MCHINA MAARUFU ARUSHA ABANWA na DC HADI AONGEA KISWAHILI - ADAIWA KUMTAPELI ASKOFU wa KANISA....

  Рет қаралды 52,628

Global TV  Online

Global TV Online

2 ай бұрын

MCHINA MAARUFU ARUSHA ABANWA na DC HADI AONGEA KISWAHILI - ADAIWA KUMTAPELI ASKOFU wa KANISA....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 202
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@Smart_jarm
@Smart_jarm 2 ай бұрын
Nimejaza sana hizo fomu,mbona zawadi hakuna?
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
Huyu mkuu wa wilaya hana kauli nzuri anataka kumwiga makonda lkn hawezi kumfikia kwanza Makonda hana lugha za kihuni
@emmanueldavid9506
@emmanueldavid9506 2 ай бұрын
Kwanza mkuu DC hana hekima kabisa
@fridamossony2821
@fridamossony2821 2 ай бұрын
Alafua ni, au wacha nikae kimye time will tell
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
@@emmanueldavid9506 Ndio
@user-gt1sy8po1h
@user-gt1sy8po1h 2 ай бұрын
Gar yangu ilikaa kwake miaka 2 bila kutengenezwa na fedha nilimlipa mchn ni mhun kwel huyu
@kazikazini1042
@kazikazini1042 2 ай бұрын
Wale wale
@Missionary_work
@Missionary_work 2 ай бұрын
Mchina ana busara na hekima, kuliko mkuu wa wilaya. Mchina awe mkuu wa wilaya. Yupo vizuri.
@user-iz4hv2st2h
@user-iz4hv2st2h Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@shaphiasabani5760
@shaphiasabani5760 2 ай бұрын
Maic moja wanatumia zaid ya watatu
@lidyadule9477
@lidyadule9477 2 ай бұрын
happy sasa
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 2 ай бұрын
Tumeshasahau corona na magonjwa​ mengine ya aina ya corona maafisa afya mpo au mko likizo!!!! @@lidyadule9477
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 ай бұрын
Wachina wa mchongo, ndio wawekezaji wa awamu ya sita hawa upuuzi mtupu.Hivi China unaweza ukafanya huu ujinga ukabaki salama?
@DavisEnglishTv
@DavisEnglishTv 2 ай бұрын
Sasa hapo pamekuwa mahakamani au..Viongoz wa bongo bhana miyeyusho sana
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r 2 ай бұрын
Ubabaishaji unakuwa ni mkbwa bora aamuliwe kwa hivi
@tegemeakyangenyenka6111
@tegemeakyangenyenka6111 2 ай бұрын
Mkimrudisha kwao anaenda kupigwa risasi
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 2 ай бұрын
Angekua makonda, hapa aka mambo yangeenda taratibu bana weee Kila mtu angemuelewa, mwenzie
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 2 ай бұрын
Well done,Dc Felician.haki huinua Taifa ball dhambi ni.aibu ya watu wote.Amen .we are together also we are praying for you. Amen
@christophermafuru7152
@christophermafuru7152 2 ай бұрын
Hana busara huyo DC.
@loner_wolf
@loner_wolf 2 ай бұрын
mkuu wa wilaya sifa ni ukada wa chama + kihelehele kingi tu ndio tatzo naloliona hapa
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 2 ай бұрын
Kazi mbovu tumia hekima
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 2 ай бұрын
Play your part,your deserved alot of Good things.
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 2 ай бұрын
Kiongozi siyo sawa hivyo mwite jina lake yeye halisi kisheria
@serengetiduma1090
@serengetiduma1090 2 ай бұрын
Aah wanamwita hivyo, sisi tukiteswa kwao tunalamika!!
@mcback4384
@mcback4384 2 ай бұрын
​@@serengetiduma1090batili mbili hazigeuzi halali
@abdirizakhtuke2882
@abdirizakhtuke2882 2 ай бұрын
Mnaingilia kazi za mahakama.
@De_Prodigy
@De_Prodigy 2 ай бұрын
Kuna diplomatic relationship kati ya China na Tz. Kuna high commission or consulate pia, kuna vitu vingine huyu mchina akienda ubalozi itamletea shida mkuu wa wilaya km suala la kutoa amri passport izuiwe! Watanzania wengi wapo China pia na wanafanya biashara China, there is something wrong here!
