwe ndio wanakuwa wa hovyo?! Una Akili za kipumbavu Sana. Ili maandamano yasiwe na vurugu ... Lazima polisi wasichokoze maandamano hayo na waandamanaji ... Vurugu inaanza kwa polisi na lzm waandamanaji wajibu ukiwachokoza. Tanzania maandamano polisi hawachokozi waandamanaji ndio maana huoni vurugu huko... Kote Duniani polisi ikichokoza Raia ... Wata react
@simonmartin5358
@simonmartin5358 11 күн бұрын
Niwalewale wapumbavu na wajinga
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 11 күн бұрын
Hata kama maisha ni magumu vijana ni wa hovyo kabisa ,shenzi kabisa hawa vurugu za namna hiyo za hovyo
@motive_8kenya
@motive_8kenya 10 күн бұрын
BBC yanapaswa kuwa wamekutafuta kwa ubora huu.
@user-ev6bq9gf1f
@user-ev6bq9gf1f 10 күн бұрын
Magaidi ao
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 11 күн бұрын
Mmmmh nilijua yameisha Hooh lord waponye keny’s
@everrineanyango7410
@everrineanyango7410 11 күн бұрын
Mwendo
@surusuru1994
@surusuru1994 11 күн бұрын
Ndo tatizo lakusuma katiba siasa 😂wasomi hao kaka nahukuru tz walizuia kinamnaingine wallah
@KatabaroCleophace
@KatabaroCleophace 11 күн бұрын
😮Tanzania tukiwashe, mmh au bas nimeuliza Tanzania tuna amani Kenya pole sn
@denismasele4130
@denismasele4130 11 күн бұрын
Mwanasheria wako ana ujasiri😂😂😂
@roselynealima3618
@roselynealima3618 11 күн бұрын
Hamjui katiba yenu laiti mngejua sai mngekuwa barabarani 😂😂
@PUTINN365
@PUTINN365 11 күн бұрын
Kweli nakiona kitu cha pekee kwa putin yan wapinzan wote nyumbani kwao kuna maandamano ruto alipoke mbolea kwa urusi akamsalit haijapita hat mwez amekiona na raiya hawamtaki
@albertmallya4192
@albertmallya4192 11 күн бұрын
June 15 aliiongelea vibaya urusi, leo atakua anajuta sana. Kete aliyoigusa ni mbaya
@felixdestroyer4039
@felixdestroyer4039 11 күн бұрын
Tumechoka na uongozi wa ruto
@sonnyr1899
@sonnyr1899 11 күн бұрын
Hiyi ya kuchoma moto magari na kuvunja na kuiba maduka na kubaka ndio huwa inakera kwa waandamanaji. Inabidi waandamanaji wawe wakipinga uharibifu wa mali za watu.
@Omosh003
@Omosh003 11 күн бұрын
Ona chanzo kilicho pelekea wachome boss
@blessingsmary
@blessingsmary 11 күн бұрын
Group ya ruto ndio imepanga na kulipa wahuni wezi
@sonnyr1899
@sonnyr1899 11 күн бұрын
@@blessingsmary Basi kumbe hatare kweli
@aishabakari8040
@aishabakari8040 11 күн бұрын
Hii sauti ndio hua naitaka😋
@jumakibwana1810
@jumakibwana1810 11 күн бұрын
Sns serikali ya ruto umeongeza mishahara mikubwa kwa wabunge,mawaziri, speaker wa bunge la kitaifa na senate mca na wengineo sasa huyu ni Kiongozi kweli
@user-gi9di6lv3i
@user-gi9di6lv3i 11 күн бұрын
This is now politically issues behind... coz that's the country ..and yes people in country so He must deal with everything.. so now My fellow Brothers and sisters they want to stay like that country which got minerals and diamonds 😢😢 pls my Brothers and My sisters kenya ni inchi ambayo tunaichukulia kama innchi imeendel2eya in Africa.. but if u want that 100% peace u will die hunger
@SaidiMohammed-ge5ot
@SaidiMohammed-ge5ot 11 күн бұрын
Kubaya
@sponsor7882
@sponsor7882 11 күн бұрын
Ruto makende yangu
@mdl6463
@mdl6463 11 күн бұрын
RUTO aisee kumuongoza mtu ni kazi weka mkazo
@amoursaid4589
@amoursaid4589 11 күн бұрын
Nakuelewa fredict nakupata Sana kutok emirates
@laoiyadi1176
@laoiyadi1176 11 күн бұрын
Karibu tz tukiamshe na ss😂😂
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 11 күн бұрын
ruto achia kiti
@wemakalama6458
@wemakalama6458 11 күн бұрын
Akiondoka nani atakuwa anafaa?
