Kama bado unaisikiliza 2020 gonga like. One of my favourite song. Kila niuzikilizapo na pata hisia za kipekee sana. Sauti nzuri ya Sabah.
@azawahirtoufiq92364 жыл бұрын
am here july 2020 💕
@fatmaabubakhar79944 жыл бұрын
Hisia gani wapata si uniibie siri😂😂😂😂😂😂
@robertfabian80904 жыл бұрын
Fatma, kuna hisia nadhani hazina neno au maneno ya kuzielezea na ukijaribu kuzieleza utaharibu au utapoteza maana halisi, inabaki kuwa ndani ya moyo wako. Kiukweli naposikiliza huu wimbo ninakuwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa.
@zuennarashid56304 жыл бұрын
2020 september now i am looking
@mr.magic771 Жыл бұрын
its 2024 and its still my best taarab
@jamaalabubakar12116 жыл бұрын
Maa shaa Allah...Allah Atujaalie wake wema,watakaotupa utulivu na walio na huruma kwetu.....bila shaka mke mwema ndio pepo ya duniani....Rabby yatakabalie maombi yetu...Allahumma Aamiin
@muslimahmuslimah48946 жыл бұрын
Ameen Yaa Rabb
@irynesaid84526 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi inshaallah🤲🙏
@jumazamani84102 жыл бұрын
Dah zenji enzi izoooooo nakumbuka tunachambua karafuu dah siku zimepita mungu ailinde Zanzibar yetu
DAAAH HII NYIMBO INANIKUMBUSHA MBAALI SAANA 2003 NIPE CHEKECHEA BABA ALIKUWA NA REDIO NDOGO HIV YENYE COVER YA MBAO MCHANA AKIRUDI SHAMBA ALIKUWA ANACHUKUA JANVI ANATANDIKA CHINI YA MZINGAFURI ANAFUNGULIA TAMTAM ZA MWAMBAO.
@mkambijuma43275 жыл бұрын
waw yuko wapi mtoto aliembuka na roho nzuri na heshima zako akaniweka moyoni mwake na nikamuweka moyoni kwa dhat akaniimbia nyimbo kama hii ya allah hebu nikutanishe naye.
@FatimaAfricanifoodАй бұрын
Mungu akupe kauli sabiti mwinyi wa ngu
@ahmadakishingo19354 жыл бұрын
Daaa kidato cha tatu 1996 siku hizo Mungu marehemu shwahiba wangu (Rukia Kaumbwa) alikuwa anapenda kuimba wimbo za Sabah na kuzipata kama zilivo
@suhailasuleiman5895 Жыл бұрын
Pole sn rukia alikuwaa anakaa kwa chimbeni eh
@muslimahmuslimah48948 жыл бұрын
Duniani Mithili yako hapana, Na peponi tutakutanishwa tena. My favourite song Ma shaa Allah.
@allyumar41424 жыл бұрын
Yah nice song taarab of all time.
@zainhemraj59653 жыл бұрын
Wazamani
@jamal-dintz64652 ай бұрын
Anaeisikiliza leo 2024 hii nyimbo like hapa❤
@raymondtemu9943Ай бұрын
Best
@MohamediNyari11 ай бұрын
Maa shaa Allah atujaalie wake wema nawatoto wema
@AhmedAbubakari11 ай бұрын
Inshaallah
@rahmakarama4202 Жыл бұрын
Mashaallah ni nyimbo nzuri na ukitulia kuisikiliza ndio ina raha yako heko Sabah nakupenda sana na nazipenda nyimbo zako na sauti pia hongera
@faudhiamunna-lg7ge6 ай бұрын
Hii taarab inanyongonyeza moyo yani ipo na udhini sana kwenye kinanda chake wallah nimechwa mie nataman kumuona mwanamme huyo ata njiani wallah😢 mimi nampenda sanaaa Ally❤
@bittybitty27125 жыл бұрын
Jamani naipenda hii nyimbo sana yana mama kaimba maneno matamu nakumbuka kuee huyu mungu ampe maisha marefu
@mwinyirogoh23897 жыл бұрын
jamani naikumbuka hii nyimbo sana2 baada yakumpoteza mchumba wngu wakwanza! mola aiweke roho yke maalipema insha Allah tutaonana my....!!!
