HAJI MANARA AFUNGUKA MAZITO KUHUSU KUACHANA NA ZAIYLISSA NA KUONGEZA MKE MWINGINE / SIWEZI KUOA TENA
Пікірлер: 54
@jsabood22 күн бұрын
Haji ni mwislam, vipi badala ya kumsitiri alokuwa mke wake anakaa akimwongelea habari zake mitandaoni. Naompa Mungu ampe hekma. Kama katika hadisi za mtume wetu SAS, Amsitiri mtoto wa watu na mungu atamstiri duniani na akhera.
@azizayassin362321 күн бұрын
Ngojeni kwanza kwani wameachana 😢😢
@fatyymohammed137820 күн бұрын
Mashaa Allah usiseme haya ana haiba ya kike na anajitambuwa
@user-ep8ob5ty3e23 күн бұрын
Nampendaga sana huyu mwamba,wakati mwingine huwa ananijenga kimaendeleo zaidi, pongezi sana father manyara, Aristote issa USA Arizona Tucson 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 🇺🇲🇺🇲 Marekani.
@abddulqadir977925 күн бұрын
Iyo story ya mama uliyoihadithi ni kama move lakini ni kwel uyo mama ni wa muhimu sana ktk maisha yako jitahid kumtafuta M/Mungu atakusaidia unaweka kuwapata japo watoto wake na ikitokea amefariki usisahau kumuombea Dua
@ubongosahihi19 күн бұрын
Social Media ni shida Dunia Nzima siyo Tanzania Tu ni Ulimwengu Mzima Mwenyezi Mungu Awatunze Katika Ndoa Yenu na Muishi na Furaha Amen 🙏🏿 🎀🌸🎀♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🙇🏽♀️🧎🏾♀️👏🏾
@PendoMfalamagoha21 күн бұрын
Mm huwa nakukubali tu
@maernov425724 күн бұрын
Kiukweli manala umejibu vzuli sana nakupenda bule mwenyez MUNGU awafanyie wepesi kwenye ndoa yenu
Allaah azidi kuwasaidia daima katika maisha ...msisikilize ya binadam wengi hawana wema
@mamohamed125225 күн бұрын
Kenya majina ya kijnga jinga. Maneno yako Bwana Haji si mazuri. Wewe uwe kiyoo. Heshimu wengine
@AngleAnglewakesho18 күн бұрын
Imagine anasema chakula cha wakenya kina majina ya kijinga jinga na ambapo alisaidiwa akashiba tumbo lake hadi akafika kwao tz...ni mjinga ajifunze kutumia kauli mbaya kwa mdomo wake
@salimanguzo555323 күн бұрын
Mtolee sadaka awemzima au amekufa mungu ataipokea nawenafsiyako itatulia
@ArnoldSemeni26 күн бұрын
Buggati ni mmoja tu
@criminalminds772326 күн бұрын
Sasa huyu akiachana na mtu yuaita press??
@Mumewangu22 күн бұрын
Kweli manara alihitahidi sana kwa simba
@Mshuta25 күн бұрын
Bugatti 🔥🔥🔥🔥🔥
@meowzna25 күн бұрын
Bukati wa hekima Sanaa👍
@zainabmuhammed62945 күн бұрын
I think mimi ni mdogo sana kwako kaka Nakupenda Pia nikwamboe kitu Ilindoa yk idumu wafaaharishe wasio jua maana zay lisa ni mtoto anaejua maisha yakiutu na si yakidunia nawaombea kwa allah awajaalie maisha mema mengi yenye Nuru . Km mnaitaji mengi kutoka kwangu kaka nitafute .mimi sio mganga wala si po kqenye shiriki. Nakupwnda kakangu na wifi yangu twinga.love you.
@zainabmuhammed62945 күн бұрын
Naaam ndugu yangu si ziada na zaidi mwenyezi mungu hulipa
@zainabmuhammed62945 күн бұрын
Kaka yangu umesema kweli kidini huwezezi kumuukumu mtu . Kaka pleas nataka kuongea nawewe kidogo mimi sina kitu labda nikitakiwa🎉 kuongea naww nalipia ? Pleas my bro
@zainabmuhammed62945 күн бұрын
Like that shes good wife
@LovelyGarterSnake-hx8pp22 күн бұрын
Iyo stor imenigusa Sana niliwai saidiwa na Kaka mmoja anatwa mudi kutoka Zambia kwenda Botswana lkn mpaka Leo Kama yupo au hayupo
@dayana5513story23 күн бұрын
imenigusa hii story tukumbuke waliotugusa mkono pale tulipo kwama,
@user-xt4mi5zs2s23 күн бұрын
Lakini kwa nn unamtangaza mkewe akiwa uch uch unamtangaza Kila mtu akuone
@mariamfritsi494323 күн бұрын
Mimi huwa napenda sana mtu akikumbuka fadhila, yaani hiyo ulioiongea kuhusu mtu aliekusaidia kipindi ambocho ndio ulihitaji zaidi, hiyo ni kitu kikubwa sana, hata kama hujamuona huyo dada. Kuna watu waliosaidiwa vikubwa vikubwa na hawakumbuki, tena hata kutukanwa utatukanwa, hawakumbuki, tena watakwambia huyu alikuwa anaringa sana. mimi ni muhanga, nakumbuka wimbo wa Rose muhando, Tenda wema uende zako utafuteni.
