listenimg from kenya, sns, the only place i get to learn from, the world... yani mnajua hadi bax tu
@bethkonga794426 күн бұрын
Hii think tank ni nzuri hasa kwa vijana wa Africa ila naomba cku zijazo waaliken wanadipromasia wetu kama mabaloz kama kuna namna yakuwapata watu wa usalama hasa vijana kama kinapolepole waje tuongee na mshauliane hapo
@Nasbakr26 күн бұрын
Masha Allah, u guys mmetisha!! Henry nae yupo vzr krb sns
@yohana4kitila24826 күн бұрын
Gps nimeipenda sana. Naomba sana mjitahidi mtumie kiswahili fasaha , mnajisahau mnajikuta mnachanganya sana kiingereza wengine mnawaacha maana zingine hawajui. Kwa ujumla Gps kweli inaona Kila Kona . MB zangu naona inaisha Kwa chakula Cha faida.🙏
@RaphaelJickson25 күн бұрын
Umenena kweli mswahili
@nzungushikombesekei26 күн бұрын
😢Ninyi vijana mko vizuri Sana sijaona kama Ninyi mnavyodadavua Uzarendo wenu uko vizuri Sana mnahiyaji kuungwa mkono kila Kona.
@JumaSJuma26 күн бұрын
Nawakubali Sana Hawa jamaa na uchambuzi wao
@mwanahamisrashid778726 күн бұрын
Mashallah yn mmeupiga mwingi mpk unamwagika GPS haichoshi mungu awabariki Sana tumeyajua mengi 🙌🙌🙌🔥🔥🔥
@niyonkuruasman26 күн бұрын
Uyu mchambuzi aliye ongezeka nimkali kabisa respect
@GeorgeAkasha-zx2rj19 күн бұрын
Sio kwamba hawajui, wanajua vizuri tu ila baadhi yao kasoro Ally huyo wanaweka upendeleo zaidi, yaani hawabalansi story.Ila yote kwa yote hongereni sana.
@GonaNzaro26 күн бұрын
Pamoja kutoka Kenya
@jerryndondole196526 күн бұрын
Hawa jamaa wanaijua Geopolitics aisee,shout out to 'em
@kelvinmacha166323 күн бұрын
DJ SMA kashiba sana Madini, Facts and Logics
@jumaseif751426 күн бұрын
Vizur sana
@joshemman52026 күн бұрын
Bro nmeamka saa 8 midnight i cant believe nmesikiliza hadi imeisha now ni saa 10 …. Broo never stop doing this content
@jumamsofe789726 күн бұрын
Nawaelewa vzr,haya ndio mambo tunayopenda kuyasikia
@ramamabinda506325 күн бұрын
GPS, full tim. Mwenyez Mungu awajaalie maisha marefu yenye afya njema.
@MumbereMusulefiston25 күн бұрын
Kiukweli tuna mushukuru mungu sana kumuona tena dj sma n'a afia pia yule jamaa anaonekana yupo vizuri sana tunamuitaji pia brother sky
@brianbaltazar619826 күн бұрын
Hongereni sana..hili ni bonge la show
@amirizedy841126 күн бұрын
Allah awaongoze Wana sns wote awape maisha marefu nawafuatilia nikiwa south Africa cap town makala zenu nazipenda saana hasa kipindi kipya cha gps❤❤❤
@protamwenyegzaketv740826 күн бұрын
Hongera sana uncles you are the cream Brain
@manyamalima191626 күн бұрын
Best discussion so far hongera sns family
@golebenson459725 күн бұрын
Nikewakubali ile mjichunge kuna baadhi hawapendi mnavyo toa eleimu viv sns🎉🎉🎉
@FreeGod36826 күн бұрын
SMA ni AI ya TZ anajua kila kitu ata bla kusoma coz he can connect dots to get answer
@zuwenarajab667525 күн бұрын
Pia napenda unyenyekevu wake na kujiamini kwa kile anachokipenda, na kujenga hoja, logic na facts. Asante sana Sma.
@user-iu8hb5yc2e11 күн бұрын
mko vizuri bro ..all the way from Mombasa kenya . Nawafatilia sana.
@farujohn62226 күн бұрын
Hongereni. Sana mpo vzr sana mnaonekana kira mmoja kajiandaa sasa muichambue East Africa
@kassimbayuu521726 күн бұрын
Henry upo vizuri snaa big blaza,
@slimsan385926 күн бұрын
Mmetisha sana. Salute...!
