Mashaalha kaka haji umeongea vizur mungu akuzidishie ufanikishe ulicho kisema mimi nakuombea mungu akuzidishie 🙏🙏🙏
@ashamahadi528113 күн бұрын
Hivi wewe Haji😂😂😂😂 ulipokuwa mdogo ulichelewa kusema! Mbona unajua kuyajajenga maneno namna hii kweli unakipaji cha kuongea.❤❤❤❤penda sana Mwanangu.🎉🎉🎉🎉🎉
@JAIROSMLIMILA-cl1wp11 күн бұрын
Pole sana haji Kuna walimwengu wa hovyo sana wazoee tu wanakosoa kazi ya Mungu watalaaniwa wao hawawezi hata kumuumba chura achana nao focus na maisha yako Mungu atabless .
@DanielYusto11 күн бұрын
Mungu akufanikishe kaka Haji manara, katika taasisi yako yakusaidia watu wenye ualbino.
@NovatusZakaria10 күн бұрын
MANARA UMETISHA HII NI BUSARA YA AJABU .......Daaaaa! Fantastic kaka ........ ........
@Carolina-sm5zt12 күн бұрын
Mungu akulinde ilimpendeza Mungu kuwa hivyo ulivyo Haji jitu moja kubwa kongole kwako 🎉🎉
@salumramadhani512813 күн бұрын
Pole sana kaka iyo. Ilimkuta mama mmoja morogoro alimpa maji ya kunywa albino na kopo la chooni baada ya hapo alizaa albino watoto wote sita pole sana kaka
@sonnyr189913 күн бұрын
Huyu mwamba siku atakuwa hayupo ndio tutajuwa mchango wake mkubwa kwenye mchezo wa soka. Kaka Manara Allah akuzidishie umri mrefu.
@baghabaghaingwengwe175013 күн бұрын
Ubarikiwe mno Haji ndo maana cku zote mimi mfuasi wako jinsi uishivyo nami na kauli kwa jamii ubarikiwe
@filyakusimsigwa500614 күн бұрын
Mungu akubariki sana Manara kwa kukemea tabia za baadhi ya watanzania
@PeterLuhende-p7j11 күн бұрын
Umeongea kwa uchungu nipo naenjoy na demu wangu albino nampenda sanaa
@goodlackriwa672813 күн бұрын
Haji wewe ni kioo katikaa jamii. Wewe ni Binadamu kama wengine Rangi tofauti sio tatizo.Akili Yako kubwa sana .Mungu akujaliee Kwa yote
@ShaeebMohammed-e1h14 күн бұрын
kwahili jemedari said unamuanza mwenyewe
@fatmafatu112813 күн бұрын
Nyau wewe
@ancytarimo110314 күн бұрын
This man is very smart and genuine.
@mvukiedavid433214 күн бұрын
Tatizo Kamdomooo
@AdamSaffi21114 күн бұрын
Nenda upimwe akili wewe if you think he is smart. Haji is well accepted in the community! Problem, majivuno yake na matusi. What has he done in the soccer sector, nothing bali matusi tu.
@Jayhood2811 күн бұрын
Ukiachana na Ualbino..bado Haji Manara huongea na kujenga hoja vizuri..Watu wanakosea namna wanavyomjibu.. Haji akiongea kimichezo tumjibu kimichezo..Mungu wabariki watu wote wenye changamoto ya "albinism" na wengine wote wenye changamoto!.
