KIDUM KIBIDO APEWA UNABII PAMOJA NA MILIONI 20 - GeorDavie TV

  Рет қаралды 22,626

GeorDavie TV

GeorDavie TV

Күн бұрын

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 107
@rsfdzxzx2274
@rsfdzxzx2274 Жыл бұрын
Kindumu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪
@TheRealKidum
@TheRealKidum Жыл бұрын
Ok
@carindor9825
@carindor9825 Жыл бұрын
Kidumu mu Burundi wetu Hongera kwa kukutana n profet da!!!!kidumu barikiwa san n songambele Profet asante sana
@josephitangishaka960
@josephitangishaka960 3 ай бұрын
YESU akiwa ktk Nyumba ya Zachayo wafarisayo wari mukatia Kesi, ila YESU ni Rafiki wa Wenye Dhambi kama Mimi na wewe na KIDUMU
@glaury9938
@glaury9938 Жыл бұрын
Kwa kweli mungu atusamehe kwa kuhukumu watumishi utasikia nabii kafanya vibaya mbona wewe hufanyi vizuri tujifunze msituchanganyebana
@danielworshiper6002
@danielworshiper6002 Жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi Kidumu .... Wanadamu tuna tembea na historia mbaya ya mtu ... Wakati wokovu ni swala la sekunde la mtu na Mungu.... Ole wenu mnaojiona mmesimama angalieni msianguke...
@SalumHamis-u5x
@SalumHamis-u5x 10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi Nabii
@NyirahabimanaAlima
@NyirahabimanaAlima Жыл бұрын
Baba nasi Rwanda tunakuhitaji. Karibu!
@WilliamuMathayo
@WilliamuMathayo Жыл бұрын
Mungu akulinde nabii mkuu GeorDavie na akupe maisha marefu Sanaa ww ni wapekee Sanaa baba ww umetumwa na mungu kweli kweli naitwa william mathayo nipo der salam
@NiyongereProspere
@NiyongereProspere 8 ай бұрын
Napenda nionane na mtumishi huyu wa Yesu
@tresormadelin1992
@tresormadelin1992 Жыл бұрын
KIDUM Is the King of Live Music in East Africa
@WilliamuMathayo
@WilliamuMathayo Жыл бұрын
Baba shikamoo mimi nipo der salam kupitia unabii wako nimejikuta nampenda mungu
@collinsmercy3971
@collinsmercy3971 Жыл бұрын
Hakuna utakatifu hapo mnafanya mzaga na mungu...from kenya
@DavidKasina-kg5nk
@DavidKasina-kg5nk 9 ай бұрын
Nani aliroga wakenya juu wengi farisayo shindwe
@EvaristoMatiya-hh5ez
@EvaristoMatiya-hh5ez Жыл бұрын
Du,hii Kali kinomanoma!!umetisha mze wang Mungu awe na we maana wapo weny kinyongo.ww endelea na Mungu hatokuacha kwa kile alichokupangia kabla hujazaliwa.God bless U, Amen!!!!!!
