GOODBLES LEMA AMPIGIA OLE SABAYA NA KUMTAKA AACHE KUTESA WATU

  Рет қаралды 400,074

Chadema Media TV

Chadema Media TV

4 жыл бұрын

Пікірлер: 551
@daudiykiria5487
@daudiykiria5487 3 жыл бұрын
Wanaozoom hii na leo wameshuhudia yaliyotimia like zangu apooo tuende sawa😃
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Acha aone hii dunia siyo yako. Leo anakiona Magufuli kapumzika yeye ananyea ndoo
@caindunke8526
@caindunke8526 2 жыл бұрын
Nimerudi baada ya hukumu ya miaka 30…. Nabii Lema 🙌🏽
@sweetbertbumare6118
@sweetbertbumare6118 2 жыл бұрын
Na mimi ndo kilichonileta
@mejalomayani1606
@mejalomayani1606 2 жыл бұрын
hata mimi
@josephtemu2633
@josephtemu2633 2 жыл бұрын
Lema zama za propaganda zimeisha watanzania wameelimika wanataka mtu mkweli sio umaarufu ambao hauna maana upinzani tanzania hakuna
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 2 жыл бұрын
@@josephtemu2633 Acha umbukeni na utopolo. Mchaga mpumbavu wewe sijawahi ona
@josephtemu2633
@josephtemu2633 2 жыл бұрын
@@gabrielsaelie8091 sina ulimbukeni fikira zako bado ndogo
@sylvesterjose3286
@sylvesterjose3286 3 жыл бұрын
Na nukuu "Magufuli Siyo Mungu.... kuna siku utayajutia, kuna siku you will repay...."! Acha biashara ya kuumiza watu, kutekateka watu... ! Sauti ya Mungu husikika kupitia vinywa vya watu wake! Tutafakari.
@victorshirima9629
@victorshirima9629 3 жыл бұрын
Kwel dah
@salamakhamis8092
@salamakhamis8092 3 жыл бұрын
Duh! Maneno yako Lema hayakuanguka chini
@mankarichard5851
@mankarichard5851 3 жыл бұрын
Daah Afu akivokua anajibu kwa dharau daaah saiv anajifanya anatia huruma dadeki zake kaaumiza sana watu uyu nyoko
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 8 ай бұрын
@@mankarichard5851mpuuz jambaz mmoja kwanz ameshindaje shindaje rufaa sabat n wakunyongwa jambaz
@wilbertthomas8357
@wilbertthomas8357 3 жыл бұрын
Waliokuja leo kuludia hii clip tujuane mtt wa mjini leo katumbuliwa!😜😜😜😜😜😜😜😜😜
@mohammedsuleyman3738
@mohammedsuleyman3738 2 жыл бұрын
Tupo mwanangu
@neematesha5679
@neematesha5679 2 жыл бұрын
Nabii alinena yametokeaaaa
@stambulikahemela6963
@stambulikahemela6963 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daraja limefunjika
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 жыл бұрын
Hapa sabaya waliongea namungu kupitia lema,sasa tumeyaona matokeo!!!!!
@mwijumawerema1229
@mwijumawerema1229 2 жыл бұрын
"Uongozi wa hekima ni bora zaidi kuliko uongozi wa Sheria" By Mwita Juma Magaigwa
@brownenas603
@brownenas603 3 жыл бұрын
Daaah!!sabaya akilejea hii krip na akaangalia anayoyapitia Leo atamkumbuka sana lema
@adamsoud4862
@adamsoud4862 3 жыл бұрын
Cheo kibaya ukikitumia vibaya kaka
@digostjafety6070
@digostjafety6070 3 жыл бұрын
Lema ni mtabiri mzuri alituambia magufuli atakufa mwaka 2020 ,,,na akafa mwaka unaofuata ,,na alisema mkishatumaliza wapinzani mtaanza kugeukana wenyewe ,,,ninacho shukuru kwa Mungu ni kwamba sie raia tupo salama waache wageukane wanavyoweza 😁😁😁
@johnsonkisamba5681
@johnsonkisamba5681 3 жыл бұрын
apo akuna mtu yoyote lema mwenyewe limbukeni kwanini kamlekodi Kama sio mamboya kike ayo wote wamekutana utoporo
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 жыл бұрын
@@johnsonkisamba5681 hunaakili kwanni vitu siliasi unavifanyia mzaha,mshenzi sana ndomaana mnaua watu!!!!
