Hadithi ya makandokando kwenye mjadala wa DP World| GG Podcast

  Рет қаралды 23,942

Gumzo la Ghassani

Gumzo la Ghassani

Жыл бұрын

Ukali wa mjadala haumo kwenye NINI kipo ndani ya mkataba baina ya Tanzania kushirikiana na Dubai kwenye uendeshaji na uendelezaji wa bandari, bali upo kwenye NANI wamo mkataba wenyewe. Mwandishi na mwanahistoria Mohamed Said anazungumzia ilikoanzia na inakoelekea hadithi ya makandokando haya.

Пікірлер: 223
@user-hu4vs2en5n
@user-hu4vs2en5n Жыл бұрын
M/mungu akujaalie Kila la kheri Leo na kesho inshallah(baba yangu)Habib mwamba
@br.samwelmparange4986
@br.samwelmparange4986 Жыл бұрын
Babu upo Sawa. Nawasihi wote tuyasahihishe yanayokera ktk mkataba huo ili Kwa pamoja tusonge mbele Kwa umoja wetu tuliorithi toka Kwa Waasisi wetu WA Taiga letu. insha'Allah tutaelewana.
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 2 ай бұрын
Wazanzibar wanajipendekeza sana kwa waarabu
@suleimamhamad116
@suleimamhamad116 Жыл бұрын
Mwenye enzi Mungu amsema kwenye Qur Ani tukifu kwamba yaliyomo makafiri ni mazito zaidi kama nyinyi mutayaona. Basi hatuwashangai chuki zao zidi ya Waislamu. Mungu azidi atupe Uislamu ushindi. Amen.
@denismakanyanga
@denismakanyanga Жыл бұрын
Historia nzuri hakika imenipa sura nzuri ya kunifanya nielewe mambo mengi,very informative story
@carloskalongo1171
@carloskalongo1171 Жыл бұрын
Njaa mbaya sana
@mwalimuali1850
@mwalimuali1850 Жыл бұрын
Bora tuvunje muungano maana watanganyika hawana imani na nia njema na wazanzibari.
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 Жыл бұрын
Hujaelewa wewe
@ignasmalema8354
@ignasmalema8354 Жыл бұрын
Mzee jifunze vizuri historia ,acha kukurupuka
@nashirkamugisha9425
@nashirkamugisha9425 Жыл бұрын
Hakuna gwiji wa hostoria ya kweli tanzania kama mohamed said.
@allyamri5028
@allyamri5028 Жыл бұрын
Kikweli watanzani hawajazungumzia dini. Watu wanazungumzia masharti mabovu ya mkataba. Ninyi mnapata wapi hahari ya dini?. Waislam tusipoacha mambo ya kuzuazua basi sisi ndio tutaanzisha mambo ya udini ndani ya tanzania. MASHEHE ZETU ACHENI MAMBO HAYO!!!!!.
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Sahihi kabisa..kama ni waarabu kuwekeza wapo mbugani tokea mwaka 92, kujengwa bwawa la Nyerere lipo chini ya Misri..mara hii jibu kwa hoja mkataba una mapungufu au hauna sio unasema Tu udini
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 11 ай бұрын
Hakika kaka mimi nakuelewa sana unasema kweli jamani ebu tuache kuingiza mambo ya udini kwenye ilijambo tatizo ketu sio dini wala uislam
@AliAbdullah-oy6yo
@AliAbdullah-oy6yo 3 ай бұрын
Kwa hiyo huu ukweli anaouzungumza ww uliwahi kumsikia Nyerere anasema? Kwani si kulikuwa na jumuiya ya Kiislaam kiongozi wake Sheikh Swaleh Bin Ameir Nyerere kwa kuona maendeleo mazuri kwa Uislaam akaivunja? Na Mali za wa Islaam kutaifishwa? Sasa ww hoja yako nn kutuhumu Waislaam? Fuatilia historia vizuri.
@salumsuleimankhalfan3414
@salumsuleimankhalfan3414 Жыл бұрын
Sheikh Mohd mm nashauri ufanye kipindi na mama Maria Nyerere atueleze yeye anafahamu nini juu ya mchango wa Waislam kwa mwalim Nyerere.
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 Жыл бұрын
Hayo yanini mkataba mubovu hatuutaki chaudini pelekeni huko
@ericsamba464
@ericsamba464 Жыл бұрын
Daah huyu Mzee Mohamed Said pamoja na kuwa mwanahistoria mzuri sana, lakini huwa hawezi kuangalia jambo lolote bila kuvaa miwani ya dini. Kwa mfano, hili la bandari mbona halina udini wowote jamani?
@josephrutta6834
@josephrutta6834 Жыл бұрын
Mzee kanishangaza sana hata Mimi. Kumbe nchi hii kuna watu wana UDINI hivi?? Mimi hata kwenye uchaguzi sijawahi fikiria dini ya mtu kabisaaaa! Nahisi sina wivu na dini yangu, inabidi niamke aisee.