@devithadaniel5423
@devithadaniel5423 Жыл бұрын
Mbona anaimba nyimbo za yesu acheni kujaji muwe mnaangaliaa mwanzo mwisho muache ubabai
@iribaryurukundo5612
@iribaryurukundo5612 Жыл бұрын
Kidumu the best live singer in East Africa
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 Жыл бұрын
Imeandikwa kila mwenye pumzi na amsifu BWANA nabii sikupingi kwa kuwa karibiana waimbaji hawa
@fridolinhabonimana4854
@fridolinhabonimana4854 Жыл бұрын
legends Kudumu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 🎙🔥🔥🔥
@rsfdzxzx2274
@rsfdzxzx2274 Жыл бұрын
Amin
@g.karathaofficial666
@g.karathaofficial666 Жыл бұрын
Nimefurahi sana hili jambo
@kanyangearakaza4677
@kanyangearakaza4677 Жыл бұрын
🎉tunampendasana kidumu kibido
@manirambonaemeryhasta3739
@manirambonaemeryhasta3739 Жыл бұрын
Asante san NABII MKUU Dr GeorDavie kwa kushik mkono kimaendeleo bila kujali ni wakabila gani ao wa inchi gani🙏🙏 KIDUMU KIBIDO KIBUGANIZO wa kwetu Burundi bujumbura 🇧🇮
@SabinusMhagama-tk3rz
@SabinusMhagama-tk3rz Жыл бұрын
BABA WEWE NINABII WAKWANZA KATIKA ULIMWENGU UMETIMIZA KILE ALICHO SEMA YESU .MTAFANYA ZAIDI YAHAYA NINAYO YAFANYA MIMI
@anascholasticandagiwe6977
@anascholasticandagiwe6977 Жыл бұрын
Hongera sana mtumishi kwani Mungu wote ni wake na ndiyo maana akasema tuache magugu na ngano viote kwa pamoja,naimani kabisa hukumu si juu yetu nabii mkuu wewe ni baba na mlezi
@cliffdenis144
@cliffdenis144 Жыл бұрын
Nabii aliyepotoka anakadhana kuuleta udunia ndani ya kanisa la kristo ni aibu ata kusema huyu ni nabii kwa Sasa sijui imekuwaje adi amekuja kupotoka kiasi hichi
@saimoniboniphace
@saimoniboniphace Жыл бұрын
Tuta wajuaje? Kwamatendo yao live inaonekana giza gizani ila hatuwezi kuku hukumu yesu mwenyekuhukum anakuja
@nananailla7723
@nananailla7723 Жыл бұрын
Nasikitika sana na wewe kitumu wa burundian 🇧🇮 kweli mungu akuongoze hivi umefikilia kweli hizo pesa zote zina heli mungu akusaidiye
@maryandason1815
@maryandason1815 Жыл бұрын
😂😂😂Zina her kwake tatzo watu hawajui unapewa pesa unauza nafs yko kwa shetan watu hawatak kuomba kuutafuta uso wa MUNGU Zaid ya kuombewa ombewa n kubeba vicvyobebeka.unauza nyota y thaman unapewa pesa ya cku kazaa😢
@Bigenergy94
@Bigenergy94 3 ай бұрын
​​@maryandason1815 Punguza njaa na wivu kila mtu na hata pia wewe ,kila mtu ana kipaji chake na anakula kwa jasho lake so wewe punguza wivu na ujuwaji ok ni hayo tu
@emmanuelshukiah1236
@emmanuelshukiah1236 Жыл бұрын
Unapata wapi ujasiri wa kupiga nyimbo za kidunia kwenye madhabahu ya Mungu kama wewe kweli unatokana na KRISTO YESU ALIYE HAI.
@marcellysumaye341
@marcellysumaye341 Жыл бұрын
Tafuta hela wew ndo unayejua sana madhabahu ya bwana hapa duniani!
@bahatimushi2003
@bahatimushi2003 Жыл бұрын
Yesu pia alikaa nao hawo ambao umewaona awafai
@ELLYJ24
@ELLYJ24 Жыл бұрын
​@@bahatimushi2003 Ndyo maana wahubiri wengi hawaoni ajabu hata kukaa na mashoga ukiuliza eti yesu alikaa na wenye dhambi
@lazmeck4754
@lazmeck4754 Жыл бұрын
Ndugu yangu ni mapokeo yako kutokana na ulivyo fundishwa hizo ni fikra zako kongwa
@rehemajoel7094
@rehemajoel7094 Жыл бұрын
MADHABAHU IMEJAA NGUVU ZA MUNGU HAKUNA SHETANI WALA VIBARAKA VYAKE ATASOGELEA HAPO MZEE!!
