Ginimbi kuzikwa na lundo la dola, rafiki yake Zari, Zodwa Mkandla kumiliki jumba lake la kifahari

  Рет қаралды 165,932

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

3 жыл бұрын

Пікірлер: 306
@agneskadzo6105
@agneskadzo6105 3 жыл бұрын
Kumbe kuna wazur kuliko Zari.. MUNGU kaumba kweli vitu vizuri vizuri. Hata Mimi nimzur asante MUNGU Baba mbingun
@jasminjuma6390
@jasminjuma6390 3 жыл бұрын
Hakika maisha ya duniaa ni mafupi Sana yarabi tujaalie mwisho mwema
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 3 жыл бұрын
Aamiin
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 3 жыл бұрын
Amyiin
@fatushabdi2786
@fatushabdi2786 3 жыл бұрын
Amin yarab 🤲🤲🤲🤲
@shamimkyomugisha9742
@shamimkyomugisha9742 3 жыл бұрын
Allahuma Ameen yarabbi...
@marinamooh4055
@marinamooh4055 3 жыл бұрын
Pole bro Sky Allah akupe shifaa inshaAllah 🤲🏿 Mmmhhh🤔🤔 Utajili wa Kishetani mwisho unazikwa kishetani Shetani Daahh history yk sijasikia Ameingia nyumba ya Ibada zaindi ya kusikia bar, Club, hotel na kuvaa nguo za thamani, SubhanaAllah Allah tuongoze vyema waja wako.
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 3 жыл бұрын
Dunia si chochote kabisa yaani
@theafricanprincevivecongo8632
@theafricanprincevivecongo8632 3 жыл бұрын
Nawa fwata sana FROM USA 🇺🇸
@saadiaali5609
@saadiaali5609 3 жыл бұрын
Jamani kumwaga madola sasa dola siafafhali waende wakawape mayatima na mafukara na watowe sadaka ili huko aendapo sadaka nakusaidia masikini iwe ni amali zake watu wanafanya kufuru ujuwe pesa za shetani hazina mipango maalumu
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
Tutafanyaje cc yetu macho 2
@ivaniavianarodrigo7201
@ivaniavianarodrigo7201 3 жыл бұрын
ulishawai kusikia pesa za kuzimu?!, kama uliwai kusikia basi hazitolewi zaka.
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
@@ivaniavianarodrigo7201 eti ndohizi mungu wangu tusame
@sarahminja7255
@sarahminja7255 3 жыл бұрын
Pesa zao ni za kumwaga damu tu hata wakisema wamzike nazo au wasimzike nazo wagawe kwa mayatima ni kazi bure kwasababu amekufa kifo cha mende nikimaanisha amekufa hali yakuwa bado ni kafiri
@dotytydo2342
@dotytydo2342 3 жыл бұрын
@@Maggie824 wee waona zari mbona masta wote bongo ni madevo
@anicyaedward5605
@anicyaedward5605 3 жыл бұрын
Duuuh let’s love each other
@tumabhay8576
@tumabhay8576 3 жыл бұрын
Mhuuuu balaaa zitttttooooo. Balaa na nusu.. ALLAH TUPE MATENDO MAZURI NA UTUPE MWISHO MWEMA 🤲.