@KhatibuRamadhan14 күн бұрын
Kaka allah atakulipa kulingan na nia yako achan nao ao wanao kuthalau awajui mungu mkali kias gan brother mm nakubar na naelewa nn umemaanisha inshallah Allah atakulipa zaid nazaid ingawa mm sio jamm yako
@homeandaway281112 күн бұрын
NYOOOOOOO 😂😂😂😂 ETI SENIOR PUNDIT TANZANIA NZIMA HAIJAWAHI KUTOKEA 😅
@angellomarcel567713 күн бұрын
Hahahaaa Mzungu bhana 😀
@queenmwasanguti237013 күн бұрын
Kweli baba❤❤❤
@binamutawa96375 күн бұрын
Wanafanya makosa makubwa sana tena Mimi napenda sana mwanamke mwenye uarbino tena najikuta tu nawapenda
@mansoursiulapwa862412 күн бұрын
Mtu hajisifii wee mzee.. huwa anasifiwa
@sophiaallyhussen765913 күн бұрын
Uliyo yapngea yamenigusa sana sana ila wasamehe hao wasiyo kua nahofu ya mungu Mimi ni mshabiki Yako kindaki ndaki naenda unavyo jiamini
@godfreykarigo640410 күн бұрын
Kampendelea kabisa kamwita kwa kiingeleza 😂 huyo ni zeruzeru au mlemavu wa ngozi
@mcyudasicqo961012 күн бұрын
Hapo sasa ndo ukubwa ,huo sio mambo ya kitoto
@kakore_jr13 күн бұрын
😂😂ZERU×2
@DianaDeograthias13 күн бұрын
Umesahau kuwa majuzi tu ulitumia ualbino kulinyanyapaa jeshi letu la magereza alafu sio ukifanya janbo mpaka utangaze so vizuri bro
@zuwenaalamin898514 күн бұрын
Nikiangaliaga mate ya manara humo pemben yalivyomazito halafu zai anampa kiss aiseee mtihan wallah sikunyanyapai ila punguza ka mdomo
@janethrwambali278213 күн бұрын
Unachosema ni kweli huyo Dada mjingaaa kabisaa huo mdomo wake daaaah
@SimbaHaji-jm7md13 күн бұрын
Unadhani hicho ulichosema sio unyanyapaa, kama hujampenda mtu kaa kimya tu dada, ukute unatoka kimapenzi na mtu duni kuliko haji..mshukuru mungu tu
@OmaryRajabu-g7r12 күн бұрын
KWA KWELI FISI JEMADARI AMUOMBE RADHI MANARA KWA KUMDHALILISHA MANARA KWA RANGI YAKE INAUMA MJINGA JEMADARI UMEMZALILISHA HAJI KWA UZAZI WAKE KUA ALBINO INAUMA KUMZALILISHA HAJI UNAFAA UFE JEMADARI USIPOMUOMBA RADHI HAJI JEMADARI NI MTANZANIA DHALILI HUFAI KUWA KATIKA KITUO CHA JAMII KUMZALILISHA BINADAMU MWENZIO UNGEKUA KITUO KINACHOJIELEWA UNGEFUKUZWA KAZI KWA DHALILI HII ,,,UJINGA ULIOUFANYA YAFAA UOMBE RADHI JAMII,,,,
@SaybathKassim14 күн бұрын
Ndo upunguze mdomo sasa😊😊
@AllyMbuma-c6y14 күн бұрын
😂😂😂😂kamdomo kana mponza!!!
@abdullaothman572814 күн бұрын
apunguze mdomo kuhusu nini
@Peterchila-un2lx14 күн бұрын
Manara ana nuka mdomoo
@danielmwakapila223114 күн бұрын
Wewe acha upuuzi,wewe mbona ulifikia hata kunyanyapaa mamlaka za serikali,unalialia Nini,hata jeshi la magereza sijui kwanini walikucha salama Kwa upuuzi uliowafanyia.huna brain yoyote,ndio maana huna adabu.usisingizie watu tatizo ni wewe,hujitambui.
@HamzaMduda13 күн бұрын
Wewe ndiyo una akili mshenz mkubwa ww
@Japanese-lz1or12 күн бұрын
Kumbe ww hujielewi
@carolinecaroline-rs7pr13 күн бұрын
Sio hulabino tu hulemavu yoyote mimi mume wangu anamacho kekengeza kuna kaka alimtharau sana lakini leo mke wake ameza mtoto ambae ana macho kama ya mume wangu kwaio mm najua huchokiongea mungu akubariki
@OmaryRajabu-g7r12 күн бұрын
INSHAALAH JEMADARI KWA UZALILISHAJI HUU UTAZAA MLEMVU WA AINA YEYOTE ILI UMNYANYASE ALIE KUUMBA WEWE NDIE MUUMBA WA MANARA,,,,JIONE UMEJIUMBA
@BarakaKusalula12 күн бұрын
Huyu kila siku anaonewa yeye bila kusahau hata Yeye domo lake chafu anabwabwaja sana.
@JumaNyumba-m7y14 күн бұрын
Wewe mwenyewe una matatizo matupu na dharau juzi tu hapa umetoka kuwashambulia askari magereza demit
@NkundweMwakyangwe14 күн бұрын
😂😂 na wewe bhana ........ushaanza kuzeeka
@kilalak293213 күн бұрын
Kweli bwana Haji Manara hakuna anayekuweza kwa uchambuzi na kujua story nyingi sanaaa wakuache hao wanaokubeza tena Wakome
@maarufumustwapha305514 күн бұрын
Manara ni mnafqi namba moja.kqma ni enzi za mtume ..i abu jahli
@songombingo10813 күн бұрын
Kumamakooo. Amekufanyia wapi Unafiki😂
@kakore_jr13 күн бұрын
SIO MNAFIKI NI LINAFIKI LIKUBWA NA
@ellsonmkonyi131913 күн бұрын
Huyu jamaaa bila yanga jumpa nafasi itakuw ngumu sana Hersi hebu mpe hio nafasi ulioisema
@richardpembe60613 күн бұрын
Jemedali hajielewagi kabisa, Kaka Haji wali usisumbuke kugombana nae, kwanza unamzidi mbali mno
@salumnassor933014 күн бұрын
Ndio maaa yuko calm leo nakujifanya ananyanyapaliwa anataka kuingia bungeni
@allyslim777413 күн бұрын
Anazingua bhana ajieshimu jemedal kafanyejetena
@awetumtengera11478 күн бұрын
Kama hujafa hujaumbika , na hakuna aliyetimia katika dunia hii tuache lugha chafu.