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 жыл бұрын
@@johnsonkisamba5681hunaakili!!!
@MilioneaTv
@MilioneaTv 2 жыл бұрын
Hahaha leo tayari kimeeleweka anguko moja kubwa Sana from DC to 30 years utumwa. Tujifunze kitu hapa power has an end
@shanelrichard832
@shanelrichard832 3 жыл бұрын
Laiti kama angesikiliza ushauri huu angelikwepa aibu zinazompata
@danstanmgaya1251
@danstanmgaya1251 3 жыл бұрын
Nadhan Lema uliona mbali sana hakika Mkono wa Bwana ume tenda haki kutokana na matendo yake Answered cries
@cesiliamwapinga9291
@cesiliamwapinga9291 3 жыл бұрын
Haswaaa
@chaseborgia
@chaseborgia 2 жыл бұрын
Hatimaye ,Godbless Lema alimwambia Magufuli na alimwambia na Lengai Ole Sabaya yote yamekuja kutimia.Muogope Mungu na teknolojia alisema marehemu Ruge Mutahaba
@adamsoud4862
@adamsoud4862 3 жыл бұрын
Lema ulimwambia hakusikia muda wake umemfika sasa alijiona mwerevu mshenzi sasa anaenda jela tu criminal
@juliuschuwa8470
@juliuschuwa8470 2 жыл бұрын
Lema ni nabii wa ukweli na c wa kubuni buni anaongelea maono ya ukwelii big up lema
@allymohammed7708
@allymohammed7708 2 жыл бұрын
Tulio kuja baada ya sabaya kuhukjmiwa miaka 30 tujuane
@gadielmungure7029
@gadielmungure7029 2 жыл бұрын
Lema ni nabii wa Mungu anafikisha ujumbe halisi kwa walengwa kabla ili waache maovu wanapokataa Mungu anatekeleza anachotaka, macho ya bwana yanaona kila mtu. Lema ubarikiwe kwa kipawa ulichopewa
@JK-yf6dg
@JK-yf6dg 4 жыл бұрын
Kamanda Lema bora umemuchana live na uzuri kwenye maxungumzo yote hajakanusha popote kwahiyo niuhakika kabisa anafanya
@ramadhaniimamu4542
@ramadhaniimamu4542 4 жыл бұрын
J K sabaya mjinga Lena pia mjinga vilevile wore mabogaz
@laghanganuwagi49
@laghanganuwagi49 3 жыл бұрын
@@ramadhaniimamu4542 lema ni kichwa balaa!
@verostaherman4952
@verostaherman4952 3 жыл бұрын
@@ramadhaniimamu4542 lema anaujinga gani sasa?
@oyay2821
@oyay2821 3 жыл бұрын
Mtekaji mkuu taifa, ali tabiriwa na nabii Lema. Sasa yametimia ameshazinguliwa, mpaka aende kwa Godblessjlema1 asamehewe ndio atoboe maisha
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 жыл бұрын
Kimeumanaa wale waliokuja humu baada ya kukamatwa kwa Sabaya like zenu wadau
@sultanalnaamani2156
@sultanalnaamani2156 3 жыл бұрын
Ndg lema hakika ulimuonya kwa nia njema lakini hakukoma aliyekuwa ana mtuma hayupo leo waswahili tunasema (ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU )sasa hayo yamemkuta .
