Wanaozoom hii na leo wameshuhudia yaliyotimia like zangu apooo tuende sawa😃
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Acha aone hii dunia siyo yako. Leo anakiona Magufuli kapumzika yeye ananyea ndoo
@caindunke85262 жыл бұрын
Nimerudi baada ya hukumu ya miaka 30…. Nabii Lema 🙌🏽
@sweetbertbumare61182 жыл бұрын
Na mimi ndo kilichonileta
@mejalomayani16062 жыл бұрын
hata mimi
@josephtemu26332 жыл бұрын
Lema zama za propaganda zimeisha watanzania wameelimika wanataka mtu mkweli sio umaarufu ambao hauna maana upinzani tanzania hakuna
@gabrielsaelie80912 жыл бұрын
@@josephtemu2633 Acha umbukeni na utopolo. Mchaga mpumbavu wewe sijawahi ona
@josephtemu26332 жыл бұрын
@@gabrielsaelie8091 sina ulimbukeni fikira zako bado ndogo
@sylvesterjose32863 жыл бұрын
Na nukuu "Magufuli Siyo Mungu.... kuna siku utayajutia, kuna siku you will repay...."! Acha biashara ya kuumiza watu, kutekateka watu... ! Sauti ya Mungu husikika kupitia vinywa vya watu wake! Tutafakari.
@victorshirima96293 жыл бұрын
Kwel dah
@salamakhamis80923 жыл бұрын
Duh! Maneno yako Lema hayakuanguka chini
@mankarichard58513 жыл бұрын
Daah Afu akivokua anajibu kwa dharau daaah saiv anajifanya anatia huruma dadeki zake kaaumiza sana watu uyu nyoko
@mohammedmhina39738 ай бұрын
@@mankarichard5851mpuuz jambaz mmoja kwanz ameshindaje shindaje rufaa sabat n wakunyongwa jambaz
@wilbertthomas83573 жыл бұрын
Waliokuja leo kuludia hii clip tujuane mtt wa mjini leo katumbuliwa!😜😜😜😜😜😜😜😜😜
@mohammedsuleyman37382 жыл бұрын
Tupo mwanangu
@neematesha56792 жыл бұрын
Nabii alinena yametokeaaaa
@stambulikahemela69632 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daraja limefunjika
@josephmakutano70672 жыл бұрын
Hapa sabaya waliongea namungu kupitia lema,sasa tumeyaona matokeo!!!!!
@mwijumawerema12292 жыл бұрын
"Uongozi wa hekima ni bora zaidi kuliko uongozi wa Sheria" By Mwita Juma Magaigwa
@brownenas6033 жыл бұрын
Daaah!!sabaya akilejea hii krip na akaangalia anayoyapitia Leo atamkumbuka sana lema
@adamsoud48623 жыл бұрын
Cheo kibaya ukikitumia vibaya kaka
@digostjafety60703 жыл бұрын
Lema ni mtabiri mzuri alituambia magufuli atakufa mwaka 2020 ,,,na akafa mwaka unaofuata ,,na alisema mkishatumaliza wapinzani mtaanza kugeukana wenyewe ,,,ninacho shukuru kwa Mungu ni kwamba sie raia tupo salama waache wageukane wanavyoweza 😁😁😁
@johnsonkisamba56813 жыл бұрын
apo akuna mtu yoyote lema mwenyewe limbukeni kwanini kamlekodi Kama sio mamboya kike ayo wote wamekutana utoporo
Hahaha leo tayari kimeeleweka anguko moja kubwa Sana from DC to 30 years utumwa. Tujifunze kitu hapa power has an end
@shanelrichard8323 жыл бұрын
Laiti kama angesikiliza ushauri huu angelikwepa aibu zinazompata
@danstanmgaya12513 жыл бұрын
Nadhan Lema uliona mbali sana hakika Mkono wa Bwana ume tenda haki kutokana na matendo yake Answered cries
