GPS: URAFIKI wa PUTIN na JINPING unavyozipa nguvu URUSI na CHINA na kuwatisha US na Wenzake (Part 2)

  Рет қаралды 11,703

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

28 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 217
@Nasbakr
@Nasbakr 26 күн бұрын
Masha Allah sma kwa aya yako ya hofu
@osmanmohammedosman5493
@osmanmohammedosman5493 26 күн бұрын
Nilikua nimekaa nasubiri hii part 2 ❤
@nassibkahindi4400
@nassibkahindi4400 26 күн бұрын
listenimg from kenya, sns, the only place i get to learn from, the world... yani mnajua hadi bax tu
@bethkonga7944
@bethkonga7944 26 күн бұрын
Hii think tank ni nzuri hasa kwa vijana wa Africa ila naomba cku zijazo waaliken wanadipromasia wetu kama mabaloz kama kuna namna yakuwapata watu wa usalama hasa vijana kama kinapolepole waje tuongee na mshauliane hapo
@Nasbakr
@Nasbakr 26 күн бұрын
Masha Allah, u guys mmetisha!! Henry nae yupo vzr krb sns
@yohana4kitila248
@yohana4kitila248 26 күн бұрын
Gps nimeipenda sana. Naomba sana mjitahidi mtumie kiswahili fasaha , mnajisahau mnajikuta mnachanganya sana kiingereza wengine mnawaacha maana zingine hawajui. Kwa ujumla Gps kweli inaona Kila Kona . MB zangu naona inaisha Kwa chakula Cha faida.🙏
@RaphaelJickson
@RaphaelJickson 25 күн бұрын
Umenena kweli mswahili
@nzungushikombesekei
@nzungushikombesekei 26 күн бұрын
😢Ninyi vijana mko vizuri Sana sijaona kama Ninyi mnavyodadavua Uzarendo wenu uko vizuri Sana mnahiyaji kuungwa mkono kila Kona.
@JumaSJuma
@JumaSJuma 26 күн бұрын
Nawakubali Sana Hawa jamaa na uchambuzi wao
@mwanahamisrashid7787
@mwanahamisrashid7787 26 күн бұрын
Mashallah yn mmeupiga mwingi mpk unamwagika GPS haichoshi mungu awabariki Sana tumeyajua mengi 🙌🙌🙌🔥🔥🔥
@niyonkuruasman
@niyonkuruasman 26 күн бұрын
Uyu mchambuzi aliye ongezeka nimkali kabisa respect
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 19 күн бұрын
Sio kwamba hawajui, wanajua vizuri tu ila baadhi yao kasoro Ally huyo wanaweka upendeleo zaidi, yaani hawabalansi story.Ila yote kwa yote hongereni sana.
@GonaNzaro
@GonaNzaro 26 күн бұрын
Pamoja kutoka Kenya
@jerryndondole1965
@jerryndondole1965 26 күн бұрын
Hawa jamaa wanaijua Geopolitics aisee,shout out to 'em
@kelvinmacha1663
@kelvinmacha1663 23 күн бұрын
DJ SMA kashiba sana Madini, Facts and Logics
@jumaseif7514
@jumaseif7514 26 күн бұрын
Vizur sana
@joshemman520
@joshemman520 26 күн бұрын
Bro nmeamka saa 8 midnight i cant believe nmesikiliza hadi imeisha now ni saa 10 …. Broo never stop doing this content
@jumamsofe7897
@jumamsofe7897 26 күн бұрын
Nawaelewa vzr,haya ndio mambo tunayopenda kuyasikia
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 25 күн бұрын
GPS, full tim. Mwenyez Mungu awajaalie maisha marefu yenye afya njema.