@Muhammedramadhan-xl6yg26 күн бұрын
Safii sana nawafatlia sana wakuu
@lucasmartin43126 күн бұрын
Ally Masubi, unchambua vizuri....Wape wenzako nafasi maana Sometimes unakuwa Unarudia rudia Maneno....Labda kama Wana kumentor. All in All your Doing Great 👍
@josephm423325 күн бұрын
I love the show, thank you so much guys. You are amazing analysts. Mwinuka should try and I give others space to talk as well
@benmcdream226826 күн бұрын
Mnajua sana honger kwenu
@user-vi7ly9zh1q25 күн бұрын
DJ simaa I love you 🎉🎉 Allah akulinde inshaallah
@3erffeoui8625 күн бұрын
next topic naomba ikuwe la bara la AFRICA please much love from kenya
@Crisparis33326 күн бұрын
Nimesubiri sana yan hii party two 😂
@SerahGlam25 күн бұрын
THERE'S ONLY PODCAST I CAN LISTEN FROM THE BEGIN TIL THE END IS THIS❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SimuliziNaSauti25 күн бұрын
Thank you Serah
@EmanuelMkongwi25 күн бұрын
Natisha sanaa wakuu respect
@sultanbakary429225 күн бұрын
You are next level
@fikirininasoro527226 күн бұрын
Ebana brz sky unatisha sana kwa hiki kipindi mnacho kirusha kiukweli mpewe tu mauwa yenu 🌹🎉🌹🎉🌹🎉
@user-gu3ez2if8k19 күн бұрын
Tunaitaka sana iyo topic kuhus Africa
@nassersaid92026 күн бұрын
Well done guys....mpo vizuri katika uchambuzi. Keep it up
@nassoroshakiru709425 күн бұрын
Ahsanteni saaana kwa uchambuzi makini. Mimi nasikiliza kutoka nchini Bahrain 🇧🇭, kwanza kabisa ningetamani kuona mnaizungumzia NORTH KOREA kwa urefu na upana na ushirika wake na Urusi na China lakin pia hali yake ya ndani ki biashara, wanafanya Biashara na nani na wanaishije ikiwa wana vikwazo vingi na vipi kuhusu biashara zao kama nchi!! Yangu ni hayo na nadhani GPS itakuwa ni mwanga sana kwetu sisi wapenzi wa hizi mambo🎉❤
@feisalaley362925 күн бұрын
Sns mko vizuri nafatilia nikiwa ZANZIBAR KISIWA CHA PEMBA
@piussogoye24 күн бұрын
safi sana nawafatilia sana wataalamu. big up sana SMA MZEE WA KIDIG DIP DIGAA😆
@SaidyMwajeka-tr7oj26 күн бұрын
Very nice guys big up
@salimfaraj550916 күн бұрын
Mpo vizuri sana
@hamimhassan935425 күн бұрын
Ni mjadala mmoja amazing sana wallah, brothers keep it on Sina tu money ninge wa congratulate mpate maji ya kunywa.
@erickericsson358425 күн бұрын
Asante sana
@aminmohammed424926 күн бұрын
Nondo🔥👌
@temonilupondo737424 күн бұрын
Good content Good stuff
@hamimhassan935425 күн бұрын
Sky, Sma dj, Ally na mwinuka. Brothers Allah awaweke sana tunapata elimu kubwa ya utambuzi na mnatujenga kuufahamu uzalendo.
