Mpina uko vizuri mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
@Dominaevance29 күн бұрын
Yaan Bunge Zima linashindwa kujadili wizi na ubadilifu uliozungumzwa then wanajadili namna taarifa ilivyowasilisha, Bunge linashangaza sana hili
@NuruMbilinyi-oe1nr29 күн бұрын
Pole sana mpina,nchi hii ukitaka upendwe na chama cha ccm furahia mambo ya ufisadi pia uwe mnafki,hapo udumu miaka mingi.mana kuna watu wali kuwa waza lendo na watetezi lakini wame potea
@abrahamsamweli-wg8ckАй бұрын
Nilikuwa nakupenda Bunge ila kwasasa hapana,
@abdallahkiliaki374429 күн бұрын
Hili Bunge halijielewi. Kila Mbunge anajipendekeza. Ni kw maslahi ya matumbo yao, siyo kw ajili ya wananchi.
@hildandumbalo5827Ай бұрын
Mpina Mungu yuko nawe mtetea wanyonge mnatete a matumbo yenu
@petrosukums251029 күн бұрын
Ukijielewa watakusumbua sanah
@mohamedkashindi768928 күн бұрын
Siku zote msemaukweli hapendagwi hata yesu alinyongwa msalabani kwa ukweli wake.
@malugukushaha6764Ай бұрын
Hongera sana Mh. Mpina, sisi wananchi tumekuelewa vizuri sana. Hata wakikutoa sisi wananchi tuko nawe.
@tungarazalucas147829 күн бұрын
Acheni uongo mtafanya nn
@gabrielmoses686029 күн бұрын
Mpina kazingua
@andreauisso322529 күн бұрын
Haya mabunge ya ccm bwana yaani utasema kama vile hawakwenda shule yaani wana muuona mpina kama nijambazi na mchonganishi, ukionana kuna kunakelele nyingi kutoka ccm ujue kunajambo lina nuka hapo
@DeusLukonje15 күн бұрын
Nyie wabunge mungu anawaona tunawasubiri kwa hamu 2025 big up mpina .
@mikwendemakala393329 күн бұрын
Mpina ni shujaa wa wanyonge
@AllyKipanga-sg4qbАй бұрын
Mpina usife moyo endelea kupambania wanjonge mungu yupo pamoja nawe awo wanafiki tuu kama tabasamu
@salehesalehe296729 күн бұрын
Mnyonge mama yako
@kingmichael123428 күн бұрын
Mpina Oyeee. Watanzania wote tunakuunga mkono. Hao mafisadi wabunge wenzio na Spika wa bunge wasikuumize kichwa. Umejijengea sifa ya pekee. Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia 💯
@rugemalilalucas453327 күн бұрын
Mpina oyee watanganyika wako na wewe.
@loycep778528 күн бұрын
Nyie wabunge wote mnaochangia maneno yasiyokuwa na msingi mnatetea wizi na ubadilifu wataratibu za kweli tubuni Mungu anawaona ipo siku yaja Mungu hatanyamaza mwogopeni sana aliyewaumba pamoja na sheria zenu
@dominicfrancis4073Ай бұрын
sisi wananchi tupo na mpina 🇹🇿
@mwajemwafula577729 күн бұрын
Mpina kawatupa mbari sana 🎉🎉🎉 Mwamba
@meryshekoloa96129 күн бұрын
Msukuma kwa elimu gani wewe ndio sehemu inayokustahili kuchangia huna unachokijua tunampenda mpina
@hamismabula993429 күн бұрын
Mpina mmeshaanza kumpa jina kubwa kwa wananchi wa jimbo lake!
@josephngassa7073Ай бұрын
Inatakiwa katiba mpya ili bunge liwe na tija
@user-ou1ls6oj2f28 күн бұрын
Wako bungeni kwa ajili ya masilahi yao bahati mbya hatukuwachagua ndiyo maana wako kwa upigaji makofi isiyo na mshiko kabisa mnapoteza tu muda na kupokea kitita
@ramadhanyassin439625 күн бұрын
Nyie wabunge munaomtukana mpina mungu awape adhabu
@ulomirabiel698029 күн бұрын
Hutuwezi kukataa uzuri wa Bashe. Lakini wengi mnatumia hisia zaidi kuliko kutafuta facts. Wabunge wetu jukumu lenu liwe kumtetea mwananchi zaidi kuliko serikali. Kuweni na uhakika kama kweli Mpina alifanya hilo jambo kwa mslahi binafsi na sio maslahi ya umma.
