AKASHA DAAWAH TRADERS +254 721310082 KWA WALE WANAOISHI NNCHI ZA MBALI TAFADHALI TUWASILIANE KUPITIA #viber free calling
Пікірлер: 272
@husseinmongolare16614 жыл бұрын
Shukrani Allah akulipe kilalaheri nafatiliya video zako Apa U.S.A
@ndekelaausi82635 жыл бұрын
Allah akuongozeni Waisilamu wote mnaosikiliza neno la M/Mungu
@lubuvahussein55562 жыл бұрын
Aamiin Allahumma Aamiin
@salehehassan13306 жыл бұрын
Mazinge unafanya vizuri katika kazi ariyokujaria Allah kazi ya daawa ningumu jamani ningumu haswa hivyo dua nakuombea uzidi kuwafikishia ujumbe huu mzito
@shunshmc88684 жыл бұрын
Huku mbeya uislam unapotea karibu h
@omariliwikila19795 жыл бұрын
Ama kweli ww ni profesa wa vitabu vitakatifu mungu akuongoze maisha yako yote.
@mwakakhamis57625 жыл бұрын
Jamanii waislamu hizi video hatuzipendi au mbona like kidogooo.
@fatmabakari5458 жыл бұрын
mashallah mola akuzidishie umri na akulinde mazinge
@habibuhmtengule1915 жыл бұрын
Fatma Bakari kfqqw
@abouhassan95864 жыл бұрын
g
@ibrahimabdul54908 жыл бұрын
M/mungu akurekhem kaka. Ujumbe umewafikia waliosikia na wakatafakar na wakachukuwa hatua. Inshaallah M/mungu atakulipa. Kwakuwatoa waja wa M/mungu ktk jiza na kuwapereka ktk nuru. Kwani uislam ni vazi la imani aliyotuumbia M/mungu. Ibilisi au sheitwani ndio aliowavua baadhi ya watu vazi la imani ambalo alilotuumbia M/mungu baada ya yeye kufukuzwa ktk nuru ya M/mungu. Lakin tusikate tamaa inshaallah Allaah atawanusuru tusichoke kuwaombea..!
Yeso ni mtume tu Allah anasema mama yake alikuwa mkweli na wote mama na mtoto wake walikuwa wa kila chakula na kwenda choni basi hao ni waungu gani wanaokula chakula na kwenda chooni hebu fikirini mungu wenu anakwenda chooni akiwa chooni hamujielewi kweli
@kinianirajabu11245 жыл бұрын
Jazaka Allah
@jumasalum57694 жыл бұрын
Sheikh wangu me nipo Mwanza napiga mishe mishe za kawaida tu ila niko tayar kuja kujiunga na kikosi chenu niwe hata mbeba mabegi ili na me niwe napambana ktk njia hiyo unayo itumia
@rokiroki18253 жыл бұрын
ALLAH atufishe haliyakua ni waislamu
@barakashaban96983 жыл бұрын
Allahumma aameen
@ismailrebe70724 жыл бұрын
Mungu akulipe kwa kazi ya dawa unayofanya
@farukiddi59675 жыл бұрын
Mungu akupemiaka 100
@sarifimikidad39945 жыл бұрын
OK
@habibaselemaniasantesana97743 жыл бұрын
Shukran shekhe Allah akulinde
@yahyaibrahim65462 жыл бұрын
Dahh yani mimi nimeongea mbele ya mkrusto nkawambia jesus sio mungu yani najiona sina raha yani nikiona aya makafiri kazini kwangu yani nakereka sana natamani wasilimu maana naona wanapotea
@kimsi682 Жыл бұрын
Hahaha! Why?
@salehsuleiman85192 жыл бұрын
Allah ampe afya njema Mazinge
@hamdounkhamis95427 жыл бұрын
wasio waislamu wanaumiaaa wakiitwa makafiri lakini wanayofanya ni machafu mungu kapatia kweli kuwapa jina hilo... makafiri mupooo??
@elizabethgiven83635 жыл бұрын
Hamdoun Khamis kafili baba yko kamuingilia mama yako bila kuomba dua ndiomana ukazalia ww ucye jielewa
@michaelvincent62525 жыл бұрын
Hayo mafundisho ya kupokezana Hayapo kwenye bibilia takatifu ndio kitabu cha kwanza soma wakolosai 2:8
@msafiriaugustino29575 жыл бұрын
hawa ndio wanaowakosesha
@salehkhalfan27875 жыл бұрын
Ndgu yng Hamdoun naona wamejitokeza wenyew
@youngthug6045 жыл бұрын
Kama ww ostaz na uku unazin na kufila mkeo au awala utamuitaj kafili au shetan mchezo wa kuflan unaupenda sana je nyinyi 2waitaje
@idrissajumakona58715 жыл бұрын
ماشاءاللہ
@jasminyiddysulaiman98073 жыл бұрын
Maashallah tabaraqallah..nakupenda kwa ajir ya allah
@shabanikaum12474 жыл бұрын
Maasha Allah
@athumanhassan93605 жыл бұрын
Xheikh wng Allah akujalieh nakpnd xn
@khalfanhamisi42185 жыл бұрын
aslmalkm ndngu waislam ??? InshaAllahh !!!.......
