MPINA AINGIA KWENYE 18 | TAZAMA WABUNGE WALIVYOMSULUBISHA HADI AKATOKA BUNGENI

  Рет қаралды 36,820

TBConline

TBConline

Ай бұрын

Пікірлер: 300
@user-vc8cc2pt7n
@user-vc8cc2pt7n 29 күн бұрын
Wabunge mungu anawaona mnasema mnalidhalilisha bunge mbn huko Dubai walipokea mlungula
@VcentPaul
@VcentPaul Ай бұрын
Mpina oyee.Tukopamoja na wananchi !!!
@user-vc8cc2pt7n
@user-vc8cc2pt7n 29 күн бұрын
Hili bunge linaubaguzi sana mtu anatetea wanyonge halafu wabunge wanamdhihaki mtetea wanyonge bunge hili la hovyo sana
@jafarieliyakim6
@jafarieliyakim6 Ай бұрын
Mimi naona alichosema mpina nikingine kinacho zengumziwa nikingine mbina hawasemi kampuni zilizopeŵa vibari
@AllyRamadhani-wl3um
@AllyRamadhani-wl3um 29 күн бұрын
Mpina uko vizuri mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
@Dominaevance
@Dominaevance 29 күн бұрын
Yaan Bunge Zima linashindwa kujadili wizi na ubadilifu uliozungumzwa then wanajadili namna taarifa ilivyowasilisha, Bunge linashangaza sana hili
@NuruMbilinyi-oe1nr
@NuruMbilinyi-oe1nr 29 күн бұрын
Pole sana mpina,nchi hii ukitaka upendwe na chama cha ccm furahia mambo ya ufisadi pia uwe mnafki,hapo udumu miaka mingi.mana kuna watu wali kuwa waza lendo na watetezi lakini wame potea
@abrahamsamweli-wg8ck
@abrahamsamweli-wg8ck Ай бұрын
Nilikuwa nakupenda Bunge ila kwasasa hapana,
@abdallahkiliaki3744
@abdallahkiliaki3744 29 күн бұрын
Hili Bunge halijielewi. Kila Mbunge anajipendekeza. Ni kw maslahi ya matumbo yao, siyo kw ajili ya wananchi.
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 Ай бұрын
Mpina Mungu yuko nawe mtetea wanyonge mnatete a matumbo yenu
@petrosukums2510
@petrosukums2510 29 күн бұрын
Ukijielewa watakusumbua sanah
@mohamedkashindi7689
@mohamedkashindi7689 28 күн бұрын
Siku zote msemaukweli hapendagwi hata yesu alinyongwa msalabani kwa ukweli wake.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Ай бұрын
Hongera sana Mh. Mpina, sisi wananchi tumekuelewa vizuri sana. Hata wakikutoa sisi wananchi tuko nawe.
@tungarazalucas1478
@tungarazalucas1478 29 күн бұрын
Acheni uongo mtafanya nn
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 29 күн бұрын
Mpina kazingua
@andreauisso3225
@andreauisso3225 29 күн бұрын
Haya mabunge ya ccm bwana yaani utasema kama vile hawakwenda shule yaani wana muuona mpina kama nijambazi na mchonganishi, ukionana kuna kunakelele nyingi kutoka ccm ujue kunajambo lina nuka hapo
@DeusLukonje
@DeusLukonje 15 күн бұрын
Nyie wabunge mungu anawaona tunawasubiri kwa hamu 2025 big up mpina .
@mikwendemakala3933
@mikwendemakala3933 29 күн бұрын
Mpina ni shujaa wa wanyonge
@AllyKipanga-sg4qb
@AllyKipanga-sg4qb Ай бұрын
Mpina usife moyo endelea kupambania wanjonge mungu yupo pamoja nawe awo wanafiki tuu kama tabasamu
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 29 күн бұрын
Mnyonge mama yako
@kingmichael1234
@kingmichael1234 28 күн бұрын
Mpina Oyeee. Watanzania wote tunakuunga mkono. Hao mafisadi wabunge wenzio na Spika wa bunge wasikuumize kichwa. Umejijengea sifa ya pekee. Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia 💯
@rugemalilalucas4533
@rugemalilalucas4533 27 күн бұрын
Mpina oyee watanganyika wako na wewe.
