SIRI nzito ya kwanini UFARANSA, ECOWAS & EU wanaikomalia sana NIGER - Na DJ Sma

  Рет қаралды 50,597

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

10 ай бұрын

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 281
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 10 ай бұрын
Nigeria black wenzetu wanatuangusha sana, ndio maana BRICS wamewatema!
@regnalddanda9364
@regnalddanda9364 10 ай бұрын
Toka Njombe ,ahsante sana .elimu nzuri
@emmanuellehani9698
@emmanuellehani9698 10 ай бұрын
Natoka Marekani, Indiana. Mm bado ndo nimeanza kukufatilia nimevutiwa sanana nauchambuziwako 7bu hunatowa ushaidi wauwakika. Hongera sana. Soon utapata supports zetu.
@arbogastnyaulingo3560
@arbogastnyaulingo3560 10 ай бұрын
Hongera sana kwa uchambuzi makini wa makalu za kimataifa nipp tayali kutoa support ili tuweze kupata madi ya nguvu kaka
@billskeez92
@billskeez92 10 ай бұрын
Aise bro unatupa darasa to Sha👏👏👏
@idrisirakoze2235
@idrisirakoze2235 8 ай бұрын
Mwenyezi mungu akujaliye baba kwakuamsha wa africa
@user-mz9lb2em1y
@user-mz9lb2em1y 10 ай бұрын
Ahsante sana dj. Ss tunaelewa ishu nzima endelea kaka mm naitwa msuri kaita natoka mwanza wilaya nyamagana.
@khalifaalmugheiry9232
@khalifaalmugheiry9232 10 ай бұрын
All the from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 Siwezi nikapitwa na darasa lako naelewa vipi unavopata tabu kutuletea haya madini na kote huko hatuyapati hapa ndio nyumbani, big up dj.sma✊🏾😎
@KIMEA995
@KIMEA995 10 ай бұрын
Ahsnte kwa uchambuzi mzuri bro karibu Arusha
@emanueljohn9240
@emanueljohn9240 10 ай бұрын
Brother I like your content najifunza vingi sanaaaaaaa brother MUNGU akuweke inshallah
@JohnMhagama-jr3hn
@JohnMhagama-jr3hn 10 ай бұрын
Dj sma naskiza madin haya nikiwa muheza tanga .namkubali Sana kazi zako
@issagervase9588
@issagervase9588 10 ай бұрын
nakukubali my brother tuwaombee sanaa naiger washinde hii vita Endapo naiger watashinda Africa tumeshinda
@Sifa_bendera_bilove
@Sifa_bendera_bilove 10 ай бұрын
Nakusikiliza nikiwa America, mu africa damu, big up sana
@robertnkyalu3241
@robertnkyalu3241 10 ай бұрын
Wewe ni mchambuzi Bora kutokea ktk kizazi hiki Big up bro !!
@morganyiskaka815
@morganyiskaka815 10 ай бұрын
Mungu akupe afya unatupa mambo mazur sana From Rukwa
@ismailradjabu3871
@ismailradjabu3871 10 ай бұрын
From south Africa, naomba hata kila siku huwe na tudondosheya kitu, duuh big up saana dj sma. Mimi ni mcongo
@davidcurtis175
@davidcurtis175 10 ай бұрын
Haina haja ya kusema wewe ni mkongo, mkongo mtanzania mkenya mganda mrwanda mburundi mmalawi na wengine wote siwezi maliza hapa wewe mimi dj sma wote ni watoto wa mama Afrika, tusijbague kwa kutaja mataifa, japo najua lengo lako ni Dj Smaa ajue ana watu wanaomsikilaza mpaka Congo si vibaya sana japo usipendelee sana kujitambulisha kama ni mkongo au mtanzania.