@JeremiahNyunza-ov9ll
@JeremiahNyunza-ov9ll 2 ай бұрын
Acha sifa ww unamuiga makonda ulikuwa wp siku zote mtafutie mkalimani ndio umuhoji
@juliusdominic-uk4bu
@juliusdominic-uk4bu 2 ай бұрын
Makonda amefanyika kuwa mbegu ivyo ni vyema wengi wakimuiga ili tupate wasimamia haki wengi
@ntebionetv3243
@ntebionetv3243 2 ай бұрын
DC Felician hii ni mara ya pili alianza kabla hata Makonda hajaja Arusha
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op 2 ай бұрын
Uyo mchina mna muonea kiswahili unachongea mkuu wa wilaya huyo mchina hawezi kuelewa
@joramkimario
@joramkimario 2 ай бұрын
Ukienda kule kwao utapakwa mafuta
@Kabwela776
@Kabwela776 2 ай бұрын
Lugha chafu huyo mkuu wa wilaya anayotumia nitakuvuruga Na mchina angepewa mkalimani wa kichina ili ajieleze vizuri
@lucymtui8680
@lucymtui8680 2 ай бұрын
Unawajua kwenye nchi zao, hapa tu wababe na siyo nchi yao
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
​@@lucymtui8680Hata kwao wanafanyiana hivohivo kama sisi huku tunavyofanyiana
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
​@@lucymtui8680hata kama!huwezi fanya ubaya kwa ubaya ktk kutengeneza jambo! waache wao watuige sisi sio sisi kuiga ubaya wao
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
Matumizi mabaya ya lugha ni aibu kwa taifa letu
@rogersadrian3581
@rogersadrian3581 2 ай бұрын
Hakuna wakarimu kama wachina ukienda nchini kwao. Ukileta uhuni wa kwenu ndo utakipata cha moto. Ubaya ni kufanya kosa ulilotahadharishwa usifanye.
@golebenson4597
@golebenson4597 2 ай бұрын
Uyu mchina mjanja sana anatumia madhaifu ya watanzani wasiojua (sheria na mkataba) kuwandamiza
@Nedjadist
@Nedjadist 2 ай бұрын
Eti, wameanza! Acha kuwabana wawekezaji kutaka umaarufu. Hiyo kesI ni ya madai tu. Acha apeleke mahakamani.
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 ай бұрын
DC unataka utembelee upepo wa Makonda,Kwanza huyo mchina unamuonea,huu ni udharirishaji.
@jamesnyamila2165
@jamesnyamila2165 2 ай бұрын
Kaa kimya wewe
@joramkimario
@joramkimario 2 ай бұрын
Tulia wew hujui kitu
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 2 ай бұрын
Tuliza kinyeo
@mamasalhat
@mamasalhat 2 ай бұрын
Kelele funga mdomo unajua nini wewe au Sababu umeona ngozi nyeupe waitetemekea hapa haki kwa haki
@benjaminf361
@benjaminf361 2 ай бұрын
Kabisa, siangemuita ofisini. Hata anajiaibisha mwenyewe! Mchina ametulia anasema ameshaenda hadi kwa mkuu wa mkoa. Eti uhamiaji muingie kazini najua ninachokimaanisha. Jaman!
@user-xe5kr2yk5d
@user-xe5kr2yk5d 2 ай бұрын
Hiii mambo anaiweza Makonda bhana,,yaani Makonda taratibu mpaka muelewe wote..hapo pangekuwa na mwanasheria tungejua ukweli
@jsabood
@jsabood 2 ай бұрын
Sijaekewa kila mtu ni polisi. Kwani hakuna sehemu husika ya kesi. Mheshimiwa waziri mkuu, lugha inayotumika si ya urafiki. Uamuzi si wa kidemokrasi. Kila mtu ana haki ya kujiteteya mbele ya sheria. Siyo watu wanavunjiwa heshima kwa lugha ya kutisha na uamuzi bila haki ya kujiteteya. Mgeni lazima apewe heshima au tutawafukuza kama hatokuwa na haki ya kujiteteya.
@user-wu7vz8ot5i
@user-wu7vz8ot5i 2 ай бұрын
Viongozi mko na .madhaifu sana
@hhurbert
@hhurbert 2 ай бұрын
Shida sio Mchina huyo shida ni sheria za uwekezaji za nchi zinaingiza mpaka wabangaizaji ndo maana Muheshimiwa kapata kisukari maana ana deal na mbangaizaji . Sheria ziseme hata angalau dola milioni 3 kwa wawekezaji wa nje .
