Inawezekana unapitia wakati mgumu katika maisha Jibu liko hapa!!!!
Пікірлер: 122
@margrethkaserikali14582 жыл бұрын
Amina Pr.Mmbaga Mungu apewe sifa, kwakukubariki
@tabiamwamahonje97312 жыл бұрын
Barikiwa sana Pr Mbaga. Neema ya Bwana idumu kuwa pamoja nawe ukidumu kutubariki na zaidi ya hapo Tukutane Mbinguni Bwana arudipo
@eustina0 Жыл бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu azidi kukupa nguvu na uzimaa tele aminaa🙏🙏🙏🙏
@hellenratemo2813 Жыл бұрын
Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed
@byamasumakali2139 Жыл бұрын
Asante sana Mungu akuzidishiye nguvu mtumishi wa Mungu
@enockkennedy66652 жыл бұрын
thank you pastor mmbaga am enock Kennedy from Kenya Nairobi I really watch your preaching atleast every week. be blessed with your message it really uplifts my faith
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Blessings to you
@phoibekoshuma1935Ай бұрын
NAAMINI NIMEPONA
@kelvinpaul70624 жыл бұрын
Mungu anakutumia kwa viwango vya juu sana pastor kutubariki BWANA akutie nguvu uendelee na kazi hii njema amen🙏
@dorcaskahindo86322 жыл бұрын
Mchungaji,wakati umeomba nimejisikia kama nimejibiwa kwa hitaji langu, Mungu akuongezeye kwa kile unacho.dorcas toka Congo,una upako wa Mungu kabisa
@eustina837 Жыл бұрын
Aminaa barikiw pr Mungu akutie nguvu
@Reginajohnson198842 жыл бұрын
Yani Kama mtu alikuwa kupokea Hii siku Aisee umekwisha mengi maana hiyo sehem kweli mungu alikuwako mpaka pastor mwenyewe Unaona alivyojaa roho wa bwana mpaka sauti imebadilika, Aisee napokea haijalishi ya mwaka gani mungu anafanya Kazi bado, utukufu huludi kwa Mungu alie hai hallelujah amen
@mercynyanchoka62833 жыл бұрын
.. Nimeinuliwa na maubiri haya, mungu akubariki mchungaji
@atupakisyekyando890 Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu barikiwa Sana
@judithcherono25955 жыл бұрын
Amina Mafundisho matamu,na nmewashukuru kwa kumkumbuka Rais kwa maombi na naamin mungu atatenda barikiwa.
@meilleurkitoko74872 жыл бұрын
Asante sana mutumishi wa Mungu nime farijiwa na neno hili na subiri matokeyo Amen👏
@perisbosibori85243 жыл бұрын
This is a sermon of a year and over ago but it has touched me greatly. Be blessed so much pastor.
@condradanyoni65564 ай бұрын
Asante Yesu maana yote yanatoka kwako
@queenessiekenya68694 жыл бұрын
Asante Sana kwa mahubiri am blessed 🙏🙏🙏
@rhinakiza4 жыл бұрын
Amina sana Mungu akuinuwe zaidi🙏🙏🙏
@shimwekagwiza23005 жыл бұрын
Yani we pastor cjui at nisemeje ila Mungu akubariki sana maana umenitoa mbali sana, somo la tr 19.1 sitakaa nilisahau maishani mwangu, Mungu akuweke zaidi ili uzidi kutuhudumia
@habaritv63645 жыл бұрын
Shimwe Kagwiza Amen
@frankfytube46695 жыл бұрын
Shimwe Kagwiza zamina
@rubbenndege43795 жыл бұрын
Kiukweli nimebadilika moyo ila matendo bado niombee postar kweli naitaji kubatizwa
@magrethmkira62504 жыл бұрын
Amen Hakika tunabarikiwa Mungu akuinue zaid kwajil ya utukuf wa jina lake
@Pendomabula3 жыл бұрын
Pr Mungu akupe maisha marefu yenye kubariki watu.
@ivanfaustin97173 жыл бұрын
Amen amen amen naamin nitasimama
@felixsegetse99515 жыл бұрын
Bwana Mungu Awabariki zaidi na zaidi katika Huduma Aliyokukabidhi, japo nipo Bujumbura ipo siku katika imani tutaonana ana kwa ana.
@emmanuelmbwambo65713 жыл бұрын
Haijalishi Ni miaka miwili iliyopita,mimi MUNGU MUUMBA wa MBINGU na ARDHI ameniona na kunibariki leo,Nimeuona mkono wa MUNGU kana kwamba huduma hii iliwekwa akiba kwa ajili yangu familia ndugu jamaa na marafikl ikiwa Ni pamoja na majirani wanaonizunguka AMEN.