@josephitangishaka960
@josephitangishaka960 Жыл бұрын
Uhezagirwe Kidum mwana wa mama. Baba Ubarikiwe Sana my Father Senior Prophet GeorDavie. GITEGA BURUNDI
@nathangeor
@nathangeor Жыл бұрын
Kidumu with band equaz to💥💥💥💥💥
@Jombawayuser-ps2vp4nh7u
@Jombawayuser-ps2vp4nh7u Жыл бұрын
Asante sana mungu akubariki❤❤❤❤
@eliudnjenga9385
@eliudnjenga9385 Жыл бұрын
Nimefamu kuelewa nabii ni vingumu sana siku za nabii Elijah alitumwa kwa mama mjane tena sio myahudi nabii hosea aliambiwa akaoe kahaba so sihukumu nabii Geodavie igawa sikubaliani na waibaji wa kidunia kwenye madhabahu ya MUNGU ni maombi yangu mapenzi ya YESU CHRISTO YATIMIE 🙏🙏
@cliffdenis144
@cliffdenis144 Жыл бұрын
Hakuna Cha kujiuliza apo kwa kweli alianza vizuri ila Sasa amepotoka ameiacha njia kabisa Giza na Nuru havina shirika hatuweza Sema eti labda Kuna maono Mungu kampa iyo sio kweli Mungu achangamani na uchafu wa Dunia hii.....atubu arejee Yesu ni wa msamaha kwa watu wote
@eliudnjenga9385
@eliudnjenga9385 Жыл бұрын
@@cliffdenis144 ni kweli kabisa nilifikuliri hawa waibaji wa dunia wanakuja kuokoka ila kupiga nyimbo zao pale duu si imani tena kenya tunafuatilia sana mahubiri yake ila tumefadhaika sana
@salmampinga4995
@salmampinga4995 Жыл бұрын
🔥🔥Hii unaipata Ngurumo ya Upako pekee 🥰💃
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Karibu kwa Yesu
@ivanpeter4945
@ivanpeter4945 Жыл бұрын
Hallelujah
@janetkaingu7038
@janetkaingu7038 Жыл бұрын
Eeeeemen Haleluia kwa kumsifu Mungu
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 Жыл бұрын
Hata mavazi ni ya heshima
@barakaphilip2015
@barakaphilip2015 Жыл бұрын
Awesome
@nsengiyumvapierre9343
@nsengiyumvapierre9343 Жыл бұрын
So cool my preference artist
@samwelmollel602
@samwelmollel602 Жыл бұрын
Savi sana
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 Жыл бұрын
Safiiiiiiiiii
@sabinalaulian-yg1ud
@sabinalaulian-yg1ud Жыл бұрын
Bb nabii mkuu nami naomba mtaji nifanye biashara nateseka ila naona unavyosaidia watu nisaidie na Mimi mwanao
@ElizabethMtambo-pv2ql
@ElizabethMtambo-pv2ql Жыл бұрын
Halleluya
@danielworshiper6002
@danielworshiper6002 Жыл бұрын
Kati Yesu alie letewa mafuta na kahaba na akampaka na akambusu... Na Nabil mkuu anae anae waita wasanii madhabahuni nani mkosaji kwako????? Jifunze kumjua Mungu haya madogo hayatawasumbua...
@cliffdenis144
@cliffdenis144 Жыл бұрын
Kwaiyo unataka kusema Yesu alifurahia maisha ya ukahaba aliyokuwa anaishi yule dada ...hivi wakristo wa miaka hii mna shida gani dada yule alikuja kwa Yesu kwa lengo la kutubu na kuacha njia mbaya Hawa wasanii wakidunia wanakuja apo kuimba udunia wanapongezwa na kushangiliwa duuuuu Bado unadhubutu kusema ni sawa kweli tubuni tubuni ndugu zangu Yesu anakaribia kurudi tubuni Giza na Nuru havina shirika tubuni jaman
@akimanakarime5437
@akimanakarime5437 Жыл бұрын
Burundi is one in music live
@jimmycliffmoses3271
@jimmycliffmoses3271 Жыл бұрын
Ntiyoshikira vichou love 🤣
@nabiimdogotv8686
@nabiimdogotv8686 Жыл бұрын
Una nguvu ya kupata bando tazama mambo yasiyokuhusu acha Kuna kosa gan hapo nenda mbinguni kama hutaki kuona ya duniani
@nurumollel5988
@nurumollel5988 Жыл бұрын