@salumnassor933014 күн бұрын
Huyu mshkaji kwa kweli kuna kitu anahitaji kitu katika jamiiii
@margarethpolepole743812 күн бұрын
Kwani kuna mtu anapenda kilema huyo ni mshenzi kabla hujafa hujaumbika
@husseinngala75039 күн бұрын
Sasa Kwa hili kaka Niko nyuma yako
@SwadakatYusuph13 күн бұрын
Wambie ukweli hao wanaopingana namungu kama wanauwezo wakuumba mwanadamu waumbe binadamu tuone
Wejamaa unajua sana pia akiri niyaviwango vyajuu sana
@abdulahmanmahalufu952413 күн бұрын
Maadui unawatafuta mwenyewe we kenge
@ashaali715413 күн бұрын
Hao wanaokutukana Mungu atawapa mafungu yao wewe waache tu Hajji
@barakasaimon86014 күн бұрын
Pole saaaaaana kaka Haji ila hata wewe Kuna wakati unatumia rangi yako kufanya makosa ukikosolewa unalalamika ukitaka uheshimiwe kaka Anza wewe kujiheshimu MUNGU AKULINDE
@AllyBopa13 күн бұрын
Kwa sasa hiv chale ni wew kaka unachekesh2 sasa hiv ulivyo kua simba yang walikua wanakusema kwahiyo langi yako ila ujawai sema hayo maneno kuna ki2
@williamkilembwe718913 күн бұрын
Wewe huishiwi maneno, kwenye mkutano wa CCM hukupewa nafasi ya kuongea. Sasa umepata nafasi tumia Manara TV. uongee.
@nasseralshaibani699513 күн бұрын
Haji punguza uwongo na properganda.
@AminaMsimbe13 күн бұрын
Madunduka Wana kuchukia kisa umetoka kwao hata Hilo jemedari saidi pia ni dunduka
@JehhusRaoul18 сағат бұрын
Gombea ubunge achana na michezo haina heshima
@mahmoudmihanjamu66913 күн бұрын
What a sad story
@EdsonyMashaka13 күн бұрын
ila manara kwenye kuongea uwa unapangilia maneno
@williamkilembwe718913 күн бұрын
Haji Manara, unapenda kutafuta kiki. Nakuomba mpigie magoti Eng, Hersi, akurudishe kwenye mstari. maana umepotea.
@annajohn248813 күн бұрын
Dah uyu HERSI AMPE HATA UONGOZI WAKUCHUNGA NGUO ZA WACHEZAJI NA VIATU😢
@AgnesJohn-f1r11 күн бұрын
😂😂😂 kwa kweli
@sharulchenja216713 күн бұрын
Kila kitu uko sawa Haji ila kwenye uchambuzi hapanaaa; Ali kamwe humuwezi hata kidogo lakini kwenye uchambuzi..(ukongwe siyo kujua sana bro)📌
@stanslausmwengwa528811 күн бұрын
Wewe mwenyewe punguza mdomo na kudharau watu. Ona sasa unavyolialia wakati wewe mwenyewe kutwa kudharau binadamu wenzako. Punguza KAMDOMO.
