DJ smaa he is a real man he observes he is a calm man that's a very dangerous man those r men wanawake tunavutiwa nao u will be the one who is tripping if ur not smart woman u won't know what to do with this kind of a man In other words he is a sigma ♂️
@iam_sami3 ай бұрын
Wanao mkubal dj smaa gonga likes hpa 💪🏽🔥
@janethmafie77213 ай бұрын
I wish ningegonga like nyingi zaidi
@ibhzanzibar3 ай бұрын
Ali masubi upo sawa, sawa tu. Dj sma yupo bomba sana na henry upo vizuri sana.
@MWANGAZAbrain3 ай бұрын
Kwanza niwapongeze sns kwa kuwa wabunifu katika kuijenga jamii ya kitanzania na kiafrika kwa ujumla kwa wale wenye kujua ligha inayozungumzwa hapa' mnawafumbua walio wengi nakuwafanya tujiamini uchambuzi wenu mzuri' Natumai kwa hili ipo siku mtapewa tuzo hapa nchini na hata Africa mashariki kama si Kenya na wakenya ama vinginevyo. Tunawapenda sana kwa kazi nzuri.Msiache kuchambua tunawasikiliza kwa makini katika kila nukta.
@RaymondPaul-bs7su2 ай бұрын
Dj smaaaa ni level nyingine kabsa ....Hatimaye nadhani mmeelewa maana ya maneno ya Dj smaa.....Time will tell......nimerudi kuwakumbusha tuuu baada ya aliyosema smaaa mengi moja wapo ni hili kutimiaaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Hillary_Daudi_Mrema3 ай бұрын
Vijana acheni wivu binafsi naona umuhimu wa uwepo wa mchambuzi Ally Masubi katika mdahalo wa GPS sababu anawakilisha Kizazi cha Gene Z na kuwapa changamoto Kizazi cha Milleniaz kuanzia kwa Sky Walker, Dj Smaa na Henry Mwinuka. Big up kwa Simulizi na Sauti.
@peterilimwa57543 ай бұрын
i sallute you guys
@KekeRose-yj6re3 ай бұрын
Hennry mwinuka uko vizur sana
@HamadJuma-kj5td3 ай бұрын
Nawakbali sana GPS mpo juu sna yan✌️
@GeorgeAkasha-zx2rj3 ай бұрын
Kongole sana Henry unajua sana na unaeleweka sana.Ila all in all SNS mko vizuri DJ-SMA na Ally Masubi hongereni pia.
@MairaAlly3 ай бұрын
Ali anamadini sana Sma anamadini sana Henry anamadini sana hawa jamaa shida yao wanamadini mengi hadi yana mwagika GPS ni 🔥🔥 🔥
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Kaka sky,dj smaa Henry na ali nipo apa shabiki yenu kabisa nafuatilia hapa gps...napia tutasapoti gps innshaala tukijaaliwa ili tujifunze zaid..#tujifunzesote#tusapotianekwahiyari na upendo ili tujifunze zaid
@jkifutu79363 ай бұрын
Mupo vizur sana
@zuwenarajab66753 ай бұрын
Wagombea wa "United States of Israel" sera zao ni zile zile. Kwa mtazamo wangu hakuna mwenye afadhali.
@ziongate54643 ай бұрын
Zuwena kunywa soda kwa mangi nitalipia. Viongozi wasio na huruma na ubinadamu! Yaani wao wanajali maslahi yao kwanza. Nyinyi hata mkifa wao hawajali. Nimecheka kwa sauti Aly alivyosema "li Trump likajibu"😅😅😅
@janethmafie77213 ай бұрын
@SNS, SKY HUWA NASUBIRI KWA HAMU SANA VIDEO ZENU LAKINILEO NIMEPATA HASIRA NIMEJISIKIA VIBAYA SANA KIPINDI LEO NIMEKEREKA SANA YAANI ALLY HAPANA. Dj SMAA na kaka MWINUKA BIG UP SANA. Ally tunaomba wenzako wakiongea usiwakatishe
@salehkhamis99943 ай бұрын
Sawa zaidi sisi tunataja kusikia mnachambua siasa Za nje ya bara la African TU itakua POA zaidi
@Mrsuzuki-bq5gh3 ай бұрын
Nipo nyuma yenu kuwa sapiti umsijali kw ilo🤝
@mariusmashelle45283 ай бұрын
Aly jamaa anadetails za kutosha. Anajua mnoo 🙌
@KhafisaAli3 ай бұрын
hongereni ila Nakushaurini jitahidini musije mukanunuliwa kama zinavo nunuliwa tv nyengine tu😂
@bronykenzie23223 ай бұрын
Kupandisha interest rates inahusisha kusave hela kwenye banks au kununua government bonds sio kukopa. Henry jifunze zaidi. Matajiri now wanapeleka usd kwenye us banks au kununua government bonds kwasababu interest rate imepanda . And hyo interest rate sio 15% ni 5.5%
@Teslatizo-gcb3 ай бұрын
Nawakubal sna wachambuz wa GPS hap studio ila tafadhl naomben mnieleweshe vzr kuhusian na hli kwamb, inakuaj Marekan inaubav wa kuwakataz mataif kam Iran, Korea kaskazin, Urusi na mengin wasitengeneze silah za nuclear ingal wao, waingereza na wafaransa wanatengeneza bla kuwekewa mipak yyt ile? Tafadhalini naomben mnieleweshe iv hta ktk uchambuz mwngn. Ahsanten.