@MumbereMusulefiston
@MumbereMusulefiston 25 күн бұрын
Kiukweli tuna mushukuru mungu sana kumuona tena dj sma n'a afia pia yule jamaa anaonekana yupo vizuri sana tunamuitaji pia brother sky
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 26 күн бұрын
Hongereni sana..hili ni bonge la show
@amirizedy8411
@amirizedy8411 26 күн бұрын
Allah awaongoze Wana sns wote awape maisha marefu nawafuatilia nikiwa south Africa cap town makala zenu nazipenda saana hasa kipindi kipya cha gps❤❤❤
@protamwenyegzaketv7408
@protamwenyegzaketv7408 26 күн бұрын
Hongera sana uncles you are the cream Brain
@manyamalima1916
@manyamalima1916 26 күн бұрын
Best discussion so far hongera sns family
@golebenson4597
@golebenson4597 25 күн бұрын
Nikewakubali ile mjichunge kuna baadhi hawapendi mnavyo toa eleimu viv sns🎉🎉🎉
@FreeGod368
@FreeGod368 26 күн бұрын
SMA ni AI ya TZ anajua kila kitu ata bla kusoma coz he can connect dots to get answer
@zuwenarajab6675
@zuwenarajab6675 25 күн бұрын
Pia napenda unyenyekevu wake na kujiamini kwa kile anachokipenda, na kujenga hoja, logic na facts. Asante sana Sma.
@user-iu8hb5yc2e
@user-iu8hb5yc2e 11 күн бұрын
mko vizuri bro ..all the way from Mombasa kenya . Nawafatilia sana.
@farujohn622
@farujohn622 26 күн бұрын
Hongereni. Sana mpo vzr sana mnaonekana kira mmoja kajiandaa sasa muichambue East Africa
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 26 күн бұрын
Henry upo vizuri snaa big blaza,
@slimsan3859
@slimsan3859 26 күн бұрын
Mmetisha sana. Salute...!
@Muhammedramadhan-xl6yg
@Muhammedramadhan-xl6yg 26 күн бұрын
Safii sana nawafatlia sana wakuu
@lucasmartin431
@lucasmartin431 26 күн бұрын
Ally Masubi, unchambua vizuri....Wape wenzako nafasi maana Sometimes unakuwa Unarudia rudia Maneno....Labda kama Wana kumentor. All in All your Doing Great 👍
@josephm4233
@josephm4233 25 күн бұрын
I love the show, thank you so much guys. You are amazing analysts. Mwinuka should try and I give others space to talk as well
@benmcdream2268
@benmcdream2268 26 күн бұрын
Mnajua sana honger kwenu
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 25 күн бұрын
DJ simaa I love you 🎉🎉 Allah akulinde inshaallah
@3erffeoui86
@3erffeoui86 25 күн бұрын
next topic naomba ikuwe la bara la AFRICA please much love from kenya
@Crisparis333
@Crisparis333 26 күн бұрын
Nimesubiri sana yan hii party two 😂
@SerahGlam
@SerahGlam 25 күн бұрын
THERE'S ONLY PODCAST I CAN LISTEN FROM THE BEGIN TIL THE END IS THIS❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 25 күн бұрын
Thank you Serah
@EmanuelMkongwi
@EmanuelMkongwi 25 күн бұрын
Natisha sanaa wakuu respect
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 25 күн бұрын
You are next level
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 26 күн бұрын
Ebana brz sky unatisha sana kwa hiki kipindi mnacho kirusha kiukweli mpewe tu mauwa yenu 🌹🎉🌹🎉🌹🎉
@user-gu3ez2if8k
@user-gu3ez2if8k 19 күн бұрын
Tunaitaka sana iyo topic kuhus Africa
@nassersaid920
@nassersaid920 26 күн бұрын
Well done guys....mpo vizuri katika uchambuzi. Keep it up
@nassoroshakiru7094
@nassoroshakiru7094 25 күн бұрын
Ahsanteni saaana kwa uchambuzi makini. Mimi nasikiliza kutoka nchini Bahrain 🇧🇭, kwanza kabisa ningetamani kuona mnaizungumzia NORTH KOREA kwa urefu na upana na ushirika wake na Urusi na China lakin pia hali yake ya ndani ki biashara, wanafanya Biashara na nani na wanaishije ikiwa wana vikwazo vingi na vipi kuhusu biashara zao kama nchi!! Yangu ni hayo na nadhani GPS itakuwa ni mwanga sana kwetu sisi wapenzi wa hizi mambo🎉❤
@feisalaley3629
@feisalaley3629 25 күн бұрын
Sns mko vizuri nafatilia nikiwa ZANZIBAR KISIWA CHA PEMBA
@piussogoye
@piussogoye 24 күн бұрын
safi sana nawafatilia sana wataalamu. big up sana SMA MZEE WA KIDIG DIP DIGAA😆
@SaidyMwajeka-tr7oj
@SaidyMwajeka-tr7oj 26 күн бұрын
Very nice guys big up
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 16 күн бұрын
Mpo vizuri sana
@hamimhassan9354
@hamimhassan9354 25 күн бұрын
Ni mjadala mmoja amazing sana wallah, brothers keep it on Sina tu money ninge wa congratulate mpate maji ya kunywa.
