Рет қаралды 23,942
Ukali wa mjadala haumo kwenye NINI kipo ndani ya mkataba baina ya Tanzania kushirikiana na Dubai kwenye uendeshaji na uendelezaji wa bandari, bali upo kwenye NANI wamo mkataba wenyewe. Mwandishi na mwanahistoria Mohamed Said anazungumzia ilikoanzia na inakoelekea hadithi ya makandokando haya.