@stambulikahemela6963
@stambulikahemela6963 2 жыл бұрын
Good bless Lema na nabii Alie tumwa na Mungu kwasababu ukiangalia Mambo ambayo lema amekuwa akiwambia watu kuwa waache si mazuri kwao na wanakuwa wabishi ndo inakuwa kama hivi
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 2 жыл бұрын
Unakumbuka Kuna clip Lema Alikua kwnye kituo Cha police Akawa Anaojia Anasema Ameoteshwa Na Mungu Kua Magufuli Atakuja Mwaka 2020 Atasema Watu Hawata Amiin kwassbu Tu Yye Ni Mpinza Akasema Kma Maneno haya Atayazungumza Mwamposa Msinge Bisa Mwisho Wa Siku Maneno Yke Yalitimia Au Hayaja Timia Ndio mimi usema Lema kuna kitu Alipewa Cha ziada
@nastyb7405
@nastyb7405 3 жыл бұрын
Ahsante Godbless Lema ni vile hakufuata ushauri wako
@jasimmohamed1425
@jasimmohamed1425 3 жыл бұрын
Ushauri ni mzuri san lkn jama nichetani
@growrich2332
@growrich2332 3 жыл бұрын
Lema ur the best bro
@doriceshemdoe7028
@doriceshemdoe7028 2 жыл бұрын
Zaid ya nabiii duuh
@ibrahimmatola1529
@ibrahimmatola1529 2 жыл бұрын
Baada ya hukum ya miaka 30 nimekuja kukamilisha unabii wa lema
@johnmakubi190
@johnmakubi190 3 жыл бұрын
Hiiii lema kweli wewe nabiii,yametimia ya sabaya uliyomtabilia,unamaono
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 2 жыл бұрын
Magufuli sio mungu. Is a very perfect statement.
@wilhardtarimo386
@wilhardtarimo386 2 жыл бұрын
Hatimae yametimia
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 4 жыл бұрын
Da maskin rais anateua wahuni
@fadhilmohamoud
@fadhilmohamoud 4 жыл бұрын
kuma
@MG-wx8yx
@MG-wx8yx 2 жыл бұрын
Kiongozi wa serikali anasema kwa kinywa chake kuwa “Mimi ni muhuni”, na bado alibaki madarakani. Dah
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 2 жыл бұрын
Nna Uhakika magu kama Angalikuapo Madarakani Sabaya Ungekuta Ni Rc saaii.
@AhmedAli-gh1lm
@AhmedAli-gh1lm 2 жыл бұрын
Alisema vile kwa kujiamini kabisa kwa sababu aliyemteua ndiye aliyekuwa akiongoza hilo genge la wahuni
@MG-wx8yx
@MG-wx8yx 2 жыл бұрын
@@qonquererqanquerer1781 😅😅😅😅😅
@isayakabigili4131
@isayakabigili4131 2 жыл бұрын
Mmh dunian tuish kwenye kwel.. hayupo mjanja chini ya jua.. mwamuz w mwisho ni mwenyez Mungu.. haya hapa yametimia.. binadamu tuache kujitapatapa jamaniii
@charlesmurimi592
@charlesmurimi592 4 жыл бұрын
Big up Mr Lema, poor police like Sabaya.
@rehemadani3600
@rehemadani3600 4 жыл бұрын
Yan mimi namkubali sana lema,tundu lisu,mbowe sugu mnyika mdee heche
@kundaellyimo7523
@kundaellyimo7523 3 жыл бұрын
Fucking u + lema and your family
@muttajeni4155
@muttajeni4155 2 жыл бұрын
@@kundaellyimo7523 umefikiri kabla ujaandika na kupost??
@chekanaisaac5325
@chekanaisaac5325 2 жыл бұрын
daaaaa leo nime amin wakubwa wakikuambia bora usikilize
@janetmichael5611
@janetmichael5611 3 жыл бұрын
hahahah wachaga walichinja mbuzi na ngombe km wote, dah damu za watu zinauma
@nicolausnicolaus734
@nicolausnicolaus734 4 жыл бұрын
lema simama imara nawabunge waupizani wengine walisha olewa kama huyooo
@kheryalfred691
@kheryalfred691 3 жыл бұрын
Hakika Lema uko vzr sana, aisee unaona mbali kweli kweli!! Maana ulioteshwa kifo cha magufuli ikiwa atashindwa kujirekebisha, mwisho wa siku ikawa. Ulimuonya huyo mpuuzi Sabaya naye yamemkuta tayari, duuuuuuh!!! Ndugai naye ajiangalie.