@saidakessy3175
@saidakessy3175 3 жыл бұрын
Always on point sky🔥pole na mafua
@zainbomary3970
@zainbomary3970 3 жыл бұрын
Pole sana Kaka Sky kwa mafua
@dinahandi7027
@dinahandi7027 3 жыл бұрын
Kwani roho yake iko hapo kwa dollar hakuweka hazina yake mbinguni ,man made money but money makes ma mad,hio ni madness,maskini na tajiri pua kuangalia chini ilingekua tajiri aeza nunua uhai walai maskini hangeliishi
@aishamother9943
@aishamother9943 3 жыл бұрын
Kabisa my dear
@aminaissa9709
@aminaissa9709 3 жыл бұрын
Yaani umesema kweli lakini mungu mkubwa kila mtu ataonja kifo tu uwe tajiri uwe maskini futi sita zasubiri kila mtu
@ebbyramadhani
@ebbyramadhani 3 жыл бұрын
Mastaa mpate somo msitujeulie wananchi Msituvimbie Mkipata matatizo mnarudi kwetu tuwachangie, pamoja na kuvimba kote kuwa mna ela
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 3 жыл бұрын
Mungu awalehem marehem wote daa inasikitisha sana
@angelholsey2484
@angelholsey2484 3 жыл бұрын
MUNGU tujalie mwisho mwema 🙏
@jarednyakomitta6570
@jarednyakomitta6570 3 жыл бұрын
Speed kills.The car reaches high speed within few seconds.
@Vince-kw9hu
@Vince-kw9hu 3 жыл бұрын
Kumwabudu shetani kuna gharama hilo mlijue ndugu zangu Furahia alichokupa wewe kilicho na Amani
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 3 жыл бұрын
ingekuwa bongo jioni limefukuliwa pesa zote zinachukuliwa chezea bongo wew
@samirnaty8774
@samirnaty8774 3 жыл бұрын
Mi ni mdogo zodwa😂
@bujsaudaselemani5562
@bujsaudaselemani5562 3 жыл бұрын
Pole sana
@hanifaally4694
@hanifaally4694 3 жыл бұрын
SubhaAllah Allah awasemeh amjui mtendalo sasa hz pesa c mngesaidia wenye uhitaji mayatima,wagonjwa watu wpo weng nashida ht mumzike na nyumba yak haiwez saidia chcht huko Amary yk tu jmn eeh Yarab tupe mwisho mwema sote na ukamsamehe mja wako huyo mazambi yake na yangu 🙏😭😭😭
@hatimahalikhamis1333
@hatimahalikhamis1333 3 жыл бұрын
Pesa za shetani lazima ziende na mwenyewe
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 3 жыл бұрын
@@hatimahalikhamis1333 hasaaaa
@aminihaminih7846
@aminihaminih7846 3 жыл бұрын
Pole kwa mafua,pia asnt kwakutupa taarifa nzr
@beautyblessing8846
@beautyblessing8846 3 жыл бұрын
They should give that money to the poor, orphans and widows why waste it when the less privileged are suffering? He's dead and gone no need to bury him with lots of cash coz haitamsaidia kitu ama kumrejeshea uhai
@rukiabari9431
@rukiabari9431 3 жыл бұрын
That money is money in your sight(worldy) but in spiritual world its not money and no blessig of God in it... From darkness to darkness
@nightwishisthegreatestband6355
@nightwishisthegreatestband6355 3 жыл бұрын
It was HIS money. If that was his wish he has all rights
@janetkemush3784
@janetkemush3784 3 жыл бұрын
Sns nawapenda sana
@chibunews5642
@chibunews5642 3 жыл бұрын
Tunakutegemea mwanzo mwisho Sky na usisau na hushpappi
@keithsikobe2188
@keithsikobe2188 3 жыл бұрын
Hiii dunia tunapita mali yote itabakiii duniani
@genofevagrayson1862
@genofevagrayson1862 3 жыл бұрын
pole sana bro
@janeyphersuma3982
@janeyphersuma3982 3 жыл бұрын
Wazimke na nguo zake na nyumba zake na mapesa yake yote na kila kitu chake ila moto uko pale pale mana wamefia dhambini hawakupata nafasi ya kuweka sawa na Mungu acha nimtafute Mungu ningali hai mana sijui siku yangu hili ni fundisho kwetu sote
@didaamohsin6594
@didaamohsin6594 3 жыл бұрын
POLEE KWA MAFUA...SKY..TUNAKUELEWA HIVYOO HIVYOO..MOLA AWAEKE PEMA PEPONI..FROM..🇰🇪🇰🇪
@alexoklnda2353
@alexoklnda2353 3 жыл бұрын
Okay bro good job
@Jal210
@Jal210 3 жыл бұрын
Naomba kweli maisha haya bora nife masikini
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 3 жыл бұрын
Mungu awape pepo njema
@zabiyafahmikhamis4873
@zabiyafahmikhamis4873 3 жыл бұрын
Duuh pole sana kaka utapoa
@gilbertchapah3354
@gilbertchapah3354 3 жыл бұрын
Gud job sky
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 3 жыл бұрын
Poleni Sana, Ajali Haina Kinga,
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
Kweli hakuna ajuaye kesho,mwenyezi mungu tupe mwisho mwema
@user-wr6lc3jz6g
@user-wr6lc3jz6g 3 жыл бұрын
Pole kwa mafua ugua pole😚😚
@ayshachondo9090
@ayshachondo9090 3 жыл бұрын
Pole kaka utapona ucjal
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 3 жыл бұрын
wake wa ma firmasons, halafu utaskia eti mimi ni tajiri, na kumbe urisi wa masheitwani 🙄😏...
