Nimesubilia sana hii kutoka sns wengine wanazingua sns ndo wanajua kuelezea poa, gonga like kwa sns hapa
@shakilakhamis21093 жыл бұрын
haswaaaaa
@abuunyalioto17523 жыл бұрын
@@shakilakhamis2109 umeona eheeee
@severnymlowe63763 жыл бұрын
Sky uwezo Unao Sana brother
@zclassicfashionz3 жыл бұрын
Kama umeangalia tangazo adi mwisho gonga like kumsapot SKY
@denisdboy_king11153 жыл бұрын
Na bado tutasikiaa mengi yajayooooo duuuh acha nibakii na umaskini wangu ipo siku Mungu ataniinuwaa😊🙏
@junioroloo57523 жыл бұрын
Walai 🙏🙏
@denisdboy_king11153 жыл бұрын
@@junioroloo5752 😊🙏
@josephatjordan21503 жыл бұрын
Hyo siku utakapoinuliwa na watu ndipo wanaamka na ww!!hapo ndipo utaamini hiki kinachosemwa!!hakuna tajiri akatamkwa vyema!!!utasikia alikua Jambazi mara N tapeli mkubwa duniani!!Lakin hayo yote n maneno ya Mtu masikini asie na kitu!!
@alwattanchinga3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJiweK2rbJ2Mbpo
@samirnaty87743 жыл бұрын
Mungu tupe maisha mema na mwisho mwema
@sein.2083 жыл бұрын
Amiin yaa Rabb 🤲🏻
@shakilakhamis21093 жыл бұрын
amiiiin amiiin
@maatumkhatib49273 жыл бұрын
Amiin
@aishakhamis29963 жыл бұрын
Ameen....
@nicolenabintu25093 жыл бұрын
Hata niki sikiliza media zingine kabla SNS na milla hawaja sema huwa sitosheki, kaka yangu SALUTE Baba nicole 🤝💘 the way from us.
@martsmart16663 жыл бұрын
Usipofanya kazi siku zote ukimwona mtu amefanikiwa utajua ni nguvu za Giza ama ukahaba kumbe ni jitihada binafsi.Mungu akupumzishe kwa amani Ginimbi.
@zamdamasondole82723 жыл бұрын
Story inavutia, inasisimua, inafunza..thanks SNS.
@zabiyafahmikhamis48733 жыл бұрын
Tuwe tutakavo kuwa lakini kifo ni lazima haitajalisha ww ni nani 😢 muhimu tuombe Mungu atupe mwisho mwema na tujitahidi kufanya yanayo mridhisha Mungu ili tusalimike na adhabu kali
@binthassancollection.63083 жыл бұрын
Kabisa mpenzi Khusunul khatma ya Rabbi?
@alwattanchinga3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJiweK2rbJ2Mbpo
@mbwanakhamis96343 жыл бұрын
Emeen
@zamzamabdi52793 жыл бұрын
@@binthassancollection.6308 amiin amiin ya rabul allamin.