@hamishassan6784
@hamishassan6784 Жыл бұрын
sijui unaelewa au huwelewi au ndio unafanya makusudi. jifiche kwenye hiko kichaka lakini baadae utajutia ubinafsi wako. kwani hujui aliye wasema waislamu na wazanzibar badala ya kujadili mkataba? ikiwa Lema alikiri na kuonesha kuwa Samia ni rais wetu wote kwani hujui alikuwa anamaanisha nini. chokoeni tu nafasi ni yenu
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 Жыл бұрын
Usitegemee jipya kwa huyu ni mdini sana vipi mkataba umepatikanaje??? Udini ni lugha yenu na hasa huyu bw said
@jamesmbata8542
@jamesmbata8542 Жыл бұрын
@@josephrutta6834 umeona eeh. Tatizo ss wakristo tunachukulia wote ni watz kumbe wenzetu wana agenda yao pembeni wanawachagua viongozi kwa dini zao😄
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc Жыл бұрын
Asante Sheikh Mohammed kwa kutujuvya na kutuzindua kumbe kuna madudu makubwa ya serikali ya Tanzania dhidi ya raia wake wasiokua “ WAKATOLIKI” inakuaje kuweka “ memorandum of understanding “ na Makanisa ya kuwasaidia mabilioni ya fedha ya walipakodi kwa Wakristo tu wakati wanasema serikali haina dini?
@tediusmakwara3931
@tediusmakwara3931 Жыл бұрын
safi shekhe
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Pole sanaaaa shekhe wewe acha udini na ukabila hapa ni swala la bandari tu hatuwataki waarabu wache wachukue srdhi wewe una kazi ya ngonjera tu
@mwanjalimfaume6380
@mwanjalimfaume6380 Жыл бұрын
Mkataba wa Bandari sio wa Dini Ni wa Kisheria na tueleze mspungufu yake Kisheria na sio kidini
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Жыл бұрын
hakuna mkataba wa bandari, hizo ni porojo za wapotashsji wasioitakia mema nchi hii. fatilia hutuba za waziri mkuu. na ndiyo maana hakuna yoyote anayeweza kuutoa huo mkataba hadharani na akaonesha mapungufu yake, wanachokifanya ni kuwahadaa watanzania kwa kutumia mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiinchi kati ya Tanzania na Dubai. Hao wapiga porojo wana ajenda ya siri kuwavuruga watanzania ili kuimarsha chama chao na hata kuzuia usimamizi mpya wa kampuni inayotajwa ambayo inaonekana wazi itazuia wezi wanaoiba hapo ambao asilimia kubwa ukichunguza utagundua ni watu wanaotoka ktk kanda inayowaunga mkono wapiga porojo hao, hao ni watu wao wanaonufaika na hiyo hali iliyokuwepo hapo na ndiyo maana hauwezi ukasikia wakiutaja ufisadi unaofanyika bandarini hapo zaidi wao kung'ang'ana na upotoshaji huku wasiojua kuna mchezo gani unaofanyika wanabaki kuwa wasindikizaji kwa kufata mkumbo wakihisi wanasapoti uzalendo kumbe na wao wanasaidia harakati za kuwabakisha wezi bandarini.
@Mweya-87
@Mweya-87 Жыл бұрын
Umejieleza sana, lakini naweza kusema umetumia vibaya muda wako.
@globalpeacesummitstv8825
@globalpeacesummitstv8825 Жыл бұрын
Mkuu umeongea vizuri lakini hata aliyekuwepo Bandarini Nazri Karamagi ni Muislam. Hapa sio udini tusiendekeze hayo. Hapa ni vipengere vya Mkataba ndo vijadiliwe, lakini pia Kumtaja Rais kusiwepo kwa sababu ahusiki na Makando kando haya. Yeye alimpa Jukumu msaidizi wake (Waziri) naye ana wasaidizi wake Wanasheria ambao nadhani ndo walizembea kupitia Mkataba ule. Naona mambo yanazungumzika na yanajadilika . Tuwe watulivu na tuzungumze wala hatuhutaji kuhesabu Waislam ni wangapi na Wakristo ni wangapi, hebu tutazame Utanzania kwanza.
@The199269
@The199269 Жыл бұрын
Huyu mzee huwa ana udini sana, kila akifungua mdomo lazima alete Ukristo na Uislamu, hizi dini tumeletewa tu jamani sisi sote ni watanzania, tujadili kwa mantiki ya utanzania wetu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 10 ай бұрын
Kama hutaki kumsikiliza zima data unataka tusikilize maneno ya paulo tito 2:13 hatuna sisi ujinga huo bali sisi tutamfuata yesu 17:3 yohana..!
@The199269
@The199269 10 ай бұрын
@@hassanmfaume4522 wewe mi mpumbavu tu, hizo dini mlizoletewa na waarabu na wazungu zimewasaidia nini zaidi ya kuwagawanya tu?? Stupid
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y Жыл бұрын
Mohames Saidi yeye kila siku kuhubiri udini tu Badala ya kujadili mkataba na vipengele vyake vyenye utata mnadjili dini na ukabila mnacheza ngoma ya CCM
@jhbakili9483
@jhbakili9483 Жыл бұрын
Umeongea mema matupu hongera mzee, mwenyezi mungu akupe afya na hatima njima.
@nicolaskalunde
@nicolaskalunde Жыл бұрын
Ni mwalimu mzuri wa historia. But hapa ni ishu seriously haitubadilishi mindset. Hapa ni msimamo wangu binfsi sipependi MUUNGANO. Naburuzwa jamani hee!!
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
ohoo nahisi magaidi wanafurahia warabu kuchua ubia
@allyamri5028
@allyamri5028 Жыл бұрын
Acheni kabisa hizo mambo kwani ninyi ndio mnaanzisha mambo ya udini. Zungumzieni mambo ya MKATABA TU. SAWA NDUNGU ZANGU WAISLAM?