@saidiomar664224 күн бұрын
Mm nawakubali sana
@Hillary_Daudi_Mrema26 күн бұрын
Naomba kipindi chetu cha Global Position System mjadili Hali nzuri ya Uchumi wa Angola na Zimbabwe baada ya China kuingia katika Nchi hizo. Zimbabwe na Angola wanakimbiza mwizi kimya kimya. Natabiri baada ya miaka 10 watakuwa na Uchumi mkubwa kuliko South Africa, Bostwana na Nambia
@sulleyally504025 күн бұрын
Hawa jamaa nawakubali sana nimekua naifutilia sana sns nawala sitaicha mpaka mwisho wa maisha yangu yote
@Hillary_Daudi_Mrema26 күн бұрын
Ukizungumzia mahusiano ya China na Russia moja kwa moja unazungumzia Umoja wa BRICS ambao umelenga dedollorization na kuwa mbadala wa Jumuiya ya Madola, World Bank na IMF. Natamani kujua Tanzania tumefikia wapi kuwa Wanachama wa BRICS
@user-gw1pe8en7x26 күн бұрын
Mzee kwa uchumi upi huu waupigaji afu waizi twawaficha nyuma yamlango, atutaki mateso wanamchi wa dola 1 xie
@user-su8yl5pe3r25 күн бұрын
smaaa akukbali sana
@user-km4kb3xj3y25 күн бұрын
mko vizuri
@joshemman52026 күн бұрын
Hongera
@rizikially953525 күн бұрын
Napenda sana hii group jamani
@fikirininasoro527225 күн бұрын
Aisee naikubari sana sns
@adolphyamin124525 күн бұрын
Brothers, unyama mnaoufanya hapa SNS ni mwingi sana 🔥🙏
@francismichael125825 күн бұрын
Dj nakukubali sana huko vzr ukweli ndio huo
@africanmandetraveler284726 күн бұрын
Nilikua nasubiri part 2 kwa hamu .
@juliusphaustine26 күн бұрын
Nawakubali sana wakuu by julius from dareslaam
@dereckdavid960926 күн бұрын
This is it 🔥🔥🔥
@SalumMajorhood21 сағат бұрын
Daaah hapo kwa Afrika yetu naomba muiongelee kwl hatujui inakwenda wp tunataka ukombozi wa Afrika viongozi ndy sababu
@hilarymark758326 күн бұрын
Tunafurahia sana kipindi hiki
@Brunotarimo1026 күн бұрын
Sky Karibu Crown media .Nadhani king kiba ameona isi comment Na atalifanyia kazi . Kaka Sky Na mkubali Sana anajua kutangasa . Nikiwa Nairobi gikombaa
@ibrahimshabani354425 күн бұрын
mimi Nasikiliza kutoka chalinze nakubali Uchambuzi wenu Nawafwatilia vipindi vyenu sana mko vizuri kuchambua mambo mbalimbali duniani
@user-dg7wf6fg2j26 күн бұрын
❤ SNS kupitia sky na timu hongera napata ratha ya kitu adimu
@mohammedmfamau4325 күн бұрын
Mungu jaalia mmoja wenu aje aiongoze tanzania
@SerahGlam25 күн бұрын
Watanzania hatuna msimamo na hatuna uchungu na maisha ya vizaz vyetu vya baadae,pia elimu yetu ni duni na hatuna uelewa but i thnk mwanga unaanza kutuangazia kuelewa ukubwa wa mambo mnatungua kiaikl na kutufundisha tusio yajua,miaka ijayo kipindi hk kitakumbukwa na mtakumbukwa harakat zenu za kutuelimisha SHUKRANI KWA WOTE
@abuubuza686626 күн бұрын
Safi
@ndizindeleti76123 күн бұрын
Namkubali sna ally akiwa na skai ila na mkubali dj smaa akiwa katik makala zake binafs
@joshemman52026 күн бұрын
Kuunga mkono hichi kpnd ukiona ads angalau acha hata moja please usi skip …. Hvyo ndio tuweza ku support hii show
@lucasmartin43126 күн бұрын
Ally Masubi Unaboa sana ....Acha ujuaji Wape na wengine Nafasi waongee
@user-vt2oj3sr4k26 күн бұрын
Had huaxin unaijua nakubali sana uchambuz mzuri na uwezaji mzuri wa China kwa maendeleo ya nchi yetu ya Tanzania 🇹🇿
@josephissa440624 күн бұрын
I real like Henry anatumia lugha rahisi na inayoeleweka .. Sma, Ali wote wapo smart .. Next sesion tufungueni akili waafrika hasa kundi letu la vijana..
@hassanaloobaidan2526 күн бұрын
Huyu jamaaa mpya ana tone kama ya Mwana FA
@loningoletayo845326 күн бұрын
Kuongela Africa in general is very important
@deusisindwa61626 күн бұрын
Asnt sana,,binafsi nmeioenda chanel hii
@rashadally687125 күн бұрын
GPS TRACKERS GOOD DOOD......
@jumamohamedkidiaunga922426 күн бұрын
🎉🎉🎉
@jkifutu793626 күн бұрын
Nawakubali sana wadogo zangu nopo zangu Tokyo Japan na wapata vizur sana kilasiku
@victorkauki897425 күн бұрын
SNS, Tuongelee kuhusiana na topic kuhusu Idd amini, jinsi magharibi walivyomwita Dikteka.