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 11 күн бұрын
Vijana wa hovyooo
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 11 күн бұрын
Akawaite waisrael wamsaidie😅😅😅😅😅
@Omosh003
@Omosh003 11 күн бұрын
Already We are Israel generation
@salimbilali5174
@salimbilali5174 11 күн бұрын
Headline zenu kiboko....
@lameckmahona2058
@lameckmahona2058 11 күн бұрын
Bundaala uwa nafurahishwa sana na usomaji wako wa makala safu sana,saut,mpa gilio wa maneno kupanda na jushuka kwa sauti
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 11 күн бұрын
Asante sana Lameck
@simonmartin5358
@simonmartin5358 11 күн бұрын
Hakuna mtu alie mpinga putin akaachwa salama ktk hiidunia ruto ulifa ya vbaya sana kuchagua upande wa mashoga. Haimanishi kwamba maandamani ya kenya kuwa kuna mkono wa puttin rahasha bali puttin nitaa ya dunia!
@user-st1zs1ng2x
@user-st1zs1ng2x 11 күн бұрын
Ruto amtafute Netanyahu ampe mbinu za kupambana na maandamano..
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 11 күн бұрын
😂😂😂😂
@Mwanasha-cf9vd
@Mwanasha-cf9vd 11 күн бұрын
Jipigie saluti kama wewe ni mkenya alidhulumu raila kajiona ataishi kwa amani machozi ya baba yatamtafuna paka aondoke hatumtaki
@AbdalaSaidi-jo4od
@AbdalaSaidi-jo4od 11 күн бұрын
Saivi wanataka nini
@mercymulwa8917
@mercymulwa8917 11 күн бұрын
Tunataka ruto ajiuzuru
@mememmeme7939
@mememmeme7939 11 күн бұрын
Ruto must go
@everrineanyango7410
@everrineanyango7410 11 күн бұрын
Tulia wewe
@mememmeme7939
@mememmeme7939 11 күн бұрын
@@everrineanyango7410 he must goooooo
@hassanshariff4802
@hassanshariff4802 11 күн бұрын
Tunataka ruto atoke kwa office
@ibba8082
@ibba8082 11 күн бұрын
RUTO Alifikiri kuhungana Na Wahasi(wanyarwanda) Wa D R(C)Kongo Kungempunguzia Gharama za Maisha Kenya Anakiona Chamtema Kuni Ahondoke😮
@johnrobert5097
@johnrobert5097 11 күн бұрын
Ruto amtafute SAMIA ampe mbinu za kupambana😅
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 11 күн бұрын
SNS ikiwezekan tunaomba Uchambuz juu ya kushindw kwa Macron na nn athari yke kwnye Matokeo ya kwnza ya Uchaguz nchin Ufaransa
@samirhumud7408
@samirhumud7408 11 күн бұрын
Mbona iyo imetoka jana
@PrincessAishay
@PrincessAishay 11 күн бұрын
𝚆𝚊𝚝𝚊𝚗𝚣𝚊𝚗𝚒𝚊 𝚖𝚖𝚐𝚎𝚓𝚞𝚊 𝚔𝚎𝚗𝚢𝚊 𝚒𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚐𝚑𝚊𝚕𝚒 𝚖𝚐𝚎𝚝𝚞𝚊𝚌𝚑𝚊 𝚝𝚞 𝚝𝚞𝚊𝚗𝚍𝚊𝚖𝚊𝚗𝚎😢,𝚖𝚊𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚝𝚊𝚗𝚣𝚊𝚗𝚒𝚊 𝚗𝚒 𝚛𝚊𝚑𝚒𝚜𝚒
@Omosh003
@Omosh003 11 күн бұрын
Kuja 🇰🇪 ufurahie maisha mororo
@abubakarimsere
@abubakarimsere 11 күн бұрын
Pole Sana wazungu weusi kuleni kiingereza chenu na currency yenu😢😢​@@Omosh003
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 11 күн бұрын
Tuko pamoja SNS
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 15 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 55 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 6 МЛН
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 25 МЛН
Viongozi wa dunia wafunguka kuhusu jaribio la kuuliwa kwa TRUMP
3:38
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 7 М.
FBI wathibitisha tukio la kupigwa risasi TRUMP ni Jaribio la Mauaji
5:12
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 11 М.
Election Night Live - day one - overnight coverage
9:32:08
Sky News
Рет қаралды 19 М.
LIVE: View of 10 Downing Street as voters head to the polls
5:53:57
The Times and The Sunday Times
Рет қаралды 14 М.
UK election results live
5:35:05
The Times and The Sunday Times
Рет қаралды 18 М.
LIVE: UK election results - view of 10 Downing Street
6:33:01
The Times and The Sunday Times
Рет қаралды 12 М.
Мужик психанул и купил 200 Ленд Роверов
0:19
Сергей Милушкин
Рет қаралды 6 МЛН
Triggered Buggy getting wild! 📷: Keller Kreations #4x4 #offroad #racing
0:11