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 10 ай бұрын
Asantee ustadh smaaaaa 🎉❤ from PEMBA upembani nawakilisha 🎉🎉
@didoniwa4206
@didoniwa4206 10 ай бұрын
uko vizuri mkuu from south Afrika
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 10 ай бұрын
Tuko pamoja sana DJ Smaa kutokea Harare,Zimbabwe
@amadecassamo1606
@amadecassamo1606 10 ай бұрын
Dj sma nakufuatilia kutoka Mozambique❤
@subetizaid6515
@subetizaid6515 10 ай бұрын
Allah bless you dj smaa
@emmanueljonas84
@emmanueljonas84 10 ай бұрын
Dj smaa machozi yamenitoka.Asante sana 🙌🙌🙌👏👏
@maiyussuf9324
@maiyussuf9324 10 ай бұрын
Asante sana
@alhajjwaupe4593
@alhajjwaupe4593 10 ай бұрын
asante sana kaka nime kupata vizuri sana kutoka saudi arabia
@shafiibakar704
@shafiibakar704 10 ай бұрын
Nasikia from zanzbar dj sm
@eduardozacariasgabrieledua9981
@eduardozacariasgabrieledua9981 10 ай бұрын
Big up brother nakupata kutoka Mozambique/Pemba
@zephaniamanembe6929
@zephaniamanembe6929 10 ай бұрын
Nakusikiliza kutoka Mza kisesa, nakupata vizuri
@MohammedMgao
@MohammedMgao 10 ай бұрын
Ongela sana mungu akulinde Mohammed mgao kutoka songea
@abdullysaid2584
@abdullysaid2584 10 ай бұрын
Nimeelewa vizuri sana
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 10 ай бұрын
Ahsante
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 10 ай бұрын
Nchi zote za Kiafrika inatakiwa ziamke km wenzao wa nchi za Guinea,Mali, Burkina Faso na Niger kupinga Unyonyaji, Ukoloni Mamboleo,Ubeberu na Utumwa wa kifikra kutoka nchi za America na Ulaya pia kuja na njia mbadala za kujiinua Kiuchumi,Kisayansi na Teknolojia maana Afrika imebarikiwa kuwa na kila kitu kitakacho chagiza maendeleo la Bara la Afrika,Mm natokea Mbeya mjini ila kwa sasa nipo Chato, Mganza Mkoa wa Geita
@mikidadmhando2504
@mikidadmhando2504 9 ай бұрын
Umetufungua macho na masikio, Waafrika hiarini kusuka ama kunyoa, kazi tunayo, Mungu atunusuru
@LaurentEmmanuel-zb3cd
@LaurentEmmanuel-zb3cd 10 ай бұрын
Ninakueliwa br pamoja sana
@billskeez92
@billskeez92 10 ай бұрын
Dj Sma Mii nimshabiki wako kindaki ndaki👌👌👌
@hajinachembe4310
@hajinachembe4310 10 ай бұрын
Masasi Mtwara, big up dj smaa, yaani ukikaa zaidi ya siku tatu hujatupa up date nakua nimechokaaa maana habari zako ni naoumaa
@bakariomari8758
@bakariomari8758 10 ай бұрын
Kutoka, dubai upo vizuri kaka smaa
@khamisshee803
@khamisshee803 10 ай бұрын
Waalekum musalam warahmatullah wabarakatu Aka bachuchu Mombasa 001 🇰🇪🔥🇰🇪🔥🇰🇪🔥
@MohammedMgao
@MohammedMgao 10 ай бұрын
Nakupenda sana elimu yako kakupa mungu tutetee mungu akulinde
@Supershopdubai-ck8td
@Supershopdubai-ck8td 10 ай бұрын
DJ sma unaweza bro nakupenda from 🇧🇮👊🖤
@abubakaralamoody2667
@abubakaralamoody2667 9 ай бұрын
From Mombasa Kenya kusema kweli uchumi wa Western watoka Africa na sisi wa Africa hatujakuwa united hayo maoni yangu
@user-eg6uq2eo9u
@user-eg6uq2eo9u 10 ай бұрын
Big up xana kakaa
@YohanaMboma-vz3sl
@YohanaMboma-vz3sl 10 ай бұрын
Iko vizuri sana,Asante kwa point mbili nzito.