@Hillary_Daudi_Mrema26 күн бұрын
Vita ya Taiwan na China wala haiko mbali naona China amejiandaa kimya hata uzinduzi wa Aircrfat Carrier Marine Ship, Hypersonic Kenzall Missiles, Balistic Missiles na Mitambo ya J.L0_2 ya kutungua Makombora. China anailengaTaiwan ili aichape vizuri. Mungu ibariki Simulizi na Sauti na Mungu Ibariki Tanzania🇹🇿
@GeorgeAkasha-zx2rj19 күн бұрын
Sio rahis kwa leo mkuu.China akija kujitegemea zaidi hasa upande wa teknolojia hasa za chip, ndipo ataivamia Taiwan.Ila kwa sasa anasoma mchezo wa urusi na namna vikwazo vinavyomuumiza urusi kwa kiasi kikubwa
@ramadhaningulinga21726 күн бұрын
Nawapata vixur from doha Qatar 🇶🇦 kuhusu issue ya western kuaminiwa akuna tena ntakupa mfano mmoja, zamani unaweza change dollar mpka uchocholoni lkn now no. Kila sehemu ukienda utambiwa akuna dollar why, coz nafikili akuna akiba za dolla tena na sio kwa bahati mbaya just imagine, nazani now kila mmoja ameona madhala ya kuweka akiba ya dollar
@ibnujumanne405425 күн бұрын
Ni sahihi maisha yetu yanaswitch kutokana na global social media inaongoza maisha yetu na kuacha muongozo sahihi wa muumba wa ulimwengu but me naamini sns itafika hatua ya kumsha brain za vijana tuliolala kubwa tuweni wazalendo wa kweli
@iddykivu133626 күн бұрын
Tunaitaka Sana hiyo Hoja ya kuiongelea Afrika kwa Ujumla
@MAHAN-09926 күн бұрын
Hii ndio channel yetu Bora zaid kwa kutujuza mengi
@sadikathumani100326 күн бұрын
Ali masubi ni mchambuzi mzuri sana nakubali hilo lkn ni kama bado hamini nguvu Russia na china dhidi ya west!
@khalfanmlala509323 күн бұрын
Munajua sana hatuchoki kuwasikiliza
@Qbaby81426 күн бұрын
tunahitaji uchambuzi kama uho wa leo wakugusia mambo mbalimbali
@johnalto261923 күн бұрын
😊😊😊
@valentinernestkavishe729726 күн бұрын
Hiki kipindi wekeni sehem ya sisi kutoa maoni yetu
@King_Of_Everything26 күн бұрын
✌️👍👊
@3erffeoui8625 күн бұрын
hapa kenya wakati uhuru kenyatta ali sign mikataba na mchina wa SGR na unjezi wa mabaraba kila mahali apa kenya baada ya apo ulaya na wamerekani kata misaada yote. RUTO PUPPET wa mwamerika alipo ingia kama raisi kitu cha kwanza kufanya ali simamisha miradi yote yenye ilikua ina fanywa na mchina na kuwafunza injini na kuleta mjapani HIZI FACTS
@hassanihamidu854626 күн бұрын
Hicho unachokisema Ali niuwoga na tukiendelea kuwa waoga hatutafika, nibora tukakosa sisi ila tutengeneze mazingira ya baadae kwa ajili ya watoto wetu, kwasababu tutaendelea kuumia pasipo na faida leo wala kesho, nibora tukakubali kuumia leo kwa faida ya baadae
@kassimbayuu521726 күн бұрын
Hii imekaa vyema sana
@valentinernestkavishe729726 күн бұрын
Africa Tuachane na democracy tunatoboa
@YothamAlex25 күн бұрын
Huku mtaani kiuhalisia wazungu wamefanikiwa kuwamaliza vijana wa kiafrika kwa nguvu ndogo sana ya social network,inasikitisha uhalisia wa maisha umepungua kwa asilimia 95%,ni waoga sana mostly wamekua puppets kwa viongozi na watu wenye uchumi wa juu,inasikitisha..we need a solution,most of us are ready ila hatujui tuanzie wapi kuchange the situation..Iyo mada inayofuata naisubiria kwa ham.