@kassimhaji1141
@kassimhaji1141 Жыл бұрын
Nimefurahi kuzungumza ukweli
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Waisilam wanapenda kuwazungumzia wakristu.wana udini sana
@AYUBUCHAKELA
@AYUBUCHAKELA Ай бұрын
Wawafatilie kwakipi kwani wananini kamasilolote sichechote
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 Жыл бұрын
Ongeeni ibovu wa mkataba dini ni vikundi vya kumwendea mwenyezi mungu kila mtu aabudu anachoona ni haki kwake
@gessanabuu2099
@gessanabuu2099 Жыл бұрын
Mbona viongoz wenu wa juu wa dini wanaweka mbele udini kuliko maslahi ya taifa na hamuwakemei? Huend mnapiga makofi.
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 10 ай бұрын
Kwani mkataba si umepelekwa kanisani kujadiliwa nn ..!
@michaelmillinga5064
@michaelmillinga5064 Жыл бұрын
Sioni Logic ya haya maongezi, ninachoona ni wazanzibari wawili wanajadili mambo ya Tanganyika tuu.. kama wadubai wazuri wapeni bandari yenu huko Zanzibar.. na huu muungano Bora ufe.. badala ya kujadili maisha nyie mnajadili dini
@abuutasniym2675
@abuutasniym2675 Жыл бұрын
Uyo mzee sio mzanzibari bali nimtu wa mainland (Tanganyika) upande wa Tanga kwahio ondoa chuki zako dhidi ya Zanzibar
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 Жыл бұрын
Tatizo hili alisha lisema marehemu ilunga,tatizo kubwa lililopo ni mfumo ukiristo ndio unao ila tanzania 🇹🇿 tatizo mfuko ukiristo
@abdallahabdu8194
@abdallahabdu8194 Жыл бұрын
Sawa, lakini hili ni biashara inanyonya wa TZ.
@amanilucy
@amanilucy Жыл бұрын
Jaman me naamini kunawaisilamu wasomi sana nyie haumuoni mkataba ni mbovu ,mkataba gani hauvunjiki,, mkataba gani hauna consideration ,mkataba gani hauna time,,,, tusilete udini na uzanzibar na ubara ,, dibouti wanalia adi Leo na mkataba wa DP world kwani dijibouti ni nchi ya kikristu
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 Жыл бұрын
Shdq yenu mmekalia kuzungumzia udini. Kikawaida huwezi kuwa muasisi bila kuwa na sapoti mzee kwani mlitaka awe mwenyew ndio mumsifu
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 Жыл бұрын
Wanao chafua nchi hii ni Chadema tu na ndio wanao toa kauli chfu hasa za udini na ukabila
@mohamedothman5792
@mohamedothman5792 Жыл бұрын
Tumia akili sio hisia
@kelvinjelas3923
@kelvinjelas3923 Жыл бұрын
Chokochoko za kumfanya Nyerere alikuwa kitu kidogo hàziwezi kutusaidia chochote maana ni wazi kwamba alikuwa na marafiki na maadui vile vile. Namuona Mwandishi akijenga hoja ya kuuinua udini zaidi kuliko hoja iliyopo ambayo wengi wanajaribu kuitumia zaidi kuitetea DP World.
@gessanabuu2099
@gessanabuu2099 Жыл бұрын
Lazima ikuume hpo kwasabb ukweli siku zote mchungu
@kelvinjelas3923
@kelvinjelas3923 Жыл бұрын
@@gessanabuu2099 Tatizo ni matumizi ya akili tu... maana kuna watu wanajifanya waislamu kuliko hata Mtume Muhammad (S. A. W). Kuna haja gani ya kulazimisha tujadili uislam katika mkataba wa DP world. Bahati mbaya kila waislamu wengi wanadhani kila anayeutaja uislamu basi anautetea kumbe wengi wanajificha tu katika uislam kutafuta huruma ya waislam baada ya kutuibia au kutumika na mabepari kama kondomu.
@danielkanso
@danielkanso Жыл бұрын
Kwa hiyo haya yote mkataba wa namna hii umeletwa na udini maana mimi siamini kuwa katka udini naona kuwa viongozi wetu wawe wapole waache mihemuko maana wananchi wanauliza vifungu vya mkataba ambao unaonyesha kuwa mkataba unatatizo kumbe kuna mambo ya siri
@freemonhenry3448
@freemonhenry3448 Жыл бұрын
Mzee, tuliitaji hekima yako yuu ya swala la bandari na sio udini wako. Watanganyika tunapigania haki ya vizazi vyetu vijavyo.
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 10 ай бұрын
Kizazi gn ulichonacho kenge wewe. Wewe ungekuwepo enzi ya Nouh ushakufa tayari nyiye mliomtabisha .
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
Fact and true 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын
Mbona mzee hazungumzi kuhusu huo mkataba faida na hasara
@kelvinjelas3923
@kelvinjelas3923 Жыл бұрын
Uislam kama ulivyo ukristo unaharibiwa na wanafiki ndani dini zenyewe.
@philipmarmo3522
@philipmarmo3522 Жыл бұрын
Kwa hakika ndugu Mohamed ameongea kwa hisia kali lakini kwa uungwana. Ebu wahusika kwa Nia njema waujadili mkataba ibara kwa ibara bila kileta yale ya Nje Mkataba- Uislamu, Uzanzibar nk. Watu wazima tena wasomi Watanzania wanastahili kuwa na akiba ya maneo, kuwa wakweli na warejee katika dhamira yao ya ndani kabisa.