@AzhadSaid-j1t13 күн бұрын
Sawa hajji tusamehe mm nisamehe
@kwisa489913 күн бұрын
Kwanza anajisikiaga sana
@DhahiriHamisi13 күн бұрын
Ww umuez jemedali. Jemedali kachza mpaka ligi kuu ww ulichez wapi
@janethrwambali278213 күн бұрын
Eti na wanawake wanampenda jamani huyu arubinooo ni shidaaa Tanzania
@kakore_jr13 күн бұрын
UTASEMWA SANA NA MAPUNGUFU YAKO
@afropatriot776913 күн бұрын
Unachokozaga watu wakikujibu unakimbilia kusingizia hali yako
@abasmwika343214 күн бұрын
Shida kubwa uliyokua nayo Mzee ni huna adabu
@rickierunyota361313 күн бұрын
Uyu akishkwa pazuri anakimbilia uko
@kelvinmasungakilunguja753913 күн бұрын
MUNGU atawalipa
@ShamsiMbago-n2q13 күн бұрын
Upo saiii
@bravosenior238713 күн бұрын
We acha upuuzi unapenda kulia lia we unapowanyanyapaa wenzine mbona wa tu tunakausha ile kauli kwa askari magereza ilikuwa sahihi sio kauli ya dharau na kuzalilisha utu wa wenzio wewe ni mdogo sana ukifananisha na wasemaji wa sasa acha kujikweza tena usifanye wengine tukufuru maana we huna adabu hata punje
@ToivoJase13 күн бұрын
Bwege ww
@NsabiKizengi14 күн бұрын
Ungetuliza mdomo ungeonekana wa maana sana na ukaendelea kumuomba Mungu wako
@majaliwaandulile837913 күн бұрын
Mimi sijawahi kuona albino ata kama anabusala awe mpole wana pwampwa haooo mda wote wanaona wanaonewa
@JosephJackson-f1s14 күн бұрын
Yanga wangepita usingeongea kwa heshima hivo c tunakujua
@ahmedhussein-p6l13 күн бұрын
kaka elimu ndio tatizo tanzania..
@carloshernandezvalda213613 күн бұрын
Yanga ikifugwa utaleta habar ilikua hazipo
@laninjeje829013 күн бұрын
Wewe albino kila siku ni kugombana na watu tu, juzi tu umetoka kugombana na jeshi la magereza mkundu wewe, albino gani hujiheshimu???
@HassanSalum-w5v13 күн бұрын
Wewe mwenyewe unawadharau watu kwa sababu wamezaliwa vijijini nyamaza wewe unaomba msaada
@emmanuelmohammed129413 күн бұрын
Shida unajiona unajua kila kitu ukipigwa spana unakimbilia kulia unanyanyapaliwa kaka, mimi hata sizingatii ualbino wako na judge hoja zako, kama za kweli sawa kama za hovyo nakosoa.
@khalidallynganzojr167613 күн бұрын
Maa Shaa Allah. Maneno yako yametufikia
@zulfafengu378313 күн бұрын
Tulijua utafika uko saa gapi kakwambia wew alubino unatafuta uluma kwa watu
@AminiMsellem-gk3yy14 күн бұрын
KAMDOMO HAJI KAMDOMOOOOOO😂😂😂😂😂
@josephatlaban360213 күн бұрын
Ndugu YANGU Haji watu tukuelewe na hili wengi waelewe usemwe kama Haji sio Hali yako ni kosa kubwa sana na ni chukizo kwa muumba
@rahmaabdallah451414 күн бұрын
Hii ni mitihani ya kawaida hasa kwa hii sehemu ulonayo kuwa na subra na uvumilivu ni vitu vya kawaida
@IdrisKabenza13 күн бұрын
Hamna kitu kabisa
@mbwizax8713 күн бұрын
Upunguze dharau pia hakuna mtu atakudharau
@michaelthobias996713 күн бұрын
Mtenda husahau mana unaongoza kuzalau watu babu ile kauli ya zalau kwa magereza vuka siku moja kwa vyombo vile vingine viwili ili tuluone umwamba wako
@ChristianLimo-k8t14 күн бұрын
Umesha zeeka achamambo ya kuropoka
@ZakiaHamoo13 күн бұрын
Bugatti waambie ukweri baba waache ukolo
@DaudMakoyejr13 күн бұрын
Baada ya yanga kutolewa ndo unajifanya kuongea udhaifu
@annajohn248813 күн бұрын
Uyu chizi vipi
@annajohn248813 күн бұрын
Hili linafki sana
@kelvinfussi521013 күн бұрын
Inakuwaje ukawa na akili ndani ya timu ambayo wewe mwenyewe ulisema wenye akili ni wawili tu na haupo katika hao uliowataja wenye akil?
@nelsonmjuni13 күн бұрын
Kaka wewe ni kipaji tunakkubali hakuna msemaji au mchambuzi zaidi Yako
@GraceWilliam-d1w14 күн бұрын
We ni msemaji sio mchambuzi acha sifa zako bhana
@Peterchila-un2lx14 күн бұрын
Manara ananuka mdomooo
@ShakiruWakili-kx8ef14 күн бұрын
Mbona ww ulitukana askar magereza na ukawakashfu mbele y jamii acha ufala shwain
@ToivoJase13 күн бұрын
Chizi ww
@iddimasika117314 күн бұрын
Acha sifa unasaidia watu halafu unatangaza ktk umaaa km umetowa msaadaa