@rahillhamidu25445 жыл бұрын
Kusoma ni muhimu Sana wallai waislam
@abubakarmpole40005 жыл бұрын
Unachoongea ni sahihi kabisa ustadh Suleiman
@hopetrust93214 жыл бұрын
Wew kasome vizuri yesu Ni mwana wamungu hata mtume alikiri kuwa yesu Ni masihi na nimkombozi waulimwengu Sasa usiingee kutafuta sifa na wakristo hatuna mashindano pia muislam wakweli namkristo wakweli watakua naundugu sawa nawamke na mume mawarda ongea tu hujielewi wewe
@lilianjoshua14073 жыл бұрын
Yani Mungu awasamehe sana waislamu. Maana hawajui walinenacho, laiti wangemjua huyo Allah ni nani wasingempa utukufu hivyo! Sipati picha watakavyokaangwa hukumuni.
@saidasaidjuma35053 жыл бұрын
@@lilianjoshua1407 Subhnallah
@jamalabdi15255 жыл бұрын
Masha Allah
@simbayahe49604 жыл бұрын
Maxhalllah
@Julia-gm1wh6 жыл бұрын
Yesu n Mungu sababu yesu akasema yeye yu ndani ya Mungu na Mungu yu ndani ya Mungu so iko wazi unapotaja Mungu umetaja yesu na unapotaja yesu umetaja Mungu
@yasinnasibu19975 жыл бұрын
Joseph Kalume manshalah
@dullyvidully77985 жыл бұрын
Na aliposema yeye Ni mtu je?
@khamisally57885 жыл бұрын
Aliposema mm mtu vp hapo maana hayo maandiko yote yake
@jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын
Allah Akupeumli Muref Wenyemanuf
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Washeikh wangu wewe nawenemihazara munacambua kwelikweli mimi nikua najuwa wenzagu tunamwombamungu umoja kumbe wao wamedanganywa namafundisho yawatu
@erastomgaiwa79884 жыл бұрын
Safi sana
@kulthumali50509 жыл бұрын
mashaallah
@mohakharu63155 жыл бұрын
Kweli kabisa mazinge
@shazirmakunda18326 жыл бұрын
mungu akuzidishiee🙏
@fatumamshamu17593 жыл бұрын
Allah.akufanyie.wepesi.magumu.unayopitia
@jayforjayfor2594 жыл бұрын
Mashalaa
@mbaraksaid23754 жыл бұрын
Mashallah
@nasibuabdul2873 жыл бұрын
Mwenyezimungu ni mkubwa
@elizabethgiven83635 жыл бұрын
Mwenyez mungu ali huumba ulimwngu kwa siku saba ila siku ya saba akapumzika nyinyi waislamu kila siku munamuomba Mungu mnachokiomba nn kama siunafiki .miskitin kwenu kumejaa unafki ndio mana ata kuswali kwenu mnatenganishwa na wnawake wakihinama mtawatamani mtashindwa kuswali kwkua mtume wnu muhamadi alikua anatamaha
@mhogomchungu71685 жыл бұрын
anaepumzika huwa ni mwenye kuchoka, na M/Mungu Mtukufu alietakasika hana sifa ya udhaifu ya kuchoka
@khamisally57885 жыл бұрын
Elizabeth Given ndio maana nyie mnagongana kabisa kanisani au sio hongera
@khamisjuma61755 жыл бұрын
Cc ktk kusali ha2jaambiwa cku gn 2pumzike ila kwa mwanamke aliye maadhura. Ucjali Eliza mm nakuombea usilimu ili ujue utamu wa uislam na qur ani. Najua saivi itakuwa ngm kwako lkn kadri ukickiliza km haya bac ndo unakaribia kuwa muislam. Kl la kheri Eliza.
@hp32025 жыл бұрын
Unafiki na uislam ni vitu viwili tofaut ambavyo havilingani. Kuhusu kusali kila siku ni kuzidisha iman ya ucha Mungu kwa sabb bnaadamu Ana sifa ya kujisahau na kutenda dhambi, unaposali kila siku moyo unalainika na kujutia kufanya maovu, yeyote anaeidumisha swala hakika yeye atapata ucha Mungu moyoni mwake. Hem wewe jiulize kwa nini kila siku unakula na kunywa? Jibu uko nalo. Basi huo ndio mfano wa moyo kadri unavoukurubisha kufanya ibada ndio unazidi kusafika na kuimarika kiimani lkn ukikaa tu Bila ibada imani inapunguwa na makosa yanazidi kuongezeka.