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 жыл бұрын
Hilo kaburi lazma baadae livamiwe tu, walala Hoi Hawawezi kubali kuona pesa inafukiwa
@courtoiskimweli2506
@courtoiskimweli2506 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀sio POA
@mwanakombogodoro141
@mwanakombogodoro141 3 жыл бұрын
😄😄😄😄Subhana-llah
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 3 жыл бұрын
La Ivan Don mbona halijavunjwa
@khadijaali3688
@khadijaali3688 3 жыл бұрын
Nani atakata hizo pesa za mashetani
@alwattanchinga
@alwattanchinga 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hqiykqdjmL-iq7s
@rehemashafi4809
@rehemashafi4809 3 жыл бұрын
Dahhh kifo hiki mhm😭😭😭
@youtub8320
@youtub8320 3 жыл бұрын
Hawa wote ni kina Evan semwanga poleni kina zari
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 жыл бұрын
Kazi kweli kweli yetu macho na masikio
@rehemajuma9713
@rehemajuma9713 3 жыл бұрын
daaaah innah lilaah wainalillah lajiun mungu awasamehe sana hawa watu wanaozika pesa chn n bola wangesaidia mayatima kweli annah duniya taduru sisi tunatafuta pesa kwa shida wengne wanazika chn nmeumia sana
@salwasuleiman8943
@salwasuleiman8943 3 жыл бұрын
MTU atapumzika kwa amani iwapo aliitafuta amani kwa Allah tofauti na hapo tusipeane moyo
@fatmasalim7426
@fatmasalim7426 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀sio kweli. .damu ya Yesu tooo ...amna atae ingia mbinguni bila kupitia kwa Yesu...Mohammad kazaliwa kakuta ayo maandiko...
@fatmasalim7426
@fatmasalim7426 3 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 sibishani na ww kila mtu anaamin kile anachoona kinamfaa nimecoment kutokana na iman yangu wewe muamin yesu wako kivyako
@johnmgodi7545
@johnmgodi7545 3 жыл бұрын
Mi mkristo na nafikilia kuslim kuingia kwenye uislam.. kwenye yesu uongo na ujinga mtupu.. ndomana gwajima anawala sana dada zetu wa kwenye ukristo hakuna kujielewa hawajielewi.. sa kama huyo mimi anajielewa kwer
@fatmasalim7426
@fatmasalim7426 3 жыл бұрын
@@johnmgodi7545 😂😂 ila sikucoment kiubaya labda hakunielewa tuu
@messaabbas8346
@messaabbas8346 3 жыл бұрын
Pole sana sky kwa mafua,,,then R. I.P guys 🙏🏻
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 3 жыл бұрын
Sawa kaka SKY nimekuelewa mafua ni shida siku izi
@timochazze9845
@timochazze9845 3 жыл бұрын
Tusisahau kua kuna mungu katika dunia hii
@jamylahramadhani9862
@jamylahramadhani9862 3 жыл бұрын
Nmewaza kwa nn ginimbi hakuungua na wengine watatu wameungua mungu ana kila sababu ya kila linalotokea
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 3 жыл бұрын
Angeungua illuminate wangemchukua vipi?Allah amuhifadhi alipojichagulia
@elishalugano5679
@elishalugano5679 3 жыл бұрын
Mimi na sema tena wengine ambao wanabaki uko kwa lusifer watubu muda bado iko kwao Mungu anawahachia mda ili wa tubu itakuaje upate ulimwengu mzima na ukose ufalme wa mbinguni jameni ? Ni heri ukufe katika Kristo juu utaishi .