@timothykaiza3273 ай бұрын
Shati la lightblue anaongea yeye tu, DJ Sma ana madini sana pia, kwenye GPS hatumsikii sana.
@Hillary_Daudi_Mrema3 ай бұрын
Big up kwa Team ya SnS pamoja na wachambuzo wote kuanzia kwa DJ Smaa, Wakili Mwinuka na Ally Masubi kutupa Madini ya Geo Politics Analysis GPS.
@sontrillthereal81863 ай бұрын
Wakuu mko vizuri, changamoto moja, hamkai kwenye mada, yaani inaonekana mna madini mengi lakini mnapata shida namna ya kuyaongea. So bora mtu akiulizwa ajibu swali tu, asi rise vitu vingine, mjadala unakuwa mrefu lakini una cover vitu vichache
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Mim ali akiwa anachambua mala nyingi huwa simuelewagi sanasana namuelewaga sana dj smaa...au Henry lakin leo uchambuzi wa ali simuelewi..hajuw kufindisha kama ni mwalimu...japokuwa anajua vitu vingii..ila hawez kufundisha
@janethmafie77213 ай бұрын
Huwa akianzaga kuongea nashindwa kujizuia napeleka mbele
@FayeezAlbahassaney3 ай бұрын
Kaka Sma nataka nikupe mdog wangu InshaAllah
@salumadam28623 ай бұрын
😂😂😂😂 smaa chukua jiko
@FayeezAlbahassaney3 ай бұрын
@@salumadam2862 kbc ndg yng
@GraceMashinga-be9wb3 ай бұрын
Pindi pendwa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@MeddyMasuddy3 ай бұрын
jaman mie naikubali hii sns mpaka nahisi kuingia kwenye piriod yan mpaka tumbo la piriod linaanza kuniuma
@timothykaiza3273 ай бұрын
Jamaa wa shati la uwalimu wape nafasi na wengine waongee.
@Eng24603 ай бұрын
GPS🎉
@sontrillthereal81863 ай бұрын
Wengi mnamponda huyo Ally lakini kila mtu kapewa nafasi ya kutupa summary ya kile kilichoongelewa, SMA kasema yeye hakusikiliza huo mdahalo hivyo waongeaji wakawa wawili tu, na wa watu ni Sky ambaye ni muongozaji. Henry sio muongeaji sana, sasa mlitaka nani aongee? Ofcourse ni Ally, acheni atupe summary ya mjadala, muhimu abaki kwenye mada, asiongee vingine ambavyo havihusiani na mada.
@SadikiMwakisambwe-yw9cp3 ай бұрын
Bundala huyo Ally hawezi kitu
@asambakanyalusambya2493 ай бұрын
Netanyahou pamoja na Zelensky wengine ni pamoja na Biden pamoja na Macron
@GeorgeAkasha-zx2rj3 ай бұрын
Ally Masubi kaeleweka sana kwenye hii topic, hao wanaomkosoa wana upande wao.