@erickericsson3584
@erickericsson3584 25 күн бұрын
Asante sana
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 26 күн бұрын
Nondo🔥👌
@temonilupondo7374
@temonilupondo7374 24 күн бұрын
Good content Good stuff
@hamimhassan9354
@hamimhassan9354 25 күн бұрын
Sky, Sma dj, Ally na mwinuka. Brothers Allah awaweke sana tunapata elimu kubwa ya utambuzi na mnatujenga kuufahamu uzalendo.
@saidiomar6642
@saidiomar6642 24 күн бұрын
Mm nawakubali sana
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 26 күн бұрын
Naomba kipindi chetu cha Global Position System mjadili Hali nzuri ya Uchumi wa Angola na Zimbabwe baada ya China kuingia katika Nchi hizo. Zimbabwe na Angola wanakimbiza mwizi kimya kimya. Natabiri baada ya miaka 10 watakuwa na Uchumi mkubwa kuliko South Africa, Bostwana na Nambia
@sulleyally5040
@sulleyally5040 25 күн бұрын
Hawa jamaa nawakubali sana nimekua naifutilia sana sns nawala sitaicha mpaka mwisho wa maisha yangu yote
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 26 күн бұрын
Ukizungumzia mahusiano ya China na Russia moja kwa moja unazungumzia Umoja wa BRICS ambao umelenga dedollorization na kuwa mbadala wa Jumuiya ya Madola, World Bank na IMF. Natamani kujua Tanzania tumefikia wapi kuwa Wanachama wa BRICS
@user-gw1pe8en7x
@user-gw1pe8en7x 26 күн бұрын
Mzee kwa uchumi upi huu waupigaji afu waizi twawaficha nyuma yamlango, atutaki mateso wanamchi wa dola 1 xie
@user-su8yl5pe3r
@user-su8yl5pe3r 25 күн бұрын
smaaa akukbali sana
@user-km4kb3xj3y
@user-km4kb3xj3y 25 күн бұрын
mko vizuri
@joshemman520
@joshemman520 26 күн бұрын
Hongera
@rizikially9535
@rizikially9535 25 күн бұрын
Napenda sana hii group jamani
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 25 күн бұрын
Aisee naikubari sana sns
@adolphyamin1245
@adolphyamin1245 25 күн бұрын
Brothers, unyama mnaoufanya hapa SNS ni mwingi sana 🔥🙏
@francismichael1258
@francismichael1258 25 күн бұрын
Dj nakukubali sana huko vzr ukweli ndio huo
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 26 күн бұрын
Nilikua nasubiri part 2 kwa hamu .