@issamaulidi8860
@issamaulidi8860 10 ай бұрын
From USA 🇺🇸 state Rhode Island city 🏙️ providence 🧟‍♂️
@frankthobias-ux7lj
@frankthobias-ux7lj 10 ай бұрын
Dj smart upo vizuri unaongea facts. Nimfuasi wako kindakindaki. Kigoma
@ramamfunga-jl6tl
@ramamfunga-jl6tl 9 ай бұрын
Well spoken brother
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 10 ай бұрын
Daaa! Watupatie nchi zetu waizi sana from kigoma
@mcmetroboom530
@mcmetroboom530 10 ай бұрын
Kaka tubaenjoy sana unajua mkuu dany from mbeya
@Majhidymhessa
@Majhidymhessa 10 ай бұрын
DJ Sma Ninakupata na kukufuatilia toka "PADOVA"Italy I love you DJ Sma
@nuruaiwen9536
@nuruaiwen9536 10 ай бұрын
Asante kwa kutufumbua macho, from mabella muscat oman
@mwalimudavidkizazihuru
@mwalimudavidkizazihuru 10 ай бұрын
Kwakweli unafanya kazi nzuri kaka, huu ni uchambuzi ilioenda shule na wakizalendo kabisa ❤❤
@mutetimusa4698
@mutetimusa4698 10 ай бұрын
Kenya apaa bro musa mteti nachek sana
@mustafamruma1307
@mustafamruma1307 9 ай бұрын
Daah! Siku ikipita sijakusikiliza dj sma siridhiki, nipo tayaei kuchangia kabisa, pia nalitamani Hilo group la WhatsApp sana
@damianandrew3074
@damianandrew3074 10 ай бұрын
Respect sana bro
@HemediAhmedi
@HemediAhmedi 10 ай бұрын
Shukrani sana kaka
@user-id7wx2wj1e
@user-id7wx2wj1e 10 ай бұрын
Unajua bro mnoo natamani ungekuwa hata kaka yangu wa damu 😥 jinsi navyopenda sana hizi analysis kutoka kwako,Much Love ❤️ endelea kutupa elimu achana wale wasiojielewa kazi kukoment pumba 😂😂
@AliAli-no3eq
@AliAli-no3eq 10 ай бұрын
Thank you DJ for your time
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 10 ай бұрын
Asante sana mkuu tuko pamoja ❤❤❤❤❤❤
@prospersanga7942
@prospersanga7942 10 ай бұрын
Unajua Sana 🙌
@hassanpashua
@hassanpashua 10 ай бұрын
Nmechelewa kiasi from Kenya bigup
@user-km7rw2ov6w
@user-km7rw2ov6w 10 ай бұрын
From znz Please elezea kuhusu hiyo vita ya kagera
@asiri-romy-simba3671
@asiri-romy-simba3671 10 ай бұрын
All the way from 🇿🇲🇿🇲🇿🇲 lsk
@simonwambo8345
@simonwambo8345 10 ай бұрын
Maoni yangu ni kwamba kwa hivi vita mrusi lazima ashinde ..naitwa simon dj sma nakuskiza kutoka kenya
@alibinali_
@alibinali_ 10 ай бұрын
Thanks for this
@adammed6037
@adammed6037 10 ай бұрын
Good job Frm dar es salaam
@mwenendoassani9127
@mwenendoassani9127 10 ай бұрын
Yani ni Atari kbs awani djiya ya kum kwepa kbs Mrussi 😂😂😂😂😂 DJ SMA ❤❤❤❤❤
@ibnujumanne4054
@ibnujumanne4054 10 ай бұрын
Dhahiri ni kwamba ukithubutu kuelezea ukweli wa Uganda utafungiwa hlafu haya madin tutayakosa tuachie wanafyuzi tufatilie wenyewe kimyakimya, shukrani bro.🤝 ibnu Jumanne nakufuatilia nikiwa S.A
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 10 ай бұрын
Upo sahihi kabisa Dj Sma
@jamesgasper6764
@jamesgasper6764 10 ай бұрын
Huna baya Dj sma tupo nawewe ktk kuchambua Africa na dunia yetu kwa ujumla.
@dominiquedavid87
@dominiquedavid87 10 ай бұрын
big up
@joe_was_here.
@joe_was_here. 10 ай бұрын
Mungu akubaliki kaka 🙏
@amissibekere2880
@amissibekere2880 10 ай бұрын
Safi sana
@Dadydadonmiki-dg3nl
@Dadydadonmiki-dg3nl 10 ай бұрын
Big up bro.
@robertokasike4824
@robertokasike4824 10 ай бұрын
Hivi hawa AU wapo kweli kwanini wasiende kupambana na hawa ECOWAS
@brayanhamaro5514
@brayanhamaro5514 10 ай бұрын
Wana fuse mm huwa naacha tangazo mwanzo mwisho liishe Hii naifanya kama sapoti na for love bless up kwa wote wana sns
@nayairon1450
@nayairon1450 10 ай бұрын
Africa tungeungana tukarumia jeshi moja na pesa tungetumia tungekuwa na umoja inaitwa ALPF yaan AFRICA LOVE PEACE AND FREEDOM vita isingekwepo africa wala tusingetawaliwa kiakili na viongozi wetu wangekuwa na umoja Africa tumelala tuamkeni tuwe na umoja
@asiri-romy-simba3671
@asiri-romy-simba3671 10 ай бұрын
Big up
@J4UPro
@J4UPro 10 ай бұрын
Safi sana kiongozi
@sombochristian8373
@sombochristian8373 10 ай бұрын
From Stockholm 🇸🇪
@manzimanzi4456
@manzimanzi4456 10 ай бұрын
Ahsnte sana..Nakusikiliza nakuelewa pia.
@hamzahuseni2555
@hamzahuseni2555 10 ай бұрын
Ok mkuu❤
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 10 ай бұрын
Listening n watching from Bahrain.
@MohamediNdali-wm1rz
@MohamediNdali-wm1rz 9 ай бұрын
Unaelezea vizur sana .moyo unauma sana Kwa unyonyaj huu wa france
@wadudi2741
@wadudi2741 10 ай бұрын
Vizuri
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 10 ай бұрын
Kutoka usa nakupata Vizuri sana..
@sakuranitillya6088
@sakuranitillya6088 10 ай бұрын
Upo vizur sana kaka mungu akupe maisha marefu uendele kutupa madini nakufatilia sana
@nick1o7bang17
@nick1o7bang17 10 ай бұрын
Bless up from 🇺🇸
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 10 ай бұрын
kwa nini Marekani wanaficha idadi ya wanajeshi wa nato,wingereza, ujerumani,marekani Ufaransa wanao kufa vitani nchini Ukraine ?. au ni magogo yanakuwa siyo watu? haki za binadamu hawaoni? haki za binadamu wanashirikiana na marekani kuficha ukweli kwasababu haki za binadamu ni mali ya marekani. ingekuwa ni Africa hawatangazi asikari wanaokufa marekani angeweza vikwazo.angetuma kikundi chake kinachojiita haki za binadamu waje kulazimishwa wanajeshi wanaokufa watangazwe lakini yeye anaficha kuogopa aibu na rawama kimataifa jinsi wanavyo kufa wanajeshi wengi.
@sadamslay2380
@sadamslay2380 10 ай бұрын
Yaani unanifunguwa sana
@joggy96
@joggy96 10 ай бұрын
Thanks sana brother for the knowledge ...love from saudi arabia
@Steve.3175
@Steve.3175 10 ай бұрын
Hapa ndio nimeelewza vzr
@habibumnibo4000
@habibumnibo4000 10 ай бұрын
Watatu. 😂
@eliamdeka9279
@eliamdeka9279 10 ай бұрын
Wakwanza like zangu
@djsma255
@djsma255 10 ай бұрын
🎉
@sinziadinasi1920
@sinziadinasi1920 10 ай бұрын
From ruangwa,tupe tz vs uganda war
@francomwacha2262
@francomwacha2262 10 ай бұрын
Dj sma nakukubali mnoo naenjoy kila nikifungua KZbin nikakuta Habari hiz
@milliew1572
@milliew1572 10 ай бұрын
Ninacho kijua ni kwamba Hakuna Nchi Hata Moja Ilipatauhuru wa Ukweli Hadi Sasa
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 10 ай бұрын
Vita sio best option at all!But kama watu wanawavamia ktk nchi yenu Best OPTION hapo ni kukinukisha nothin else
@amadecassamo1606
@amadecassamo1606 10 ай бұрын
Nakwelewa sana ndugu
@venancembwaga-uw6kb
@venancembwaga-uw6kb 10 ай бұрын
😂😂😂 marekan na ufaransa wamenaswa
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 10 ай бұрын
❤ djsma ufaransa Chali wametunyonya Sana zama zimebadilika Sana na kutuletea magonjwa zamu Yao nakulushia bando upunguze garama.
@djsma255
@djsma255 10 ай бұрын
🙏
@ntwarimuhammad7742
@ntwarimuhammad7742 10 ай бұрын
From 🇧🇮
@nashonmacokecha2481
@nashonmacokecha2481 10 ай бұрын
Nakubaliana na yote ulisema ndiyo ukweli na niishaipata sehemu. Mtanzania
@jumamasele5793
@jumamasele5793 10 ай бұрын
Dah we jamaaa unatisha sana
Yevgeny Prigozhin amekufa? Huu ndio ukweli wa mambo - Na DJ Sma
9:33
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 40 М.
Athari za maandamano Eldoret
11:48
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 11 М.
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 105 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 712 М.
Mauaji Githurai 45
5:18
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 56 М.
Athari za maandamano (Partt 1)
26:48
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 7 М.
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 26 М.
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 105 МЛН