@zainabbukari19107 жыл бұрын
Mwinyi Rogoh pole sana kifo cha mahaba ya shakila pia
@abubakarkeya96345 жыл бұрын
Mola akufanyie wepesi
@alialibablly70105 жыл бұрын
Pole sana Ameen mkumbuke kwa Dua na swalah na sadaka
@salimnassor91535 жыл бұрын
Jamani mimi nyimbo sipendi hasa, na nailazimisha nafsi yangu hivyo, lakini nikisikia hivi vinanda vya kuanzia tu kwanza, inanibidi nisimame kama dakika 5 mpaka 10. nafsini mwangu najihisi kua mnafiki, Astaghfirullah.
@aminasalim67824 жыл бұрын
Pole sana wangu Allah ampe kauli thabit
@Edwardgasper8 ай бұрын
Ukiisikia huu wimbo lazima usisimke na kama mmeo yupo mbali lazima umpigie cm sabah mashallah
@bigmzazee29613 жыл бұрын
Nilikua nampenz Wang 2013 2014 alikua mzanzibar halida hajj aliupenda wimbo huu sana dahh alichonifanyia ashkur mungu tu inauma sanaa alikua anaupenda wimboo huuu nikiusikia roho inauma mnooo ngoma tam sn
@qaltumsaid30955 жыл бұрын
2020 anyone??👌
@henrymapunda46022 жыл бұрын
2022 🎉
@Precious-dear15 күн бұрын
I Love this song tangu kitambo😢❤
@haroubjuma51075 жыл бұрын
This song makes m to feel happy when i was home Zanzibar islands god bless Zanzibar i love Zanzibar
@suhaybabeid31154 жыл бұрын
Cjaona mwengine km ww sabah salum i like your taraab mashallah love my grand mom for give us good entertainment thanks😀😀 and last that i want to tell you everyday i listen your taraab😭😭 am cry coz of your good taraab. THANKS😍😍
@nassoryussuf36394 жыл бұрын
Nyimbo tamu sana, inaburudisha ba kufunza pia. Fasihi ndo hii jmn
@eddyali84087 жыл бұрын
Wanigusa rohoo ynguu kwa maneno yko mwili wote hoi mums sabah lv so much .... hapa Musa chothaz kutoka italy
@lailahasan22005 жыл бұрын
Mashaallah,, inaniumiza hii nyimbo kumkosa wa moyon, aise mungu ndo mjuz cha tu....
@cadabra74023 жыл бұрын
Kabisa
@nassirsafari23384 жыл бұрын
2020 who's still listening....Swabaha mchacho ameweza sana.... +254
@SaidAlly-zb2jb5 ай бұрын
Kama bado unaisikiliza hii 2024 ebu tujuane kwa likes
@latahilehsein37495 жыл бұрын
Subhanallah hii nyimbo sichoki kuniskilza na ina nifanya niwakumbuke wazazi wangu wote wa 2 saa 8 mchana marehemu mama yangu na baba yangu wakiimba pamoja, Allah awasameh makosa yao ya sirini na dhahir awajalie janat firdaus ya daraja ya juu Ameen YARABBY
@hemmyboy80614 жыл бұрын
latahi Lehsein inshaallah
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
AMIIN YAA RABBY
@salmamasoudy68425 жыл бұрын
na pepon tutakutanishwa tenaaa mpz mwenye iman mm nakupenda sasa mpk 2020 iko juu vya kale dhahabu
@Twalibuidd5 ай бұрын
daah huwa namkumbuka mpenzi wangu sana jasmin
@jamal-dintz64652 ай бұрын
Pole sana
@kareemrasheed69978 жыл бұрын
Nice song wallah ng`ombe hazeeki maini nyimbo hii inankumbusha udugu wangu diana
@aminamahmoud87845 жыл бұрын
Eeeh jamani kama unaskiza hii 2019 jun,piga like
@greatiq82345 жыл бұрын
Kunnipata ndipo!
@saidmohamed30495 жыл бұрын
Top song
@samiramrabumrabu63785 жыл бұрын
2020 still here
@BOTTEST75 жыл бұрын
2020
@pambasr23454 жыл бұрын
2020 juni na bado naiona faya
@philcoism5 жыл бұрын
This is my second best song after Yalaiti ya Bi Malika. "Mpenzi mwenye imani, mimi nakupenda sana."
@abdallahmkandambuli45717 жыл бұрын
nyimbo hii inanikumbusha mbali sana,majonzi furaha sina upo mwangu mawazoni ni maneno yanayonitowa machozi,mama amejuwa kuimba jamani
@faroukmahmoud81114 жыл бұрын
Reminds me of my wedding night 23 years ago. Lost for words. Beautiful.