@kassimukipingu5343
@kassimukipingu5343 3 жыл бұрын
Lema leo yametimia bro njooni tujenge nchi
@mnasaeules6857
@mnasaeules6857 2 жыл бұрын
Mi nimekuja baada ya hukum tujuaneeee
@jumakibari5496
@jumakibari5496 4 жыл бұрын
Mtoto wa mjini wapi? ulimbukeni unamsumbua, bunduki ndio silaha yake,
@salvationsalvatory9097
@salvationsalvatory9097 4 жыл бұрын
Kumbe li Lema linavutaga bangiii! Nilidhania ni mru kumbe ni huniziiiiii!
@chibalichilongola1648
@chibalichilongola1648 3 жыл бұрын
Falaaa ww
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
Oh kumbe ni kweli alohukumiwa nayo kwa maneno haya ni stahili yamfike mpaka anajiita muhuni duh,🙌
@sniperbogo6210
@sniperbogo6210 3 жыл бұрын
Ila lema hbna anamaono makubwa sana tena anaona mbali sana nmaana hata magufuli alishawahi kumpa onyo najua mtajifanya hamuoni vrip vizur sabaya achinjwe kabisa ametutesa sana pia ameua sana
@hannajoseph645
@hannajoseph645 3 жыл бұрын
Mungu simwana damu na habadiliki sikigeugeu tutende haki dunianimapito Tumtegemee Mungu Amen.
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 жыл бұрын
Lema wewe unataka watazania wakuamini kuwa sabaya sio mtu mzuri kama wewe UNATABILIA watu na kujitapa iseee mungu sio Athumani bro
@wilhelmibaganisa5493
@wilhelmibaganisa5493 3 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 05 June 2021 sabaya yuko gerezani kisongo arusha
@davidlucas5445
@davidlucas5445 4 жыл бұрын
Lema wewe ndiyounamambo.ya kishamba mbona umwachi mwenzako aongee, au kwasababu unamwonea sabaya wivu, huna lolote ulitufanyia jiji letu la arusha.
@hasinathasan4057
@hasinathasan4057 3 жыл бұрын
Lema lema lema nimekutaja mara tatu maneno yako yanatakiwa viongozi wetu wa inch wawe wana kaa chini na kuyatafakhuri kwauzito wa hali ya juu sana.
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 4 жыл бұрын
Mh. Lema Mchana huyo, boya, Hajitambui, kisa Analindwa na Polisi
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 4 жыл бұрын
Sabaya mwisho wako unakuja. Tutakuua mchana kweupe maana unapenda wanawake. Tutakutega tu.
@thomasmario950
@thomasmario950 3 жыл бұрын
Da lema mungu akubariki sana wewe
@mirajamir1267
@mirajamir1267 2 жыл бұрын
Nimeingia huku baada ya hukumu
@jailaniramadhan617
@jailaniramadhan617 2 жыл бұрын
Anakula vizuri Sasa hivi kisongo gerezan
@saidmungulu7053
@saidmungulu7053 2 жыл бұрын
Brother Lema ww ni wamaono MUNGU AKUSIMAMIE KILA HATUA YAKO KAKA...👏👍
@beckasalum2620
@beckasalum2620 2 жыл бұрын
God bless lema mung akueke leo anayaona 30 jera mung kakubark miono mbele nn kina tokea kauliyo magu syo mungu leo anaikumbuka
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 жыл бұрын
Subhannahllah amakweli, malipo nihapa duniani akhera hesabu
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 2 жыл бұрын
Mh Lema Ana Unabii Unaotimia Kwa Haraka Sana
@kennedykiwia6576