@chibugamedia73133 жыл бұрын
😢😢😭😭 najiona mdhambi sana eeeeh Mungu nisaidie
@selfaakinyi78245 жыл бұрын
Nikweli ni kwa neema ya mungu mimikuwa hai hadi Leo, nimengi na machafu nilioyafanya .naamini mungu amenisamehe yote ndio mana Niko hai,Asante jehovah nitakuabudu daima, nijaze Roho wako mtakatifu,Amen
@jamiejames61003 жыл бұрын
What a powerful message 👏
@bonifacebeatrice80775 жыл бұрын
Amina Mungu anisaidie kuishi maisha ya Toba ya kweli Daima.Mch.David Mmbaga Mungu akuongezee Nguvu%.
@angelavincenti53213 жыл бұрын
Ameen ninabarikiwa kwamafundishu mazul MUNGU akubark mtumish
@emmanuelmbwambo65713 жыл бұрын
AMINA mchungaji 🙏😎.
@jamesmwai515 Жыл бұрын
Pastor you have been blessing to me
@ngendahayongenasamuel29035 жыл бұрын
Unavyompenda Paulo ndivyo nimpendavyo zaidi, hata niliamini hakuna anayenizidi kumpenda. Barikiwa sana mchungaji.
@ericsonsteven40943 жыл бұрын
Ubarikiwe sana, na mwenyezi Mungu azidi kuabariki kwa kazi.
@triphonitemba74854 жыл бұрын
Yes
@pauloyona8294 жыл бұрын
Kwakweli nimebarikiwa vyakutosha nahii huduma Mungu akupiganie muchungaji amen.
@ivanfaustin97173 жыл бұрын
Ni kwa neema tu2
@laridistrict4710 Жыл бұрын
ubarikiwe HILI SOMO LINGALI LIKO HAI HATA SASA
@loycemgonja26345 жыл бұрын
Mchungaji unanibariki Bwana akulinde mendelee kutuponya kwa neno
@eunicenyandiko13895 ай бұрын
Hallelujah Amen 🙏 🎉🎉🎉🎉
@yvonneamekakaombeniwimbomu83125 жыл бұрын
Yesu azidi kuku wezesha mutumishi wa Mungu kazi unayo yifanya ina tupa tumaini na nguvu.
@fatomaeid66395 жыл бұрын
Mchungaji nikirudi tz lazima nitakutafuta barikiwa sana na akupe nguvu
@habaritv63645 жыл бұрын
Fatoma Eid Amen
@johnsakai30402 жыл бұрын
Mchungaji nina mdogo wangu anaumwa na kiarusi mguu na mkono umepooza anaitwa Monika nahitaji maombi yako
@kigulamwambene41645 жыл бұрын
Nakushuku mungu kunifundisha masomo haya ombi langu kuu fungua akili zangu kiloho na kimwili nikafulahi pamoja na watakatifu
Mchungaji barikiwa sana mahubiri yako huwa yananisongesa karibu na Mungu.
@judithnjalambaya24503 жыл бұрын
Amen
@pendomarwa16905 жыл бұрын
Pasta mbaga huwa ananibariki Sana,Mungu azidi kukutunza
@mbarikiwambarikiwa39885 жыл бұрын
Barikiwa sn mtumishi kwa neno ziri.
@rachaelndege56415 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki umenibariki sana mchungaji hakika nimekutana na yesy
@jaredmayaka29932 жыл бұрын
Amen I have been blessed Soo much
@alicesidi96012 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@dominikamwajombe57595 жыл бұрын
Amina mtumishi
@danielpaul92965 жыл бұрын
Sifa na utukufu vimrudie MUNGU MUUMBA wa mbingu na nchi kwani anakutumia kutufikishia ujumbe wake,ubarikiwe Sana pr
@drostaflorian79705 жыл бұрын
Amina napokea katika Jina la YESU
@bobog97325 жыл бұрын
hakika ndani ya Yesu pako raha yaajabu Mchungaji Mungu akupe maisha marefu
@rahimajuma53066 ай бұрын
Amins
@georgettetulinabo94285 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@paulokaiza29005 жыл бұрын
Mungu awe nawe daims, akuepshe na vishawishi vya dunia hii, udumu katika kumtumikia yeye tu.
@emmanuelmbwambo65713 жыл бұрын
Unaongea na bin Adam mchungaji.