@lulually67223 жыл бұрын
Allahumma ameen 🙏🙏🙏
@emmamueljerryeasther38333 жыл бұрын
Kaka F naipenda sana huduma sns Mungu akubariki
@zainbomary39703 жыл бұрын
Me nimeona media nyngne ila nkasema nasbria SNS asnt sana Kaka Sky
@shakilakhamis21093 жыл бұрын
umeona eeeh wasema ukweli
@fatmass61253 жыл бұрын
Kweli kabisa
@allthingdranabeauty3 жыл бұрын
Ulaya watoto 24 tayari matajiri atari ila africa ukiwa mdogo tajiri ni Freemason tuache izo fikra wengine Mungu kawaumba ivyo mazilo shule lakin kwenye biashara wako vizuri na wanamafanikio tu Mungu kawaumba bila shule na ukichunguza matajili wengi shule imewapita kushoto
@marymayeye79473 жыл бұрын
Ulaya wapi watoto nimatajiri nami nipeleke wangu manake mimi nahishihuku nasijaona vijana matajiri ?😂
@rashidhamis67793 жыл бұрын
Inategemea na biashara kazi familia yako ila huyu kuna namna hapa kwake
@happynelson11363 жыл бұрын
Mimi naishi Ulaya na kweli hapa napoishi kuna vijana miaka 22 matajiri na wanachapa sana kazibili waje kuwa matajiri zaidi ni hizi nchi za scandenevia
@Pedeshee013 жыл бұрын
@@marymayeye7947 upo wapi mary
@gsmtzinfogsm86013 жыл бұрын
Acheni fikra mgando alijitahidi kutafuta kadri ya nguvu zake na Mungu alimpa kutokana na upendo hata Mimi nilitoka umasikinini na sikuupenda nilipambambana kadri ya uwezo wangu na mengi yalisema na so hivyo midomo yetu itaungua siku ya mwisho huwezi toka umasikinini na bado ukaukumbatia wewe utakuwa zwazwa lazima ufight kadiri uwezavyo, Ginimbi hakuwa na mtu wa kumremote hilo ni tatizo pia na ule ushamba aliubeba na kujiona hero
@josephmoses24693 жыл бұрын
Sns saluteeeeee yani huwa nakukubaliii unajuwa sanaaaa professional
@songaathumani13163 жыл бұрын
Uko vzr broo na Kazi yako, Utakapo Enda mm nipo Bro Sky
@Nambenjere3 жыл бұрын
What a gifted narrator you are. You're voice, the flow of tge story one can hardly stop the video. Well done for great translation. Swahili sanifu siyo lugha yetu Wakenya but my my God we can learn a lot from you. Well done, thumbs up
@SimuliziNaSauti3 жыл бұрын
Thank you so much
@sadiyakb84983 жыл бұрын
Sio wakenya wote wamombasa wanaongea kiswahili sanifu
@Nambenjere3 жыл бұрын
@@sadiyakb8498 No no the Mombasa Swahili can't match up the Tz Swahili. That's just the truth. And with bongo we don't have to get lost in the West
@hatibhatib57603 жыл бұрын
huyu ndo presenter bora kwa sasa, ukitaka habar nzur ni sns
@felixboimanda17243 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/i3XPqaGbgtadj7c
@abuunyalioto17523 жыл бұрын
Sky nakubali sana simuluz zako kwa sasa sns ndo kila kitu hapa bongo nawapenda sana sns
@zaidathuman60673 жыл бұрын
Amuwezi Ananias edgar
@hatibhatib57603 жыл бұрын
ananias hajitambui
@papafikiri3 жыл бұрын
Sikumjua kabla...apumzike kwa amani sote tunaondoka
@saumumresh11983 жыл бұрын
Yote mungu ndo anajua mm napambana na hali yangu paka pale mungu atakapo nibariki ila utajiri wa haraka unagharama yake
@leeldavid37123 жыл бұрын
👌🏾👌🏾👌🏾🙌🙌🙌
@fedrickagustino9913 жыл бұрын
Habari ya uhakika
@husseinissa11793 жыл бұрын
Wa kwanza leo!! Gonga like twende sawa
@twentyacresfarms3464 Жыл бұрын
Jamaa alipatia Sana hii makala
@safiaabubakar11203 жыл бұрын
You the best sky 👏👏👏
@stephennjama68283 жыл бұрын
Sky uko vizuri sana, always uko positive.
@kamaratsalimsafari88383 жыл бұрын
Short and clear #SNS thanks Santi kwa ujumbe maana dah! Hatulali hatuli naizo habari zao wanazotupea wasizonazo uakika...thanks from Mombasa 🇰🇪
@shakila39823 жыл бұрын
Ni illuminate hata amtetee, mavazi yake ni ya kishetani, utajinunuliaje jeneza mnda kidongo unakufa? Pesa alikuwa nazo lakini hakukuwa akimsaindia babake kama diamond illuminate mwezake, ni illuminate huyo
@faithaction25053 жыл бұрын
@@shakila3982 usihukumu n maisha aloyachagua
@jasmineally14933 жыл бұрын
@@shakila3982 pole kwa maumivu
@happynelson11363 жыл бұрын
Ni illimunate gani? Tatizo waafrika ni wabishi mno na hiyo yote inatokana na kukusa elimu watu wasiokuwa na elimu ni wabishi mno mtu ukisoma sana kuhusu illiminate hata haihusiani na uchawi
@kindepi_tz89493 жыл бұрын
Wa kwanza kucomment
@Kal-Mary3 жыл бұрын
Sns mnatupaga raha mashabiki 🙌🙌
@Mbeyaconscious3 жыл бұрын
Tunashukuru Sana Mkuu, Tumeelewa Sana 🙏🙏🙏🙏
@rukiakhamsin92203 жыл бұрын
Allah ampe kauli thabit na amsamehe makosa yake ya siri na dhahiri
@jumaramadhani14863 жыл бұрын
Amiin yarabbi
@rachelbahahazo63623 жыл бұрын
Haahahha jidanganye
@saumusalimu51183 жыл бұрын
Mungu najaaliye mwisho mwema🤲🤲🤲🤲
@sinatatizonamtu3 жыл бұрын
Nakuja hapa Kwasababu Ya Ginimbi Tu Ya Zari NinYenu😁😁
@jeyshillyjack44703 жыл бұрын
Thanks sns nikiwaskiza nyinyi basi natulia,Na huyu Ginimbi mbona hakua na mtoto hata mmoja dar, achen Diamond azae
@davieed14273 жыл бұрын
Ebhna SNS Mko vizuri bhna Sky nakubali
@yujinxhing37663 жыл бұрын
Binadamu ndio tulivyo, mtu ukiwa maskini hawahoji umaskini wako, Ila ukiwa tajiri wataanza kuhoji kila kitu ulipataje utajiri wako, Africa ni tatizo kubwa
@ahz69073 жыл бұрын
Ni tatizo kubwa.hata kijana wetu mpendwa diamomd platinumz kuna watu husema mi freemason😂
@chidiomari.653 жыл бұрын
Much love sns👊👊🇫🇮🇫🇮
@hammyg57143 жыл бұрын
Sns you are the best
@bahatikassongo12293 жыл бұрын
Pia mithali hii isisahaulike👇🏾 Luka 12:16-19,21 [16]Akawaambia mithali, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilikuwa limezaa sana; [17]akaanza kuwaza moyoni mwake, akisema, Nifanyeje? Maana sina pa kuyaweka akiba mavuno yangu. [18]Akasema, Nitafanya hivi; nitazivunja ghala zangu, nijenge nyingine kubwa zaidi, na humo nitaweka nafaka yangu yote na vitu vyangu. [19]Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi. [21]Ndivyo alivyo mtu ajiwekeaye nafsi yake akiba, asijitajirishe kwa Mungu.
@rutimarlon3 жыл бұрын
Baada ya mtu kufa ndo mmepata Habari zake hongereni sana Tanzania 🇹🇿
Ila tuseme ukweli sns unajua kunarret story hadi mtu aelewe big up bro👏👏🇰🇪
@ridgeglorialukusa35973 жыл бұрын
Yesuuu njo chief
@ashuraussein75823 жыл бұрын
Pumzika salama kipnz cawatu sote ndonjia 🙏😢
@wocamsafi47013 жыл бұрын
Sky ur the best
@irakozegracia1833 жыл бұрын
R I P Ginimbi Mungu na moyo wako ndiyo wajuwa yote Sisi tusiwe wajaji kwa maisha ya wenzetu
@ahlansawia48823 жыл бұрын
Really dear
@ridgeglorialukusa35973 жыл бұрын
Watu wame kufa kwa kupata utajiriii! Tuko wageni iyii duniyani.
@rehemashafi48093 жыл бұрын
Inauma sana aiseeh mhm kifo iki Aya inshallah kz yake mola anamakosa
@fatumfatum23793 жыл бұрын
kama kawa wakwanzaa🤗
@klystry12343 жыл бұрын
Safi kabisa t-shirt nzuri
@paulmalebo643 жыл бұрын
Bro we unajua sana
@fadhilimwackipesile81263 жыл бұрын
Ginimbi nimeanza kumfuatilia toka 2015 daaah maisha haya.ndo kujua kuna watu weusi wanapesa,sio wakina hushpap mataperi tu
@bahatikinyaga44133 жыл бұрын
Olin I lug yuki Milo loop police look you kill to one is you UK up I'll
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Sns nawakubali sana
@saicharles80073 жыл бұрын
Mungu nde unae jua maisha yake alio ishi hapa dunian sisi tutaishia nalabda222222
@firdausiabdulkarim24243 жыл бұрын
Hii story angeisoma bbysky ingeua noumaa
@emmyyahya83583 жыл бұрын
Bora dada umeamua kumvisha nguo kaka ako kila nafsi itaonja umaut
@jesusmyeverything91793 жыл бұрын
Haki Mimi namhurumia huyu kaka kama namjua jamani dah!ameenda bado mdogo sana😭😭😭😭.
@user-eo7ug2tg9r3 жыл бұрын
Duuh..sikuwahi kumfahamu .Jamanialikiwa handsome
@khaijajumanne13173 жыл бұрын
Daaaa mtihan
@ashaali71543 жыл бұрын
Mola ndie anaejua yote yaliyotokea na alipanga yeye kutuonyesha sisi binaadam kuwa hakuna maarufu wala tajiri mbele ya uwezo wake usiokuwa na upendeleo, Wote tajiri na masikini njia ni hiyo hakuna short cut.
@aminaabdallah36443 жыл бұрын
Mungu atuweka mahali pema Ameen
@hanifaally46943 жыл бұрын
Eeh Yarab tujaalie mwisho mwema 🙏
@seciliakilala79213 жыл бұрын
Thank you SnS
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
Jamaaaaa alisahau kujenga kanisa
@petrorajabrajabu7093 Жыл бұрын
Huyu jamaa alikua poa Sana maisha kama haya nisawa sana kwa kijana
@Gody3603 жыл бұрын
Ata naivyo kwani watu tunaamini sana mambo ya kishirikina yan mpaka wengine tunaogopa mafanikio🙄
@rahmanamani34223 жыл бұрын
Jamani watu wajifunze na hawa watu wanamkasirikisha mungu
@courtoiskimweli25063 жыл бұрын
Tutazid kuyasikia mengi 😃😃
@matridabatista79893 жыл бұрын
Ee mungu ilaze pema peponi roho ya marehemu Ginimbi
@lilianjeremia10243 жыл бұрын
Dah asante sky kwa uafanunuzi huu Rest in peace ginimbo🙏🏽
@najmagudeh2033 жыл бұрын
ALLAH Amrehemu
@GADITV3 жыл бұрын
R.I.P
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@salmaluhombero84663 жыл бұрын
Awww maneno mazuri sana Rest In Peace our brother
@happynelson11363 жыл бұрын
Sijawahi kuona watu wagumu kuelewa kama wabongo huyo dada kasema amemfahamu kwa muda wa miaka 15 sio kuwa ana miaka 15
@tatuta65293 жыл бұрын
Uko vizur kaka unajua kuelezea vizur ongera yako
@naamohamed99643 жыл бұрын
Dahhh dunia mapito😢
@ninaclaudia19903 жыл бұрын
Ndo wa Africa hao ukiwa na pesa ooo hela zamashetani
@jumaramadhani14863 жыл бұрын
Inakera sana na kusababisha kukatisha tamaa vijana kwamba usimuone yule ana hela ni za kishetani inasababisha mtu aone hawez kutoboa bila ushirikina
@ninaclaudia19903 жыл бұрын
@@jumaramadhani1486 kabisa inabidi tubadilike kwa kweli mtu ameanza kusota toka anamyaka 17 leo apate hela na kuinjoy huslo zake eti ni Mali za shetani kwni hawaamini kuwa M/Mungu yeye ndie mgawa rizki
@goodlucktemu31493 жыл бұрын
Ujui unachoongea tulia.
@allyfatma73593 жыл бұрын
Thx SnS
@officialssimba21813 жыл бұрын
Aksante kwakutuambiyA ukweli namimi natafuta zangu USA watasema ni ulozi
@mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын
Hapa sasa ndio nimeelewa maana watu bwana kumbe hata mimi nikiwa tajiri nitaambiwa freemason daah Pumnzika kwa amani Ginimbi
@maryamdunga38963 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣yani binadam ndo walivo yani mtu unahaso ukitajirika wanasema nali zauchawi
@mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын
@@maryamdunga3896 ndio maana tunaambiwa tusihukumu bila kujua ukweli
@aminajuma29813 жыл бұрын
Apumzike kwa amabi🙏🏾
@an68083 жыл бұрын
Ginimbi we jifie tu, na sisi tutakufa, ujue tu hata Shetani ana akili katika kuuficha ukweli, hata tukihoji mpaka mwaka ujao juu ya utajiri na kifo chako hatutapata jibu, siri ya utajiri wako unayo wewe, Kikubwa tu tujue Mungu ni mkubwa sana. Utukufu na nguvu ni kwake mwenyezi Mungu Muumba wa vyote, habagui tajiri wala masikini. Mungu ni wa haki
@saedissah21973 жыл бұрын
R.I.P Ginimbi
@videozaaj10693 жыл бұрын
Mafanikio ya mwanaume maskini siku zote huhojiwa😥😥😥😥
@musaalphan82542 жыл бұрын
Umeona ee
@musaalphan82542 жыл бұрын
Ukiwa masikini hawahoji ila ukifanikiwa tu wanahoji umepataje utajili Daaaaaah
@saidahj25433 жыл бұрын
Oooh poor pokello...take heart en be strong....rip G
@alwattanchinga3 жыл бұрын
Yauma sana walai 😢
@abdibilali41862 жыл бұрын
Story Ina fundisha sana
@princess-uf5ux3 жыл бұрын
Hv binadhamu kwanini munapenda kuhukumu watu???
@mbembelatv3 жыл бұрын
Mengne hayavumiliki mzee
@allymdoka86343 жыл бұрын
Duuuuuuuuuuuh am so sad
@amanimusa43133 жыл бұрын
Asee maneno mazuri Sana huyo mtu kayasema. Yanafundisha kitu japo amejaribu kukuelezea tu rafiki yake
@munirashughuli72243 жыл бұрын
Duh🤔
@verowilly58223 жыл бұрын
Mafanikio ya mtu mweusi katik umri mdogo watu wana judge... Wazungu kijana mweny miak 22 unakuta billionare.. Why sisi waafrika tuna fikra potofu.??
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Rest In peace GINIMBI
@zaitunifamao77773 жыл бұрын
😭😭
@123228793 жыл бұрын
Habari zenu hazijawahi kunidisapoint
@IANA20303 жыл бұрын
God knows the truth
@mcyudasicqo96103 жыл бұрын
Ukifanikiwa tuu ,tayari unamiliki minyoka ,naukifanikiwa basi ndugu yako akifa umemtoa kafara duuu wa Bantu tunashida mwisho wasiku Fanya yako tuuu
@amnaalshabani27773 жыл бұрын
😭😭😭RIP
@gagedamoursarusaru80793 жыл бұрын
RIP
@najmanidengo44663 жыл бұрын
😥😥🙏
@severinmmassy76273 жыл бұрын
Hiv yupo na watoto wangapi huyu jamaa
@jacklinemwanga16913 жыл бұрын
Habar za kwel huwa zipo kwa sns wengine mtuonyeshe tangazo tuje kuview kwa sky