HANNIBAL DIRECTIVE Unaijua? SIRI nzito zaibuka shambulio la HAMAS la OCT 7 • HANNIBAL DIRECTIVE Una... Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...
Пікірлер: 59
@HumuZaidi-t4q28 минут бұрын
Mimi nimkazi wa Burundi napendaga sana jinsi GPS mnavocambuwa habari wacambuzi wako vizuri sana napendaga jinsi Aly masubi anavozungumza
@SarhaSaid4 сағат бұрын
Kaka simaa ipo siku watakuelewa inshaallah
@emmanuelShayo-dk6vf4 сағат бұрын
Wapeleke motooo
@HalimaGalgalo-d1g2 сағат бұрын
Yes imekuwa very harsh
@yahayaannu366345 минут бұрын
Bg up DJ smaa ✊🎉
@AFRICA_D6695 сағат бұрын
October 7 siku ambayo ilifanya nipate kujuwa dora moja La kiparestine 'HAMAS' sikumaliza Wiki nkagundua kumbe kuna wamba zaidi ya Hamas kutokea pande za kusin, miezi ikakatika, nikapata kufahamu ukubwa Wa kipower cha Iran kumbe ana wamba wengine wanao sumbuwa Mediterranean houth asia pacific houthi, hayo yote nisingeyajuwa pasipo Hamas kuonesha umafia wao
@KhamisRajab-pt1wiСағат бұрын
Swadakta allah awalinde hamas na waislam wote ulimwenguni atujaalie ushindi na kusimama kwa dola tukufu ya kiislam kutokea apo parestine
@AFRICA_D6695 сағат бұрын
October 7 siku ambayo nilipata kumjuwa jasusi mmoja kutoka nyanda za mashariki ya kati "Neta bibi"pia nikapata kumjuwa kiongozi mwenye misimamo mikali hajawahi kutokea😂hakutaka mazoweya na mzungu rip raisi Ibrahim raisi😩😭,siku zilivyo zidi kwenda nikapata kufahamu kumbe Iran kauli ya mwisho siyo ya raisi kama tulivyo zoea😂kuna kiumbe hatarishi dah
@MohamedAhmada-ie7ke5 сағат бұрын
Mwaka saaa malengo yao ya kuimaliza Hamas hayaja fanikiwa na bado moto unawaka, japo wanauwa watoto na wanawake ila hamas hawakat tamaa mbaka malengo yafikiwe
@Tgn-i3s3 сағат бұрын
Hii n tarehe ya kihistoria sana ,07 Oct
@oswardsmutahangarwa4 сағат бұрын
Kati yenu Kuna mtu atacorapt kichwa hii sio kawaida👏
@salehkhalfan73455 сағат бұрын
Kufa kwa Imamu sio mwisho wa Ibada..
@emmanuelShayo-dk6vf4 сағат бұрын
Hao mateka hawapo tena
@PapaabdouAli5 сағат бұрын
Ahasante Wana wa SNS , Mimi nnasema Hakuna Umoja wa Mataifa , Hakuna Haki Zakibinadamu , Uko Msemo Mnyonge Hanahaki Mpaka Mwenye Nguvu Apende 100% . Kama hapa visiwa vya KOMORO na UFARASA na Kisiwa cha Mayotte , Operation Wanbushu !!!!
@ReyzDon3 сағат бұрын
sijui hawa Israel huwa wanawaza Nn labda
@christinewomanoffaith5479Сағат бұрын
Au hao walowavamia walikuwa wanawaza nn
@bbanyikwa4 сағат бұрын
7 OCTOBER siku yangu ya kuzaliwa ❤❤❤HAPPY BIRTHDAY TO ME🎉🎉🎉🎉🎉
@yolo526112 минут бұрын
Happy birthday to you 🎂
@yassinphonyogo234750 минут бұрын
Henr yupo wap
@karimmunis830238 минут бұрын
Its true .. mbona hata aljazeera walirusha makala kuwa asilimia kubwa ya mateka waliuliwa na jeshi la idf
@MikelSitoe4 сағат бұрын
Sasa Netanyau Alikua anakimbia nini? yeye sio Mungu? 😂 😂 😂 😂
@AFRICA_D6695 сағат бұрын
Wakwanza kutoka upande wa falme za kiarabu, hivi wangapi wanajua Leo ndio October saba, siku ambayo mungu alikuwa amelala maana sio rahisi kulifanyia umafia taifa alilo chagua lituwakilishe 😊
@wadantz1235 сағат бұрын
😂😂😂😂leo cjasikia kauli yako ya enzi za uhai wako 😂😂😂
@MikelSitoe5 сағат бұрын
Mungu kulala Tena?