@mfaumemetta-vr1cl
@mfaumemetta-vr1cl Жыл бұрын
Bwana Ibin Saidi kuna mambo unachanganya vibaya hivyo akiwa mwislaam atuibie tu akitujengea miskiti inatosha? Hapana hivyo unasema mkataba hauna dosari?
@eugenaxwesso9321
@eugenaxwesso9321 Жыл бұрын
Hiyo baraza la mitihani kama kweli inadoofisha uislamu imekuwake inaandaa mitihani ya dini ya kiislamu ? Acha kuwa mwongo ndugu
@nickjuma6020
@nickjuma6020 Жыл бұрын
mbona nashindwa kuelewa!!? Mimi nilifikiri hapa cha muhimu zaidi ni mkataba wa DP World! mambo ya dini yanakujaje!!?🤷
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Жыл бұрын
Yote haya bro Yameletwa na wanasisa Pale wanaposema Wa Zanzibar wanauza Tanzania Hivyo yameleta fikra tofauti
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 11 ай бұрын
Wacristo na Waisilamu Wana tufanya Sisi Tusio Amini Dini zao Kwamba Hatuna haki na Nchi hii
@eugenaxwesso9321
@eugenaxwesso9321 Жыл бұрын
Ubaya wa waislamu ni kumlaribisha sultani wa oman na kuendesha biashara za utumwa na kufungua milango kwa wakoloni historia iko wazi
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 Жыл бұрын
Acheni porojo za udini chambueni mkataba
@solomonadams6337
@solomonadams6337 Жыл бұрын
Rasully llah (S.A.W) yakuloo (Alkafirunaa millatully waheda)
@JumaRamadhani-hf3cm
@JumaRamadhani-hf3cm Жыл бұрын
Du kweli watanzania tumekwa.
@Azikiwe-qi6jd
@Azikiwe-qi6jd Жыл бұрын
Hawa watu wamejaaa udini sijawahi ona, kumbe lengo sio kujadili mkataba bali udini, nyie mtaacha lini udini
@emanuelkimaro195
@emanuelkimaro195 Жыл бұрын
Mazungumzo haya yamiasha hisia za wengi waliosikia na watakao sikia ninawaomba tuwe makini kunapojadili tuvumiliane hizi chokochoko za udini ni hatari kwa usalama wa taifa siyo jambo la kufanyia ushabiki. Na viongozi wetu waache kutumia udini kama silaha. Wakemee mjadala wa kidini. Tunafanya uchanguzi tangu uhuru kiongozi huchanguliwa na waislamu na wakristo hakuna udini. Wote bila kujali dini tukutane kwenye masilahi ya taifa Kwa vizazi vijavyo. Dini isitufanye tuwe wajinga.
@mwigaadam1179
@mwigaadam1179 Жыл бұрын
Udini unakuja wanapo jadili masuala haya waislamu tu Kaka?? Mbona askofu mwakipesile anaongea mazito juu ya udin hasa uislam na hakuna and dauti acha udini we nakujiona wakiristo mupo swa mapuwa ww
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
Wakiristo Siku zote wanajizima data Wao Wakijadili Maslahi ya Kitaifa kidini dini wanaona sio Udini ila kwa wengine ndio unazuka Udini Nashindwa Kuelewa
@soudmoshmnyika5813
@soudmoshmnyika5813 Жыл бұрын
Msituone wajinga kukaa kimya tunajua mengi , tukiamua tunaweza waislam, wakristo ndio chimbuko la yote haya
@edgarmbegu1974
@edgarmbegu1974 Жыл бұрын
Waislamu tatizo lenu ni uongo. Katibu mkuu wa baraza la mitihani la taifa ni muislamu. Nini kimebadilika? Halafu wewe mzee mbona tunawalaumu wazungu kwa ubeberu? Huyu mzee anafikiri DP Wotld ni ya waislamu, anafikiri inakuja kujenga misikiti au itakuwa inagawa pesa na ajira kwa waislamu. Hiyo ni kampuni ya watu wenye hisa toka mataifa na dini mbali mbali. Lengo lao ni kupata faida ya pesa na siyo kueneza dini. Ni mzee asiye na busara hata kidogoo. Yaani kuikataa DP World ni kukataa waislamu? Na watu wanachopinga, ni vipengee vya mkataba. Anavyoongea, utafikiri ni mwarabu. Pambafu kweli na mwongo mkubwa.
@HassanHassan-sn5cj
@HassanHassan-sn5cj Жыл бұрын
Nyerere alipokua anapiga kelele za udini alimasnisha waislam Wakae kimya hata wakifanywa chochote tatizo hamumjui kwasababu kauweka ugalatia juu akaukanyaga uislam uliomueka juu someni vitabu vyake alivyotunga mwenyewe au kile cha (jimbo kuu la daresalam) mwenyewe amesema nilazima kanisa aliweke juu wakati akimjibu pedre John sivalon wakati alipo muuliza utalifanyia nini kanisa?! Nakweli katudhalilisha sana waislam wenyewe tunajua! Nahata viongozi wakubwa wamekua wakitamka wazi hadharani wakionesha chuki zao juu ya uislam akiwemo Lukuvi tena akiwa kanisani !! Kama hamjui chuo kikuu cha Dar ni cha waislam muhimbili ya waislam mpaka ikulu ya Dar ilikua chuo cha Kil Islam sema wengi hawajui ila ipo siku haki itakaa juu kama sio sisi basi wajao wataiweka hakii juu !!!