@cesiliamwapinga92913 жыл бұрын
Haswaaa
@chaseborgia2 жыл бұрын
Hatimaye ,Godbless Lema alimwambia Magufuli na alimwambia na Lengai Ole Sabaya yote yamekuja kutimia.Muogope Mungu na teknolojia alisema marehemu Ruge Mutahaba
@adamsoud48623 жыл бұрын
Lema ulimwambia hakusikia muda wake umemfika sasa alijiona mwerevu mshenzi sasa anaenda jela tu criminal
@juliuschuwa84702 жыл бұрын
Lema ni nabii wa ukweli na c wa kubuni buni anaongelea maono ya ukwelii big up lema
@allymohammed77082 жыл бұрын
Tulio kuja baada ya sabaya kuhukjmiwa miaka 30 tujuane
@gadielmungure70292 жыл бұрын
Lema ni nabii wa Mungu anafikisha ujumbe halisi kwa walengwa kabla ili waache maovu wanapokataa Mungu anatekeleza anachotaka, macho ya bwana yanaona kila mtu. Lema ubarikiwe kwa kipawa ulichopewa
@JK-yf6dg4 жыл бұрын
Kamanda Lema bora umemuchana live na uzuri kwenye maxungumzo yote hajakanusha popote kwahiyo niuhakika kabisa anafanya
@ramadhaniimamu45424 жыл бұрын
J K sabaya mjinga Lena pia mjinga vilevile wore mabogaz
@laghanganuwagi493 жыл бұрын
@@ramadhaniimamu4542 lema ni kichwa balaa!
@verostaherman49523 жыл бұрын
@@ramadhaniimamu4542 lema anaujinga gani sasa?
@oyay28213 жыл бұрын
Mtekaji mkuu taifa, ali tabiriwa na nabii Lema. Sasa yametimia ameshazinguliwa, mpaka aende kwa Godblessjlema1 asamehewe ndio atoboe maisha
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Kimeumanaa wale waliokuja humu baada ya kukamatwa kwa Sabaya like zenu wadau
@sultanalnaamani21563 жыл бұрын
Ndg lema hakika ulimuonya kwa nia njema lakini hakukoma aliyekuwa ana mtuma hayupo leo waswahili tunasema (ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU )sasa hayo yamemkuta .
@stambulikahemela69632 жыл бұрын
Good bless Lema na nabii Alie tumwa na Mungu kwasababu ukiangalia Mambo ambayo lema amekuwa akiwambia watu kuwa waache si mazuri kwao na wanakuwa wabishi ndo inakuwa kama hivi
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 жыл бұрын
Unakumbuka Kuna clip Lema Alikua kwnye kituo Cha police Akawa Anaojia Anasema Ameoteshwa Na Mungu Kua Magufuli Atakuja Mwaka 2020 Atasema Watu Hawata Amiin kwassbu Tu Yye Ni Mpinza Akasema Kma Maneno haya Atayazungumza Mwamposa Msinge Bisa Mwisho Wa Siku Maneno Yke Yalitimia Au Hayaja Timia Ndio mimi usema Lema kuna kitu Alipewa Cha ziada
@nastyb74053 жыл бұрын
Ahsante Godbless Lema ni vile hakufuata ushauri wako
@jasimmohamed14253 жыл бұрын
Ushauri ni mzuri san lkn jama nichetani
@growrich23323 жыл бұрын
Lema ur the best bro
@doriceshemdoe70282 жыл бұрын
Zaid ya nabiii duuh
@ibrahimmatola15292 жыл бұрын
Baada ya hukum ya miaka 30 nimekuja kukamilisha unabii wa lema
@johnmakubi1903 жыл бұрын
Hiiii lema kweli wewe nabiii,yametimia ya sabaya uliyomtabilia,unamaono
@mohamedturanardan88712 жыл бұрын
Magufuli sio mungu. Is a very perfect statement.