@phoibekoshuma1935Ай бұрын
NIKIKUKATAA KUWA RAFIKI YANGU NI KWAMBA WEWE SI MBAYA ISIPOKUWA HATUPELEKANI
@jonasmnyone47913 жыл бұрын
Somo hili limegusa moyowangu na limenipatia uponyaji.
@deborahurassa43395 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana sana Mungu akylinde
@fatomaeid66395 жыл бұрын
Na Mungu akupe nguvu zaidi
@kelvingallo82625 жыл бұрын
Barkiwe sana Mchungaji
@samwelsimon92784 жыл бұрын
Pastor usiogope kukemea sheria kandamizi na viongozi wanafiki wakilitaja bure jina LA Mungu Kwakuwa watukamahao wamelaaniwa vikali na Yesu.
@paulrobert15465 жыл бұрын
hakika BWANA anatenda, ✋✋✋
@donaldmwahalende48414 жыл бұрын
Mbaga natamani nikuone mbinguni umenibariki Sana nimeptia mengi
@saidsoudy31404 жыл бұрын
Baba mchungaji mahubili yako hayajawahi kuniacha hivi HIV Yesu akutunze baba
@frankphilemon93334 жыл бұрын
ahsante mjoli
@mariamngumbao7835 жыл бұрын
Mungu ndie mukuu
@roseebenny54375 жыл бұрын
Sifa Na utukufu ni wa bwana.sauti iki chini
@seenoiirene96395 жыл бұрын
Amen!
@christinasenga44125 жыл бұрын
Amina pastor
@violetnyansiaboka28215 жыл бұрын
Amina
@neemadaud2345 жыл бұрын
PR umenitia moyo sana sana kuna mambo yananitatiza ktk famila yangu, kila mradi unagonga mwamba, ila kwa neno la BWANA ulilosema naanza kuona miujiza yake ikinitembelea. Ila nimetoa machozi sana, nilikuwa nimekata tamaaa, kumbe MUNGU hajaniacha PR zidi kutuombea sana, naomba no. Yako
@habaritv63645 жыл бұрын
Neema Daud Amen
@neemadaud2345 жыл бұрын
PR mbaga hakuna mahubiri niliyowahi kumlilia MUNGU kama Leo, amekutuma kuganga moyo wangu ulioyo na vidonda& maumivu makali
@jeremiahmhangwa36455 жыл бұрын
Balikiwa na bwana pt,
@abiuds.b85185 жыл бұрын
amen mtumish
@angelakimaro6075 жыл бұрын
Aminaa,tupone soote kwa jina la yesu
@habaritv63645 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@neemadaud2345 жыл бұрын
Asante PR umenitia moyo sana, kuna mambo yananichanganya ila nimeskiliza ujumbe huu nimpatatumaini lingine
@josephineabedi40865 жыл бұрын
Mungu akulinde na akuongezeye hekima na ujasiri.
@bayroneboniphace2893 жыл бұрын
God is love 💖💖💖
@lightmoshi31314 жыл бұрын
👏👏
@milkerjuma65255 жыл бұрын
MUNGU akubariki mchungaji
@sprinathomas82924 жыл бұрын
Ninapokuwa najihisi nmeshindwa katika sehem fulan nkisikilza neno la Mungu kutoka kwa pastor mmbaga huwa napata nguvu za kunyanyuka upya na iman inaongezeka, Barkiwa sana mchungaji
@tumainingonyani32265 жыл бұрын
Pr nabarikiwa sana masomo yako ubarikiwe lkn nna swali moja tuu iv kwann Mungu bible inasema hana upendeleoo lakn alimpendelea rusifa na ndio kiburi cha kujiona yeye n bola kuliko malaika wengine kiburi kikainuka juu yakee j? nikwel Mungu hana upendeleoo
@timotheojoel18285 жыл бұрын
MUNGU akubaliki mtumxh dah mchungaji nabalikiwaga sanaaa
@brunokamuzora95635 жыл бұрын
jaman m2 wa Mungu siku hizi hatukusikii lakin uko vizuri endelea kum2Kia Mungu
@glorymanento24704 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana Pr Mungu anaendelea kukutumia
@alicenyaboke43054 жыл бұрын
Let God be praise , this teaching is like firefly in our hearts
@grasemugaya52684 жыл бұрын
Kweli mchungaji ni kwaneema tu
@nelsonemmanuel85395 жыл бұрын
naomba mtu yeyote aliye na mawasiliano yoyote na pastor Mbaga naombeni jamani
@mussasengeka81115 жыл бұрын
0768745942 nitafute pastor sina number yako ninashida sana Mtumishi