@jumahamad80754 жыл бұрын
Nataman kukuona jaman sabaha mashallh sauti nzuri
@preetyroshylne14756 жыл бұрын
Nataman kukuona,majonz furaha cna umo mwangu mawazon dah ...Kazi nzur bi sabah
@paissomwiny28024 жыл бұрын
Mashaa llah
@AshifchakarBaharamАй бұрын
🎉
@AshifchakarBaharamАй бұрын
good
@hajiomar70267 жыл бұрын
Masha Allah inanikumbusha mbali sana iko wap Zanzibar yetu hii
@nugwimpemba31837 жыл бұрын
dah yaan huyu mama nyimbo zake sikomii kuziskiliza every day nakumbuka kulee zenji maeneo ya mji mkongwe hukos ngoma hiyo i like this sabah salum
@emmanuelmasoko1013 Жыл бұрын
Hizi ndio Taarab Sasa, hizo zingine boringo, gonga like hapa 2023
@AhmedAbubakari11 ай бұрын
Sabaha anajua sana huyu jmn
@fatemamudathir69318 жыл бұрын
Akheir Zaman.......wallahi wanikumbusha hapo awali ya mapenzi na ya Ayuoni wng. luv it
@ra.darai1 Жыл бұрын
جدتي مره قالتلي ان كلما اشتاقت لجدي تسمع هالأغنيه🥺
@duncanmshila36144 жыл бұрын
Jameni 2020 na bado nyimbo ni hit ...naipenda maana yanipa hisia nzuri ...Love you Sabah Salum
@kibibimwaita24386 жыл бұрын
Miaka mingi lakini haishi hamu old gold
@kiddatu75 жыл бұрын
Them dayz when love was real!!! Sometimes iwish I could go back to those days...it reminds me of my late wife...rip beb when ihear this song icant control my tears oooh!!! sleep well mpenz mwenye ulikua na imani kwangu
@farhatfatma125 жыл бұрын
Pole sana. ALLAH AMREHEMU NA AMPE PEPO YA FIRDAUSI.
@biabuali13715 жыл бұрын
Pole xana
@shabanially1755 жыл бұрын
Pole kaka kwa kuondokewa na mpendwa wako, Inshallah mtakutana kesho peponi.
@mozasalum97155 жыл бұрын
Abubakar Ali pole
@RioIpo4 жыл бұрын
Pole sana bro
@mohamedshaaban74127 жыл бұрын
my feelings is going deeper,, it reminded of me when I was 8yrs my mom told finish to eat to go madrasa,,,, impressive 👌👌👌
@jacksonnzigo56426 жыл бұрын
Mohamed Shaaban z. nnnnnmnsssssmssc dDZra@#4=sA ¥a
@yusrahamza32083 жыл бұрын
Ahahahaa😆
@fadhelelfamawy22972 жыл бұрын
The same to me
@IdhharMKassim2 жыл бұрын
And yet here you are, listening to taarab
@mohammedally2247 Жыл бұрын
@@yusrahamza3208⁰p
@ismailmjeshi19847 жыл бұрын
wapenzi wa sabah hamjamboooooooo..............
@zainabbukari19107 жыл бұрын
Ismail Mjeshi atujambo penda sana sabah
@ismailmjesh47076 жыл бұрын
+Zainab Bukari Sabah hatar ww...mithili yke hakuna....