@muhamadharun94323 ай бұрын
Mbona debate safi tu kila mtu kuongelea upande wake
@janethmafie77213 ай бұрын
Ally please Yaani hao wenzako wanajua zaidi yako na wakiongea tunawaelewa lakini wewe Sasa ndg unaongea wewe tu halafu Ndio HUJUI AAAAAH . Please jaribu kujilimit PLEASE
@muhamadharun94323 ай бұрын
Kaka ndio rahaa ya kuwepo mtu mwenye mtazamo kama ally ili debate inoge yani ni bora awepo tukubali hilo please
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Dj sma awo waisrael hao wapo laki tatu tu ndo wanaran hii dunia hata dokta sure aliwasema hao..awo ndo wanaran kila kitu...ata mungu aliwaongelea
@msuyamsuya93373 ай бұрын
Yani ninyi nawamarekani mnajiiona mjajua kushinda wao
@FadhiliAlly-fy2tx3 ай бұрын
Dj sma upo kimya vp
@Brunotarimo103 ай бұрын
William Samuel Ruto
@GraceMashinga-be9wb3 ай бұрын
Nadhan 1.zelensik 2. Maklon 3. Ramaposa 4. Huyo wa German Luto namweka nafasi ya 8
@osmanmohammedosman54933 ай бұрын
Nalikubari hili Channel hadi naumwa na tupo pamoja hâta ktk kuchangia ila nivzr mneweka na account number
@PalomaMshana3 ай бұрын
Huyo kaka mwenye shati ya blue anaongea km mwanamke 😮 Yani Hana kituo 😢 hawezi kuweka pozi Mukta mwanaume aongei ivyo huh😅 yn KUna MDA mwenzake anatoa sign y kutaka kuongea hawezi kumpisha😂 duh what a clown all those 3 men they behave how men must behave 🎉❤ aajifunze kuweka nukta duhhh😮 mwanamke wake Kazi anayo huyu anajibisha maneno hatari 😂😂😂😂
@MsangoDiesel3 ай бұрын
Ukiangalia hawa jamaa djsma anatokea kanda ya ziwa,mwinuka anatokea nyanga ya juu kusini sijajua ally masubi anatokea wapi ila hawa 2 sehemu wanaotekea vyakula vyao sio mchezo hata ukiangalia sky nae kanda ya ziwa utagundua
@AbdallahMohamed-en9ko3 ай бұрын
Kigezo gani apewe ili awe kiongozi wa nchi
@ramadhanhassan61653 ай бұрын
Kwa bado hamjui tu baideni ametengenezwa kama roboti tazama hata anavyo tembea wakatimwingine anapoteza direction 😅😅😅😅😅 nashangaa nawatu bado wana amini yule ni machine co mtu muelewe hivyo
@BigZhumbe3 ай бұрын
DT 67% vs JB 33%
@ShabiriKahamba3 ай бұрын
💣💣
@abuunesta-ct5ms3 ай бұрын
Huyu Ally masubi anapoelekea ataharibu ichi kipindi anaongea sana mpaka anakera
@godsonraphael66693 ай бұрын
Uchawi upo Hadi kwenye siasa
@kingpunzy1943 ай бұрын
Kwangu mimi majibu ya siasa za nje naona kama wote walikubaliana ku skip. Na ndio maana walitumia muda mwingi sana kujadili katika maswala ya utoaji mimba na sera ya uhamiaji. Sera ya nje ndio inayopasa kutoa kura nyingi sana. Wauliza maswali wamelimiti maswali katika upande wa Siasa za kimataifa.
@khadijaa8153 ай бұрын
Mie naona trump na Biden wote wapumzike hawafai
@SaraphinaKidoti-qe7gi3 ай бұрын
Oya smaa anakil basi ningumu kumuelewa
@fredymwanzi44483 ай бұрын
Kwani USA kwa nini wanangangania hivi vizee vyote
@iam_sami3 ай бұрын
Huu uchambuz Henry and djsmaa mmeupiga mwingi uyu ally aeleweki aisee
@Elizabeth-gq9kl3 ай бұрын
Hapokwa Ruto nakubali.
@HasanKisome3 ай бұрын
Kinacho nivutiaga Hapo ni Wachambuzi Kuwa na Mitazamo Tofauti Kutokana na Suala Moja hiyo mmefunika Tofauti na Chaneli zingine Zenye Mrengo mmoja
@espoiraklonda86643 ай бұрын
Wakwaza leo
@amemasudi57353 ай бұрын
Kw nn na hapa kwtu Tanzania pasiwe na Vyama vikuu viwili tu vikafanya Debate kuliko kupoteza Pesa nyingi maaafa na hata miundo mbinu huvurugika kwa siasa mbovu tulizo nazo tubadilike Viongozi tusiangalie matumbo yetu tu tutakwnda kuulizwa kwa Allah Kesho kiama tumuogopeni Allah
@@janethmafie7721Wewe kila sehemu upo tu, punguza chuki binafsi mpuuzi wewe.Uchambuzi hamtakiwi kuwa na sauti 1,kila mtu achague upande wake.Mjinga wewe.