@kennedykiwia6576 2 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa dunia. Asante sn mh. Rema
@cantatanzania6702
@cantatanzania6702 3 жыл бұрын
Baada ya mwaka mmoja kupita, karma is here 😂
@rahemaheri1615
@rahemaheri1615 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@KristonsiaSNkya
@KristonsiaSNkya 2 жыл бұрын
Nani kairudia tena kama mm ??☹️☹️☹️
@exaverymakoye6026
@exaverymakoye6026 2 жыл бұрын
Nipo
@salimusalim3610
@salimusalim3610 2 жыл бұрын
Minanimeangalia picha yake akiwa DC na saivi akiwa mahakamani kweli ukitaka kukonda kopa benk alafu usilipe uone msongo wa mawazo utakapo unyonya mwili
@thieryniyonkuru1067
@thieryniyonkuru1067 4 жыл бұрын
Ila amewaburuza tuuuuuu😁😁😁😁 Mpaka mnampigia simu hapo gia imeingia sawasawa😜
@isaacsengunda3099
@isaacsengunda3099 4 жыл бұрын
Kweli Sabaya amejigeuza mungu wa hai hapo anaumiza sana waty
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
DC gani huyo kila siku anatuletea filamu za kihindi pumbavuuuuuu
@dennisollomy3443
@dennisollomy3443 4 жыл бұрын
DC mshamba huyu af hajui dunia mapito mbinguni hakuna cheo chake
@rogersiddy
@rogersiddy Жыл бұрын
Yameshamkuta tyl ameshakumbuka maneno ya LEMA
@alfredsangura6080
@alfredsangura6080 3 жыл бұрын
Sabaya you pay it today ,kama hujafa hujaumbika cheo dhamana.
@peter_paulofficialy
@peter_paulofficialy 3 жыл бұрын
#Sabaya nakuambia ww cyo mmasai, nakuambia hatuna watu kama nyie kwenye koo zetu, #Lema hakika hakuna machozi ya mwenye haki ambayo haitalipwa......italipwa na umeona mwenyewe, CHADEMA nawapenda sana, mnaiishi katiba na maneno ya baba yetu wa Taifa
@abasminga528
@abasminga528 2 жыл бұрын
LEMA NI LIMJUA TANGU MDA AKIWA BUNGENI ANAMTAJA MUNGU HUYU NI BONGE LA NABII
@luckyhardson18
@luckyhardson18 3 жыл бұрын
Ukufanya vitu flan watu hawapendezwi navyo Basi wanakutabiria tuu🤣🤣🤣
@raynittu4599
@raynittu4599 2 жыл бұрын
Ha,ha,haaaaaa!!!Muhuni wa mjini.Mama hataki wahuni bhana.
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 4 жыл бұрын
Lema ukipiga simu usirecord we ongea sie hatutaki sifa .
@amedeusmodestikimey9888
@amedeusmodestikimey9888 4 жыл бұрын
LEMA unajiamini Hadi rahaaaaaaa
@raynittu4599
@raynittu4599 2 жыл бұрын
Sasa imebaki ningelijua, ningefuata ushauri wa Lema.kwishaaaaaaaà.Aibu tupu
@ramadhanimahongole8764
@ramadhanimahongole8764 4 жыл бұрын
Huyo mkuu wa wilaya ni mshamba tena ni limbukeni sana yeye kila siku kupambana na upinzani tu Hana Kazi nyingine.rema mchane Huyo. mwambie aache ulimbukeni usio kuwa na maana.
@onestimassawe1327
@onestimassawe1327 4 жыл бұрын
Katika watu siwapendi kwenye Hii listi ya viongozi ni huyu DC ana masifa sana. Makufuli mtoe huyu mt Raisi wangu anachafua uongozi kabisa.
@jimjam7687
@jimjam7687 4 жыл бұрын
Sijui uyu DC kaokotwa wapi ?. Pili Kati ya watu wanao mkwamisha rais magufuli moja wao ni uyu DC mpumbavu.