@tarrickaziz93276 ай бұрын
Tupo
@AshifchakarBaharamАй бұрын
nani anasikiliza usiku huu 2025 ?? like hapo chini
@AshifchakarBaharamАй бұрын
❤❤❤❤🎉
@AshifchakarBaharamАй бұрын
❤maneno yanaingia masikioni yanatuliya moyoni❤
@AshifchakarBaharamАй бұрын
LONG TIME ,LONG STORY, LONG DESTANCE , HARD TO FORGET , TRUE LOVE,❤
@zubyzubymohamed41037 жыл бұрын
Me mwezenu feeling beat za uyu mama zote na sauti yakee OMG🎹🎹🎹🎸🎸🎸🎼Nataman! nataman! nataman! kukuona OMG Majozi furaha sina humu mwangu mawazoni ...😘😍😌
@zainabbukari19107 жыл бұрын
Zubyzuby Mohamed yani sijui nani atamuwezea minamtamani nimuige
@shabanndabari59588 жыл бұрын
mpenzi mwenyewe imani,mi nakupenda sana
@wahidahabibu82747 жыл бұрын
mashaallah najiona mm ndo naiimba juu yakitanda namumewangu ananisikiliza...mashaallah sabah
@zainabbukari19107 жыл бұрын
Wahida Habibu sana tu wahida atamie nshisi ivyo
@halimamajid40425 жыл бұрын
Hahahahaa....hongeraaaa
@faridamkesso975 жыл бұрын
Sichoki kusikiliza daima , dah nakumbuka mbali sana nilivyopotezana na niliempenda kwa dhati 😢 hadi leo 2020 hanitoki
@halimahussein66864 жыл бұрын
Polee kam mim dah it real hurts
@aishaimran-xg9de Жыл бұрын
2023 still Love this song
@abdulkheirmohd24899 жыл бұрын
This song reminds me soo much about my sweet mama
@nassorsultan46276 жыл бұрын
ABDULKHEIR MOH'D pole brother
@allysharubusharubu1823 ай бұрын
wazeee hawa nd walokua wanajua kuimba utulivu nyimb izi aziwez kuisha hazi ata kidg
@ashahaji49368 жыл бұрын
hamna km mume wangu Yussuf Allah bless my hubiy
@fatmajuma92115 жыл бұрын
Duniani mithili yko hapana BABA yng mzazi na peponi tutakutanishwa tena inshaallah
@aisshamohamed34528 жыл бұрын
natamani kukuona.. nice song...
@goodluckkweka10118 жыл бұрын
that's fantastic
@omarjuma18888 жыл бұрын
Aisha Yusuf mambo
@bignaurathit54387 жыл бұрын
utamuona
@dddghkf78257 жыл бұрын
Goodluck Kweka wwwfnpqker
@maiyakassim53024 жыл бұрын
Duh! Sikugani twakutana unitoe adhabuni wallah naumia sana nimekumbuka mbali Sana 😭😭
@saidamohammed24388 жыл бұрын
love this song it remind me of someone use to be soo special
@leilahassan20463 жыл бұрын
This song make me feel so badly when I remember my ☓, but no way life goes on
@lizzybeth69152 жыл бұрын
Me too my x 😂😂
@ibrahimsuleiman5375 Жыл бұрын
Like me
@saphiamrope74647 ай бұрын
😂😂
@saphiamrope74647 ай бұрын
😂😂
@allymuchiri87675 жыл бұрын
Jamani!!!nikiwa ndani ya boat kismayuuu..huu mziki hatari sana karibu nijitupe baharini.
@abouhariatsaid20076 жыл бұрын
Keuli mach'Allah nzuri kupendana muhimou dro tamou ya moyoni na zayidi raha kuonana ichall'whaou
@aishayusuf66487 жыл бұрын
MashaAllah very nyc song
@salmashee3706 Жыл бұрын
Nice song masha Allah ❤ nice words and very melodious i dedicate this song to my beloved husband wherever he is❤ yes! Will always cherish your love forever❤❤❤ till death do us apart ameen!
@sabriaalzadjali93287 жыл бұрын
Sabah i love you,Zanzibar throwback
@kassimulega70438 жыл бұрын
Maneno mazuri...sauti safi. Mashallah
@zainabbukari19107 жыл бұрын
Kassim ulega sana kaka zaidi ya sana
@circulationnewhabari1548 жыл бұрын
nampenda sana huyu mama inshaallah Allah akujalie umri zaidi hakuna kama wewe kwenye tasnia yaa taarabu tanzania
@zainabbukari19107 жыл бұрын
circulation newhabari sana akuna mashauzi tu yamewajaa mavi matupu
@bahathirashid18563 жыл бұрын
2021 still glued to the beautiful lavish lyrics ... anyone ? ❤️
@ishajuma64853 жыл бұрын
Am here
@bahathirashid18563 жыл бұрын
@@ishajuma6485 pamoja 👍🏻
@ayubmazrui75432 жыл бұрын
Here too
@hadjisoihiri24365 жыл бұрын
Je ne prend pas vraiment votre langue mais j aime tellement cette chanson 🤗🤗
@greatiq82345 жыл бұрын
Amen!