@user-le1mo8ru7u
@user-le1mo8ru7u Жыл бұрын
Labda tuache kabisa mkataba wa kuendeleza bandari tusiwape wala waarabu au wazungu
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k Жыл бұрын
Hutumpingi Mwarabu wala Hatuwakatai Waarabu Na Dini sio ya Mwarabu Bali DINI ni ya Mwenyezi MUNGU Wote Tunaipenda sana Tunacho hoji ni Mkataba wenyewe ndio maana wenye Akili wote Wana hoji Pr Lipumba/ shiviji pia wana hoji Tusichonganishwe
@user-le1mo8ru7u
@user-le1mo8ru7u Жыл бұрын
Tunaomba copy za mkataba wa makanisa na serikali tuijadili hapa
@Lky589
@Lky589 Жыл бұрын
Ili waislamu nawawo waingie mkataba na oac.
@gessanabuu2099
@gessanabuu2099 Жыл бұрын
Waambie hao wapumbavu wanaoibeza dini ya uislam ilihali imefanya kaz kubwa ktk kuleta uhuru wa nchi hii lakin leo anaonekana nyerere tu
@user-le1mo8ru7u
@user-le1mo8ru7u Жыл бұрын
Kuhusu elimu kumbuka nyerere alitaifisha shule zote za wakristu na Mali zao zungumzia na hilo
@hazaaahmadhazaa2770
@hazaaahmadhazaa2770 Жыл бұрын
sio zote alitaifisha za mission za seminary zikabaki!
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
✌️👊👍。
@adilalzay9160
@adilalzay9160 Жыл бұрын
Changamoto inabaki kuwa muda ushapita na watu washachukua mkondo mwengine kabisa wa historia ya nchi hii. Hata mambo kama haya ni kama paukwa tu na Shekh anaonekana kama mtu anayezusha tu khabari hizo. Wapo waliotaka tufike hapa, na huenda hata huyo Nyerere akifufuka leo atapinga kila kitu [ tujadili na mashinikizo ya Makoloni yalikuwepo tangu ]. Kilichobaki sio kuzungumza juu ya makosa ya wakristo wala kudhulumiwa kwa waislamu ila kuliunganisha taifa pamoja .Mimi nawaza hivi habari hizi wakristo wanapozisikia watachukua mkondo gani angali nao mamboa wameyakuta tu? MTU ASIYEJUA HISTORIA YAKE AKIVUTWA HUKU ANAKWENDA , AKIVUTWA KULE ANAKWENDA
@soudmoshmnyika5813
@soudmoshmnyika5813 Жыл бұрын
Labda nikuambie kitu kadinari pengo anayafaham haya na wengi katika wakristo walio na nyadhifa kukwa wanayajua haya , sheikh kajaribu kuwarejesha watanzania katika ummoja kwani wamesikika viongozi kadha wa kisiasa kama mboe akisema suala la udini na ukabila akifingamanisha na DP WORLD, nawakati yeye alitakiwa kuzungumza mkataba tuu , sio mafungamano ya udini na ukabila nawakati watu wanajua historia kubwa jinsi waislam walivyo pambania uhuru
@nashirkamugisha9425
@nashirkamugisha9425 Жыл бұрын
Serikali ishatoa maelekezo ya kutosha. Haya ni maridhiano mkataba bado. Ila choko2 haziishi, tuache chuki jamani. Tusiangalie muwekezaji kwa dini zao tuangalie uwezo. Karibu mdubai
@salimmasoud1253
@salimmasoud1253 Жыл бұрын
Tatizo ni kuficha historia ya ukweli na misha halisi aliopatia uraisi M/Nyerere ikifuatiwa na khiana baada ya Uhuru.
@johncharles5450
@johncharles5450 Жыл бұрын
Ndugu zangu waislamu someni msije mkalishwa matango pori. Ishu sio kwa sababu muwekezaji mwarabu, ishu jinsi mkataba ulivyo. Kama mkataba ungekua haunashida wala hakuna mtu angepinga.
@nardhismhagama6266
@nardhismhagama6266 Жыл бұрын
Mzeee mshauri mama
@user-bd1zr4vn1b
@user-bd1zr4vn1b Жыл бұрын
Some mkataba mzee
@salimmasoud1253
@salimmasoud1253 Жыл бұрын
Shekh Mohd Afuan nauliza nini maana hasa ya maneno "Paukwa, Pakawa"
@BernardKitundu-hi3jx
@BernardKitundu-hi3jx Жыл бұрын
Huna la kutuambia watanzania, huko nyuma ni ya wakati huo, watu wameamka huwezi kutuambia tugawe rasilimali za nchi kisa kiongozi kaamua. Nenda wanaojua kusoma mkataba, acha mambo ya udini, hivi dini itatusaidia nini na kizazi kijacho?
@sadih5333
@sadih5333 Жыл бұрын
Pwani ni kwetu si kwenu zungumzieni huko mnakotoka hii bandari na maeneo yake nikwetu.