@wilhardtarimo3862 жыл бұрын
Hatimae yametimia
@michaelnzunda73474 жыл бұрын
Da maskin rais anateua wahuni
@fadhilmohamoud4 жыл бұрын
kuma
@MG-wx8yx2 жыл бұрын
Kiongozi wa serikali anasema kwa kinywa chake kuwa “Mimi ni muhuni”, na bado alibaki madarakani. Dah
@qonquererqanquerer17812 жыл бұрын
Nna Uhakika magu kama Angalikuapo Madarakani Sabaya Ungekuta Ni Rc saaii.
@AhmedAli-gh1lm2 жыл бұрын
Alisema vile kwa kujiamini kabisa kwa sababu aliyemteua ndiye aliyekuwa akiongoza hilo genge la wahuni
@MG-wx8yx2 жыл бұрын
@@qonquererqanquerer1781 😅😅😅😅😅
@isayakabigili41312 жыл бұрын
Mmh dunian tuish kwenye kwel.. hayupo mjanja chini ya jua.. mwamuz w mwisho ni mwenyez Mungu.. haya hapa yametimia.. binadamu tuache kujitapatapa jamaniii
@charlesmurimi5924 жыл бұрын
Big up Mr Lema, poor police like Sabaya.
@rehemadani36004 жыл бұрын
Yan mimi namkubali sana lema,tundu lisu,mbowe sugu mnyika mdee heche
@kundaellyimo75233 жыл бұрын
Fucking u + lema and your family
@muttajeni41552 жыл бұрын
@@kundaellyimo7523 umefikiri kabla ujaandika na kupost??
@chekanaisaac53252 жыл бұрын
daaaaa leo nime amin wakubwa wakikuambia bora usikilize
@janetmichael56113 жыл бұрын
hahahah wachaga walichinja mbuzi na ngombe km wote, dah damu za watu zinauma
@nicolausnicolaus7344 жыл бұрын
lema simama imara nawabunge waupizani wengine walisha olewa kama huyooo
@kheryalfred6913 жыл бұрын
Hakika Lema uko vzr sana, aisee unaona mbali kweli kweli!! Maana ulioteshwa kifo cha magufuli ikiwa atashindwa kujirekebisha, mwisho wa siku ikawa. Ulimuonya huyo mpuuzi Sabaya naye yamemkuta tayari, duuuuuuh!!! Ndugai naye ajiangalie.
@kassimukipingu53433 жыл бұрын
Lema leo yametimia bro njooni tujenge nchi
@mnasaeules68572 жыл бұрын
Mi nimekuja baada ya hukum tujuaneeee
@jumakibari54964 жыл бұрын
Mtoto wa mjini wapi? ulimbukeni unamsumbua, bunduki ndio silaha yake,
@salvationsalvatory90974 жыл бұрын
Kumbe li Lema linavutaga bangiii! Nilidhania ni mru kumbe ni huniziiiiii!
@chibalichilongola16483 жыл бұрын
Falaaa ww
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Oh kumbe ni kweli alohukumiwa nayo kwa maneno haya ni stahili yamfike mpaka anajiita muhuni duh,🙌
@sniperbogo62103 жыл бұрын
Ila lema hbna anamaono makubwa sana tena anaona mbali sana nmaana hata magufuli alishawahi kumpa onyo najua mtajifanya hamuoni vrip vizur sabaya achinjwe kabisa ametutesa sana pia ameua sana
@hannajoseph6453 жыл бұрын
Mungu simwana damu na habadiliki sikigeugeu tutende haki dunianimapito Tumtegemee Mungu Amen.
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Lema wewe unataka watazania wakuamini kuwa sabaya sio mtu mzuri kama wewe UNATABILIA watu na kujitapa iseee mungu sio Athumani bro
@wilhelmibaganisa54933 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 05 June 2021 sabaya yuko gerezani kisongo arusha
@davidlucas54454 жыл бұрын
Lema wewe ndiyounamambo.ya kishamba mbona umwachi mwenzako aongee, au kwasababu unamwonea sabaya wivu, huna lolote ulitufanyia jiji letu la arusha.