@augustinebasil3218 Жыл бұрын
C,est bien
@salwahalisi296 жыл бұрын
Sabah i love nyimbo zako zote uko juu sana mungu akuweke nakupendaa.duniani mithili yako hapana na peponi tutakutanishwa tena
@AshifchakarBaharamАй бұрын
nakumbuka mwenge prymar ,1984 for some one first love
@sailuusaidi21323 жыл бұрын
Hii nyimbo nikisikia nakumbuka Na mpenz wangu uko tanga ila sasa ivi Hakuna mapenz kabisa yani 2021
@khakeemafro62748 жыл бұрын
Dahh kitambo kweli kipindi icho najiandaa kwenda madrasa saa nane mchana zinachezwa kwenye kipindi cha burudani sauti ya Zanzibar radio
@zenazena94726 жыл бұрын
khakeem afro daaah sabah unazeeka na sauti yako, mwanamama unaipa tasnia ya miuzi ya taarabu raha tupu
@mzeemzee24676 жыл бұрын
Zikipigwa mbili tu muda tayari wa kwenda
@Anonymous000186 жыл бұрын
Hahahahaa mbio na mas-haf yako unakimbilia, duh! Alhamdulillah time flies
@omaralihamad37856 жыл бұрын
Hahaha
@greatiq82345 жыл бұрын
Mwanangu wacha tu. Mi nilimtumia cousin wangu kule UK 1998 akaning'ang'ania!
@fatumaababy12817 жыл бұрын
MashaAllah old is gold 2017
@mwinyirogoh23897 жыл бұрын
fatuma Ababy really umesema ccter
@josealute3236 жыл бұрын
Fatma uko Zanzibar?????
@LovelyOmbreSky-pu4jt2 ай бұрын
Ilaa jamani huyu mama kwakweli mashahalla mwenyezi mungu amemjariia sana Sauti nyororo
@werger.yousef174011 жыл бұрын
Lovely..Sabah MOLA Akupe Umbrii.
@mumsaida79947 жыл бұрын
Full Mahaba..Shukran Maa Sabah Salum...Mola akueke ❤
@ismailmjesh74267 жыл бұрын
Mum Saida kabsaaaa mum saida' allah amuhifadhi......
@faizahmed902 жыл бұрын
Macho yakisemezana yakumbuka ya sirini sabah salum is the best
@elizabethfaustin77852 жыл бұрын
Nani nipo nae 2022 😇🥰
@tarrickaziz93276 ай бұрын
Wimbo wangu pendwa wa muda oteeeee❤ hii kitu haiachi roho inataka tuuuu 😅
I smell marashi ya karafuu when i listen this nice song,long life my zanzibar miss you love you
@cpasalma15325 жыл бұрын
For life
@gshdhshhshs33626 жыл бұрын
I feel home omg jamani nyumbani kwetu 😢2018 i miss home zanzibar mitaa yamchenzani jumba no 3
@yusufkibwana57892 жыл бұрын
One of the best songs nishawai sikia Sabah nakupenda you are the best artist I know 💝💝💝💝
@maryammussa9735 Жыл бұрын
Mashaallah nice song.ila huwa inaniliza sana
@eddieelijah935911 жыл бұрын
Maneno yako sawa sawiyya kaka Bakri....Mie ndo hulala kabisaaa
@khamishamid-fv9po Жыл бұрын
Inshallah ya sabbah!
@Sumadobi8 ай бұрын
jamanii huu Wimbo uwiiiiiiiiiiiiiii natka kama nikamtunze mama sabah ❤❤❤❤❤
@abdulhamidkificho57684 жыл бұрын
Viva old is gold taarab Zanzibar Long life Zanzibar, Asili haipotei Viva Aunt Sabaha Muchacho
@maisarahakizimana70745 жыл бұрын
Special song for my husband 😍😘😘
@peterjunior68118 жыл бұрын
dah Sabah mkali sana Ila wabongo hatumsifu mtu mpk AFE
@zainabbukari19107 жыл бұрын
Peter Junior siwashazoea micharuko dar live kaka miaka sabaha penda yy
@cpasalma15325 жыл бұрын
Natamani natamani kukuona
@mohamedmgwami59875 жыл бұрын
naikumbuka Zanzibar ile yazamani Imani nyoyoni mwa Watu ilikuwepo, watu waliheshimiana, kupendana kuhurumiana, Mabaya tunayoyasikia nakuyaona Leo hayakuwapo wakati ule
@al-khairat63 Жыл бұрын
Nyimbo za mahaba kama hizi ndio twazitaka❤😊2023
@shamscookery59899 жыл бұрын
I love I love love ...this song reminds me so mch of my teenage
@amanimyolo14782 жыл бұрын
Love like war easy to start but hard to end...God is good for evertime