@listonjiwe3467
@listonjiwe3467 Жыл бұрын
Hakuna udini ninachoona hapa marumbano wenzetu wanaojua sheria wanasema mkataba ni mbovu kwani bala hakuna waislamu watanzania wote bala na visiwani tuwe makini kwenye suala hili la bandali ili wanasiasa wasitugawe kwa propaganda wanazoleta kuingiza udini kwenye ishu inayohusu maisha yetu na vizazi vyetu kama watanzania nilichoona mbinu nyingi ovu zinatumika na wanasiasa wasiopenda muungano wetu kwa kujalibu kuingiza suala la bandali na udini tuwe waangalifu na tuache kutumiwa
@eugenaxwesso9321
@eugenaxwesso9321 Жыл бұрын
Na vitabu unavyovisema ni vile vinavyofundisha uendeshaji wa dola na utoaji haki kwa misingi ya kiislamu
@majaliwaphilipo8277
@majaliwaphilipo8277 Жыл бұрын
Aina ya Mkataba na Muda wa Mkataba
@msellemseif3102
@msellemseif3102 Жыл бұрын
TUMEFIKIA HAPA KWA SABABU YA MFUMO KRISTO HUWO NDIO UKWELI.
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Ebu fafanuwa vizuri unachokisema
@sabraham5308
@sabraham5308 Жыл бұрын
Sheria na nguvu za kuitawala Tanzania ilitengenezwa toka baada ya uhuru na serikali ya mwanzo ya Nyerere,iliyolipa nguvu kanisa,kuingia mkataba kama wa MOA,wa kuliaaidia kanisa kwa pesa za walipa kodi,leo ubalozi wa Vaticani upo Dar,waislamu wanazuuliwa hata kujiunga na jumuiya ya kimataifa ya kiislamu,OIC,mkataba wa bandari mwezi huu wa Zanzibar chini ya ufaransa/wazungu/wagalatia/wakristo hujasikia pingamizi,kwa kuwa kama ulivyosema mkataba wa Dar chini ya Dubai/waarabu/waislamu,ndio imekuwa shida???,kuwa na imani hii sio haki.
@user-mq3sn3zf1e
@user-mq3sn3zf1e Жыл бұрын
Mzee ongelea mkataba huu wa sasa na sio historia,ongelea mkataba mzee
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 Жыл бұрын
Shekhe hapa tunashauriana habari ya mkataba sio dini jamani hiyo history mbona unaisumulia mara nyingi kwasasa tunaongelea mkataba wa DP world 🌎 sio dini msitake watu kuanzisha vitu vingine please tuko na mkataba!!!!
@christopherkomba7782
@christopherkomba7782 Жыл бұрын
Unaelewa nini ww kaa kimya subiri kufa tuache vijana wetu wakuwe nyinyi ndiyo mliwabeba mabwana watu kibao na mnambeba bwana mmoja mnakuuzwa mtu mmoja anawauza
@user-mq3sn3zf1e
@user-mq3sn3zf1e Жыл бұрын
Jamani kinachochanganya watu ni mkataba na sio uislamu wala.ukristo hata angekuja mkristo kama mkataba haipo wazi lazima ingeleta shida sasa mbona mnalazimisha kuongelea udini???
@salimmasoud1253
@salimmasoud1253 Жыл бұрын
Yaani Shekh Mohd wewe madini ya Tanzania nzima yawekwe kushoto na ww ukae kulia basi bado ww unathamani zaidi kuliko hayo madini.
@bensonkilupa5660
@bensonkilupa5660 Жыл бұрын
Ongeeni namba ya kutatua tatizo maswala ya dini nani kaongea ? Pelekeni maoni yenu serikalini. Swala ni mkataba mbovu na si vinginevyo.
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 11 ай бұрын
JAMANI JE HAO WENGINE WAMEKULA MATUNDA YA CAKE YA TANZANIA???
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Ma ustadhi mdichanganye mambo hakuna anaelataa DP world kinachokataliwa ni mkataba shehel hapo kuna wahuni wanapiga upatu sio lingine ndugu zangu kwa upande wangu ninavuoelewa !!!!!
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u Жыл бұрын
Hakunakatibaya Tanzania inayodailazima kiongozi awemkiristo aumwislamu hawa wazee yawezekana waombewe kiongozi waTanzania anaweza aukuwamwisilamu aumkiristo audini yoyote zikiwemo dini zajadi tulizozikuta hapaduniani inahitajika busara mujadarahuu sivilaka.vyakutuondoa kwenyemujadara wakinacho ongelewa naserikali nawananchiwake swalanikuishauri seikali.
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
kama ni waarabu kuwekeza wapo mbugani tokea mwaka 92, wapo Serengeti mlisikia watu wakikemea kwa nguvu hivi? kujengwa bwawa la Nyerere lipo chini ya Misri..mara hii jibu kwa hoja mkataba una mapungufu au hauna sio unasema Tu udini
@hemedabubakar-cb1nq
@hemedabubakar-cb1nq Жыл бұрын
Mashallah
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 Жыл бұрын
Mkoloni tuliyemuondoa hapa Tanzania alikuwa mkristo na Nyerere sialikuwa mkristo mbona tumfukuza wingereza ambaye ni mkristo ....waarabu ni waslamu ni kweli lakini sisi tunatetea bandari zetu kwakuwa mkataba ni mbovu si dini hapa...tunapotetea chetu hatuna cha uislamu au ukristo tuna utanganyika....sasa mmejisahau mnaleta udini ...Ok mnacheza na moto
@hamishassan6784
@hamishassan6784 Жыл бұрын
Inaliza , inahudhunisha. jambo hili wala sio dogo. Niombe tushikamane maana asiye pitiwa na ubaguzi hawezi jua hili
@RaymondZindah-ow7wr
@RaymondZindah-ow7wr Жыл бұрын
Acheni kuongea udini mshaulini mama yenu aache ujinga na tamaa ya kuuza nchi yetu
@usafiaps318
@usafiaps318 9 ай бұрын
Mzee Wewe Unaongelea Misaada.Hizo Nifikra Za Watu Waoishi Kwa Misaada.Hizo Ni Fikira Za Kitumwa.Usimwaminie Mwarabu.Huyu Ni Mtesi Wetu Mpaka Leo.
