MUNGU akutie nguvu nyingi pastor David Mmbaga. Watu wengi wanapotea kwa kukosa maarifa ukianza na Mimi. Lakini kulingana na mbaraka wa somo lako, sasa natambua ya kuwa ni makusudi ya aliyeniumba (MUNGU), Kuwepo katika ulimwengu huu. Mchungaji naomba uwe kuhani wangu kwa MUNGU, ili ndoto yangu itimie, na ndoto yangu ni kufanya kazi ya Mungu. Kwani Mimi nimebatizwa miaka miwili iliyopita, na kabla ya hapo nilikuwa sina sehemu ya kusali wala sikujua kanisa ni nini, lakini cha kushangaza nilipenda kuwa kama wahubiri wa neno la Mungu, kama ninavyopenda kuwa kama wewe Mchungaji Mmbaga.(Napenda kuhubiri,hivyo basi, namuomba MUNGU aniwezeshe, kwani peke yangu sitaweza.MUNGU Fanya jambo kwa ajiri yangu kwa kuwa wewe ndiwe unayeyaweza yote, pia ukabariki ombi la Mchungaji Mmbaga na ukasikie ombi atakaloomba kwa ajili ya watu wote na Mimi nikiwemo.Mchungaji David A Mmbaga,MUNGU akubariki, na aendelee kukutumia katika kazi yake, ili sote kwa pamoja tupate kuishi milele pamoja na Mfalme wa wafalme yaani YESU KRISTO, BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU Amina.
@christinasenga44125 жыл бұрын
Hareluya pastor kwa ujumbe mzuri nimeelewa kuwa sikuzaliwa Kwa bahati mbaya hata nipitie magumu kiasi gani sikuzaliwa Kwa bahati mbaya
@stevenlukumay55176 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu endelea kutupa gombo la chuo haleluya
@giftqueen48685 жыл бұрын
I really enjoyed this sermons poster may God bless you I’m fasting so i was listening to the sermons who is here with me 2019
@rahelmakala54406 жыл бұрын
Aiseee Mmmmmm sawa sawa, nihatar nimebarikiwa sana.mora akujalie maisha marefu akujalie hekima amani na busara.
@princessjovinatha82093 жыл бұрын
Nabarikiwa sana 👏👏 nimelielewa muondoeni mkamuue inje y madhabu
@resgoldphilays18006 жыл бұрын
Mimi napenda sana Mungu aliye ndani yako. NIMWAMINIFU SANA. MIMI SI MSABATO LAKINI MFUASI WA YESU KRISTO ALIYE NDANI YAKO.
@graceymaghema27536 жыл бұрын
Amina Mtumishi nimepata kitu kwa ujumbe huu natamani sana kujuwa kwa nn nimezaliwa ubarike sana
@ibrahimmarwa35026 жыл бұрын
amina mchungaji mmbaga ww unaongea ukweli sana mungu akulinde kwa kazi unayo Fanya kwa kuwaelemisha watu wenye mioyo migumu balikiwa sana
@gracezunda88045 жыл бұрын
Nabarikiwa sana mtumishi ni kweli kabisa usemavyo,!!
@user-hw9um8su3k11 ай бұрын
Pastor ubarikiwe sana umenikumbusha mbali sana kuna muda hata waliojidai kukupenda sana na kukukataa bila kujua unapitia nini kwa wakati huo utabaki na wazazi na ndugu zako wa karibu tu ndo watakuelewa barikiwa sana mchungaji
@nippermshana92605 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji
@christinasenga44126 жыл бұрын
Nimejifunza somo zuri sana tena Kwa uchungu mkubwa,kumbe sikuzaliwa kwa bahati mbaya
@maureenkemei92544 жыл бұрын
Wow natamani kusikia neno la Mungu zaidi na zaidi maana ni matamu eee Mungu nisaidie nijue kwanini nimezaliwa
@restutasamuson8152 жыл бұрын
Unanibariki sana mtumishi yaani nikisikiliza naelewa zaidi neno la Mungu kila siku namic kukusiliza nakua na kui natafuta votcher kwa nguvu ili nikusie nifurahi
@suzanneborawetemwami96382 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu,ubrikiwe saana
@sarahwawuda76386 жыл бұрын
AMEN......asante sana mchungaji
@meshaester28276 жыл бұрын
Yes Pastor! We are waiting you in ukonga
@veronicajimisha615 жыл бұрын
Barikiwa pr.
