LIFE WISDOM : FANYA MABADILIKO HAYA UFANIKIWE - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 30,314

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 73
@AlexJefwa
@AlexJefwa Ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏 barikiwa
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 9 ай бұрын
Niliwahi teseka kwenye ndoa miaka 8 ila nilikua naogopa kutoka pale nikihisi siwezi ishi bila yeye niliamua kuondoka nina miaka 14 nanina mtukuza Mungu maisha yanaendelea
@HildaMassao
@HildaMassao 15 күн бұрын
Barikiwa sana Hakika ukijitamkia Mema nayo yanakujiaa Asante kaka Joel
@HanifaChalresy
@HanifaChalresy 9 ай бұрын
Baada ya kudumu ktk ndoa miaka 16 mumewangu alinisaliti nilipitia maumivu makali sana nilijiona sina thamani kabisa,mungu wa ajabu nikapata connection ya kazi dubai niliacha vyote na kundoka,maisha yangu amebadilika sana mara kumi ya vile nilivyokuwa na mume,wito wangu tusiogope kubadilisha maisha yetu
@edithavalelian256
@edithavalelian256 9 ай бұрын
Hongera sana dear
@LeilaMjaka
@LeilaMjaka 9 ай бұрын
Hongera...Asant
@godblessappiah9428
@godblessappiah9428 9 ай бұрын
I need your connection niondoke kwenye hii kadhia hapa nchini
@neemalyimo9244
@neemalyimo9244 9 ай бұрын
Somotime nyumba tunazoishi au sehemu tunazofanyia kazi zinakuwa zimeziba riziki zetu mfano mimi nafanya kazi huu mwaka wa sita hakuna chochote nilichokifanya kila ninachokifanya hakifanikiwa na hata pesa ninayoipata inaisha pasipo kuiona nilichoifanyia katika hili kaka Joel naomba unisaidie
@samwelemmanuel694
@samwelemmanuel694 9 ай бұрын
Pole sana mwana wa Mungu! Lakn nikuombe tu ukumbuke kutoa fungu la kumi Kwa Mungu aliye hai, kama hufanyag hivyo
@samwelemmanuel694
@samwelemmanuel694 9 ай бұрын
Nondo tupu kaka!! Yaan yote uliyoyaongea ni kweli tupu
@ShaniaDanny
@ShaniaDanny 9 ай бұрын
Ni kweli na Mimi pia napata changamoto iyo
@jn_mustonez7842
@jn_mustonez7842 9 ай бұрын
Kwenye hili moja Toa zaka, then chukua kitabu cha Joel nanauka kinaitwa money formula kitakusaidia Sana, I mean utabadirika na utashangaa imekuwaje
@Neemakotei
@Neemakotei 2 ай бұрын
Toa fung la10😊
@franciscamoshi7671
@franciscamoshi7671 9 ай бұрын
Inabidi watu walitambua na kuacha kujichelewesha wawe jasiri na kufanya mabadiliko.Acha kujichelewesha.Fanya maamuzi magumu.Jiamini!!!!!
@hildamushashu5056
@hildamushashu5056 6 ай бұрын
Yaani kupewa tuzo kweli unastaili make uko kwenye ukweli ktk maisha yanatikea good .
@pialafrance7922
@pialafrance7922 9 ай бұрын
Hapa kaka umenigusa moja kwa moja yan daaah😢😢😢 Mungu akubariki sana nafanya mabadiliko now
@ShubiraCostac
@ShubiraCostac 9 ай бұрын
Asante joel,clip hii imenifungua macho! Niliumia sana baada ya mme wangu kufanya mabadiliko ya kuniacha na kutafuta mwanamk mwingine,namshukur sana leo,nimeweza kujua uwezo wangu kuwa bila yeye maisha yanaendelea! Kweli mabadiliko yana gharama! Lakini yana fursa mzuri kwangu na kwake,niligundua akuwai kuona dhamani yangu,mabadiliko haya yametoa nafasi kwetu kila mtu kujua dhamani yake, nimepat nguvu mpya nipo sawa na maisha yanaendelea,Namshukur sana kwa mabadiliko aliyoyafanya❤❤
@ShamimShamy
@ShamimShamy 3 ай бұрын
Nikweli ndokta ulichokisem kun Mahali nilikuwa nafanya kz Nikuona km hawafurahi upo Wang BC ikafik mda wakaniachish kz lkn sahii nilipo wanafurahia uwepo WG Mungu Ni mwema, asant Joel kwakusa hapo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@AhmedyNassoro
@AhmedyNassoro 3 ай бұрын
Mola atubariki na tuweze fika wakati ulisahihi kwetu🙏
@neemalyimo9244
@neemalyimo9244 9 ай бұрын
Ahsante sana kaka yangu kwa kunitia moyo nafanya kazi za ndani nadharaulika na kunyanyasika sana naishi maisha ambayo hayana uhuru naogopa kufanya maamuzi nahofia familia yangu najihofia mimi menyewe, ahsante kaka Joel maneno yananipa nguvu na ujasiri
@emmycharz404
@emmycharz404 9 ай бұрын
Mimi pia mungu atusaidie
@bukuruphilibert2968
@bukuruphilibert2968 9 ай бұрын
Ondoma
@polycarpmfoy6594
@polycarpmfoy6594 8 ай бұрын
Joel ur the best man in this generation 🙏🏼
@hamprehymuniss7458
@hamprehymuniss7458 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka masomo yako yananijenga sana kak
@mwanaidihassan5868
@mwanaidihassan5868 9 ай бұрын
Nashkuru Mungu nilikuwa nafanya kazi baada ya kuingia mgogoro na boss wangu kwa muda mrefu niliamua kuacha kazi na nikapata ujasiri wa kuanzisha biashara yangu ya bakery. Kweli kumbe majaribu ni mtaji, Ile kazi ilikuwa inasababisha nighairishe Kila siku swala la kujiajiri binafsi baada ya ugomvi ule nilijikuta sina option lazima niondoke.