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 Жыл бұрын
Nafikiri watu wanaongea udini ni watu walio ishiwa maarifa
@babuloliondo74
@babuloliondo74 Жыл бұрын
tatizo wanaopinga wengi ni wakristo tatizo ripoapotu
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
@juliuskitaluka1206.Kama "watu wanaongea udini ni watu walioishiwa maarifa" ni yepi? 1) Udini wa Ukiristo 2) Udini wa Uislam 3) Udini wa Upagani Mkatoliki Nyerere alianzisha Udini kabla ya Muungano, seuze Waziri William Lukuvi Kanisani. Lakini kwa nini wote hawakulaumiwa? Ujamaa wa Nyerere ulikuwa wa Udini wa Kikatoliki. Aliwalazimisha Waislam kufuata Udini wa Upagani.
@mwanache
@mwanache Жыл бұрын
Mzee kila ulichokisema kinadhihilisha tatizo la udini ambalo waislamu mnataka kulileta ndani ya nchi. Mimi ni mkristo na maisha yangu yote miaka 56 marafiki zangu wengi ni waislamu na hatujakuwa na tatizo la kidini. Wakristo hatuna shida wala muda wa kuiongelea kuran au uislamu MARA nyingi nimeona ndugu zetu waislamu wakiwaongelea wakristo na kuongelea biblia. Wote tunajua kuwa dini ikiingizwa kwenye siasa ni HATARI KUBWA… ndio maana tukasema nchi yetu haina dini. Na serikali haihusiani kabisa na swala la kujenga shule au vyuo vya kidini hilo ni swala la taasisi, waumini, na dini husika. Swala la mkataba linahojiwa na watu wote waislamu na wakristo… wote hawapingi waarabu kuja kusaidia kuboresha utendaji na ufanisi wa Bandari zetu KINACHOHOJIWA ni baadhi ya vipengere vilivyomo ktk mkataba kuwa havina tija kwa Taifa. Mzee unaonyesha kuwa ulitaka Nyerere alete udini kisa alishirikiana na waislamu ktk Uhuru wetu… Nyerere hakuamini ktk kuendesha nchi ktk misingi ya kidini… kuwepo kwa wakristo wengi wenye Elimu ndani ya serikali wakati huo ilikuwa sio Nyerere alilileta bali lilitokana na wakristo wengi walikuwa na Elimu nzuri kutoka ktk shule za wamisionari. Tatizo waislamu wengi wakati huo walijikita sana ktk Elimu ya madrasa/dini. Ningesema mengi ila nadhani unapotosha umma na sio kitu kizuri… UNALETA UDINI KTK SWALA HALIHUSIANI KABISA NA DINI ZETU… madhara ya mkataba hayatajali dini ya mtu, yanaathari kubwa kwa wote waislamu/wakristo.
@danielkanso
@danielkanso Жыл бұрын
Huyu mzee sijamuelewa maana tunazungumzia kuwa kunavifungu vya mkataba wenyewe haupo sawa yaani kuna tatizo sasa yeye ndiyo kaleta zaidi mambo ya udini badala angesisitiza watu kuwa pamoja
@user-yv7ij4zh4k
@user-yv7ij4zh4k Жыл бұрын
Halafu huyu mzee anataka atuthibitishie kwamba Dini ya Ukristo ni ya ubaguzi wa rangi akidai kwamba Uislamu hauna ubaguzi wa rangi. Mbona sasa Waarabu walifanya Biashara ya Watumwa kwa Babu zetu kama hawana ubaguzi wa rangi? Wote Wazungu na Waarabu na watu weupe walitubagua na kututawala na hii wala haihusiani chochote na Dini. Kwanza hao DP World anaozungumzia watendaji wengi ni Wazungu na watu wa nje wala sio Waarabu kama anavyodhani. Kwani Mkataba wa DP World utakunufaisha nini wewe kama Mwislamu au Mkristo? Nimeishi Arabuni wengi hawana elimu bali wanatumia Wazungu na Wahindi kufanya kazi za Kitaalamu. Watu weusi wengi wanabaguliwa sana.
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
Haya mkianza hivyo vita zitaanzia kwenye nyumba zetu😢
@user-le1mo8ru7u
@user-le1mo8ru7u Жыл бұрын
Sahau Tanzania hakuna dini familia tumeungana mpaka kufikia baba muisilamu watoto wakristo mama hana dini hujawahi kuona familia kama hizi hapa tanganyika labda zanzibar hakuna lakini hapa tuko wengi
@josephrutta6834
@josephrutta6834 Жыл бұрын
Kumbe nchi hii kuna watu wana UDINI hivi?? Mimi hata kwenye uchaguzi sijawahi fikiria dini ya mtu kabisaaaa! Nahisi sina wivu na dini yangu, inabidi niamke aisee. Heee! Anafikiria mpaka sensa kwenye madaraka?? Mwenyezi Mungu aturehemu Tanzania.
