Mtangazaji yani ukitangaza hizi habari nategasikio kweli kweli asante
@Elybwayz11 күн бұрын
Usipomuelewa uyu sky we ndio bas tena yuko sawa
@user-qq6mv6vh3e11 күн бұрын
Na mimi pia
@everrineanyango741011 күн бұрын
Ruto mungu hajafurahishwa na uongozi wako toka tu 😂
@user-rc2ye4ri6t11 күн бұрын
Ruto must go
@ameirzapy131811 күн бұрын
Hao tena wana lao tuu, hata ruto akiondoka ajae akikosea padg tu basi wanaingia tena barabarani 😢
@shamsahaji620211 күн бұрын
Kweli naomba watu wasave hii comment yko.
@user-uo8xw9kr4b11 күн бұрын
Sabab ya ukosef wa ajira wakipat mtu akiwafadhil kidog.shida inaanzia hapo.
@felixefeza67839 күн бұрын
Hapa Kenya hata tume ya kupigana na ufisadi pia wao ni mafisadi hata ruto ni fisadi
@user-yp9el7xp8g11 күн бұрын
Thursday and Sunday maandamano lazima RUTO AJIUZULU
@jamilaathumani548111 күн бұрын
Mmmh kwer wakenya wamevurugwa ..mungu wasaidie ndugu zetu wakenya wapate aman..mana aman ndo Kila kitu..
@MuniraShughuli-kc7vj11 күн бұрын
Ruto bora uondoke tu madarakani plz
@ROSEROBERTROBART11 күн бұрын
😢haezi ana roho ngumu kaa chuma
@bree25411 күн бұрын
😂😂😂😂Love my country 👏👏👏👏
@shukurumsebaloli11 күн бұрын
Sasaivi naona awo nimagaidi tu wanataka waanzishe vita wanaitaji kuangamiza watu wakenya wanatakiwa kuwa makini
@abdulmustafa511311 күн бұрын
𝐖𝐞𝐰𝐞 𝐤𝐞𝐧𝐠𝐞 𝐡𝐮𝐤𝐮 𝐬𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐜𝐜𝐦 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐳𝐚 𝐧𝐲𝐚𝐩𝐮
@hallykanze669311 күн бұрын
Ruto must GO 🇰🇪🇰🇪
@ZainabLol-wx7xf11 күн бұрын
😂😂😂😂😂Gen Z Wa 🇰🇪 Nawapenda sana❤
@GraceMashinga-be9wb11 күн бұрын
Thanks SNS
@Brunotarimo1011 күн бұрын
Ruto must Go
@omarybakunda255411 күн бұрын
Huko Kenya kimenuka.
@chapuztv304011 күн бұрын
Hapo sawa alishidwa kuisaidia Congo akasapoti M23 😂😂😂😂 ba mtoe alikua anaongea kingeleza wakati Congo wanakupfa wanalia Ruto muster goooo
@ZainabLol-wx7xf11 күн бұрын
Wa Tanzania Vile Hatujui English hapa ndio sehemu Pekee ya kuelewa yanayiendela kenya😢😂
@user-rf9mx7cu5r11 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@MashaMbwana11 күн бұрын
😅😅😅😅
@roseliku53111 күн бұрын
😂😂😂😂
@NasibuAbduli11 күн бұрын
Niatari😢😢😢😢
@hassangaddafi234711 күн бұрын
Zakayo must go
@bree25411 күн бұрын
Mwambie atupe till tulipe China wenyewe
@Benlaurence9910 күн бұрын
Dah..! Mlipe loan wenyewe et!😂
@gosbertireneus555811 күн бұрын
vilio vya wananchi havipaswi kupuuzwa kwa sababu madhara yake huwa ni mabaya sana,miundombinu kuharibiwa,watu kuumizwa na wengine kuuawa.
@ClementJacob-sd8lf11 күн бұрын
Ruto must go nawunga mukono alafu mkimaliza twendezetu kwa chakwela Malawi
@jeremiahcharles602711 күн бұрын
Ala Kenya bhana ,kwahyo wanataka nchi eendeshwe na Hawa vijana wa hovyoo
@user-px3po9lt8g8 күн бұрын
Kuchoma na kuharibu nchi yenu huo ni upuuz andamaneni kwa amani sasa mtakatwa kodi mbaka Mali mlizoharibu za serekali zijengwe upya
@DewGroupTech11 күн бұрын
TUNAOMBA TAARIFA ZA MABADILIKO YA MANUNUZI YA LUKU
@bdmacrame25411 күн бұрын
Ruto must go 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sharonvugutsa96911 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@Qqambaa10 күн бұрын
Mi ni mkenya na naona itakuwa fazari kama tutamwachia 2 alafu tupatane 2027 maanake pia kw ule mswada kuna v2 wakadha amezingatia tukubali 2 na nchi isongee mbele
@jeremiahcharles602711 күн бұрын
Kama unaamini Hawa vijana ni WA HOVYO LIKE HAPA
@jumashedafa11 күн бұрын
Ni wa hovyo kwa kuwa huon ugumu wanaopitia
@Sh_Taqee11 күн бұрын
Utakuwa ni mtu mjinga Sana wewe kupindukia.... Watu wanaopigana Maisha yao ktk nchi yao ili wapate Maisha nafuu wao na vizazi vyao unawaita wa hovyo?! Wakitoa Kura zao sio wa hovyo ... Ila wakifuatilia malengo ya utoaji Kura zao kwa mtu ili yatimizwe ndio wanakuwa wa hovyo?! Una Akili za kipumbavu Sana. Ili maandamano yasiwe na vurugu ... Lazima polisi wasichokoze maandamano hayo na waandamanaji ... Vurugu inaanza kwa polisi na lzm waandamanaji wajibu ukiwachokoza. Tanzania maandamano polisi hawachokozi waandamanaji ndio maana huoni vurugu huko... Kote Duniani polisi ikichokoza Raia ... Wata react
@simonmartin535811 күн бұрын
Niwalewale wapumbavu na wajinga
@yohanakananika358611 күн бұрын
Hata kama maisha ni magumu vijana ni wa hovyo kabisa ,shenzi kabisa hawa vurugu za namna hiyo za hovyo
😮Tanzania tukiwashe, mmh au bas nimeuliza Tanzania tuna amani Kenya pole sn
@denismasele413011 күн бұрын
Mwanasheria wako ana ujasiri😂😂😂
@roselynealima361811 күн бұрын
Hamjui katiba yenu laiti mngejua sai mngekuwa barabarani 😂😂
@PUTINN36511 күн бұрын
Kweli nakiona kitu cha pekee kwa putin yan wapinzan wote nyumbani kwao kuna maandamano ruto alipoke mbolea kwa urusi akamsalit haijapita hat mwez amekiona na raiya hawamtaki
@albertmallya419211 күн бұрын
June 15 aliiongelea vibaya urusi, leo atakua anajuta sana. Kete aliyoigusa ni mbaya
@felixdestroyer403911 күн бұрын
Tumechoka na uongozi wa ruto
@sonnyr189911 күн бұрын
Hiyi ya kuchoma moto magari na kuvunja na kuiba maduka na kubaka ndio huwa inakera kwa waandamanaji. Inabidi waandamanaji wawe wakipinga uharibifu wa mali za watu.