@loycep7785
@loycep7785 28 күн бұрын
Nyie wabunge wote mnaochangia maneno yasiyokuwa na msingi mnatetea wizi na ubadilifu wataratibu za kweli tubuni Mungu anawaona ipo siku yaja Mungu hatanyamaza mwogopeni sana aliyewaumba pamoja na sheria zenu
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 Ай бұрын
sisi wananchi tupo na mpina 🇹🇿
@mwajemwafula5777
@mwajemwafula5777 29 күн бұрын
Mpina kawatupa mbari sana 🎉🎉🎉 Mwamba
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 29 күн бұрын
Msukuma kwa elimu gani wewe ndio sehemu inayokustahili kuchangia huna unachokijua tunampenda mpina
@hamismabula9934
@hamismabula9934 29 күн бұрын
Mpina mmeshaanza kumpa jina kubwa kwa wananchi wa jimbo lake!
@josephngassa7073
@josephngassa7073 Ай бұрын
Inatakiwa katiba mpya ili bunge liwe na tija
@user-ou1ls6oj2f
@user-ou1ls6oj2f 28 күн бұрын
Wako bungeni kwa ajili ya masilahi yao bahati mbya hatukuwachagua ndiyo maana wako kwa upigaji makofi isiyo na mshiko kabisa mnapoteza tu muda na kupokea kitita
@ramadhanyassin4396
@ramadhanyassin4396 25 күн бұрын
Nyie wabunge munaomtukana mpina mungu awape adhabu
@ulomirabiel6980
@ulomirabiel6980 29 күн бұрын
Hutuwezi kukataa uzuri wa Bashe. Lakini wengi mnatumia hisia zaidi kuliko kutafuta facts. Wabunge wetu jukumu lenu liwe kumtetea mwananchi zaidi kuliko serikali. Kuweni na uhakika kama kweli Mpina alifanya hilo jambo kwa mslahi binafsi na sio maslahi ya umma.
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Ай бұрын
Mpina nimmoja wa wabunge imara na mwenye maono kwani ata alipokuwa waziri alikuwa smart sana nadhani hapo bungini waliopo ni makasha ya wabunge baadhi yao hawapo kwa ajili ya wana nchi tz bado sana tupo usingizini na hakuna mbu anaerusumbua ndio mana tulala fafefifooofooooo
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 26 күн бұрын
Kwenye jimbo lake hawampendi
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 29 күн бұрын
Wabunge wa ccm kwa hoja hiyo ya mpina wanavyo changia kwa machachali rakni maswala yanayo wagusa wananchi na kuhusu upatianaji wa katiba mpya wako kimya nyie wabunge maccm Mungu anawaona mnamuhukumu mtu anae sema ukweli wengne wengi 2025 amtorudi tena shenz zenu
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 29 күн бұрын
Mavi au wabunge, these are narcissists, who don’t know their jobs, ni kutombana tu, kuhongwa na kula hela zetu. Mutaadhibiwa mkifa washenzi nyinyi wenye akili za nzi!
@AmaniSulle
@AmaniSulle Ай бұрын
BUNGE GANI HILI ? PAMBANENI NA MAFISADI KINA BASHE' HAKUNA LOLOTE HAPO KWANZA HAMPATI KURA ACHENI KELELE
@user-vc8cc2pt7n
@user-vc8cc2pt7n 29 күн бұрын
Mnalalamika spika katukanwa mtu anatetea wanyonge kwaio wananchi tuteseke sukari tuliuziwa erfu kumi nyie wabunge mkaona sawa tu ila spika mnamtetea nyie watu wa hovyo kbs
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 Ай бұрын
Mpina usijali, waache wamama wabunge wabweke tu, kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji.
@oblemongi4195
@oblemongi4195 29 күн бұрын
Oooh kwani hapa ni wapi 😂
@makungamapalala7982
@makungamapalala7982 29 күн бұрын
Mpina uliwahi kuwa waziria awamu ya tano ukaboronga Leo acha wakuvuruge we siyo mtu kama uliwahi kupeleka rula kantini ya bunge wakakuacha ukalindwa,naunga mkono usulubiwe ww hufai
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 Ай бұрын
Huku bungeni wote ni wanafki, mnamnafkia Rais samia, na hapo mnajaribu kufunga wabunge wengine midomo ili wasiseme ukweli uliopo.
@user-fr3yx7ot9v
@user-fr3yx7ot9v Ай бұрын
Nilijua mapema Mpina hawezi kupewa ushindi kwani tangu mwanzoni Spika alionyesha Nia mbaya ya kumumiza. Mpina yuko sahihi hata mkijitetea ukweli na mkimwazibu.