@hereandnow602
@hereandnow602 3 жыл бұрын
Kama KARIM alikimbia malawi kwa utapeli wa hizo pesa zote.. Basi hata huyo ginimbi itakua michongo yao inafanana... NDEGE WAFANANAO HURUKA PAMOJA "birds with feathers flock together " ndo hii sasa
@hadijahassan3113
@hadijahassan3113 3 жыл бұрын
With the same....
@oscartheicon2716
@oscartheicon2716 3 жыл бұрын
Hawa vijana wote wamekua magaidi sugu...how can such young men at their 30s became billionaires in such poorest countries like Zimbabwe and Malawi?? Matapeli wakubwa hao who worked with senior government officials to corrupt hizo nchi maskini duniani.
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Ginimbi mpe Hai Ivan done mwambie zari karud tena kwa diamond ila mlale Salam huko mlipo
@mwajabuhamis8924
@mwajabuhamis8924 3 жыл бұрын
Umenichekesha
@omarsharifa5606
@omarsharifa5606 3 жыл бұрын
😂😂😂nacheka Kama mazuriii jamni
@ashasaid5995
@ashasaid5995 3 жыл бұрын
Uwiiiiiii jamani nacheka kama mazuri jaman
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
@@ashasaid5995 cheka tuu uongeze siku zakuishi
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
@@omarsharifa5606 ndo hivyo ndugu Dunia mapito tuu
@pamelaclaud4520
@pamelaclaud4520 3 жыл бұрын
My sns❤️🔥
@user-ij5ig4uu1y
@user-ij5ig4uu1y 3 жыл бұрын
Mbona hatuonyeshwi kwao kwenye amezaliwa wanako ishi wazazi wake
@lenscraft921
@lenscraft921 3 жыл бұрын
all is vanity, if he got wealth wisely, helped the poor, then he has a place in heaven. if wealth could be a ticket to heaven, he could be there without objection
@chiefkaitaba.m.9466
@chiefkaitaba.m.9466 3 жыл бұрын
Huyo Karim tapeli kanihacha hoi kwahiyo serikali imejipongeza au? Mmhh maisha ya hawa jamaa ni maajabu sana
@sherin3171
@sherin3171 3 жыл бұрын
Lakini hizo zote ..ata ukimwaga dola ni bure tu kwa sasa
@shamsahassan2586
@shamsahassan2586 3 жыл бұрын
Very true my dear,,ammal yako ndio itakayo kwenda msaidia
@sherin3171
@sherin3171 3 жыл бұрын
@@shamsahassan2586 wanataka muongezea dhambi wallai ..