@juliusphaustine
@juliusphaustine 26 күн бұрын
Nawakubali sana wakuu by julius from dareslaam
@dereckdavid9609
@dereckdavid9609 26 күн бұрын
This is it 🔥🔥🔥
@SalumMajorhood
@SalumMajorhood 21 сағат бұрын
Daaah hapo kwa Afrika yetu naomba muiongelee kwl hatujui inakwenda wp tunataka ukombozi wa Afrika viongozi ndy sababu
@hilarymark7583
@hilarymark7583 26 күн бұрын
Tunafurahia sana kipindi hiki
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 26 күн бұрын
Sky Karibu Crown media .Nadhani king kiba ameona isi comment Na atalifanyia kazi . Kaka Sky Na mkubali Sana anajua kutangasa . Nikiwa Nairobi gikombaa
@ibrahimshabani3544
@ibrahimshabani3544 25 күн бұрын
mimi Nasikiliza kutoka chalinze nakubali Uchambuzi wenu Nawafwatilia vipindi vyenu sana mko vizuri kuchambua mambo mbalimbali duniani
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 26 күн бұрын
❤ SNS kupitia sky na timu hongera napata ratha ya kitu adimu
@mohammedmfamau43
@mohammedmfamau43 25 күн бұрын
Mungu jaalia mmoja wenu aje aiongoze tanzania
@SerahGlam
@SerahGlam 25 күн бұрын
Watanzania hatuna msimamo na hatuna uchungu na maisha ya vizaz vyetu vya baadae,pia elimu yetu ni duni na hatuna uelewa but i thnk mwanga unaanza kutuangazia kuelewa ukubwa wa mambo mnatungua kiaikl na kutufundisha tusio yajua,miaka ijayo kipindi hk kitakumbukwa na mtakumbukwa harakat zenu za kutuelimisha SHUKRANI KWA WOTE
@abuubuza6866
@abuubuza6866 26 күн бұрын
Safi
@ndizindeleti761
@ndizindeleti761 23 күн бұрын
Namkubali sna ally akiwa na skai ila na mkubali dj smaa akiwa katik makala zake binafs
@joshemman520
@joshemman520 26 күн бұрын
Kuunga mkono hichi kpnd ukiona ads angalau acha hata moja please usi skip …. Hvyo ndio tuweza ku support hii show
@lucasmartin431
@lucasmartin431 26 күн бұрын
Ally Masubi Unaboa sana ....Acha ujuaji Wape na wengine Nafasi waongee
@user-vt2oj3sr4k
@user-vt2oj3sr4k 26 күн бұрын
Had huaxin unaijua nakubali sana uchambuz mzuri na uwezaji mzuri wa China kwa maendeleo ya nchi yetu ya Tanzania 🇹🇿
@josephissa4406
@josephissa4406 24 күн бұрын
I real like Henry anatumia lugha rahisi na inayoeleweka .. Sma, Ali wote wapo smart .. Next sesion tufungueni akili waafrika hasa kundi letu la vijana..
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 26 күн бұрын
Huyu jamaaa mpya ana tone kama ya Mwana FA
@loningoletayo8453
@loningoletayo8453 26 күн бұрын
Kuongela Africa in general is very important
@deusisindwa616
@deusisindwa616 26 күн бұрын
Asnt sana,,binafsi nmeioenda chanel hii
@rashadally6871
@rashadally6871 25 күн бұрын
GPS TRACKERS GOOD DOOD......
@jumamohamedkidiaunga9224
@jumamohamedkidiaunga9224 26 күн бұрын
🎉🎉🎉
@jkifutu7936
@jkifutu7936 26 күн бұрын
Nawakubali sana wadogo zangu nopo zangu Tokyo Japan na wapata vizur sana kilasiku
@victorkauki8974
@victorkauki8974 25 күн бұрын
SNS, Tuongelee kuhusiana na topic kuhusu Idd amini, jinsi magharibi walivyomwita Dikteka.