@coolsinare8824
@coolsinare8824 28 күн бұрын
sikubaliani na wabunge.. ila wacha yaendelee hayo ili Mungu ajitukuze
@GivenMgani
@GivenMgani Ай бұрын
Mpina juu
@six12tv77
@six12tv77 28 күн бұрын
Hawa wabunge unaweza kuwatukana kwa hasira ukapata matatizo tu!... Yaani ni wa hovyo mno!
@tabithamoroni1639
@tabithamoroni1639 25 күн бұрын
Sanaaa
@edwinkajuna7207
@edwinkajuna7207 28 күн бұрын
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina... Wote hakuna atakayerudi hapo
@agreykayombo6119
@agreykayombo6119 28 күн бұрын
Tuna wabunge wa hovyo sana, hoja ya MSINGI ya mpina inahitaji majibu Siyo huu mjadala mnaotuletea. Mnaacha MAJUKUMU yenu ya MSINGI kuisimamia Serikali na kuwawakilisha wananchi mnabaki kukiwakilisha chama na familia zenu. Upumbavu kabisaaaaa.
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 Ай бұрын
Shida yenu ma fisi em huwa hamtaki kuelezwa ukweli
@ngusamagambo9115
@ngusamagambo9115 29 күн бұрын
mh mpinga uko sawa piga kaz
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 28 күн бұрын
Bunge ili jamani Mungu Awasaidie.
@BernardMwakipesile-nq5ze
@BernardMwakipesile-nq5ze 29 күн бұрын
Msitaje haraka laana kwa sababu nchi hii imejaaa laana kila kona dhuluma kudhalauliana kama mungu angelaani basi hakuna mtu angepona tushinyosheane sana vidole ambaye hajatenda dhambi awe wa kwanza kumpiga mwenzake
@williampaulmashoke7402
@williampaulmashoke7402 28 күн бұрын
Vipi kuhusu kesi ya Bashe ndo mmeipotezea ? Mpina ana point, hawa kuna kitu wanaitetea.
@davidmziray2048
@davidmziray2048 28 күн бұрын
Wewe msukuma ni Moja wapi wa wanufaika na biashara ya sukari
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 29 күн бұрын
Anacho kifannya Bashe kuhusiana na maendeleo ya kilimo, wakulima, na wananchi ni tija na msaada mkubwa kwa maendeleo ya wananchi na Taifa la Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Azabu kubwa anastahiki (Mpina) ili iwe fundisho kwa utomvu mkubwa wa adabu kwa spika na Bunge la Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 29 күн бұрын
Upo vizuri
@tabithamoroni1639
@tabithamoroni1639 25 күн бұрын
Huna unachokijua, fanya utafiti wa mambo kwanza kabla hujaongea hayo unayoongea
@ephraimmakaranga1795
@ephraimmakaranga1795 Ай бұрын
Mimi Nataka kujuwa Alichokisema Mpima juu sukari ni kweli au sio kweli
@Ellyosborn-fo2zk
@Ellyosborn-fo2zk Ай бұрын
si kweli maana walimpa mda alete vidhibitisho/ushaidi ukawa ni wa uongo
@magangajumanne8053
@magangajumanne8053 Ай бұрын
​@@Ellyosborn-fo2zkwewe unaona Mpina ana toa ujinga au ukweli na Kwa niaba ya watu,,,,,,shinda niiii.......
@Sostere98
@Sostere98 Ай бұрын
Yaani hii nchi ya ajabu sana, TBC hyo caption yenu imeiwekaje
@paulowilly7864
@paulowilly7864 29 күн бұрын
Na ninyi wabunge mmetudharau sisi wananchi oneni Kenya mpina usife moyo kutetea kutetea watnzania hao wanaomtetea Bashe wote ni wezi
@user-qj2fz8uq3j
@user-qj2fz8uq3j 25 күн бұрын
Ss na mpina tuko mstar mmoja tunakpenda mh mpina
@rwezimulastephen3713
@rwezimulastephen3713 29 күн бұрын
Ndivyo alivyoanguka Job Ndugai. Hakuna sababu za msingi zaidi ya ushabiki na kujipendekeza kwa aliye juu
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 Ай бұрын
furahieni majanga ya wenzenu, tusubiri nyie msiokosea, yaani malaika wasaka tonge, waoga, wanafki muendelee kula nchi. Kuku kwa mrija. Hongereni.
