MBUZI WAMEPANGIWA CHUMBA NYUMBANI ANAPOISHI ZAI WA KIJIWE NONGWA | WANALIPIWA NA KODI

  Рет қаралды 115,292

ZamaradiTV

ZamaradiTV

8 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 304
@user-cl9hg3uc8e
@user-cl9hg3uc8e
Nakupenda da zai af unayakubali maisha yako napenda unatueshimisha wauswailini❤❤❤❤
@bettiejoy-mtotowamama
@bettiejoy-mtotowamama
Na amejua usafi kwa nyumba👌 , ukitazama nje ya nyumba na ndani utadhani nyumba mbili tofauti
@user-qc9xt4dp1i
@user-qc9xt4dp1i
uyu kweli anakaa kijiwe nongwa mana nyumba mbaya arafu chafu ila ndani kama upo masaki vile hii inaitwa mchngnye adui yko😂
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823
Mash Allah Zai umejitahidi Kuzuri nyumbani kwako.
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l
Ndani kwako kusafi Mashallah❤, maana kuna wadada wanapenda kujipodoa Ila ukiona anapoka, nyumba chafu😢.
@aishachuma9
@aishachuma9
Hongera dada zai Kwa kuuvaa huusika wa uswahilin na pili hongera Kwa kujipanga Kila idara sio kibiashara paka kimaendeleo waswahili kama sisi tunasema umeweza dada zai❤❤❤❤
@vero57
@vero57
KWELI KABISA DADA ZAI , MAPEZI YAKO TOKA EZI , SOMESHA WATOTO WAKO MWANYA, NYUMBA SAFI SANA, HONGERA SANA DADA ZAI.
@btylove1870
@btylove1870
Zai ngozi inaglow, nywele umependeza sana. Nakupenda sana❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567
Dada zai watoto aacha kulaza chini kisa wagen hapana hiyo.Labda mama yako Mzazi au Baba. Ndio watoto utawalaza chini.Wanashukran wagen hao.Nakupenda sana❤❤
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev
Watu kama hawa ukute anamjengo unajengwa huko
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926
Zai me nakupenda tu yani kabda hajaongea nishaanza kucheka 😂😂😂naitamani iyo story ya mwanahamisi miziwa 😂😂😂 et huyu kiwege ndo nimeachana nae 😂😂😂😂😂😂 KUZURI MNOOO MWAYA HONGERA ZAI WETU ❤
@user-lt3iz5kb8v
@user-lt3iz5kb8v
Aisee...unajitahidi sana hongera,ndo maana nakupenda utafika mbali
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543
Hongera Zai unaishi maisha halisi..
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926
Me sidondoki ndo nshafiwa nna uchungu wangu naomba mniache mm uuuwwiii mbavu zangu 😂😂😂😂
@sashah_ace8598
@sashah_ace8598
ni mkweli sana hana baya mashallah ALLAH AKUZIDISHIDIE
@3Dshoez
@3Dshoez
Hongera dada maisha yako ndo hayo na huna haja ya kuficha ficha 😍
@valenakomba9218
@valenakomba9218
Eeeh Zaii, mambo siyo mabaya. Hongera sanaa. Nyumba inawakaa , heee. Kwa kwekili hongera.
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154
MAISHA HALISI YA USWAHILIN NI HAYA NAKUPENDA DADA YANGU ZAI NIMEKAA SANA BUGULUN KWA MNYAMAN MAANA UKO FULL USWAHILIN
@nayfatsalim7828
@nayfatsalim7828
nimecheka ety wkija wnakaa chni mweny nyumba nd nakaa juu hhhh..Kweny friji umekua mpole mbna😂
@annamwanyilu7020
@annamwanyilu7020
Jaman zai umetisha dada Huna shda hongera kwa kuendelea kuwa maarufu Mungu akujalie mafanikio zaidi
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 83 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
BABA YANGU KIPOFU Full episode /22/ #love
38:39
BabaJoan
Рет қаралды 134 М.
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 300 М.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 83 МЛН