@missfa46504 жыл бұрын
Mungu hacoki weweee aca kukufuru..kasome kwanza
@rafamiliyaarafamiliyaa47024 жыл бұрын
very very nice
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Takbiiiiiir
@boontujimmaa94623 жыл бұрын
Mashallah sheikh Mazinge
@hassansalum84967 жыл бұрын
Subhan'Allah
@jumahoza15755 жыл бұрын
Maalim upo vizuri sheik wangu. MOLA akulinde zaidi na zaidi
@zapharansuleiman35074 жыл бұрын
Hassan Salum mashallah
@zapharansuleiman35074 жыл бұрын
Mashallah ustdh mazinge Allah akulipe kwa ufafanuz wako
@zapharansuleiman35074 жыл бұрын
Mashallah ustdh mazinge Allah akulipe kwa ufafanuz wako
@sulainaanyango98993 жыл бұрын
Maashaallah
@khalfanhamisi42185 жыл бұрын
Allah Akbar' Allah Akbar ' Allah Akbar!!!.......
@rashidseif61036 жыл бұрын
Makaafiri ni watu wasiojielewa, utasemaje kiumbe cha Allah kukipa sifa ya Mungu....
@shabanikizulege14953 жыл бұрын
wachamungu wa kweli awatouzunika wala awatokuwa na hofu mbele ya Mungu
@dottomarko62134 жыл бұрын
Asa sasa hivi nawaona waislamu Mme kosa LA kuongea mtandaon kazi kuongelea dini za waty kwanin mnapenda kuwachokonoa watu? Asa wew yesu ni mungu inakuhusu nini acheni mambo hayo hii nidunia bado muamuzi hajatokea wewe sio malaika na wala sio mungu kila mtu ana kabul lake
@minaminaa16695 жыл бұрын
Takbirrrr Allahu Akbar
@mwakakhamis57625 жыл бұрын
Msiba jamani waislamu 70 wengi innalillahi wa inna ilahi rajiuuni.
@hassanmakoye12645 жыл бұрын
Shekhe mazinge uko vizur
@rafamiliyaarafamiliyaa47024 жыл бұрын
thank you mzinge
@rafamiliyaarafamiliyaa47024 жыл бұрын
the good people
@fatmaally7147 жыл бұрын
MashaAllah
@evanstawayi79555 жыл бұрын
Ustadh mazinge ubarikiwe
@youngthug6045 жыл бұрын
Mjomba MTO unakusubili unaleta maigizo wakat dini ya kweli niele yenye kupenda amri kumi za mungu usiuwe usizin usisem uongo vote muna vifanya usitaman Mali isiyokua yako mm naona magaid wengi ndio wanaojifanya wanajua dini mchezo ya kuomban jicho sio mzury na nizambi kubwa akika wote moto
@lilianjoshua14073 жыл бұрын
Kwanza tu kusujudia kaba kule macca ni kufuru tosha, maana huyo ndie Mungu wao. Kwann wafanye ibada kuelekea kile kijumba?
@saidasaidjuma35053 жыл бұрын
@@lilianjoshua1407 .........ile ni alkaabh nyumb tukuf ya Allah ...sasa we endelea kuabud picha ya yule muigizaj wa kweny sanam yenu....endelea na ubish wako Allah akujaalie mwenye kufaham
@munainjiru79834 жыл бұрын
Mbado tu kumbatiswa mazinge uokoke masinge coz ndio njia zake yesu kiboko
@lilianjoshua14073 жыл бұрын
Neno kafiri, maana yake ni mtu asiuependa au kujali watu wa kwao. Nashangaa wakristo tunaitwa makafiri. Waislamu wasiopenda watu wa kwao ni makafiri. Ndo maana halisi ya neno hilo, si kuropoka tu.
@lilianjoshua14073 жыл бұрын
Na kwann aya za Yesu alizosema, ambae nyinyi mwamwita issa, unatoa katika biblia ambayo mnasema si maneno ya Mungu? Na sio kwenye Quran yenu?
@dottomarko62134 жыл бұрын
Yaan mnauzi sana nyie nibac2
@rukiyarukiya80053 жыл бұрын
Allah Akbar
@jesusnetworkministry5 жыл бұрын
Yesu ni Mungu wako wewe Mazinge
@eliudidamasi5145 жыл бұрын
Emmanuel Julius yesu ana uungu gan?
@lilianjoshua14073 жыл бұрын
@@eliudidamasi514 wa kushangaza sana, utafute utaujua