@user-yl3mr5hy5s
@user-yl3mr5hy5s 20 күн бұрын
Mkuu WA wilaya ni muhuni sana atoke anamuonea muchina kwa sababu ni mgeni
@MtatiroMtatiro
@MtatiroMtatiro Ай бұрын
Huyu mchina nimhuni yani yeye ana chukua hela za watu nakwenda kujifunza kiswahili 😂😂😂sio kufanya kazi
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x 2 ай бұрын
Wanachezea tanzania sana ingekuwa ni kwao mmmh pangechimbika. Hapa tunawapokea tunawaheshimu wanatuona mavi
@neemareuben311
@neemareuben311 2 ай бұрын
Huyu mhemiwaaa Ana iga moto wa makonda hataufikia ataaribuuu zingatia sauti tuuuuu hehehe
@saidalmarjibi6112
@saidalmarjibi6112 2 ай бұрын
Hii inasaidia wa investor kuja nchini? Kama kuna judicial system,, si bora kuifatishia?? Maana ikiwa kiongozi ana fanya duty ya judges hadharani!!! Na anamtaja mtu kwa asili yake ( wewe mchina nitakuvuruga) hio lugha, na mantiki inapendeza kutumiwa hadharani? Jamani?
@vannymokoca358
@vannymokoca358 2 ай бұрын
Point eti nitakuvuruga ?👌niatari sana waah auwezi kuwa jadge mwenye asira
@saidalmarjibi6112
@saidalmarjibi6112 2 ай бұрын
Mahakama barabarani? Sasa wa judge kazi zao zinachukuliwa?
@iddiali8057
@iddiali8057 2 ай бұрын
Nadhani hekima na bishara zitumike
@bizzyjunior_tz
@bizzyjunior_tz 2 ай бұрын
Hii siyo haki kabsa lakini hii ni kazi ya mahakama
@nicospack3893
@nicospack3893 2 ай бұрын
Huyo mkuu wa wilaya haieleweki bado hajanyooka
@mussamsuya8595
@mussamsuya8595 2 ай бұрын
Hayo mambo ya ajabu mnawafanyia wageni alaf wew sio mtu wa sawa wa haki unaongea kauli mbaya sana hufai unaanza kumuambia watu wa uhamiaj et ingieni mxigon mnajua ninachokimaanisha iyo sio kauli nzur
@mcback4384
@mcback4384 2 ай бұрын
Tumia lugha ya kiofisi DC
@Igembetukuyu
@Igembetukuyu Ай бұрын
DC anahitaji utulivu katika haya mambo.
@user-gx4sw9kz8m
@user-gx4sw9kz8m 2 ай бұрын
Kaziiendeleee
@rithaurassa
@rithaurassa 2 ай бұрын
Huyu aswekwe ndani msimchekee.Ukcheka na nyani utavuna mabua .mchina anazarau kabisa anaongea na DC vifungo vya shatii amefungua vyote kama anataka kupigana peleka ndan huyo kabisaaaaa.
@KenMolloimet-fl6rd
@KenMolloimet-fl6rd 2 ай бұрын
Bwana DC hiyo kazi siyo yako na maneno yako siyo ya bussra
@user-ss3hx9pf8n
@user-ss3hx9pf8n 2 ай бұрын
Why these karangaroo courts in Tanzania?don't you have laws that govern the country?mtu akikosea aperekwe kotini.
@kinogekimbeho3781
@kinogekimbeho3781 2 ай бұрын
Mkuu wa Wilaya unakuaje na mic moja??
@mymuamsrrr7884
@mymuamsrrr7884 2 ай бұрын
Waafrika bana aa!!! Wanaogopa sanaaaa.
@rodsconehenry4249
@rodsconehenry4249 2 ай бұрын
Baadae we tulia ilikua public intention we kausha c tayari vigelegele washapiga😂😂😂😂😂
@azimioalbertongellangella8970
@azimioalbertongellangella8970 2 ай бұрын
Kuna kitu hakipo sawa hapo msisahau kuna wa Tanzania tupo nje ya Tanzania🙁
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 2 ай бұрын
Fukuza mbona mnambembeleza
@elizabethsjoberg5734
@elizabethsjoberg5734 2 ай бұрын
Hatariiii mchina utakoma kuingia kwenye anga za wabongo wetu wanadai bila nyaraka makonda naomba ulosimamie hili maana kaktiwa maji na umeme hapo pana jambo.????
@adambilali3710
@adambilali3710 2 ай бұрын
Nilicho gundua apo changamoto za kukatiwa umeme ndo zimesababisha ayo yote nafikili wamsaidie uyo machina kupata maji na umeme Ili Kaz zifanyike kilais mkuu wa wilaya anatakiwa awe na busala ajue jinsi ya kutatua tatizo na sio komandi na ndio mana makonda ata Baki juu siku zote
@kulewamziray9068
@kulewamziray9068 23 күн бұрын
DC anafoka Sana, au ajifunze Kwa makonda
@mymuamsrrr7884
@mymuamsrrr7884 2 ай бұрын
Sweka ndaniiii,mbona munazugazuga.I bet you it will be business as usual.