@LeilaMjaka
@LeilaMjaka 9 ай бұрын
Hongera dada mwanahid..
@stumaiayubu9747
@stumaiayubu9747 9 ай бұрын
Hongera sana
@mwanaidihassan5868
@mwanaidihassan5868 9 ай бұрын
@@LeilaMjaka Shukran
@mwanaidihassan5868
@mwanaidihassan5868 9 ай бұрын
@@stumaiayubu9747 shukran
@godfreygerase8713
@godfreygerase8713 9 ай бұрын
Maam kaka wengi wetu tunateseka na tabia kuna tabia tunashindwa kuibadilisha ili tubadilike kimaisha lakini tunashindwa mm nimebadilika nimeanza na mpemzi mwaka uu nimeona mapenzi yananipotezea mda kwa wakati uumda ukifika nitaendelea kwaio tujifunze kubadilikia aisee!! ❤mungu akusaidie kaka🙏
@dulieone9374
@dulieone9374 9 ай бұрын
Kaka joel wewe ni mentor dahh yani unaniguasa mulemule kila nikiangalia video zako yan unazid kunipa hamsa na elimu zaidii
@nestorymapunda6441
@nestorymapunda6441 9 ай бұрын
Hii inanihusu nahitaji kuondoka maeneo ninayofanyia kazi Mungu akubariki Mungu anibariki
@DioniziaPotiano
@DioniziaPotiano 9 ай бұрын
Asantee kaka Kwa kazi nzuri na iliyobeba utukufu wa mungu, maana watu wengi tunaangamia Kwa kukosa maarifa, tunamshukuru mungu Kwa ajiri Yako🙏🙏
@JamalPaulo-jt1ju
@JamalPaulo-jt1ju 9 ай бұрын
Joel kwa kweli nimekua nikuota mara kwa mara kabla sijakufahamu . Aise unanifundisha vizuli , pya nakuelewa sana . Mungu akuongezee furaha
@VeronicaYenga
@VeronicaYenga 3 күн бұрын
Sawa sawa
@MalumeDiofu
@MalumeDiofu 6 ай бұрын
asee kaka nakushukulu sana umeniludsha kwenye msital mungu akusimamie natuzo zakutosha uchukuwe
@EliasGwaya
@EliasGwaya 4 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia bro
@neemalyimo9244
@neemalyimo9244 9 ай бұрын
Ahsante sana kaka Joel barikiwa sana ❤
@ZainabuEmmanuel-vs2mo
@ZainabuEmmanuel-vs2mo 9 ай бұрын
Hili somo linanihusu mimi nahitaji kubadilika natakiwa kuchukua hatua sana🙏🙏😢
@FarajaMkumbo-pc3ft
@FarajaMkumbo-pc3ft 8 ай бұрын
Hakika nimejifunza kitu kikubwa sana kaka joel mungu akubariki zaid ❤❤
@MagrethMhoja
@MagrethMhoja 6 ай бұрын
Point ya maana sana asante kaka joel mungu akulinde 🙏
@EuniaRyaga-zd3zx
@EuniaRyaga-zd3zx 9 ай бұрын
Barikiwa sana kwa Elimu bora inayoitoa. Mungu aendelee kukutumia
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka kiukweli unanibariki kila siku ❤❤
@AbubakariLigi
@AbubakariLigi 9 ай бұрын
Nikweli Mr joel mm nilikua sithaminiwi kabisa njumbani lakini nilipo amua kubadilika nakwenda sehemu nyingine thamani yangu ikapatikana nashkulu sana🎉 mungu akubaliki
@julianalaly2095
@julianalaly2095 9 ай бұрын
Asante sana
@LilianShenyagwa
@LilianShenyagwa 9 ай бұрын
Mungu atusaidiee🙏🏻🙏🏻
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 9 ай бұрын
Shukurani xana... coach wetu...kw...kuendelea...kutufungua....barikiwa..xana.
@selemanramadhan3279
@selemanramadhan3279 8 ай бұрын
Nashukulu bro Joel ntachukua hatua kubadilika
@franciscamoshi7671
@franciscamoshi7671 9 ай бұрын
Mume /mke wanauawa sana maono ya wenzao.Inabidi kufanya maamuzi magumu.
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 8 ай бұрын
Asante xana coach wngu nimejifunza kitu
@mishaelmsongole4069
@mishaelmsongole4069 9 ай бұрын
Shukran sana mkufunzi kwa hakika napata vingi Mungu azidi kukubaliki na kukupa kibali zaidi
@TheresiaShao-m9s
@TheresiaShao-m9s 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@Jrmontaiza
@Jrmontaiza 8 ай бұрын
@JamaryPata
@JamaryPata 9 ай бұрын
Nakufatilia live kaka joel
@RosemaryMusa-eb2gp
@RosemaryMusa-eb2gp 9 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@gloryotaru3921
@gloryotaru3921 9 ай бұрын
Well said,this is so powerful.
@FredyCharles-pd8ur
@FredyCharles-pd8ur 9 ай бұрын
Blessed
@Sanga_jr_24
@Sanga_jr_24 9 ай бұрын
Napokea hii ❤ kwa ajili ya kaka @joel😅
@idrisanassor7744
@idrisanassor7744 9 ай бұрын
Hongeraa
@KalabaKlb
@KalabaKlb 9 ай бұрын
Nipo tayari kujiunga na MENTROSHIP kaka Joël Nanauka
@MarryJulius-wq3eg
@MarryJulius-wq3eg 9 ай бұрын
Asante Sana nabalikiwa
@OmanOman-c9d
@OmanOman-c9d 9 ай бұрын
Nice joel❤❤❤❤
@pilichuli4449
@pilichuli4449 9 ай бұрын
Asante Sana kaka
@avitus-thobias
@avitus-thobias 9 ай бұрын
Ahsante sana
@yasirwabosi7481
@yasirwabosi7481 9 ай бұрын
Unawezaje kujisajili
@RosecharlesMollel
@RosecharlesMollel 9 ай бұрын
Asante sana kaka joel but sauti ipoo chini
@hadidjaissa9154
@hadidjaissa9154 9 ай бұрын
🙏❤️
@evaristfabian6125
@evaristfabian6125 9 ай бұрын
Joel, hv anayezipandisha hz video anasikiliza kweli usikivu wa sauti yako na ya bg?
@NathanCosmas
@NathanCosmas 9 ай бұрын
Kaka Ubalikiwe umenifungua macho naujasili hii coment na video itakua ushuhuda
@JamaryPata
@JamaryPata 9 ай бұрын
Kaka joel nataman mabadiliko
@mariammujule2262
@mariammujule2262 4 ай бұрын
Nina mpenzi anaependa kuwasiliana na wanawake wake waliopita na inaniumiza anajua sipendi lakini anafanya hivyo na mbaya zaidi sms zao ni za mapenzi zaidi uku akidai ananipenda na hao wengine niwakupita tuu , nifanyaje?
@annambembela4094
@annambembela4094 2 ай бұрын
Kama unampenda acha kumfuatilia na hao wanawake ila kama unaona huwezi kuvumilia anayoyafanya jiondoe mapema.
LIFE WISDOM : PRESHA ZA MAISHA - JOEL NANAUKA
16:39
Joel Nanauka
Рет қаралды 14 М.
LIFE WISDOM : UJASIRI - JOEL NANAUKA
14:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 25 М.
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 41 М.
LIFE WISDOM : USIENDE PEKE YAKO, NI HATARI - JOEL NANAUKA
15:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
FANYA HAYA KUTIMIZA MALENGO YAKO 2025 || JOEL NANAUKA
23:04
NGUZO YA MAARIFA
Рет қаралды 80 М.
LIFE WISDOM : AINA 7 ZA UTUMWA WA KISASA - JOEL NANAUKA
16:01
Joel Nanauka
Рет қаралды 22 М.