@hanifaally4694
@hanifaally4694 3 жыл бұрын
@@shamsahassan2586 Acha yaan binaadamu cc c kitu jana niliona ile video wale wadada wanavyolia kwa gari wanaungua na ckumaliza wallah ckulala leo hao wanafanya hayo kweli 😭😭
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 3 жыл бұрын
@@hanifaally4694 wapi nkaone
@nurukiingu1171
@nurukiingu1171 3 жыл бұрын
@@hanifaally4694 iko wapi nataka kuiona
@kaylakylie97
@kaylakylie97 3 жыл бұрын
Uta pona kaka👍
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 3 жыл бұрын
Pole utapona tu tunakuelewa ivyo ivyo
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ThomasEmmanuel-lm3uh
@ThomasEmmanuel-lm3uh 11 ай бұрын
My dream life
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Bwana wewe mpelekeni akakutani na mukari wa nakiri
@shaloboy3861
@shaloboy3861 3 жыл бұрын
Huko ni noma ukiingia bila amal
@hanifaalmasi5194
@hanifaalmasi5194 3 жыл бұрын
Wallah maswali matatu tu basi haina mjadala
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
@@hanifaalmasi5194 da mtihani allah atupe mwisho mwema inshallah
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 3 жыл бұрын
@@aishaarusha894 Aamyn, mtihani kwelikweli
@kanyangeclaudette8146
@kanyangeclaudette8146 3 жыл бұрын
@@hanifaalmasi5194 nambie maswali gani??
@happysam251
@happysam251 3 жыл бұрын
Hawa wanajuana kwa vilemba mwengine pia naona ashakuja kurithishwa Mali huku bongo...mtaskia mengine tena kwa huyo Mondy
@mercymairah9896
@mercymairah9896 3 жыл бұрын
Jamani mwenda zake ameondoka ,izo madola twaitaji wasitupee
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Inshallah allah amlipe kutokana na matendo yake inshallah
@shamimkyomugisha9742
@shamimkyomugisha9742 3 жыл бұрын
InshaAllah..
@roseatieno6691
@roseatieno6691 3 жыл бұрын
Hii gengi la the rich gang wanatumia giza mbaya kupata mali wakiwemo Zari na marehemu mume wake Ivan, na urafiki ya Zodwa na Zari ni kwa ajili ya mabwana zao na walifanya kazi pamoja. Hiyo familia ya mama dangote pia si wazuri ni kama wanatumia hizo nguvu za giza ndio mana wanaendana na Zari, na tayari tumeskia uncle Shamte anataka pia Zari amuconect na hiyo kundi kutoka SA . Maaajaabbuuu .
@ashuraussein7582
@ashuraussein7582 3 жыл бұрын
😭😭Kwaiyo ginimbi akuza toba
@shamsahassan2586
@shamsahassan2586 3 жыл бұрын
Dunia nimapito kila kitu kitabakia
@stellaloves9879
@stellaloves9879 3 жыл бұрын
Pole kwa homa but bado sauti iko Sawa
@munirashughuli7224
@munirashughuli7224 3 жыл бұрын
Pole kwa mafua
@saggiemacyalue5557
@saggiemacyalue5557 3 жыл бұрын
Bwanaee si azikwe tu.. Hizi habari ziishe...
@anahna6788
@anahna6788 3 жыл бұрын
Mzikie na hizo pesa kuone adhabu yenu kwa Mungu
@martsmart1666
@martsmart1666 3 жыл бұрын
God have mercy on them .
@paulinusdaki8145
@paulinusdaki8145 3 жыл бұрын
Kwenye kifo cha huyu jamaa tunajifunza nn ndugu zangu? " Mtu anakufa wakati anatoka baa na azikwe na lundo la dollars ili kumuenzi kwa kula starehe sana na kwa Mungu je"?