Amen
@davidkainonge8153
@davidkainonge8153 Жыл бұрын
UTUKUFU KWA MUNGU KWA NABII MKUU
@imakubari6786
@imakubari6786 Жыл бұрын
Mmmmmmmmmh uyoo mdada Sasa kanisan bwana
@jeckobass7502
@jeckobass7502 Жыл бұрын
Mzeee wa bass nani uyuuuuuuuuu
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 Жыл бұрын
mwanadamu anapo kula nakushiba anamsahau MUNGU nakuona kila alifanyalo limfurahishayo moyo wake nisawa nakugeuza nyumba yamungu ni ukumbi wadisko
@msteveg2181
@msteveg2181 Жыл бұрын
Kidum sio mu Kenya ni muburundi makazi yake ndo yapo Kenya
@eliudnjenga9385
@eliudnjenga9385 Жыл бұрын
Kutoka 254 tunawapenda sana warokole tz ila kidum tena jukwaani si huyu ni muibaji dance jamani hapo sikubaliani kabisa nimefuatilia nabii sana mbona anapromote sana wanamziki na wachekeshaji wa kidunia si harmonize alikuwa hapo zote tulifikili anakuja kuokoka afuatie diamond sihukumu ila kimimi natilia shaka huyu nabii kiukweli why promote the kingdom of darkness si tz inajulikana kwa waibaji walokole wengi tu sana wapo wapi wapewe mamilioni wahubiri YESU WA NAZARETH
@danielworshiper6002
@danielworshiper6002 Жыл бұрын
Muamin Mungu Na uamin anambadirisha yeyote
@cliffdenis144
@cliffdenis144 Жыл бұрын
Uko sahihi kaka nasikitika uyu nabii alianza vizuri Sasa amepotoka kabisa Hadi wakina 20 per aliwalika na wakaimba
@pascalmsegea4563
@pascalmsegea4563 Жыл бұрын
Ameimba nini? Upo nyuma sana ya wakati
@ofsatravella8463
@ofsatravella8463 Жыл бұрын
Huyu. Ni mpinga kilisto
@reubennnko6270
@reubennnko6270 Жыл бұрын
Ashaaasemaaa ni jukwaaa sio madhabahu so badooo Dula makabila tu hapoo
@DeboraNgura
@DeboraNgura Жыл бұрын
😂😂😂😂umewaza mbalii
@nabiimdogotv8686
@nabiimdogotv8686 Жыл бұрын
Ivi nyie mnajua sanaa biblia kuliko yenyewe acheni ushamba wa kiroho mwacheni uyu baba
@imakubari6786
@imakubari6786 Жыл бұрын
Mmmmmmmmmh 😢😢😢😢😢😢😢
@teddyjohn7054
@teddyjohn7054 Жыл бұрын
🙏🙏
@nicholaakonkwa9911
@nicholaakonkwa9911 Жыл бұрын
Nabbi mudogo njo Nani?
@princemshindi
@princemshindi Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮
@balljmushi9599
@balljmushi9599 Жыл бұрын
Mungu hawezi nunua walio wakee kwa pesa.hahahahaaaaaa
@davidkainonge8153
@davidkainonge8153 Жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🙏🙏📖
@ElipendoElias-no6ki
@ElipendoElias-no6ki Жыл бұрын
Yan huyu ndo ameamua kuonyesha ushetani wake wazwaz
@DjemsBonane
@DjemsBonane Жыл бұрын
Karibu kwako nabii mkubwa tuna kusalimu,Sisi tuko mkongo démocratique République.tuna kufata APA.
@zenataashura792
@zenataashura792 Жыл бұрын
Kanisa la wasani 👀
@yousupjabri7304
@yousupjabri7304 Жыл бұрын
Mmh ila ndugu zetu nyie..
@jeckobass7502
@jeckobass7502 Жыл бұрын
Mzeee wa bass nani uyuuuuuuuuu
@SalumHamis-u5x
@SalumHamis-u5x 10 ай бұрын
Ni atar ana touch nouma
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
KUREJESHEWA VIPAWA NA KARAMA ZILIZOIBIWA | BISHOP ELIBARIKI SUMBE
29:58
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 20 М.
MTAKATIFU BY PAUL MWANGOSI [OFFICIAL VIDEO]
17:15
Paul Mwangosi
Рет қаралды 376 М.
Moyo wa Ibada - Ni wewe Yesu Paul Mwangosi Feat Cassian Kambole
12:39
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН