HAJI MANARA AMLIPUA JEMEDARI SAID "KISA MIMI ALBINO NDYO MATUSI MENGI KWANGU

  Рет қаралды 25,838

S500 TV

S500 TV

Күн бұрын

Пікірлер: 193
@NuhuM-s1x
@NuhuM-s1x 14 күн бұрын
Mashaalha kaka haji umeongea vizur mungu akuzidishie ufanikishe ulicho kisema mimi nakuombea mungu akuzidishie 🙏🙏🙏
@ashamahadi5281
@ashamahadi5281 13 күн бұрын
Hivi wewe Haji😂😂😂😂 ulipokuwa mdogo ulichelewa kusema! Mbona unajua kuyajajenga maneno namna hii kweli unakipaji cha kuongea.❤❤❤❤penda sana Mwanangu.🎉🎉🎉🎉🎉
@JAIROSMLIMILA-cl1wp
@JAIROSMLIMILA-cl1wp 11 күн бұрын
Pole sana haji Kuna walimwengu wa hovyo sana wazoee tu wanakosoa kazi ya Mungu watalaaniwa wao hawawezi hata kumuumba chura achana nao focus na maisha yako Mungu atabless .
@DanielYusto
@DanielYusto 11 күн бұрын
Mungu akufanikishe kaka Haji manara, katika taasisi yako yakusaidia watu wenye ualbino.
@NovatusZakaria
@NovatusZakaria 10 күн бұрын
MANARA UMETISHA HII NI BUSARA YA AJABU .......Daaaaa! Fantastic kaka ........ ........
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 12 күн бұрын
Mungu akulinde ilimpendeza Mungu kuwa hivyo ulivyo Haji jitu moja kubwa kongole kwako 🎉🎉
@salumramadhani5128
@salumramadhani5128 13 күн бұрын
Pole sana kaka iyo. Ilimkuta mama mmoja morogoro alimpa maji ya kunywa albino na kopo la chooni baada ya hapo alizaa albino watoto wote sita pole sana kaka
@sonnyr1899
@sonnyr1899 13 күн бұрын
Huyu mwamba siku atakuwa hayupo ndio tutajuwa mchango wake mkubwa kwenye mchezo wa soka. Kaka Manara Allah akuzidishie umri mrefu.
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 13 күн бұрын
Ubarikiwe mno Haji ndo maana cku zote mimi mfuasi wako jinsi uishivyo nami na kauli kwa jamii ubarikiwe
@filyakusimsigwa5006
@filyakusimsigwa5006 14 күн бұрын
Mungu akubariki sana Manara kwa kukemea tabia za baadhi ya watanzania
@PeterLuhende-p7j
@PeterLuhende-p7j 11 күн бұрын
Umeongea kwa uchungu nipo naenjoy na demu wangu albino nampenda sanaa
@goodlackriwa6728
@goodlackriwa6728 13 күн бұрын
Haji wewe ni kioo katikaa jamii. Wewe ni Binadamu kama wengine Rangi tofauti sio tatizo.Akili Yako kubwa sana .Mungu akujaliee Kwa yote
@ShaeebMohammed-e1h
@ShaeebMohammed-e1h 14 күн бұрын
kwahili jemedari said unamuanza mwenyewe
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 13 күн бұрын
Nyau wewe
@ancytarimo1103
@ancytarimo1103 14 күн бұрын
This man is very smart and genuine.
@mvukiedavid4332
@mvukiedavid4332 14 күн бұрын
Tatizo Kamdomooo
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 14 күн бұрын
Nenda upimwe akili wewe if you think he is smart. Haji is well accepted in the community! Problem, majivuno yake na matusi. What has he done in the soccer sector, nothing bali matusi tu.
@Jayhood28
@Jayhood28 11 күн бұрын
Ukiachana na Ualbino..bado Haji Manara huongea na kujenga hoja vizuri..Watu wanakosea namna wanavyomjibu.. Haji akiongea kimichezo tumjibu kimichezo..Mungu wabariki watu wote wenye changamoto ya "albinism" na wengine wote wenye changamoto!.
@KhatibuRamadhan
@KhatibuRamadhan 14 күн бұрын
Kaka allah atakulipa kulingan na nia yako achan nao ao wanao kuthalau awajui mungu mkali kias gan brother mm nakubar na naelewa nn umemaanisha inshallah Allah atakulipa zaid nazaid ingawa mm sio jamm yako
@homeandaway2811
@homeandaway2811 12 күн бұрын
NYOOOOOOO 😂😂😂😂 ETI SENIOR PUNDIT TANZANIA NZIMA HAIJAWAHI KUTOKEA 😅
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 13 күн бұрын
Hahahaaa Mzungu bhana 😀
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 13 күн бұрын
Kweli baba❤❤❤
@binamutawa9637
@binamutawa9637 5 күн бұрын
Wanafanya makosa makubwa sana tena Mimi napenda sana mwanamke mwenye uarbino tena najikuta tu nawapenda
@mansoursiulapwa8624
@mansoursiulapwa8624 12 күн бұрын
Mtu hajisifii wee mzee.. huwa anasifiwa
@sophiaallyhussen7659
@sophiaallyhussen7659 13 күн бұрын
Uliyo yapngea yamenigusa sana sana ila wasamehe hao wasiyo kua nahofu ya mungu Mimi ni mshabiki Yako kindaki ndaki naenda unavyo jiamini
@godfreykarigo6404
@godfreykarigo6404 10 күн бұрын
Kampendelea kabisa kamwita kwa kiingeleza 😂 huyo ni zeruzeru au mlemavu wa ngozi
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 12 күн бұрын
Hapo sasa ndo ukubwa ,huo sio mambo ya kitoto
@kakore_jr
@kakore_jr 13 күн бұрын
😂😂ZERU×2
@DianaDeograthias
@DianaDeograthias 13 күн бұрын
Umesahau kuwa majuzi tu ulitumia ualbino kulinyanyapaa jeshi letu la magereza alafu sio ukifanya janbo mpaka utangaze so vizuri bro
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 14 күн бұрын
Nikiangaliaga mate ya manara humo pemben yalivyomazito halafu zai anampa kiss aiseee mtihan wallah sikunyanyapai ila punguza ka mdomo
@janethrwambali2782
@janethrwambali2782 13 күн бұрын
Unachosema ni kweli huyo Dada mjingaaa kabisaa huo mdomo wake daaaah
@SimbaHaji-jm7md
@SimbaHaji-jm7md 13 күн бұрын
Unadhani hicho ulichosema sio unyanyapaa, kama hujampenda mtu kaa kimya tu dada, ukute unatoka kimapenzi na mtu duni kuliko haji..mshukuru mungu tu
@OmaryRajabu-g7r
@OmaryRajabu-g7r 12 күн бұрын
KWA KWELI FISI JEMADARI AMUOMBE RADHI MANARA KWA KUMDHALILISHA MANARA KWA RANGI YAKE INAUMA MJINGA JEMADARI UMEMZALILISHA HAJI KWA UZAZI WAKE KUA ALBINO INAUMA KUMZALILISHA HAJI UNAFAA UFE JEMADARI USIPOMUOMBA RADHI HAJI JEMADARI NI MTANZANIA DHALILI HUFAI KUWA KATIKA KITUO CHA JAMII KUMZALILISHA BINADAMU MWENZIO UNGEKUA KITUO KINACHOJIELEWA UNGEFUKUZWA KAZI KWA DHALILI HII ,,,UJINGA ULIOUFANYA YAFAA UOMBE RADHI JAMII,,,,
@SaybathKassim
@SaybathKassim 14 күн бұрын
Ndo upunguze mdomo sasa😊😊
@AllyMbuma-c6y
@AllyMbuma-c6y 14 күн бұрын
😂😂😂😂kamdomo kana mponza!!!
@abdullaothman5728
@abdullaothman5728 14 күн бұрын
apunguze mdomo kuhusu nini
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 14 күн бұрын
Manara ana nuka mdomoo
@danielmwakapila2231
@danielmwakapila2231 14 күн бұрын
Wewe acha upuuzi,wewe mbona ulifikia hata kunyanyapaa mamlaka za serikali,unalialia Nini,hata jeshi la magereza sijui kwanini walikucha salama Kwa upuuzi uliowafanyia.huna brain yoyote,ndio maana huna adabu.usisingizie watu tatizo ni wewe,hujitambui.
@HamzaMduda
@HamzaMduda 13 күн бұрын
Wewe ndiyo una akili mshenz mkubwa ww
@Japanese-lz1or
@Japanese-lz1or 12 күн бұрын
Kumbe ww hujielewi
@carolinecaroline-rs7pr
@carolinecaroline-rs7pr 13 күн бұрын
Sio hulabino tu hulemavu yoyote mimi mume wangu anamacho kekengeza kuna kaka alimtharau sana lakini leo mke wake ameza mtoto ambae ana macho kama ya mume wangu kwaio mm najua huchokiongea mungu akubariki
@OmaryRajabu-g7r
@OmaryRajabu-g7r 12 күн бұрын
INSHAALAH JEMADARI KWA UZALILISHAJI HUU UTAZAA MLEMVU WA AINA YEYOTE ILI UMNYANYASE ALIE KUUMBA WEWE NDIE MUUMBA WA MANARA,,,,JIONE UMEJIUMBA
@BarakaKusalula
@BarakaKusalula 12 күн бұрын
Huyu kila siku anaonewa yeye bila kusahau hata Yeye domo lake chafu anabwabwaja sana.
@JumaNyumba-m7y
@JumaNyumba-m7y 14 күн бұрын
Wewe mwenyewe una matatizo matupu na dharau juzi tu hapa umetoka kuwashambulia askari magereza demit
@NkundweMwakyangwe
@NkundweMwakyangwe 14 күн бұрын
😂😂 na wewe bhana ........ushaanza kuzeeka
@kilalak2932
@kilalak2932 13 күн бұрын
Kweli bwana Haji Manara hakuna anayekuweza kwa uchambuzi na kujua story nyingi sanaaa wakuache hao wanaokubeza tena Wakome
@maarufumustwapha3055
@maarufumustwapha3055 14 күн бұрын
Manara ni mnafqi namba moja.kqma ni enzi za mtume ..i abu jahli
@songombingo108
@songombingo108 13 күн бұрын
Kumamakooo. Amekufanyia wapi Unafiki😂
@kakore_jr
@kakore_jr 13 күн бұрын
SIO MNAFIKI NI LINAFIKI LIKUBWA NA
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 13 күн бұрын
Huyu jamaaa bila yanga jumpa nafasi itakuw ngumu sana Hersi hebu mpe hio nafasi ulioisema
@richardpembe606
@richardpembe606 13 күн бұрын
Jemedali hajielewagi kabisa, Kaka Haji wali usisumbuke kugombana nae, kwanza unamzidi mbali mno
@salumnassor9330
@salumnassor9330 14 күн бұрын
Ndio maaa yuko calm leo nakujifanya ananyanyapaliwa anataka kuingia bungeni
@allyslim7774
@allyslim7774 13 күн бұрын
Anazingua bhana ajieshimu jemedal kafanyejetena
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 8 күн бұрын
Kama hujafa hujaumbika , na hakuna aliyetimia katika dunia hii tuache lugha chafu.
@salumnassor9330
@salumnassor9330 14 күн бұрын
Huyu mshkaji kwa kweli kuna kitu anahitaji kitu katika jamiiii
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 12 күн бұрын
Kwani kuna mtu anapenda kilema huyo ni mshenzi kabla hujafa hujaumbika
@husseinngala7503
@husseinngala7503 9 күн бұрын
Sasa Kwa hili kaka Niko nyuma yako
@SwadakatYusuph
@SwadakatYusuph 13 күн бұрын
Wambie ukweli hao wanaopingana namungu kama wanauwezo wakuumba mwanadamu waumbe binadamu tuone
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 13 күн бұрын
Wewe zeruzeru, funga mdomo wako. Tumekuchoka, huna jipya
@OsmaniSiame
@OsmaniSiame 13 күн бұрын
Wejamaa unajua sana pia akiri niyaviwango vyajuu sana
@abdulahmanmahalufu9524
@abdulahmanmahalufu9524 13 күн бұрын
Maadui unawatafuta mwenyewe we kenge
@ashaali7154
@ashaali7154 13 күн бұрын
Hao wanaokutukana Mungu atawapa mafungu yao wewe waache tu Hajji
@barakasaimon860
@barakasaimon860 14 күн бұрын
Pole saaaaaana kaka Haji ila hata wewe Kuna wakati unatumia rangi yako kufanya makosa ukikosolewa unalalamika ukitaka uheshimiwe kaka Anza wewe kujiheshimu MUNGU AKULINDE
@AllyBopa
@AllyBopa 13 күн бұрын
Kwa sasa hiv chale ni wew kaka unachekesh2 sasa hiv ulivyo kua simba yang walikua wanakusema kwahiyo langi yako ila ujawai sema hayo maneno kuna ki2
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 13 күн бұрын
Wewe huishiwi maneno, kwenye mkutano wa CCM hukupewa nafasi ya kuongea. Sasa umepata nafasi tumia Manara TV. uongee.
@nasseralshaibani6995
@nasseralshaibani6995 13 күн бұрын
Haji punguza uwongo na properganda.
@AminaMsimbe
@AminaMsimbe 13 күн бұрын
Madunduka Wana kuchukia kisa umetoka kwao hata Hilo jemedari saidi pia ni dunduka
@JehhusRaoul
@JehhusRaoul 18 сағат бұрын
Gombea ubunge achana na michezo haina heshima
@mahmoudmihanjamu669
@mahmoudmihanjamu669 13 күн бұрын
What a sad story
@EdsonyMashaka
@EdsonyMashaka 13 күн бұрын
ila manara kwenye kuongea uwa unapangilia maneno
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 13 күн бұрын
Haji Manara, unapenda kutafuta kiki. Nakuomba mpigie magoti Eng, Hersi, akurudishe kwenye mstari. maana umepotea.
@annajohn2488
@annajohn2488 13 күн бұрын
Dah uyu HERSI AMPE HATA UONGOZI WAKUCHUNGA NGUO ZA WACHEZAJI NA VIATU😢
@AgnesJohn-f1r
@AgnesJohn-f1r 11 күн бұрын
😂😂😂 kwa kweli
@sharulchenja2167
@sharulchenja2167 13 күн бұрын
Kila kitu uko sawa Haji ila kwenye uchambuzi hapanaaa; Ali kamwe humuwezi hata kidogo lakini kwenye uchambuzi..(ukongwe siyo kujua sana bro)📌
@stanslausmwengwa5288
@stanslausmwengwa5288 11 күн бұрын
Wewe mwenyewe punguza mdomo na kudharau watu. Ona sasa unavyolialia wakati wewe mwenyewe kutwa kudharau binadamu wenzako. Punguza KAMDOMO.
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 13 күн бұрын
Sawa hajji tusamehe mm nisamehe
@kwisa4899
@kwisa4899 13 күн бұрын
Kwanza anajisikiaga sana
@DhahiriHamisi
@DhahiriHamisi 13 күн бұрын
Ww umuez jemedali. Jemedali kachza mpaka ligi kuu ww ulichez wapi
@janethrwambali2782
@janethrwambali2782 13 күн бұрын
Eti na wanawake wanampenda jamani huyu arubinooo ni shidaaa Tanzania
@kakore_jr
@kakore_jr 13 күн бұрын
UTASEMWA SANA NA MAPUNGUFU YAKO
@afropatriot7769
@afropatriot7769 13 күн бұрын
Unachokozaga watu wakikujibu unakimbilia kusingizia hali yako
@abasmwika3432
@abasmwika3432 14 күн бұрын
Shida kubwa uliyokua nayo Mzee ni huna adabu
@rickierunyota3613
@rickierunyota3613 13 күн бұрын
Uyu akishkwa pazuri anakimbilia uko
@kelvinmasungakilunguja7539
@kelvinmasungakilunguja7539 13 күн бұрын
MUNGU atawalipa
@ShamsiMbago-n2q
@ShamsiMbago-n2q 13 күн бұрын
Upo saiii
@bravosenior2387
@bravosenior2387 13 күн бұрын
We acha upuuzi unapenda kulia lia we unapowanyanyapaa wenzine mbona wa tu tunakausha ile kauli kwa askari magereza ilikuwa sahihi sio kauli ya dharau na kuzalilisha utu wa wenzio wewe ni mdogo sana ukifananisha na wasemaji wa sasa acha kujikweza tena usifanye wengine tukufuru maana we huna adabu hata punje
@ToivoJase
@ToivoJase 13 күн бұрын
Bwege ww
@NsabiKizengi
@NsabiKizengi 14 күн бұрын
Ungetuliza mdomo ungeonekana wa maana sana na ukaendelea kumuomba Mungu wako
@majaliwaandulile8379
@majaliwaandulile8379 13 күн бұрын
Mimi sijawahi kuona albino ata kama anabusala awe mpole wana pwampwa haooo mda wote wanaona wanaonewa
@JosephJackson-f1s
@JosephJackson-f1s 14 күн бұрын
Yanga wangepita usingeongea kwa heshima hivo c tunakujua
@ahmedhussein-p6l
@ahmedhussein-p6l 13 күн бұрын
kaka elimu ndio tatizo tanzania..
@carloshernandezvalda2136
@carloshernandezvalda2136 13 күн бұрын
Yanga ikifugwa utaleta habar ilikua hazipo
@laninjeje8290
@laninjeje8290 13 күн бұрын
Wewe albino kila siku ni kugombana na watu tu, juzi tu umetoka kugombana na jeshi la magereza mkundu wewe, albino gani hujiheshimu???
@HassanSalum-w5v
@HassanSalum-w5v 13 күн бұрын
Wewe mwenyewe unawadharau watu kwa sababu wamezaliwa vijijini nyamaza wewe unaomba msaada
@emmanuelmohammed1294
@emmanuelmohammed1294 13 күн бұрын
Shida unajiona unajua kila kitu ukipigwa spana unakimbilia kulia unanyanyapaliwa kaka, mimi hata sizingatii ualbino wako na judge hoja zako, kama za kweli sawa kama za hovyo nakosoa.
@khalidallynganzojr1676
@khalidallynganzojr1676 13 күн бұрын
Maa Shaa Allah. Maneno yako yametufikia
@zulfafengu3783
@zulfafengu3783 13 күн бұрын
Tulijua utafika uko saa gapi kakwambia wew alubino unatafuta uluma kwa watu
@AminiMsellem-gk3yy
@AminiMsellem-gk3yy 14 күн бұрын
KAMDOMO HAJI KAMDOMOOOOOO😂😂😂😂😂
@josephatlaban3602
@josephatlaban3602 13 күн бұрын
Ndugu YANGU Haji watu tukuelewe na hili wengi waelewe usemwe kama Haji sio Hali yako ni kosa kubwa sana na ni chukizo kwa muumba
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 14 күн бұрын
Hii ni mitihani ya kawaida hasa kwa hii sehemu ulonayo kuwa na subra na uvumilivu ni vitu vya kawaida
@IdrisKabenza
@IdrisKabenza 13 күн бұрын
Hamna kitu kabisa
@mbwizax87
@mbwizax87 13 күн бұрын
Upunguze dharau pia hakuna mtu atakudharau
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 13 күн бұрын
Mtenda husahau mana unaongoza kuzalau watu babu ile kauli ya zalau kwa magereza vuka siku moja kwa vyombo vile vingine viwili ili tuluone umwamba wako
@ChristianLimo-k8t
@ChristianLimo-k8t 14 күн бұрын
Umesha zeeka achamambo ya kuropoka
@ZakiaHamoo
@ZakiaHamoo 13 күн бұрын
Bugatti waambie ukweri baba waache ukolo
@DaudMakoyejr
@DaudMakoyejr 13 күн бұрын
Baada ya yanga kutolewa ndo unajifanya kuongea udhaifu
@annajohn2488
@annajohn2488 13 күн бұрын
Uyu chizi vipi
@annajohn2488
@annajohn2488 13 күн бұрын
Hili linafki sana
@kelvinfussi5210
@kelvinfussi5210 13 күн бұрын
Inakuwaje ukawa na akili ndani ya timu ambayo wewe mwenyewe ulisema wenye akili ni wawili tu na haupo katika hao uliowataja wenye akil?
@nelsonmjuni
@nelsonmjuni 13 күн бұрын
Kaka wewe ni kipaji tunakkubali hakuna msemaji au mchambuzi zaidi Yako
@GraceWilliam-d1w
@GraceWilliam-d1w 14 күн бұрын
We ni msemaji sio mchambuzi acha sifa zako bhana
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 14 күн бұрын
Manara ananuka mdomooo
@ShakiruWakili-kx8ef
@ShakiruWakili-kx8ef 14 күн бұрын
Mbona ww ulitukana askar magereza na ukawakashfu mbele y jamii acha ufala shwain
@ToivoJase
@ToivoJase 13 күн бұрын
Chizi ww
@iddimasika1173
@iddimasika1173 14 күн бұрын
Acha sifa unasaidia watu halafu unatangaza ktk umaaa km umetowa msaadaa
-5+3은 뭔가요? 📚 #shorts
0:19
5 분 Tricks
Рет қаралды 13 МЛН