@BigZhumbe3 ай бұрын
Tanzania we need presidential debate pia tujue sera za wagombea. Wagombea waulizwe though questions.
@mrdaslam3013 ай бұрын
GPS flashback
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Nikukumbushe apo kaka Henry unajuwa hata sisi mtume wetu alikabidhiwa rasmi utume kuanzia miaka 40 ...ila kwakuwa sisi umri wetu ni mdogo waanze kugombea miaka 35 mwisho miaka 60
@timothybanda32193 ай бұрын
Ndio mana siku chache kabla ya ile debate trump alitaka ifanywe drug test sababu alijua kua babu atapewa dawa za kumpa nguvu
@godfrey39263 ай бұрын
Hivi wewe wanaokulipa kuendelea kudanganya Watanzania ni nani, naona kama vile ni warusi.Hakuna mtu.ambae yupo slow na kazi ya uraisi ni kubwa sana kwake kama Trump.Anachojua ni kutukana wanawake na mtu yeyote na matusi yenyewe makubwa.Huyo kichaa utamuweka vipi kwenye uraisi..Sisi tunaoishi hapa nao tunayaona mengi..Wanaokulipa tutawaweka hapa baada ya muda
@MuzafarSaid-k8w3 ай бұрын
Mimi nnacho hisi kwamba hoja ya Ali masubi ipo sahihi coz Kuna BAADHI ya mataifa ulaya hususan Kama marekani ili uwe raisi Basi lazima uwe na ushawishi fedha,ukaribu kwa matajiri na kua na ukaribu na watu wazito.nje ya hapo wamarekani hawakupi tu urais.
@YudaMsafiri-c4j3 ай бұрын
Natamani mchambue kinachoikumba nchi ya somalia
@thefactbook...16073 ай бұрын
Tutachambua
@Elizabeth-gq9kl3 ай бұрын
Hi namba, wakenya wanawezatumiyapiya?
@djsma2553 ай бұрын
NDIO
@mudiskaina23423 ай бұрын
Baiden kama anajifunza kusema. tayar umri ushaenda ila democat hwatki wampunzishe maana wanajua malengo yao walopanga hayawezi kua
@PalomaMshana3 ай бұрын
Jmn mmemsahau Ruto KKK anastress kusave term mmoja Ni nuksi pia Zuma alitolewa Na kafeli pamoja nakuanzinza Chama chake😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂as for Ruto is worse 😂😂😂😮
@Abdulshabani-nl8xk3 ай бұрын
Naomba kuuliza kwann.marekani.ina.balozi.nchini.urusi na urusi ina baloz marekani nahali wanapigana.?
@ibrahimmakungu97113 ай бұрын
Wapo
@GeorgeAkasha-zx2rj3 ай бұрын
Kuna uhusiano mwengine wa kidiplomasia tofauti na vita
@emmanuelmmbaga52093 ай бұрын
Trump mjanja sana, hakutaka kuegemea upande wowote, maswali mazito ya GAZA na vita vya Ukraine hakutaka kujibu moja kwa moja asije akabainika yuko upande gani, ingemkost ndio maana alikuwa anakwepa kujibu kijanja😅🙏🤣😂nimeluelewa sana trump binafsi
@Brunotarimo103 ай бұрын
Trump 4 tena
@aloycekomba13 ай бұрын
Kaka sky naomba nafasi 😢 kufanya kipindi cha michezo
@thefactbook...16073 ай бұрын
Mtumie official email.thats a professional way bro.
@salehkhalfan73453 ай бұрын
"Putin pia kwa mbaali anamtia Stress Netanyahu" Dj Sma Tunaomb utuchambulie japo kwa ufupi tu
@josephwilliam58133 ай бұрын
Dj smaa lzm atafute engo ya kumtukuza putin
@salehkhalfan73453 ай бұрын
@@josephwilliam5813 Labda hzo hoja ktk hilo hvo sku akituwekea Makala yke tutaelew zaid
@josephwilliam58133 ай бұрын
@@salehkhalfan7345 mdahalo WA trump na Biden Putin anahusikaje?