@achouraachoura576322 күн бұрын
Tenda wema nenda zako kuna watu hawana kumbe kumbu
@user-og4wh1xr2c9 күн бұрын
Zai uishi kwenye ndoa yako...jaman mtoto kapendeza huko kwa mzungu...Kula unenepa mwamwrika zai
@sultansallah877222 күн бұрын
Kwan hii tv ya nani
@user-fk4st8qj2k26 күн бұрын
Lakini namna yakumpata huyo mama Martha utampata tu,starting point ni lale al8pokuwa anafanyia biashara zake ukienda ukaulizia lazima utapata direction na fununu au yamkini ukamkutahapohapo kamasiyo yeye hata watoto zake.
@estherminnahboaz695620 күн бұрын
We koma hakuna shabiki wa simba anamtaka kilopoko huyuu utukomeee
@mamohamed125225 күн бұрын
Apart FROM football sio part of Football. Suprise siyo Suplise. Kwani lazima kutumia kiingereza?
@souvenirweber716922 күн бұрын
Hapo sasa
@DakorTrony22 күн бұрын
Mnanikera kuwapa watu wa kuonja onja wanawake kama wakina mnara na wenzie kama kina Mond. Onja onja ya wanawake . Hawa ni wakora tuu
@Abu-Hamza25422 күн бұрын
Wanjiru ni mkikuyu
@kazungualii536822 күн бұрын
Wanamuitaaa bughaaaaaaaaaaaaaaaa
@MgishaMathias-jb4nh23 күн бұрын
Brother unautulivu sana katika uongeaji wako ila jifunze kutousemea moyo wa mtu hujui mwenzio anawaza nini juu yako
@faizamohamed699323 күн бұрын
Wangechi ni jina la kabila la kikukuyu
@kassidpandu86615 күн бұрын
unamsifia bure tu huyo Mpumbavu hana lolote zaidi ya ufedhuli tu
@user-lt1bi5nr1x21 күн бұрын
Huyu jamaa simuelewagi mjuaji wa kila jambo maneno mengi. Mbona baba yako mzee manala ana hekima au ni ushamba unakusumbua kaka.
@maniscamullah628226 күн бұрын
Huyu Ndo bugati😊
@TheresiaRegan23 күн бұрын
In
@ntegrity27725 күн бұрын
Haji manara ni ng'ombe kama mbuzi zingine Zayliza ni MALAYA tu kama MALAYA wengine hizo ni choo za kulipia ukiwa na hela unakojoa tu
@ashaali715410 күн бұрын
@ntegrty Wewe mwenyewe unaewatukana ni nani si ajabu una shida sana ndio unakasirika ns kutukana hovyo tafuta pesa acha chuki hata ukiwatukana unapoteza nguvu zako na hasira zako bure wao wanaishi maisha yao. Hangaikia shida zako hayawani wewe.
@@mohdkhatib223 Na wewe pia unayo. 🤣 Mimi nimesema hivyo kwa sababu najuwa ya uvunguni yaliyojificha, mwenyewe anafikiri hatujui nini kinatokea. Sasa wewe unaedhania, kakae mji wa kufikirika na majibu yako ya chakubanga 🤣🤣
@SikudhaniKulonda-jy1bq16 күн бұрын
Hbu niibie sir uku maskion🎉@@mwanahawamohammed8540
@ZaidSeifSuleiman21 күн бұрын
Huyu mtu mwenyewe anapenda sifa na nyinyi mnampamba pamba mauwa huyo masifa
@TheresiaRegan23 күн бұрын
Jjbf
@hamidabarraball316224 күн бұрын
Ulishasema hapo nyuma ukiona mke mwingine tukuite mbwa na sasa umemuoa zaylisha kwa hiyo tunakuita mbwa mkubwa wewe