@hasinathasan40573 жыл бұрын
Lema lema lema nimekutaja mara tatu maneno yako yanatakiwa viongozi wetu wa inch wawe wana kaa chini na kuyatafakhuri kwauzito wa hali ya juu sana.
@sagandamalechampullo6594 жыл бұрын
Mh. Lema Mchana huyo, boya, Hajitambui, kisa Analindwa na Polisi
@teddykanondo57534 жыл бұрын
Sabaya mwisho wako unakuja. Tutakuua mchana kweupe maana unapenda wanawake. Tutakutega tu.
@thomasmario9503 жыл бұрын
Da lema mungu akubariki sana wewe
@mirajamir12672 жыл бұрын
Nimeingia huku baada ya hukumu
@jailaniramadhan6172 жыл бұрын
Anakula vizuri Sasa hivi kisongo gerezan
@saidmungulu70532 жыл бұрын
Brother Lema ww ni wamaono MUNGU AKUSIMAMIE KILA HATUA YAKO KAKA...👏👍
@beckasalum26202 жыл бұрын
God bless lema mung akueke leo anayaona 30 jera mung kakubark miono mbele nn kina tokea kauliyo magu syo mungu leo anaikumbuka
@arafakiloli7493 жыл бұрын
Subhannahllah amakweli, malipo nihapa duniani akhera hesabu
@qonquererqanquerer17812 жыл бұрын
Mh Lema Ana Unabii Unaotimia Kwa Haraka Sana
@kennedykiwia65762 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa dunia. Asante sn mh. Rema
@cantatanzania67023 жыл бұрын
Baada ya mwaka mmoja kupita, karma is here 😂
@rahemaheri16153 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@KristonsiaSNkya2 жыл бұрын
Nani kairudia tena kama mm ??☹️☹️☹️
@exaverymakoye60262 жыл бұрын
Nipo
@salimusalim36102 жыл бұрын
Minanimeangalia picha yake akiwa DC na saivi akiwa mahakamani kweli ukitaka kukonda kopa benk alafu usilipe uone msongo wa mawazo utakapo unyonya mwili
@thieryniyonkuru10674 жыл бұрын
Ila amewaburuza tuuuuuu😁😁😁😁 Mpaka mnampigia simu hapo gia imeingia sawasawa😜
@isaacsengunda30994 жыл бұрын
Kweli Sabaya amejigeuza mungu wa hai hapo anaumiza sana waty
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
DC gani huyo kila siku anatuletea filamu za kihindi pumbavuuuuuu
@dennisollomy34434 жыл бұрын
DC mshamba huyu af hajui dunia mapito mbinguni hakuna cheo chake
@rogersiddy Жыл бұрын
Yameshamkuta tyl ameshakumbuka maneno ya LEMA
@alfredsangura60803 жыл бұрын
Sabaya you pay it today ,kama hujafa hujaumbika cheo dhamana.
@peter_paulofficialy3 жыл бұрын
#Sabaya nakuambia ww cyo mmasai, nakuambia hatuna watu kama nyie kwenye koo zetu, #Lema hakika hakuna machozi ya mwenye haki ambayo haitalipwa......italipwa na umeona mwenyewe, CHADEMA nawapenda sana, mnaiishi katiba na maneno ya baba yetu wa Taifa
@abasminga5282 жыл бұрын
LEMA NI LIMJUA TANGU MDA AKIWA BUNGENI ANAMTAJA MUNGU HUYU NI BONGE LA NABII
@luckyhardson183 жыл бұрын
Ukufanya vitu flan watu hawapendezwi navyo Basi wanakutabiria tuu🤣🤣🤣
@raynittu45992 жыл бұрын
Ha,ha,haaaaaa!!!Muhuni wa mjini.Mama hataki wahuni bhana.
@mugemainyas52414 жыл бұрын
Lema ukipiga simu usirecord we ongea sie hatutaki sifa .
