Niliwahi teseka kwenye ndoa miaka 8 ila nilikua naogopa kutoka pale nikihisi siwezi ishi bila yeye niliamua kuondoka nina miaka 14 nanina mtukuza Mungu maisha yanaendelea
@HildaMassao15 күн бұрын
Barikiwa sana Hakika ukijitamkia Mema nayo yanakujiaa Asante kaka Joel
@HanifaChalresy9 ай бұрын
Baada ya kudumu ktk ndoa miaka 16 mumewangu alinisaliti nilipitia maumivu makali sana nilijiona sina thamani kabisa,mungu wa ajabu nikapata connection ya kazi dubai niliacha vyote na kundoka,maisha yangu amebadilika sana mara kumi ya vile nilivyokuwa na mume,wito wangu tusiogope kubadilisha maisha yetu
@edithavalelian2569 ай бұрын
Hongera sana dear
@LeilaMjaka9 ай бұрын
Hongera...Asant
@godblessappiah94289 ай бұрын
I need your connection niondoke kwenye hii kadhia hapa nchini
@neemalyimo92449 ай бұрын
Somotime nyumba tunazoishi au sehemu tunazofanyia kazi zinakuwa zimeziba riziki zetu mfano mimi nafanya kazi huu mwaka wa sita hakuna chochote nilichokifanya kila ninachokifanya hakifanikiwa na hata pesa ninayoipata inaisha pasipo kuiona nilichoifanyia katika hili kaka Joel naomba unisaidie
@samwelemmanuel6949 ай бұрын
Pole sana mwana wa Mungu! Lakn nikuombe tu ukumbuke kutoa fungu la kumi Kwa Mungu aliye hai, kama hufanyag hivyo
@samwelemmanuel6949 ай бұрын
Nondo tupu kaka!! Yaan yote uliyoyaongea ni kweli tupu
@ShaniaDanny9 ай бұрын
Ni kweli na Mimi pia napata changamoto iyo
@jn_mustonez78429 ай бұрын
Kwenye hili moja Toa zaka, then chukua kitabu cha Joel nanauka kinaitwa money formula kitakusaidia Sana, I mean utabadirika na utashangaa imekuwaje
@Neemakotei2 ай бұрын
Toa fung la10😊
@franciscamoshi76719 ай бұрын
Inabidi watu walitambua na kuacha kujichelewesha wawe jasiri na kufanya mabadiliko.Acha kujichelewesha.Fanya maamuzi magumu.Jiamini!!!!!
@hildamushashu50566 ай бұрын
Yaani kupewa tuzo kweli unastaili make uko kwenye ukweli ktk maisha yanatikea good .
@pialafrance79229 ай бұрын
Hapa kaka umenigusa moja kwa moja yan daaah😢😢😢 Mungu akubariki sana nafanya mabadiliko now
@ShubiraCostac9 ай бұрын
Asante joel,clip hii imenifungua macho! Niliumia sana baada ya mme wangu kufanya mabadiliko ya kuniacha na kutafuta mwanamk mwingine,namshukur sana leo,nimeweza kujua uwezo wangu kuwa bila yeye maisha yanaendelea! Kweli mabadiliko yana gharama! Lakini yana fursa mzuri kwangu na kwake,niligundua akuwai kuona dhamani yangu,mabadiliko haya yametoa nafasi kwetu kila mtu kujua dhamani yake, nimepat nguvu mpya nipo sawa na maisha yanaendelea,Namshukur sana kwa mabadiliko aliyoyafanya❤❤
@ShamimShamy3 ай бұрын
Nikweli ndokta ulichokisem kun Mahali nilikuwa nafanya kz Nikuona km hawafurahi upo Wang BC ikafik mda wakaniachish kz lkn sahii nilipo wanafurahia uwepo WG Mungu Ni mwema, asant Joel kwakusa hapo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@AhmedyNassoro3 ай бұрын
Mola atubariki na tuweze fika wakati ulisahihi kwetu🙏
@neemalyimo92449 ай бұрын
Ahsante sana kaka yangu kwa kunitia moyo nafanya kazi za ndani nadharaulika na kunyanyasika sana naishi maisha ambayo hayana uhuru naogopa kufanya maamuzi nahofia familia yangu najihofia mimi menyewe, ahsante kaka Joel maneno yananipa nguvu na ujasiri
@emmycharz4049 ай бұрын
Mimi pia mungu atusaidie
@bukuruphilibert29689 ай бұрын
Ondoma
@polycarpmfoy65948 ай бұрын
Joel ur the best man in this generation 🙏🏼
@hamprehymuniss74583 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka masomo yako yananijenga sana kak
@mwanaidihassan58689 ай бұрын
Nashkuru Mungu nilikuwa nafanya kazi baada ya kuingia mgogoro na boss wangu kwa muda mrefu niliamua kuacha kazi na nikapata ujasiri wa kuanzisha biashara yangu ya bakery. Kweli kumbe majaribu ni mtaji, Ile kazi ilikuwa inasababisha nighairishe Kila siku swala la kujiajiri binafsi baada ya ugomvi ule nilijikuta sina option lazima niondoke.
@LeilaMjaka9 ай бұрын
Hongera dada mwanahid..
@stumaiayubu97479 ай бұрын
Hongera sana
@mwanaidihassan58689 ай бұрын
@@LeilaMjaka Shukran
@mwanaidihassan58689 ай бұрын
@@stumaiayubu9747 shukran
@godfreygerase87139 ай бұрын
Maam kaka wengi wetu tunateseka na tabia kuna tabia tunashindwa kuibadilisha ili tubadilike kimaisha lakini tunashindwa mm nimebadilika nimeanza na mpemzi mwaka uu nimeona mapenzi yananipotezea mda kwa wakati uumda ukifika nitaendelea kwaio tujifunze kubadilikia aisee!! ❤mungu akusaidie kaka🙏
@dulieone93749 ай бұрын
Kaka joel wewe ni mentor dahh yani unaniguasa mulemule kila nikiangalia video zako yan unazid kunipa hamsa na elimu zaidii
@nestorymapunda64419 ай бұрын
Hii inanihusu nahitaji kuondoka maeneo ninayofanyia kazi Mungu akubariki Mungu anibariki
@DioniziaPotiano9 ай бұрын
Asantee kaka Kwa kazi nzuri na iliyobeba utukufu wa mungu, maana watu wengi tunaangamia Kwa kukosa maarifa, tunamshukuru mungu Kwa ajiri Yako🙏🙏
@JamalPaulo-jt1ju9 ай бұрын
Joel kwa kweli nimekua nikuota mara kwa mara kabla sijakufahamu . Aise unanifundisha vizuli , pya nakuelewa sana . Mungu akuongezee furaha
@VeronicaYenga3 күн бұрын
Sawa sawa
@MalumeDiofu6 ай бұрын
asee kaka nakushukulu sana umeniludsha kwenye msital mungu akusimamie natuzo zakutosha uchukuwe
@EliasGwaya4 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia bro
@neemalyimo92449 ай бұрын
Ahsante sana kaka Joel barikiwa sana ❤
@ZainabuEmmanuel-vs2mo9 ай бұрын
Hili somo linanihusu mimi nahitaji kubadilika natakiwa kuchukua hatua sana🙏🙏😢
@FarajaMkumbo-pc3ft8 ай бұрын
Hakika nimejifunza kitu kikubwa sana kaka joel mungu akubariki zaid ❤❤
@MagrethMhoja6 ай бұрын
Point ya maana sana asante kaka joel mungu akulinde 🙏
@EuniaRyaga-zd3zx9 ай бұрын
Barikiwa sana kwa Elimu bora inayoitoa. Mungu aendelee kukutumia
@shukranjulius95269 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka kiukweli unanibariki kila siku ❤❤
@AbubakariLigi9 ай бұрын
Nikweli Mr joel mm nilikua sithaminiwi kabisa njumbani lakini nilipo amua kubadilika nakwenda sehemu nyingine thamani yangu ikapatikana nashkulu sana🎉 mungu akubaliki
Mume /mke wanauawa sana maono ya wenzao.Inabidi kufanya maamuzi magumu.
@brackskinyozi32808 ай бұрын
Asante xana coach wngu nimejifunza kitu
@mishaelmsongole40699 ай бұрын
Shukran sana mkufunzi kwa hakika napata vingi Mungu azidi kukubaliki na kukupa kibali zaidi
@TheresiaShao-m9s9 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@Jrmontaiza8 ай бұрын
❤
@JamaryPata9 ай бұрын
Nakufatilia live kaka joel
@RosemaryMusa-eb2gp9 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@gloryotaru39219 ай бұрын
Well said,this is so powerful.
@FredyCharles-pd8ur9 ай бұрын
Blessed
@Sanga_jr_249 ай бұрын
Napokea hii ❤ kwa ajili ya kaka @joel😅
@idrisanassor77449 ай бұрын
Hongeraa
@KalabaKlb9 ай бұрын
Nipo tayari kujiunga na MENTROSHIP kaka Joël Nanauka
@MarryJulius-wq3eg9 ай бұрын
Asante Sana nabalikiwa
@OmanOman-c9d9 ай бұрын
Nice joel❤❤❤❤
@pilichuli44499 ай бұрын
Asante Sana kaka
@avitus-thobias9 ай бұрын
Ahsante sana
@yasirwabosi74819 ай бұрын
Unawezaje kujisajili
@RosecharlesMollel9 ай бұрын
Asante sana kaka joel but sauti ipoo chini
@hadidjaissa91549 ай бұрын
🙏❤️
@evaristfabian61259 ай бұрын
Joel, hv anayezipandisha hz video anasikiliza kweli usikivu wa sauti yako na ya bg?
@NathanCosmas9 ай бұрын
Kaka Ubalikiwe umenifungua macho naujasili hii coment na video itakua ushuhuda
@JamaryPata9 ай бұрын
Kaka joel nataman mabadiliko
@mariammujule22624 ай бұрын
Nina mpenzi anaependa kuwasiliana na wanawake wake waliopita na inaniumiza anajua sipendi lakini anafanya hivyo na mbaya zaidi sms zao ni za mapenzi zaidi uku akidai ananipenda na hao wengine niwakupita tuu , nifanyaje?
@annambembela40942 ай бұрын
Kama unampenda acha kumfuatilia na hao wanawake ila kama unaona huwezi kuvumilia anayoyafanya jiondoe mapema.