@abdallahmmary8591Ай бұрын
Mpina nimmoja wa wabunge imara na mwenye maono kwani ata alipokuwa waziri alikuwa smart sana nadhani hapo bungini waliopo ni makasha ya wabunge baadhi yao hawapo kwa ajili ya wana nchi tz bado sana tupo usingizini na hakuna mbu anaerusumbua ndio mana tulala fafefifooofooooo
@mzalendomzalendo256726 күн бұрын
Kwenye jimbo lake hawampendi
@faustinebahenobi341229 күн бұрын
Wabunge wa ccm kwa hoja hiyo ya mpina wanavyo changia kwa machachali rakni maswala yanayo wagusa wananchi na kuhusu upatianaji wa katiba mpya wako kimya nyie wabunge maccm Mungu anawaona mnamuhukumu mtu anae sema ukweli wengne wengi 2025 amtorudi tena shenz zenu
@AdamSaffi21129 күн бұрын
Mavi au wabunge, these are narcissists, who don’t know their jobs, ni kutombana tu, kuhongwa na kula hela zetu. Mutaadhibiwa mkifa washenzi nyinyi wenye akili za nzi!
@AmaniSulleАй бұрын
BUNGE GANI HILI ? PAMBANENI NA MAFISADI KINA BASHE' HAKUNA LOLOTE HAPO KWANZA HAMPATI KURA ACHENI KELELE
@user-vc8cc2pt7n29 күн бұрын
Mnalalamika spika katukanwa mtu anatetea wanyonge kwaio wananchi tuteseke sukari tuliuziwa erfu kumi nyie wabunge mkaona sawa tu ila spika mnamtetea nyie watu wa hovyo kbs
Mpina uliwahi kuwa waziria awamu ya tano ukaboronga Leo acha wakuvuruge we siyo mtu kama uliwahi kupeleka rula kantini ya bunge wakakuacha ukalindwa,naunga mkono usulubiwe ww hufai
@mayrfrimi4759Ай бұрын
Huku bungeni wote ni wanafki, mnamnafkia Rais samia, na hapo mnajaribu kufunga wabunge wengine midomo ili wasiseme ukweli uliopo.
@user-fr3yx7ot9vАй бұрын
Nilijua mapema Mpina hawezi kupewa ushindi kwani tangu mwanzoni Spika alionyesha Nia mbaya ya kumumiza. Mpina yuko sahihi hata mkijitetea ukweli na mkimwazibu.
@coolsinare882428 күн бұрын
sikubaliani na wabunge.. ila wacha yaendelee hayo ili Mungu ajitukuze
@GivenMganiАй бұрын
Mpina juu
@six12tv7728 күн бұрын
Hawa wabunge unaweza kuwatukana kwa hasira ukapata matatizo tu!... Yaani ni wa hovyo mno!
@tabithamoroni163925 күн бұрын
Sanaaa
@edwinkajuna720728 күн бұрын
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina... Wote hakuna atakayerudi hapo
@agreykayombo611928 күн бұрын
Tuna wabunge wa hovyo sana, hoja ya MSINGI ya mpina inahitaji majibu Siyo huu mjadala mnaotuletea. Mnaacha MAJUKUMU yenu ya MSINGI kuisimamia Serikali na kuwawakilisha wananchi mnabaki kukiwakilisha chama na familia zenu. Upumbavu kabisaaaaa.
@evansdecaprio8196Ай бұрын
Shida yenu ma fisi em huwa hamtaki kuelezwa ukweli
@ngusamagambo911529 күн бұрын
mh mpinga uko sawa piga kaz
@humphreybilly743728 күн бұрын
Bunge ili jamani Mungu Awasaidie.
@BernardMwakipesile-nq5ze29 күн бұрын
Msitaje haraka laana kwa sababu nchi hii imejaaa laana kila kona dhuluma kudhalauliana kama mungu angelaani basi hakuna mtu angepona tushinyosheane sana vidole ambaye hajatenda dhambi awe wa kwanza kumpiga mwenzake
@williampaulmashoke740228 күн бұрын
Vipi kuhusu kesi ya Bashe ndo mmeipotezea ? Mpina ana point, hawa kuna kitu wanaitetea.