@KidawaMzee-xr3mv3 ай бұрын
Mi binafsi sioni Kama baiden wa matukio ni og naona lile ni robot tu, yaani Kama utakuwa makini kunuangalia mcheki mikono yake inavyo move utagundua kitu
@GeorgeAkasha-zx2rj3 ай бұрын
Acha uchawi mkuu
@StevenTaylorx3 ай бұрын
Trump ni mbaguzi alipo sema Africa itawaliwe tena sijui aliwaza nini..
@MwazoaMwazoa3 ай бұрын
Kichaa anapigana na mlevi chakari.Hapo wote hawafai kabisa.pesa zinafanya vituko vyake tu hapo
@malongoisack58113 ай бұрын
GPS ni nn
@DANIELWILLIAM-jo5bw3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😆😆🤣🤣
@murtalla28263 ай бұрын
Moja Kati ya hasara ya kuzaliwa 90-2000 ni vijana kujiona wajuaji sana huyu dogo Ali masubwi mpaka anakera anasema yeye tuuu mpaka anachosha broSKY huyu dogo kua nae makin anatuboa bhana
@ZainabJolie3 ай бұрын
Na anapenda kumkosoa Dj smaa 😢
@mathayobmasunzu2783 ай бұрын
Mnakosea kuchagua upande... Kama haumuelew mtu fulani msikilze unae muelewa... Mdahalo wa upande mmoja hauna maana... So aly ni mtu muhim kwenye GPS... Kazi nzurii...
@Hillary_Daudi_Mrema3 ай бұрын
Acha wivu wewe kubwa jinga dhidi ya mchambuzi Ally Masubi sababu umemzidi umri ila kakuzidi maarifa. Karibu GPS uondoe ujinga
@thefactbook...16073 ай бұрын
Naitwa Ally Masubi.kunichukia nichukie lakini jina langu litamke vizuri boss.kuhusu kuongea kila mtu gps anahaki sawa ya kuongea.so chuki zako nitatizo lako.
@murtalla28263 ай бұрын
@@thefactbook...1607 hakuna chuki maana sioni ufundi mwingi kutoka kwako ninachokiona unaongea sana ile GPS inatoa nafasi kila mchambuzi kuongea kwa mda flana lakin ww unachukua hata nafasi za wenzio hujamaliza kuongea ww ushadakia tunajua ww ni wa 95 lakin hebu pevuka kidogo sikiliza wenzio kwa makin then jenga hoja
@sundaysenga76083 ай бұрын
SNS KILA KITU MNAJUWA NYINYI ONGEENI SIASA ZENU ZA TZ CONVICTED FELON NDIO ACHUKUWE NCHI USA 🇺🇸?? RACIST HUYO?
@shirimabenedict54313 ай бұрын
Tanzania siasa hazina ushindan na mvuto ccm wamejipa nafasi kubwa ya kushinda kwaiyo hakuna atakayesikiliza
@ShedrackShedrack-c2b3 ай бұрын
Nyinyi chaneliyenu ya kibinafs yenyelengo lakueneza habri zauwongo na upotoshaji hamjui nn mahana harisi ya habari mmekariatu ushabik na unazi unazi nachuki zdi yawatu hambao mnahonanyi hawako saii kiupandewenu rakin ss tuliyoko USA baden laispendwa sana kwawatu weusi nawahamiaji hanashda nass kabisa
@radjamtaki55973 ай бұрын
Elewa content kwanza ndo ukosoe,kama unataka wadifie2 c utazame BBC na CNN huku unafata nini????
@@salehkhalfan7345 we akili yako haiko sawa ufai kucomment kabisa huku mana wa2 wasio na akili ndo hua wanadeal na v2 vidogo vodogo visivyo na maana na wanaacha v2 vya msingi,nazan ulielewa ila ukosefu wako wa akili umeona hyo typing error ndo k2 cha kukosoa
@malongoisack58113 ай бұрын
Yaani wewe unaishi USA halafu hujui hata kuandika kumbe hata USA wajinga wapi
@svt33 ай бұрын
Rudi shule kwanza ujifunze ku andika, ukijuwa kuandika unaelewa wanacho ongea, go back to school education is important