@juliusdominic-uk4bu
@juliusdominic-uk4bu 2 ай бұрын
Mungu awe na ww Mkuu wa wilaya kwa kusimamia haki
@rosesilio9008
@rosesilio9008 Ай бұрын
Da mpaka nimelia watanzania tuko na upendo sana eti we tapeli,, et ntakuvuruga we baba we china autoenda? Acha kumsimanga mchina mpaka huruma jamani
@mashimbazephania3511
@mashimbazephania3511 2 ай бұрын
Acha watz tunyooshwe hiyo pesa ukiombwa na ngozi nyeusi unamuita mwizi ila mchina unatowa vzuri
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 2 ай бұрын
Angalia both sides baba.. Jamaa anaongea kiswahili anajitahidi
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Ай бұрын
Mie nmemuhurumia mchina jaman
@talents7934
@talents7934 2 ай бұрын
Huyu mkuu anatfuta Kiki wala hana Karma ya Uongozi,hujawapa ata muda hao wanaomdai mchina Wakaeleza kwa kina Daah kiki mbaya sana😢
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 2 ай бұрын
Huyo mchina inawezekana kabisa kwao china kashindikana Kwa utapeli na alikuwa mfungwa wakamtoa gerezani na kumwambia aenende ulimwemwenguni kote akasambaze utapeli.
@user-wu5jj5kn2h
@user-wu5jj5kn2h 2 ай бұрын
Anatafuta kik kwa mchina unamhoji mtu kiswahil wakati unajua sio luga yake hata mkaliman hamna sheria ya wap inamaana hata kingereza hujui
@shamslukumay2627
@shamslukumay2627 2 ай бұрын
Mmmhhh huyu mchina ana busara sanaa
@fauzibinzoo6563
@fauzibinzoo6563 2 ай бұрын
Huyo kakutana na mchina angekutana na hichi kichwa kibofu nadhani angetia akili
@eliaspeter4017
@eliaspeter4017 2 ай бұрын
Haki huinua Taifa, asitahiliye haki apewe haki yake, asitahiliye hukumu apewe hukumu. Viongozi pigeni kazi, Mungu atawalipa
@faridiathumani3114
@faridiathumani3114 2 ай бұрын
Mkuu wa wilaya mpenda sifaa tu wala hatoi haki
@user-wu5jj5kn2h
@user-wu5jj5kn2h 2 ай бұрын
Iyo kes huyo haiwez kwa luga gongana pia anadhalilosha watu
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 2 ай бұрын
Huyu mchina naomba msikilizeni msimhukumu tu
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 2 ай бұрын
Kamali Ndio imemnyooshaa
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q 2 ай бұрын
Wamemuonea mchina huyo mkuu wa wilaya hana busara kama Makonda na Jerry silahaa
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 2 ай бұрын
Futeni dokoment zake aende kwao
@NestoryManoni
@NestoryManoni 2 ай бұрын
Msimuonee huyo mchina sbb ni mgeni mmeshindwa kurekebisha ya inch yetu mnamebaki ku.kandamiza huyo jamaa mbona kama ni mchongo hata hao wanaonekaw
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 2 ай бұрын
Hao ndiyo Wachina tunaowaamini kwa kila kitu acha watumalizie
@BabuayubuMzadini
@BabuayubuMzadini 2 ай бұрын
ASA maiki Moja ....acha uchungu umaaalufu hauji ivi ivi
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂jamani mtamuua mchina wa watu!!
@ndorobocarworks-dx4pf
@ndorobocarworks-dx4pf 2 ай бұрын
Nitakufuruga😁😁
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 2 ай бұрын
IVI NCHI YETU IKOJE!!! MGENI ANAKUJA KUSIMAMIA GARAGE kweli?? watanzania SISI TUPO tunaweza fanya garage
@LudovickTibakyenda-gs2wh
@LudovickTibakyenda-gs2wh 2 ай бұрын
Umekatazwa?. Anzisha ya kwako. Gereji sio matako kwamba kila mmoja anayo
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 2 ай бұрын
Mtaji unao au unafikiri gereji ni kuwa na over roll na spana😂
@NestoryManoni
@NestoryManoni 2 ай бұрын
Missenden kuwaonea wageni ambapo nyie mnafanya uchafu tu kwani hpo mlipo ni mahakama??? Tumia busara kwani hata ukimuwea remanded siatatoka tu mbona hayo yanaongeleka muache kudhalisha huyo mchina
@felixsolomon6293
@felixsolomon6293 2 ай бұрын
Uongozi ni kipaji ikiwemo hekima busara na mpangilio wa matukio ila hapa 😅😅😅😅😅😅
@familytalks1
@familytalks1 2 ай бұрын
DC naye analiamsha, alikuwa wapi siku zote
@mohamedrajabu524
@mohamedrajabu524 2 ай бұрын
Bongo shida sana kisa anadaiwa ndo anaonekana anamakosa sana hapana kunaupande ambapo hata yeye anahakizake pia licha anadaiwa
@NestoryManoni
@NestoryManoni 2 ай бұрын
Wanaonekana kama wameandaliwa mtende haki
@nabiiashermgani7523
@nabiiashermgani7523 2 ай бұрын
Hakuna kiongozi hapo!