@doreenmalesi6039
@doreenmalesi6039 3 жыл бұрын
Funzo kubwa sana
@saimonfred6702
@saimonfred6702 3 жыл бұрын
Yy ndyo mshamba
@halimasalim5477
@halimasalim5477 3 жыл бұрын
Ihope si korona my brother
@issakamangila9113
@issakamangila9113 3 жыл бұрын
Iyo ndio asara ya kutafuta pesa kiu ujanja ss
@victaraymond1274
@victaraymond1274 3 жыл бұрын
PUMZIKA KWAAMANI ROHOYAMAREHEMU GINIMBI🙏🙏
@wilfredkuyonza675
@wilfredkuyonza675 3 жыл бұрын
Ubatili mtupu hapo ndio utajua wanadamu hawampendi Mungu hizo fedha c zingefaa kusaidia wenye uhitaji, ni wangapi wanakufa mahospitalini kwa kukosa pesa za matibabu nyie mnataka kuzizika ardhini na marehemu Mungu awasamehe hamjui mlitendalo kizazi cha nyoka chenye ukaidi mwingi
@ashasaid5995
@ashasaid5995 3 жыл бұрын
Kwakweli yaan mmmmh
@doreenmalesi6039
@doreenmalesi6039 3 жыл бұрын
Wamesema apo juu pesa za kuzimu azitumiki Kwa sadaka
@zainbomary3970
@zainbomary3970 3 жыл бұрын
Umesema ukweli daaah
@lulually6722
@lulually6722 3 жыл бұрын
Hizo pesa ni za lusifer mungu wao wa kishetani hazifai kugaiwa sadaka kwa mtu yoyote na ada yao wakifa lazima baadhi ya pesa na vitu vyengine vya thamani azikwe nazo hiyo ndio sheria yao
@lulually6722
@lulually6722 3 жыл бұрын
Huyu ginimbi bbaake ni gwiji ktk Freemason na ndio alimtumbukiza mtt wake na yy mwenyewe kumtoa kafara ndio Mana Hana majonzi yoyote na wasia wa marehemu akifa jumba lake liwe hoteli ya kitalii wanajua kila kitu wanachokitenda na ndio Mana alinunua kabisa jeneza
@sabrinasab2910
@sabrinasab2910 3 жыл бұрын
Mali za masoon izo duuu ataazikwe na gar
@sondemtanashati6164
@sondemtanashati6164 3 жыл бұрын
Ivi nyie kila m2 anaefanikiwa ni free mason? Mna wivu sana
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 3 жыл бұрын
@@sondemtanashati6164 dini gn inaluhusu uzikwe kwa kufuru. Uzikwe na gunia la pesa. Kama si uswetani ninini. Africa kuna mafakiri tere. Vipi hizo mali wasingepewa. Huyo ni alikuwa illuminate.
@alwattanchinga
@alwattanchinga 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hqiykqdjmL-iq7s
@nishanantume4953
@nishanantume4953 3 жыл бұрын
RIP🙏
@simonitaagesti3657
@simonitaagesti3657 3 жыл бұрын
Hizo pesa mkitoa sadaka itamsaidia zaidi kuliko kumzika nazo zikamchome
@nahimanamayassa8305
@nahimanamayassa8305 3 жыл бұрын
Acha azikwe na izo dola kuna watu wapo macho wataenda kubomoa kaburi
@maryoburu9620
@maryoburu9620 3 жыл бұрын
🇰🇪 Try this in👈 a unique rain of bullets from RPG,callibooster, manpads will suprise the world.eti doo ilale Kwa mchanga and people are hustling day in day out without food
@sarahogama9540
@sarahogama9540 3 жыл бұрын
Kina zari pia wachunge sana hizi mali za freemason ni hatari
@mapenzisorotanizimbazimba8742
@mapenzisorotanizimbazimba8742 3 жыл бұрын
Kimotoni Chao Hao wakina Zari Na mondi
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Zari na mond fremason
@carolinejuma3108
@carolinejuma3108 3 жыл бұрын
@@aminatanzanya7475 you are very clever my dear Freemason they choose for you woman to marry that’s why unawaona wanabaki na Mali because they can keep secret
@jasmine.mayala7597
@jasmine.mayala7597 3 жыл бұрын
Kaenda yy kawatoa na wenzie daaah 😣😣😣😣😣😣
@tatiya6883
@tatiya6883 3 жыл бұрын
Mnazitafuta kwaushi likina nazina wapeleka kiushilikina
@jacklinevalentine1649
@jacklinevalentine1649 3 жыл бұрын