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 29 күн бұрын
Jamani ya kwamba kama usiposifia ww sio CCM kuweni na huruma MH mpina usirudi nyuma pambana mungu yupo pamoja na ww
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y 29 күн бұрын
Lissu alikimbia lema jonh heche, wengi tu walishindwa, mpina Njoo nje
@Godfreymlila
@Godfreymlila 29 күн бұрын
Baraza la maadili halijamtendea haki wanaki wanahusika na aliyoyasema mpina
@CristinLyanga
@CristinLyanga 22 күн бұрын
Mpina juuuuuu ,
@edwinkajuna7207
@edwinkajuna7207 28 күн бұрын
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina...
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 28 күн бұрын
Hy tuliyategemea ktk bunge hili la wala nchi
@michaelsairamagafu
@michaelsairamagafu Ай бұрын
kama yesu alipigwa na kusulubiwa na ndugu zake hatuwezi kushangaa ya Mpina
@kassimumandeleko9704
@kassimumandeleko9704 29 күн бұрын
Acheni ukuma angejibiwa hoja sake mpina hana kosa ata kidogo tulia unamuonea mpina
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Ай бұрын
Mbaki na jengo lenu Mpina ndo mkweli kazi kulindana
@josephngassa7073
@josephngassa7073 Ай бұрын
Musukuma hauko sawa una bifu tu mungu anakuona
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 29 күн бұрын
Bifu lao ni toka enzi la Magufuli
@filbertdamiani101
@filbertdamiani101 29 күн бұрын
Mpina amekosea kutoa Yale aliyowasilisha kwa spika, lakini je mjadala uendelee kuhusu Hilo la Bashe Kama kweli alifata taratibu
@dominickrukokelwa1284
@dominickrukokelwa1284 Ай бұрын
MUNGU ana kawaida ya kusubiri watu wanaoumia kumlilia ili afanye jambo. Na inachukua muda mrefu wanyonge kupata fahamu sahihi kuwa MUNGU anasubiri tu sauti ya vilio vyao kwa pamoja ndipo mtu mmoja utumwa kuja akiwa na fimbo mkononi. Hapo ndipo bahari hugawanyika pakavu pakaonekana na wanyonge huvuka.
@hamismabula9934
@hamismabula9934 29 күн бұрын
Mafisadi mbona hamyashambuliiiii!?!?!?!?
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 Ай бұрын
Mtatoka wote hapo bungeni wengine wataingia ... kama ndugai alitoka itakuwa nyie
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 28 күн бұрын
Mnatishana au mnajenga nchi mnatuchanganya sanaa
@methodrweyendera6814
@methodrweyendera6814 Ай бұрын
Mbumbu ndiyo wanasubirigi kwenye vijembe
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 22 күн бұрын
Dah....kama nije niwang'ateng'ate hapo😢😢na hasira yani😢😢😢😢
@emanueljames6798
@emanueljames6798 29 күн бұрын
Yaan mmh sisemi lkn Mh Mpina piga kazi
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 26 күн бұрын
Hawa wanaochangia naona kama wameandaliwa na pia kama wana chuki binafsi ndani yao,lkn God is Great always..I stand with Mpina forever with no disrespect for the parliament..
@ZionEmanuel-ne8ob
@ZionEmanuel-ne8ob 28 күн бұрын
Bunge la Tanzania wakiwa busy na kazi daaah Mungu atusaidie sana.
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 17 күн бұрын
Sidhani if my lovely Mp mpina atarudi bungeni
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 29 күн бұрын
Wabunge wengi ni wanafiki sana
@LuganoMwakalo
@LuganoMwakalo Ай бұрын
Bunge la ovyo sana hili msema ukweli huunguzwa
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Ай бұрын
Wewe ndiye mtu wa hovyo sana usiyefikiria unayepelekwapelekwa tu kama bwege
@tungarazalucas1478
@tungarazalucas1478 29 күн бұрын
Leo wachangiaji wengi ndo mjue tuna bunge la aina gani
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 25 күн бұрын
Ila nadhani mnajua uvumilivu unamwisho kule kenya mmeona vizuri kilichotokea cheo ni dhamana
@ThomasiMatoke-hm3dr
@ThomasiMatoke-hm3dr 26 күн бұрын
Nyie wabunge waking sana mko hp kwa ajiri ya wtz au mko kwa masilai yenu
@EmmanuelKitulla
@EmmanuelKitulla Ай бұрын
Kwani wachangiaji hao ni watanzania au?