@Omosh00311 күн бұрын
Ona chanzo kilicho pelekea wachome boss
@blessingsmary11 күн бұрын
Group ya ruto ndio imepanga na kulipa wahuni wezi
@sonnyr189911 күн бұрын
@@blessingsmary Basi kumbe hatare kweli
@aishabakari804011 күн бұрын
Hii sauti ndio hua naitaka😋
@jumakibwana181011 күн бұрын
Sns serikali ya ruto umeongeza mishahara mikubwa kwa wabunge,mawaziri, speaker wa bunge la kitaifa na senate mca na wengineo sasa huyu ni Kiongozi kweli
@user-gi9di6lv3i11 күн бұрын
This is now politically issues behind... coz that's the country ..and yes people in country so He must deal with everything.. so now My fellow Brothers and sisters they want to stay like that country which got minerals and diamonds 😢😢 pls my Brothers and My sisters kenya ni inchi ambayo tunaichukulia kama innchi imeendel2eya in Africa.. but if u want that 100% peace u will die hunger
@SaidiMohammed-ge5ot11 күн бұрын
Kubaya
@sponsor788211 күн бұрын
Ruto makende yangu
@mdl646311 күн бұрын
RUTO aisee kumuongoza mtu ni kazi weka mkazo
@amoursaid458911 күн бұрын
Nakuelewa fredict nakupata Sana kutok emirates
@laoiyadi117611 күн бұрын
Karibu tz tukiamshe na ss😂😂
@user-wd2bc7bf5x11 күн бұрын
ruto achia kiti
@wemakalama645811 күн бұрын
Akiondoka nani atakuwa anafaa?
@jeremiahcharles602711 күн бұрын
Vijana wa hovyooo
@aediayumgo854611 күн бұрын
Akawaite waisrael wamsaidie😅😅😅😅😅
@Omosh00311 күн бұрын
Already We are Israel generation
@salimbilali517411 күн бұрын
Headline zenu kiboko....
@lameckmahona205811 күн бұрын
Bundaala uwa nafurahishwa sana na usomaji wako wa makala safu sana,saut,mpa gilio wa maneno kupanda na jushuka kwa sauti
@SimuliziNaSauti11 күн бұрын
Asante sana Lameck
@simonmartin535811 күн бұрын
Hakuna mtu alie mpinga putin akaachwa salama ktk hiidunia ruto ulifa ya vbaya sana kuchagua upande wa mashoga. Haimanishi kwamba maandamani ya kenya kuwa kuna mkono wa puttin rahasha bali puttin nitaa ya dunia!
@user-st1zs1ng2x11 күн бұрын
Ruto amtafute Netanyahu ampe mbinu za kupambana na maandamano..
@GraceMashinga-be9wb11 күн бұрын
😂😂😂😂
@Mwanasha-cf9vd11 күн бұрын
Jipigie saluti kama wewe ni mkenya alidhulumu raila kajiona ataishi kwa amani machozi ya baba yatamtafuna paka aondoke hatumtaki
@AbdalaSaidi-jo4od11 күн бұрын
Saivi wanataka nini
@mercymulwa891711 күн бұрын
Tunataka ruto ajiuzuru
@mememmeme793911 күн бұрын
Ruto must go
@everrineanyango741011 күн бұрын
Tulia wewe
@mememmeme793911 күн бұрын
@@everrineanyango7410 he must goooooo
@hassanshariff480211 күн бұрын
Tunataka ruto atoke kwa office
@ibba808211 күн бұрын
RUTO Alifikiri kuhungana Na Wahasi(wanyarwanda) Wa D R(C)Kongo Kungempunguzia Gharama za Maisha Kenya Anakiona Chamtema Kuni Ahondoke😮
@johnrobert509711 күн бұрын
Ruto amtafute SAMIA ampe mbinu za kupambana😅
@salehkhalfan734511 күн бұрын
SNS ikiwezekan tunaomba Uchambuz juu ya kushindw kwa Macron na nn athari yke kwnye Matokeo ya kwnza ya Uchaguz nchin Ufaransa