Haki lyf is soo short may all those perished in this fateful accident rest in peace n may God give comfort to the entire family n those others who lost
@jumaaliy21
@jumaaliy21 2 жыл бұрын
😍😍😍🤲🤲🤲🤲
@noelamaswe6619
@noelamaswe6619 3 жыл бұрын
Ee Mungu tupe moyo wa upendo ulichotubarikia tuwape wasionacho / maskini maana hawakupenda kuwa hawana kwani zipo sababu nyingi zinazowafanya kuwa maskini/hawana
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
Hivo pesa nipeni mm jamani naitaji2 sana
@ruthmgalula9360
@ruthmgalula9360 3 жыл бұрын
Watupe kbs
@Theraldylaniscool
@Theraldylaniscool 3 жыл бұрын
It's all vanity
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 3 жыл бұрын
Izi pesa nazo ni maajabu kabisa hakuna ndoa wala mtoto... Yaarabi tujaalie pesa tutakazoweza kuzimiliki
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
Anaye mtoto huyu yuko marekani. Na kaja mtoto wa kike
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 3 жыл бұрын
@@kiri5807 Ooh kumbe sawa
@bafaello2619
@bafaello2619 3 жыл бұрын
Rest in paradise
@jamilaingu7922
@jamilaingu7922 3 жыл бұрын
Inna Lilah wainailahi rajhun
@victorialucas9094
@victorialucas9094 3 жыл бұрын
Dunia kweli njia jamani
@lucylucy2404
@lucylucy2404 3 жыл бұрын
Afathali mwenzake anaacha watoto gimbi njee akuacha kitu zaid y hasara tuuu kumbuk kuowa mapema pesa munazo inashindikan nini tena unakufa bila kuacha kitu kw familia kwel.
@zou7470
@zou7470 3 жыл бұрын
Dunia iyi inatudanganya kwakwel 😭😭sasa izo dollars zitamusaidia nin jamani 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
Wallah tena mm ningekuwa karibu ningeziiba 2
@zou7470
@zou7470 3 жыл бұрын
@@Ryoof-qo7if 🤣🤣🤣siyo kuiba labda wataweka walinzi mana watamukuta wamemufufuwa 😅😅😅😅
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
@@zou7470 🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
@elizabethmwafongo9867
@elizabethmwafongo9867 3 жыл бұрын
Izo Dora wapelekeen mayatima jamani maana ilo kabur litafukuliwa na wananchi wenye tamaa kali
@theafricanprincevivecongo8632
@theafricanprincevivecongo8632 3 жыл бұрын
Ata akizikwa na gari zote
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
Jamani 🤣🤣🤣
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 3 жыл бұрын
Rest in peace both of them🙏🙏
@walkerhugh201
@walkerhugh201 2 жыл бұрын
You all probably dont care at all but does any of you know a tool to get back into an instagram account? I somehow lost the password. I would appreciate any tips you can give me.
@keatonnixon4541
@keatonnixon4541 2 жыл бұрын
@Walker Hugh Instablaster :)
@graceamadi2141
@graceamadi2141 3 жыл бұрын
Surely why kumwagia dollars and yet hawezi kuzitumia while there are many poor people who would be happy to be given the money. That's offending God
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,4 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,2 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
MJENGONI KWA HARMONIZE NJE MPAKA NDANI ANGALIA PAKISHUA SANA
10:16
MAMBO YA KUZINGATIA  NDANI YA CHUMBA CHA USAILI WA KAZI/JOB INTERVIEW
12:52
DIAMOND PLATNUMZ: ZARI ALICHEPUKA NA PETER WA P-SQUARE/ PICHA ZAO NINAZO
6:18
DIAMOND ALIVYO MPOKEA ZARI NA WATOTO WAKE KWA MAHABA MAZITO
9:40
Mwendokasi Tv
Рет қаралды 1,2 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,4 МЛН