@dkalbertoanyasime9357
@dkalbertoanyasime9357 2 ай бұрын
Sio kazi yako hio mkuu wa wilaya kua mpole
@user-rh5iy3ei3g
@user-rh5iy3ei3g 2 ай бұрын
Jamn John wawatu,mbn anawatendaji wengi Sana garage kwake jmn na wanafanya kazi masaa yote 😢lbd kabanwa na kazi
@Tribal-ec7uj
@Tribal-ec7uj Ай бұрын
Duu wachawaumbuke tena wanatuchosha na mabonanza watanzania wanafilisika kucheza huwez acha mpaka ufilisike
@mohamedrajabu524
@mohamedrajabu524 2 ай бұрын
huyu mkuu wa wilaya mim sijamkubi coz anafanya vitu kwakutafuta sifa unawezaje kuhukumu hapo hapo wakat mahakama zipo kwahiyo hapo ndo mahakama?
@fauzibinzoo6563
@fauzibinzoo6563 2 ай бұрын
Huyu mkuu WA wilaya hastahili hicho cheo
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Ай бұрын
Tufungulie baraba😂😂😂
@user-hq5mo3dx7l
@user-hq5mo3dx7l 2 ай бұрын
Cku zote ulikuwa wapi jmn
@hollymore4904
@hollymore4904 2 ай бұрын
Hata kama ana makosa bado hujatumia busara aise ..shame ...
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp 2 ай бұрын
Jinga kabisa umekuwa pilato kivipi
@HamisiForogo
@HamisiForogo 2 ай бұрын
Tena jinga Hili baba mkuu gani wa mkoa huna kauli za kisomi
@BON357
@BON357 Ай бұрын
Angalia polisi wasije wakamtorosha china naona wanatongozana nyuma yako mkuu
@ProjetusRwiza
@ProjetusRwiza 2 ай бұрын
Nafikiri mkuu WA mkoa ilibidi anyone kwanza machina kabla ya kuja public maana inaonekana na yeye c makosa yake gari kuchelewa. Mkuu Wilaya Hana busara
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 2 ай бұрын
Mimi kama mimi nasema siku nyingine msirudie kutumia maik moja
@user-hq5mo3dx7l
@user-hq5mo3dx7l 2 ай бұрын
Jmn m.26 c angenunua Gari lingine
@petermakondo109
@petermakondo109 2 ай бұрын
🙃🙃
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Vicent nahisi huna akili sawa unatetea mwizi wa Kichina hii nchi yake nenda wewe kwao ukafanya hivyo anavyofanya wanakuua
@innocentmushi3036
@innocentmushi3036 2 ай бұрын
Namna DC hapa, kuna mpayukaji na mjinga. 🚮🚮
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 2 ай бұрын
Sasa hivi mahakama mkononi
@christophermafuru7152
@christophermafuru7152 2 ай бұрын
Ni wale wale tu.
@gracewilliam4102
@gracewilliam4102 2 ай бұрын
Mkuu wa wilaya hana nidham
@Zubaiba
@Zubaiba Ай бұрын
Mchina atakayewezana naye ni makonda tu,makonda anajua kuhoji
@mlangotv8465
@mlangotv8465 2 ай бұрын
Viongozi wetu wawe na hekima, wasiendeshwe na hisia, huyo mchina hana jina? Kwanini usimpe mkalimani azungumze lugha anayoijua vizuri ili atoe ufafanuzi mzuri
@deniskiwanga85
@deniskiwanga85 2 ай бұрын
Hanalolote huyu DC , alikuwa wapi sikuzote
@Ufalme_
@Ufalme_ 2 ай бұрын
Makonda ana Fact,,,,,hii haina ladha sana.
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 29 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН
KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIAN
39:08
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 58 М.
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН