Kabisa nikumutegemea Mungu tu njo njia ya kila kitu tukitafutacho apa duniani
@amanikombe84393 жыл бұрын
Mungu Ni kila kitu ktk maisha yetu
@severnymlowe63763 жыл бұрын
Mwamba VP nilipoteza namba yako sky
@milycentnekesa36033 жыл бұрын
Wacha nikufe na umasikini
@fredrickhenry75193 жыл бұрын
@@severnymlowe6376 sijakupata man
@bibianayona43483 жыл бұрын
Rest Easy Ginimbiiii ....Every Soul Shall Test Death .....Uwe Maskin Au Tajir ...Hayo menginee Tumuachiee Allah...
@florencekabado89313 жыл бұрын
Kuna watu wanajiona wao ni watakatifu Sana,utazani wao hawatendi maovu,Muacheni Mungu ndiye mtoa hukumu peke yake.
@nasertelecom1543 жыл бұрын
Yaani umeongea kama watu mia moja
@lindyodera70743 жыл бұрын
Eee Mungu uliye mbinguni Mfalme wa wafalme naomba uniepushe na tamaa ya mali za dunia niweze kuridhika na kidogo nilichonacho nimeomba hayo kwa jina la Yesu Kristo AMINA 😭😭 🙏🙏🙏
@BigZhumbe3 жыл бұрын
So wewe hutaki utajiri?
@johnmwadime45903 жыл бұрын
Ameen
@lindyodera70743 жыл бұрын
@@BigZhumbe sitaki utajiri unaopatikana kupitia nguvu za giza nimeridhika na kidogo ninacho nashukuru Mola 🙏
@Mazoea3 жыл бұрын
@@lindyodera7074 amen bora ugali nguruka una amani
@BigZhumbe3 жыл бұрын
@@lindyodera7074 Kila utajiri ni baraka kutoka kwa Mungu ila ukifa watu watasema tu.... kama walijua Ginimbi ni mchawi why hawakuongea akiwa hai?
@sylviah96663 жыл бұрын
Hta hivyo, mbona hamkumhoji Ginimbi alipokuwa yu ngali hai kuhusu utajiri wake??? Mungu nifundishe kunyamaza....hukumu ni yako
@azizawadh59733 жыл бұрын
Atajua yeye na mungu wake kifo ni siri kubwa
@cestlaviecestlavie40733 жыл бұрын
sasa hata huyo Mondi akiulizwa anakubali ? mbona haowi ?
@reubenfavour3 жыл бұрын
Ukiwa Tajiri Watasema, Ukiwa Maskini Watasema.Amini Mungu, na Uishi Ur Own Life.
@timothmwakakusyu45633 жыл бұрын
Tajiri kuuona ufalme wa Mungu ni ngumu, ni rahisi ngamia kupenya kwny tundu la sindano. Matajiri wengi sana wanatumia nguvu za giza na wako chini ya masharti. Ila wapo matajiri waliofanikiwa kwa jitihada zao na ni wachache, sasa huyu jamaa hakuwa na mke wala watoto so sad..
@maryamfaraji23643 жыл бұрын
Yaaani hawo watu wangejua anayo yapitiya sijui wangekuwa wanatazama mwili wake na jicho gani😭😭😭😭😭Alhamdulillah Uislam ni neema kubwa sana Alhamdulillah 😭😭😭😭😭Mungu amsameheee😭
@fatmasayid88953 жыл бұрын
Alhamdulilah mwenyezi mungu atuongoze atupe husni hatima ameen 🙏
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Hakika maryam kujaliwa kua muislam ni neema kubwa allah atudumishe kwenye dini yetu ya haki na atujalie khusnulkhatma
@munakhamis19793 жыл бұрын
Nikweli kabisa duniani mapito
@francolazaro86463 жыл бұрын
Imani yako na matendo yako mazuri ndo ya neema sio dini flani ndo neema...
@yahyahamad18023 жыл бұрын
@@francolazaro8646 Mimi mafunzo yangu kua muislam ni neema kaka
@alwattanchinga3 жыл бұрын
Hizi pesa mbaya sana,dah Ya ALLAH tupe utajire wa halali, yaani gari wazinunua mwenywe alafu zakuuwa kweli Allah kareem
@zengomichael82383 жыл бұрын
Pesa siyo mbaya issue kubwa unazipataje?
@alwattanchinga3 жыл бұрын
@@zengomichael8238 ni mbaya sana, mwanzo utaonewa wivu, hiyo ndo mwanzo wa chuki niga
@ramlabaruani42023 жыл бұрын
Mwacheni Kaka wa watu apumzike kwa amani mungu ndio hakimu wa kila Jambo sisi binadamu tunatabia ya kuhukumu wenzetu jiulize wewe nani anakuhukumu ok Kuna Maisha na kufa tusijisahau sana tufanye ibada Sana🤲 yallab tupe mwisho mwema🙏
@adredandorero29113 жыл бұрын
Sijui kama ni kweli au la but story ikitafsiriwa na Sky I have no doubt. Mungu atuepushe na tamaa za maisha ya wengine na tujifunze kushukuru kwa vya halali tulivyonavyo🙏🏾
@francineumurundi19163 жыл бұрын
Acha nibaki naumaskini wangu mungu akitaka njonitakuwa tajiri
@Mazoea3 жыл бұрын
Bora ule ugali na tembele uishi miaka 100 ya amani.kuliko upate utajiri then unaishi miaka 10 tuu...kufuga mijoka ndani...shetani akupi pesa za bure
SubhanAllah part ya mtu kufariki HasbiyaAllah waneema'lwaqiyl 😭😭😭😭
@farhadhassansaid88303 жыл бұрын
Sio kitu kigeni, manake kuna wengine wanafanya party mpaka za kuachwa
@radhiaomary55913 жыл бұрын
@@farhadhassansaid8830 tofautisha Sana kifo na vitu vya dunia
@farhadhassansaid88303 жыл бұрын
@@radhiaomary5591 manake Saudia kuna party kila aina, manake sio party harusini,mazishini kama mke kafiwa na mumewe ama mtoto kuzaliwa
@aminihaminih78463 жыл бұрын
Achane izo kesha kufa bac watasema kila linalo kuja midomoni mwao,ata km uchawi ni wakwake,😭😭😭😭muacheni apumzike kwa amani kawaachia dunia yenu
@hamoudcreator63433 жыл бұрын
Hizo Gari zote ambazo umezitaja Bro.. Duuuhhhh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sanimoclassic19173 жыл бұрын
Mzee acha kabsa nmeckia kam magar 21 hv daah
@lilianngedu12113 жыл бұрын
@Kelvin Novath mh umeona eee
@lilianngedu12113 жыл бұрын
Sanimo watu wana pesa jamani duuu nimejikuta nashangaa tu
@monicamwanjisi6933 жыл бұрын
Wazungu wakiwa matajiri sio shida.hats huyu angekuwa mzungu isingekuwa issue, lakini mwafrika akiwa na utajiri kidogo lazima ahusishwe na ushirikina,WAAFRIKA TUBADILIKE.KWA MTINDO HUU WACHA WAZUNGU WATUTAWALE MAANA TUMWUKUBALU ULOFA
@ummiissaabdulissaabdul81173 жыл бұрын
Sasa ata fikiria magari yote haya ushawai kusikia tena jeneza ndani ya nyumba alafu mazishi yake nguo nyeupe alafu mapart apa ni upafikirie sana
@fahamnitwahir92493 жыл бұрын
Monica tatizo sio uafrica but tatizo ni chanzo, kwa mfano kwa wazungu huwezi sikia mtu kawa tajiri tu bila kuwa na sababu ya utajiri huo, either kwa kutumia akil yke kugundua kitu kwa manufaa ya jamii yaan ni lazma Kuna chanzo lkn sisi huku chanzo ni mtihani na eti mfanyabiasha huyu sijawahi kuona akizungumzia biashara zake zaid ya kuzungumzia sherehe zake
@allthingdranabeauty3 жыл бұрын
Kweli ahhhhh yan
@hamzahassan2733 жыл бұрын
Excellent mzungu akija africa anaitwa mtaliii waafrika wakienda ulaya tunaitwa wahamiaji ki ukweli tunahitaji sana kwanza tupate ukombozi wa kifikra
@rebekamsukwa47703 жыл бұрын
Kwann alijinunulia jeneza wik moja kabla ya ajali yake??
@lisangiadidja3423 жыл бұрын
Mmmmmh fremason jaman. daaaah acha nipambane na hela za halalitu🙌
@lailachaka53343 жыл бұрын
Kabisa
@Mazoea3 жыл бұрын
Kabisa. Kula ugali tembele lakini una Amani..kuliko kufuga mijoka na kuishi miaka michache ya masharti
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Nikweli mana haina dada yeyote ufahari wadunia adhabu ya akhera
@tumlakimwaitumule3 жыл бұрын
Akili za kimaskin hizo...you will die poor...
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Mtajijua na ushirikina wenu iwe kweli au si kweli ndio kashafika mbele ya mfalme wa dunia na akhera atalipwa kwa mujibu wa matendo yake
@episawaki32403 жыл бұрын
Mmmmh ukiwa tajiri sana utasemwa siku ya kufa lkn ukiwa maskini utasemwa kila siku .....tuache roho yake ipumzike hukumu anatoa Mungu sisi wote ni wapitaji tu
@chainbre2753 жыл бұрын
True
@adelineinamahoro89643 жыл бұрын
Ààaàààààaà
@adelineinamahoro89643 жыл бұрын
À
@episawaki32403 жыл бұрын
@@chainbre275 thankx kama umeonaaa hiloo
@episawaki32403 жыл бұрын
@@adelineinamahoro8964 eeeeeeeeeh
@beera.g53023 жыл бұрын
Kupenda vya mtelezoo, bwerere, afaniiii kkkk🤣🤣🤣🤟
@katojunior75063 жыл бұрын
Daaahhh mamaeee inamana Magari yote hyo ya kifahari alikuwa akimilik yeye ?? Kweli huo utajiri wake co poa
@naslee10103 жыл бұрын
Amini kwamba hata uwe nani siku yako ni moja tu tumuogopeni #mungu jamani dunia mapito😭
@user-xi1pi4zr3b3 жыл бұрын
Utajiri sio chochote hapa duniani wengi wao ukifuatilia vzr utajiri wao sio wa kawaida.. G Ameacha kila kitu nini ataenda kusema alichokifanya duniani..Mungu atupe Mwisho mwema.
@munirashughuli72243 жыл бұрын
Mungu atusamehe jamani alikua Luminat huenda
@zuleikhakhamis33033 жыл бұрын
mmmmh ulichokichuma duniani ndo utakachokikuta uko kwa Allah #jitume upate cha halali sio kufuata mkumbo mwisho wake huwa mbaya na aende tuu dunia ipumuwe
@WASHATube3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020🍑🍑👇👇👇 kzbin.info/www/bejne/o3uYkHpml6tgq9k NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Naaaam
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Warembo wako hao tuwaangalie ili watusaidie nini
@simonitaagesti36573 жыл бұрын
Utajiri mwingine mh mungu ndo anaejua ukweli wake
@staceyoketch7343 жыл бұрын
The man is no more...no matter.what he did or not do...he is dead...may God.rest.his soul in eternal peace..who am I to judge anyway...that is God'''s work..
@jeremiahmassawe90423 жыл бұрын
That is true ma bro.
@hanifaally46943 жыл бұрын
Kila kitu kitasema Allah (s.w) ndy ajuae wasikuhumu km utajir wake wa halal au vip ataenda sema na Mungu wake M/mng atupe mwisho mwema duh htr
@daimakiganjani3 жыл бұрын
Inamaana kila tajiri anamiliki uchawi😬😆😆😆😆
@nataemsuya3 жыл бұрын
Mind set
@baswarimohamedi27663 жыл бұрын
Africa mtu akiwa tajiri mchawi ulaya MTU tajir anaakil na anajituma y Afrca
@Ashley_family1233 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷
@kingsmusicfans14163 жыл бұрын
Good question
@luckyvenance45763 жыл бұрын
Asilimia 88 mm nahisi wanatumia uchawi,hata km sio kwakupata pesa ila hata kujilinda
@salimhemed33213 жыл бұрын
Allah atupe khusnilkhatma tukifa tutajwe kwa yatakayomridh Allah
@aishakhamis29963 жыл бұрын
Ameen...
@user-lr2iv3gj1u3 жыл бұрын
Amiin
@aishamuhammad77853 жыл бұрын
Aamyn
@azizaiddy14533 жыл бұрын
Ameen
@mwanajumasaid19833 жыл бұрын
Aamiin thuma aamin
@victorialucas90943 жыл бұрын
Mungu ndo anaejua ukwel hapo tutaongea meng ila ukwel anao ginimbi mwenyewe na mungu wke bx
@jovialke_update69403 жыл бұрын
Good,binadamu wivu tu
@nurafedrick3783 жыл бұрын
🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️eti nguo nyeupe jamani huyu alikuwa hatari kweli pesa siokitu
@teychriss32483 жыл бұрын
Tutasikia mengi! Hiyo migari yote ya nn? Kweli utajiri wa joka!
@laurentraphael54703 жыл бұрын
Ha ha ha joka linakupa kila kitu kisha siku Moja linakuzoa mzobe mzobe. Baba yake Ginimbi, ni maskini wa kutupa mtu ukiwaza tu unaona something wrong somewhere.
@onesmojustice23483 жыл бұрын
Haya mambo ata sielewi unakuwa tajiri halafu mzaz wako masikini duh.
@hanifaally46943 жыл бұрын
@@laurentraphael5470 weee kumbe inamaana alikuwa hmjali mzazi wk saitakuwaje duh M/mng atupe mwisho mwema
@khadijaahmed74553 жыл бұрын
@@hanifaally4694 Ameen maana wazazi ndo kila kitu
@pookiewookie18333 жыл бұрын
😂😂😂😂
@zclassicfashionz3 жыл бұрын
Dah! Mwenyezi Mungu nijaalie hekima ya kuridhika na kile ulichonikadiria... AMYIIN
@zabibunduwimana46123 жыл бұрын
Ayo magari yote leo umehacha Allah atupe mwisho mwema
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
😂😂😂 uctmn maisha ya watu ynsiri kubwa Sana
@azizahsalimu1533 жыл бұрын
Usione mtu na pesa zake ukazitaman ujui anazipataje utajiri ni siri ya tajiri😂😂😂😂😂
@wangariann60443 жыл бұрын
Kweli kabisa
@luckyvenance45763 жыл бұрын
Kabisa my unaweza taman kumbe yy kanywa glass ya damu
@aminasaid76573 жыл бұрын
True wallah
@Mazoea3 жыл бұрын
Wanauza roho zao na kutoa kafara ndugu zao
@judithkatisha39273 жыл бұрын
Hii dunia tuko wapitaji tu.hata ukiwa na pesa siku ya kifo ikifika unaziwacha..Mungu ailaze roho yake
@asinathasinath50903 жыл бұрын
Wamuache kaka wa watu apumuzike kwa amani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢nakuombea kaka sote njia yetu ni moja 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@jesusmyeverything91793 жыл бұрын
Amin💪💪💪💪.
@emmi43193 жыл бұрын
Gari zake ni zaidi ya billion 20 🙆♂️💁♂️
@hustlertv16833 жыл бұрын
Utajiri wa Haraka usiojulikana unatokea wapi, alfu kifo cha ghafla. Illuminat tupuuuuu hakuna cha hardworking apo. Ishi maisha yako wacha tamaaa
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Kabisa wengine tunapambana kweli kupata hela wao wanazipata haraka haraka tu
@azizawadh59733 жыл бұрын
Mambo ya tunduma
@LK-cb6ih3 жыл бұрын
Yea
@alfredtarjeu66323 жыл бұрын
You people you've not really worked hard..stop such stupid beliefs..
@azizawadh59733 жыл бұрын
@@alfredtarjeu6632 we huna akili babake mwenyewe anaogopa ata izo mali za ginimbi we unasema nini. We unajua kuliko babake hard work ya wapi kua uyaone. Uliza wazee mtaani kwako. Wakupe nasaha za maisha hii dunia wacha kuamini kila unacho kiona kwa macho yako
@onuleonard61603 жыл бұрын
Sky wewe ni presenter bora kabisa kwa kizazi hiki mungu akujalie zaid
@beatricemapembe25953 жыл бұрын
Ila maisha ya kufuru Mungu huwa apendi. Gari 24! Hata kama umebarikiwa kipato kikubwa Haya siyo maisha mazuri. Mwemyezi Mungu amrehamu. Amina
@jostamzxkaole31132 ай бұрын
🤣🤣🤣::#point🤙
@salidalnymukoya61413 жыл бұрын
Nkawaida mtu anapoo friki wtu huongeya mambo mengi ilakwayote wacha mungu alaze roho yake mahali pema wilove bt God love more 😭😭
@josephatjordan21503 жыл бұрын
Duuuuh !!Dunia ina mengi sana ukifata dunia itakudhuru wewe!!Tutafute hela hata kama pesa tunasema zinapita basi zipite kwako!!!!
@ezekielkullaya83613 жыл бұрын
Duuuh😩😜
@wambugu37523 жыл бұрын
Rest well legend.....tutafute pesa tuache porojo bila maana.
@flodianniclaus52053 жыл бұрын
Jaribu kutafta ukifikisha umri wa miaka hyo tuone km utakuwa nazo
@cestlaviecestlavie40733 жыл бұрын
@@flodianniclaus5205 🤣🤣🤣, apo sasa 😏
@onyangomelly53673 жыл бұрын
Mali yote itabaki huku duniani haitaingia Binguni kwa Mungu mpe Yesu maisha yako
@nancymbogo81253 жыл бұрын
You have a good voice can listen to you all day
@junkie922 жыл бұрын
Very true... Very unique voice.
@emilyibraimo50323 жыл бұрын
Izo tabia zipo sana Mozambique Zimbabwe africa kusini sisi kuna mmoja yeye anandege uyo ndege anakunya damu mzibabwe na kila mtu anamjua ni mfanya biashara anishi chipinge na mmoja anaishi Mozambique sehemu mmoja inaitwa dombe yeye anaishi na jeneza ndani na anapesa ile mbaya jina lake nyambende na mmoja yeye anamke na mkewe mzuri kinoma na anapenda kushobokea watu wenyepesa ila nae anapesa kinoma ukitembea nae anakwenda na maji na mwengine anaitwa mtisi jama anaishi Mozambique kuna sehemu inaitwa mosorizi huyu yeye akitembea na demu wowote yule na kufanya ngono ndo anaingiza mkwanja kwa iyo mambo ayo yapo
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Utajiri wanamna hiyo hupo tangu siku nyingi naukiuwitaji utaupata tu km asili yako itakuwa sambamba na mambo ya mtindo huwo
@mickdaddy-lk9sb11 ай бұрын
Naomba namba yake huyo jamaa
@fatmasaid35363 жыл бұрын
Acha akayakute aloyachuma. Wanaofanya haya mambo wanasahau marejeo ni kwa Mola wetu Allah swt. Simuonei huruma Allah atafanya kazi yake. Ila wasia kwa ndugu zangu wote, tusiwe mashetani ya kuipenda mali tukasahau ya kesho akhera. Tule kulingana na uwezo wetu kuliko kutaka yatakayo tu cost maisha yetu yote. Saa hz ana raha gani na mali zake???
@evasaimon67643 жыл бұрын
Usihukumu usije ukaukumiwa..acha kumsema marehemu Mungu ndie akimu wa haki
@fatmasaid35363 жыл бұрын
@@evasaimon6764 ntamsema leo hadi kesho.
@fatmasaid35363 жыл бұрын
Tumepewa akili timam kufata kulia ama kushoto. So kanionesha kushoto kama firauni we magari yote mtu moja ya kazi gani ama sijui manguo meupe sijui mashart ya kimaajabu ya kazi gani sasa?
@violettemitchel67723 жыл бұрын
@@evasaimon6764 Asante mwaya!! Asiyetenda dhambi kati yetu awe wa kwanza kupiga jiwe. Sote ni wenye dhambi. Na kwa Mungu hakuna dhambi ndogo wala kubwa. Hebu tujililie sisi na nafsi zetu. Ginimbi safari yake kamaliza.
@cadabra74023 жыл бұрын
Unamsahau Allah unaikimbilia dunia? Na hapa ndo ujue kama uislamu ndio dini ya haki, angekua muislamu wa kweli mali zake asingetumia hivo hata siku moja.
@nonniedejosef80833 жыл бұрын
Nimesikia watakula nyama, mm asante
@mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын
Jamani joka tena😱 ila Mungu ndio anajua yote tumwachie yeye
@zamzamabdi52793 жыл бұрын
Ni uwongo tupu.nyoka hamna ya kutapika pesa.mungu ndiyo ajuwaye saidi
@mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын
@@zamzamabdi5279 kabisa
@alwattanchinga3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hqiykqdjmL-iq7s
@alwattanchinga3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hqiykqdjmL-iq7s
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Upo wewe
@estheronyoro14523 жыл бұрын
Kifo chaki kama Paul walker wa furious movie😢😢💔💔
@dutchsafari75623 жыл бұрын
Doooh..!! Thanks #SnS 4 the updates
@marymfugwa8473 жыл бұрын
Hapo ndo naukumbuka wimbo wa Remy Ongara " kifo hakina uruma"
@lilianjeremia10243 жыл бұрын
Mtu akishakuwa n pesa nyingi lazma waseme n uchawi jmn na mtu akishakufa ndo inaanza akiwa hai hawasemi🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@adamdemarch55653 жыл бұрын
Lilian Duniani hakuna pesa inayotolewa na nyoka mamaangu tujiongeze na tujifunze kupitia wenzetu ivi hata dini yako ishaawahi kukufundsha kuwa upo uwezekano wa utajili wako ukawa mkubwa mpaka nyoka anakumwagia pesa ndani kwako kweli?????
@mustaphagairo19363 жыл бұрын
Tunaojua ugumu wa maisha na changamoto zke ndio tutakao amin kuw uchaw upo, ila kw watot wa geti kali mboga 7 hawawez kuamin.
@pookiewookie18333 жыл бұрын
huyo nyoka ako bado namtaka 😂😂🤣🤣
@KavamiMiusik3 жыл бұрын
Tugawiwe vipande vipande
@pookiewookie18333 жыл бұрын
@@KavamiMiusik aki mimi nataka mkia 🤣🤣😂😂😂
@allyfatma73593 жыл бұрын
Thx SnS
@luckyvenance45763 жыл бұрын
Mmmh sio kwa magar hayo alaf ya pesa chafuuuu huyu kweli anajoka ndani 🙆🙆
@teresiamutua44873 жыл бұрын
Kila mtu akifa ataacha kila kitu hapa duniani,rest in peace
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Daaah,maisha aya inamana vitu vyote kaviacha,afadhali angekuwa na mtoto angelisi
@lindahmrutu2713 жыл бұрын
Na wao wauze roho zao ,pia wawe na joka LA kuwatemea hela,maana binadamu bwana
@ashaali71543 жыл бұрын
Wageni waalikwa? Mmh imekuwa harusi? Utajiri unafikia mwisho pale kifo kinapotokea. Mola amsamehe makosa yake huko aliko. Ameen
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Hivi unaamini kuna kusamehewa dhambi tukiisha kufa? Nauliza tu swali naomba mawazo yako
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 Inavyosemekana madhambi au thawabu zimeshaandikwa na Malaika inangojewa siku ya hisabu kufanyiwa hukumu kwa uliotenda ikiwa ni vizuri au ni vibaya, hakuna msamaha wowote kwanza. Basi ni misemo tu au dua( mungu ampe kauli thaabit amsamehe makosa yake) mfano uliuwa utasemehewa sababu leo imefika siku yako ? Utakula kichapo cha mungu na wewe huko uendako.
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 nimtihan sana
@Mazoea3 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 kama alitubu dakika za mwisho yes amesamehewa..umeshaambiwa baada ya kifo ni ukumu....
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Nawashukuru wote kwa majibu yenu mazuri. Kwakweli ni vizuri kufahamu na kujiandaa kwa kila sekunde tuliyopewa na Muumba wetu maana hatujui siku wala saa
@Mazoea3 жыл бұрын
Mimi nilijua tuu uyu atakuwa alikua anatumia nguvu za giza...ata zari uwa anavaa snake print mara kwa mara...kina Diamond wote hawa wameingia kwenye emu freemanson.msitamani watu wakiwa na pesa maana hamjui pesa wanapata wapi....wakikosea mashart tu twende kazini..wengine ndio ivyo kuishi ni miaka 10 tuu
@annwambui85963 жыл бұрын
Kweli ..ata wao siku yao itafika tu..hawa watu hutudanganya aty niwanabiashara kumbe wafanya kinyume
@marcyjemutai17503 жыл бұрын
Do you even hear yourself talking?do you have evidence that they are in Freemason?ukiwa na pesa utaongelewa tu
@aishamuhammad77853 жыл бұрын
@@marcyjemutai1750 izo pesa wamezipata wapi basi na wazee wao wote ni malofa?
@julianacharles60143 жыл бұрын
Wote watakufa vifo vya aibu 😏
@hanifaally46943 жыл бұрын
Kwakweli usitaman utajir wa mtu hujui duh
@aliymajala56783 жыл бұрын
Kwa mungu hakuna tajiri wala masikini
@mwahijaseleman73543 жыл бұрын
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
@MercyMazmida3 жыл бұрын
Ila mimi nyoka naogopa mambo ya nyoka sitaki kuyasikia, it give me nightmares... Sasa hizo magari zote ni za nini, ziko mingi jameni, walai binadamu na vitu za dunia
@lakasid38603 жыл бұрын
Hutak utajir wew 😀😀
@ilovejesus93033 жыл бұрын
@@lakasid3860 🤣🤣🤣🤣
@MercyMazmida3 жыл бұрын
@@lakasid3860 taka pesa ambayo nimeyafanyia kazi ila najua itakuja pole pole as long as siteseki lakini sitaki kupewa pesa na nyoka, hiyo ni hasara tupuu
@zainashikuku73343 жыл бұрын
Nashangaa kwani hajakuwa na mke na watoto ama
@lakasid38603 жыл бұрын
@@MercyMazmida okky that's good ✌
@ramlabaruani42023 жыл бұрын
Kaka kaniuma huyu Kama namjua vile😭😭😭R.I.P bro
@jackiephyll12503 жыл бұрын
😢😢
@ramlabaruani42023 жыл бұрын
@@jackiephyll1250 😩😩😭😭
@maryamfaraji23643 жыл бұрын
Alikuwa na magari zaidi ya 24🤔Subhanallah 😭
@wangariann60443 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔Namoja ni 600 millions
@munakhamis19793 жыл бұрын
Lakini gari ya mwisho ni jeneza
@francolazaro86463 жыл бұрын
Na Bado Kuna watot yatima na Kuna watu mafukara wa kuptliza kijijini kwao... 😂 😂 😂 Dunia Ina mambo
@fatmas73383 жыл бұрын
@@munakhamis1979 na yy alijua kama gari yake ya mwisho ni jeneza ndio akalinunua kabisa na kuliweka ndani
@salehalmujaini76333 жыл бұрын
@@munakhamis1979 kabisa
@mwanajumasaid19833 жыл бұрын
Waaaah mbn magari mengi mpka yanisusumuwa mwili khaaa
@chiefmahucha68473 жыл бұрын
Ili uwe TAJIRI lazima ufanye jambo moja kati ya haya mawili; (1) Uwe MDHULUMAJI, hapa naomba niseme kidogo; Dhuluma ni pamoja na yafuatayo:- (a) Kukwepa Kulipa KODI halali (b) Kutoa na kupokea RUSHWA (c) Kulipa wafanyakazi wako MALIPO kidogo ukilinganisha na kazi (d) KUTOLIPA kabisa wafanyakazi wako (e) Kupokonya MALI za watu wengine, mfano kwenye Urithi, Biashara, Magari, Nyumba,Viwanja, Mashamba,Migodi n.k (f) Kufanya kazi au Biashara HARAMU kama vile Mauaji, Madawa ya Kulevya, Wahamiaji haramu, kusimamia Biashara ya Ngono, Wizi, Ujambazi, Utapeli, Kutumia CHEO kwa manufaa yako bnafsi, Uhujumu Uchumi n.k (2) Kutumia NGUVU ZA GIZA Nguvu za Giza ni za aina moja tu, ila zinatofautiana katika utekelezaji;, ni kama vile: Uchawi, Utoaji wa Kafara, Hirizi, Kutumia dawa za mganga, mazindiko mbalimbali n.k Na ndio maana wanasema kuwa; kama NGAMIA atapenya katika tundu la Sindano basi TAJIRI ataingia mbinguni. Sa7bu kuu ni hizo Mbili tuu..! Ila msinielewe VIBAYA kuwa nawavunja watu MOYO wa kufanya kazi HAPANA Kwani kuna utofauti mkubwa kati ya UTAJIRI na Maisha BORA, sio kila MAISHA BORA ni UTAJIRI. Mfano kama mtu katia bidii na kufanikiwa kujenga Nyumba Mbili tatu na magari ya kawaida mawili matatu watoto wanaenda Shule Vizuri, Huyo SIO TAJIRI. Japo hata huyo aweza kuwa amepata kwa halali ama Haramu.
@famkavavatu6993 Жыл бұрын
Nmekuelewa sana
@francolazaro86463 жыл бұрын
Me nkajua ukiwa na Gari ya gharama kubwa sana ikipata ajali haiungui au watu walioko humo ndani hawakufi😎😎.. Sasa raha yake Nini
@zeronine95663 жыл бұрын
Fanyeni kazi wacheni wivu RIP Ginimbi
@mamboomary84903 жыл бұрын
Polen sana jaman
@D-Man.B-Free3 жыл бұрын
Sio Freemason,Kweli?Joka!
@mwaminindayishimiye44343 жыл бұрын
SNS hana ata mtoto? Kwa pesa zote izo Mungu wangu
@rosearivitsa61873 жыл бұрын
Utajiri wamasha ulizeni Rose muhando atawapa ukweli tajiri anashika mimba inatoka lakini masikini ahiwezi katoka hiyo ni kafara watu wamrundie mungu
@muhimuziahadi77793 жыл бұрын
Hayo magari yoooote niya kazi gani dunia kuna mambo😯 rest in peace Ginimbi
@missmannydxb3 жыл бұрын
The way he said that Rolls Royce 🤦🏽♀️😩
@margiefuraha98013 жыл бұрын
Rose rose raff😂😂😂😂😂
@noelamadadi57313 жыл бұрын
This guy was just hardworking period
@expert58983 жыл бұрын
But not to that extent in that age, may be cocaine
@expert58983 жыл бұрын
And even if.
@joharijj21643 жыл бұрын
@Noel Amadadi hakuna kitu kama icho tumeona watu hardworking, angalia Sana page zake na fatilia Sana life yankimimbi labda tu uwe umemjua Sasa, lipo wazi ginimbi halikua na mambo ya cult, na ndio sababu ya whiteparty na champagne na pia Gari yake Ya kwanza haliandika caption kabisa, halafu walikua wengi wanakufa mmoja moja wanajiita the rich gung. Yaani mambo yapo mengi yeye binafsi haliokua anapost, na hao marafiki zake wote pia na wao niwa Chama icho, uwezi elewa ikiwa umemjua juzi, halitoka kwao akiwa mdogo Sana..... Na haliojiwa Sana akiwa ai ginimbi halikua yaingia live Sana kwanza mda wa Corona na halikua akisema mengi tu.... Tu muache tu alalae salama, lakini msiwe mnajifanya nikama hamuoni mambo, ongeeni na vijana wajue madhara ya mambo
@joharijj21643 жыл бұрын
@security expert hakuna jambo kama ilo, watu wanao uza cocaine wanajificha Sana maendeleo Yao, sababu ya serikali, kushikwa na mambo kama ayo, ginimbi halikua hafichi chochote,,, watu wanajifanya kama illuminati na freemason hakuna na mambo ambayo yapo, na tu atakiwa kuwaelezea vijana wetu madhara ya mambo, wanachukua bila kujielewa baadae wanajuta na is too late,,
@TheNdaki3 жыл бұрын
OKAY...KEEP HARD WORKING!!!
@ndundetommasz91583 жыл бұрын
Sijaona mtu akiuliza chanzo cha umaskini wangu lakini ntakapo pata pesa mtaanza kuandika habari kuhusu utajiri wangu....wafrica tuwache ufala
@Mbeyaconscious3 жыл бұрын
Kweli Makubwa!
@HansBwoi3 жыл бұрын
Mbona mimi nina joka lina tema watoto mbona utangazi🤣
@fatumamatano82163 жыл бұрын
Ukiwa hai atutajua 😂😂😂😂😂
@Happizo3 жыл бұрын
Hujajulikana! Ukijulikana tutajua
@fadhililitupa75123 жыл бұрын
Ngoja ufe tutayatangaza ya kwako
@rahimalewe28353 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mksm1153 жыл бұрын
Hahahaaaa hilo halijadiliwi wengi wanalo tunataka linalotema hera🤣🤣🤣🤣🤣
@nancymsiburu17543 жыл бұрын
Nimeamini Mali haiwezi fungua mbingu waaaaa heri nife maskini
@morato11703 жыл бұрын
Kwani wangapi wamefariki kwa ajari?tajil kwa masikini so tusidhungumze vitu vibaya kwa mtu alietangulia wote njia ni moja 2 RIP Ginimbi my role model utakumbukwa kwa vingi
@giovannygracious34343 жыл бұрын
Wakat mim nahangaika kununua walau fancago watu wanamiliki magar ya matirion ya pesa duh
@truthmedia25253 жыл бұрын
africa bn .. Eti kauza soul , si ukauze naww tuone 🤣🤣
@kamatakatalambula86443 жыл бұрын
Ulitaka uambiwe kauza mihogo?😅
@Ryoof-qo7if3 жыл бұрын
Zote ameacha mungu ndo friend mzazi wakweli 2
@binthkhamisi10973 жыл бұрын
Doooh...noma sana
@georgeburchard48723 жыл бұрын
Nina hakika hata tajiri namba Moja duniani (official) Hana utitiri wa magari ya kifahari Kama ya marehemu Ginimbi! Halafu kwa Africa Kama umetokea familia ya kimasikini Ni ngumu kwa umri huo wa miaka 36 kuwa na utajiri wa kumiliki Mali hizo za kufuru! Ni ngumu mnoooooooo! Lakini pia kwa uzoefu wangu mdogo matajiri wote wanaopata pesa kutokana na biashara na kwa njia za halali sio wafujaji wa pesa! Ni watu wenye nidhamu Sana na pesa! Mi nakuombea tu kwa Mungu akulaze mahali pema peponi Amina!
@maryamsalim13033 жыл бұрын
Huyo ni kijana lazma matanuz yawe makubwa
@RandB_Channel3 жыл бұрын
Jamani tusiwe tuna ona watu wakiwa matajiri nyuma ya paziya hatujuwi siri mmmmm huyu jama inaonekana hakuwa bure ila mm nakuwaga nashaa sana .unakuwa tajiri kupitiliza ila kuowa unashindwa kuowa. Vitu vyote sasa unabiachiya nani ??
@shanawilliam10503 жыл бұрын
Hivi ni kwamba Mungu hawezi kutupa utajiri ila shetani tu?????umackini wa fikra ni mbaya kuliko umasikini wenyewe
@greklauryn62773 жыл бұрын
Kabsaa Mungu ndo anautajiri tena mkubwa zaidi maana Fedha na dhahabu ni mali yake
@joshuaelibariki29093 жыл бұрын
Htr sana rest in peace
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
Hahaaaa ata mm nitatafta siafu kwasababu ikiwa nyoka moja inatema hela kias ii.na je siaf?👀👿👿
@fainajaffary40703 жыл бұрын
😆😆
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
@@fainajaffary4070 😆😆😆😆😆😆
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
@anna John kabsaaa na kuregret mob.
@waukweelinikkon65553 жыл бұрын
Nawaza sasa hizo gari zote na Mali zote atazikwa nazo 😭😭
@fadhilaally18263 жыл бұрын
Ataend na jenez tu 🙌🏻🙌🏻
@judithsidi10873 жыл бұрын
Ndio nashangaa mpaka mtu ukatafute nguvu za giza kwa sababu wataka pesa, malipo ndo hayo amekufa yeye na akawatoa kafara wenzake pia
@waukweelinikkon65553 жыл бұрын
@@judithsidi1087 kwanza Party yenyewe umeiona, ile cake uliiona jamani😭😭😭,acha jamani yaani Mungu anavumilia mengi,ila kwa lile uvumilivu ulimshinda,,hata kama tumejawa viburi sababu ya mali zetu,yatupasa tuwe na hofu ya Mungu walau kiduchu.
@roseatieno66913 жыл бұрын
Hizo magari zake ndo Zari alikua akipiga nazo picha akisema amenunua kama hoyo ya red na Bentley na zingine . Wote ni hali moja wanaabudu giza pamoja na marehemu Ivan.
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Kigari chenyewe kilichowagonga cha m 7 ndo Kwanza kitanyooshwa Kwa Sharma na kinarudi road na Ile ya bei gali imebaki majivu can you imagine kuwa na gari kifahari inasaidia nini m 700 ndo iwake na mshindwe hata kujiokoa Ni sadaka hiyo mazee imepokelewa kiulaini
@juliusmwinga40513 жыл бұрын
Ikiwa alikuwa aki deal na Petroleum.Huenda aalitsjirik kihalali. Waafrika ndivyo tulivyo teseka usemwe pata ununiwe. #Mungu ndo ajuae zaidi.
@maryjohn14363 жыл бұрын
Na ku follow
@juliaayieta25783 жыл бұрын
Duuuuuh!!!!! Tomorrow is indeed a mystery. May their souls rest in eternal peace 🙏🏾
@burundishallsmile1day1093 жыл бұрын
They don't have souls!
@juliaayieta25783 жыл бұрын
@@burundishallsmile1day109 🤐🤐🤐
@sitiabubakar28923 жыл бұрын
@@burundishallsmile1day109 🤣🤣🤣they sold dem 2 da devil