@davidmziray204828 күн бұрын
Wewe msukuma ni Moja wapi wa wanufaika na biashara ya sukari
@sasha-ri7tf29 күн бұрын
Anacho kifannya Bashe kuhusiana na maendeleo ya kilimo, wakulima, na wananchi ni tija na msaada mkubwa kwa maendeleo ya wananchi na Taifa la Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Azabu kubwa anastahiki (Mpina) ili iwe fundisho kwa utomvu mkubwa wa adabu kwa spika na Bunge la Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@gabrielmoses686029 күн бұрын
Upo vizuri
@tabithamoroni163925 күн бұрын
Huna unachokijua, fanya utafiti wa mambo kwanza kabla hujaongea hayo unayoongea
@ephraimmakaranga1795Ай бұрын
Mimi Nataka kujuwa Alichokisema Mpima juu sukari ni kweli au sio kweli
@Ellyosborn-fo2zkАй бұрын
si kweli maana walimpa mda alete vidhibitisho/ushaidi ukawa ni wa uongo
@magangajumanne8053Ай бұрын
@@Ellyosborn-fo2zkwewe unaona Mpina ana toa ujinga au ukweli na Kwa niaba ya watu,,,,,,shinda niiii.......
@Sostere98Ай бұрын
Yaani hii nchi ya ajabu sana, TBC hyo caption yenu imeiwekaje
@paulowilly786429 күн бұрын
Na ninyi wabunge mmetudharau sisi wananchi oneni Kenya mpina usife moyo kutetea kutetea watnzania hao wanaomtetea Bashe wote ni wezi
@user-qj2fz8uq3j25 күн бұрын
Ss na mpina tuko mstar mmoja tunakpenda mh mpina
@rwezimulastephen371329 күн бұрын
Ndivyo alivyoanguka Job Ndugai. Hakuna sababu za msingi zaidi ya ushabiki na kujipendekeza kwa aliye juu
@mayrfrimi4759Ай бұрын
furahieni majanga ya wenzenu, tusubiri nyie msiokosea, yaani malaika wasaka tonge, waoga, wanafki muendelee kula nchi. Kuku kwa mrija. Hongereni.
@meryshekoloa96129 күн бұрын
Jamani ya kwamba kama usiposifia ww sio CCM kuweni na huruma MH mpina usirudi nyuma pambana mungu yupo pamoja na ww
@user-my7fj6wn7y29 күн бұрын
Lissu alikimbia lema jonh heche, wengi tu walishindwa, mpina Njoo nje
@Godfreymlila29 күн бұрын
Baraza la maadili halijamtendea haki wanaki wanahusika na aliyoyasema mpina
@CristinLyanga22 күн бұрын
Mpina juuuuuu ,
@edwinkajuna720728 күн бұрын
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina...
@michaelmaziku99128 күн бұрын
Hy tuliyategemea ktk bunge hili la wala nchi
@michaelsairamagafuАй бұрын
kama yesu alipigwa na kusulubiwa na ndugu zake hatuwezi kushangaa ya Mpina
@kassimumandeleko970429 күн бұрын
Acheni ukuma angejibiwa hoja sake mpina hana kosa ata kidogo tulia unamuonea mpina
@PaskaliCharles-pz8dsАй бұрын
Mbaki na jengo lenu Mpina ndo mkweli kazi kulindana
@josephngassa7073Ай бұрын
Musukuma hauko sawa una bifu tu mungu anakuona
@gabrielmoses686029 күн бұрын
Bifu lao ni toka enzi la Magufuli
@filbertdamiani10129 күн бұрын
Mpina amekosea kutoa Yale aliyowasilisha kwa spika, lakini je mjadala uendelee kuhusu Hilo la Bashe Kama kweli alifata taratibu
@dominickrukokelwa1284Ай бұрын
MUNGU ana kawaida ya kusubiri watu wanaoumia kumlilia ili afanye jambo. Na inachukua muda mrefu wanyonge kupata fahamu sahihi kuwa MUNGU anasubiri tu sauti ya vilio vyao kwa pamoja ndipo mtu mmoja utumwa kuja akiwa na fimbo mkononi. Hapo ndipo bahari hugawanyika pakavu pakaonekana na wanyonge huvuka.
@hamismabula993429 күн бұрын
Mafisadi mbona hamyashambuliiiii!?!?!?!?
@dismaslalubare4196Ай бұрын
Mtatoka wote hapo bungeni wengine wataingia ... kama ndugai alitoka itakuwa nyie
@user-ig5yn4zp2u28 күн бұрын
Mnatishana au mnajenga nchi mnatuchanganya sanaa
@methodrweyendera6814Ай бұрын
Mbumbu ndiyo wanasubirigi kwenye vijembe
@tumainikomba900822 күн бұрын
Dah....kama nije niwang'ateng'ate hapo😢😢na hasira yani😢😢😢😢
@emanueljames679829 күн бұрын
Yaan mmh sisemi lkn Mh Mpina piga kazi
@emmanuelmayunga151826 күн бұрын
Hawa wanaochangia naona kama wameandaliwa na pia kama wana chuki binafsi ndani yao,lkn God is Great always..I stand with Mpina forever with no disrespect for the parliament..