@mandwashija49925 жыл бұрын
ubarikiwe sana mchungaji
@silasmonubi91686 жыл бұрын
Mchungaji napenda sana mahubiri yako, nabarikiwa sana
@sulehassanshall61403 жыл бұрын
Eenyi mulio laaniwa namungu ..token makanisani kwamashetan. Huko kuna mashtan....shetan Ataendelea kuwabaka wanawake nawanaume ucku siku zote wasio msujudia mungu. .Pole wakirsto kwakubakwa nashetan
@jacksonnchimbi3083 жыл бұрын
Wewe Una Mungu au miungu hapo penyewe kila mwaka unaenda Kwa waganga kuomba msaada maana roho mtakatifu moyoni mwako huna na kule Kwa waganga utakuta kile kitabu chako unachokiamini
@hassanhussein6161 Жыл бұрын
amina sana mchungaji napenda sana huduma yako natamani siku mmoja nikuone
@ezekielwilliam46542 жыл бұрын
Hapana wewe pastor ndani yako kuna Mungu bwana tena anakaa kwako siku zote anaishi ndani yako hata sijui nikwambie nini ila nakwambia ukweli Mungu yupo ndani yako
@judithcherono25954 жыл бұрын
2020 Still watching you pastor God bless you
@marymwetafrancis96696 жыл бұрын
Ubarikiwe Pastor kwa mafunuo haya, ingekuwa ni shauri langu.. Ungekuwa mchungaji, mwinjilist Daily... Kwa kweli Mungu wa mbinguni akupe tuu baraka za afyaaaa na ulinzi
@doreenfavour6225 жыл бұрын
Mchungaji kuna mambo unaweza pitia hadi unaanza kujitia mbona nikazaliwa kwenye dunia ya tabu.
@esthermargaret64762 жыл бұрын
May GOD BLESS YOU you have really blessed my life .
@edwinlawi7105 жыл бұрын
Barikiwa sana pastor mbaga
@imangregory83925 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akutie nguvu katika utumishi wako!
@sheilaombongi80864 жыл бұрын
Maombi ya kunitoa machozi tumepitia magumu lakini kwa Jina la Yesu tuko na huai,barikiwa pastor Amina
@williammuriki2967 Жыл бұрын
Mungu uwasikikia wanaomwabudu Kwa roho na kweli
@marthadaniel49042 жыл бұрын
Amina ubarikiwe san Mchungaji
@judithcherono25956 жыл бұрын
Amen Yesu apewe sifa,barikiwa mchungaji
@nakundwamallya22955 жыл бұрын
MUNGU ambariki sana pastor MMBAGA
@joycekabungo64832 жыл бұрын
Amen Barikiwa
@restutasamuson8152 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia
@deborahmukendi19285 жыл бұрын
Really powerful 🙏🏻❤️
@christinasenga44125 жыл бұрын
Watu wenye Shida moja wanaongea lugha moja
@christinasenga44125 жыл бұрын
Watu wenye shida inayofanana wanaongea lugha moja
@happypetro41753 жыл бұрын
Nmebarkiwaa sana
@HealthyLifeBasics6 жыл бұрын
Ahsante PR.
@simonnyakunga60306 жыл бұрын
Ninapenda sana haya mahubiri pastor. Asante sana
@cynthianawambugha76633 жыл бұрын
Tabia za manoa bado ziko ni majina tuu ndio walibadilisha🤣🤣🤣🤣🤣
@kingsdaughter20406 жыл бұрын
Nahitaji maombi juu ya mzee wangu anasikia mgonjwa lakini sipitali akienda ugonjwa haupatikani Lakin anasikia tu mgonjwa am from kenya
@MahubiriPrMmbaga6 жыл бұрын
Mungu akubariki,tunamuombea
@woodmanufacturersltdwood5965 жыл бұрын
NAFUATILIA KUTOKA NAIROBI KENYA, INJILI SAFI INAONDOA ROHO MBAYA YA UDINI
@samueljr91055 жыл бұрын
Napenda sana kusikiliza mahubiri haya maana yanatia msisimko wa kumuangukia Mungu miguuni kwa maombi
@allykisae86183 жыл бұрын
I
@fajvavsbvvbs19106 жыл бұрын
Muchungaji injili nitamu nasikia niko mbinguni
@hondenisonmagufulinyabaro39235 жыл бұрын
Miaka mingi Haina maana but umefanya Nini miaka iyo yote???? PST barikiwa
@joycemashikolo90966 жыл бұрын
mchungaji mmbaga umekuwa mbaraka mkubwa sana kwangu Mungu anisaidie niyaishi maisha ya kusudi lake mimi kuwepo hapa Duniani.