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 4 жыл бұрын
jim jam hamkwanishi yuko kikazi kwa malengo malumu ndio maana anatumia polisi apendavyo nao polisi wetu wameshindwa kufwata sheria wanaburuzwa tu
@christophertarimo8877
@christophertarimo8877 4 жыл бұрын
Gud sana
@joaneskailembo4485
@joaneskailembo4485 4 жыл бұрын
Nimeipenda saana hii
@thobiasgervasius4931
@thobiasgervasius4931 2 жыл бұрын
Na kweli muda ni mwalimu mzuri Sana
@theophilukapinga2316
@theophilukapinga2316 4 жыл бұрын
Watanzani wana kiu na maendeleo, Dc chapa kazi
@mathiasmollel9663
@mathiasmollel9663 4 жыл бұрын
Chapa kazi
@abelbufumbe790
@abelbufumbe790 2 жыл бұрын
Bora ugefuata ushauri ona sasa umechezea miaka 30
@babyruhuu9478
@babyruhuu9478 3 жыл бұрын
Passed like a shaddow
@thomasmario950
@thomasmario950 3 жыл бұрын
Mh lema mungu akubariki sana
@saadallah6287
@saadallah6287 4 жыл бұрын
Du kiongozi anakubali yeye ni muhuni kwa hiyo anaongoza wahuni?
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 жыл бұрын
Kukubali kuwa yeye ni muhuni ni kulingana na nani anaongea naye...!
@fremwamedia1976
@fremwamedia1976 3 жыл бұрын
Shida sana,
@ramadhanihassani5250
@ramadhanihassani5250 3 жыл бұрын
Duuu kaka lema ww noma yako wapi sasa
@josephsighis8185
@josephsighis8185 3 жыл бұрын
Hakika lema no nabii
@machiavelshakur8939
@machiavelshakur8939 3 жыл бұрын
Hhahhhahaaha Kadhibitisha kuw yeye ni Muhuniii Kasem aloneee
@mudymaghisa9554
@mudymaghisa9554 3 жыл бұрын
Chadema moja ccm mia,baba naenda kusoma sheria
@Binkhator
@Binkhator 2 жыл бұрын
You will pay... Sabaya ikiiskia hi kwa sasa.... Daaah... Uongozi, fedha na dunia kwa jumla is nothing...
@Captain-nj1mq
@Captain-nj1mq 2 жыл бұрын
sabaya aongezwe miaka 50 ili akae jela miaka 100 na kila cku apigwe bakola30
@noahlarapho3411
@noahlarapho3411 2 жыл бұрын
Mmh kuna maneno mazito hapa mungu utuzaidie
@sundayharris8549
@sundayharris8549 4 жыл бұрын
Sasa mh Lema siumsikilize mbona ni one sided..
@mussaabdiel9797
@mussaabdiel9797 3 жыл бұрын
Amskilize nn sasa
@bonabonaza5066
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Lema maneno yako ya unabii sabaya anatakiwa kufungwa na akishindwa kufungwa auwawe kwa mawe amina
@solomonmgaya8190
@solomonmgaya8190 3 жыл бұрын
Itoshe kusema Lema ni nabii
@charlespiusmulimi4988
@charlespiusmulimi4988 3 жыл бұрын
Kweli MUNGU kafekelea mbali mwendazake na pia sabaya hoi.Time will tell
@princesinko4073
@princesinko4073 4 жыл бұрын
Viongozi hawa wanatakiwa kuwa makini sana hasa wanapokuwa madarakani maana kuna siku watapoteza nafasi.
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 жыл бұрын
Kabisa my brother
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
Ameshapoteza
@selemanlucas5015
@selemanlucas5015 4 жыл бұрын
Kitu ambacho umezingua Mh Lema ni kumwambia mtu maskini hana hela mshahara wake mdogo Sasa ata wananchi wako walio maskini unawaona hawafai Wewe ata kama unahela kuna wengine wanakuona we boya tu... Mwenzako anapower anakaa na wadau ,controller wa wilaya, acheni wawanyoshe mlimdharau sana Mh Kikwete kwenye uongozi wake
@makongoronyerere2595
@makongoronyerere2595 3 жыл бұрын
Sema Tena, jamaa yko yupo ndan ameukalia
@saikomkumbwa4812
@saikomkumbwa4812 2 жыл бұрын
Rema leoyuko hru sabaya
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
Leo unajiskiaje?? Bora yeye alimwambia kwa nia nzuri ya kumsadia.