@ZionEmanuel-ne8ob28 күн бұрын
Bunge la Tanzania wakiwa busy na kazi daaah Mungu atusaidie sana.
@joycmsokile922017 күн бұрын
Sidhani if my lovely Mp mpina atarudi bungeni
@rabsonchisumo664029 күн бұрын
Wabunge wengi ni wanafiki sana
@LuganoMwakaloАй бұрын
Bunge la ovyo sana hili msema ukweli huunguzwa
@walidmgonja3644Ай бұрын
Wewe ndiye mtu wa hovyo sana usiyefikiria unayepelekwapelekwa tu kama bwege
@tungarazalucas147829 күн бұрын
Leo wachangiaji wengi ndo mjue tuna bunge la aina gani
@meshacknyandongo57725 күн бұрын
Ila nadhani mnajua uvumilivu unamwisho kule kenya mmeona vizuri kilichotokea cheo ni dhamana
@ThomasiMatoke-hm3dr26 күн бұрын
Nyie wabunge waking sana mko hp kwa ajiri ya wtz au mko kwa masilai yenu
@EmmanuelKitullaАй бұрын
Kwani wachangiaji hao ni watanzania au?
@tabithamoroni163925 күн бұрын
Yaani kama wametoka nje ya nchi hwawana uchungu hata kidogo
@user-my7fj6wn7y29 күн бұрын
Wanaona sisi ni mazuzu, ila one day yes
@josephkalwani24 күн бұрын
Ila watz bwana huwa ni wanafiki sana😅😅😅😅
@user-vy5kn6nz4l15 күн бұрын
Mnalidhallilisha bunge na kutoliheshimisha bunge tutaonana uchaguzi ujao,Mlio msulubisha mpina tumewaona
@CristinLyanga22 күн бұрын
Yaan,sitamani hata kusikiliza hili bunge,yaani mnaita mwenzenu mnafiki nafiki kwa kusema ukweli ,duuu kweli,
@mkdechampion209729 күн бұрын
kuna chakujifunza nanii
@grelightmushi610629 күн бұрын
Sukari bei gani? Au mnamionea mpina
@ephremmtuya3094Ай бұрын
ila Gwajima huongea kwa utulivu na hutoa point za msingi kabisa
@ZionEmanuel-ne8ob28 күн бұрын
Sifuatilii bunge tenaaa na nitakua mtu wa masumbwi movie na miziki tu sitaki tena mimi kama ndio wabunge wako hivi aseee.
@mh925127 күн бұрын
Ise kweli bunge letu inaheshima, inaongea lugha yenye kutoa heshima. Tukiangalia bunge la jirani ni hovyo. Lugha mchanganyiko. Maneno yanarushwa hovyo. Hi ni bunge mfano katika bara nzima la Africa na pengine duniani kote.
@lucymsheshi587127 күн бұрын
Yani wabunge wa hiki chama ni ovyo kweli😢😢😢😢😢😢
@kingmichael123428 күн бұрын
Bunge la Tanzania ni la mafisadi watupu. Haliko hapo kwa kuwawakilisha wananchi. Liko hapo kwa kuwanufaisha wabunge na mawaziri wezi
@AtuganileGodson20 күн бұрын
Waache waamue wanavyotaka,ila wanatakiwa kukumbuka Kenya kitaendelea nini?maana wabunge WA Kenya kwa sasa vikao ni vya moto.Haki itendeke nyakati zote
@MichaelMnkande-zc9it27 күн бұрын
Mh kwel chama kimoja cmchezo
@wennceslausmushi235628 күн бұрын
Kigezo cha kuchaguliwa mbuge kirekebishwe kujua kusoma na kuandika pekee hakutoshi kuwa mwakilishi unaona kabisa tofauti ya mbunge msomi na darasa la saba .
@AlexMkwama29 күн бұрын
Ukitaka kufanikiwa ,uwe na uchawa, ila ukiwa mkweli hutapendwa. Sheria ni ngumu sana.
@mzalendomzalendo256726 күн бұрын
Nani alikuambia mpina anapendwa kwenye jimbo lake tuulize sisi
@AlexMkwama25 күн бұрын
@@mzalendomzalendo2567 Hoja Yake ni KITAIFA na sio kijimbo
@user-dv8kp1ov8jАй бұрын
Ipo siku yenu
@mayrfrimi4759Ай бұрын
Mpina wala usijali, sisi wananchi tunakuelewa, na pia elewa kuwa hapo unapikwa, dhahabu haiwezi kuwa dhahabu bila kuingia kwenye tanuru ya moto Hivyo jitahidi kuwa chura.