@AFRICA_D6695 сағат бұрын
@@wadantz123 dah😂😂,hyo kauli hyo nilikuwa napenda sana kuitumia enzi za uhai Wangu 😊
@AFRICA_D6695 сағат бұрын
@@MikelSitoe ndio mungu wakiyahud
@wadantz1234 сағат бұрын
@@AFRICA_D669 eeeeh umeanza tena
@ReyzDon3 сағат бұрын
Vitu vyote vinavyotokea Vilipangwa mapema
@fistonmakasi3803Сағат бұрын
Dunia iko mwisho unabii unatimia
@yassinmohamed82415 сағат бұрын
Muislam hata wakifa elfu10 kwajiri ya kupigania haki yao kufa katika jihadi ni kheri kwao ila kwa mazayuni hata wakifa 10tu nifuraha maana hao ni motoni milele
@RapaFata3 сағат бұрын
Jidanganye shekh. Hizo akili za madrasa funguka akili hakuna dini ya kupiganiwa ufe huo ni utumwa
@Zanzibar-LandOfBlacks2 сағат бұрын
@@RapaFatahata wewe ni mtumwa wa fikra za wapagani wa kimagharibi, amka weweee.
@christinewomanoffaith5479Сағат бұрын
Uislam ni shida, wanaabudu demon's ndo maana kujilipua ,kujua wengine hawaoni shida
@christinewomanoffaith5479Сағат бұрын
@@RapaFata😂
@RapaFataСағат бұрын
@@christinewomanoffaith5479 nimesoma hiyo dini. Ni lazima uwe na wazimu ndio uifuatishe. Hakuna cha maana ebu ona eti ukifa unaenda mbinguni ukipigania dini. Ina maana unamlinda Mungu kwa bunduki na yeye hajiwezi
@ShedrackShedrack-c2b2 сағат бұрын
Dunia ili iwenahaman wa Islam wote wafewote
@abdallahkilima1584Сағат бұрын
Afe mamako Kwanza
@dorcaskarago28763 сағат бұрын
Hammas ndiyo walianza kuwaua watu wasio na hatia
@FranckDaniel-cc5rgСағат бұрын
Smaa endelea kutuletea fuse uko kimya sana sku iz
@KupelekaEnock5 сағат бұрын
Ila Leo ndio nimejua MBONA AJIBU ILO SWALI LA AMASI KUFANYA MAUWAJI MMMMMM BUNDALA UPO SAWA KULIKO WOTE
@FranckDaniel-cc5rg2 сағат бұрын
Smaa akili yako ni kubwa,hao wenzako Hawana uwezo wa kutoka nje ya box hawafatilii mambo
@birianination7097Сағат бұрын
Kwani Gaza inaongozwa nani
@abdullahmapesaСағат бұрын
Na hamas
@ShedrackShedrack-c2b2 сағат бұрын
Vta vyote vinavyo lenga ugaidi duniani kwate waislamu wanauska mojakwamoja sababu kilasku hawafundish hamani wanafundisha itkad kali wanasngizia kupgania haki kumbe lengo laiyo dini nikueneza itikadi kali
@KhamisRajab-pt1wiСағат бұрын
Kwahiyo wanao eneza ushoga wako sawa jitafakari ndugu yng
@ShedrackShedrack-c2b2 сағат бұрын
Watu wapalestn mchawiwao ni dini ya kiislam hinafundisha ugaidi na itikadi kali
@mussaabobakar75372 сағат бұрын
Hamna kufundisha ivo ni mawazo yako tu
@MbendaHalfanСағат бұрын
Shadrack wewe bado upo kwenye upumbavu kabisa yaani inaoneka ujitambui umebaki na Udini tu na unafikili wayahudi ni wakristo kama wewe pumbavu we
@Brunotarimo10Сағат бұрын
Israel ni nchii ya uuwaji
@birianination7097Сағат бұрын
Sasa leo kenya waje bongo wauwe raia 1000 kisha wafunge miili ya watu hao na kuizungusha kenya huku raia waki furahia. Hapo bongo tufanyaje
@Brunotarimo10Сағат бұрын
@@birianination7097 Amas walikua tayari wabadilishane mateka ili vita fiishe Israel akakataa, Nani mwenye makosa hapo.
@birianination7097Сағат бұрын
@@Brunotarimo10 nije kwako niue watoto wako alafu nikuambie njoo uchukue mkeo ugonvi uishe😂😂. Ndugu mambo sio marahisi kiivyo.
@HamzaMbasha-xs2ky54 минут бұрын
@@birianination7097unataka kwanza ujue wapalestina kufanya vile ni wameshauliwa sana sana pale ilikuwa ni kulipa tuu kisasi.....