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 2 жыл бұрын
Ktu kama hujui unatulia Mungu sahihi umefika
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
@@emmanuelmchomvu2676 ulisema awanyooshe. Leo nenda kamsaidie
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 3 жыл бұрын
Kumbe Nabii Lema alimuonya ?
@gwaluganoa.mwakatobe3183
@gwaluganoa.mwakatobe3183 2 жыл бұрын
Godbles Lema ulipiga kweli hii simu? Ni mwaka mmoja umepita tangu ipostiwe. Iliikuwa wiki chache kuelekea uchaguzi Mkuu
@hassanissa4792
@hassanissa4792 3 жыл бұрын
Mi baada ya kuona ishu ya sabay imepamba moto ikanibidi nirejee Kumbe mjinga sana sasa ana pay aseeh
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 4 жыл бұрын
Kweli kabisa lema huyo jamaa atavuna tu huyo mbwa koko atalipia tu anaona amefikia mwisho uko pumbavu tena mshamba hasa"
@bashiryamraymzimbirymzimbi7982
@bashiryamraymzimbirymzimbi7982 4 жыл бұрын
Kwa kipi wivu tu huo nani asiyewajua hao wabinafsi.
@polycarpsilayo6678
@polycarpsilayo6678 3 жыл бұрын
Lena ana hofu ya MUNGU
@allymaliki6487
@allymaliki6487 3 жыл бұрын
Mtoto wa mjini kapatikana hahaha
@johnsonjoseph5382
@johnsonjoseph5382 2 жыл бұрын
Tuliokuja huku baada ya kusikiliza hukumu, Tujuane
@cactuswil2005
@cactuswil2005 3 жыл бұрын
Lema yametimia...
@halimakari9558
@halimakari9558 4 жыл бұрын
Huyu kuma muhuni anapiga simu kumtega sebaya huku ana rokodi sauti ye amejiona mjanja ndie alie muua nassary yule wa kiflash walitengeneza kiflash fake.sasa nassary yuko kitaa anakunywa kahawa 2
@Antiqueqwerty-ko9ey
@Antiqueqwerty-ko9ey Жыл бұрын
Sasa kumbe wewe ndo kuma
@msabahaali758
@msabahaali758 2 жыл бұрын
Lema ana maono hakika kabisa
@janetmichael5611
@janetmichael5611 3 жыл бұрын
hahahahaha kweli malipo duniani
@njombehcboreshaafya6450
@njombehcboreshaafya6450 4 жыл бұрын
Sabaya unamdhalilisha Rais unasema wewe na Lema ni wahuni? Kwa hiyo Rais anateua wahuni kuongoza watu Tobaaaaa
@godwinlordman1740
@godwinlordman1740 4 жыл бұрын
Kuna sababu ya kujiita mhuni ila miaka kama 15 hiv ijao hawa viongozi wa kuteuliwa na raisi ni wachache san wataweza kuishi hapa nich maana hata hiyo ccm aitawakubali kwa lolote
@happymbise246
@happymbise246 3 жыл бұрын
Ukipanda mchicha uvuna mchicha autavuna bangi Leo uko kisongo sabaya bay jambazi sugu wewe muhuni mkubwa ukome nailo genge lako
@gracegabriel881
@gracegabriel881 2 жыл бұрын
Anaye kata kwaupanga nayeye hufa kwaupanga namwenye kiburi mungu humshusha mungu amehukumu kwa haki
GOODBLESS LEMA AMJIBU DPP AMATAKA KUACHA KUTISHA WATU
11:31
Chadema Media TV
Рет қаралды 64 М.
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 15 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН
DC SABAYA AMSWEKA LEMA NDANI, ATAJA SABABU "ANATAFUTA UMAARUFU"
4:19
Global TV Online
Рет қаралды 83 М.
3-SIKIA ALICHO ZUNGUMZA LENGAI OLE SABAYA MAHAKAMANI.
3:32
Hababi Mohammed
Рет қаралды 155 М.
JINSI TUNDU LISSU ALIVYOFIKISHWA NAIROBI KIMAFIA AELEZA MBOWE
9:31
Chadema Media TV
Рет қаралды 76 М.