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 26 күн бұрын
Vita ya Taiwan na China wala haiko mbali naona China amejiandaa kimya hata uzinduzi wa Aircrfat Carrier Marine Ship, Hypersonic Kenzall Missiles, Balistic Missiles na Mitambo ya J.L0_2 ya kutungua Makombora. China anailengaTaiwan ili aichape vizuri. Mungu ibariki Simulizi na Sauti na Mungu Ibariki Tanzania🇹🇿
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 19 күн бұрын
Sio rahis kwa leo mkuu.China akija kujitegemea zaidi hasa upande wa teknolojia hasa za chip, ndipo ataivamia Taiwan.Ila kwa sasa anasoma mchezo wa urusi na namna vikwazo vinavyomuumiza urusi kwa kiasi kikubwa
@ramadhaningulinga217
@ramadhaningulinga217 26 күн бұрын
Nawapata vixur from doha Qatar 🇶🇦 kuhusu issue ya western kuaminiwa akuna tena ntakupa mfano mmoja, zamani unaweza change dollar mpka uchocholoni lkn now no. Kila sehemu ukienda utambiwa akuna dollar why, coz nafikili akuna akiba za dolla tena na sio kwa bahati mbaya just imagine, nazani now kila mmoja ameona madhala ya kuweka akiba ya dollar
@ibnujumanne4054
@ibnujumanne4054 25 күн бұрын
Ni sahihi maisha yetu yanaswitch kutokana na global social media inaongoza maisha yetu na kuacha muongozo sahihi wa muumba wa ulimwengu but me naamini sns itafika hatua ya kumsha brain za vijana tuliolala kubwa tuweni wazalendo wa kweli
@iddykivu1336
@iddykivu1336 26 күн бұрын
Tunaitaka Sana hiyo Hoja ya kuiongelea Afrika kwa Ujumla
@MAHAN-099
@MAHAN-099 26 күн бұрын
Hii ndio channel yetu Bora zaid kwa kutujuza mengi
@sadikathumani1003
@sadikathumani1003 26 күн бұрын
Ali masubi ni mchambuzi mzuri sana nakubali hilo lkn ni kama bado hamini nguvu Russia na china dhidi ya west!
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 23 күн бұрын
Munajua sana hatuchoki kuwasikiliza
@Qbaby814
@Qbaby814 26 күн бұрын
tunahitaji uchambuzi kama uho wa leo wakugusia mambo mbalimbali
@johnalto2619
@johnalto2619 23 күн бұрын
😊😊😊
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 26 күн бұрын
Hiki kipindi wekeni sehem ya sisi kutoa maoni yetu
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 26 күн бұрын
✌️👍👊
@3erffeoui86
@3erffeoui86 25 күн бұрын
hapa kenya wakati uhuru kenyatta ali sign mikataba na mchina wa SGR na unjezi wa mabaraba kila mahali apa kenya baada ya apo ulaya na wamerekani kata misaada yote. RUTO PUPPET wa mwamerika alipo ingia kama raisi kitu cha kwanza kufanya ali simamisha miradi yote yenye ilikua ina fanywa na mchina na kuwafunza injini na kuleta mjapani HIZI FACTS
@hassanihamidu8546
@hassanihamidu8546 26 күн бұрын
Hicho unachokisema Ali niuwoga na tukiendelea kuwa waoga hatutafika, nibora tukakosa sisi ila tutengeneze mazingira ya baadae kwa ajili ya watoto wetu, kwasababu tutaendelea kuumia pasipo na faida leo wala kesho, nibora tukakubali kuumia leo kwa faida ya baadae
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 26 күн бұрын
Hii imekaa vyema sana
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 26 күн бұрын
Africa Tuachane na democracy tunatoboa
@YothamAlex
@YothamAlex 25 күн бұрын
Huku mtaani kiuhalisia wazungu wamefanikiwa kuwamaliza vijana wa kiafrika kwa nguvu ndogo sana ya social network,inasikitisha uhalisia wa maisha umepungua kwa asilimia 95%,ni waoga sana mostly wamekua puppets kwa viongozi na watu wenye uchumi wa juu,inasikitisha..we need a solution,most of us are ready ila hatujui tuanzie wapi kuchange the situation..Iyo mada inayofuata naisubiria kwa ham.
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 43 МЛН
Кәріс өшін алды...| Synyptas 3 | 10 серия
24:51
kak budto
Рет қаралды 1,3 МЛН
Each found a feeling.#Short #Officer Rabbit #angel
00:17
兔子警官
Рет қаралды 7 МЛН
LIFE WISDOM : FANYA MABADILIKO HAYA UFANIKIWE - JOEL NANAUKA
14:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 18 М.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 170 М.
GPS: TRAORE wa BURKINA FASO aongeza miaka mitano ya UTAWALA wa KIJESHI!
21:02
Comenta tu coche favorito #skate
0:20
Jordan Zapatillas
Рет қаралды 1,2 МЛН
Открыл авто батарейкой?🤯
0:31
Бутылочка
Рет қаралды 942 М.
Как не переплачивать автомойкам
0:26
Рубить Правду
Рет қаралды 283 М.