@amedeusmodestikimey98884 жыл бұрын
LEMA unajiamini Hadi rahaaaaaaa
@raynittu45992 жыл бұрын
Sasa imebaki ningelijua, ningefuata ushauri wa Lema.kwishaaaaaaaà.Aibu tupu
@ramadhanimahongole87644 жыл бұрын
Huyo mkuu wa wilaya ni mshamba tena ni limbukeni sana yeye kila siku kupambana na upinzani tu Hana Kazi nyingine.rema mchane Huyo. mwambie aache ulimbukeni usio kuwa na maana.
@onestimassawe13274 жыл бұрын
Katika watu siwapendi kwenye Hii listi ya viongozi ni huyu DC ana masifa sana. Makufuli mtoe huyu mt Raisi wangu anachafua uongozi kabisa.
@jimjam76874 жыл бұрын
Sijui uyu DC kaokotwa wapi ?. Pili Kati ya watu wanao mkwamisha rais magufuli moja wao ni uyu DC mpumbavu.
@fredreckmwakalinga34754 жыл бұрын
jim jam hamkwanishi yuko kikazi kwa malengo malumu ndio maana anatumia polisi apendavyo nao polisi wetu wameshindwa kufwata sheria wanaburuzwa tu
@christophertarimo88774 жыл бұрын
Gud sana
@joaneskailembo44854 жыл бұрын
Nimeipenda saana hii
@thobiasgervasius49312 жыл бұрын
Na kweli muda ni mwalimu mzuri Sana
@theophilukapinga23164 жыл бұрын
Watanzani wana kiu na maendeleo, Dc chapa kazi
@mathiasmollel96634 жыл бұрын
Chapa kazi
@abelbufumbe7902 жыл бұрын
Bora ugefuata ushauri ona sasa umechezea miaka 30
@babyruhuu94783 жыл бұрын
Passed like a shaddow
@thomasmario9503 жыл бұрын
Mh lema mungu akubariki sana
@saadallah62874 жыл бұрын
Du kiongozi anakubali yeye ni muhuni kwa hiyo anaongoza wahuni?
@antoinekatembo85203 жыл бұрын
Kukubali kuwa yeye ni muhuni ni kulingana na nani anaongea naye...!
@fremwamedia19763 жыл бұрын
Shida sana,
@ramadhanihassani52503 жыл бұрын
Duuu kaka lema ww noma yako wapi sasa
@josephsighis81853 жыл бұрын
Hakika lema no nabii
@machiavelshakur89393 жыл бұрын
Hhahhhahaaha Kadhibitisha kuw yeye ni Muhuniii Kasem aloneee
@mudymaghisa95543 жыл бұрын
Chadema moja ccm mia,baba naenda kusoma sheria
@Binkhator2 жыл бұрын
You will pay... Sabaya ikiiskia hi kwa sasa.... Daaah... Uongozi, fedha na dunia kwa jumla is nothing...
@Captain-nj1mq2 жыл бұрын
sabaya aongezwe miaka 50 ili akae jela miaka 100 na kila cku apigwe bakola30
@noahlarapho34112 жыл бұрын
Mmh kuna maneno mazito hapa mungu utuzaidie
@sundayharris85494 жыл бұрын
Sasa mh Lema siumsikilize mbona ni one sided..
@mussaabdiel97973 жыл бұрын
Amskilize nn sasa
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Lema maneno yako ya unabii sabaya anatakiwa kufungwa na akishindwa kufungwa auwawe kwa mawe amina
@solomonmgaya81903 жыл бұрын
Itoshe kusema Lema ni nabii
@charlespiusmulimi49883 жыл бұрын
Kweli MUNGU kafekelea mbali mwendazake na pia sabaya hoi.Time will tell
@princesinko40734 жыл бұрын
Viongozi hawa wanatakiwa kuwa makini sana hasa wanapokuwa madarakani maana kuna siku watapoteza nafasi.