@tabithamoroni1639
@tabithamoroni1639 25 күн бұрын
Yaani kama wametoka nje ya nchi hwawana uchungu hata kidogo
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y 29 күн бұрын
Wanaona sisi ni mazuzu, ila one day yes
@josephkalwani
@josephkalwani 24 күн бұрын
Ila watz bwana huwa ni wanafiki sana😅😅😅😅
@user-vy5kn6nz4l
@user-vy5kn6nz4l 15 күн бұрын
Mnalidhallilisha bunge na kutoliheshimisha bunge tutaonana uchaguzi ujao,Mlio msulubisha mpina tumewaona
@CristinLyanga
@CristinLyanga 22 күн бұрын
Yaan,sitamani hata kusikiliza hili bunge,yaani mnaita mwenzenu mnafiki nafiki kwa kusema ukweli ,duuu kweli,
@mkdechampion2097
@mkdechampion2097 29 күн бұрын
kuna chakujifunza nanii
@grelightmushi6106
@grelightmushi6106 29 күн бұрын
Sukari bei gani? Au mnamionea mpina
@ephremmtuya3094
@ephremmtuya3094 Ай бұрын
ila Gwajima huongea kwa utulivu na hutoa point za msingi kabisa
@ZionEmanuel-ne8ob
@ZionEmanuel-ne8ob 28 күн бұрын
Sifuatilii bunge tenaaa na nitakua mtu wa masumbwi movie na miziki tu sitaki tena mimi kama ndio wabunge wako hivi aseee.
@mh9251
@mh9251 27 күн бұрын
Ise kweli bunge letu inaheshima, inaongea lugha yenye kutoa heshima. Tukiangalia bunge la jirani ni hovyo. Lugha mchanganyiko. Maneno yanarushwa hovyo. Hi ni bunge mfano katika bara nzima la Africa na pengine duniani kote.
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 27 күн бұрын
Yani wabunge wa hiki chama ni ovyo kweli😢😢😢😢😢😢
@kingmichael1234
@kingmichael1234 28 күн бұрын
Bunge la Tanzania ni la mafisadi watupu. Haliko hapo kwa kuwawakilisha wananchi. Liko hapo kwa kuwanufaisha wabunge na mawaziri wezi
@AtuganileGodson
@AtuganileGodson 20 күн бұрын
Waache waamue wanavyotaka,ila wanatakiwa kukumbuka Kenya kitaendelea nini?maana wabunge WA Kenya kwa sasa vikao ni vya moto.Haki itendeke nyakati zote
@MichaelMnkande-zc9it
@MichaelMnkande-zc9it 27 күн бұрын
Mh kwel chama kimoja cmchezo
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 28 күн бұрын
Kigezo cha kuchaguliwa mbuge kirekebishwe kujua kusoma na kuandika pekee hakutoshi kuwa mwakilishi unaona kabisa tofauti ya mbunge msomi na darasa la saba .
@AlexMkwama
@AlexMkwama 29 күн бұрын
Ukitaka kufanikiwa ,uwe na uchawa, ila ukiwa mkweli hutapendwa. Sheria ni ngumu sana.
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 26 күн бұрын
Nani alikuambia mpina anapendwa kwenye jimbo lake tuulize sisi
@AlexMkwama
@AlexMkwama 25 күн бұрын
@@mzalendomzalendo2567 Hoja Yake ni KITAIFA na sio kijimbo
@user-dv8kp1ov8j
@user-dv8kp1ov8j Ай бұрын
Ipo siku yenu
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 Ай бұрын
Mpina wala usijali, sisi wananchi tunakuelewa, na pia elewa kuwa hapo unapikwa, dhahabu haiwezi kuwa dhahabu bila kuingia kwenye tanuru ya moto Hivyo jitahidi kuwa chura.
@user-ro8ff3jj3q
@user-ro8ff3jj3q Ай бұрын
Msukuma huna kura mwakani
@abdulmvungi9609
@abdulmvungi9609 Ай бұрын
Acha ubibi wewe
@willisonbuhanza7295
@willisonbuhanza7295 29 күн бұрын
​@@abdulmvungi9609😂
@babukije268
@babukije268 Ай бұрын
Kweli wabunge hamnazo
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 115 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 9 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 6 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 115 МЛН