GHARAMA ZA BANDA LA KUKU | UFUGAJI WA KUKU

  Рет қаралды 5,403

KingoFarm

KingoFarm

Күн бұрын

Пікірлер: 27
@filipinadaud885
@filipinadaud885 4 ай бұрын
Nimeipenda hiyo Imani ya kumtegemea Mungu. hongera kwa Yote unayoyafanya ktk kuelimisha. Mungu akubariki sana❤❤
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk 5 ай бұрын
Kwenye wizi ,weka mbwa wakali sana itasaidia
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 3 ай бұрын
Asante sana Kaka kwa kutushirikisha mambo mazuri, je ukitaka kufanya usafi hapo unafanyaje, si hayo matandazo yatatoka! Kwa wazoefu mnisadie
@KingoFarm1
@KingoFarm1 3 ай бұрын
Unayatoa Kila baada ya mwezi mmoja
@BKFarm-up9mv
@BKFarm-up9mv 5 ай бұрын
Kaka kazi nzuri sana. Hongera Unapatikana mkoa gani?
@oriethkimaro333
@oriethkimaro333 5 ай бұрын
Napenda kujua dawa hiyo inaitwaje
@ahmedsoudathman5088
@ahmedsoudathman5088 8 ай бұрын
Good job
@KingoFarm1
@KingoFarm1 8 ай бұрын
Thanks
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk 5 ай бұрын
Safi sana
@braisonbuchwa829
@braisonbuchwa829 5 ай бұрын
God bless you brother nakufatilia sana natman nifanye makubwa katika ufugaji
@chachawambura4030
@chachawambura4030 6 ай бұрын
👏👏👏👏👏Mungu akubariki sana
@KingoFarm1
@KingoFarm1 6 ай бұрын
Amina
@oriethkimaro333
@oriethkimaro333 5 ай бұрын
Umewpa Dawa ngani wakapona
@twahakishavi9317
@twahakishavi9317 8 ай бұрын
Ningenda kukutembelea tukaongea kwa ukaribu ili nipate maarifa zaidi kwani niko na mapwnzi ya kufuga kuku
@mrkipinguog3134
@mrkipinguog3134 5 ай бұрын
Mimi tatizo wanyam wakal wananirudisha nyuma
@lusajoemmanuel9009
@lusajoemmanuel9009 4 ай бұрын
Biosecurity vipi?
@zubeirmwangare7033
@zubeirmwangare7033 5 ай бұрын
Habari ndugu nataka kujuwa hao kuku 250 wanaweza kuishi kwenye hilo banda la ukubwa huo hadi umri gani?
@KingoFarm1
@KingoFarm1 5 ай бұрын
Kuku mkubwa wa miezi 5
@IdrisMassawe
@IdrisMassawe 6 ай бұрын
Unapatikana wapi mkuu
@KingoFarm1
@KingoFarm1 6 ай бұрын
Mtwara
@ZahraBinty
@ZahraBinty 4 ай бұрын
Mtwara upo sehemu gani
@twahakishavi9317
@twahakishavi9317 8 ай бұрын
Ningependa kujua unapatikana wapi
@KingoFarm1
@KingoFarm1 8 ай бұрын
Napatikana Mtwara
@mektlidamarco2588
@mektlidamarco2588 8 ай бұрын
Nakusikiliza sana mwaya,apo mama amesema doxy , ni kidonge kile cha binadamu?au
@KingoFarm1
@KingoFarm1 8 ай бұрын
Tyrodox, IPO ya kuku kabisa, lkn kama unabana na unakuku wachache unaeza tumia hata hiyo.
@oriethkimaro333
@oriethkimaro333 5 ай бұрын
Napenda kujua dawa hiyo inaitwaje
@oriethkimaro333
@oriethkimaro333 5 ай бұрын
Napenda kujua dawa hiyo inaitwaje
Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji - Muongozo kwa Wanaoanza Ufugaji
14:05
Changamkia Fursa
Рет қаралды 152 М.
didn't manage to catch the ball #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 35 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2 МЛН
BAJETI NA FAIDA YA KUFUGA KUKU CHOTARA 100
16:17
KingoFarm
Рет қаралды 10 М.
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
UFUGAJI WA KUKU SULUHISHO LA AJIRA
10:10
Amina Mollel
Рет қаралды 43 М.
BANDA LA KUKU 1000 - 1300, SEHEMU YA TATU
11:17
Charity Farm
Рет қаралды 41 М.
EPUKA HASARA: TAMBUA MAGONJWA 8 YA KUKU NA MATIBABU YAKE
22:51
JM Farm Tanzania
Рет қаралды 1,9 М.
FUNDI WA LOCAL CAGES/KEJI ZA KUFUGA KUKU ZA GHARAMA NAFUU
3:08
MKULIMA SMART TV
Рет қаралды 25 М.