@enockmogaka80413 жыл бұрын
What a great revelation. God bless u abundantly pst
@ireneorina35603 жыл бұрын
Nitapata kitabu chako pastor
@christinasenga44124 жыл бұрын
AMINA PASTOR MMBAGA UNANIBARIKI SANA NA MAHUBIRI YAKO,BARIKIWA SANA
@danielitangakubuntu37706 жыл бұрын
Wow
@fajvavsbvvbs19106 жыл бұрын
Asante sana muchungaji najisikia rohoni mwangu nimeshafishwa
@gabrielpott33255 жыл бұрын
Ameeeeeen saaaana.
@watwegopnina64803 жыл бұрын
Amen mchungaji, Mungu mwema sana
@mawazomangala63416 жыл бұрын
Mtumishi Mungu hakubariki
@beatricealexander13736 жыл бұрын
Mtumishi naomba No yako ya simu tafadhali
@peninasnyamhanga48606 жыл бұрын
Amen
@davidmmbaga33506 жыл бұрын
0764600129
@beatricealexander13736 жыл бұрын
Asante sana Mtumishi
@damarissimon28345 жыл бұрын
namwomba sana Mungu anionyeshe kusudi lake kwangu nmebarikiwa Sana mtumishi barikiwa mno
@esthermargaret64762 жыл бұрын
U have really changed my life
@bonnymanyama28685 жыл бұрын
mchunguji umenitoa chozi langu yaani nikama unaniambia mimi (unanikumbusha mengi)
@robhimarwa85505 жыл бұрын
Amen
@maxmillianmturi13705 жыл бұрын
amen
@ezekielwilliam46542 жыл бұрын
Kuna wakati naogopa kukusikiliza yaani naona kama ni Mungu ndio anaongea
@robertchristopher98095 жыл бұрын
Blessed pastor
@rukundomicheal46264 жыл бұрын
Asante Niko Uganda
@crispinstini98406 жыл бұрын
jina la bwana libarikiwe
@mmungamleci4876 Жыл бұрын
Nazidi kubarikiwa
@nicokakoyo15836 жыл бұрын
Nimebarikiwa San, ila huwa zinakata kabla yakuomba nataman sana ila cjawahi kubahatika ukaomba mpak mwisho, Mungu nimwema IPO cku., Barikiwa sana mchungaji
@kenedysamwel34715 жыл бұрын
Mchungaji afundisho yameni okoa sana hasa kuhusu upendo katika ndo sio kitu chamuhimu sana cha muhimu ni hekima na busara
@kashindikibatcha87885 жыл бұрын
Baba umenibariki nakunijenga zaidi Maana wengine bila uyu yesu maisha yangekua ni bure ubarikiwe
@richardmichaeli45483 жыл бұрын
Amina
@geromejelome75211 ай бұрын
Mchngj Mimi naitwa Gerome ila uyo uliyemsema Jelome historia yake kwa ufupi ilikuwaje au yeye alikuwa nani
@japhetedwin42206 жыл бұрын
Aaaamen
@vicentndiholeye10672 жыл бұрын
amina
@lailathussain64926 жыл бұрын
Mtumishi namba zako tutapataje
@kaliwabuyehosheba43305 жыл бұрын
0764600129 No yake Mch
@leonidashatungimana82665 жыл бұрын
kaliwabu yehosheba asante saana je namba hiyo ni ya whatsapp ??? mimi niko Burundi yaani nahitaji kupata namba ya whatsapp ya mcungaje huo
@leonidashatungimana82665 жыл бұрын
pia niko burundi ,pia mumi nimeanza na huu mwaka unapita kuingia na kanisa la wa sabato nikusema kama mimi ni jakomaa sana kwa kanisa la wa sabato ila nimelipenda saaaana nikaamuwa kushiriki kwa kanisa hii
@fadhililogatus44226 жыл бұрын
jina la bwana lipewe sifa
@msabimsabi57315 жыл бұрын
Samahan mpendwa tafuta tofauti kat ya Bwana na bwana
@franciselinazi12395 жыл бұрын
injili isonge mbele jina la bwana lihimidiwe
@eliajoseph81296 жыл бұрын
Mchungaji hakika nina neemeka na mafundisho yako ya kisabato ,mm rc lkn
@johnnewland99106 жыл бұрын
amina......... MUNGU akuongoze ktk kuifaham kwel yake na kuishi ktk kwel........ NAKUOMBEA Elisha Joseph