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc Жыл бұрын
Hata mimi nimeamka serikali kusema haina dini huku mlango wa nyuma wanaweka “ memorandum of understanding “ kusaidia makanisa kwa kutumia mabilioni ya walipakodi! Du , tutaanzisha movement ya kupinga hichi mpaka ieleweke.
@mkude
@mkude 11 ай бұрын
Hata mimi nlikuwa najua hii nchi Haina udini kabisa lakini nnachokiona sasa hivi dini yenu mnavyompinga mama Samia duuh ilinishangaza sanaaa
@msellemseif3102
@msellemseif3102 Жыл бұрын
HAO WANAO PAMBANA KUKITOA KIFUNGU HEWA KWENYE MKATABA BAINA YA DUBAI NA TANZANIA. BASI NAO WAKUMBUSHWE ULE MKATABA WA MAKANISA NA SERIKALI YA TANZANIA MWAKA 1992
@ericsallu3237
@ericsallu3237 Жыл бұрын
Mbona Kama Mnazalisha hoja njingine?
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Umeshindwa kuchambua mkataba hujauelewa au una udini? Unataka tuukubali tu bila kujali, huo ni udini WENU.
@dismasmtui729
@dismasmtui729 Жыл бұрын
Endeleeni kupanda chuki ya udini,ila mtashindwa!.Wakristo na Waislam ni ndugu, ila viongozi wa kidini,hasa wa Kiislam ndio wanaotaka kuleta mpasuko.
@hamisimkoma7380
@hamisimkoma7380 Жыл бұрын
Sisi ni ndugu ila si kwa kila jambo tambua hilo kungali mapema
@edgarmbegu1974
@edgarmbegu1974 Жыл бұрын
Mbona hata waislamu wako kwenye mkataba wa PPP na serikali. Hujui?
@lambomayenga6151
@lambomayenga6151 Жыл бұрын
Hivi wahariri wrote wa magazeti yaliyomshambulia Mwinyi walikuwa waisiliamu? Jamani tuwe wakweli . Hivi serikali sasa na bunge ni vya wakiristo tu.Wewe mzee ndiyo unaanzisha matatizo ya ubaguzi. Kwa nini ufikirie kujengewa misikiti na DP World.
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
kweli uislamu ni kupenda kuuwana kama somalia sasa hizi mijadala wakristo tena wakijadili hivi mtaleta vita wakristo msijibu muwaogope wavumbe kichwa
@akimu-gl7zp
@akimu-gl7zp Жыл бұрын
Wanainchi hawaongerei udini. Wanauliza huyo mwarabu anawekeza miaka mingap? Je nasisi tunapata beigan? Je imeandikwa wap kwenyemkataba?
@wakatinisasa
@wakatinisasa Жыл бұрын
Kaandamane basi ujue nguvu yatangayika nenda pemba
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Жыл бұрын
We are caught in the same trape as the primitive man was trapped. We are all attached to something. Why don't we get out of those trapes .....religious trapes!!!
@sulyshaaban9392
@sulyshaaban9392 Жыл бұрын
Emotions apart, " vyombo husika" using sober professional cadres wazungumze na huyu Ustaadh kwa nia njema ya kujenga Mama Tz..na kisha kuishauri Govt..waache vitisho..These are issues C za KUPUUZA!!😮😮
@salimmasoud1253
@salimmasoud1253 Жыл бұрын
Good advise
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Жыл бұрын
Jamanieee.....Mzee huyu anazungumza ukweli mtupu. Ubaguzi wa kidini hauna maana. Sisi sote ni Waafrika na hizi dini tumeletewa na wageni sasa dini kwanini tuzitumie kutubagua? Tujadiliane kama waafrika je ambao si waaislam wala wakristo mtawaweka wapi?
@mataoadolf3121
@mataoadolf3121 Жыл бұрын
Nadhani kwa maoni yangu Huyu Mzee anazeeka vibaya Mkataba wa hao waarabu na uislam unahusiana nini?? Naona huo ndiyo udini na ubaguzi anaouchichea Watu anaongelea uchumi, siasa na mazingira yaliotumika kuhusu mambo ya Muungano na nchi ya zanzibar. Yarekebishwe kwanini waarabu hawakupewa kwa tender Hovyo wanatakiwa tuondolewe hata km angepewa yeye nje ya taratibu akiwa ni mtanzania wanapaswa kunyanganywa Taratibu zifuatwe
UKWELI WA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MWANDISHI WA MZEE KARUME
34:57
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 70 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 83 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 25 МЛН
Je, Wairaqw wa Tanzania wana asili ya Kiarabu? | GUMZO NA WALIMU WETU
13:49
Ida Hadjiyavanis adhamiria kuzirejesha kazi za Gurnah  nyumbani
15:32
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 972
ODM Leadership in Kenya Kwanza Government.
43:38
SpiceFM
Рет қаралды 87 М.
ВОТ как ЖЕНИХ выбирает СЕБЕ невесту 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 9 МЛН
我说我不是故意的,你们信吗
0:25
侠客红尘
Рет қаралды 26 МЛН
KARMA AT SCHOOL 🏫 Stop time
0:32
dednahype
Рет қаралды 5 МЛН
我说我不是故意的,你们信吗
0:25
侠客红尘
Рет қаралды 26 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
MrBeast
Рет қаралды 164 МЛН