@arafakiloli7493 жыл бұрын
Kabisa my brother
@eladiuspeter5862 жыл бұрын
Ameshapoteza
@selemanlucas50154 жыл бұрын
Kitu ambacho umezingua Mh Lema ni kumwambia mtu maskini hana hela mshahara wake mdogo Sasa ata wananchi wako walio maskini unawaona hawafai Wewe ata kama unahela kuna wengine wanakuona we boya tu... Mwenzako anapower anakaa na wadau ,controller wa wilaya, acheni wawanyoshe mlimdharau sana Mh Kikwete kwenye uongozi wake
@makongoronyerere25953 жыл бұрын
Sema Tena, jamaa yko yupo ndan ameukalia
@saikomkumbwa48122 жыл бұрын
Rema leoyuko hru sabaya
@eladiuspeter5862 жыл бұрын
Leo unajiskiaje?? Bora yeye alimwambia kwa nia nzuri ya kumsadia.
@emmanuelmchomvu26762 жыл бұрын
Ktu kama hujui unatulia Mungu sahihi umefika
@eladiuspeter5862 жыл бұрын
@@emmanuelmchomvu2676 ulisema awanyooshe. Leo nenda kamsaidie
@godymbanyi18783 жыл бұрын
Kumbe Nabii Lema alimuonya ?
@gwaluganoa.mwakatobe31832 жыл бұрын
Godbles Lema ulipiga kweli hii simu? Ni mwaka mmoja umepita tangu ipostiwe. Iliikuwa wiki chache kuelekea uchaguzi Mkuu
@hassanissa47923 жыл бұрын
Mi baada ya kuona ishu ya sabay imepamba moto ikanibidi nirejee Kumbe mjinga sana sasa ana pay aseeh
@nyabahailani31694 жыл бұрын
Kweli kabisa lema huyo jamaa atavuna tu huyo mbwa koko atalipia tu anaona amefikia mwisho uko pumbavu tena mshamba hasa"
@bashiryamraymzimbirymzimbi79824 жыл бұрын
Kwa kipi wivu tu huo nani asiyewajua hao wabinafsi.
@polycarpsilayo66783 жыл бұрын
Lena ana hofu ya MUNGU
@allymaliki64873 жыл бұрын
Mtoto wa mjini kapatikana hahaha
@johnsonjoseph53822 жыл бұрын
Tuliokuja huku baada ya kusikiliza hukumu, Tujuane
@cactuswil20053 жыл бұрын
Lema yametimia...
@halimakari95584 жыл бұрын
Huyu kuma muhuni anapiga simu kumtega sebaya huku ana rokodi sauti ye amejiona mjanja ndie alie muua nassary yule wa kiflash walitengeneza kiflash fake.sasa nassary yuko kitaa anakunywa kahawa 2
@Antiqueqwerty-ko9ey Жыл бұрын
Sasa kumbe wewe ndo kuma
@msabahaali7582 жыл бұрын
Lema ana maono hakika kabisa
@janetmichael56113 жыл бұрын
hahahahaha kweli malipo duniani
@njombehcboreshaafya64504 жыл бұрын
Sabaya unamdhalilisha Rais unasema wewe na Lema ni wahuni? Kwa hiyo Rais anateua wahuni kuongoza watu Tobaaaaa
@godwinlordman17404 жыл бұрын
Kuna sababu ya kujiita mhuni ila miaka kama 15 hiv ijao hawa viongozi wa kuteuliwa na raisi ni wachache san wataweza kuishi hapa nich maana hata hiyo ccm aitawakubali kwa lolote
@happymbise2463 жыл бұрын
Ukipanda mchicha uvuna mchicha autavuna bangi Leo uko kisongo sabaya bay jambazi sugu wewe muhuni mkubwa ukome nailo genge lako
@gracegabriel8812 жыл бұрын
Anaye kata kwaupanga nayeye hufa kwaupanga namwenye kiburi mungu humshusha mungu amehukumu kwa haki